'MFALME WA MWISHO ZANZIBAR', ALIKATAZWA KUINGIA KENYA, ALIONGEA NA NYERERE AKAMUITA

  Рет қаралды 80,153

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Пікірлер: 373
@AM-xi4sy
@AM-xi4sy 3 жыл бұрын
Nyerere kapata amri kutoka England amrihusu akae Tanganyika ili aelekee England pamoja na raia wengine wa british waliokuwamo ndani ya meli hiyo
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Faridi Humid hongera sana kwa hii historia
@dionsangoa1428
@dionsangoa1428 3 жыл бұрын
Ambae hajaelewa huyu mswahili anaongea nini kama mimi aje huku kwa Said saidy tupate urojo😹
@rajabaliremtulla6369
@rajabaliremtulla6369 2 жыл бұрын
Thks Farid you are a good historian
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 3 жыл бұрын
Zanzibar imekuwa ya mwisho duniani maaana hao ccm wa zanzibar wanachekesha sana hawataki warabu lakini wanaowa warabu znz husseni mwinyi mke wake muarabu, Amani karume, Ali karume, balozi seif ali idi
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Sasa hao wanawake wa kiarabu si wangekataa kuolewa na wamakonde hao?
@EK-kp2np
@EK-kp2np 3 жыл бұрын
@Said Al-hind: mke wa Hussein Mwinyi mwarabu🤔🤔??, ongea ulijualo😩
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 жыл бұрын
Acheni ujinga
@patrickmwaki6042
@patrickmwaki6042 3 жыл бұрын
Hawawataki kuwaongoza au kuwaowa na kuolewa nao🙄🙄🙄
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 3 жыл бұрын
Ujinganao unagalau utampaje muhogo mwenye sahani yapilau hao nivibaraka tu wawatanganyika
@abdulazizharthy5627
@abdulazizharthy5627 2 жыл бұрын
Alhamdulillah sultan Jamshid karudi kwenye asili yake arudi zanzibar afanyeje nchi imegeuka up side down imebakia magofu, chuki na ubaguzi wametahayari walio fanya khiyana na roho zao zilivyo mbaya
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Alhamdulilah karudi kwao na hana shida yuko juu na famili yake aje huko afate nini?
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 3 ай бұрын
Acheni ujinga wazanzibar
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Kiswahili chako kwa kweli ni burudani hongera sanaaa. Wengine waige na utulivu ulio nao kama mtafiti.
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 19 күн бұрын
Mtoaji maelezo hodari , Mungu ambariki
@ahmedalmaawaly8017
@ahmedalmaawaly8017 3 ай бұрын
Wacheni ujinga mnachukia warabu lakini Hadi Leo mnaombaomba kwao
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
D Swaga tukionana maskani lazima nikununulie Soda..umeiprove mshkaji wangu
@hgi6648
@hgi6648 2 жыл бұрын
The best interpretation of the politics of history of Zanzibar. It wasn't the Sultanate that was overthrown but rather the Govt of Ali Mohsin and others that was supposedly to protect it but abundantly failed to do so.
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Corruption srkali ya Marhum Mhamed Shamte.
@mfyoko
@mfyoko 2 жыл бұрын
@@sulimanmasoud9337 hiyo corruption ilipata muda gani katika kipindi cha mwezi mmoja?
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 3 жыл бұрын
Mashaallaah uko vizuri
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Hiyo lanaa ya uvamizi NA mauaji ingekua jamshid yupo ingekua zanzibari tajiri duniani kama dobai wa oman wa najua kutengeneza NA inayostajabu waliuliwa NA baado wanaleta misada nyingi sana kwa wazanzibari NA kujenga msikiti NA shule NA hivi sasa wazanzibari wameja tele oman wanafanya kazi subuhana allah
@machetebogota4218
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Unajua wanachipitia ndug zako lkn uko Oman hebu waulize wakupe majib vzur wallahi hawa watu walikuja Africa kuchuma Mali zetu japo atutaki kukubali maana
@ramadhanmusa2878
@ramadhanmusa2878 3 жыл бұрын
Sema ukweli mulimgeukia sultan ndio ikabidi akimbilie uingereza..pia Oman walimzuia Jamshid kurudi sababu hakua na maskilizano mazuri na family yake ya Oman
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 3 жыл бұрын
Sasa kila mtu akitaka kuoa mwarabu hawa dada zetu wa kiswahili waolewe na nani? Nyinyi mnajiona mnawaibisha waarabu kumbe mnajiaibisha. Kwani lazma nyote muoe waarabu? Kwani waarabu wana kipi ambacho waswahili hawana? Naona mnalalamiika kuwa waarabu hawataki kukuozesheni watoto wao. Waarabu ni binaadamu tu kama waswahili, kwa hivyo wengine oweni waswahili ili muwastiri dada zetu. Muache kujenga chuki za kijinga. Hapa cha muhimu CCM iondoke tu madarakani, hizi pumba nyengine hatuzitaki kuziskia.
