BABA AMTOA KAFALA MTOTO WAKE/MAMA AMTAKA MWANAE ARUDISHWE

  Рет қаралды 93,971

PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI

PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI

8 ай бұрын

BABA AMTOA KAFALA MTOTO WAKE/MAMA AMTAKA MWANAE ARUDISHWE

Пікірлер: 289
@SuperRamso
@SuperRamso Ай бұрын
Naitwa mama dan. Baba mwanangu toka azaliwe anajikolea na anatumikishwa kichaw. naomba nisaidie baba .
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 5 ай бұрын
Halooooo, hizi huduma ni ngumu sana, wamama hatunaga akili kabisa, nyie wenye akili mnisahee , huku unabii utaondoka na wamama wengi sana .
@HamisiSimon
@HamisiSimon Ай бұрын
Nikopamoja nawewe
@ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH
@ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH 8 күн бұрын
Mungu, tulehemu na hiki kizazi cha injili, kizazi hatari sana kizazi cha nyoka na utapeli.
@SylvestreNdayishimiye-fc6zp
@SylvestreNdayishimiye-fc6zp 15 күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Mtumishi wa Mungu naomba kuombewa mimi pamoja na familiya yangu. Tumefungiwa milango imefungwa. Naomba kufunguliwa.
@loycepaulo1946
@loycepaulo1946 3 күн бұрын
Nabii rejesha uchumi wangu nyota yangu nipate kazi naitwa loyce nipo dodoma naomba unisaidie baba
@felisterandrew8418
@felisterandrew8418 3 ай бұрын
Kwan kwa waganaga . Tumeenda sana lkn kwn ht km cyo nguvu za mungu kuna nn ili mradi tu natatua shida zangu kuna shda gan
@loycepaulo1946
@loycepaulo1946 3 күн бұрын
Ninakataa roho ya umasikini ninaomba unisaidie maisha yangu magumu sana mpaka bac nitabitie naitwa loyce nipo dodoma
@LevinaModesti
@LevinaModesti 3 күн бұрын
Wanaompinga mtumishi wa Mungu ni wachawi wanatapatapa wachawi imekula kwenuuu
@AnaMauricioPatricio
@AnaMauricioPatricio 3 күн бұрын
Amém 🙏🇲🇿 napokea Mimi Ana😊
@HappyMshana
@HappyMshana 2 күн бұрын
Naitwa happy wa Arusha naomba unisaidie sina maelewano na baba wa mtoto wangu nasijui shida ni nini
@HappyMshana
@HappyMshana 2 күн бұрын
Mtumishi naomba unisaidie mim na baba wa mtoto wangu hatuna maelewano kabisa jamn nasijui shida nikitu gani
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 5 ай бұрын
Mchungaji ananja nakupenda sana. Mungu akubariki, maana ujinga kama hii kwako hamnaga.
@DaudiMwangati-id1tk
@DaudiMwangati-id1tk 2 ай бұрын
Naomba mtumishi kiboko wawachawi naamini nabii uniombee na mimi uchumi nimbaya nazalauliwa kwa maisha uniombee Mungu wamadhabahu hii namwamini amen.
@HappyMubiligi-hq9uv
@HappyMubiligi-hq9uv 7 ай бұрын
Naitwa happy matheo. Baba nisaidie sipat siku zangu za hedhi na mtoto pia. Nabii tabili juu yangu
@AwaziRajab
@AwaziRajab 6 ай бұрын
Nimefiwa Na Mwanangu Kama Wiki Mbili Zilizopta Kama Kama Apo2 Unajua Mpango Huo Umepangwa Akuna Mke Na Mme Apo Wangetaja Maeneo Wanatoka Walio Na Ujilani Nao Wakometi Ukweli Wao Tunaweza Kuletewa Wakongo Wakenya Kutoa Ushuhuda Feki Bila Kujua Wawe Wanasema Wazaliwa Wawapi Kijiji Mtaa Mpaka Wajumbe Wa Nyumba Kumi
@EvaMussa-xi7vh
@EvaMussa-xi7vh 7 ай бұрын
nabarikiwa sana baba mungu azidi kukupa maisha marefu
@obedisiarangiriki8142
@obedisiarangiriki8142 8 ай бұрын
Mungu anaweza, nafurahi sana Mungu huyu mtenda miujiza kupitia nabii huyu
@papaamishael4115
@papaamishael4115 8 ай бұрын
Naitwa Mishael . ninatatizo la kiuchimi napanda na kushuka sjajuwa tatizo Nini mtumishi...
@AsteriaJoseph
@AsteriaJoseph 28 күн бұрын
Mtumishi wamungu naomba unisaindie mama yang anaumwa miguu kam fagasi mchungaji m naitwa asteria pia naomb uniombee baba nipate mwanaume wakunioa mim mchungj naomb unisaindie naomba
@BenadethaJoshua-nn4zy
@BenadethaJoshua-nn4zy 2 ай бұрын
Baba kiboko ya wachawi Nina Imani na wewe Mimi naitwa Joshua amani maisha yangu ni magumu sana nafanya kazi lakini naishi katika madeni naomba unisaidie baba
@ReginaMushi-gp3ct
@ReginaMushi-gp3ct 3 ай бұрын
NaoMba nikafanikiwee katka maisha yanguu fireeeeee katkaa jinaa la yesuuuuuuu fireeeee watuu ambaoo siyo sahihi kwanguu naombaa waondokeee kwa jinaa la yesuuu
@user-rk6zq7hz5z
@user-rk6zq7hz5z 4 ай бұрын
Naitwa James maisha yangu yamekua magumu sana Baba sipati kazi wala biashara miguu na mikono inawasha tu.
@dorophinadeus9203
@dorophinadeus9203 3 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,naomba Mungu anisaidie mume wangu apone
@user-is3nr5di5q
@user-is3nr5di5q 6 ай бұрын
Naomba uniombee!nikue kiuchum mim na familia yangu,pia umponye mama yangu na miguu
@user-kc6og5lm1v
@user-kc6og5lm1v 4 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe na huduma
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw 6 ай бұрын
Nina ndugu yangu mwaka wa tano amefaliki lakini mbaka Leo tunamuota anasema yeye yupo ajafa da inaniumiza sana
@JasmineMushi-bs8pm
@JasmineMushi-bs8pm 7 ай бұрын
Umeniguza sana nimesisimka mwili mzima yaana mimi napitia magumu naomba maombi yako baba
@benardbemerengwe9332
@benardbemerengwe9332 4 ай бұрын
Amina pastor
@user-ys8hi7iy5j
@user-ys8hi7iy5j Ай бұрын
Yani nyie watu nawa ones huruma Sana hizi ninyakati zamwisho jamani shitukeni tunaishi kwaneema ya mungutu nabas Kama nikweli huyo mtoto afufuliwe Basi
@KhadijaMachale
@KhadijaMachale 2 ай бұрын
Nabii naomba ukateminyororo katika maisha yangu
@happynesskimango184
@happynesskimango184 Ай бұрын
Nabii naomba uniombee mimi naitwa happy hojes tangu nijifungue naumwa umwa sana nyonga na miguu
@MatildaaFrancis-wf9qm
@MatildaaFrancis-wf9qm 8 ай бұрын
Baba shalom me naitwa gerald mahamud salum baba nateseka baba maisha ang hayana mbele wala nyuma nimekuwa mtu wa kuangika baba ang naomba nisaidie baba
@wilfredmatoke9922
@wilfredmatoke9922 3 күн бұрын
Nabiii wa wachawi niombee kufanikiwa na milango iliofungwa na wachawi ifunguliwe
@NyiranezaWarda-bk1yn
@NyiranezaWarda-bk1yn 2 ай бұрын
Amen amen God bless you 🥰🥰🥰💯🙏
@GroryJumaa
@GroryJumaa 3 ай бұрын
Ivi wanadam sijui mkoje mnadai nabii wa uongo taften wa kwen.wakweli kuamini kwako ndiyo kupona mbona yesu alimpaka kipofu matope kwenye macho na akaona naitwa grory nipo mombasa dar es salam
@getrudaadrian8558
@getrudaadrian8558 6 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU,lakini huyo ungemwambia aokoke aje kwa YESU aache kabisa aunguze vitu vyote vibaya ,pengine anaweza acha akimjua YESU kuja kwakwe kanisani hapo ndyo kupona kwake, aokoke huyo mzee mali atapata kwa YESU
@VannyThomas
@VannyThomas 2 ай бұрын
Shalom mtumishi na omba uni ombee maisha yangu ni magumu pia Sina kaz
@neemajuma1015
@neemajuma1015 2 ай бұрын
Naitwa Neena juma Baba nisaidie madeni yanga yaishe chap Nariman yanaisha ameen
@user-py3ks2ft1i
@user-py3ks2ft1i 4 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@wilfredmatoke9922
