SIMULIZI: ALIHUKUMIWA KUNYONGWA, MKAPA, JPM WAKAMUOKOA "NIMEKIONA KITANZI, WENZANGU WALINYONGWA"

  Рет қаралды 185,610

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Ni simulizi ya maisha ya Mzee Hussein Khatibu Kifunza aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa mwaka 1985, huku akishuhudia wenzake wakinyongwa gerezani (+255688190217).
Ayo Tv na Millardayo.com imezungumza na Mzee Kifunza ambaye ni mzaliwa wa Mzizima ambayo kwa sasa ni jiji la Dar es Salaam amable alisamehewa na Marais wawili tofauti ambao kwa sasa wote ni marehemu, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Dr.John Pombe Magufuli.

Пікірлер: 369
@user-wv3th2ln4d
@user-wv3th2ln4d 3 жыл бұрын
Ya Allah magufuli sinto kusahau maisha yangu yote wallah ntabaki kukupenda upendo wakwweli Haufi ntabaki kukupenda 💔💔😭😭 Allah akurehem huko ulipo
@dullysimulizi
@dullysimulizi 3 жыл бұрын
Tuliosikiliza huu mkasa huku machozi yakitoka gonga like hapa😥😥
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Yaan nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭😭😭na kuwafikiria watoto wangu km mzazi ila wanaume wanapitia magumu mengi mnooo
@vicentsamwel4641
@vicentsamwel4641 3 жыл бұрын
U up
@tamimumalera7040
@tamimumalera7040 Ай бұрын
Pole sana mzee wangu.
@christinakatumbi2223
@christinakatumbi2223 3 күн бұрын
Ok No​@@elinasanga9731
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Allahu akbar. Ewe mola wetu tusamehe mazambi yetu na utuongoze katika njia yako... tukumbushe pale tunaposahau amri zako kwa ukumbusho ambao hauna mazara kwetu. Aaaamin.
@charlesmaestro1092
@charlesmaestro1092 3 жыл бұрын
Amin
@jamalnamkuna3961
@jamalnamkuna3961 3 жыл бұрын
Amiin
@ahmadmadhi8147
@ahmadmadhi8147 3 жыл бұрын
Amiin
@KaramaLukume
@KaramaLukume Жыл бұрын
Usikubali kumuuamwenzako kumbuka na wewe utakufa ndio maana alikuta ta ndugu zake wengi walishakufa
@KenyaExposeTV
@KenyaExposeTV 3 жыл бұрын
Tutaishi kumkumbuka hayati Magufuli❤️❤️
@ashanurdin2641
@ashanurdin2641 3 жыл бұрын
Sanaa tutamkumbuka
@evawilliamchatila8211
@evawilliamchatila8211 3 жыл бұрын
Kabisa nimeumia sana
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 жыл бұрын
Kabisa mungu amrehem
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Subha Allah iv iyi dunia binadam wanaroho gani,mtu anafugwa miaka 35 alafu kwakosa lakusingiziwa inaumwa
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 жыл бұрын
Hio kawaida wengine Wana 9 saiv
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Kumbuka kuwa wanaadamu wengi hawasemagi ukweli,,,,
@Abisto10
@Abisto10 3 жыл бұрын
Imani Imani Imanii Alhamdulillah Ma’sha’Allah * Assalama aleikum kaka
@selinathomas2096
@selinathomas2096 3 жыл бұрын
Mungu mrehemu John Pombe Magufuli kusamehe adhabu ya kunyongwa sio Jambo dogo
@ruthwanjiku8265
@ruthwanjiku8265 3 жыл бұрын
12111
@PeterMbise-uv4nm
@PeterMbise-uv4nm Ай бұрын
Hy
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 жыл бұрын
Magufuli ulale pema peponi tutakukumbuka Daima 🙏🙏🙏
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 3 жыл бұрын
Amin
@mariamsudi8845
@mariamsudi8845 3 жыл бұрын
Amiin yarabi
@mariamsudi8845
@mariamsudi8845 3 жыл бұрын
Amiin yarabi
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 жыл бұрын
Amiin thuma Amiin
@fatmaally7252
@fatmaally7252 3 жыл бұрын
Amiiiiiina ya rabii 🤲
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 жыл бұрын
Mtangazaji kongole kwako kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
Dunia ndio ijue sio kila mfungwa anahatia.pole sana mzee.mshukuru sana mwenyezi mungu.
