No video

#LIVE

  Рет қаралды 155,040

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 435
@ellymlay9266
@ellymlay9266 Жыл бұрын
Kwa kweli mheshimiwa waziri mkuu umetumia busara kubwa Sana, Mungu akujalie, Mimi siyo mfanya biashara Ila kwa kinachofanyika na watu wa TRA siyo sahihi.
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 Жыл бұрын
R.I.P MAGUFULI MUNGU AKULAZE MAHALI PEMA PEPONI TUNAKUKUMBUKA SANA
@tztanzania2262
@tztanzania2262 Жыл бұрын
Ukiltaja hlo jina unatukumbusha machungu kwakweli yule aliiweza TZ japo hamna mkamilif
@rehemafungo7387
@rehemafungo7387 Жыл бұрын
😭😭😭
@joyreuben9825
@joyreuben9825 Жыл бұрын
Apumzike kwa amani bado tunamkumbuka sana😭
@shilakodeni2853
@shilakodeni2853 Ай бұрын
est africa sijawahi kuona viongozi ambao wanasikiliza kero za wanannchi wao kama tanzania kama unakubali tanzania dondo like apo
@jaraphy6263
@jaraphy6263 Жыл бұрын
Hapa mimi sina neno hapa kaongea 👏👏👏👏
@user-zh8wg3lc4i
@user-zh8wg3lc4i Жыл бұрын
Kama ni kweli Waziri mkuu tutakushukuru sana kama hayo unayoyasema yafanikiwe katika ukweli dhulma zimekuwanyingi mnadhulumu sana. Tunakushukuru sana kwa nguvu zako na huruma juu ya wananchi wako Asante sana sana.
@leyasekilekoyo
@leyasekilekoyo Жыл бұрын
Jaman tunamkumba sana rais wetu hayat mh magufuli mung uilaza mahali pema peponi
@nizarurassa6480
@nizarurassa6480 Жыл бұрын
Kwanini usimkumbuke kikwete,au kipindi Cha awamu iliyopita hakukua Kwa kamata kamata?
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Waziri Ubarikiwe kutumiwa kuwatia moyo na Abarikiwe Zaidi Raisi kuwasaidia waone mwelekeo Tunaombea Nchi yetu MUNGU Afanye njia pasipo na Njia ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai MUNGU Tusaidie turehemuu tusamehe Watanzania.
@hassanmohamedy9042
@hassanmohamedy9042 Жыл бұрын
Dahaa hiii Tanzania yangu wafanyabiashara wakugoma haraka selekali yangu inawakimbili ila ila mdereva wakisubutu kusitisha huduma tutaambulia vilugu tenaa na kuitwa wahuni hongela mheshimiwa waziri pamoja jopolako 🙏
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 Жыл бұрын
Hongera baba yetu waziri mkuu mpe salamu zetu mama yetu tunateseka saana
@zaharahassan-et7ui
@zaharahassan-et7ui Жыл бұрын
Salamu gani tena kwan yy haon?
@nelsonmgaya1490
@nelsonmgaya1490 Жыл бұрын
@@zaharahassan-et7ui Hata mimi nashangaa!
@martinndunguru6358
@martinndunguru6358 Жыл бұрын
Kwani mtaacha lini kujipendekeza?!!! Salamu hizo za nini?
@dennisvenant7357
@dennisvenant7357 Жыл бұрын
naomba Mheshimiwa waziri mkuu 👑___2025___ugombee urais tutakupatiaa💯 na Mungu ukapatie maisha marefu baba🙏🙏
@imakitori399
@imakitori399 Жыл бұрын
Kabisa mana hii Nchi kuongozwa na mwanamke ni shida tupu! Kukiwa akuna demokrasia
@user-ky5wu4gc9g
@user-ky5wu4gc9g Ай бұрын
Waziri mkuu wetu mungu akutunze uwe na maisha marefu watanzania tunakupenda
@OsiaMpandila-yh1kg
@OsiaMpandila-yh1kg Жыл бұрын
Safi sana waziri wetu mkuu, hata huku Makete tumekupata na tumekuelewa, uishi milele: Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki wafanyabiashra
@lucypius4414
@lucypius4414 Жыл бұрын
PM u made my day.. hotuba imekaa vzriii... akili kubwaaa
@abellabv
@abellabv Жыл бұрын
Ahsante sana Mhe. Waziri Mkuu. Ombi langu moja, naomba uweke namba za simu ambapo utapata taarifa za moja kwa moja. Kuna uonevu na maumivu mnayoweza kuyashughulikia kwa haraka tu.
@joseigembe5412
@joseigembe5412 Жыл бұрын
Hongera saaaaana Waziri wetu Mkuu, Mungu azidi kukubariki, Kongole kwa Serikali yetu❤❤
@abdulrupia8931
@abdulrupia8931 Жыл бұрын
Serikali mnauwezo wa kulisimamia suala hili likakaa sawa Imani yetu ni kubwa sana kwenu lakini kwa hawa mnaowaajiri kutufanyia makadirio wallahi bado mnatuumiza kwa kias kikubwa inafikia muda mpaka tunazichukia biashara zetu kwann laikin
@EliasSilaa
@EliasSilaa Жыл бұрын
Asante Baba waziri wetu umetusaidia Sana Mungu azidi kukupa hekima zaidi umeweka sawa wafanyabiashara .Tumekuelewa Sana Mungu ibariki Tanzania bariki viongozi wetu wote wape hekima na maarifa zaidi Amina.
@obedlwinga9194
@obedlwinga9194 Жыл бұрын
Mmm!!!?
@brendangabriel1643
@brendangabriel1643 Жыл бұрын
Wtz wenzangu, hii ni siasa ya funika kombe mwanaharamu apite, hakuna jipya. Amkeni amkeni kwa pamoja tuondoe kero hizi kwa kudai katiba, katiba, katiba mpya. Acha kupumbazwa na majibu ya papo kwa hapo, ili mridhike.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
Mungu akubariki waziri mkuu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 na ibariki Tanzania kwa ujumla wake
@nailaty
@nailaty Жыл бұрын
Amiin na ana sifa za kuwa rais wa Tanzania wengi tunataman ck awe rais
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Huyu magufuri mtupu anajua jinsi ya kuongea na watu wake mama aachie ngazi majariwa apewe nchi
@berthatz
@berthatz Жыл бұрын
@@DavidMbwilo-qk1bzhuyu ni mzalendo na anaioenda Tanzania na anapenda watanzania kutoka moyoni…Wengine fake…
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Жыл бұрын
Mama akistafu, WAZIRI mkuu unafaa kabsa kuwa RAIS wa nchi
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Kwanini Asiwe lisdu wakati huyu na hao wizi ndio hao hao
@petrolconrad4250
@petrolconrad4250 Жыл бұрын
Mwamba angekuwepo tayari mkurugenzi wa mawasiliano ikulu angekuwa ametoa taarifa ya watu kadhaa kutenguliwa
@yvonnemashuda3004
@yvonnemashuda3004 Жыл бұрын
Kufukuzwa kabisaaaa...
@sebastianmathew8475
@sebastianmathew8475 Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri pole na majukumu kila mafanikio ktk nchi yahitaji uongozi bora umakini na kumwogopa Mungu. Kuna uwezekano wa kukusanya Kodi bila kuleta maumivu kwa wfanyabiashara na wageni wetu kutoka nchi za nje. Binafsi waziri mkuu nakuamini sana Mungu akupe hekima nyingi nchi yetu isimame imara. Na watu wa nchi za nje waje kujifunza hapa kwetu.
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Hii nchi utafikilia haina rasimali wanawabana watoto wa maskini kwa kodi kubwa wakati nchi ni tajili sana
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 Жыл бұрын
Hongera sana Mh Waziri Mkuu. Pamoja na kwamba ni muhimu sana kulipa kodi na kwamba maelekezo hayo yanaweza yakawaponza wafanyabiashara kufikiri hawatakiwi kufuatiliwa kuhusu kulipa kodi. Elimu kwa walipa kodi ni muhimu ila ni muhimu zaidi kwa wanaokusanya kodi. Wanakua Miungu watu. Yaani akishakua ofisini anaamua kukuambia chochote ila mradi amepata kisingizio chochote cha kumbana mlipa kodi atakoma. Wafanyabiashara wanateseka sana nchi hii. Hata wale waliofanya kazi na Serikali pamoja na shida ya watu wa TRA serikali nayo hailipi madeni hasa yale ya zamani.
@colletatesha5265
@colletatesha5265 Жыл бұрын
Yani umeongea mpaka
@MzimariMziray-xp6ie
@MzimariMziray-xp6ie Жыл бұрын
mheshimiwa wazr tunataka viongoz kama nyie.
@MzimariMziray-xp6ie
@MzimariMziray-xp6ie Жыл бұрын
hata huko mitaan kaduka hakana hata milion mbili wanakutaka ulipe kod.pango ya nyumba inasumbua umeme mpaka kuunga unga.kwel tuangalie upya
@omariabeid3291
@omariabeid3291 Жыл бұрын
Jinsi hali yetu raia hyo 18% ya VAT ni wakati ishushwe zaid iwe chini ya 12%.na pia haya ya makadirio ni tatizo pia.
@zaitunisaidi3695
@zaitunisaidi3695 Жыл бұрын
Na mkoa wa kagera tunanyanyasika na wafanyabishara wanatuambia kodi kodi kubwa
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Жыл бұрын
WAZIRI mkuu ni mtu makini sana, Pia anaakili sana na anajua kuongoza nchi yetu, Allah akupe umri mrefu uweze kutuongoza miaka mingi zaidi
@sikitujuma4866
@sikitujuma4866 Жыл бұрын
Mpaka leo ramadhani mtunzwe amekufa kabisa kibiashara na wewe waziri mkuu unalijua
@ReubenMeshack-ox3oq
@ReubenMeshack-ox3oq Жыл бұрын
Yaani hata huku mabarabarani sisi Madereva wa Malori ni kukaguli njia nzima na hao TRA iwe mchana au usiku, Hata Polisi na wamekuwa TRa hii ni kelo Maheshiwa Waziri mkuuul.
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Huyu ndio rahisi wetu
@denispaulo1295
@denispaulo1295 Жыл бұрын
Mzee Baba kaondoka na Makalaaa safiii sana Bado RPC na OCD na meneja wa TRA
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
MUNGU Tusaidie turehemuu tusamehe Ongoza Maisha ya Watanzania na Utusamehe utuongoze utufundishe Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai Barikiwa Tanzania
@dannyofficial41
@dannyofficial41 Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri mkuu, asante kwa ufafanuzi mzuuri juu ya changamoto kwa wafanya biashara wa kariakoo, Mungu IBariki Tanzania, Mungu Ibariki Africa.
@KonaTarimo
@KonaTarimo Жыл бұрын
Ubarikiwe waziri mkuu
@AliOmar-ke4tv
@AliOmar-ke4tv Жыл бұрын
​@@KonaTarimo 1¹á ‐,
@winfridamalunguja3287
@winfridamalunguja3287 Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi kwa kutoa dira nzuri kwa wafanyabishara huo ndio uongozi mwenye hekima na hofu ya Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@lazarojosephat4417
@lazarojosephat4417 Жыл бұрын
Safi sana Wazairi wetu kwa hotuba nzuri, hakika unakomboa Inchi yetu,
@yvonnemashuda3004
@yvonnemashuda3004 Жыл бұрын
Hotuba nzuri sana Mheshimiwa waziri mkuu.. Wanatuharibia nchi hii Tanzania is a hub to all landlocked countries lakini sisi wenyewe ndo tunaleta uharibifu.. This is bad.. Rushwa Rushwa Rushwa
@saidali3893
@saidali3893 Жыл бұрын
Mkuu hongerra sana hao watumishi wa wauma wanahitaji maamuzi magumu kama ya marehemu magufuli ndio watakuwa heshima kwa wakuu wa nchi
@christiankiponda4639
@christiankiponda4639 Жыл бұрын
Asante Sana Waziri Mkuu, Umekuwa ukitatua matatizo ya Watoto wa MUNGU wetu, TRA ni Mbwa Mwitu, wa Mjini, Hawa Mbwa Wameuwa Kampuni, yangu ya Ulinzi, Kiponda Security Company Limited, kwa Kunfungia EFD Mashine, Nawalaani wafe Kama walivyoniuwa Kimapato, Mama Samia Hassan Suluhu Hoyee
@fetty931
@fetty931 Жыл бұрын
Kariakoo hata ukipaki chombo cha moto ukiwa unanunua kitu faini tena sio ndogo bora lihame
@saidmabanga388
@saidmabanga388 Жыл бұрын
Ukimsikiliza vizuriii majqliwa ni mtuu mwenye nia ya dhatii kutuvusha ilaa tqtizoo warambq asariii akijipindua tu nae qtakuwa kama tupac
@doreennaftal4373
@doreennaftal4373 Жыл бұрын
😂😂😂
@sadickkalinga3182
@sadickkalinga3182 Жыл бұрын
😅😅😅
@shilakodeni2853
@shilakodeni2853 Ай бұрын
Kweli baba mungu akupe maisha marefu baba waziri mkuu
@berthatz
@berthatz Жыл бұрын
Kiongozi pekee ninaye mwamini kwa sasa Tangu Magu aondoke..Mungu akutunze baba yetu ,waziri mkuu wetu,Unayeipenda nchi.🫡❤️🇹🇿🙏🏾
@amysafi3032
@amysafi3032 Жыл бұрын
huyu baba .namķubali sana anajielewa sana .💪💞
@denismosha8034
@denismosha8034 Жыл бұрын
Jamani kweli imekua sio ile Tanzania tulie itazamia yani 1.mzigo unapoingia bandalini Kodi kibao 2.kodi ya mapato 3.leseni 4.sevice levi 5.fire extinguisher 6.usafi wa taka kajenjere na usafi wa jengo 7.kodi ya flem 8.choo 9.ulinzi 10.umeme 11.wafanyakazi 12.ulinzi st 13.kodi ya pango la st 14. Kuna died stck 15.kodi ya egesho la gari 16. kibari cha TBS 17 Hapo Unasomesha shule watoto ambazo sio za selikari Hebu TRA nao wafungue duka kariakoo walipe hizi zote tuone kama wataweza!!!! Bila kuwa na umoja hii itakula kwetu Bado Tozo ya simu. MUNGU AWABARIKI watumishi wawe na hekima
@christiankiponda4639
@christiankiponda4639 Жыл бұрын
Nimekuwa unalalamika kila Siku, TRA wa Vingunguti, Wamenifungia EFD Mashine, na Kusababisha Wateja wangu Wote Kuacha Kampuni yangu, Kufa, Leo hii nateseka Mtaani, Watoto wangu Wanateseka, Mke wangu anatese, Wazazi wangu Wanateseka, Na TRA Mnatanua na Malaya Mabaa, na Kununua Magari ya Rushwa, MUNGU amewalaani na Mtakufa Kama Mbwa Koko.
@OnestiMuzyenge-tr4lh
@OnestiMuzyenge-tr4lh Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu maana tunakutegemea mh waziri mkuu uje uwe mkuu wa nchi
@francisshetui330
@francisshetui330 Жыл бұрын
TRA KERO SANAAA NIMEFUNGA BIASHARA KWAJILI YAOO SINA HATA HAMUNAO HAOJAMAA HALAFU MAOFISINI UKIWAKUTA FULL DHARAU SANAAA..
@blasimassawe4379
@blasimassawe4379 Жыл бұрын
Yaani ni kero
@francisshetui330
@francisshetui330 Жыл бұрын
@@blasimassawe4379 ndguu siyo kero tuu zaidi yakero mtu anakukadiri mapato halafu unamuaambia mbona imekuwaa kubwa hivyoo anakuambia eti mbona mkipata faida hamtuambiaa halafu anakujibu hivyo hata biashara ilipo haijui ilipo.
@jumaabdalla3374
@jumaabdalla3374 Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima hayati JPM kama ungekuwepo yaaingetokea haya
@jumaabdalla3374
@jumaabdalla3374 Жыл бұрын
Waliopo ivi sasa ni wapiga dili tu
@jumaabdalla3374
@jumaabdalla3374 Жыл бұрын
Madam JPM ameenda kila janbo litatokea na bado
@samweljames8947
@samweljames8947 Жыл бұрын
Yaani Mimi naona hopo selikali ilihifazi yai Zima Ili lialibike, lifike muda muafaka walipasue makusudi halafu wapige deki. Dawa ya yote katiba mpya Tena ileeeee ya warioba.
@elibarikiamoni1983
@elibarikiamoni1983 Жыл бұрын
Huyu ndio Rais sasa anajua nini cha kufanya na wakati gani
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Kafanya nini kikubwa kwani sikaongea tu
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Жыл бұрын
Watanzania tumesha pumbazwa yaani siasa kidogo bila vitendo tayari anafaa kuwa raisi.... huyu bado sana hawezi kuwa raisi wa watanzania tunayemtaka maana hana alichokifanya hapo zaidi ya kuongea
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Жыл бұрын
MIKODI USUMBUFU HUU UTARATIBU MUMEONA WAPI DUNIANI.... KUDAI RISITI MAJIANI..... MTIHANI MKUBWA NCHI ZA KIAFRIKA KWA NINI HATUTIZAMI WENGINE WALOENDELEA WANAFANYA VIPI KWENYE MIFUMO KAMA DUBAI.....😢😢
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Asante kiongozi kwa kujali kuja kuwasikiliza wananchi
@rahmaomary5045
@rahmaomary5045 Жыл бұрын
anachembe chembe za anko magu eeeeeeeh baba kuna kopi yako uku😢
@davidndaha9607
@davidndaha9607 Жыл бұрын
Hata hospital kuna rushwa mbaya sana unaandikiwa malipo harafu ati malipo ya huduma zingine!!.
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 Жыл бұрын
Yani katika mtu anaenibariki moyo wangu nimajaliwa pekee. Mungu akubariki sana
@mdsaid1527
@mdsaid1527 Жыл бұрын
Hili jembe mungu alipe ulinzi WA nguvu maana mafisad wazurumaji hawataki mazuri haya
@noelkabaila3284
@noelkabaila3284 Жыл бұрын
God have a blessed mh Majariwa 🙏
@aubreychuma5449
@aubreychuma5449 Жыл бұрын
Thanks very much our Prime minister
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Kweli Tanzania kuna Kodi kubwa sana sana, sidhani Kama kuna nchi Afrika mashariki kuna kodi nyingi kama Tanzania.
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Maadili mabovu walaji wengi
@estherdominic1673
@estherdominic1673 Жыл бұрын
Hasante waziri wetu kututia moyo mama pia ni mama Kuna kitu anakiona na mama ajawahi kushindwa kutatua chochote kinapoingia nyumbani kwake mama ni msikivu tu mama Samia hongeraaa tunakuelewa
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Yaani ni RUSHWA tu, kila sehemu ni kukamua watu pesa....watumishi wengi wa serikali sio waadilifu, mpk siku zimwagike damu ndio mtaamka, ...mifumo ni mibovu sana , pesa za serikali watumishi wanatia mikono yao kirahisi sana, hii yote ni kwa sababu ya MIFUMO,...mbona nchi za wenzetu tunaona huku mifumo ipo stebo tu...hakuna huduma utaitaka halafu uombwe RUSHWA, hakuna...kila kitu kipo kwenye mifumo...! Kodi zinalipwa....parking zinalipwa , mtu akiwa mzembe mwenyewe atakutana na fine , bila bughudha wala purukushani mitaani..!..lkn kwetu ajabu , ni vurugu mitaani ....Kiukweli huu ni uzembe wa MIFUMO YA SERIKALI...! BANDARINI mtihani, huwezi kuleta mzigo ukafuta tu utaratibu ukachukua mzigo wako, yaani ni VIPENGELE kuzungushwa ili tu utoe RISHWA...!.. VIWANJA VYA NDEGE mtihani.....yaani unashuka Julius nyerere airport watumishi wanasimamisha watu wanapekua MABEGI bila sababu za msingi, MASHINE za ukaguzi zipo lkn ni RUSHWA tu, mbona viwanja vya ndege vya wenzetu havifanyi huo upekuzi bila sababu....yaani ni AIBU......Hebu rekebisheni MIFUMO YA KODI ...mtu alipe bila KUFUATILIWA MITAANI..!
@neemamohammed9176
@neemamohammed9176 Жыл бұрын
L
@alfredakabakama2010
@alfredakabakama2010 Жыл бұрын
Kamilishs TRA Kisha angalia tanesco maana sisi vijinini Bora wangebakiza ile 321000 za mjini kuliko ilivyo sasa kwani kama hujatoa zaidi ya million na kuendelea Hadi million 3 umeme utausikia kwa jirani hata wawakilishi wetu madiwani na wenyewe ni wa kwanza kuomba Rushwa
@yvonnemashuda3004
@yvonnemashuda3004 Жыл бұрын
Yan I experienced this on my last landing..perfum 5 ananiambia haziruhusiwi natakiwa kulipia kodi..mtu unashuka pale umechoka hata uelewi..wanakusumbua yan unahesabiwa hadi viatu eti wanakagua kama ni vipya ..mambo ya ajabu mnoo
@Allystor
@Allystor Жыл бұрын
Mama alikosea mapema sana alivyoapishwa kua rais kitendo cha kusema yeye sio mkali kama aliepita alikosea kauli yake mbiu kazi iendelee ilikua nzuri. Bahati nzuri anaye waziri mkuu makini otherwise angepata wakati mgumu sana. Kuongoza nchi lazim uwe mkali ukicheka na nyani utavuna mabua
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
safi sana.majaliwa kuna.vijamaa vikitoka kitambaa cheupe vinasumbua sana hv vidogo.vya tra na.wale jamaa wa tigo ffu asee wanasumbua.sana watu kutoka.nje ya tanzania wanakufukuzia.mpk vichochoroni
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 Жыл бұрын
MAGUFULI ndio aliiweza nchi yetu
@kaburaberchimas6515
@kaburaberchimas6515 Жыл бұрын
Namuona Rais wa badae kwa mbaliiii
@antonisia5670
@antonisia5670 Жыл бұрын
Safisana wazilimuku naTakaujeuwe laisi nakuombea kilasiku kwamungu ilaiposikumoja tu utakuwa laisi
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq Жыл бұрын
Tunakuamini Mweheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majliwa Kasim. Ukoa Nchi pamoja na Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
@estherdominic1673
@estherdominic1673 Жыл бұрын
❤wafanyabiashara tusikilize serikali tu ni sikivu viongozi wetu wko makini tyache propaganda za chuki tutafanikiwa tu tuwe watulivu tu mungu ni mwema
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
Usiwe nyuma waziri wetu wewe ni Mtu muhimu Sana kwa serekali hii wewe ndio kila kitu, niseme tuu usituangushe tupambanie
@abduljuma2312
@abduljuma2312 Жыл бұрын
Imefikia mahali mfanya biashara ana ogopa tra kuliko kufa
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
😂😂
@veronicadominick8821
@veronicadominick8821 Жыл бұрын
Kweli kabisaaa tunaogopa TRA kuliko kifu! Tunafanya biashara bila faida yoyote,
@allysalum1112
@allysalum1112 Жыл бұрын
munguu muwekee uyuuu binadam ingekua kunaa sheria yaa kubadirishaa kipengeree chaa sheria uyuuu ndie awee raisi manaa machozi yananitokaa mimi uyuuu nimakufuri mtupuuu
@iwenikigodi5419
@iwenikigodi5419 Жыл бұрын
Hongera sana tungepata rais kama wazir hapa
@naftarleonard8543
@naftarleonard8543 Жыл бұрын
Mweshimiwa wazili mkuu respect nyayo za mzee
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
"....kamatakamata inaua biashara. Inasababisha maduka kufungwa. Maduka yakifungwa kwa wakati ule pato la Serikali pia litapungua!"
@Heismasai
@Heismasai Жыл бұрын
Huyu Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Mungu Amtunze sana
@johnkasuga3290
@johnkasuga3290 Жыл бұрын
Hongera Sana Waziri Mkuu ,huo ndio Utetezi kwa Wanyonge,watu wanafanyakazi kwa mazoea;;!!
@deogratiustimoth4070
@deogratiustimoth4070 Жыл бұрын
Mh Majaliwa ulifiti sana ulipo kuwa chini ya Mh JPM Sasa Kila mtu anataka kulamba asali
@user-rj6do3hs7e
@user-rj6do3hs7e Жыл бұрын
Tunakuamini sana wazir wetu mungu akusaidie sana mheshimiwa majaliwa
@IsmailMohamed-lu7ng
@IsmailMohamed-lu7ng Жыл бұрын
Jamani kama inafikia unafanyika mgomo manaake kuna madudu hapo kwanini musiwachukulie hatua? Waziri mkuu kama mkuu kwann usifukuze kazi mt hapo ili wengine wakae kwa haki fukuzaaaa
@echizua606
@echizua606 Жыл бұрын
Hakika bongo sihami nifollow kwa habari na vichekesho mbalimbali
@heliuthmbilinyi2733
@heliuthmbilinyi2733 Жыл бұрын
Tena rushwa ipo juu kuliko
@salmamzashi3609
@salmamzashi3609 Жыл бұрын
Mh waziri mkuu sio kwenye soko tu mpaka idara ya maji huku unakuta kwa mwezi bili ya maji inakuja kubwa tofauti na matumizi ukienda kuhoji wanasema kuwa walikosea Ile bili ilikuwa sio yenu ila mwezi ujao tutawapunguzieni Hali ndivyo ilivyo nchini mh wZiri mkuu
@abdallahally842
@abdallahally842 Жыл бұрын
Badhi ya mafisa tra wako kwennye magari ya landcruser nyeupe wakiwa na police wanakamata kila gari kukagua na kulazimisha kosa na kudairushwa ukikataa wanakupeleka lumumbaa wameiba sanaaa na kunyanyasa wafanyabiashara tumechokaa rushwa wamekua miungu macho kariakoo imekua kero kuganya biasharaa
@clarencentani
@clarencentani Жыл бұрын
Asante baba Mungu akupemaisha marefu
@clarencentani
@clarencentani Жыл бұрын
🎉😅
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 Жыл бұрын
Tunataka sheria na kanuni zinazoeleweka na kila mmoja afahamu wajibu wake. Ndio maana katiba mpya ni lazima. Nchi inayoendeshwa kwa matamko ni nchi ya ovyo isiyo na mwelekeo.
@Piscesblair
@Piscesblair Ай бұрын
Strategic Solution ni kujenga masoko ya mipakani ili kulinda mapato ya serikali yanayokosekana kutokana na rushwa iliyokidhiri ya watendaji wetu. Masoko haya yatapunguza msongamano Kariakoo na kupeleka maendeleo sehemu mbalimbali za mikoa iliyopo mipakani.
@latifahkhalid7261
@latifahkhalid7261 Жыл бұрын
Asante Sana waziri mkuu Mungu azidi kukubariki wewe Ni mwamba akili imekaa sawa....
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Huyu ndiye Waziri Mkuu Wetu wa Tanzania.
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Wanadanganywa ili wafungue maduka hayo
@magrethherin7110
@magrethherin7110 Жыл бұрын
Rushwa imekidhiri Sana Hadi aibu mama kalegeza sana
@Allystor
@Allystor Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣eti taarifa yenyewe unatoa wapi Mh Waziri mkuu umenivunja mbavu umenikumbusha mzee wetu JPM Mungu alaze salama huko alipo.
@onesmomrisho5456
@onesmomrisho5456 Жыл бұрын
Hao TRA wauawe tu tatizo litakwisha
@BillyJohn-pe5hq
@BillyJohn-pe5hq Жыл бұрын
Is that the only solution
@elymollel
@elymollel Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 Жыл бұрын
Huyu ni Raisi mtarajiwa miaka 30 ijayo, very much good
@khalifasaidi7001
@khalifasaidi7001 Жыл бұрын
Wewe ndiyo tegemeo asante mhe rais kwa kumuamini hakika kwa umojawenu huu nchiyetu haitayumbishwa
@noelkaaya2433
@noelkaaya2433 Жыл бұрын
Ushauri kwa serikali, husisheni sekta bianfsi kuwapa mbinu mpaya za ukusanyaji wa kodi na pia kuwaonesha vyanzo vipya vya kodi.
@berthasamwel9955
@berthasamwel9955 Жыл бұрын
TRA, TRA, Muogopeni MUNGU.
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 Жыл бұрын
Ngoja n'a Sisi tuanze mgomo Wa nafaka, hatukubali
@magoriwambura4439
@magoriwambura4439 Жыл бұрын
Tunaendelea kunenepesha jamaa tu kila kukicha washikaji wanavimba matumbo tu! Kodi zimekuwa nyingi mpaka zinatisha
@laurentzacharia1563
@laurentzacharia1563 Жыл бұрын
😂😂😂
@abbacushabba4110
@abbacushabba4110 Жыл бұрын
Dawa ni kuwafuta kazi haibu
@elishazakayo3630
@elishazakayo3630 Жыл бұрын
Sema Banaaaaaa Semaaaaaaa Mungu aibariki Tanzania na Viongozi wake
@paschalmanumbu572
@paschalmanumbu572 Жыл бұрын
REST IN PEACE MAGUFULI... HAPA UNGESHAFANYA MAAMUZI MAGUMU
@christinephilip5043
@christinephilip5043 Жыл бұрын
Tutamkumbuka daima😭😭😭😭
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 Жыл бұрын
Huwa nakubali kauli zako sema basi tu....hongera prime minister
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Жыл бұрын
Kauli hazisaidii bila vitendo ndo maana Magufuli Alipendwa maana hapo nachojua Wangetumbuliwa Watu
@shabaniomari6003
@shabaniomari6003 Жыл бұрын
Maoniyangu,vt iondolewe, Bora TRA,iweinachukua ,kod Kama kwenye sevis levi
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 Жыл бұрын
Nauona amos mkala ansinzia tu apo, chalamila aje tu dar
@yvonnemashuda3004
@yvonnemashuda3004 Жыл бұрын
Kodi mkusanye lakini sio kwa rushwa na usumbufu..airport ni kasheshe.. Kweli kuna safari za wafanyabiashara ndio hatukatai, Lakini mtu anasafiri safari ya kikazi eti anakaguliwa viatu pair 5 eti zilipiwe kodi... Mara sijui perfum aisee sijawahi kuona.
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 2]
48:18
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 3,4 М.
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 7 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 42 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 41 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 1]
35:23
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 5 М.
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 7 МЛН