Kutana na wakulima wa hoho, wanao zingatia technoloia bora za uzalishaji wa mazao shambani ambao, wamenufaika na mradi wa feed the future mboga na matunda Tanzania.
Пікірлер: 30
@MariamJuma-pf5ky8 ай бұрын
Ahsante sana Kwa elimu nzuri
@jameslyatuu953 жыл бұрын
Sana
@user-ls2uj3fl1o3 күн бұрын
Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi
@jescajoshua51333 жыл бұрын
Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko
@josephwattay49044 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa elimu.
@digitalfarms90534 жыл бұрын
Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,
@natoiwokizablon84673 жыл бұрын
Very nice wamewaza kitu kizuri
@setotvtz4 жыл бұрын
Ndiyo ndiyo
@digitalfarms90534 жыл бұрын
seto tv Karibu sana watu wa nguvu seto tv
@chiefandrewkidulile30284 жыл бұрын
Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi
@digitalfarms90534 жыл бұрын
Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.
tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms
@reubenrichard59614 жыл бұрын
Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!
@digitalfarms90534 жыл бұрын
REUBEN RICHARD Asante sana. Kazi nzuri zitazidi kuja, Nashukuru kwa support yako.
@reubenrichard59614 жыл бұрын
Karibu Sana!
@mpelwahenry4 жыл бұрын
#Ndio ndio
@digitalfarms90534 жыл бұрын
mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.
@omarizubeda9774 жыл бұрын
Nc idea
@digitalfarms90534 жыл бұрын
omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo
@mrsmartfarm13134 жыл бұрын
Nice work boss
@digitalfarms90534 жыл бұрын
herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.
@luhembekilatu36514 жыл бұрын
Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?
@alexandermtenga42134 жыл бұрын
nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo
@AIG71873 жыл бұрын
Kilimo ni lugha yetu #Vijana tusonge mbele
@alexandermtenga42134 жыл бұрын
mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo