No video

MAGARI YANAVYOBADILISHWA YATUMIE GESI BADALA YA MAFUTA

  Рет қаралды 52,390

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Miongoni mwa Teknolojia inayoitangaza vyema Tanzania ni ubadilishaji wa mfumo wa matumizi ya Gesi badala ya mafuta katika magari ambao unafanywa katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (D.I.T) huku ikielezwa hadi sasa zaidi ya Magari 200 yakiwa yamewekewa mfumo huo.

Пікірлер: 133
@oswaldgasperdm.684
@oswaldgasperdm.684 5 жыл бұрын
Hapo tatzo n gharama za ufungaj lakin pia inabid mfanye more research ili muwez kupata namna nyngine ya kuuwek huo mtungi wa gesi na sio sehem ya mzigo. Bt all in all congratulation keep it ahead guys.😍
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 2 ай бұрын
Kuna gari maalum za Gas, ila kwa hizi zilizoundwa maalum kwaajili ya Mafuta bado sehemu sahihi ya mtungi kuwepo ni huko
@belindagiliard8977
@belindagiliard8977 5 жыл бұрын
Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote. Nchi yangu Tanzania jina lako ni tamu sana..........
@samweljulius2116
@samweljulius2116 5 жыл бұрын
Kama umesoma DIT na unaikubali mpka kesho ,Gongs like twende sawa
@amanichanga3448
@amanichanga3448 5 жыл бұрын
samwel julius Nna usemi wangu mmoja nilikuwa napenda kuusema kwamba kama kuna chuo kigumu dunian zaidi ya dit basi huko hawaishi watu. #OD12 CPT
@Punda284
@Punda284 3 жыл бұрын
Ibuniwe mitungi flat ambayo inaweza kufichwa kwenye ubavu wa buti pande mbili Kama tank isiwe inaonekana inaleta woga.
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
​@@Punda284angalia mitungi ya kenya
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 2 ай бұрын
​@@Punda284😅😅
@saloomidd1084
@saloomidd1084 5 жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona mwalimu wangu Dr Nyari na chuo changu. I am proud to be DIT Alumn.
@samsifuni
@samsifuni 5 жыл бұрын
So impressive... Especially in addressing current global challages on climatic change
@loyceisack1781
@loyceisack1781 5 жыл бұрын
Tz itatangazwa nchi TAJIRI soon. Vibaraka msije kutuharibia kama Libya
@mannabu9333
@mannabu9333 5 жыл бұрын
Loyce isack kwel maana wananjaa
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 жыл бұрын
@@mannabu9333 Unafikiri yaliyotokea Libya ni sababu ya njaaa..?
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 жыл бұрын
@@africanhappyadventure6951 yaliyotokea Libya ni kwasababu ya propaganda za wamaharibi wakijifanya hakuna democrasia Wakatumie media kujaza chuki kwa watu wachache wenye uchu wakakubali kutumika kama unavyoona Tanzania wameanza wengine mpaka wanatumia njia za kiarifu ili kuleta attention kwa wamagaribi Kingine wamagharibi na wa nchini waliozoea kunufaika na rasilimali wanahasira na haya yanayofanyika
@ablysonco8850
@ablysonco8850 5 жыл бұрын
Me nmepitia hapo ktk maswala ya A/C za magar,,,majumba...na Frij/Friza...kiukwel hk chuo nakpa respect sana...Respect kwa wakuu wote...wa chuo hch...
@salummohdnyiga9760
@salummohdnyiga9760 5 жыл бұрын
Nitumie anwani yao nmpeleka mdogo wangu
@pendael02
@pendael02 5 жыл бұрын
Respect to my Institute
@josephbonday8510
@josephbonday8510 5 жыл бұрын
Hongereni WATAALAM
@ibrahimsalim2231
@ibrahimsalim2231 5 жыл бұрын
Me niko falme za kiarabu,huku taxi al most zote zimefungwa cng,kiikwel ni cheap ukilinganisha na mafuta,ila challenge iko kwenye upatikanaji wa ges coz si sheli zote zimefungwa gas,nafrah kusikia na ss tunapiga hatua kama hizi
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
Uko Dubai?
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 5 жыл бұрын
Safi sana
@nemuelombasa8810
@nemuelombasa8810 2 жыл бұрын
Hongera watanzania,fungua kiwanda hapa kenya.
@greatiq8234
@greatiq8234 5 жыл бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu ondoa ukaidi na jeuri kwenye vichwa na mioyo ya MADEREVA wa MAGARI Wa TANZANIA wakati wakiendesha MAGARI hayo!
@ismailmashimba3470
@ismailmashimba3470 5 жыл бұрын
Tanzania oweeee
@shedrackboniphace7755
@shedrackboniphace7755 5 жыл бұрын
Hongeran pia kwa nunua yutong bus kwa 350milion
@hassanramadhan899
@hassanramadhan899 5 жыл бұрын
DIT-2016 ,B.ENG 13 Mechanical, 'WHENEVER THERE IS HUMAN BEING MECHANICAL IS THERE' Mechanical Engineering is a farther of all Engineering.
@barickprogrammer
@barickprogrammer 5 жыл бұрын
computer Engineer dit... nimepita hapo... tupo juuu
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 5 жыл бұрын
Kama haujasikia jina la huyo fundi gonga like,,
@kwelyphotographer423
@kwelyphotographer423 5 жыл бұрын
Mika ndaba hongera
@isacklissu847
@isacklissu847 5 жыл бұрын
Millard Ayo itabakii juuu juu,itashuka nikianzisha yanguu
@tgeofrey
@tgeofrey 5 жыл бұрын
Naomba Manila ya. We've mtaalamu ..
@fristonactary1371
@fristonactary1371 5 жыл бұрын
Naomba msiweke kwenye daradara iyo mitungi Tafadhali
@genesbkimariokimario7357
@genesbkimariokimario7357 5 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 kamweene
@nellywizz9631
@nellywizz9631 5 жыл бұрын
Wakufe weny binafs au😅😅😅
@swalehejuma6611
@swalehejuma6611 5 жыл бұрын
Noted
@johnrimoy1613
@johnrimoy1613 Жыл бұрын
Tatizo ni garama kubwa ya kufunga mfumo wagesi. Mngefunga gesi bure au kwa bei nafuu m toze / charge, kadri mteja anapokuja kujaza gesi.
@jumamayunga7472
@jumamayunga7472 5 жыл бұрын
Magari yasituripukie tu
@abdallahlungo3816
@abdallahlungo3816 3 жыл бұрын
Ni jambo zuri nishauri serikali iweke utaratibu wa vituo vya kujazia gesi vipatikane maeneo ya mikoani pia.
@sulabdul6007
@sulabdul6007 5 жыл бұрын
Watu wameanza kutumia hizi LPG toka 1998 ! Semeni mumeanza kufanya yaani mumeiga lakini hamja vumbuwa kitu.
@yustosassi1277
@yustosassi1277 5 жыл бұрын
worldwide change sawa ila wameweza
@mohamedjuma3269
@mohamedjuma3269 5 жыл бұрын
Hii sio LPG.....ni natural gas CNG
@princepeter2110
@princepeter2110 5 жыл бұрын
Kwaio no space 4 big sound
@ezekielkisika6254
@ezekielkisika6254 5 жыл бұрын
TANZANIA
@emmanuelbitungwa766
@emmanuelbitungwa766 3 жыл бұрын
1.8M
@mneneybariki4772
@mneneybariki4772 11 ай бұрын
Mm naitaj kubadilisha gar yangu ambayo nidaladala inawezekana
@festosilungwe126
@festosilungwe126 5 жыл бұрын
Swali la msingi sana halijajibiwa, gharama za kubadili mfumo ni kiasi gani?
@donaldmalongo1214
@donaldmalongo1214 5 жыл бұрын
1.3million
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 5 жыл бұрын
@@donaldmalongo1214 vipi kwenye Bodaboda mfumo unawezekana kua wa gas baada ya petrol
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 5 жыл бұрын
@@donaldmalongo1214 ?
@donaldmalongo1214
@donaldmalongo1214 5 жыл бұрын
@@applestru_cape2219 hapana hawafungi kwenye pikipiki.. Inawezekana sema mtungi wa gesi kweny pikipiki utakaa waapi
@batrumeoephadamlyangano4609
@batrumeoephadamlyangano4609 4 жыл бұрын
Upatikanaji wao wanapatikanaje mbna hawajatoa mawasiliano
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 5 жыл бұрын
hapo kwenye knob hapo, ikitokea ajali kutoka nyuma kigongwe hicho inakuaje hapo mtaalam! Umeulizwa gharama ya ufungaji wa hiyo mitambo siyo tofauti ya bei ya gesi na petrol!
@nanyembeseif124
@nanyembeseif124 5 жыл бұрын
Nadhani alijichanganya pale
@bonifacemohono3486
@bonifacemohono3486 5 жыл бұрын
Linganisha na mafuta
@paulkaijage3443
@paulkaijage3443 5 жыл бұрын
maisha plas
@AliOmar-bx2oz
@AliOmar-bx2oz 3 жыл бұрын
Je vipo vituo vya kutosha vya kujaza gesi? vipo wapi?. Millard Ayo, gesi ni safi naturally, hivyo haichafui sana engine(combustion) , kwa hiyo ubadilishaji wa engine oil huchukua muda mrefu zaidi na pia Engine hizo hudumu sana kuliko zile zinazotumia petroli na diesel..
@saintwiz
@saintwiz 5 жыл бұрын
Akiii tunakujaa uko
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
Huyo mtungi ni wa steel na fibre gas ?
@eddyjustin5890
@eddyjustin5890 3 жыл бұрын
Hii bei 1.3 fundi pamoja na vifaa?
@robertkimbira7634
@robertkimbira7634 5 жыл бұрын
Mna Mpango gani wa kutembelea na kutoa huduma hii mikoani?
@hilalmohammed168
@hilalmohammed168 5 жыл бұрын
Kwa maana hio ilo zoezi ni kwa ajili ya m-badala Wa petroli tu. Vp kuhusu diesel.
@amourbrwn2501
@amourbrwn2501 5 жыл бұрын
kwa nchi hii ilivo kesho kutwa gas itapanda bei
@alihabibu1812
@alihabibu1812 5 жыл бұрын
Kwa sisi wa mikoani tunapate huduma hii na gharamazakee
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 3 жыл бұрын
Msije baadae mkaongeza bei
@gresianangowi8011
@gresianangowi8011 2 жыл бұрын
Napataje au napata wapi huduma ya mfumo wa gesi kwenye gari yangu?
@jumahili8121
@jumahili8121 5 жыл бұрын
Hapa sikoment kitu. Naomba mtu mwenye chaja ya pini ndogo aniazime. Niko moshi.
@petermwantole9433
@petermwantole9433 5 жыл бұрын
Hahaa,, Njoo uchukue niko Mwanza Pasiasi hapa
@jonijojoss9181
@jonijojoss9181 5 жыл бұрын
Ya cm gan
@nellywizz9631
@nellywizz9631 5 жыл бұрын
Niko kaham njoo tuma nauli nkutumie best😅😅
@user-nz2de7tj9r
@user-nz2de7tj9r 5 жыл бұрын
Msiwadanganye watu gesi na joto letu mnaharibu engine ogopeni mungu wenu
@optatusmwalongo1246
@optatusmwalongo1246 5 жыл бұрын
Semeni gharama za kufunga huo mfumo ili tujue...
@kingsuleiman7603
@kingsuleiman7603 5 жыл бұрын
garama nibei gani kwa gali
@yusuphlangay6929
@yusuphlangay6929 5 жыл бұрын
Mawasiliano yenu
@seifbaus385
@seifbaus385 5 жыл бұрын
Hiyo ges kwenye kuongeza kwenye mtungi wake inachukuwa mud gani na inatumia pampu za aina gani kujazia au unafanya exchange kwa mtungi mzima
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
4 hours.
@emeldaboniphace5901
@emeldaboniphace5901 5 жыл бұрын
Weny baiskel tu comments wap
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 5 жыл бұрын
Jibu swali ninahitaji kujua garama za uff
@donaldmalongo1214
@donaldmalongo1214 5 жыл бұрын
1.3 million Mm n mwanafunzi wa chuo iko
@norman4332
@norman4332 5 жыл бұрын
NJOO UONE JINSI MTU ANAVYOWEZA KUBADILISHWA KATIKA MAUMBO MBALIMBALI, BONYEZA PROFILE PICHA YANGU HAPO KUSHOTO 👈 ITAKULETA KWENYE CHANNEL YANGU
@paulsimbeye7216
@paulsimbeye7216 5 жыл бұрын
Bei ya Jumla sh ngapi kubadili mfumo?
@donaldmalongo1214
@donaldmalongo1214 5 жыл бұрын
1.3million
@tj65
@tj65 5 жыл бұрын
Maana gesi haitaki masihara .mm kama nitalijuwa gari linalotumia gesi silipandi
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 5 жыл бұрын
Usivute sigara ktk gari hiyo ya Gas......itakula kwako.
@nanyembeseif124
@nanyembeseif124 5 жыл бұрын
Hamna sio kweli, unless kuwe na leakage
@nanyembeseif124
@nanyembeseif124 5 жыл бұрын
China taxi karibia zote zinatumia gas, na wahuni tunagonga chiga kama kalambwanda.
@benjatv2493
@benjatv2493 5 жыл бұрын
Mbona sasa mitungi inakaa sehemu yamizigo inamaana hakuna sehemu nyingine pakuiweka ili isizibe nafasi yakuwekea mizigo
@boniphacetv739
@boniphacetv739 5 жыл бұрын
BENJA TV huo ndo mzigo tosha mambo ya kufoji tu
@samsonmathew7562
@samsonmathew7562 4 жыл бұрын
Sasa unataka waweke wapi kwa dereva
@tj65
@tj65 5 жыл бұрын
Kuripuwana huku kiurahisi
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 5 жыл бұрын
We naye!
@emmanuelmahenge02
@emmanuelmahenge02 5 жыл бұрын
Kwa nini wasitoe kabisa system ya mafuta ibaki gesi pekee
@DreamyRelaxationAmbiance
@DreamyRelaxationAmbiance 5 жыл бұрын
mbona usiwe na mbili
@VictorDMmari
@VictorDMmari 4 жыл бұрын
Gesi ikikuishia unadhani wataibeba kwenye kidumu??? Si washasema kituo cha kujaza ni kimoja... Think big
@jumakessy7560
@jumakessy7560 5 жыл бұрын
Vipi kuhusu gari za diesel, maana nimeskia petrol tu, pia lazma ujiulize kwanini wazungu hawazalishi magari yenye uwezo wa kutumia gesi badala ya mafuta
@marthamashimba1750
@marthamashimba1750 5 жыл бұрын
Kwa nn wewe usizalishe...eti kwa nn wadhungu
@jumakessy7560
@jumakessy7560 5 жыл бұрын
@@marthamashimba1750 mimi nazalisha mbona, hata ww ukitaka nakuzalisha tu😈
@innocentshao8291
@innocentshao8291 5 жыл бұрын
Mnapatikana wap
@selemanikunji672
@selemanikunji672 5 жыл бұрын
sasa tutabaje kidumu chafuta almaarufu kupiga nyoka?
@hilalmohammed168
@hilalmohammed168 5 жыл бұрын
Hahahaaaa hamna kupiga nyoka apo
@harunakayega5531
@harunakayega5531 5 жыл бұрын
Aisee huko ni pa maana lazima nije huko yan elf 20 kwa wiki hahahah lazima nije mana mafuta pasua kichwa sana aisee ila swali la msingi hamjajibu gharama za kubadilisha mfumo wa mafuta kuja gas ni kiasi gan hilo jambo la msingi sana
@princepeter2110
@princepeter2110 5 жыл бұрын
Inapita M
@mohameddamka922
@mohameddamka922 5 жыл бұрын
sasa hyo mitungi kuibeba kwenye gari si ni mzigo huo.
@heartnsanya1182
@heartnsanya1182 5 жыл бұрын
Tanki la mafuta unalibeba ww
@matysamwel8592
@matysamwel8592 5 жыл бұрын
kwani ukiweka mafuta lita 100 na mtungi mmoja ukawa kg 25 panatofauti gani ama unazungumzia space/ nafasi katika gari
@jumahnassor8471
@jumahnassor8471 5 жыл бұрын
Mzigo naweka wapi?
@mohameddamka922
@mohameddamka922 5 жыл бұрын
@@heartnsanya1182 kumbe na ww akili zako mgando. tank la mafuta ni sehemu ya gari mtungi wa gas hyo ni ziada unalazimika kuubeba kwenye buti sasa mtu ana passo kwa mfano halafu abebe na huo mtungi kwenye buti huoni kuwa ni mzigo wa ziada huo.
@godwillkilangi9299
@godwillkilangi9299 5 жыл бұрын
Iyo technology mbona kwa wenzetu walianza itumia miaka ya 70 kwa haps africa nchi ya kwanza kuitumia ni south africa walianza tumia mwaka 2012
@benjaminsharika9942
@benjaminsharika9942 5 жыл бұрын
Kuweni makini mno ndugu zangu msije mkapoteza damu zisizokua na hatia. Gesi ni hatari sana ni nyepesi zaidi ya mafuta. Need more research and will cost a lot of money and time. Ni wazo zuri lakini gumu. Kwa nini msi shift kwa electric car reseach. Gas is too danger and very easy to burn. Mnaweza research kwa gari la kutumia maji. Convert H2O into energy.
@emmanuelpaul3017
@emmanuelpaul3017 2 жыл бұрын
Hii ni natural gas, wewe ndio ufanye research
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
​@@emmanuelpaul3017uko sure ni Natura gas ama ni LPG?
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
Petroli ni hatari kuliko gas. Gari ya stima ni bei ghali X 100 kubadilisha
@Apeacfulguy
@Apeacfulguy 5 жыл бұрын
Weka na majiko ya kupikiya kabisa tupikiye ugali
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 5 жыл бұрын
Mm natumia mafuta mwanzo mwixho labda mzungu atangeneze gar ambalo special na gesi lakini sio haya yakufojali #eti naokoa cost ya mafuta pumbafu wakat unanunua gari ulikua unajua linatumia maji?
@barakaabdallah354
@barakaabdallah354 5 жыл бұрын
Be positive or be quiet
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 жыл бұрын
Stupid Mind
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 5 жыл бұрын
Mnataka vya serereka
@user-nz2de7tj9r
@user-nz2de7tj9r 5 жыл бұрын
Ishapitwa na wakati inaharibu engine ya gari hata pikipiki wanaweka mitungi ya gesi
@jumahnassor8471
@jumahnassor8471 5 жыл бұрын
Bei ya mafuta na gas ipi ghali?
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Gas ya majumban inauwa mbaya leo hii mnataka kutumaliza kwa magar yetu.kudadeki akuna uimara hapo gas ni gas tu
@olomweneabongela1717
@olomweneabongela1717 5 жыл бұрын
Wewe unagari au hapana. Uliza wanao miliki gari wakwimbiye jinsi inavyouwa watu kwa ajali
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
@@olomweneabongela1717 namiliki gar huu mwaka wa20 sijawahi pata ajal yoyote ile ajal ya barabarani ni umakin wako dereva.hila hii gas tatzo kubwa usitetee ujinga hapa sisi tumezoea kuni namkaa only
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald 4 жыл бұрын
@@priscasiame9179 km hujazoea kausha
@dicksonaloyce6924
@dicksonaloyce6924 5 жыл бұрын
utajuaje ges imepungua kwenye gari kama Gage ya mafuta inavyo onyesha mafuta yamepungua niongeze
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 3 жыл бұрын
Kutumia gas asilia hakuhitaji utafiti maana matumizi yake yantumika sehemu nyingi Duniani hivyo inatakiwa uwekezaji mkubwa katika kubadili mfumo kutoka matumizi ya mafuta kwenda kwenye matumizi ya gas, hata hivyo vifaa mnavyotumia ni imported.
@saadsalum3253
@saadsalum3253 5 жыл бұрын
Hamna lolote acheni kuwadanganya watanzania kama imeshindwa Kenya mtaweza nyie
@pendael02
@pendael02 5 жыл бұрын
Ingetoka china ungekubali, ila ya nyumbani unaidharau. Tuwe wazalendo
@godwillkilangi9299
@godwillkilangi9299 5 жыл бұрын
Iyo technology mbona huku south Africa ni kitambo tu Wanaifunga? Kwenye magari sasa kama kenya wameshindwa si hao wenyewe akili viazi tu
@sanyolee1396
@sanyolee1396 5 жыл бұрын
Kwa hiyo Kenya ni Nani Sasa?
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald 4 жыл бұрын
Kenya ndo nini mzee
@jumatimbanga4973
@jumatimbanga4973 5 жыл бұрын
Safi sana
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 38 МЛН
WATUMIAJI GESI ASILIA WAIANGUKIA SERIKALI
20:52
Daily News Digital
Рет қаралды 916
Teknolojia:Jionee gari linalotumia gesi Dar
6:14
Daily News Digital
Рет қаралды 4,1 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН