maandalizi ya ramadhan,Leo tunatengeneza juice,juice hii unaweza kukaa mwezi mzima bila kuharibika kwa recipe zingine za juice bonyeza link hizi ROZELA KAROTI EMBE
Пікірлер: 74
@user-hq4lw4qd8w4 ай бұрын
Darasa zuri, ahsante
@mariamissaahmed76753 жыл бұрын
Shukran sana
@kamikazisalma52093 жыл бұрын
Shukran dada
@naomikalinga30423 жыл бұрын
Mzuri Sana hiyo
@khadijahali48373 жыл бұрын
Asante kwa maujuzi
@maryamjuma10873 жыл бұрын
Maa shaa allah inavutia kweli Asantee kwakutufahamisha vitu adim
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Alhamdullilah, karibu sana dear..😘😘😘asante sana kwa support
@fatmehfaraj51883 жыл бұрын
Mashaallah sis.Msy Allah bless you for educating us.
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Amin Amin 🙏🙏Allah bless us all.. Ramadan Mubarak love😘😘
@mapishiyazanzibar3 жыл бұрын
😋😋😋 Masha'ALLAH
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Alhamdullilah🙏🙏🙏asante sana kwa kufika kwangu kipenzi,pole nimechelewa kujibu,sina cha kujitetea,ila Nina firaha sana kukuona hapa..nashukuru sana😘🙏🙏🙏
@huceynkileo40723 жыл бұрын
Stay blesssed jmn
@shamsaamos31303 жыл бұрын
Asante kipezi kwa Mambo mazuri barikiwa sn
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
😘😘😘karibu sana dear..asante sana kwa support
@shakashautv70383 жыл бұрын
Me ndo naiweka kwenye jokofu hapa. Ahsante sana dada, endelea kutujuza...
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Woooow MashaAllah.. Hongera sana dear..asante sana kwa support
@cookwithmsoo3 жыл бұрын
😋😋😋😋😋 yuuum! Refreshing! Delicious! Love it sis- thanks for sharing dear.. ION nmecheka na wewe hapo ukianza yet sijajua tunacheka nini🤣
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Hahahah yaaani acha tu,vicheko hivi😂😂😂nilisema hiyo "wajionaje na hali" nikaona imekaa wierd even the person next to me sighed😂😂😂akanimaliza kabisa😂😂thank you for watching love😘😘😘😘
@HadijaSheban3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly 😂😂😂😂😂😂😂😂
@rashidamzungu23893 жыл бұрын
Hongera sana,umenipa ujuzi mpya mungu akubariki
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Amen,Mungu akubariki pia
@nassraabdallah35853 жыл бұрын
Shukraan nimependa sana
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Karibu sana dear
@shamsiarajabu4583 жыл бұрын
Asante kwa ujuzi
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Karibu sana dear😘
@neemalambo97903 жыл бұрын
Yaaani umenifaa sana,❤️
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Nafutahi sana kuskia ivo,Alhamdullilah🙏🙏
@lesthermulagha66873 жыл бұрын
Shule nzuri Sana kwa kuuza inakuaje
@tripple53 жыл бұрын
Nimefikia ❤
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
😍😍😍😘😘😘karibia dear..asante sana
@tripple53 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly asnt
@neemalambo97903 жыл бұрын
Umenipa miujuzi mipya barikiwa
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Amen,barikiwa pia dear🙏🙏
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Jamani naomba tuwekane sawa katika hili, 1.kila hatua inayofanyika hapa ina maana,ivo basi unaweza ukafuata hatua zote hizi ,lakini vyombo vyako vikawa sio visafi wakati wa kuhifadhi au vina mabaki ya juisi wakati unasaga,hasa chujio na vijiko,juisi yako lazima itaharibika...kwaiyo kuwa makini sana katika hilo,nafkiri mnajua kwanini chakula kinaharibika,kwaiyo timia elimu hiyo kuhakikisha unafanya kila kitu kwa ufasaha ili kuepuka janga hilo
@safiaomary29563 жыл бұрын
Nashukuru sana je parachichi na tikiti maji unaweza pia utavichemsha? Tujuze my
@anitaharun84913 жыл бұрын
Je pasipo kuweka kwa frige inaweza kuharibika?
@maimunabakari16543 жыл бұрын
Hongera kungwi wa mapishi, nenda duka lolote lililopo karibu yko upate soda bariiiid bili kwangu😋👌
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Hahahaha maimuna utoe na contact sasa,nsije kudaiwa mie Ramadan hii😂😂😂