@salmasalim6055
@salmasalim6055 3 жыл бұрын
Wow 👍
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 3 жыл бұрын
@@salmasalim6055 👌👌
@bigjizee4130
@bigjizee4130 3 жыл бұрын
Mmmmmmh
@kesslycompanyltd
@kesslycompanyltd 3 жыл бұрын
Kabisa
@nightwishisthegreatestband6355
@nightwishisthegreatestband6355 3 жыл бұрын
Sasa ccm na muoa waaraba wapi na wapi?
@saidabdala4980
@saidabdala4980 3 жыл бұрын
Mfalme wetu. .karibu kwenu. Tunajuwa kila kitu.
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Anayejua historia zaidi yake ajitokeze aandike ama ahojiwe ili ukweli upatikane. Kumshambulia na nikirudi na vijembe hakuikuzi historia.
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 3 жыл бұрын
Jemshid hana haja ya kuja znz tena musiwe na wasi wasi
@haydarabdallah4955
@haydarabdallah4955 2 жыл бұрын
SEMA kweli kuhusu mapinduzi Zanzibar hamna mapinduzi kunamauwaji mzeee SEMA kweli usifiche ccm
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 3 жыл бұрын
Tumeshachoka nahao wanaojidayi niwafalme kwenye nchi zetu wafalme wako kwao Sisi tulikuwa nawafalme wetu niwafrika sio warabu kwabahati mbaa hao warabu waliwauwa ili wachukuwe mamlaka
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 жыл бұрын
Zanzibar ishawah kuongozwa na mfalme mwafrika hujui hata historia
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Wacha uwogo kumbe huna nalolijua
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
@@teamlovesquare3207 unamfaham Mwinyi mkuu
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Жыл бұрын
@@madetetv6576 mwinyi mkuu si mtu mwenye mishipa au?
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Жыл бұрын
​@@teamlovesquare3207🤣🤣🤣🤣
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Jamsheed kwa kiswahili tumeitohowa na kuwa ni mtu asiyejiweza kwa lolote anatafanyiwa kila kitu hata kula analishwa 😄😄😄😄😄
@zaharahasan1912
@zaharahasan1912 3 жыл бұрын
Nasikia waliompindua ni waingereza na baada ya kumpindua wakamchukua kwao
@rahmamusa9627
@rahmamusa9627 3 жыл бұрын
Mashallaha
@abudimuddy517
@abudimuddy517 3 жыл бұрын
Millard hawa ma presenter wako ni kiboko yani mashallah....umemakinika sana kwa kuchagua vibaji bro 👍👍👍
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Hongera kwa kueleza ukweli juu ya Mwl Nyerere "mtu aliyejua siasa pdana". Kweli Mwl alikuwa mjuzi wa siasa sio siasa.
@muhammadrashid9645
@muhammadrashid9645 3 жыл бұрын
Haiko sawa hii
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 2 ай бұрын
Nlikua namuona u.k kabla hajarud mwaka juzi km hakuwahi vile ufalme yupo simple kuliko hana mengi
@salehkhamis3063
@salehkhamis3063 3 жыл бұрын
Mi mzanzibar. waarabu nawajua vzur2 nakaa nao jiran yani hawatak watu weusi waowe wana wao. mtashirikiana tu baadhi ya mambo ila mambo mengne wanatubagua
@ibnkhaldun1164
@ibnkhaldun1164 3 жыл бұрын
Uwongo pumbavu zako
@MrKhatibu
@MrKhatibu 3 жыл бұрын
Mbona pemba unapata mke wa kiarabu tena kwa mafungu ukitaka, ila Unguja ni kweli
@zozonaamani9719
@zozonaamani9719 3 жыл бұрын
Weusi niwazuri nawapenda.warabu lazima muowe? Achana.nao
@judithjulius5378
@judithjulius5378 2 жыл бұрын
Year
@simkotec3091
@simkotec3091 3 жыл бұрын
Jamani wazanzibar mmesahau biashara ya utumwa ilifanywa na Nani?, haohao Leo mnawatukuza kuwaita wafalme wenu,kwani sasahivi mnatumikishwa na Nani ? Warabu wa Oman hawawezi kuwatazama kwa hadhi moja na wao kwao nyie ni watumwa tu hata kama unarangi ya kiarabu.sasa kumbukeni kuwa nyinyi sasa ni watu huru hiyo inatosha kuwafanya mjiskie proud.
@allymassudi1580
@allymassudi1580 2 жыл бұрын
wajuwaje wy
@dengemuhidinimuhidini3230
@dengemuhidinimuhidini3230 11 ай бұрын
Muungu akuweke mahala pema ,all Zanzibarian we are together
@kuschprince3216
@kuschprince3216 3 жыл бұрын
"Wazanzibar na Wapemba" mkiwa mnataka Mfalme Jamshid" arudi kua mfalme wenu, mnahaki!! Anzeni kukusanya sahihi za kubadilisha mkataba ulioleta Tanganyika na inchi yenu pamoja.Sheria ziko wazi,kila jamii ina haki ya kujitawala kisisa. kiuchumi,kielmu na hata kitamaduni.Itawahitaji muende kwenye kura ya maoni,na mfafanue ni nani anatakikana kuruhusiwa kupiga kura hiyo,ni mpemba na Mzanzibar tuu au hata wa Tanzania bara??!! Kuhusu Marehemu "Sultan Qaboos"yeye alikua msomi mkubwa sana wa elmu ya kisasa kutoka uingereza na alipomaliza ,akampendua babake na kuitoa inchi hiyo katika hali ya umasikini na kuifanya inchi tajiri ambayo inaheshimika sana duniani.Watu waomani ni matajiri na hawajapoteza muelekeo kama majirani zao, wameleta maendeleo na utamaduni wao pamoja.
@MohamedMohamed-fg1kh
@MohamedMohamed-fg1kh 3 жыл бұрын
Hatutaki mfalme
@Kapunyu
@Kapunyu 3 жыл бұрын
Sio lazima muwe na mfalme bali mtakuwa na kiongozi wenu lakini mtaomba himaya kutoka Oman,na uingereza,zanzibar itanawiri sana itainuka kiuchumi,
@GlobalSouthObserver
@GlobalSouthObserver 3 жыл бұрын
@@Kapunyu omani si wachukue Mombasa na Somalia pia
@jimj8285
@jimj8285 2 жыл бұрын
@@MohamedMohamed-fg1kh mkundu wako nyau weyee!!
@abubakarkassim4161
@abubakarkassim4161 4 ай бұрын
Jemshid sio mfalme wa mwisho zanzibar na wala hajapinduliwa zanzibar alitowa uhuru 1963 chini ya serikali ya uingerza mfalme aliyepinduliwa 1964 ni mohamed shamte huyu jamaa hailewi historia
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 3 ай бұрын
Watu kama wale hawauliwi eti wanamchango mkubwa kwa jamiii kisa waaaarab ila kinje alinyongwa na wazungu wazanzibar waarab mnawaona km ndio familia yamungu vile
@danielkwilemba4715
@danielkwilemba4715 3 жыл бұрын
Naona Jamshet naona anafanana na Malim Self Khamad !!!
@Kapunyu
@Kapunyu 3 жыл бұрын
Ni ubora kuwe na channel makhsusi ya historia ya zanzibar na wafalme waliotawala zanzibar pamoja na utamaduni wa Mzanzibari na visiwa vyote.
@almatani9998
@almatani9998 3 жыл бұрын
Zanzibar was like best city in the world, but Africans didnt want to be best people un best land so they killed the people who developed east africa and became poor again 😔 we need omanis again in Zanzibar
@salisali3738
@salisali3738 3 жыл бұрын
نايس
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 жыл бұрын
A,ALEIKUM KUMBE MNALIJUA HILO MAFAHARI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA" SASA MUONGANO WA NINI
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo mfalme ni mzanzibari amezaliwa pemba NA mama yake mwafrika ni mwanchi NA wala hakurudi oman NA wazanzibari baadaye waliruhusu kurudi kama mwananchi NA wazanzibari wanampenda basi tamaa ya madaraka ya karume NA nyerere wsmesababisha kupoteza mamlaka ya zanzibari NA mauaji ya zaidi elfu kumi tano wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma kwa jemedari okelo kutoka uganda
@ibrahimmussaali5179
@ibrahimmussaali5179 3 жыл бұрын
Huyu anaujua ukweli ila anaficha wacha history ya ccm izo
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 3 ай бұрын
Basi wazanzibar wanamuona jamaa shujaaa huyo😅😅😅
@andrewnyamwaro5174
@andrewnyamwaro5174 3 жыл бұрын
Sultan! No way. Tell it the birds.
@kheirmbarouk8373
@kheirmbarouk8373 3 жыл бұрын
ilove zanzibar iko ck insha allah itajirudi zanzibar kwa uwezo wa allah
@simkotec3091
@simkotec3091 3 жыл бұрын
Naangalia hii video baada ya magufuli kufa napata maswali mengi Sana🧐🤔
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 3 жыл бұрын
ccm wameimaliza znz .Tanganyika aliipindua znz bila kumwaga damu.
@mzuvendi
@mzuvendi 3 жыл бұрын
Samahani huyu jamaa 60% kaongea porojo..kwanza Nyerere hakumkaribisha Tanganyika..aliletwa na waingereza wakati huo Nyerere alikuwa hana lolote hata alipopinduliwa na jeshi akaenda mafichoni waingereza ndio walioleta jeshi na kumrejesha madarakani..pumba tupu! Bado akasome tena..
@qassim_zr
@qassim_zr 2 жыл бұрын
Hujui unasema nini ipo clip ya Jamshid mwenyewe akitoa shukrani kwa Nyerere kwa kumpa hifadhi
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Sahihi nyerere alipinduliwa NA jeshi akawaita wangereza haraka sana NA wangereza wakaleta meli ya kivita NA ndege wakarudisha nyerere nyerere alikwa kibaraka wa wazungu wangereza historia hio watu wengi hawajui
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 жыл бұрын
Farid unamtaja Ali Muhsin Barwan unamuacha aliekua mkuu wa serikali ambae ni Waziri Mkuu Sheikh Mohammed Shamte ...
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Dunia inajigeuza na siasa hujigeuza. Hili ni neno kubwa sana.
@greatiq7835
@greatiq7835 3 жыл бұрын
Eeh. Akome!
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 жыл бұрын
JAMSHEED HAJA KIMBIA ILA AMEONDOKA MWENYEWE ACHAKIPOTEZA WATU SISI HI WARABU TULIO BAKI ZANZIBAR FROM BAHLAI WEWE KUTOKA KIJIJI GANI CHA OMAN
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 20 күн бұрын
Farid unakosea ukisema si mzanzibari upande wa bibi yake mzababa tokeasayyid Said from 1870 na wazanzibari wengi asili zao bara India Comoro India sirazIran waasli wa hadimu wa tumbatu
@saidjuma9782
@saidjuma9782 3 жыл бұрын
Wazanzibari sie hatuna shobo za Kijinga
@kauryatechnical993
@kauryatechnical993 Жыл бұрын
Acha kutumbia Mambo hovyo
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Bora tungechanganya na wa UK.kuliko mabulushi
@Jal210
@Jal210 3 жыл бұрын
CCM hajaimaliza znz acheni umbeya
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
"Watu wa siasa wanayo maneno mengi" bora umewaambia ukweli
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 3 жыл бұрын
Zanzibar inahitaji uwongozi mwengine
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Naam Tunamtumainia Hussein Mwinyi...uyo batwaani wenu Sefu Sharifu wala hawi Rais
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 жыл бұрын
Cwa kabsa
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 жыл бұрын
@@RioIpo Huo ndo yale yale ya ccm kwahio tunautaka uongozi mwengine
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 kama humtaki Hussein Mwinyi na Seif nae asiwee
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 жыл бұрын
@@RioIpo Bc tumueke baba yako sorry lkn km nimekuudhi ila ni km ushauri tu
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 3 жыл бұрын
Aliangushwa kwa ujinga wake huyo mjinga mwache akafie huko watu wapate pesa kupitia kaburi lake.
@SalimAlly
@SalimAlly 3 жыл бұрын
Mwache aende zake uko akapotee hatutaki shobo zake sie
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 4 ай бұрын
Mfalme mpya wa omani anatokana na Turk albusaid na jamshed anatokana na nasabu ya turk abusaid.
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Mtu kwao jamani mtu asiwe mkimbizi milele.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Ile film tulio ona Google ni kweli elfu ishirini walikufa watoto wadogo NA wazee NA wanawake wanatolewa masiku ya manane NA kuuwa NA kuzikwa pamoja
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 3 жыл бұрын
Nyinyi waomani mfungeni kamba huyo asije akatutawala huku Zanzibar hatukubali tutakuja huko huko Omani kuwamaliza maana mapinduzi hayajawapata vizuri tutatembeza mapanga huko huko tuwakatekate vipande sijui kwa nini tuliwabakisha kwa hiyo muwe makini tuko tayari na chochote tutawamaliza Tanzania mliyoiwacha sio ya leo mtajuta zuiyeni mtu wenu huyo ohoooo
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 жыл бұрын
Bora uo usultan urudi lkn kuliko kuishi na tangayika wanaotufisi na kutuangushia zanzibar yetu
@walidkhalfan7437
@walidkhalfan7437 3 жыл бұрын
JinA lako haliendani na matamshi yako.. mwanandani inakusubiri kaburini
@crayonmaze9970
@crayonmaze9970 3 жыл бұрын
Zuwena said una jina la kiarabu, 😉😉😉 tena hayo majina asli yake ni Oman
@rwandaoman1781
@rwandaoman1781 3 жыл бұрын
Dawa yenu ccm itawatawala mpaka mwisho midomo tu zanzibar yetu mkoa wa tanzania hamna lenu
@abdilkadirali457
@abdilkadirali457 3 жыл бұрын
Mpumbavu umkate nani mapanga ndio maana tulikupiga mtungo malaya wa michenzani unaejiuza wewe na mama yako kuma wee
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Ni kweli fazach bora serkali ya znz ingemjengea rasmi na kumleta jemshid ingekua sana kiutalii lakini mhhhh sijui kwanini wamemuacha
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Na aende uko ... Mapinduzi daima
@ayoubmwalim1535
@ayoubmwalim1535 3 жыл бұрын
Mwache afe ukouko huku c kwao kaja kimatembez tu
@alimakame9215
@alimakame9215 3 жыл бұрын
Wanaitikadi et watakujawarabu
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 жыл бұрын
@@ayoubmwalim1535 hana haja na huko kashastarehe huku oman akutakia nini huko tena
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 жыл бұрын
@@ayoubmwalim1535 hana haja na huko kastarehe huku oman kitu gani kimlete huko
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Firaun na Ibilisi wametajwa katika maandiko......mtu mzuri na wabaya lazima wachangamane. Siasa sio kazi ndogo. Zanzibar wanajua hadhi yao hawababaishwi na wageni. Aliangushwa na fitina za organisation walikuwa hawajafahamika.
@ibrahimmussaali5179
@ibrahimmussaali5179 3 жыл бұрын
Wenye tunajua kila kitu
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 жыл бұрын
Haki ya mungu Millardayo mmekosa mwana historia ila huyu? Mbona anabolonga? Bado mna kazi ya ziada!
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 жыл бұрын
Farid umenichekesha ..leo nitakutafuta
@nanjiTv
@nanjiTv 3 жыл бұрын
Huyu mtu ni mwanahistoria kweli. Mfasaha katik kuzungumza
@muhanaali2013
@muhanaali2013 3 жыл бұрын
MANENO YAKE YANAGONGANA ITAKUAJE SAID KHALIFA AMERITH UFALME KUTOKANA NA MKE WAKE APOPO BABUZAKE KHALIFA WALIKUA WAFALME KUTOKANA NA MANENO YAKE MWENYEWE KASEMA SAID BIN SULTAN ALIRITHISHA WATOTO WAKE MOJA OMAN MOJA ZANZIBAR KWAHIO URITHI UMEANZIA JU
@ahmedalmaawaly8017
@ahmedalmaawaly8017 3 ай бұрын
Miaka 60 hat maki hakunajini looh
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 жыл бұрын
ZANZIBAR SIO VISIWA NI NCHI KAMILI
@emmadora7848
@emmadora7848 3 жыл бұрын
Kwenye ramani ya dunia hakuna nchi ya Zanzibar
@kanaanrajab8990
@kanaanrajab8990 3 жыл бұрын
RAMANI NI "IMMAGINARY LINE "NI MISTARI YA KUBUNI SO KILA MTU ANAWEZA KUCHORA WAKE THEN RAMANI ZILIZO PITA ZIKIICHANGANIJA POLAND&GERMAN,ENGLAND&DENMARK,HONGKONG ,CHINA SO LAKINI ALAAN NI TOFAUTI
@suadbarwani4117
@suadbarwani4117 3 жыл бұрын
Jina lolòte ni jina madam wazee wamelipenda
@saudalkhanjry9559
@saudalkhanjry9559 3 жыл бұрын
Hata Baba yake qaboos kazikwa uwengereza Vipi amuache Jamshid arudi Oman huyu nimfalme mpaya ndio kamrudisha
@salimjkj
@salimjkj 3 жыл бұрын
Amazing history although controversial but still history. But what is odd is the topic " hakurusiwa kuingia Kenya "..... doh, yaani mpaka Kenya ingizwe......subliminal subjugation........Media can be a problem
@mjm135
@mjm135 3 жыл бұрын
Kenyatta alikuwa hataki shida, sababu Mombasa tayari ilikuwa si sehemu ya Kenya na Kenyatta alikuwa ashakiuka masharti mengi kwenye ule mkataba alikuwa nao na Jamshaid
@salimjkj
@salimjkj 3 жыл бұрын
@@mjm135 that maybe correct as not really documented ( a nice area to research) but my question was on heading, Kenya has currently being the "topic " "talk of town especially in TZ" while it only had one sentence in the whole story.... main, I believe, should have been TZ to bring back their history......
@mjm135
@mjm135 3 жыл бұрын
@@salimjkj nimekulia Mombasa and this story of the agreement between Kenyatta and Jamshaid keeps popping up whenever the people of coast feel marginalized, in fact in 2012 a movement known as "Pwani si Kenya" started and they wanted to breakaway and form their own country, which of course the Kenyan government didn't allow and came down hard on them. I've never bothered on that part of history how the Kenyan coastal strip was part of Zanzibar until I came across this, great history but controversial. Am Kenyan by the way
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
@@mjm135 lakini pwani ni Kenya...ila viongozi ndo bure...
@muhanaali2013
@muhanaali2013 3 жыл бұрын
KUTOKANA NA MANENO YAKE INAONEKANA KWELI ZANZIBAR HOI MASOMO HOI TATIZO SHULE
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Correction sarkali ya Mhamed Shamte na Wa Zanzibari 7
@hanschuma5439
@hanschuma5439 3 жыл бұрын
Ww mpumbav nn sisi wote niwatanzania Acha Habari zaki baguz mm nimzanzibar em Acha upuuz wako
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Alhamdulilah sasa ivi tunajitawala wenyewe Dkt Mwinyi oyeeee
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 3 жыл бұрын
Hoiiii bin taabaan na mwaka huu MAALIM SEIF TUNAMUAPISHA INSHALLAH
@namisgiggah1571
@namisgiggah1571 3 жыл бұрын
Unajitawala mwenyewe au beberu tanganyika ndio anekutawala! Zinduka pumbav wewe.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 maaaaaaaaawe!!!
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@namisgiggah1571 udini, ukabila na matusi ndio sera yenu so hujanishtua bado!
@namisgiggah1571
@namisgiggah1571 3 жыл бұрын
@@RioIpo nawe uchama ndio utakaukuua na Hao Hao Chama chako tawala
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc 3 жыл бұрын
Wametunakamisha ccm wallahi
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 жыл бұрын
Bora utwala wa kiarbu urudi kuliko kuwa na hawa matanganyika mavhogo
@ahmedalsalmi6327
@ahmedalsalmi6327 3 жыл бұрын
Mkundu www waje wakutawale ww na familia yako
@dj1447
@dj1447 Жыл бұрын
Samahani shekh wewe historia huijui au wewe ni mwoga
@fatmaalhabs6939
@fatmaalhabs6939 3 жыл бұрын
Oman haija yumba muogo wewe omani kila kitu vile vile
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Kabisa 👍
@ramseyhusseinkhamis8258
@ramseyhusseinkhamis8258 3 жыл бұрын
Kilwa haikua chini ya utawala wa Zanzibar ila Zanzibar ilikua chino ya utawala wa kilwa rekebisha kauli yako na fundisha watu ukweli
@rrrhhhsssal1617
@rrrhhhsssal1617 2 жыл бұрын
Sio sahihi pia Zanzibar ilikua na utawala wake Na kilwa ilikua na utawala wake
@smarty1064
@smarty1064 2 жыл бұрын
@@rrrhhhsssal1617 Uko sahihi kbs
@seanmurray6516
@seanmurray6516 2 жыл бұрын
Shame on you vipi wewe unadai Jamshid siyo Mzanzibari kwanini usijiseme wewe mwenyewe sio Mzanzibari. Au na wewe chuki unazo za wa Arabu kama baraka
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 3 жыл бұрын
Waambie hao wana maradhi ya choyo waeleze wasiojijua kazi chuki tuu
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 жыл бұрын
Serikali iliyopinduliwa ni ya ZNP+ZPPP COALITION.
@GlobalSouthObserver
@GlobalSouthObserver 3 жыл бұрын
Ni sultan aliyepinduliwa
@salehkhamis3063
@salehkhamis3063 3 жыл бұрын
Hao warabu wa Zanzibar wabaguzi kishenz na ukitaka kujua Hilo kama ww mtu mweusi nenda kapose mwarabu unaangaliwa juu na chini
@maryammohd5994
@maryammohd5994 3 жыл бұрын
Ukiwa na ma billion TU mbona unapewa
@didakassim8666
@didakassim8666 3 жыл бұрын
Saleh nawala siwaarabu pekeyao nasie wapemba upoubaguzi huo ukijulikana mmbara tu hwakutaki kujitia uwarabu huo ubaguz tunao asaaaaa
@ahmedalsalmi6327
@ahmedalsalmi6327 3 жыл бұрын
@@didakassim8666 saaaaaanaaaaa ty ilo kweli wapemba lipo
@didakassim8666
@didakassim8666 3 жыл бұрын
@@ahmedalsalmi6327 umeonaee laukweli lisemwe kaka tukisema tugeke tijiangalie natujirekebishe
@aishajuma7739
@aishajuma7739 3 жыл бұрын
Warabu wana nn laiti munge wajuwa hawa watu msinge wasifiya hawana lolote wenyewe wanawapenda waafarika waafarika tuko juu msisheshe ichi yetu kwanza ss ni wazuri sifa zote tunazo kiuno tunacho alafu warabu wenyewe wanatupenda hasa hawa wakiume wange weka sheriya yakuoa na kama ichi zingine warabu wangeowa ngozi nyeus wote wangeachika hawajiwezi
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Nani aliyekwambia🤣🤣🤣
@salummzee9739
@salummzee9739 2 жыл бұрын
Walio tutesa hao ss wapi Afroshiraz tukaungana sasa huru
@sportnews2640
@sportnews2640 3 жыл бұрын
Ujinga mtupu bado mnapenda utumwa na kutawaliwa
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
A waarbu ni watu wawema sana sasa ukoloni wa mtu mweusi
@pundetv6144
@pundetv6144 3 жыл бұрын
Kunajambo
@shaaabdull144
@shaaabdull144 3 жыл бұрын
Jamshid
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 3 жыл бұрын
Yaani jamaa ajiumauma kweli ili ahalalishe tu huyo mwarabu awe mzanzibari; ki-ufupi Oman ni nchi nyingine na iliitawala zanzibar na kuuzaa na masulia (vijakazi wao) na hivyo kuwepo hao wanaojifanya wazanzibar waarabu; ulisikia wapi ufalme unachaguliwa na wananchi ila ni kurithishana tu hivyo huyu Farid Himid ni kijukuu cha masulia wa waarabu!
@mombasa7
@mombasa7 2 жыл бұрын
Suria, suria watch lugha za kibara! Tanzania nimasikini kwa sababu uogozi mbaya!
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 2 жыл бұрын
Wewe unaipeda kujifanya majaji kumbe hana ulijualo. Kamauna unaijua historia nenda kwenye habari utuilimishe .ji stir usionekane bwege.
@binseifalsuleimaniy503
@binseifalsuleimaniy503 Жыл бұрын
Huna ulijualo kigurue weye
@khamissalum9285
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Mara nyingi mzazibari hatakataii warabu ila mijitu ya unguja ilio toka bara na wabara ndio wapingaji kumbe aduii yetu niwatu wabara ndio walio leta ukame
@abdulghaniy1926
@abdulghaniy1926 3 жыл бұрын
anadanganya tu huyu
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 3 жыл бұрын
Dua zangu nazifanya kupitia vitabu na dawa kulingana na matatizo yako.
@ayoubmwalim1535
@ayoubmwalim1535 3 жыл бұрын
Mwache afekwao hukukaja matembezi tu
@mossassaid2683
@mossassaid2683 3 жыл бұрын
Wewe ume zaliwa wapi mama ako na baba ako jee
@muhsinnainoabdullah1539
@muhsinnainoabdullah1539 3 жыл бұрын
Jamani eee msizunguke sana jamani adui wetu mkubwa jamani alikua fisadi nyerere laanatullah yule ndo alokua na choyo jamani et Leo awa ccm wasojielewa wanamuenzi yule mbwa nyerere kafa zanzibar kaicha kama alivyo ikuta inshaaalla ALLAH ampe adhabu ya kaburini na amuingize jahanamu mbwa yule
@Jal210
@Jal210 3 жыл бұрын
Leo ndiyo unamlaani nyerere wewe siyo vizuri hivyo Zanzibar imefaidika na muungano
@teamlovesquare3207
@teamlovesquare3207 3 жыл бұрын
@@Jal210 zanzibar imefaidika na muungano tusingetak uvunjike maaana hata uengerza inatka kujitoa brexit kwa sbb haifaidiki na ndio kama sis tunavotak
@Jal210
@Jal210 3 жыл бұрын
Wewe haifani namna hiyo kutukana
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 жыл бұрын
Kweli utumwa kuna watu bado wanaupenda, waliuza watu weusi kama tungule sokoni lakini mnaendelea uwasifu na kuwapenda.
@mossassaid2683
@mossassaid2683 3 жыл бұрын
Akili zako ngapi wewe
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 3 жыл бұрын
Wewe mpumbavu kweli
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 жыл бұрын
N R Ahsante sana.
@christophermahawi4920
@christophermahawi4920 3 жыл бұрын
Mossas Said Ahsante na kunitukana.
@maulidmnukwa3171
@maulidmnukwa3171 3 жыл бұрын
hata wazungu waliuza waafrika magharibi katika trans atlantic trade , issue kubwa hapo ni historia and not otherwise
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 жыл бұрын
Kama jamshid si mzanzibar nani mzanzibar na kwa kigezo gani kuwa fasaha na mkweli katika history yako usiongee kwa kumkwepa hatia
@filamupictures9349
@filamupictures9349 2 жыл бұрын
Umeelewa alichosema?? Amesema kisiasa, anachukuliwa sio Mzanzibari ila kiuhalisia yeye ni Mzanzibari, mbona unamtilia maneno mdomoni
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 2 жыл бұрын
@@filamupictures9349 mhh kazi ipo wa aina hiyo tupo weengi, hatuna vitambulisho vyenu vya ukaazi, kisiasa ni hila za kifisadi tu kuendeleza libeneke Lao, Leo mimi niwe mgeni mmasai, mnakonde, myao, mpare, mchaga watu ambao sikwambii miaka ya 1960 lakini mpaka 1980 ni watu ambao zanzibar walikuwa hawajulikani kwa saana Leo unawakuta majumba ya michenzani, kiimani, kwa mchina wakishikilia nafasi za ajira na utawala wakuonekana wenyeji wanabaki kuwa maadui wa utawala kulikoni?
@Cheffhood
@Cheffhood 3 жыл бұрын
wa2 hamji funzi pumbaaaff
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
MzeeBarwani
Рет қаралды 46 М.
KUSIMAMA NA KUDONDOKA KWA DOLA YA ZANZIBAR #3
19:08
Bin Seif
Рет қаралды 31 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 57 МЛН
Maisha ya ukwasi ya Sultan wa kwanza Zanzibar
38:51
ITV Tanzania
Рет қаралды 5 М.
JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI?
19:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 73 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН