MAGHOROFA YA MJINI ZANZIBAR YAGEUKA MASHIMO YA UCHAFU

  Рет қаралды 6,576

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

5 жыл бұрын

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga

Пікірлер: 51
@Sedouf
@Sedouf 5 жыл бұрын
Hongera JUMA SALEH kwa maelezo yako mazuri..umeongelea umuhimu wa kubadilisha miundo mbinu iliyokwisha chakaa na umezungumzia suala la uwezekano mkubwa wa uchafu/maradhi kuzidisha maradhi kwa jamii.Pongezi.
@talibabdullah3762
@talibabdullah3762 5 жыл бұрын
Shukran KTV TZ ONLINE hakika hii ni fahari yetu. #TLB#
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
😷kazaneni na nyinyi wananchi kupambana na usafi siokilakitu serikali mkitegemea kilakitu serikali ndio uchafu unazidi mambo madogo madogo pambane wenye wananchi Ili sikumoja hatahiyo serikali ione mfano kutoka kwenu wananchi mnavyo jituma kaeni mkilalamikia hivyo hivyo serikali mtakuja kuta sikumoja hizo karo za choo zinapiga hodi milangoni mwenu.
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
Hawana haya hawo wala hawaoni vibaya kazi yao umbea tu vipi hawawezi kusafisha eti serikali nawasubiri basi ije na jopu lake mbona kula wanakula kwa mikono yao hawasubiri walishwe na serikali au kukoga
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
Mbona kukoga hawasubiri serikali iwakogeshe wanajikogesha wenyewe
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂Watole uvivu
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
@@samsungjsevenprime5717 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yani wanakera wameregea nawakiingia chooni wasubri serikali ije kuwanawisha
@ibnually7428
@ibnually7428 5 жыл бұрын
Km hawalipi kodi inabidi watengeneze miundo mbinu ya usafi wenyewe
@aliarkam1413
@aliarkam1413 5 жыл бұрын
Fanyen usaf msitengemee serekal mukipata maradha ndio mtajua faida ya uchafu kama mzur au m,baya . Hongera sana ktv oline
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 жыл бұрын
Shukran ktv
@hbtv4169
@hbtv4169 7 ай бұрын
Haya mambo ndo tunayoweza wazanzibar taka tunatupa sisi wenyewe uchafu tunapenda sana
@maryammmakunduchmahammed9786
@maryammmakunduchmahammed9786 5 жыл бұрын
Kwanz wananchi tuwe wasafi watu wapo juu anarush taka chini
@nuraydasworld4431
@nuraydasworld4431 5 жыл бұрын
Tatizo ni wananchi wenyewe,ndio wanachafua
@hassanturky7511
@hassanturky7511 5 жыл бұрын
Daraja ya chini ya imani ni kuondosha udhia njiani. Sasa hii ni kazi ya waislamu wote.sio serikali.serikali isimamie TU. Kila mwenye nyumba,duka mbele yake asafishe mwenyewe Kisha Kila wiki serikali ikague,alokuwa hajasafisha apigwe faini ya laki nzima
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
KTV TZ ONLINE ASANTENI HAKIKA HII NI FAHARI YETU
@josej9888
@josej9888 5 жыл бұрын
Nimechunguza nimegundua kwamba wapemba nawaunguja hawana tofauti nawahindi, mhindi ukimuona barabarani anang'aa lakini nenda ndani kwake uone hutoamini kama kweli niyeye anayeng'aa akiwa nje. Kama usafi unaanzia ndani, basi na uchafu unaanzia ndani.
@josej9888
@josej9888 5 жыл бұрын
@@ibrahimhaji214 🖕🏻
@imamaliridhwa1884
@imamaliridhwa1884 5 жыл бұрын
Unatukana watu waliowafunza mama yako kuvaaa na ustaarabu adi sasa unajiona wewe msafi
@fatmax8710
@fatmax8710 5 жыл бұрын
naona na nyinyi uko dar pia ni wachafu Hamna mbali linalpliweza zaidi ya wake zenu kujichubua na kwenda uchi
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 жыл бұрын
Sio kweli...hayo majumba ya michenzani sasa hiv wanaoishi ni wabara..hao wazanzibar wamehama wamehamia miji ya kisasa..wenyeji wa zanzibar siku hiz wamehama mjini...
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Shukran Ktv tz ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 жыл бұрын
Nyie wenyewe wachafu na ndio jadi yenu mana hayo majumba ya michenzani yanaanguka na machafu kweli na hao CCM viongoz wenu pia wachafu wapo wapo tu hata kujielewa hawajielewi .mana hata kuyapaka rangi hayo majumba wanashindwa bas mpaka chokaa hamuwez kuyapaka.
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 5 жыл бұрын
Hatar sana hii hali.
@maryammmakunduchmahammed9786
@maryammmakunduchmahammed9786 5 жыл бұрын
Mm nakaa michezan ila watu wanatup tak juu sisi tupo chin utasikia mshind tu sikwambii ten wanatia uchaf vyoo vinafok
@talibabdullah3762
@talibabdullah3762 5 жыл бұрын
Sio serikali ikuangaliyeni cha kufanya ni kushirikiana nyinyi wenyewe kufanya uxafi, So mukisubiri serikali mutasubiri sana. #TLB#
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Subrin serika iwaangalie wavivu wakubwa nyinyi hamjui hiyo serikali inategemea akili zenu nyinyi wananchi ili nayenyewe ijue jisi ya kuwasaidia ila kilakitu akilizenu zimeiegemea serikali naserikari inawa🙄wananchi. Nahuyo Dada mliosema mchaluko anaakili ya kimawazo
@jumamohamed9648
@jumamohamed9648 5 жыл бұрын
Nyinyi muna tabia ya uchafu muna maneno mengi kuliko vitendo, kuweni watu wa kufanya vitu kivitendo zaidi kuliko maneno .
@mosaidi2633
@mosaidi2633 5 жыл бұрын
Kila kitu kina mwisho wake,haya majumba muda wake umekwisha yavunjwe na kujengwa mapya
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 5 жыл бұрын
Nyie nyote wachafu pamoja na serikali yanu ya CCM. Zarau mana hayo majumba angalau wangeyapaka japo chokaa mana yanatia huzuni na mabovu . Na nyie munao kaa -wachafu wakubwa pumbavu
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
Serikali inajitahid lk.n wakaz wenyewe ndio wachaf
@abdallajuma9090
@abdallajuma9090 5 жыл бұрын
Sio kilakitu ni serikali wakati mwengine wananchi nao wanachangia kwa kutenda uchafu
@salummkubwa
@salummkubwa 5 жыл бұрын
Nimeinua macho duniani nipo michenzani block 1, tatizo namba moja ni wakaazi wenyewe, nina kovu kichwani nusura nife, mmoja alianika mkeka na kuwekea jiwe ukaja upepo, napita chini habari sina si uje upepo, ninalokumbuka nimeroa damu mwili mzima nakimbizwa Hospitali. Karibia wote waliohojiwa hapo nawajua. Alosema watu wanarusha taka wakiwa juu ni kweli, mate pia nk. Ghorofa ya mwisho juu ndio jaa pia. Ni kweli mabomba yameoza ni ya zamani ila wakaazi wenyewe ni wachangiaji wa uchafuzi pia.
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 жыл бұрын
Mahalat wa michenzani wamehama..walobaki wenzangu na mimi
@oopsm3574
@oopsm3574 5 жыл бұрын
Yanaziba kwa ajili ya mashonde makubwa tu hakuna jengine
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 5 жыл бұрын
Raia wachafu hawajitambui na serikali inaangalia maslahi yao tu
@jamillaibrahim7068
@jamillaibrahim7068 5 жыл бұрын
Wote wakiongea Wapuz tu usafi n. Nyie mwanze si serikali
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
Wananchi wenyewe muwe imara kufanya usafi serikali iwapongeze na iwasaidie
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Usafi nimuhimu jamani lakini nimejifuza mengi hapa Ktv tz online mtu hata ukiwa masikini ukiwa msafi usafi unaficha umasikini wako nakila mtu atakupongeza mmpaka hata aridhi ukiitembelea juu yake inafarijika.
@samsungjsevenprime5717
@samsungjsevenprime5717 5 жыл бұрын
Jitahidini wananchi wenyewe muwe munafanya usafi kwa bidii zote usafi wa mazingira sio lazima serikali mbona mukishapika hamusubiri serikali ije iwalishe munakula wenyewe kwa mikono yenu na usafi mufanye wenyewe usafi ni muhimu sana
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
WACHA WEREGE WATAJIKUTA MUSTASHIFA NA HIYO HIYO SERIKALI WANAYOIEGEMEA WAMEPANGA MSTARI HUKO
@hajihajirajab609
@hajihajirajab609 5 жыл бұрын
Haiwezekani kumtunza mzee Karume kwa majengo mabovu na machafu kama haya. Maoni.. Majumba yavunjwe na mjii huu ujengwe upya na uwe na vivutio vizuri na sehemu za Shopping malls na makazi ya kisasa..zaidi...Just in short..
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 жыл бұрын
Usafi ndio muhimu hata ya kiwa majengo ya zamani yakipata watu watuzaji kilakitu kitaonekana kipya sasa hata wakibomoa wakajenga majengo mapya yatakua hayakaliwili nawatu?
@ibrahimhaji214
@ibrahimhaji214 5 жыл бұрын
Yakivunjwa watu wakaishi wapi na watu hawataki kuishi ng'ambuu
@hajihajirajab609
@hajihajirajab609 5 жыл бұрын
@@ibrahimhaji214 kufanikisha hilo ni mipango. Serikali hujenga makazi shm nyngn na hurudisha wakazi baada ya ujenzi kumalizika...
@ibrahimhaji214
@ibrahimhaji214 5 жыл бұрын
@@hajihajirajab609 asilimia kubwa wa nyumba zile ni binafsi zilimilikishwa serekali haina jukumu la kuzitengeneza kama hivyo kila mtu alalamike akatengenezewe nyumba yake au, na hao wanaolipia kodi yake hupangi hata chumba ng'ambu then serekali iokete wapi izo pesa lakini kubwa zaidi hao wanaokaa ni careless maana hawasafishi.
@ibrahimhaji214
@ibrahimhaji214 5 жыл бұрын
Lakini pia kama swala la maji machafu basi wajikusanye wachangishane wapate hela za kufanya marekebisho
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 54 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 3,4 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar
30:04
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
AJALI MBAYA KISAUNI ZANZIBAR, BASI LAGONGA NA KUUA HAPO HAPO
5:35
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 54 М.
DUH! BAKHRESA BALAA | ANGALIA ALICHOKIFANYA KATIKA HOTELI ZANZIBAR
5:49
TAZAMA BINTI MREMBO ZANZIBAR ANAVYO TENGENEZA PESA NYUMBANI KWAO
14:06
#ZANZIBAR YAMETIMIA VIWANDA VYA NGUO NA VIATU
29:14
IsleBlogTv
Рет қаралды 6 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН