Nyerere kapata amri kutoka England amrihusu akae Tanganyika ili aelekee England pamoja na raia wengine wa british waliokuwamo ndani ya meli hiyo
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Faridi Humid hongera sana kwa hii historia
@dionsangoa14283 жыл бұрын
Ambae hajaelewa huyu mswahili anaongea nini kama mimi aje huku kwa Said saidy tupate urojo😹
@rajabaliremtulla63692 жыл бұрын
Thks Farid you are a good historian
@saidal-hind53383 жыл бұрын
Zanzibar imekuwa ya mwisho duniani maaana hao ccm wa zanzibar wanachekesha sana hawataki warabu lakini wanaowa warabu znz husseni mwinyi mke wake muarabu, Amani karume, Ali karume, balozi seif ali idi
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Sasa hao wanawake wa kiarabu si wangekataa kuolewa na wamakonde hao?
@EK-kp2np3 жыл бұрын
@Said Al-hind: mke wa Hussein Mwinyi mwarabu🤔🤔??, ongea ulijualo😩
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Acheni ujinga
@patrickmwaki60423 жыл бұрын
Hawawataki kuwaongoza au kuwaowa na kuolewa nao🙄🙄🙄
@alimuhamed18303 жыл бұрын
Ujinganao unagalau utampaje muhogo mwenye sahani yapilau hao nivibaraka tu wawatanganyika
@abdulazizharthy56272 жыл бұрын
Alhamdulillah sultan Jamshid karudi kwenye asili yake arudi zanzibar afanyeje nchi imegeuka up side down imebakia magofu, chuki na ubaguzi wametahayari walio fanya khiyana na roho zao zilivyo mbaya
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Alhamdulilah karudi kwao na hana shida yuko juu na famili yake aje huko afate nini?
@abiboseleman16493 ай бұрын
Acheni ujinga wazanzibar
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Kiswahili chako kwa kweli ni burudani hongera sanaaa. Wengine waige na utulivu ulio nao kama mtafiti.
@saidyussuf229119 күн бұрын
Mtoaji maelezo hodari , Mungu ambariki
@ahmedalmaawaly80173 ай бұрын
Wacheni ujinga mnachukia warabu lakini Hadi Leo mnaombaomba kwao
@RioIpo3 жыл бұрын
D Swaga tukionana maskani lazima nikununulie Soda..umeiprove mshkaji wangu
@hgi66482 жыл бұрын
The best interpretation of the politics of history of Zanzibar. It wasn't the Sultanate that was overthrown but rather the Govt of Ali Mohsin and others that was supposedly to protect it but abundantly failed to do so.
@sulimanmasoud93372 жыл бұрын
Corruption srkali ya Marhum Mhamed Shamte.
@mfyoko2 жыл бұрын
@@sulimanmasoud9337 hiyo corruption ilipata muda gani katika kipindi cha mwezi mmoja?
@salehalzakwani32833 жыл бұрын
Mashaallaah uko vizuri
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Hiyo lanaa ya uvamizi NA mauaji ingekua jamshid yupo ingekua zanzibari tajiri duniani kama dobai wa oman wa najua kutengeneza NA inayostajabu waliuliwa NA baado wanaleta misada nyingi sana kwa wazanzibari NA kujenga msikiti NA shule NA hivi sasa wazanzibari wameja tele oman wanafanya kazi subuhana allah
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Unajua wanachipitia ndug zako lkn uko Oman hebu waulize wakupe majib vzur wallahi hawa watu walikuja Africa kuchuma Mali zetu japo atutaki kukubali maana
@ramadhanmusa28783 жыл бұрын
Sema ukweli mulimgeukia sultan ndio ikabidi akimbilie uingereza..pia Oman walimzuia Jamshid kurudi sababu hakua na maskilizano mazuri na family yake ya Oman
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
Sasa kila mtu akitaka kuoa mwarabu hawa dada zetu wa kiswahili waolewe na nani? Nyinyi mnajiona mnawaibisha waarabu kumbe mnajiaibisha. Kwani lazma nyote muoe waarabu? Kwani waarabu wana kipi ambacho waswahili hawana? Naona mnalalamiika kuwa waarabu hawataki kukuozesheni watoto wao. Waarabu ni binaadamu tu kama waswahili, kwa hivyo wengine oweni waswahili ili muwastiri dada zetu. Muache kujenga chuki za kijinga. Hapa cha muhimu CCM iondoke tu madarakani, hizi pumba nyengine hatuzitaki kuziskia.
@salmasalim60553 жыл бұрын
Wow 👍
@nohatredbutlove57863 жыл бұрын
@@salmasalim6055 👌👌
@bigjizee41303 жыл бұрын
Mmmmmmh
@kesslycompanyltd3 жыл бұрын
Kabisa
@nightwishisthegreatestband63553 жыл бұрын
Sasa ccm na muoa waaraba wapi na wapi?
@saidabdala49803 жыл бұрын
Mfalme wetu. .karibu kwenu. Tunajuwa kila kitu.
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Anayejua historia zaidi yake ajitokeze aandike ama ahojiwe ili ukweli upatikane. Kumshambulia na nikirudi na vijembe hakuikuzi historia.
@fatmasaid58643 жыл бұрын
Jemshid hana haja ya kuja znz tena musiwe na wasi wasi
Tumeshachoka nahao wanaojidayi niwafalme kwenye nchi zetu wafalme wako kwao Sisi tulikuwa nawafalme wetu niwafrika sio warabu kwabahati mbaa hao warabu waliwauwa ili wachukuwe mamlaka
@teamlovesquare32073 жыл бұрын
Zanzibar ishawah kuongozwa na mfalme mwafrika hujui hata historia
@sulimanmasoud93372 жыл бұрын
Wacha uwogo kumbe huna nalolijua
@madetetv65762 жыл бұрын
@@teamlovesquare3207 unamfaham Mwinyi mkuu
@mohamedsheikh6618 Жыл бұрын
@@madetetv6576 mwinyi mkuu si mtu mwenye mishipa au?
@alhabsi6430 Жыл бұрын
@@teamlovesquare3207🤣🤣🤣🤣
@loner_wolf3 жыл бұрын
Jamsheed kwa kiswahili tumeitohowa na kuwa ni mtu asiyejiweza kwa lolote anatafanyiwa kila kitu hata kula analishwa 😄😄😄😄😄
@zaharahasan19123 жыл бұрын
Nasikia waliompindua ni waingereza na baada ya kumpindua wakamchukua kwao
@rahmamusa96273 жыл бұрын
Mashallaha
@abudimuddy5173 жыл бұрын
Millard hawa ma presenter wako ni kiboko yani mashallah....umemakinika sana kwa kuchagua vibaji bro 👍👍👍
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Hongera kwa kueleza ukweli juu ya Mwl Nyerere "mtu aliyejua siasa pdana". Kweli Mwl alikuwa mjuzi wa siasa sio siasa.
@muhammadrashid96453 жыл бұрын
Haiko sawa hii
@labunaabouna61222 ай бұрын
Nlikua namuona u.k kabla hajarud mwaka juzi km hakuwahi vile ufalme yupo simple kuliko hana mengi
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Mi mzanzibar. waarabu nawajua vzur2 nakaa nao jiran yani hawatak watu weusi waowe wana wao. mtashirikiana tu baadhi ya mambo ila mambo mengne wanatubagua
@ibnkhaldun11643 жыл бұрын
Uwongo pumbavu zako
@MrKhatibu3 жыл бұрын
Mbona pemba unapata mke wa kiarabu tena kwa mafungu ukitaka, ila Unguja ni kweli
Jamani wazanzibar mmesahau biashara ya utumwa ilifanywa na Nani?, haohao Leo mnawatukuza kuwaita wafalme wenu,kwani sasahivi mnatumikishwa na Nani ? Warabu wa Oman hawawezi kuwatazama kwa hadhi moja na wao kwao nyie ni watumwa tu hata kama unarangi ya kiarabu.sasa kumbukeni kuwa nyinyi sasa ni watu huru hiyo inatosha kuwafanya mjiskie proud.
@allymassudi15802 жыл бұрын
wajuwaje wy
@dengemuhidinimuhidini323011 ай бұрын
Muungu akuweke mahala pema ,all Zanzibarian we are together
@kuschprince32163 жыл бұрын
"Wazanzibar na Wapemba" mkiwa mnataka Mfalme Jamshid" arudi kua mfalme wenu, mnahaki!! Anzeni kukusanya sahihi za kubadilisha mkataba ulioleta Tanganyika na inchi yenu pamoja.Sheria ziko wazi,kila jamii ina haki ya kujitawala kisisa. kiuchumi,kielmu na hata kitamaduni.Itawahitaji muende kwenye kura ya maoni,na mfafanue ni nani anatakikana kuruhusiwa kupiga kura hiyo,ni mpemba na Mzanzibar tuu au hata wa Tanzania bara??!! Kuhusu Marehemu "Sultan Qaboos"yeye alikua msomi mkubwa sana wa elmu ya kisasa kutoka uingereza na alipomaliza ,akampendua babake na kuitoa inchi hiyo katika hali ya umasikini na kuifanya inchi tajiri ambayo inaheshimika sana duniani.Watu waomani ni matajiri na hawajapoteza muelekeo kama majirani zao, wameleta maendeleo na utamaduni wao pamoja.
@MohamedMohamed-fg1kh3 жыл бұрын
Hatutaki mfalme
@Kapunyu3 жыл бұрын
Sio lazima muwe na mfalme bali mtakuwa na kiongozi wenu lakini mtaomba himaya kutoka Oman,na uingereza,zanzibar itanawiri sana itainuka kiuchumi,
@GlobalSouthObserver3 жыл бұрын
@@Kapunyu omani si wachukue Mombasa na Somalia pia
@jimj82852 жыл бұрын
@@MohamedMohamed-fg1kh mkundu wako nyau weyee!!
@abubakarkassim41614 ай бұрын
Jemshid sio mfalme wa mwisho zanzibar na wala hajapinduliwa zanzibar alitowa uhuru 1963 chini ya serikali ya uingerza mfalme aliyepinduliwa 1964 ni mohamed shamte huyu jamaa hailewi historia
@abiboseleman16493 ай бұрын
Watu kama wale hawauliwi eti wanamchango mkubwa kwa jamiii kisa waaaarab ila kinje alinyongwa na wazungu wazanzibar waarab mnawaona km ndio familia yamungu vile
@danielkwilemba47153 жыл бұрын
Naona Jamshet naona anafanana na Malim Self Khamad !!!
@Kapunyu3 жыл бұрын
Ni ubora kuwe na channel makhsusi ya historia ya zanzibar na wafalme waliotawala zanzibar pamoja na utamaduni wa Mzanzibari na visiwa vyote.
@almatani99983 жыл бұрын
Zanzibar was like best city in the world, but Africans didnt want to be best people un best land so they killed the people who developed east africa and became poor again 😔 we need omanis again in Zanzibar
@salisali37383 жыл бұрын
نايس
@kanaanrajab89903 жыл бұрын
A,ALEIKUM KUMBE MNALIJUA HILO MAFAHARI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA" SASA MUONGANO WA NINI
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo mfalme ni mzanzibari amezaliwa pemba NA mama yake mwafrika ni mwanchi NA wala hakurudi oman NA wazanzibari baadaye waliruhusu kurudi kama mwananchi NA wazanzibari wanampenda basi tamaa ya madaraka ya karume NA nyerere wsmesababisha kupoteza mamlaka ya zanzibari NA mauaji ya zaidi elfu kumi tano wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma kwa jemedari okelo kutoka uganda
@ibrahimmussaali51793 жыл бұрын
Huyu anaujua ukweli ila anaficha wacha history ya ccm izo
@abiboseleman16493 ай бұрын
Basi wazanzibar wanamuona jamaa shujaaa huyo😅😅😅
@andrewnyamwaro51743 жыл бұрын
Sultan! No way. Tell it the birds.
@kheirmbarouk83733 жыл бұрын
ilove zanzibar iko ck insha allah itajirudi zanzibar kwa uwezo wa allah
@simkotec30913 жыл бұрын
Naangalia hii video baada ya magufuli kufa napata maswali mengi Sana🧐🤔
@zahorrashid54593 жыл бұрын
ccm wameimaliza znz .Tanganyika aliipindua znz bila kumwaga damu.
@mzuvendi3 жыл бұрын
Samahani huyu jamaa 60% kaongea porojo..kwanza Nyerere hakumkaribisha Tanganyika..aliletwa na waingereza wakati huo Nyerere alikuwa hana lolote hata alipopinduliwa na jeshi akaenda mafichoni waingereza ndio walioleta jeshi na kumrejesha madarakani..pumba tupu! Bado akasome tena..
@qassim_zr2 жыл бұрын
Hujui unasema nini ipo clip ya Jamshid mwenyewe akitoa shukrani kwa Nyerere kwa kumpa hifadhi
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Sahihi nyerere alipinduliwa NA jeshi akawaita wangereza haraka sana NA wangereza wakaleta meli ya kivita NA ndege wakarudisha nyerere nyerere alikwa kibaraka wa wazungu wangereza historia hio watu wengi hawajui
@amanmohd94353 жыл бұрын
Farid unamtaja Ali Muhsin Barwan unamuacha aliekua mkuu wa serikali ambae ni Waziri Mkuu Sheikh Mohammed Shamte ...
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Dunia inajigeuza na siasa hujigeuza. Hili ni neno kubwa sana.
@greatiq78353 жыл бұрын
Eeh. Akome!
@kanaanrajab89903 жыл бұрын
JAMSHEED HAJA KIMBIA ILA AMEONDOKA MWENYEWE ACHAKIPOTEZA WATU SISI HI WARABU TULIO BAKI ZANZIBAR FROM BAHLAI WEWE KUTOKA KIJIJI GANI CHA OMAN
@khalidibrahim457920 күн бұрын
Farid unakosea ukisema si mzanzibari upande wa bibi yake mzababa tokeasayyid Said from 1870 na wazanzibari wengi asili zao bara India Comoro India sirazIran waasli wa hadimu wa tumbatu
@saidjuma97823 жыл бұрын
Wazanzibari sie hatuna shobo za Kijinga
@kauryatechnical993 Жыл бұрын
Acha kutumbia Mambo hovyo
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Bora tungechanganya na wa UK.kuliko mabulushi
@Jal2103 жыл бұрын
CCM hajaimaliza znz acheni umbeya
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
"Watu wa siasa wanayo maneno mengi" bora umewaambia ukweli
@saidal-hind53383 жыл бұрын
Zanzibar inahitaji uwongozi mwengine
@RioIpo3 жыл бұрын
Naam Tunamtumainia Hussein Mwinyi...uyo batwaani wenu Sefu Sharifu wala hawi Rais
@yasiralkindi53323 жыл бұрын
Cwa kabsa
@yasiralkindi53323 жыл бұрын
@@RioIpo Huo ndo yale yale ya ccm kwahio tunautaka uongozi mwengine
@RioIpo3 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 kama humtaki Hussein Mwinyi na Seif nae asiwee
@yasiralkindi53323 жыл бұрын
@@RioIpo Bc tumueke baba yako sorry lkn km nimekuudhi ila ni km ushauri tu
@zuwenasaid97073 жыл бұрын
Aliangushwa kwa ujinga wake huyo mjinga mwache akafie huko watu wapate pesa kupitia kaburi lake.
@SalimAlly3 жыл бұрын
Mwache aende zake uko akapotee hatutaki shobo zake sie
@user-yy6vy4xu2s4 ай бұрын
Mfalme mpya wa omani anatokana na Turk albusaid na jamshed anatokana na nasabu ya turk abusaid.
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mtu kwao jamani mtu asiwe mkimbizi milele.
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Ile film tulio ona Google ni kweli elfu ishirini walikufa watoto wadogo NA wazee NA wanawake wanatolewa masiku ya manane NA kuuwa NA kuzikwa pamoja
@zuwenasaid97073 жыл бұрын
Nyinyi waomani mfungeni kamba huyo asije akatutawala huku Zanzibar hatukubali tutakuja huko huko Omani kuwamaliza maana mapinduzi hayajawapata vizuri tutatembeza mapanga huko huko tuwakatekate vipande sijui kwa nini tuliwabakisha kwa hiyo muwe makini tuko tayari na chochote tutawamaliza Tanzania mliyoiwacha sio ya leo mtajuta zuiyeni mtu wenu huyo ohoooo
@teamlovesquare32073 жыл бұрын
Bora uo usultan urudi lkn kuliko kuishi na tangayika wanaotufisi na kutuangushia zanzibar yetu
@walidkhalfan74373 жыл бұрын
JinA lako haliendani na matamshi yako.. mwanandani inakusubiri kaburini
@crayonmaze99703 жыл бұрын
Zuwena said una jina la kiarabu, 😉😉😉 tena hayo majina asli yake ni Oman
@rwandaoman17813 жыл бұрын
Dawa yenu ccm itawatawala mpaka mwisho midomo tu zanzibar yetu mkoa wa tanzania hamna lenu
@abdilkadirali4573 жыл бұрын
Mpumbavu umkate nani mapanga ndio maana tulikupiga mtungo malaya wa michenzani unaejiuza wewe na mama yako kuma wee
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Ni kweli fazach bora serkali ya znz ingemjengea rasmi na kumleta jemshid ingekua sana kiutalii lakini mhhhh sijui kwanini wamemuacha
@RioIpo3 жыл бұрын
Na aende uko ... Mapinduzi daima
@ayoubmwalim15353 жыл бұрын
Mwache afe ukouko huku c kwao kaja kimatembez tu
@alimakame92153 жыл бұрын
Wanaitikadi et watakujawarabu
@alhabsi64302 жыл бұрын
@@ayoubmwalim1535 hana haja na huko kashastarehe huku oman akutakia nini huko tena
@alhabsi64302 жыл бұрын
@@ayoubmwalim1535 hana haja na huko kastarehe huku oman kitu gani kimlete huko
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Firaun na Ibilisi wametajwa katika maandiko......mtu mzuri na wabaya lazima wachangamane. Siasa sio kazi ndogo. Zanzibar wanajua hadhi yao hawababaishwi na wageni. Aliangushwa na fitina za organisation walikuwa hawajafahamika.
@ibrahimmussaali51793 жыл бұрын
Wenye tunajua kila kitu
@kamanyolabilajasho38332 жыл бұрын
Haki ya mungu Millardayo mmekosa mwana historia ila huyu? Mbona anabolonga? Bado mna kazi ya ziada!
@amanmohd94353 жыл бұрын
Farid umenichekesha ..leo nitakutafuta
@nanjiTv3 жыл бұрын
Huyu mtu ni mwanahistoria kweli. Mfasaha katik kuzungumza
@muhanaali20133 жыл бұрын
MANENO YAKE YANAGONGANA ITAKUAJE SAID KHALIFA AMERITH UFALME KUTOKANA NA MKE WAKE APOPO BABUZAKE KHALIFA WALIKUA WAFALME KUTOKANA NA MANENO YAKE MWENYEWE KASEMA SAID BIN SULTAN ALIRITHISHA WATOTO WAKE MOJA OMAN MOJA ZANZIBAR KWAHIO URITHI UMEANZIA JU
@ahmedalmaawaly80173 ай бұрын
Miaka 60 hat maki hakunajini looh
@kanaanrajab89903 жыл бұрын
ZANZIBAR SIO VISIWA NI NCHI KAMILI
@emmadora78483 жыл бұрын
Kwenye ramani ya dunia hakuna nchi ya Zanzibar
@kanaanrajab89903 жыл бұрын
RAMANI NI "IMMAGINARY LINE "NI MISTARI YA KUBUNI SO KILA MTU ANAWEZA KUCHORA WAKE THEN RAMANI ZILIZO PITA ZIKIICHANGANIJA POLAND&GERMAN,ENGLAND&DENMARK,HONGKONG ,CHINA SO LAKINI ALAAN NI TOFAUTI
@suadbarwani41173 жыл бұрын
Jina lolòte ni jina madam wazee wamelipenda
@saudalkhanjry95593 жыл бұрын
Hata Baba yake qaboos kazikwa uwengereza Vipi amuache Jamshid arudi Oman huyu nimfalme mpaya ndio kamrudisha
@salimjkj3 жыл бұрын
Amazing history although controversial but still history. But what is odd is the topic " hakurusiwa kuingia Kenya "..... doh, yaani mpaka Kenya ingizwe......subliminal subjugation........Media can be a problem
@mjm1353 жыл бұрын
Kenyatta alikuwa hataki shida, sababu Mombasa tayari ilikuwa si sehemu ya Kenya na Kenyatta alikuwa ashakiuka masharti mengi kwenye ule mkataba alikuwa nao na Jamshaid
@salimjkj3 жыл бұрын
@@mjm135 that maybe correct as not really documented ( a nice area to research) but my question was on heading, Kenya has currently being the "topic " "talk of town especially in TZ" while it only had one sentence in the whole story.... main, I believe, should have been TZ to bring back their history......
@mjm1353 жыл бұрын
@@salimjkj nimekulia Mombasa and this story of the agreement between Kenyatta and Jamshaid keeps popping up whenever the people of coast feel marginalized, in fact in 2012 a movement known as "Pwani si Kenya" started and they wanted to breakaway and form their own country, which of course the Kenyan government didn't allow and came down hard on them. I've never bothered on that part of history how the Kenyan coastal strip was part of Zanzibar until I came across this, great history but controversial. Am Kenyan by the way
@mpendakiswahili30532 жыл бұрын
@@mjm135 lakini pwani ni Kenya...ila viongozi ndo bure...
@muhanaali20133 жыл бұрын
KUTOKANA NA MANENO YAKE INAONEKANA KWELI ZANZIBAR HOI MASOMO HOI TATIZO SHULE
@sulimanmasoud93372 жыл бұрын
Correction sarkali ya Mhamed Shamte na Wa Zanzibari 7
@hanschuma54393 жыл бұрын
Ww mpumbav nn sisi wote niwatanzania Acha Habari zaki baguz mm nimzanzibar em Acha upuuz wako
@RioIpo3 жыл бұрын
Alhamdulilah sasa ivi tunajitawala wenyewe Dkt Mwinyi oyeeee
@yasiralkindi53323 жыл бұрын
Hoiiii bin taabaan na mwaka huu MAALIM SEIF TUNAMUAPISHA INSHALLAH
@namisgiggah15713 жыл бұрын
Unajitawala mwenyewe au beberu tanganyika ndio anekutawala! Zinduka pumbav wewe.
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@yasiralkindi5332 maaaaaaaaawe!!!
@RioIpo3 жыл бұрын
@@namisgiggah1571 udini, ukabila na matusi ndio sera yenu so hujanishtua bado!
@namisgiggah15713 жыл бұрын
@@RioIpo nawe uchama ndio utakaukuua na Hao Hao Chama chako tawala
@MohdAli-cx7bc3 жыл бұрын
Wametunakamisha ccm wallahi
@teamlovesquare32073 жыл бұрын
Bora utwala wa kiarbu urudi kuliko kuwa na hawa matanganyika mavhogo
@ahmedalsalmi63273 жыл бұрын
Mkundu www waje wakutawale ww na familia yako
@dj1447 Жыл бұрын
Samahani shekh wewe historia huijui au wewe ni mwoga
@fatmaalhabs69393 жыл бұрын
Oman haija yumba muogo wewe omani kila kitu vile vile
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Kabisa 👍
@ramseyhusseinkhamis82583 жыл бұрын
Kilwa haikua chini ya utawala wa Zanzibar ila Zanzibar ilikua chino ya utawala wa kilwa rekebisha kauli yako na fundisha watu ukweli
@rrrhhhsssal16172 жыл бұрын
Sio sahihi pia Zanzibar ilikua na utawala wake Na kilwa ilikua na utawala wake
@smarty10642 жыл бұрын
@@rrrhhhsssal1617 Uko sahihi kbs
@seanmurray65162 жыл бұрын
Shame on you vipi wewe unadai Jamshid siyo Mzanzibari kwanini usijiseme wewe mwenyewe sio Mzanzibari. Au na wewe chuki unazo za wa Arabu kama baraka
@zuwenasaid97073 жыл бұрын
Waambie hao wana maradhi ya choyo waeleze wasiojijua kazi chuki tuu
@amanmohd94353 жыл бұрын
Serikali iliyopinduliwa ni ya ZNP+ZPPP COALITION.
@GlobalSouthObserver3 жыл бұрын
Ni sultan aliyepinduliwa
@salehkhamis30633 жыл бұрын
Hao warabu wa Zanzibar wabaguzi kishenz na ukitaka kujua Hilo kama ww mtu mweusi nenda kapose mwarabu unaangaliwa juu na chini
@maryammohd59943 жыл бұрын
Ukiwa na ma billion TU mbona unapewa
@didakassim86663 жыл бұрын
Saleh nawala siwaarabu pekeyao nasie wapemba upoubaguzi huo ukijulikana mmbara tu hwakutaki kujitia uwarabu huo ubaguz tunao asaaaaa
@ahmedalsalmi63273 жыл бұрын
@@didakassim8666 saaaaaanaaaaa ty ilo kweli wapemba lipo
Warabu wana nn laiti munge wajuwa hawa watu msinge wasifiya hawana lolote wenyewe wanawapenda waafarika waafarika tuko juu msisheshe ichi yetu kwanza ss ni wazuri sifa zote tunazo kiuno tunacho alafu warabu wenyewe wanatupenda hasa hawa wakiume wange weka sheriya yakuoa na kama ichi zingine warabu wangeowa ngozi nyeus wote wangeachika hawajiwezi
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Nani aliyekwambia🤣🤣🤣
@salummzee97392 жыл бұрын
Walio tutesa hao ss wapi Afroshiraz tukaungana sasa huru
@sportnews26403 жыл бұрын
Ujinga mtupu bado mnapenda utumwa na kutawaliwa
@alialamoudi97292 жыл бұрын
A waarbu ni watu wawema sana sasa ukoloni wa mtu mweusi
@pundetv61443 жыл бұрын
Kunajambo
@shaaabdull1443 жыл бұрын
Jamshid
@mengikiguruwe67503 жыл бұрын
Yaani jamaa ajiumauma kweli ili ahalalishe tu huyo mwarabu awe mzanzibari; ki-ufupi Oman ni nchi nyingine na iliitawala zanzibar na kuuzaa na masulia (vijakazi wao) na hivyo kuwepo hao wanaojifanya wazanzibar waarabu; ulisikia wapi ufalme unachaguliwa na wananchi ila ni kurithishana tu hivyo huyu Farid Himid ni kijukuu cha masulia wa waarabu!
@mombasa72 жыл бұрын
Suria, suria watch lugha za kibara! Tanzania nimasikini kwa sababu uogozi mbaya!
@sulimanmasoud93372 жыл бұрын
Wewe unaipeda kujifanya majaji kumbe hana ulijualo. Kamauna unaijua historia nenda kwenye habari utuilimishe .ji stir usionekane bwege.
@binseifalsuleimaniy503 Жыл бұрын
Huna ulijualo kigurue weye
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Mara nyingi mzazibari hatakataii warabu ila mijitu ya unguja ilio toka bara na wabara ndio wapingaji kumbe aduii yetu niwatu wabara ndio walio leta ukame
@abdulghaniy19263 жыл бұрын
anadanganya tu huyu
@hamadatahir93073 жыл бұрын
Dua zangu nazifanya kupitia vitabu na dawa kulingana na matatizo yako.
@ayoubmwalim15353 жыл бұрын
Mwache afekwao hukukaja matembezi tu
@mossassaid26833 жыл бұрын
Wewe ume zaliwa wapi mama ako na baba ako jee
@muhsinnainoabdullah15393 жыл бұрын
Jamani eee msizunguke sana jamani adui wetu mkubwa jamani alikua fisadi nyerere laanatullah yule ndo alokua na choyo jamani et Leo awa ccm wasojielewa wanamuenzi yule mbwa nyerere kafa zanzibar kaicha kama alivyo ikuta inshaaalla ALLAH ampe adhabu ya kaburini na amuingize jahanamu mbwa yule
@Jal2103 жыл бұрын
Leo ndiyo unamlaani nyerere wewe siyo vizuri hivyo Zanzibar imefaidika na muungano
@teamlovesquare32073 жыл бұрын
@@Jal210 zanzibar imefaidika na muungano tusingetak uvunjike maaana hata uengerza inatka kujitoa brexit kwa sbb haifaidiki na ndio kama sis tunavotak
@Jal2103 жыл бұрын
Wewe haifani namna hiyo kutukana
@christophermahawi49203 жыл бұрын
Kweli utumwa kuna watu bado wanaupenda, waliuza watu weusi kama tungule sokoni lakini mnaendelea uwasifu na kuwapenda.
@mossassaid26833 жыл бұрын
Akili zako ngapi wewe
@NR-ll4sr3 жыл бұрын
Wewe mpumbavu kweli
@christophermahawi49203 жыл бұрын
N R Ahsante sana.
@christophermahawi49203 жыл бұрын
Mossas Said Ahsante na kunitukana.
@maulidmnukwa31713 жыл бұрын
hata wazungu waliuza waafrika magharibi katika trans atlantic trade , issue kubwa hapo ni historia and not otherwise
@mohamedsheikh66182 жыл бұрын
Kama jamshid si mzanzibar nani mzanzibar na kwa kigezo gani kuwa fasaha na mkweli katika history yako usiongee kwa kumkwepa hatia
@filamupictures93492 жыл бұрын
Umeelewa alichosema?? Amesema kisiasa, anachukuliwa sio Mzanzibari ila kiuhalisia yeye ni Mzanzibari, mbona unamtilia maneno mdomoni
@mohamedsheikh66182 жыл бұрын
@@filamupictures9349 mhh kazi ipo wa aina hiyo tupo weengi, hatuna vitambulisho vyenu vya ukaazi, kisiasa ni hila za kifisadi tu kuendeleza libeneke Lao, Leo mimi niwe mgeni mmasai, mnakonde, myao, mpare, mchaga watu ambao sikwambii miaka ya 1960 lakini mpaka 1980 ni watu ambao zanzibar walikuwa hawajulikani kwa saana Leo unawakuta majumba ya michenzani, kiimani, kwa mchina wakishikilia nafasi za ajira na utawala wakuonekana wenyeji wanabaki kuwa maadui wa utawala kulikoni?