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 8 ай бұрын
Hakika
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 3 жыл бұрын
Mungu akufanyie njia aliye kuwekea mama yako hadi kukushuhudia mwanae ukirudi tena uraiani umenikumbusha story ya mwanamke mjane (Nabii mke) ktk Biblia Mungu alimwambia hutakufa hadi umuone mwokozi (Yesu ) na kweli umri wa miaka 80 akamshuhudia Yesu hekaluni. Utukufu kwa Mungu aliye juu. Da kwa history hii Mungu anakupenda sana
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 3 жыл бұрын
Hakika Mungu wetu ni mwema Sana huyo Mzee ni ushuhuda Mkubwa Sana Mungu alimuepusha Raisi Magufuli mikono yake kunyonga nchi inaweza kulaaniwa kwa Mambo mengi sana
@ibrambele7725
@ibrambele7725 3 жыл бұрын
Pole xana mzeee kilio cha mateso ulichokipata mungu yuko pamoja na ww mungu ataendelea kukufuta machozi
@aminaabdallah9117
@aminaabdallah9117 3 жыл бұрын
Mungu siAthuman baba ona Haki aizami mzee mungu anakupenda Sana zidi kumuabudu mungu
@sakinaramzu2878
@sakinaramzu2878 3 жыл бұрын
Mungu nijaalie mwisho mwema binadam wewe ni nani unae weza kuukumu na kukatisha maisha ya mtu eh mungu
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
89dah mungu mpunguzie magu azabu ya kabri
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 3 жыл бұрын
Jamani haya Maisha ni safari Sana kazi zingine ni ngumu Sana Mungu tusaidie
@halimamimarich3799
@halimamimarich3799 3 жыл бұрын
pole bbngu...Allah atakulipa kwa yote😢😢😢naskiaa uchungu nathmn niko n uwezo nikawmle hao wanao jifnyaa ndio wakubwa kwenye hii dunia....ila Allah atawalanii ....
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 3 жыл бұрын
Adhabu hii, ingefutwa duniani kote.
@sittakibishi5019
@sittakibishi5019 3 жыл бұрын
Pole sana mzeee
@burnmotto1876
@burnmotto1876 3 жыл бұрын
Pole Sana mzee mungu wetu mkubwa, nakushauli hiyo nyumba samehe mungu atakuzidishia pepo bora zaidi
@wizzmoh
@wizzmoh 3 жыл бұрын
lllPllPll]lo)l]llPlpl0l
@justentz9278
@justentz9278 3 жыл бұрын
Dah pole sana
@hbsolo5579
@hbsolo5579 3 жыл бұрын
Naomba milad ayo kma itaezekana kufungua account ya mchango ya kusaidia wazee kama hawa walo poteza maisha bila hatiya.. Inaskitisha sna.. Allah Kareem
@ManMan-sz8fy
@ManMan-sz8fy 3 жыл бұрын
Hapo xafi waxo jema
@lubnalubna608
@lubnalubna608 3 жыл бұрын
Siamekutwa na hatia na mahakama.
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Inalilai walnalilai rajiuni pole sana baba Mwenyezi Mungu hatakulipa
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Inasikitisha sana pole baba mitihani ya dunia jamani
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Jamani wapangaji tuwewakweri kwa wenyenyumba tutapata zambi nakuwapoza wazee kama uyu baba
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Bb yangu Mshtakie Mwenye i mungu Allah atakulipa kwa dhuruma uliyofanyiwa
@ladymuna4945
@ladymuna4945 3 жыл бұрын
Pole sana ALLAH atazidi kukufanyia wepesi In sha Allah
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
Ila serikal wakat mwingine wawe wanasikiliza vizur sasa huyu Baba ana makosa gani daaah jmn pole Sana bab
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
Duuuhh pole babu mda kweli yani. hatakuzaliwa mm bado zijawazwa.daah kakupotezea ndotozako kweliyan.Allah kareem uwezijua nn kakuepusha.❤
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Yaan acha tu hana mtoto wala mke inaumiza sanaa🙌😭😭😭😭😭
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
@zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 жыл бұрын
Pole Sana Baba😭😭😭zulma hii jaman
@yusuphkitigwa8815
@yusuphkitigwa8815 3 жыл бұрын
duh hakika kilamuntuh Arakwa
@yusuphkitigwa8815
@yusuphkitigwa8815 3 жыл бұрын
qulynafsy dhaikatul maut
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Huruma jamani Anavyosimulia huruma Kosa la kusingiziwa Mungu mkubwa
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Yaan we acha tu 😭😭😭😭😭😭inaumiza sana hii story
@salhakristina9434
@salhakristina9434 3 жыл бұрын
Ukweli naumia sana 😭😭😭😭
@dadapechi
@dadapechi 3 жыл бұрын
Nimeumiaaa
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 3 жыл бұрын
Pole babu mungu akulinde atulinde nasi na vizazi vyetu
@azizahamisi7349
@azizahamisi7349 3 жыл бұрын
Amiina
@zawiajuma715
@zawiajuma715 3 жыл бұрын
Pole sana babu Allah akuhifadhi na akuongoze katika khaki ufanye yale yenye kumfurahisha Allah
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Pole sana bb yng Pole sana
@saidomari001
@saidomari001 3 жыл бұрын
alhamdulillah,kikubwa mzee wangu ukiweza waeza oa na zaidi kumuomba mungu maisha ya yaliobaki ,usikate tamaa baba
@aishamsemo5154
@aishamsemo5154 3 жыл бұрын
Daaah Maisha haYa....inauma Sanaa😭😭mungu tupe mwisho mwema
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 3 жыл бұрын
Pole sana Allah atakusaidia inshaallah
@OnlyRuky
@OnlyRuky 3 жыл бұрын
Inalilahi Wainailahi Rajeehun kumbe nchi yetu ina sheria ya kunyonga🥺🥺🥺🥺Allah awafanyie wepesi woote waliyopo magereza Ooooh my Lord moyo umenimuaaaa. Mashaalah mzee anakumbukumbu zote
@mirajimwango5763
@mirajimwango5763 3 жыл бұрын
Ilikua zaman, Marais wengine walikua hawatii SAINI
@enterenter1921
@enterenter1921 2 жыл бұрын
Ipo ila haitekelezwi iliwah tokea Enzi za Rais mwinyi tuu aliwah sain wafungwa wakanyongwa sikumbuki idadi lkn haijawah kutokea tena
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
​@@enterenter1921😢😢 duuh kumbe mwinyi nae alisaini hiyo kitu innalilah waina ilah rajiun 😢
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Pole baba Mungu yu mwema upatiwe yu haki yako tunaye Rais mwema pia ataliangalia hili kwani miaka 37 si mchezo. Mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema
@reginamanyangu6682
@reginamanyangu6682 3 жыл бұрын
Kakaayo tunaomba ufanye taratibu za number ya mawasliano, ikiwezekana usimamie tumuwezeshe mzee mwisho wake uwe mwema, maana Hana uwezo wa kufanya kazi kweri inauma mno jaman 😭😭
@mikandaba2421
@mikandaba2421 3 жыл бұрын
+255688190217
@mundhiraliy1307
@mundhiraliy1307 3 жыл бұрын
Pole sana babu😥 Serekali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tz imezidi dhulma 😥 Kunawa2 miaka 9 sasa wanaadhibiwa bila yakosa 😭 Allah atawalaani kwarehma zake🤲 Nanyinyi muonje machungu yake kabla hamjafa 🙏
@abdallahsaidi2942
@abdallahsaidi2942 3 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi kwakila jambo
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
😭😭😭😭hata sijui hawa Askari wanaonyonga huwa wanakua na roho gani mweee pole Sana Baba angu
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 3 жыл бұрын
Magufuli tunakukumbuka every second we are breathing, may God rest you in easy Sir.
@dadapechi
@dadapechi 3 жыл бұрын
Akina babu seya pia
@enterenter1921
@enterenter1921 2 жыл бұрын
Rip mzee mkapa huyu mzee atakumbukwa daima Maan Hawa wakuhukumiwa kunyongwa wote adhabu ilibadilishwa,, kila Rais anamazuri yake namabaya kila utawala wafungwa huachiwa huru
@saidikobossa7489
@saidikobossa7489 2 жыл бұрын
@@dadapechi ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp0p
@OscarMgaya-sw3df
@OscarMgaya-sw3df 11 ай бұрын
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭jela haina mwenyewe daah Mungu tu mzee wetu kutoka kwenye kitanzi
@mariamissa1528
@mariamissa1528 3 жыл бұрын
Inaumiza sana tuombe mwisho mwema
@rosemary3816
@rosemary3816 2 жыл бұрын
Duh machozi😭😭😭😭 yamenitoka ee, mungu wangu, watoto wetu vizazi vyetu,
@mohamedaminah3448
@mohamedaminah3448 3 жыл бұрын
Daaaaaaaah akisimulia mambo yakunyongwa mwiliulinisisimka nakutetemeka .
@salimocassim6431
@salimocassim6431 3 жыл бұрын
Mashallaah pole sana
@kobanyawale3709
@kobanyawale3709 3 жыл бұрын
Asante Ayati Magufuli kwa hekima yako kumsamee uyu mzee
@daudmtange8005
@daudmtange8005 3 жыл бұрын
Daah Jaah bless. jela kweli haina mwenyewe
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 3 жыл бұрын
Allah Ndio hakimu muadilifu..atawahukumu wote hao wanaojifanya mahakimu
@jonathanjocksonmushi9518
@jonathanjocksonmushi9518 3 жыл бұрын
Pole sana mzee
@faridamohamed3561
@faridamohamed3561 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atupe jicho la kuwajua marafiki wazuri na wabaya
@zohoraramadan4540
@zohoraramadan4540 3 жыл бұрын
Pole baba mungu alihukumu hukumu yake ya kweli
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 жыл бұрын
Maskini 💔 wakupe chako bhana
@isayakibona2466
@isayakibona2466 3 жыл бұрын
maisha hyaa nikwamda tu pole sana mzee
@fatmaalaufi9073
@fatmaalaufi9073 3 жыл бұрын
Walonyongwa na wanyongaji tutakutana mbele uko kwa hakimu wa haki
@janethhenry1557
@janethhenry1557 3 жыл бұрын
Huko watu watakuwa wengi wala hutawaona
@shamilakalinga437
@shamilakalinga437 3 жыл бұрын
@@janethhenry1557 😂😂😂😂akili zako wew
@janethhenry1557
@janethhenry1557 3 жыл бұрын
Hahahaaaaa ni shida
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🙏
@hidayaking3383
@hidayaking3383 3 жыл бұрын
😂😂😂
@kiluwaselemani4246
@kiluwaselemani4246 Ай бұрын
Ewe allah msamehe namakosa yake mzee wetu Joan Pombe magufuli kwa rehema zako inshallah utupe mwisho mwema😭😭😭😭
@jumakikwenga5803
@jumakikwenga5803 2 жыл бұрын
Polesana Mzee, mungu amekuongoa bac mchemungu Sana, ili mungu akupokee akhera na ukafurahie malipo mazuri inshaallah.
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Al hamdulillah Rabil alamiin haki ya mtu haipotei.
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 жыл бұрын
Pole sana mzee m/mungu ashukuriwe ndiokilakitu
@enterenter1921
@enterenter1921 2 жыл бұрын
Alhmndulillah umepata bahat mama mzazi bado yupo Hai jambo lakumshukuru Allah
@miriamsadalah6859
@miriamsadalah6859 3 жыл бұрын
Pole sana
@suleimansalim7194
@suleimansalim7194 3 жыл бұрын
DUH,POLE SANA TANZANIA HII SIO MCHEZO
@kimolankenyenge7158
@kimolankenyenge7158 3 жыл бұрын
Daaaah kipind cha mwinyi matatzo watu walikuwa wananyongwa sana sijuw kwa nini mbona uongoz wa jpm hakuna hata mmoja aliyenyongwa Rip John pombe magufuli
@asyaamuhammed2408
@asyaamuhammed2408 3 жыл бұрын
Mbona wabakaji hawnyongwi Tena wanabaka watoto wa kiume
@isamony58
@isamony58 3 жыл бұрын
leo nimekubali waliyo jela ciote wenye hatiyaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🤲
@eddyjosephmagenge9658
@eddyjosephmagenge9658 3 жыл бұрын
Pole baba . RIP my JPM
@omarymasukilawachawiiwamez8924
@omarymasukilawachawiiwamez8924 3 жыл бұрын
Mungu alimtuma magu na katenda kazi kachukua mjaa wake bila ya magu inamana bila jmp Bado angekua gerezani
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Wewe unamtamkia laana.hayati j.p.m.lakini wananchi wakawaida wengi.wamemwachilia baraka.tafakari ww unayemlaumu kila siku.unashindwa hata kulala
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Bb yangu Sjikamana na ibada
@jhfgbn87hshswj17
@jhfgbn87hshswj17 3 жыл бұрын
Baba pore sana
@faudhiahabibu9905
@faudhiahabibu9905 3 жыл бұрын
Pole Sana mzee 😭
@issacktiibuza
@issacktiibuza 9 ай бұрын
Malanyingi penye ukweli MUNGU husimama!pole sana mzee!
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Ай бұрын
Yarabii nusuru lihatma tupe mwisho mwema yarabilaalamina
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Dah 😢😢 “Alaisallahu bi-ahkamil haakimin” Suratul TIN aya ya 8 " Jee! Hakika Allah sio hakimu muadilifu?"
@habibahadithi5080
@habibahadithi5080 3 жыл бұрын
Umenifanya nitoe machozi kwa hii Aya ,kweli kila uweza na nguvu ni za Allah hakika Allah ni mmiliki wa kila kitu
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@habibahadithi5080 Naam tunajiachia sana wanaaadam.. wakati wisest judge ni Allah
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 4 ай бұрын
Hii nchi haki inapotezwa sana na wengi walio jela hawana hatia 😢 walio fanya makosa wapo tu nje wanapeta 😢😢😢
@hafidhissa4405
@hafidhissa4405 3 жыл бұрын
Money doesn’t change people, they made to realize who you are#🤥
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Allah akbari, *ni kweli hakimu muadilifu ni Allah pekee*
@zurfashafii9531
@zurfashafii9531 3 жыл бұрын
Yani kuna binti yangu aipendi hii kazi ya uwakimu anakwambiya hii kazi ya lhana kesho kwa mungu uwezi fanya hii kazi mwanzo mbaka mwisho bira ya kumzurumu mtu haki yake
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
@@zurfashafii9531 masha Allah
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@zurfashafii9531 Masha Allah
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Naam “Alaisallahu bi-ahkamil haakimin”
@zurfashafii9531
@zurfashafii9531 3 жыл бұрын
@@RioIpo shukulani
@hasyno9805
@hasyno9805 3 жыл бұрын
katika story nilizowai kusikiliza nikaenjoy ni namba 1
@hassaniajaba1530
@hassaniajaba1530 3 жыл бұрын
Pole sana mzee du mungu anatisha jamani kama mungu kakupangia ufike ulaya utakwenda hata huskujuwe na mungu akupe uhai mkubwa du kifo hadi uhai
@ZiruuChejojr-zb7jr
@ZiruuChejojr-zb7jr Жыл бұрын
Mungu nijalie baba insharah
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 жыл бұрын
Masikini kosa afanye mwengine adhabu apate mwengine kweli si wote waliojela wanahatia
@johnluyego9353
@johnluyego9353 Ай бұрын
Bado Mungu yupo kwa ajili ya wanyonge. Tuendelee kumtumania Mungu
@smaihsmaih2815
@smaihsmaih2815 3 жыл бұрын
YAA RABBY TULINDE NA MASHARI YA DUNIAN
@lilundi3971
@lilundi3971 3 жыл бұрын
Uonevu tupu
@kobanyawale3709
@kobanyawale3709 3 жыл бұрын
Pole mzee wangu
@eshaomari6363
@eshaomari6363 Жыл бұрын
Mungu ashkuriwe na vilivile baba wa taifa alie mtetezi wa wanyonge
@manahiljamal834
@manahiljamal834 Жыл бұрын
Pole sana mzee wangu
@saodashaban3449
@saodashaban3449 3 жыл бұрын
Mtihan huu jamani jela hakuna mwenyewe mola hakimu wa haki
@evamakoi668
@evamakoi668 3 жыл бұрын
Pole sana baba mtangazaji ujamuoji vizuri
@alhajbakary7337
@alhajbakary7337 3 жыл бұрын
God bless u
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 3 жыл бұрын
Kidogo nitakacho jaliwa nitatoa shida kubwa naomba namba za huyu mzee tafadhali plz
@chingawadunia3621
@chingawadunia3621 3 жыл бұрын
Pole San alahhh amekuona Shee wanguu
@salmasalim6055
@salmasalim6055 3 жыл бұрын
Pile sana baba
@aloycemathew3926
@aloycemathew3926 Жыл бұрын
Pole sana Mungu atakusaidia
@maryamdigelo6288
@maryamdigelo6288 3 ай бұрын
Mzee kama ungekua na uwezo ungeenda kuhiji .wallah ..daaaah...mungu mkubwa umeponea kwa tundu ya sindao..😢soo sad 😢
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 2 жыл бұрын
Mungu baba mwingi wa Rekhema mwenye kurehemu naomba uniondolee na mikosi nuksi na balaa,kwa mtu usiye fahamu jela siyo kuzuri,ogopa Maisha yakula kwa muda kunywa maji kwa muda kuoga kwa muda kulala napo ni kwa muda na ogopa unaenda jela kwa kosa ambalo hauja lifanya,Mungu baba mwingi wa Rekhema akulaze mahali pema peponi Raisi wetu Hayati John Pombe Magufuli Mungu akundolee adhabu za kaburi akupe kauli thabiti....Aamiin
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Pole saana mzee
@husseinhajji6984
@husseinhajji6984 3 жыл бұрын
Hawa watu wanaofanya Huuu Unyamaa Mungu Atawalipa Na Wao Malipo Yaoo Maana Inasikitisha
@omklthomomklthom8090
@omklthomomklthom8090 3 жыл бұрын
Je huyo aofanya kosa yuhai au alikufa pole sana Allh akareem
@alisenipeter4307
@alisenipeter4307 3 жыл бұрын
Dah Yani inauma sana hao maaskali walaniwe sana mzee hata hana hata hatia kwakweli
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 33 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 36 МЛН
MFUNGWA MTANZANIA GEREZANI CHINA AMPIGIA SIMU MILLARD AYO
17:05
Millard Ayo
Рет қаралды 1,1 МЛН
HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA  MATATU HAYA....
50:09
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 1 МЛН
Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni,  mnyukano mkali watokea
47:32
Mwananchi Digital
Рет қаралды 74 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 33 МЛН