No video

LIVE: YANGA WANATOA TAMKO MUDA HUU

  Рет қаралды 166,003

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

‪@millardayoTZA‬

Пікірлер: 378
@allytwalib7787
@allytwalib7787 Ай бұрын
ambao tupo sambamba na hersi gonga like hapa........
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Pamojaaaaa
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Injinia niwetu haondok popote wajinga tuuu haowazee
@godsingu7921
@godsingu7921 Ай бұрын
Tupo pamoja na hers wote tusitaharuki hao wazee wamekurupuka kupuru.
@Francegidion
@Francegidion Ай бұрын
Atoketu manakama anatakakualibu timu hussen kuto inyny
@Leonard-jl8gt
@Leonard-jl8gt Ай бұрын
Mlevi ataanguka awezi kushinda wengi Yanga oyee
@GiftLeonard-u6z
@GiftLeonard-u6z Ай бұрын
Nina Imani kubwa sana na Baraza la Sheria ktk club ya yanga...Kwa uwezo wa mungu kesi itafika tamati na wanayanga tutaendelea kuifurahia club yetu pamoja na uongozi wake.....KILA LAKHERI KTK UTEKELEZAJI🤲🏽🤲🏽
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Ай бұрын
Kwa hii trending hapa ndo najionea ukubwa Yanga🤔🙌
@TamarieKiluwa
@TamarieKiluwa Ай бұрын
Mungu atuepushie husda zote..
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Mwenyezi mungu hawez kutuacha
@Fabrizomramba
@Fabrizomramba Ай бұрын
Hersi simama kidete
@happyvalence5352
@happyvalence5352 Ай бұрын
Wape taarifa wazee wote kuwa eng. Hersi ataiongoza YANGA daima.🎉❤
@thabithamagnus638
@thabithamagnus638 Ай бұрын
Eng Hersi hapa inaonyesha jinsi gani Yanga ni kubwa na ni namna ambavyo tunaenda kunyakua kombe la Afrika
@dastanhaule9463
@dastanhaule9463 Ай бұрын
Msubiriee Tano (5) zingine.!
@havilahshake1025
@havilahshake1025 Ай бұрын
Tano za makalio yako
@user-jz6wr5ht2k
@user-jz6wr5ht2k Ай бұрын
Jaman jaman hv hawa wazeee wametoka wap na wanataka nn mungu awasimamie viongozi wetu na wasiteteleke kwa lolote mungu yu upande wao atasmama nao🙏
@Izzoh2021
@Izzoh2021 Ай бұрын
Kwanza angalia tu makao makuu yalivyo badilishwa lakin bado hawa kenge wanaona sio sahihi kuongozwa badala yake wanataka waongoze wao alafu waturudishe kule tuliko toka yanga ya bakuli,sasa wakiwa kama wanachama wanaweza kuendesha team gani labda team ya usingiz ila sio ya mpira,waache ukuda TFF hili swala inabid ingilie kati kwakweli maana hii sio case ya jinai hii ni yampira inatakiwa kwenda kimpira mpira sasa wao walivyo wakuda wamesha suka mambo yao na wanataka kutuletea siasa kwenye mpira ,jaman huko tulisha toka kama kuna mzee mmoja wapo atapita kwenye hizi comment watuachie rais wetu na wao muda wao ulisha pita tupo kwenye usasa na mambo yanakwenda kisasa maana hata leo waachiwe team hawana uwezo wakuendesha club kwaiyo wakae pemben na wajitqmbue,ikiwa saivi wanapita kifua mbele kesho watajifungia vyumban mwao,huyu pimbi katumwa hana lolote kenge maji mkubwa
@RazackRajabu-s6x
@RazackRajabu-s6x Ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚........
@Chamandaayolaiza
@Chamandaayolaiza Ай бұрын
SEREKALI WAFATILIE MAENDELEO NASIO MMBO YAMIPIRA SSI TUNA NJAA WANA NJII
@EmmanuelMollel-l9y
@EmmanuelMollel-l9y Ай бұрын
Acheni habari wa kutaka vurugu wakati timu yetu inaendelea vizuri hao wanaolalamika wakaunde timu Yao wenyewe
@elineswai2933
@elineswai2933 Ай бұрын
Nataman kuwanyonga
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Wajinga TU wazee
@kulwaseloye
@kulwaseloye Ай бұрын
WASIOPENDA MAENDEREO YAKRABU YETU YANGA TUNAWAOMBA WATUSAMEHE PIA WATUWIERAZI TAFAZARI
@kanyinyimusa8766
@kanyinyimusa8766 Ай бұрын
Eng,Heris anzisha timu mpya waachie hawo wazee timu ya Yanga halafu tuone wanafika wapi Anzisha timu mpya inaitwa CSM FOOTBLE CLUB Chukua wachezaji wote waliosajiliwa halafu tuone hawao wazee nahiyo Yanga yao
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Fisi utamwachiaje bucha, hao hata chakula ya familia ni mashaka.. hao mahayawani waanzishe timu yao.
@ErickMgaya-g4r
@ErickMgaya-g4r Ай бұрын
Kwn miaka yote mliouwa wapi Leo yanga ipo kwenye mafanikio makubwa ya clb ya yanga Leomnaivuruga yanga hakika mungu anawaona manepoteza muda wenu tu kiufupi mnaharibu syclogy ya watu
@priscaraphael5703
@priscaraphael5703 Ай бұрын
Yanga bingwaaa hadi 2039
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Hiyo mizeee michawi na njaa
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Hawa wazee waorewetu
@Francegidion
@Francegidion Ай бұрын
kaka naww Sasa wakunraj
@RachideMussaNctheua
@RachideMussaNctheua Ай бұрын
Kuitwa mzee sio kuzaliwa zamani, bali uzee ni busara, magoma ni shushushu, muharibufu, mfunja amani kwenye timu.
@user-gf8xu7mr7v
@user-gf8xu7mr7v Ай бұрын
Daah kwan hao wazee walikua wamekufa ndo wamefufuka leo hii yanga iko vzr mbona awakujitokeza kipind cha ñyuma
@fedrickmakubi
@fedrickmakubi Ай бұрын
uyo mzee atakufa akiwa ananuka , anataka kutuvulugia club yetu
@Siwa-by2yk
@Siwa-by2yk Ай бұрын
Shid yahuyo mzehe imeanzia penye Jin mtu mwenyeakili timam ataitweje ngoma
@brunomirambi8792
@brunomirambi8792 Ай бұрын
ENGINEER HERSI ALLY SAID KUWA. MAKINI NA HUYO ANAYE JIFANYA. NI RAFIKI YAKO UNAJIFANYA KUKAA NAYE MARA NYINGI KWWENYE MECHI KUBWA KUBWA ZA KITAIFA KAA MBAL NA. HILO JOKA YAAAN. SHETWAN NA IBIRISI NI HILO TU.
@hawajohn749
@hawajohn749 Ай бұрын
Sina hamu kwa kweli mungu anitie nguvu kwanza
@RamadhaniMtunya
@RamadhaniMtunya Ай бұрын
Hapo wazee walikua wanakula vijihela Sasa ulaji hapo njaa itawaua wote ni Simba hao wazee njaa tupu zama zao zimeisha yote hayo ni Simba damu
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 Ай бұрын
Dunia hii hakuna taasisi inayo endeshwa na WAZEE
@AlexMbagata
@AlexMbagata Ай бұрын
Umeua mwamba
@simonmathias6474
@simonmathias6474 Ай бұрын
Hao wazee hela za kulipa mahakamani wanatowa wapi uchunguzi ufanyike haoo wauwaji wa YANGA
@twasinsound810
@twasinsound810 Ай бұрын
Wana simba msituingilie nyie niwapumbav tu
@AnordFrank-s3v
@AnordFrank-s3v Ай бұрын
M nahic wazee wametumwa kuja kuiteketeza club ila club iwe na migogoro kwa sababu hawaitakii meme club
@IddiHassani-s9j
@IddiHassani-s9j Ай бұрын
Wazee mnatka nn sas mnashdwa kumalza wazee wao vzr
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 Ай бұрын
😂
@barakamuoka1455
@barakamuoka1455 Ай бұрын
Naona huyu mzee kuokota Makopo kumemfanya awe mwehu
@Amosmpaji
@Amosmpaji Ай бұрын
Kwan Hao wazee wananafasi gan kwenye timu yetu ya yanga? . Na Kama ni wanaamua kuzalilisha timu yetu kisa njaa zao. Inatakiwa tuwashitaki ili hata siku nyingine wasije kurudia ujinga wao.
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Hawa wazee wataorewa
@manotiomar2927
@manotiomar2927 Ай бұрын
Huyo mzee njaa inamsumbua kamatumwa na jirani haache njaa zake
@TheresiaKauno
@TheresiaKauno Ай бұрын
Wazee hao wachaw
@leco_ltd
@leco_ltd Ай бұрын
Njaa mbaya sana wazeee huwenda kuna mgao wazee hao hawaupati umezibwa ....hapo kelele tu 😂😂😂😂🤣🤣🤣
@Ibrahimmjema15
@Ibrahimmjema15 Ай бұрын
ijinia yupo sana
@user-jq9go2db6y
@user-jq9go2db6y Ай бұрын
Wanaumia sana kwa kuwa tunae chama😅😅😅
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Ай бұрын
Hapo. Ni. Lazima. Uongozi. Wetu. Pendwa. Wa. Hersi. Na. Ghalib. Uwepo. Tuu
@BhutemiMapalala
@BhutemiMapalala Ай бұрын
Jamaan mnahangaika na wazee wapumbafu
@JacksonAsheri-vi8gh
@JacksonAsheri-vi8gh Ай бұрын
Raha sana ila wazee 😊😊😊😊
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Ай бұрын
Hili jambo limesukwa na wale waliokuwa wamezoea kutumia Yanga kama chanzo chao cha mapato na kwa sasa zimezibwa na vijana na wanahisi hawana nafasi tena ya madaraka Anachofanya huyu Mangoma ni kumwaga mboga ili wakose wote . Lengo lao sio kutetea katiba ya Yanga kwa maslahi ya Yanga bali ni kwa maslahi binafsi nje na ndani ya Yanga . Kuna kundi la wanayanga wachache wanaopta ushauri na maelekezo kutoka nje na ndani ya Yanga na hata wenye dhamana ya nchi kwa nia ya kuitikisa Yanga ili iharibikiwe katika mipango yake na wao wajipenyeze ili wapate fedha. Hakuna mwanayanga anayefiria ujinga huu kwamafanikio ya Yanga walivyo kwa muda huu. Hii ni hatari na baadhi ya wazee wa daresalam waache kuifanya Yanga kama kitega uchumi chao .
@LeilaMohammed-x5u
@LeilaMohammed-x5u Ай бұрын
Haaaaaaaaa❤yangaaaaa
@AbdulmarickLuhoma
@AbdulmarickLuhoma Ай бұрын
Injinia asitoke
@inspirationmessages8420
@inspirationmessages8420 Ай бұрын
Braaah Braaah Braaah 😂😂😂😂😂
@user-dh4lq1jq3d
@user-dh4lq1jq3d Ай бұрын
Safisana Wazee Haovijana walafituu Yanga oyeeee
@imanimwandosya370
@imanimwandosya370 Ай бұрын
🙆🙆🙆🙆 MUNGU naomba unisikie maombi yangu, Naomba wote walio peleka kesi uko wafe yaani wakufe kabisa, ndani ya siku 7,.
@eliathomas8446
@eliathomas8446 Ай бұрын
Mungu ashughulike nao kiukweli
@jacksonmillengo1913
@jacksonmillengo1913 Ай бұрын
Dozi iongezwe ya Magoli mpaka hata Ali Kamwe nae wajikute wamejichanganya kuwa usajili wake hauna vibali vya uhamisho nadhani wenye D 2 wameelewa... Daima mbele nyuma Mwiko Sisi ndo Yanga
@ahmadbihaytv4460
@ahmadbihaytv4460 Ай бұрын
Njaa zina tutesa sanaaaaaa walio watumavwasubili 7.2 Tena
@user-gl4jl9yg5t
@user-gl4jl9yg5t Ай бұрын
Braaah brahaa hatutak kusikia kwan hawo wazee wana maan gan na wawo wanataka nin kam sio ujinga tu tangia mwanzo walikuwa wapi mpak leo hii ndo wafany hvo hawo wazee waache utoto bas
@AdamGeorge-i3m
@AdamGeorge-i3m Ай бұрын
Wanasheria hamfanyi kazi zenu kwa umakini wanasubr mpaka yawe makubwa ndo muanze kijitetea hamjui mnatugawa wakati ilikuwa ni swala la kumaliza wenyew mapema kabla hata ya hukumu mngekuwa na hoja hizi nan angetoa hukumu ya namna hiyo
@rofacoltanzania589
@rofacoltanzania589 Ай бұрын
Unaendaje tena mahakamani. Chukueni hiyo hukumu mkapate ufafanuzi TFF. Kwenye mpira Mahakama ya Kisutu haihusiki maana hiyo siyo kesi ya Jinai. Msipate presha ipotezeeni, waulize mahakama lini wamepewa mandate ya kusikiliza kesi za mpira?
@ezekielgwamaka9998
@ezekielgwamaka9998 Ай бұрын
Wazee wa hovyo na michawi ktk nchii hii ni tatizo kubwa,na mchawi hapenfi maendeleo timu inafanya vizur mizee inaibuka na kubabwaja nendeni mkalime huko mashambani
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Ай бұрын
Hapo. Ni. Wazee. Wanaotumiwa. Na. Simba. Tu. Timu. Imekuwa. Bora. Chini. Ya. Ininia. Na. Ghalib. Leo. Nani. Ataisaidia. Yanga
@gonnetheboss1708
@gonnetheboss1708 Ай бұрын
Unajua wazeee hao hawajielewi wakati tupo na bakuli walikaa mbali na club leo wameona mafanikio wanakuja kuongea pumba zao ni njaaa zao zinawasumbua tu amna kingine Itaku wametumwa na upande wa pili
@matikomnanka9154
@matikomnanka9154 Ай бұрын
Hao wazee wakaanzishe tim yao make walio iyanzisha tiyar walishaga farik toka 1935 had leo ni mzee gan aliopo hai
@abalqassim3218
@abalqassim3218 Ай бұрын
Mlakuku wa mweziwe miguu humwelekea
@ALBERTNyemba-uk3fr
@ALBERTNyemba-uk3fr Ай бұрын
Hao wazee tutakufa nao..wametumwa na wasiombe ili swala liishe,likiisha hao wazee tutawafyekelea mbali.
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek Ай бұрын
Wananchi TUWE MAKINI,hizo ni fitna za maadui nia yao KUTUVURUGA,Yanga mshikamano daima,DAIMA MBELE NYUMA MWIKO,washindwe/waregee hao MAFISADI kwa Wananchi,Cc ndio Yanga imara
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Kabisa nifitna tu
@AnordyJames
@AnordyJames Ай бұрын
Mizee yanyewe ukiangalia inanjaa hata ukipa mchezaji mmoja aiezi mlisha mikundu hii tu
@kayikumazoya322
@kayikumazoya322 Ай бұрын
Chama ndio kawaumiza hehehe 😅😅😅
@MichaelPascal-v7b
@MichaelPascal-v7b Ай бұрын
Na hapo Bado hajaonekana uwanjani chama atawakera zaidi yanga oyeeeeerrr😊😅😮😢😂😊😊😊😊
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS Ай бұрын
Chama k mmoja tulikua na Samagoal
@SaidMkwabi-ho8yy
@SaidMkwabi-ho8yy Ай бұрын
Yani nyinyi wazee hamnazo kweli hivi mnataka kuipelekawapi hio yanga yani hii nishidasana
@EliyaKudaga-u4q
@EliyaKudaga-u4q Ай бұрын
Mzee magoma analake analolihutaji,,, Mimi naona Ili tim yetu iendelee kuwa ya moto,,, tuwaheshim wazee,, Kwanza wazee wazamani wanauwezo wa kuimalisha Tim na kuipoteza Tim kabisa,
@EliabuJoseph
@EliabuJoseph Ай бұрын
Hani hao wazee miaka mitano hakuna chchte kinachofanyika,leo mnaitaka timu...pumbavu wewe mzee huna akili na hakuna kitu utaifanya Yanga kwa sababu sio ya kwako ..........na uachane na Yanga ufe zako ukapumzike.
@JosephJohn-f6m
@JosephJohn-f6m Ай бұрын
Ao wazee watamkumbuka Engineer tuu tunasubili.Yani timu inakaa unyama ndo wanajitoa wanakela sana ao wazee
@elineswai2933
@elineswai2933 Ай бұрын
Hao ni wapinzan ,wanatumika tu
@AthumaniNgonyani
@AthumaniNgonyani Ай бұрын
Huyoo magoma mshezi kama ana chaaseme tumchagie iri arenawajumkuuwake hiyoni chaa tu tukateekatika wanachama
@SalumuHokololo
@SalumuHokololo Ай бұрын
Aowazee kweli wanaipenda yang
@MamuNasri
@MamuNasri Ай бұрын
Habaki ijinia hers
@laulorry6296
@laulorry6296 Ай бұрын
Safi sana viongozi wetu mungu awatangulie
@HamisMatembo
@HamisMatembo 27 күн бұрын
Tushilikiane kuipenda yanga
@AlexMbagata
@AlexMbagata Ай бұрын
Malengo yenye tamaa na chuki,husuda huwa hayafiki popote.
@salmamasokola6317
@salmamasokola6317 Ай бұрын
Huyo Magoma atakuwa katumwa, ashindwe na ALEGEE.
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Ай бұрын
Herssssss❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
@nantoamuli476
@nantoamuli476 Ай бұрын
Hao wametumwa kuharibu harakati za yanga za mafanikio mafanikio ni vita wavuliwe uana chama tusiwape nafasi
@FaustinEdward-dl4yz
@FaustinEdward-dl4yz Ай бұрын
Tokekeni yanga majizi wakubwa
@alfredkilawa478
@alfredkilawa478 Ай бұрын
Hersssss❤❤❤
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 Ай бұрын
Rais wetu haendi kokote tunaimani nae yeye magoma ndioandoke yeye Nani kwanza mashabiki wengi hatumjui asitualibie timuyetu mjinga mmojahuyo
@user-oh1kd3ns7r
@user-oh1kd3ns7r Ай бұрын
hawa wazee wasenge yani hawataki maendeleo ya timu kweli hawa ndo wachawi wakizamani wanafaa kufinywa hawa mmbwa koko
@mathiasmahenge6047
@mathiasmahenge6047 Ай бұрын
Mwanashseria anajichanganya sana ati kesi ya mwaka 2013, ukanjanja unanukia. Yawezekana waliidharau kesi na kilichotokea kimewashock wa matopeni
@JohnPM-235
@JohnPM-235 Ай бұрын
WATANZANIA MMEZIDI KUA WADAKU NAWAPENDA KIKI INAWEZEKANAJE THOSE SO CALLED WANASHELIA KUOMBA MDA KWENYE MAHAKAM ILEILE ILIOTOA HUKUMU KWANINI WASINGEKATA LUFAA MAHAKAMA ZA JUU ILIHAKI ITENDEKE
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p Ай бұрын
uyo mzee naona iziraeli uyooooo
@ibraramidu5253
@ibraramidu5253 Ай бұрын
Hizi ni mbinu za moooo kutuzohofisha
@leahelias5578
@leahelias5578 Ай бұрын
Mo kaingiaje hapo malizeni mambo yenu kama wazee mmewadhuru kwann wasilalamike
@abedysteven4930
@abedysteven4930 Ай бұрын
Ila bana wa2 cjui huw wanalala wanamka kuvuruga tu timu za wa2 wakaunde timu yao xaxa wawe wanacheza wenyewe ili wajiongoze na mandevu yao!!
@DavidGuvete
@DavidGuvete Ай бұрын
Hao wazee wametumwa waivuruge hiyo yanga
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Ай бұрын
Soma sheria wewe
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Ай бұрын
Mzee magoma yupo sahihi gongera sana
@user-mv5kv5fh7g
@user-mv5kv5fh7g Ай бұрын
Wazee wasenge xn dawayao kupigwa Tu na kufukuzwa wasixhabikie yanga maana mafuxadi Tu kuma zamanazao pumbavu xn
@AnordJoseph-e2e
@AnordJoseph-e2e Ай бұрын
Hivi mambo gani tena haya shetani gani ametuingilia jamani haya mazee ningekuwa mie ningeyalipua inamaana leo ndo yamejuwa uongozi hauko sawa au kuna mkono wamtu Hapa kuhusu CHAMA simba wameweka mkono ili tuvulugane
@AlexMbagata
@AlexMbagata Ай бұрын
Vile Kuna watu wanaojua Sheria watashindwa na kulegea.
@MathayoMlaya
@MathayoMlaya Ай бұрын
Unae sema injinia atoke wewe kwanza siyo shabiki wa yanga.acha bangi ukalale kwa mamako
@AgustinoBuhha
@AgustinoBuhha Ай бұрын
Huyu mzeeeee si.afe tu hata leo mchawi mkubwa sana
@YohanaMichael-q4g
@YohanaMichael-q4g Ай бұрын
Ambao tuko live. Tujuane
@ramphordkimaro6644
@ramphordkimaro6644 Ай бұрын
Kwa kweli haowazee wametukosea sana wanayanga
@FlorenceLyaruu
@FlorenceLyaruu Ай бұрын
Wana yanga wapo na heris ila Simba wapo na wazeee
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 Ай бұрын
hakuna wanasheria hapo kesi toka 2023
@harodphilipo8228
@harodphilipo8228 Ай бұрын
Hao wazee mikundu hatuwataki
@linnahcasmir5275
@linnahcasmir5275 Ай бұрын
Tena mikundu haswaaaa
@rachelsimon2876
@rachelsimon2876 Ай бұрын
Punguza hasira mimi pia yanga japo wanakera sana
@IdrisuMabuda
@IdrisuMabuda Ай бұрын
Mnawakosea heshima wazee nakuwatukana kosa lingine hilo hivi unaweza kumwambia babako ana njaa
@dollasmwanahoka8050
@dollasmwanahoka8050 Ай бұрын
Simba wewe fara chama tunae na trh 8 itafika mrete ha marojo yenu mriyoyaokoteza
@GodluckFednant-yy3tz
@GodluckFednant-yy3tz Ай бұрын
Ndo mpira huu bora mishabikie amapiano wazee washezi kabisa
@IsayaJohn-h1o
@IsayaJohn-h1o Ай бұрын
injinia bado tupo nae sana yanga wapizani mtapata tabu sana mda wetu uuu
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 Ай бұрын
Mti wenyewe matunda lazima upigwe mawe rais wetu hersi nimti na unamatunda kibao lazima upigwe mawe usiogope rais wetu hersi hao nawapumbavu tu wasiopenda maendeleo ya timuyetu Ila kingine unapofanyakazi vizuri changamoto lazima
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Ай бұрын
Kesi hii imesikilizwa lini hata kuhukumu hukumu kama hivi.
@dastanhaule9463
@dastanhaule9463 Ай бұрын
Waondoke ili mfurahii ??! Tabu ipo pale pale . Tumewajua mbinu zenu
@JacksonAsheri-vi8gh
@JacksonAsheri-vi8gh Ай бұрын
Wanaho penda hersi ahondoke gonga like
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 76 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 24 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 14 МЛН
Surah Al Fatihah (Ayat Kursi) Yasin,Ar Rahman,Al Waqiah,Al Mulk,Al Kahfi & 3 Quls By Saad Al Ghamdi
3:33:41
Ayat Al-Quran Live - آيات القرآن مباشر
Рет қаралды 1,7 МЛН
MWANASHERIA wa YANGA AFAFANUA UKWELI RAIS HERSI KUNG'OLEWA YANGA
13:35
Very Confident PLAYER Thinks She Can Intimidate 64-Year Old EFREN REYES
15:00
The Magician Efren Reyes
Рет қаралды 3,5 МЛН
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,9 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 76 МЛН