MAAJABU ALIYE IBIWA NG'OMBE 70 WEZI WAPATIKANA/NABII KIBOKO YA WACHAWI HAKIKA NIKIBOKO YAO
Пікірлер: 336
@DenisCasey-kh8ub
Ndugu zangu mbona munamacho lakini amuoni namuna masikio lakini amusikii Eee, Yesu Kristo tujalie tuweze wafuasi wako
@mazoyajr.59707 сағат бұрын
Ila hii dunia ina WAPUMBAVU wengi sana aiseee!! Kuna watu wanaabudu hapa na Amina wanaitikia kabisa!
@kilogreekachananawatuwasio4054
Mbona watu wanamjua huyu Aliyoibiwa Ana Ata kifalanga cha kuku Utapeli wa mitandao 😂😂😂
@fredmbossa-kc3qn
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa 😭😭😭😭
@demanyoxalex
Hakikaaa wewe Ni kiboko
@adoniemanuel908
kuna baazi ya kemiko ukichanganya pamoja moto unawaka acheni uwongo sio kwamba mungu hawezi kuwasha moto sio huoo uwoo wakutengeneza
@SaidMkome7 сағат бұрын
Wajinga ndyo waliwao
@samwelmatemu8873
Malaya wa kiokongo hakuna Mungu wa hivyo danganya wajinga weza mko
@muzafarsharif94657 сағат бұрын
kumbe bongo pia kuna wajinga nilijua ni kwetu kenya tu😂😂
@user-hn2wf6zb1t
Baba naitwa Agnes Anthony naomba unifungue katika maisha yangu na ndug zangu napata shida sana naomba baba unisaidie
@user-oq7rl7rd6n
Anae tusi mchawi baba uko vizuri sana wafe hao imeandikwa usiache mchawi aishi
@sautiyamunguduniani4620
Imani hizi batili tuspokuwa makini tuangamia MUNGU wangu wa mbinguni ☝️
@niyiesther6571
Ameeen. Na Mimi alieina vyangubkatika ulimwengu wa roho arudishe. Maisha ninaishi sisi yangu. Niko Burundi. Na uimbaji wangu hauendi fasi Mimi na familia yangu. Umaskini ni mwingi
@iddyissa8110
Yaniii hizo setting ata mtoto mdogo haaa ayamatatizo ya wanadam 😂😂😂 mungu atuhurumie tu 😅😅😅 nimecheka mie
@evansokemwa6587
kutengenesha kipindi nyie pastor waongo mbele ya kiama mtajibu😢😢
@richmwaij3368
Jihadhalini na manabii wa uongo wengi watakuja kwa jinalangu na kusema mimi nikristo watanganya wengi sana watafanya miujiza ya uongo, kuweni makini ndugu zangu unabii wa yesu kristo mwana wa Mungu wa pekee umetumia naiangamie kwa kukosa maalifa
@pambanassoro
Amen amen mtumishi tengeneza maisha yetu maana tumekuwa katika kipindi kigumu juu ya Dunia hii amen mungu akuinue sana
@SstanMbalazi
GOD LET YOU TO HELP THE WORLD
@user-pk2lq6bf8l
Amen baba 🙏
@SalmaYusuph-jb1sx
Bwana yesu asifiwe baba nabii nakufatilia sana naomba nisaidie niongezewe mshahala npo Oman nafanya Kaz mwez huu niongezewe mshahala