Рет қаралды 4,881
Hayo yamejiri katika Ibada ya masifu ya jioni kutoka katika nyumba ya Askofu iliyopo Ntungamo Bukoba, ikiwa ni kumkaribisha Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba Askofu Jovitus Mwijage, baada ya kusimikwa kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja