No video

MAGONJWA YA PILIPILI HOHO NA JINSI YA KUDHIBITI : 02

  Рет қаралды 5,668

AGALUS  TV

AGALUS TV

4 жыл бұрын

-KILIMO Cha pilipili HOHO ni miongoni mwa KILIMO Cha mazao ya bustani.
- Changamoto kubwa la zao hili Ni magonjwa. Huweza kuleta hasara Hadi 💯% endapo tu jitihada madhubuti hazitachukuliwa kudhibiti magonjwa Aya
-Katika SoMo hili la sehemu ya 01 tutaona Ugonjwa wa
1. Batobato
2. Chile
-Magonjwa yote Aya ushambulia zao la hoho na kuleta hasara kwa wakulima
-Tujifunze kwa kina dalili za Ugonjwa na mbinu za kudhibiti magonjwa aya

Пікірлер: 48
@user-ls2uj3fl1o
@user-ls2uj3fl1o 3 ай бұрын
Somo Zuri naomba no
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 ай бұрын
Ok
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 2 жыл бұрын
Ahsante kwa somo hili.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pamoja🤝🤝
@eyksaz3677
@eyksaz3677 3 жыл бұрын
Napenda sana kilimo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu Sana ndugu
@susandadili9556
@susandadili9556 3 жыл бұрын
Nimeipenda....darasa zuri sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Asante Sana kwa kuiangalia video hii. Nakutakia mafanikio Katika kilimo
@Jiko266
@Jiko266 3 жыл бұрын
Sawa qq nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Karibu Sana katika kilimo
@francismua7825
@francismua7825 3 жыл бұрын
Cool
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝
@user-ls2uj3fl1o
@user-ls2uj3fl1o 3 ай бұрын
Mtoege namba jamani somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 ай бұрын
Sawa ndugu
@tatumilima9379
@tatumilima9379 Жыл бұрын
Magonwa mengine
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
#magonjwayakuku
@danielloodo
@danielloodo 3 ай бұрын
Dawa inayotibu huyo kimamba na huyo chule inayotokana na ukungu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 ай бұрын
Zipo nyingi Sana ndugu apo tembelea duka LA Kilimo watakupa dawa waliyonayo
@abellyakula5102
@abellyakula5102 Жыл бұрын
Asante Kwa somo zuri ,pia nami nimeanza kuona hizo dalili sikuwa na ufahamu zaidi kuhusu dawa za kutumia naomba msaada juu ya dawa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Dawa apo itabidi uende dukani la pembejeo mweleze hizi dalili akupatie dawa aliyonayo maana Dawa Zipo nyingi sana. Hatutajua ni ipi anayo
@monicaoscarkaaya4104
@monicaoscarkaaya4104 Жыл бұрын
Sawa za kutumia
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ok
@sudyjuma5421
@sudyjuma5421 Жыл бұрын
Kipi kipimo sahihi cha shimo na shimo
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sm 30 kwa sm 50 mstar kwa mistari
@nicksonkihombo1926
@nicksonkihombo1926 2 жыл бұрын
naomba kuuliza ivi pili pil hoh inakuwa kwa md gan mpak kukomaaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Miez 2 kwenye kitalu na miez 3 hadi kukomaa
@witnesspeter4181
@witnesspeter4181 2 жыл бұрын
Nimependa darasa naomba elimu ya pruning
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
OK
@jamiladeus2396
@jamiladeus2396 3 жыл бұрын
Uje ulete somo la pilipili kichaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ucjali Mungu ni mwema tuombeane uzima. Japo unaweza uliza ukajibiwa kwenye pilipili wahitaji kujua nini naweza kukusaidia
@witnesspeter4181
@witnesspeter4181 2 жыл бұрын
Naomba kujua dawa ya magojwa hayo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok ucjali
@oscarkaaya7650
@oscarkaaya7650 Жыл бұрын
Dawa za kutumia kwenye huu ugonjwa wabatobato
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Zipo nyingi mkuu ni vizuri ukaenda duka La pembejeo atakupa iliyopo
@ameirsalmini6253
@ameirsalmini6253 6 ай бұрын
Ndo mutuambiye ss kuwa dawa za kutumia so tuende pembejeo mana waliowengi maduka ya pembejeo hawajui matumizi ya dawa ila wanajuwa majina ya dawa so mutuambiye Ili tukienda tuu tununuwe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
OK apo tumekupata
@rizikihamza2377
@rizikihamza2377 2 жыл бұрын
Ahsante lakini mkielezea ugonjwa hapo hapo tupeni na dawa kwani mnatuweka njia panda
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok shida madawa ni mengi sana kwa tunaogopa kuwachanganya watu pia kumbuka izi dawa ni kampuni za watu🙏🙏 bt tunaweza wasiliana zaidi
@witnesspeter4181
@witnesspeter4181 2 жыл бұрын
Je nikiona hao nzi weupe kwenye mmea naweza piga dawa ipi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Tumia vimpira au dawa ya kuwa vuta ao nzi na kuwakusanya. Pamoja Zipo izi dawa kwa maduka ya pembejeo ndugu
@barakaelirabieli1697
@barakaelirabieli1697 2 жыл бұрын
Mbolea ngani ya kukuzia hoho inayoshauriwa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Zote ni nzuri tu
@barakaelirabieli1697
@barakaelirabieli1697 2 жыл бұрын
@@AGALUSTV hoho za rangi ya njano ni tumie dawa ngani au kirutubisho ngani nipige
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mbolea za kupandia hakuna
@bakarmakame3235
@bakarmakame3235 2 жыл бұрын
Tunaomba mutuambie ni dawa gani tutatumia ikiwa Kuna uginjwa fulani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Ok 🙏
@kisurajonas3800
@kisurajonas3800 3 жыл бұрын
Ni dswa ya aina gani nzuri kupulizia?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
KUHUSU madawa naomba tuwaone wataalamu wetu wa madawa . Mimi Ni mkulima tu nami naenda kupata ushaur toka kwao dawa gani nitumie ila uwa naenda na taarifa kamili za tatizo husika ndugu
MAGONJWA YA PILIPILI HOHO NA JINSI YA KUDHIBITI: 02
9:01
AGALUS TV
Рет қаралды 1,5 М.
kilimo cha pilipili hoho stage ya mwisho kangeta kilimo
5:01
Kangeta kilimo
Рет қаралды 10 М.
Delivery!! Part3 #shorts #トイキッズ
00:23
Toy Kids★トイキッズ
Рет қаралды 9 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН
KILIMO CHA PILIPILI HOHO
7:13
KILIMO PESA
Рет қаралды 10 М.
Kilimo cha Pilipili Hoho/Green Pepper Farming in Kenya ||Akili Shambani
28:16
#SHAMBALULU: Pata darasa la kilimo cha pilipili hoho
28:55
ITV Tanzania
Рет қаралды 22 М.
MUONGOZO WA KUTUNZA HOHO KWA WIKI TATU ZA MWANZO
18:40
MINJA KILIMO
Рет қаралды 2,1 М.