S2KIZZY,- "Yeyote anaepingana na Mimi Aje na Fact sitaki Porojo zenu"
Пікірлер: 193
@samiusiraj45872 ай бұрын
Producer ndo mtu wa kwanza kwenye music tumpe heshima yake bwana
@BizeddOfficial2 ай бұрын
Na wewe fungua studio sasa
@BigZhumbe2 ай бұрын
Tunasema We Zhombie Haujui ila tuna-maanisha anajua sana 🔥🔥🔥🔥🔥
@HerryHassan-sn1fhАй бұрын
Jaman mwenye sifa yake mpen t maana anapamban sn na kweli watamroga awe makin t mtu wetu
@Jamestar0012 ай бұрын
S2kizzy RESPECT YOU HOMEBOY,unajua kaka, ndomaana unaongea kwa comfidence, ❤🎉
@estonsmart3 ай бұрын
Anaepinga apinge kwa hoja zenye ushahidi wa namba sio maneno maneno, Tisha sana Zombie 🔥🔥
@hatib89572 ай бұрын
Emu tuacheni majungu s2kizz anajua kwanini hatupendi kumpa mtu haki yake S2KIZZ ANAJUA
@dizzy_the_dax2 ай бұрын
S2kizzy gat his own unique beat and sound
@seamlesshunt38693 ай бұрын
Zoooombie 🔥🔥🔥 Numbers don’t lie. imeisha iyo
@edwardkongo4103 ай бұрын
Dogo S2kizy ni mkali sanaaa
@Arrestgptucomedy2 ай бұрын
Heshima yeke tumpe...beat ndio ua inasukuma ngoma 🇺🇲
@ottiefx2552 ай бұрын
Hkn ubishi apo s2kizy yupo creative sana
@gospelnetworktz54502 ай бұрын
Ila jamani acha aseme mtu kutafuta Jina anasugua sana acha aseme bwana anajua jamaa Sana na acha aongee kwa kujiamini ukiwa chini wanadamu hawakupi saport acha jamaa acheze jukwaa lake
@frankmichael19683 ай бұрын
Yogo on the beat 💓
@samchris19142 ай бұрын
Zombie ile ngoma ya Vanessa Mdee ft Joh makini na Cassper 🔥🔥
@hatib89572 ай бұрын
Mimi naamini kua wanamsema s2kizz kwa ubaya ni kwamba wanatamani kua kama yeye ila hawa uwezo maana hawajuwi na hawataki kujua
@swaxinno_ngwa31562 ай бұрын
Nakubali Kaka 👏👏👏👏we zombie
@Official-bataboy3 ай бұрын
Asa mnapinga nini @2kizzy yupo vizuri wakuu
@nancyg86643 ай бұрын
😂et ntakua jini jaman we kaka
@user-nq4md3sj6d3 ай бұрын
anaongea fact 100%, ukiangalia kwa STATISTICS yupo sahihi na hio haina ubishi, kwa anaepinga alete DATA zake.. ZOMBIE ni genious 🔥
@ramseychobaliko10023 ай бұрын
Sasa anajua ndio lakin ajue anamalizia walipoanzia wengine hawez kuwa 🐐 GOAT wapo akina p-funk majani master j mika mwamba ndo wamefanya mziki upo hapa kwaiyo awe na adabu
@user-nq4md3sj6d3 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002 unashindwa kuelewa, yeye anasema ndio Producer wa kwanza kuwa namba kubwa ya hits song zinazofanya vizuri nje, na ndio producer alie kwenye nominise kubwa na nyingi nje mfano wa Grammy, ndio producer mwenye na ngoma nyingi za wasanii wa nje ya bongo, na ndio mana anasema yy ni BEST, sasa kama yupo mwenye vigezo hivyo aje na FACT na STATISTICS, je yupo?? ukiangalia hayupo.. UMEELEWA??
@user-nq4md3sj6d3 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002 sasa wabongo kusikia au kuambiwa ukweli ndio shida, na wala sio kuwavunjia heshima ila ndio ukweli
@Jonathanmakhubela-kb6lz2 ай бұрын
S2kizz is the best producer in his career zooming east africa at this era stop acting with hate and saying diamond is taking him at some levels, u tanzanians are supposed to give the guy his flowers
@ellietitus65282 ай бұрын
Wewe unaejua na hubebwi na wasanii uko wapiii?4
@Jonathanmakhubela-kb6lz2 ай бұрын
@@ellietitus6528 ♋♋😒
@Jonathanmakhubela-kb6lz2 ай бұрын
@@ellietitus6528 beleive what u beleive thats all
@SalumMsafiri202 ай бұрын
Respect you brother🏋️♂️
@SamsonSony-yc3iz2 ай бұрын
Msanii bila beat hamna kitu kwa huyu jamaa mkali
@Heiskmb2 ай бұрын
Unyama sana kaka mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉
@KarimuYusuph2 ай бұрын
Mbona umetoboa pua vip mwenzetu sio rijali nin muogope mungu dogo jua kunakufa
@sonitekog6041Ай бұрын
We mwenye hujatoboa,,hautakufa?
@DM_153 ай бұрын
Best producer kiukweli mdundo ndiounatambulisha mziki mkali huwezi sikiliza mziki kwa vijisauti sauti tuu
@OgegeMasanga2 ай бұрын
nakubali sna ZOMBIEEEE💗💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
@tgwan3 ай бұрын
oya Traxx Haya Mambo Yataleta Shida 🥶📌🛠
@jamilaathumani548128 күн бұрын
Icho ni kibri.njoo nikupe hit..ummpe hit wewe mungu...wewe unatembelea upepo wa wasanii huna lolote... Daimond ndo amekuambukiza upepo wake..mungu ndo Kila kitu..acha kibri wewe
@mkadinali_ent.3 ай бұрын
You always deliver man ,you deserve it
@MaigeMitenenkoАй бұрын
Nazierewa Sanaa Hit zako
@kalmaarufuofficial742 ай бұрын
Wazokubwa 🔥💯 haujui
@ErickstarGabriel2 ай бұрын
Noma sana mwenyewe nakubali nataman siku tukae chin tufanye kaz
@RabunaHuseni2 ай бұрын
Nakukubari mzee zombie unajua sana mzee wala haukoseiii mzee mungu bress you mziki wako kaka mimi nipo South Africa 🇿🇦 solute Johannesburg
@BizeddOfficial2 ай бұрын
Sauth africa ya mashambani unalima.
@vanchillahvanchillah76912 ай бұрын
Unajua sana kaka viba kaka
@zachariafelician86283 ай бұрын
Dogo unaongea sana dah!!yan mpaka unataka ku-takeover broadcaster
@yoramswagala67152 ай бұрын
Laizer ni baba Ako wa mziki
@hot2music2 ай бұрын
Beat mbona tume mkopi ya hiyo na ime toka zaid
@kiatu2 ай бұрын
Ila nawaomba sana “producers” wajiingize katika biashara ya kuanzisha companies za label. Sababu ni kwamba kwanza wamefikia kiwango cha kuwa mtaji na pia wanaweza ku partner na investors wengine. Hapo naamini underground wengine wata break even. Hizi label za Wasanii zina conflict of interest. Music label ikiwa producer kama S2K ita make a lot of money kutoka kwa wasanii ambao ni wazuri sana lakini wapo wapo tu.
@sadayosiame87983 ай бұрын
Anaachaje kujisifia wakati uyu mnyakyusa ndoo walivo
@MAF3573 ай бұрын
bro unajua
@SolomonMakombe2 ай бұрын
Afanye na Mimi hardcore rap...ila sio uongo dogo mkali SIJAWAHI kumpinga kila kaz....kama alizofanya na Nyandu midundo mikali
@zerochanneltanzania37972 ай бұрын
Be civil and respectful 😂😂😂😂
@user-gs9mt1vp7i3 ай бұрын
Kama ni rahisi copy paste na ww tukuone,mtu kafanya vzur tumpongeze na ana kila haki ya kujisifu maana Afrika wivu mpaka ufe ndo wakusifie
@raphaelmagayane47333 ай бұрын
Dude spk wth conf n hypr bt u shld gv thanx to God
@jomeshastudio70462 ай бұрын
Acha kujicfu kipapa cha woote ww kuna wanaojua zaid yako pumb ila ndio hvy mnahinga hela wanapotea kisa mnaogopa kupitwaa kuuuuma ww ya babuuu yakooo
@MaigeMitenenkoАй бұрын
Wee e!!!! Zombie unatisha achana na mambwera
@IvanBenjamin-fy9lg3 ай бұрын
Yup sahihi he deserve mzee
@user-me7uq3gt6w3 ай бұрын
laiza mnamjua lkn
@Ostica..Omie..junior3 ай бұрын
S2kzy ni beat maker sio music producer ambae ni full package..🤞
@DanielLaurent-pl4rg2 ай бұрын
+254 Kodi Namba CHORODO #Dan B Wansagen Moshi Kama Mbele 001 Mbalali
P-Funk Majani ndio wa kwanza Tz nzima.....wacha kwere ww...
@WeremaMwiseАй бұрын
we n zombie kwel haipingwiiiiiiiiiii
@mkadinali_ent.3 ай бұрын
Bro don't ever say that you're here to stay ,just dig out scott scorchy story he was the best dr dre time back then
@AnthonySindabaha-de3xb3 ай бұрын
Anaitwa Scott storch producer mbaya sana. Yeye ndie aliegonga you ain't know ya lil weezy
@spicechronicles773 ай бұрын
jamn jaman bongo raha sana
@BizeddOfficial2 ай бұрын
Hivi haka ka dogo kanajielewa kweli? Kezii ka bit za watu
@CLB7172 ай бұрын
Be humble mzee
@user-cl4dx3kc6k2 ай бұрын
Weee!!! Zombiiiii!!!
@OlafLondon-mb6cr2 ай бұрын
Sanaa zombiee we noma .wengine wivu tuu
@PhinaGodifreyАй бұрын
Haipigwiiiiii zombieeee
@KaloxyCharles3 ай бұрын
Zombie shetan🎉
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k3 ай бұрын
Unajiamini sana ila acha kujisifu sana
@ngadumbishi14053 ай бұрын
Ana Haki ya kujisifu sababu kazi anafanya kweli na inaleta matokeo mazuri kwake kama wasanii wanajisifia na hamjawai kuwaambia waache kujisifia kwann yeye mna crush mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na msingi broh
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k3 ай бұрын
@@ngadumbishi1405 elewa nilichomahanisha kama ni hela na mm ninazo mdog wngu ila kujisifu sn so vzr ujue hiv bhn
@ngadumbishi14053 ай бұрын
Ww hela huna nawe mjomba anajisifu mo 😂😂@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Brian_J173 ай бұрын
Ukiendelea hivi utakua mchawi
@Brian_J173 ай бұрын
Ukiendelea hivi utakua mchawi
@nicholausmwinuka76403 ай бұрын
Ulivo mtaja country ndo umenikosha
@rashidomar15582 ай бұрын
Kujisifu tu .....hodar hajisifu.
@ChoroTesla3 ай бұрын
s2kizzzy zimakulipa au ndo ulipewa hennessy na mademu tu.. manake nasikia mnafanyaga kazi bure
@djhajiztz3 ай бұрын
haujui
@nancyg86643 ай бұрын
We zombi
@lukasmnyethi59033 ай бұрын
Shida best zako nyingi ni mapiano tupu piga midundo ya asili yetu
@selectorzedon2553 ай бұрын
Dem kauliza swali kiufundi sana
@livinswai92912 ай бұрын
Kwanini mtu akifanya vizuri asipewe maua yake? Kila mtu ana wakati wake s2kiz ni tym yake no matter anafanya na wasanii wakubwa... kwanini hao wasanii wakubwa wamtafute s2kiz ni kwasababu wanamkubali,maproducer wengine wanafanya poa lkn is time for zombie
@dkensmopainvevo36833 ай бұрын
Kuna ukweli ndani yake😂
@jomeshastudio70462 ай бұрын
We ni mkuuundu2 huna lolooteee
@nikkimbishiunju24023 ай бұрын
Si upo na Diamond,ondoka Wasafi tuone!
@MikeFuraha-rw6dr3 ай бұрын
Hyupo Wasafi
@LizenMaker3 ай бұрын
Nooma
@Prod_dangerflyt2 ай бұрын
Huyo ana STUDIO YAKE MONDI NDIO ANAENDAGA
@SadamIsmail-vx2zc2 ай бұрын
Zombie ni gini we ubishe au useme ajuhi ninani kila msanii anataja zombie diamond zombie mario zombie whozuh zombie zuchu zombie kisa msanii zombie we upinge nani ata kuimba aujuh useme zombie ajuh acha ufala ww
@Tdot41012 ай бұрын
Zombie ni top dog
@iampacifique73613 ай бұрын
Producer mwizi tuu. He should stop stealing from upcoming artist
@losekumelita2 ай бұрын
Apana kiukweli uyu jamaa Ako vzur
@mtazycomedy3 ай бұрын
Songa kweli arud mjin
@milley71853 ай бұрын
S2kizzy kipini je
@BurnaBoe-lo7oq3 ай бұрын
Sikupingi s2kizzy
@MERVABOYMUSIC2 ай бұрын
Mkali nawala musilete shobo
@nyandichearts3 ай бұрын
Kiuje huyo setu chiziiiiiii
@frankngoloka25893 ай бұрын
Anaongea ukweli sio anajisifu
@user-il6rm7cj1g3 ай бұрын
Tangu laiza aache kuproduce asirimia fran wasani wcb nikama wanabahatisha bahatisha nyimbo sio kali kama wakati ule ila pambaneni
@OfficialMutrah3 ай бұрын
Mbona laiza tangia atoke wcb hasikiki kama alikua ni mkali Laiza wcb ndo ilikua inambeba afu kumbuka s2kizy so wcb
sema mwanetu unamcopy sana b12 vile una sound..rudi vile vile ulivyokuwa mwanzo mr presenter
@jajoherculesTV2 ай бұрын
WE ZOMBIE UNAJUA
@ErickstarGabriel2 ай бұрын
Na ss mtupe mchongo jaman
@user-un2hm6my5x3 ай бұрын
Fact
@matugarecords3 ай бұрын
Mwamba unajua acha waseme tu ila unastahili pongezi
@WizKidkazola23 күн бұрын
Zombii
@user-me7uq3gt6w3 ай бұрын
huyu muongo anesahau ngoma zake lazima akague laiza na amalizie huy mwehu
@user-vz4xj2ci2w2 ай бұрын
LAIZA NI MZURI KWENYE MIXING NDO MAANA ANKUWA KAMA MIXING KILLER KWENYE BEATZ ZA HABAH
@erickaman65832 ай бұрын
Kuwa naishima bro ila wakwanza niwakwanza tu uwezi gonga Kwa p
@KanalIdrissah-dh5hj3 ай бұрын
Nishasema kugonga beats za midundiko ndo kuwa producer mkali? Haujui hata unachokiongea katulie dogo ww Bado sana
@royalbeatz2882 ай бұрын
Mi sipingani na wewe ila im gonna beat you on music making just belive the process #FACT
@producerdrannoh2 ай бұрын
S2KIZZY ameingiza kiburi.diamond akimtema itakuwa noma.but really he's good
@chusseboywcb28082 ай бұрын
Paka diamond kumfata jua huyo anamadini
@JoismanDady3 ай бұрын
We zombie haujui na mie mkaangalie video yangu jamani inaitwa enjoy😂😂
@Suleiman993 ай бұрын
Abbah anakukalisha
@bmtbeatz9202 ай бұрын
Acheni ushamba wakujisifia sana,,Amapiano ishafulia sijui mtajitamba na nini sasa kuweni humble beats zenywe ni makelele na kuimba ujinga huo mzk huwa haudumu so be humble.,,Pride is the devil 😝
@BigZhumbe2 ай бұрын
Kwani kuna producer mwengine Tanzania anamzidi Zhombie kwa kutengeneza hit songs style yoyote.
@bmtbeatz9202 ай бұрын
@@BigZhumbe huyo ni kibaraka huwezi kuwa master wa style zote utakuwa ni ulimbuken trap yenyewe hajui anapiga 808 za mwaka wa 2000 alfu huku ndo mnasema hit songs 😅
@BigZhumbe2 ай бұрын
@@bmtbeatz920 Kumbe ni mtazamo wako kuwa mtu hawezi kuwa master wa style zote 🤣🤣🤣 Trap hio aliyopiga akaharibu ni ipi?