BABA AMTOA KAFALA MTOTO WAKE/MAMA AMTAKA MWANAE ARUDISHWE
Пікірлер: 289
@SuperRamsoАй бұрын
Naitwa mama dan. Baba mwanangu toka azaliwe anajikolea na anatumikishwa kichaw. naomba nisaidie baba .
@MagrethMallya-we8ui5 ай бұрын
Halooooo, hizi huduma ni ngumu sana, wamama hatunaga akili kabisa, nyie wenye akili mnisahee , huku unabii utaondoka na wamama wengi sana .
@HamisiSimonАй бұрын
Nikopamoja nawewe
@ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH8 күн бұрын
Mungu, tulehemu na hiki kizazi cha injili, kizazi hatari sana kizazi cha nyoka na utapeli.
@SylvestreNdayishimiye-fc6zp15 күн бұрын
Bwana Yesu asifiwe. Mtumishi wa Mungu naomba kuombewa mimi pamoja na familiya yangu. Tumefungiwa milango imefungwa. Naomba kufunguliwa.
@loycepaulo19463 күн бұрын
Nabii rejesha uchumi wangu nyota yangu nipate kazi naitwa loyce nipo dodoma naomba unisaidie baba
@felisterandrew84183 ай бұрын
Kwan kwa waganaga . Tumeenda sana lkn kwn ht km cyo nguvu za mungu kuna nn ili mradi tu natatua shida zangu kuna shda gan
@loycepaulo19463 күн бұрын
Ninakataa roho ya umasikini ninaomba unisaidie maisha yangu magumu sana mpaka bac nitabitie naitwa loyce nipo dodoma
@LevinaModesti3 күн бұрын
Wanaompinga mtumishi wa Mungu ni wachawi wanatapatapa wachawi imekula kwenuuu
@AnaMauricioPatricio3 күн бұрын
Amém 🙏🇲🇿 napokea Mimi Ana😊
@HappyMshana2 күн бұрын
Naitwa happy wa Arusha naomba unisaidie sina maelewano na baba wa mtoto wangu nasijui shida ni nini
@HappyMshana2 күн бұрын
Mtumishi naomba unisaidie mim na baba wa mtoto wangu hatuna maelewano kabisa jamn nasijui shida nikitu gani
@MagrethMallya-we8ui5 ай бұрын
Mchungaji ananja nakupenda sana. Mungu akubariki, maana ujinga kama hii kwako hamnaga.
@DaudiMwangati-id1tk2 ай бұрын
Naomba mtumishi kiboko wawachawi naamini nabii uniombee na mimi uchumi nimbaya nazalauliwa kwa maisha uniombee Mungu wamadhabahu hii namwamini amen.
@HappyMubiligi-hq9uv7 ай бұрын
Naitwa happy matheo. Baba nisaidie sipat siku zangu za hedhi na mtoto pia. Nabii tabili juu yangu
@AwaziRajab6 ай бұрын
Nimefiwa Na Mwanangu Kama Wiki Mbili Zilizopta Kama Kama Apo2 Unajua Mpango Huo Umepangwa Akuna Mke Na Mme Apo Wangetaja Maeneo Wanatoka Walio Na Ujilani Nao Wakometi Ukweli Wao Tunaweza Kuletewa Wakongo Wakenya Kutoa Ushuhuda Feki Bila Kujua Wawe Wanasema Wazaliwa Wawapi Kijiji Mtaa Mpaka Wajumbe Wa Nyumba Kumi
@EvaMussa-xi7vh7 ай бұрын
nabarikiwa sana baba mungu azidi kukupa maisha marefu
@obedisiarangiriki81428 ай бұрын
Mungu anaweza, nafurahi sana Mungu huyu mtenda miujiza kupitia nabii huyu
@papaamishael41158 ай бұрын
Naitwa Mishael . ninatatizo la kiuchimi napanda na kushuka sjajuwa tatizo Nini mtumishi...
@AsteriaJoseph28 күн бұрын
Mtumishi wamungu naomba unisaindie mama yang anaumwa miguu kam fagasi mchungaji m naitwa asteria pia naomb uniombee baba nipate mwanaume wakunioa mim mchungj naomb unisaindie naomba
@BenadethaJoshua-nn4zy2 ай бұрын
Baba kiboko ya wachawi Nina Imani na wewe Mimi naitwa Joshua amani maisha yangu ni magumu sana nafanya kazi lakini naishi katika madeni naomba unisaidie baba
@ReginaMushi-gp3ct3 ай бұрын
NaoMba nikafanikiwee katka maisha yanguu fireeeeee katkaa jinaa la yesuuuuuuu fireeeee watuu ambaoo siyo sahihi kwanguu naombaa waondokeee kwa jinaa la yesuuu
@user-rk6zq7hz5z4 ай бұрын
Naitwa James maisha yangu yamekua magumu sana Baba sipati kazi wala biashara miguu na mikono inawasha tu.
@dorophinadeus92033 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi,naomba Mungu anisaidie mume wangu apone
@user-is3nr5di5q6 ай бұрын
Naomba uniombee!nikue kiuchum mim na familia yangu,pia umponye mama yangu na miguu
@user-kc6og5lm1v4 ай бұрын
Amina baba ubarikiwe na huduma
@shakirashakira-gc2yw6 ай бұрын
Nina ndugu yangu mwaka wa tano amefaliki lakini mbaka Leo tunamuota anasema yeye yupo ajafa da inaniumiza sana
@JasmineMushi-bs8pm7 ай бұрын
Umeniguza sana nimesisimka mwili mzima yaana mimi napitia magumu naomba maombi yako baba
@benardbemerengwe93324 ай бұрын
Amina pastor
@user-ys8hi7iy5jАй бұрын
Yani nyie watu nawa ones huruma Sana hizi ninyakati zamwisho jamani shitukeni tunaishi kwaneema ya mungutu nabas Kama nikweli huyo mtoto afufuliwe Basi
@KhadijaMachale2 ай бұрын
Nabii naomba ukateminyororo katika maisha yangu
@happynesskimango184Ай бұрын
Nabii naomba uniombee mimi naitwa happy hojes tangu nijifungue naumwa umwa sana nyonga na miguu
@MatildaaFrancis-wf9qm8 ай бұрын
Baba shalom me naitwa gerald mahamud salum baba nateseka baba maisha ang hayana mbele wala nyuma nimekuwa mtu wa kuangika baba ang naomba nisaidie baba
@wilfredmatoke99223 күн бұрын
Nabiii wa wachawi niombee kufanikiwa na milango iliofungwa na wachawi ifunguliwe
@NyiranezaWarda-bk1yn2 ай бұрын
Amen amen God bless you 🥰🥰🥰💯🙏
@GroryJumaa3 ай бұрын
Ivi wanadam sijui mkoje mnadai nabii wa uongo taften wa kwen.wakweli kuamini kwako ndiyo kupona mbona yesu alimpaka kipofu matope kwenye macho na akaona naitwa grory nipo mombasa dar es salam
@getrudaadrian85586 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU,lakini huyo ungemwambia aokoke aje kwa YESU aache kabisa aunguze vitu vyote vibaya ,pengine anaweza acha akimjua YESU kuja kwakwe kanisani hapo ndyo kupona kwake, aokoke huyo mzee mali atapata kwa YESU
@VannyThomas2 ай бұрын
Shalom mtumishi na omba uni ombee maisha yangu ni magumu pia Sina kaz
@neemajuma10152 ай бұрын
Naitwa Neena juma Baba nisaidie madeni yanga yaishe chap Nariman yanaisha ameen
@user-py3ks2ft1i4 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@wilfredmatoke99223 күн бұрын
Kiboko ya wachawi muombee mama watoto apate Kasi ya kusafiri nch xa nche
@emmanuelbayda46404 ай бұрын
Ramli chonganishii hakuna cha Roho waMungu full comedian kama ni mimi hii kanisa ni ya kufungaaaaaaaaaa
@ShangweNgirolitiАй бұрын
Inaitwa shangwe baba nipoo Arusha Naomba utabiri neno baba juu ya familia yangu
@selinajacob-zk4cm3 ай бұрын
Naitwa Selina Jacob Nduru Amina mtumishi
@user-ec5gz9lb3d5 ай бұрын
Naomba uniombee kazi ziende vizuri
@user-xk3ue8yi3sАй бұрын
Aslm naomba namimi unisaidie kweli mtumìshi wa mungu niko mbali
@eliaezlomАй бұрын
Wamejivika vazi la kondoo..kumbe ndani nimbwa mwitu...sikuzamwisho manabii wa uongo watakuwa wengi..tuwe makini wapendwa
@MatildaaFrancis-wf9qm8 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@user-iv6lt4zi1jАй бұрын
Nabii niponye na magojwa ndani ya familia yangu pia utukinge na wabaya woote
@emmanueltuppa54598 ай бұрын
Umri wa mwanao huujui unasema ni kama miaka 12 yani huna uhakika, tena we ndie ulie mzaa yani mwanamke hasahaugi umri wa mtoto tena mtoto ni mmoja wangekua zaidi ya mmoja je?mmmh mapichapicha yapo MUNGU ATUSAIDIE SANA WANADAMU WA KIZAZI HIKI
@victoriajasson9177 ай бұрын
Yani wamama wanao sahau kuhusu kuzaliwa kwa watoto wao ni wengi Sana. Mm dada yangu ni msomi Sana tu ila linapofika suala la huko ofisini kwao wakihitaji data za watoto hajawai kumbuka lazima tu atatuuliza
@user-he4wv9uo6i8 ай бұрын
Mungu atusaidie
@anithamsery17206 ай бұрын
Kweliu mungu akubarik San baba
@MAYAMIKOIMON-bo7qp2 ай бұрын
Baba asante sana niko kwa radio baba nasubilia huduma yako baba niongee naw
@annastaziakalula14754 ай бұрын
Nabarikiwa na mahubiri yako baba!ninaomba unifungue na maumivu ya miguu
@VeronicaNgasamaАй бұрын
Kiboko ya wachawi nisaidie nilisingiziwa kes Kam nmeiba hela laki saba Mwaka 2019 mm nakataa Mpaka Leo sijaiba Baba nisaidie mm jmn Huyu bos popote alipo anitafte arudishe Pesa aliyodai nmeiiba na akanilaza kituon Siku 2
@MeshakShedrack2 ай бұрын
Kiboko ya wachawi niombee nipate pesa kila siku na wachawi wote wafe amina
@user-wn5eb5ms9r7 ай бұрын
Shalom baba naitwa Shaban ulimwengu nashida Sana kila nikifanya kitu ambacho kinaniingizia pesa hazikai zinapotea najikuta zinaisha bila malengo yoyote yale
@SamwelJoseph-px6tc3 ай бұрын
NAOMBA MAOMBI JUU YA ELIMU YANGU YA CHUO NKAFANIKIWE KATIKA IMANI...AMEN🙏
@user-rk6zq7hz5z4 ай бұрын
Naitwa James massawe nifungue maisha yangu nabii
@samwelmatemu88736 ай бұрын
Hakuna kitu huyu mshenzi huyu tapeli mkubwa huyu
@JuliasLukumay-dr6un2 ай бұрын
Amina🙏
@suzan47122 ай бұрын
Shalom shalom apostle Dominic plse niombe maana nateseka na muguuwakuliya unanisumbuwa kwa myaka nyingi nipohapa Dubai bt I'm from Malawi plse help mi ma pastor