Lizer mtu mpole Sana sis tulikuwa tunajuwa niwakwetu Burundi zamani tulikuwa tunalalamika kwamba diamond katuiba producer ila tunakupenda Sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪🙏
@VannlyTembo6 ай бұрын
Much love from 🇨🇩 nipeni like zangu
@kristofuraha33696 ай бұрын
Tunakupenda sana mkuu!❤❤❤❤
@user-hs2yk4wv6o6 ай бұрын
Lesa best presenter
@user-bj6bs9do2f6 ай бұрын
Uyo Nimtoto Wa kigoma Mtaa Wa Regeza Mwendo Jilani Na Ujiji Gest Mtoto Wa. Mwalimu 🤣🤣🤣Laiza A.k. A Silaju
@hansperson10126 ай бұрын
Sema fanyeni mpango East Africa mtengeneze na muweke Dicoration bora studio yenu iwe kama wasafi na etv kwa sasa maana imekaa kizamani sana toka mwaka 2008 mpka sasa
@lyrics_forum6 ай бұрын
Lessa nadhani Anastahili kuwa Best Female Journalist in Tanzania 🇹🇿 🔥, Huyu Dada Anatangaza vizuri sana Nampenda sana aisee anafanya Kipindi kionekane Kipindi. Sema na Msafi hajakaa nae Kinyonge
@dudumankidume30466 ай бұрын
Laizer longtime tulikutana bujumbula nyakabiga ❤❤ much love brother
@allahisone63866 ай бұрын
EEWEEEEEH_🤔
@noelmarapachi18086 ай бұрын
Kwenye music ya Congo especially Rhumba, wanaotajwa wengi ni matajiri na unalipia kutajwa, na wengine wanalipa hela nyingi zaidi ili watungiwe nyimbo kabisa, ndiyo maana ukiangalia nyimbo kadhaa za Werrason, Koffi, JB Mpiana na wengineo utakuta jina la wimbo ni jina la mtu, na miongoni mwa watu wanaontajwa sana ni Didier Kinwani, Adam Mbombole, Robert Basende n.k.
@AmaniNangerembe6 ай бұрын
Ila mm namtaka uyo jurnalist wakike ni mrembo sn ❤❤
@jumafox-mu1dd6 ай бұрын
Much love sana piwa unajua sana huna mapepe kabsa Yani unaskilz yakutosha sana na huu mwaka ni wako kabsa planet bongo umeibeba wewe sasaiv
@SOS_VILLA6 ай бұрын
Comix lizer.... Best producer
@SurprisedAstrolabe-id9gc5 ай бұрын
Laiser ni murundi 100% sema alitambulishwa kama mtanzania kwa ajili ya kazi nzuri aneyemfanyia Boss Diamond
@Kulindwa6 ай бұрын
Harmonize kuondoka wcb ilikuwa jambo sahihi kwa amani yake, na matokeo yake ndio Kukua kwake huku
@BigZhumbe6 ай бұрын
Kukua ama kushuka? Harmonize kaenda na kiki za Kajala sasaivi kapoa balaa yeye na Vanny wote shimoni
@Kulindwa6 ай бұрын
@@BigZhumbe kiki ni mbinu ya kibiashara kujiweka sokoni kwa ajili ya kuuza bidhaa zako, konde akili kubwa, anayatumia maisha yake binafsi kumpa namna za kuzaa bidhaa na wakati huohuo anayatumia kimatangazo..its marketing strategy kwa wasomi wa masoko wanaelewa
@em_vee_josh6 ай бұрын
Ayo lizer❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@youngnacho6 ай бұрын
Natamani Sanaa broo Siku Moja Unichapie Ngoma Ata Moja Mdogo wako
@john_1trader6 ай бұрын
Laizer una akili saaana waadishi wanataka kugobanisha ila unajibu maswali vizuri
@israelnibigira49906 ай бұрын
We ndo producer number One hapo bongo
@bizomenyimanaelias54556 ай бұрын
Huyu jama mrundi tu mi namjua Rumonga kabla hajaenda kufanyiya kazi Bujumbura
@user-lz7xm8mc6w6 ай бұрын
Ongezeni maic Bhan mnapokezana vp
@Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi6 ай бұрын
Time harmonize mpo gonga like hapa bs
@kjb_user00776 ай бұрын
Sio time ni team
@Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi6 ай бұрын
@@kjb_user0077 nimekosea bhn ulimi hauna mfupa🤣
@ivankalisa94916 ай бұрын
Hhhhhg😂😂@@kjb_user0077
@JumaVanny-wb1te6 ай бұрын
Lizer one 🔥
@masoudgonje91676 ай бұрын
Watangazaji bana😅😅 Fanyeni research na mjipange kabla ya kuuliza. Yaani mtangazaji badala ya kumuuliza swali anajikuta anamuongelea tena huyo huyo anaemuhoji😂😂 Okay! Okay!
@Mo-Melody6 ай бұрын
Jamaa nimkali kinoma🎉❤
@RazakiMmalinda-rl3ej6 ай бұрын
Laizer Tisha xn🙌
@user-on2bj1pj1k6 ай бұрын
Chitaki ni sina ya mdeko
@yahayashuta96086 ай бұрын
Laiza mwongo sana
@user-ei4ls8pq4s6 ай бұрын
huo mtaala uko sawa
@smartproduction44873 ай бұрын
I'm also a music producer in this world i always believe in this guy if i haven't refer any of my products to is products i will never let it go out i have to make sure that i mix like him i wish to meet lizer one day shout out to you my bro you deserve honor and respect sir salut
@pc_boy4266 ай бұрын
Lizer prod number on(1)
@Mtazyinstrumental6 ай бұрын
Jaman mbona nandy kaimba beketu beketu bayembe
@trienette62246 ай бұрын
Eyoo laizaa❤❤🎉
@Official-bataboy6 ай бұрын
Tumechelewa kweli
@Officialsaria0016 ай бұрын
Fire
@witnaofficial6 ай бұрын
Hey , nipo Congo. Hivi huyu DiamOnd alipata wapi akili yakufanya Wcb? Pia hiyo maisha yake ya wimbo yake wa mbagala Mbona ili kuwa mbovu tu.alipata wapi hela😮😮😮
@BigZhumbe6 ай бұрын
Hela aliokota kwenye barabarani akawa star kimiujiza 😂
@Teacher_016 ай бұрын
NI mim nilimpatia kwa masharti..
@duke63185 ай бұрын
Wee mtanzania kwa taarifa yako. Mbona unatubeba malenge.
@duke63185 ай бұрын
Wee mtanzania kwa taarifa yako. Mbona unatubeba malenge.
@JoerntonAnthony5 ай бұрын
We umevuta bangi
@sulleymernmannarah79306 ай бұрын
Mbn mnamuuliz khuc Konde pkee jmn c Kuna Vanny boy au
@adozenaziz83626 ай бұрын
ayoo lizer
@thehonderis95606 ай бұрын
Interview fulani safiii Sana congratulations baba from 254🇰🇪👍👌
@niyongendakosamuel8586 ай бұрын
Si useme tuu ukweli kwani ukisema kwamba wew Ni murundi utapungukiwa nini kua proud na inchi yako bro
@afrodinova6 ай бұрын
Kwani amekwambia yeye ni mtu wa Burundi??
@PhyinaElias-mu4wf6 ай бұрын
@@afrodinova🤣🤣watu Wana shobo sana,,,Tz laizer wengi n wamasai
@allahisone63866 ай бұрын
EEEEEH HASA MOSHI & ARUSHA
@yahayashuta96086 ай бұрын
Mulizeni laiza kipindi anafanya mangoma Na big fizzo na Q boy ilikuwa lini na amekuwa namyaka ngapi😳
@kennymakunja4056 ай бұрын
Kaka lazizer ofice yako ipo wapi kwa hapa.dsm.nakupataje...?.. Tufanye kazi.
@Kulindwa6 ай бұрын
Konde boy yupo na uongozi unaojua sayansi na sanaa ya uzalishaji na masoko kwa afya ya bidhaa zake; wcb hawana elimu hiyo, hivyo alifanya maamuzi sahihi kuachana nao akiwa amejibeba zaidi kuliko kubebwa maana kwa miaka mitano ilikuwa agharamiwe nyimbo 15 kimkataba lakini aligharamiwa nyimbo 9 tu huku yeye mwenyewe akiwa amejigharamia nyimbo 50! Tafakari hapo!
@user-dn9ow7nd4m6 ай бұрын
Naqubal xana East Africa Fm
@noelmarapachi18086 ай бұрын
Ni kuishia darasa la VI na siyo la V
@nevers75616 ай бұрын
Wallah laiza mina mjuwa Rumonge akija kusafa aliteseka kwa kweli asa tulikua tunamsumbua mkumbusheni RUMONGE Burundi
@user-qd1no3cg4n6 ай бұрын
Angalia kipindi Cha hivi ni kweli Cha wasafi tv na Lizer anainfelea yote ya Rumonge mpaka kwenda Bujumbura na kukutana na diamond
@nevers75616 ай бұрын
Anapajuwa Rumonge uyo muuulize
@allahisone63866 ай бұрын
🎉🎉🔥
@Mtazyinstrumental6 ай бұрын
Laizer atak kuitwa itwa kama we zombi we laizer
@BigZhumbe6 ай бұрын
Huyo signature yake ni Ayo Laaaizer
@mwananganzi6 ай бұрын
Lizer
@user-ki5cq5do1v6 ай бұрын
Simba
@ndayijeanclaude50946 ай бұрын
Huyo Dada ameolewa au bado?? Mbona nimewaza kumuvisha pete??
@allahisone63866 ай бұрын
😅😅
@ndayijeanclaude50946 ай бұрын
Ngoma nyingine zilibaki huko na boss wako anazitoa kama zake
@BigZhumbe6 ай бұрын
Unavyojidanganya? Mmakonde aibiwe wimbo asiongee na anavyopenda kiki