@wilfredmatoke9922 3 күн бұрын
Kiboko ya wachawi muombee mama watoto apate Kasi ya kusafiri nch xa nche
@emmanuelbayda4640
@emmanuelbayda4640 4 ай бұрын
Ramli chonganishii hakuna cha Roho waMungu full comedian kama ni mimi hii kanisa ni ya kufungaaaaaaaaaa
@ShangweNgiroliti
@ShangweNgiroliti Ай бұрын
Inaitwa shangwe baba nipoo Arusha Naomba utabiri neno baba juu ya familia yangu
@selinajacob-zk4cm
@selinajacob-zk4cm 3 ай бұрын
Naitwa Selina Jacob Nduru Amina mtumishi
@user-ec5gz9lb3d
@user-ec5gz9lb3d 5 ай бұрын
Naomba uniombee kazi ziende vizuri
@user-xk3ue8yi3s
@user-xk3ue8yi3s Ай бұрын
Aslm naomba namimi unisaidie kweli mtumìshi wa mungu niko mbali
@eliaezlom
@eliaezlom Ай бұрын
Wamejivika vazi la kondoo..kumbe ndani nimbwa mwitu...sikuzamwisho manabii wa uongo watakuwa wengi..tuwe makini wapendwa
@MatildaaFrancis-wf9qm
@MatildaaFrancis-wf9qm 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@user-iv6lt4zi1j
@user-iv6lt4zi1j Ай бұрын
Nabii niponye na magojwa ndani ya familia yangu pia utukinge na wabaya woote
@emmanueltuppa5459
@emmanueltuppa5459 8 ай бұрын
Umri wa mwanao huujui unasema ni kama miaka 12 yani huna uhakika, tena we ndie ulie mzaa yani mwanamke hasahaugi umri wa mtoto tena mtoto ni mmoja wangekua zaidi ya mmoja je?mmmh mapichapicha yapo MUNGU ATUSAIDIE SANA WANADAMU WA KIZAZI HIKI
@victoriajasson917
@victoriajasson917 7 ай бұрын
Yani wamama wanao sahau kuhusu kuzaliwa kwa watoto wao ni wengi Sana. Mm dada yangu ni msomi Sana tu ila linapofika suala la huko ofisini kwao wakihitaji data za watoto hajawai kumbuka lazima tu atatuuliza
@user-he4wv9uo6i
@user-he4wv9uo6i 8 ай бұрын
Mungu atusaidie
@anithamsery1720
@anithamsery1720 6 ай бұрын
Kweliu mungu akubarik San baba
@MAYAMIKOIMON-bo7qp
@MAYAMIKOIMON-bo7qp 2 ай бұрын
Baba asante sana niko kwa radio baba nasubilia huduma yako baba niongee naw
@annastaziakalula1475
@annastaziakalula1475 4 ай бұрын
Nabarikiwa na mahubiri yako baba!ninaomba unifungue na maumivu ya miguu
@VeronicaNgasama
@VeronicaNgasama Ай бұрын
Kiboko ya wachawi nisaidie nilisingiziwa kes Kam nmeiba hela laki saba Mwaka 2019 mm nakataa Mpaka Leo sijaiba Baba nisaidie mm jmn Huyu bos popote alipo anitafte arudishe Pesa aliyodai nmeiiba na akanilaza kituon Siku 2
@MeshakShedrack
@MeshakShedrack 2 ай бұрын
Kiboko ya wachawi niombee nipate pesa kila siku na wachawi wote wafe amina
@user-wn5eb5ms9r
@user-wn5eb5ms9r 7 ай бұрын
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
@SamwelJoseph-px6tc
@SamwelJoseph-px6tc 3 ай бұрын
NAOMBA MAOMBI JUU YA ELIMU YANGU YA CHUO NKAFANIKIWE KATIKA IMANI...AMEN🙏
@user-rk6zq7hz5z
@user-rk6zq7hz5z 4 ай бұрын
Naitwa James massawe nifungue maisha yangu nabii
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 6 ай бұрын
Hakuna kitu huyu mshenzi huyu tapeli mkubwa huyu
@JuliasLukumay-dr6un
@JuliasLukumay-dr6un 2 ай бұрын
Amina🙏
@suzan4712
@suzan4712 2 ай бұрын
Shalom shalom apostle Dominic plse niombe maana nateseka na muguuwakuliya unanisumbuwa kwa myaka nyingi nipohapa Dubai bt I'm from Malawi plse help mi ma pastor
@innoprince3832
@innoprince3832 Ай бұрын
Naitwa innocent,niko mbinga ruvuma.Nahangaika sana lkn sifanikiwi,na nimejaribu kuona wanawake wa2 naishia kugombana tyuu na wanaondoka wenyewe... naomba nijui shida nn?
@sharifahood8734
@sharifahood8734 Ай бұрын
nabii niombee napata shida nna kitu cha ajabu mwilini sitaki wanaume
@user-sr8il3um5g
@user-sr8il3um5g 2 ай бұрын
Shalom Nabii,nitabirie
@FatumaNyabange
@FatumaNyabange Ай бұрын
Naitwa fatuma, ninasumbuliwa na majini wa kutupiwa huu ni mwaka wa Saba sasa, naomba uniombee baba.
@eliaikangui6543
@eliaikangui6543 6 ай бұрын
Naomba nyumba za wanangu zirudishwe mikononi mwao kwa jina la Yesu Kristo Aliye Hai
@faithndanu9546
@faithndanu9546 5 ай бұрын
Bibilia inasema ,siku za mwisho kutakuwa na wahubiri wa uwongo na na wataponya na kufanya miujiza wakilitumia jina la Yesu,Tuweni makini
@rosemarykimath9337
@rosemarykimath9337 2 ай бұрын
Hayajakukuta ww ndo maana unaongea hvyo mganga unamwamini lkn mtumishi wa Mungu humwamini
@StelaKomugisha-cb3zb
@StelaKomugisha-cb3zb 2 ай бұрын
Naomba umkomboe mama yangu SECILIA yupo KIGOMA
@MamaKayolo
@MamaKayolo 2 ай бұрын
Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani
@ThadeusFrida
@ThadeusFrida 2 ай бұрын
Naomba unisaidie wazazi wangu wanakunywa Sana pombe na kaka zangu
@masindikizingi
@masindikizingi Ай бұрын
Naitwa masinde niombee baba na ubarikiwe kwa huduma yako
@happymkuu77
@happymkuu77 6 ай бұрын
Mziko uko juu. Hata hatuckii
@user-fv4ek7wu7w
@user-fv4ek7wu7w 4 ай бұрын
Amina bab
@GraceZachalia
@GraceZachalia 2 ай бұрын
Sms zote zinazotumwa kwa kumpinga nabii kiboko ya wachawi na kumsema vibaya zinatoka kwa wachawi,na wafe kabisa
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg 6 ай бұрын
Mungu wangu!!!
@eliaikangui6543
@eliaikangui6543 6 ай бұрын
Nawaombea wanangu wa kiroho wapate fire fire fire wanipe mafungu ya Bwana Yesu Kristo wasilale usingizi
@emapanga
@emapanga 18 күн бұрын
Nabii nakuomba nisaidie naumwa xan naiman nitapona kwa nguvu zako ya kiboko ya wachawi.
@user-cx2ps9vs1v
@user-cx2ps9vs1v 6 ай бұрын
❤❤❤amina baba
@user-pr3cz5vb3p
@user-pr3cz5vb3p 7 ай бұрын
Naomba mzaada baba mchungaji naandamwana yadunia
@edwineMbuya-nd9gb
@edwineMbuya-nd9gb Ай бұрын
Naomba umuombee mdogo wangu anaitwa Daudi Maro
@user-yc9bx5jx4e
@user-yc9bx5jx4e 5 ай бұрын
Mm George nachangamoto ya kiuchumi nombee
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 7 ай бұрын
Amin baba
@VeronicaKihwaga-ze8ss
@VeronicaKihwaga-ze8ss 8 ай бұрын
Amen baba
@ThomasngaleNgale
@ThomasngaleNgale 9 күн бұрын
Naomba niombee naumwa mguu mwenz wa nne
@user-ix1xe7mh5w
@user-ix1xe7mh5w 6 ай бұрын
Amina
@Matayo-sh9xb
@Matayo-sh9xb Ай бұрын
Hakika unachosema nikweli kabisa nabii
@GeorgiaRweyemamu
@GeorgiaRweyemamu 18 күн бұрын
Baba naomba uniombee naumwa
@user-yo9es5ye4u
@user-yo9es5ye4u 2 ай бұрын
Jamani mimi napenda haya mafundisho mko wapi
@man-chas3606
@man-chas3606 4 ай бұрын
Asante baba
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 5 ай бұрын
Hakuna unabii hapa.
@SwaumuRamadhan-yu5zn
@SwaumuRamadhan-yu5zn Ай бұрын
Bwanayesu asifiwe baba naomba nisaidie ndoa yngu Iko matatani.baba
@niyiesther6571
@niyiesther6571 5 ай бұрын
YESU KRISTO wa KIBOKO ya wachawi yupo kazini. Na Mimi anitumikie
@ErickMatembo-xt3gf
@ErickMatembo-xt3gf Ай бұрын
Nabiii naomba nitabilie
@user-fv4ek7wu7w
@user-fv4ek7wu7w 4 ай бұрын
Mungu akubaliki sana baba
@MamaKayolo
@MamaKayolo 2 ай бұрын
Naomba mungu uponye mwanangu devi anauvimbe kichwani
@user-dc8zw1lf1x
@user-dc8zw1lf1x 8 ай бұрын
Amina baba
@user-wr2vo8ne2m
@user-wr2vo8ne2m 7 ай бұрын
sijaelewa majibu yangu hebu niweke wazi tunataka kuonana nawe
@dionestermwinuka7520
@dionestermwinuka7520 6 ай бұрын
Mmmm!! Ya kweli haya imekuwaje mzee nae kaenda kwa nabii wakat anajua mtoto yuko ndani siamin japo nakupendaga nabii
@pendorobert3552
@pendorobert3552 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂ila watu uso wake mkavu hata haya hana jaman tuombeni kufunuliwa
@pendorobert3552
@pendorobert3552 5 ай бұрын
MUNGU tusaidie tuijue kweli yako😢
@PeterMalamsha-zo8bg
@PeterMalamsha-zo8bg 7 ай бұрын
Naitwa Peter pasian malamsha nashida napamban nakaz sana Ila bado changamoto nitabirie pasta
@MamaKayolo
@MamaKayolo 2 ай бұрын
Naomba mungu nisaidie nimalize madeni
@user-pu6kr4iq6r
@user-pu6kr4iq6r 5 ай бұрын
Naitwa bisura baba nilijikwaa mlangon nikavunjika mguu na pia nna matatitozo mengi tu hapa nipo kitandan siwez hata kunyanyuka
MAMA ALIEROGEWA FAMILIA YAKE NA MTOTO WAKE WA KWANZA ANAEMTEGEMEA KUTUPIWA JINI
18:03
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 89 М.
MTOTO ALIYE TOLEWA KAFALA NA BABA YAKE APATIKANA/MUME AM MSAMAHA KWA MKEWE NDOA IENDELEE
6:02
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 51 М.
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 120 МЛН
Pius wilson vs Kiboko Ya Wachawi live performance ✨
1:43
Pius Wilson
Рет қаралды 33 М.
WATU WALIOFANIKIWA WALIZINGATIA MAMBO MATANO
43:41
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 90 М.
HALIMA ALIYESINGIZIWA NA BOSS WAKE KUWA  AMEIBA MILION 5 UKWELI WAFICHUKA  PART-1
15:52
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 42 М.
MAAJABU ALIYE IBIWA NG'OMBE 70 WEZI WAPATIKANA/NABII KIBOKO YA WACHAWI HAKIKA NIKIBOKO YAO
14:33
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 77 М.
MAMA ALIYEFIWA NA BABA YAKE AFUFULIWA NA NABII KIBOKO YA WACHAWI/MAITI YAFUFUKA
13:27
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 62 М.
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН