MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"

  Рет қаралды 99,156

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MAGUFULI AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI - "UNAFANYA UPUMBAVU, HUWEZI KUNIDANGANYA"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli Leo Oktoba16, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi akiwa ameambatana na baadhi ya mawaziri...
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzfaq.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzfaq.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzfaq.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
kzfaq.info?li

Пікірлер: 115
@issazakaria9704
@issazakaria9704 4 жыл бұрын
Safi sana JPM piga kazi mzee kama unakubali anachokifanya Rais wetu dondosha like yako hapa.
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Huyo mkurugenzi katumbuliwa tayari
@monicawanza8779
@monicawanza8779 4 жыл бұрын
i wish tungeweza pewa magufuli 1month Kenya ingenyooka
@smkinuthia6094
@smkinuthia6094 4 жыл бұрын
I wonder if President Uhuru and his Deputy watch such documentaries this is the proper leadership we need in Kenya.
@williamissaya8091
@williamissaya8091 4 жыл бұрын
Kuwa kiongozi sio mchezo ,wengine wakisha pata uongozi basi hufikiri in kubaki ofisini tu kumbe siyo, sasa mkuu wa nchi anawafundisha kazi wale waliozoea kawaida ya serikali zilizopita.
@citizen250tv6
@citizen250tv6 4 жыл бұрын
From Rwanda magufuzi rais wawanyonge penda sana
@gbbuku4714
@gbbuku4714 4 жыл бұрын
Ifikie time magufuli aeleweke jmn tutapata wap rais km huyu mweee mungu akulinde
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaaa
@mariaibrahim3753
@mariaibrahim3753 4 жыл бұрын
Hakika mungu akupe miaka mingi rais wangu
@seifminal1890
@seifminal1890 4 жыл бұрын
Nakuombea uzima na uvumilivu rais wangu Mwenyez Mungu akupe kila lenye kher nawe 🤲👀
@godfreymushi13
@godfreymushi13 4 жыл бұрын
Nimempenda uyu mkurugenz ana confidence ya ela yote
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
Confidence kwenye kufanya zero alafu unasema ya hela yote, kama anaconfidence alitakiwa akatae siku anapewa hiyo nafasi aseme mimi nina hela so sihitaji kazi hiyo, so hicho unachocomment ni sawa na coment ya mbumbumbu!!
@jemedarikalimasi5754
@jemedarikalimasi5754 2 жыл бұрын
Vizazi na vizazi vitapita lakini jpm, hutakuja kusahaulika ktk serikari ya tanzania, R.I.P BABA.
@betsonbeatus7543
@betsonbeatus7543 4 жыл бұрын
Yaan nilitaman siku moja afike hapa maana hii wilaya wapigaji walikuwa ni wengi mno
@victorkwicha9237
@victorkwicha9237 4 жыл бұрын
Betson Beatus mh kazi kazi fanya yanayo kuhusu ukizingua unakuwa jipu
@fredrickbochela6509
@fredrickbochela6509 4 жыл бұрын
Watu kama hawa hata mungu anawapenda hongera sn rais bigup
@teophilmbalamwezi
@teophilmbalamwezi 4 жыл бұрын
Yaani, unaweza ukajuta kuwa kiongozi
@priscamedadi1108
@priscamedadi1108 3 жыл бұрын
100# uishiii kiongozi wangu mpaka frahaaa ya machozi hongera baba
@evelynemachange5305
@evelynemachange5305 4 жыл бұрын
Bora ukosee njia lakini siyo kukosea kuchagua kiongozi sahihi wa kukuongoza,nashukuru Mungu kunipa Rais sahihi wa kuniongoza.Mungu akubariki sana na kukupa afya njema kila itwapo siku
@japhetnzunda99
@japhetnzunda99 4 жыл бұрын
Mungu akutangulie na ukupe nguvu
@vascostanleymbisse4477
@vascostanleymbisse4477 4 жыл бұрын
Popularity vs Professionalism
@sharif-ismailshah597
@sharif-ismailshah597 4 жыл бұрын
What do you really mean ?
@vascostanleymbisse4477
@vascostanleymbisse4477 4 жыл бұрын
@@sharif-ismailshah597 The President is gaining more popularity in that society while the director's professionalism is despised and seen useless..
@msovietimjamaa3017
@msovietimjamaa3017 4 жыл бұрын
Kweli Vasco una akilli Sana
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 4 жыл бұрын
Aiseee Kama Rais Ninae Mungu akubariki Rais wetu JPM 🇹🇿 Nakuombea sana
@cldmichashukim5864
@cldmichashukim5864 4 жыл бұрын
bless up mr president this is a prove Magu is the man of the people.
@mirajikinuke9849
@mirajikinuke9849 4 жыл бұрын
Uyu ndo RAISI wetu...Atawale hata miaka 30
@modestusndunguru4638
@modestusndunguru4638 4 жыл бұрын
safi sanaa..... hapa kazi tuuuu... hatutaki ujinga.... ela za wananchi hizo.. zinapigwa.... mtakoma
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Kweli rais tunaye
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 4 жыл бұрын
Huu ni uongozi ambao utawafanya Watanzania wenye madaraka waamke na kuwatumikia walio wengi. Ubovu wa hawa wazembe na wezi unaanza kuonekana wazi kwa kila Mtanzania.
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 4 жыл бұрын
Mkurugenzi yuko full conference big up sana
@unaonaniniplatform5244
@unaonaniniplatform5244 4 жыл бұрын
Kwa hali hii tunasema pole sana mkurugenzi
@ricksonlyimo2662
@ricksonlyimo2662 2 жыл бұрын
Pumzika kwa aman jemedali wetu vita umevipiga mwendo umeumaliza na iman hakika uliilinda vyema pumzika
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
Na kwakweli mimi nasikitika sana kuwa kutembelea hizi miradi midogo midogo ni lazima uende wewe raisi. Naomba chambua tena team ya wakuu wa mikoa na wilaya maana naona kuna tatizo katika huu mkoa na hii wilaya!!!
@williamissaya8091
@williamissaya8091 4 жыл бұрын
Alexander Kapinga ndugu yangu ndo hayo madudu unayaona akiwaachia hakutekezwi kitu rais anapowatembelea anachochea uwajibikaji ambao ulikuwa haupo toka huko nyuma kaka eeee! Kwa nini hamumuelewi raised jamani!
@militocalito7422
@militocalito7422 4 жыл бұрын
sisi kenya tulikosea wapi jameni😭😭😭
@benardobiri5523
@benardobiri5523 4 жыл бұрын
Nalilia kenya inchi yangu... Tungempata rais kama jpm tungekuwa mbali
@bulahyo1993
@bulahyo1993 4 жыл бұрын
Njoo tanzania
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 4 жыл бұрын
Mkurugenzi jiuzuku umetia aibu Sana mpk sura inakusuta
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 4 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa nchi 2020 kura yangu umepata kwa mara nyingine tena
@hadijamahande2374
@hadijamahande2374 4 жыл бұрын
Hongera.baba.ubarikiwe.sana
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 4 жыл бұрын
Hata ningekuwa Mimi raisi nafikiri ningefanya hivyo
@mwlmazingira8705
@mwlmazingira8705 4 жыл бұрын
kwenye maswala ya uwajibikaji hapo wakuu wa wilaya na mkuu wa mkoa husika nao pia sio wawajibikaji kikazi wanajifungia mjini wanaacha kuzunguka vijijini ili kuzitolea ufafanuzi kelo hizi hapo mkulugenzi ni kama ile hadisi ya aliekutwa na ngozi
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
Mwl Mazingira Ni kweli
@militocalito7422
@militocalito7422 4 жыл бұрын
magufuli twaomba uje kenya kwa miaka miwili pekee utunyoroshee taifa
@salummuhija4435
@salummuhija4435 4 жыл бұрын
Ila mambo mengine jamani watumishi wa umma wanajitakia wenyewe, mwaka mzima unatengeneza soko.!!
@yusufmohamed9843
@yusufmohamed9843 3 жыл бұрын
Magufuli was not a joke mkurugenzi kakamatwa kashindwa kuongea kigugumizi mahesabu the man of wanyonge billions no market
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 4 жыл бұрын
Mh aibu mwenzangu
@khadijamohamed6961
@khadijamohamed6961 4 жыл бұрын
Hatari sana baba
@sheikhmahmoud3127
@sheikhmahmoud3127 4 жыл бұрын
Daah magufuri rahaaa sanaaa
@peterpain5594
@peterpain5594 4 жыл бұрын
Mungu alikuleta duniani uwe shujaa wetu tanaomba siku moja uje soko la ilala watu wanapiga sana aise
@maximilianjoseph7896
@maximilianjoseph7896 4 жыл бұрын
Kama umesikia maternity leave naomba like
@seifminal1890
@seifminal1890 4 жыл бұрын
Katoka marekan alafu anafanya kaz za.............. JPM MUNGU AKUBARIK🙏👀
@NOVATISIYAME
@NOVATISIYAME 4 ай бұрын
Rip father africa
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
poor recording
@abelyhokororo8622
@abelyhokororo8622 4 жыл бұрын
Huyo mzee anamwaga upupu aisee
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 4 жыл бұрын
Kufanya kazi Marekani mpaka kurudi Tanzanzia. Mimi kazi za pressure sizipendagi
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
Yaani ni katika watu ambao hawajielewi na huna akili kwa 100%. So what is kufanya kazi Marekani??
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 4 жыл бұрын
@@alexanderkapinga700 wewe ndio hujielewi yaani kuondoka USA kuja kufanya kazi Tanzania. Unafikiri Marekani ni nchi ya kawaida Ile ni superpower country. Ndio maana hata Rais kamshangaa
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 4 жыл бұрын
Danford Mwabena Shauri yako kama hupendi kazi za pressure! Jitenge na utupishe au rudi huko marekani ukapigwe risasi na Askari wa kizungu.
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 4 жыл бұрын
@@machaggechacha3422 kwani Marekani maaskari wa kizungu wanawapiga watu risasi tuu bila kosa lolote lile
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
Wewe unadhani kwa akili yako kufanya kazi kwenye super power nation na huku kusiko super power unadhan wapi kuna strees sasa. Fuatilia vizuri huwezi kwenda kimbumbumbu tu katika taifa kama lile na kingine wewe umezaliwa Tanzania unashadadia kufanya kazi katika nchi ya wenzako badala ya nchi yako, unadhangaza sana!!
@seifminal1890
@seifminal1890 4 жыл бұрын
JPM😄😄😄😄 Mashallah Mungu akuweke na kukupa nguvu ktk uongoz wako unanifurahisha sn.
@peteralfonce5848
@peteralfonce5848 4 жыл бұрын
NAMPENDA SANA RAIS WANGU
@jamilaomar9860
@jamilaomar9860 4 жыл бұрын
😁😁😁😂 duuh huyu magufuli
@inginiakipirakipira1380
@inginiakipirakipira1380 4 жыл бұрын
Ew mwenyez mungu mbarki huyu mtu tujalie na ss zanzbr tupate raic mwenye akili kam huyu mana zanzbr ndo kula walafi kuliko ata huku
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 3 ай бұрын
Uyu ali kuwa rais wa Marais Dunia nzima
@John_sadick1
@John_sadick1 4 жыл бұрын
Hahaha haha 😂 😂 😂 😂 😂 tumbua majipu baba baaaaa wekaaa bariaaaa
@rehemakasebele6254
@rehemakasebele6254 4 жыл бұрын
Keystar John alifukuzwa mbozi uyo ngoja wamtumbue tena
@rehemakasebele6254
@rehemakasebele6254 4 жыл бұрын
Mtumbue tens huyo mkuu wa mkoa kam ulivomtoa Kule mbozi
@stevenmsigala2612
@stevenmsigala2612 4 жыл бұрын
Njooo na mafinga mufindi huku najua kabisa utatuokoa sana
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
steven msigala Vipi Hapi hajafika huko? 😂😂
@davidnailsmhumhanails5843
@davidnailsmhumhanails5843 4 жыл бұрын
Nakuombea Mungu akulinde
@peterpain5594
@peterpain5594 4 жыл бұрын
Kama ulimuona yule jamaa aliyesema tumbua majipu gonga like alafu sema MAGU Oyeeeeeee!!!
@austinegona1415
@austinegona1415 4 жыл бұрын
Huyu ndie rais anaye jituma kwa wanyonge
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Sasa fedha zinazotoka wizara ya fedha, zinafanya kazi gani?? Mkurugenzi hapa atakuwa amekoroga mwenyewe. Aibu yake sasa. Yaan watu wengine hawafai hata kwa bure..au wanakula hela??? Mkurugenzi huyu ameniacha hoi kweli..
@sekundambilinyi5450
@sekundambilinyi5450 4 жыл бұрын
Mie jasho limenitoka
@abdallahmohameddaniel659
@abdallahmohameddaniel659 4 жыл бұрын
Mashallah mkuu mungu akulinde sisemi kitu sina cha kusema kabisa namuachia mungu unatosha
@markbitta692
@markbitta692 4 жыл бұрын
Ninakukubali sana rais wangu, mimi naona tubadrishe kariba uyu rais aongeze miaka 30
@salummuhija4435
@salummuhija4435 4 жыл бұрын
Tundu ya yeo.
@gidosalapion8222
@gidosalapion8222 4 жыл бұрын
Ufisadi kwetu umezidi, kama umemskia kijana gonga like😂😂😂
@godsonkitomary9738
@godsonkitomary9738 4 жыл бұрын
Fanya kazi baba uokoe wanyonge
@emmanuelyusufu6568
@emmanuelyusufu6568 4 жыл бұрын
Jembe letu ilo maguful kiboko
@peterelisha1828
@peterelisha1828 4 жыл бұрын
Hahahhah et tumbua majipu dah?
@msuyafirst1370
@msuyafirst1370 4 жыл бұрын
Watanzania wanafiki sana ! Kelele nyingiiii huwenda hata wanachokipigia kelele hawakifahamu
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 4 жыл бұрын
msuya first Nadhani watanzania wanapigia kelele wanachokifahamu na kukielewa. Wewe ndie bububu huelewi. Masikio na ufahamu wako ni kama ule wa kenge. Amka!! Kumkucha!!
@msuyafirst1370
@msuyafirst1370 4 жыл бұрын
@@machaggechacha3422 nakueleza wa Tz niwanafiki walio wengi. Kama hutaki basi kaka. Mimi mwenyewe nipo huko may be wewe upo private ndio maana
@msuyafirst1370
@msuyafirst1370 4 жыл бұрын
@@machaggechacha3422 halafu jifunze staha kaka matusi au kejeli hazina maana. Umeona nimetukana? Mungu akupe hekima
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 4 жыл бұрын
first wengi wanakimbilia kutoa matusi badala ya hoja. Mbona mkurugenzi kajibu kwa unasha tuu. Na majibu mengine tanatakiwa kukaa chini si kujibu ovyo ovyo na pili huwezi kubishana na mkuu ktk umati wa watu namna ile. Mkurugenzi nampa pole sana kwa kuitwa mpumbavu ana familia jamaa marafiki wafanyakazi wenziwe.
@modernfarming5938
@modernfarming5938 4 жыл бұрын
Usikute ww ndo huelewi
@rajabukheri8962
@rajabukheri8962 4 жыл бұрын
Kl os vp mag
@emmanuelmollel3008
@emmanuelmollel3008 4 жыл бұрын
dah mzee anawakazia sana awa wapiga dili ad Uruma asee
@neemajoseph9231
@neemajoseph9231 4 жыл бұрын
Magufuli usiwaache hao watazoea
@ibrahimtatock5725
@ibrahimtatock5725 4 жыл бұрын
Mh raisi njoo na huku Babati vijijini hakuna tofauti
@drtobias_
@drtobias_ 4 жыл бұрын
Tupatie namba yako ya sim ili tufanye kazi
@kombuchahluckyMartin
@kombuchahluckyMartin 4 жыл бұрын
Good work
@halimatanzani8587
@halimatanzani8587 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@suleimanbakar6097
@suleimanbakar6097 4 жыл бұрын
Mtakoma c mlikazana kuiba kura ili awe raisi?nafurahi sana
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 4 жыл бұрын
Uwe mwangalifu kwenye sms zako unaushahidi wa wizi wa kura
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 4 жыл бұрын
Ila chamahajabu bukoba mjini haji cjui kwann
@abusaeed9037
@abusaeed9037 4 жыл бұрын
Denise Promise usijali tuta kuja
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
Siyo mahajabu sema maajabu
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais endelea na kazi bila kujali chochote na wala comments za kijinga kutoka kwa baadhi ya watu wachache wanaojifanya kujua lakini kumbe ni mbumbumbu wakutupwa maana mtu anafika level ya kusema eti marekani so what is marekani to development of our people!!!
@townhc2953
@townhc2953 4 жыл бұрын
0ngera rais wetu naamini mungu yupamoja nawe chapa kazi
@jennifermallya9648
@jennifermallya9648 4 жыл бұрын
Na wewe unajidai unajua kuongea sana, so you don't know what is marekani Google then you will get the answer......hapo unamuona mkurugenzi tu but hii kazi ina presha sana na pia sio kwamba hao waliotajwa ndio watendaji kazi hapo wapo watu wengi chini yao pia uwenda ndio wakwamishaji.
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
@@jennifermallya9648 dada yangu mie sina Muda wa kuhangaika na Marekani nahaika na Tanzania ndio inayonihusu we kama uko concerned na Marekani kagoogle mwenyewe na ukiona vipi nenda huko kaishi huko. My deal is Tanzania with my president so still my point is valid what is marekani when it comes to my country development. Mi binafsi unafiki nafiki sitaki, sisi tunanchi kubwa yenye kila aina ya natural resources ni kwasababu ya kukosa viongozi au kuwa na viongozi wajinga ndio tumepiga mark time all that time. Saivi tumepata the right man he is dealing with his country sio kwenda kupiga picha na wanamiziki na kuzunguka kuomba misaada kwa mataifa mengine. We deal with our country.
@jennifermallya9648
@jennifermallya9648 4 жыл бұрын
@@alexanderkapinga700 but raisi amemuuliza ulifanya kazi wapi angejibu nini? Ilibidi aseme hapa Tanzania au ilibidi aseme ukweli ni wapi alifanya kazi....mbona watanzania tuna nongwa hivyo?
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 4 жыл бұрын
@@jennifermallya9648 hujaelewa mpka mimi nikaongelea marekani tumetoka wapi hapo kwenye mjadala fuatilia vizuri
@jemedarikalimasi5754
@jemedarikalimasi5754 2 жыл бұрын
Hakika mungu alitupatia chombo, bwana alitoa bwana ametwa jina la bwana lihimidiwe.
@hadijamahande2374
@hadijamahande2374 4 жыл бұрын
Hongera.baba.ubarikiwe.sana
MZEE ALIVYOMKAANGA MKURUGENZI KWA MAGUFULI, NUSURA ATUMBULIWE!
11:12
Global TV Online
Рет қаралды 182 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 177 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 40 МЛН
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
BALAA..!!Rais JPM Ampokonya Ardhi Mfanyabiashara Huyu Hadharani
14:27
Global TV Online
Рет қаралды 160 М.
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 581 М.
MZEE Shujaa Aliyemkuna MAGUFULI Kwa KUWALIPUA Viongozi "Wamekudanganya"
1:12:59
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН