Nampenda sana raisi wangu nakuombea miaka buku jero ukiwa raisi wa Tanzania
@rugijofrey36854 жыл бұрын
Kweli ofisi ni nzuri sana,naijua na inafaa mno, hii ni bahati kweli msema kweli mpenzi wa Mungu, Hongera Mh Rais
@aaaaaah2904 жыл бұрын
WENYE ROHO NDOGO TUNAISHIA KUTOA MACHOZI TUU,, SIO YA MAUMIVU, BALI NIYA FURAHA NA SHUKRANI KWA MUNGU ALIYE JUU YA FALME ZOTE. ILIMPENDEZA ATUPE JPM 🙏🏽🙏🏽
@gilbertmichael91303 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwakulitambua hili
@mengirashidy-ld3lm Жыл бұрын
Kabisa
@masakaupdate14884 жыл бұрын
Rais anaongea point sanaa akwepeshii uyuu ndiee mwanamume sio mwanaume ni #MWANAMUME
@aminamtikaonlinetv73054 жыл бұрын
Aiseee watanzania tuna bahati sana, Hii ni bahati iliyoje,nakupenda Sana Mh rais mungu azidi kukubariki ktk utendaji wako wa kazi, yaani Kila nikisikiliza hotuba zako najihisi nimeshiba hata Kama Nina njaa. Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki Rais wetu JPM.
@clifordmsongole11344 жыл бұрын
Amen
@calebcaleb31932 жыл бұрын
Ni Maombi yetu kwa mungu tupate mtu kama huyu
@calebcaleb31932 жыл бұрын
Kweli kizuri akidumu tulimpenda lakini mungu alimpenda zaid
@calebcaleb31932 жыл бұрын
Huyu ndiyo rais watu wanapanga dili za wizi yeye anapangua hapo hapo akuna cha kuhunda tume time ni wizi mwingine baba hapo ulipo lala mungu atume malaika wake usiku Na mchana tulikupenda sana lakini kwakua kazi ya mungu aina makosa yeye aliyetupa jpm kuna siku atatupa mwingine kama huyu tusichoke kumuomba kila kukicha
@user-cz9sk1yq7r Жыл бұрын
kabisa😊😊
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
MHANDISI + DOCTOR UTAMDANGANYA NINI HUYU MZEE JPM 😍😍😍
@janeyoj82284 жыл бұрын
"Mjipendekeze Chato wakati nimeshaondoka kwenye uraisi" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Safi JPM... Haya wale wakupinga, mpinge na hili
@lasteckmmary97414 жыл бұрын
Huwa silijutii bando langu ninapokusikiliza rais wanguu, nakuombea kwa mungu uwe raisi wa tanzania, milele na milele mpk mwisho wa uhai wakoo
@justusmuendo7823 Жыл бұрын
Ukweli usemwe raise dkt magufuli
@generaltanzania18104 жыл бұрын
Inatia Matumaini, Rais JPM Watanzania nina imani wote wanakupenda. Piga kazi Baba.
@mrpodomanno12994 жыл бұрын
Tundulisu jeh!😂😂😂
@joxevictus37204 жыл бұрын
Wewe mzee wewe hapo nyuma ebu sema baba😁😁imekaje kaaje usiogope hakuna wa kukufukuza😊😊😊JPM oyoooooo🙏🙏🙏🙏🙏
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
KAPATWA NA UBUBU
@joxevictus37204 жыл бұрын
Haya sasa wale makenge wanao sema raisi anapendelea mkoa wake wako wapi wajifanye wanajikuna, au wajifanye wanaongea na sim waone fekelea mbali😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@magufulificationofafrica70964 жыл бұрын
Watakua wanajikuna saizi
@elibaricksadock95624 жыл бұрын
Binafs nataman uwe Rais hata miaaka 20
@fredrickphilomena86134 жыл бұрын
Hila ukiambiwa unajipendekeza inauma hiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Sana,,,ila kauli kama hiyo haipendezi sana !!!
@solemba5954 жыл бұрын
Huo ndio ukweli Kuna Viongozi wanafanyakazi kwa kujiendekeza, Uzuri JPM amesha shtukia mchezo
@wazirmlogi75324 жыл бұрын
Inauma sanaaaaa😂😂😂😂😂waache kujipendekeza
@timothmwakakusyu45634 жыл бұрын
Ndo waache kujipendekeza
@user-un3df1sl2h3 жыл бұрын
Kuambiwa unajipendekeza inauma sana,mimi mwenyewe nikiambiwa najipendekeza ata kama nindugu yangu,nakaa nae mbali sana
@bornifaceshombe41594 жыл бұрын
Safi,naona viongozi waliowengi hawajaelewa maono ya Raisi wangu.Mungu ibariki Tanzania.
@setholivier48624 жыл бұрын
Hapa ndo vizuri unamwambia mtu waziwazi, ili hata viongozi wanao jipendekeza wakitizama hii clip waache kujipendekeza
@cheupestefano54244 жыл бұрын
Mr.mwanri sir that man who was in charge at tabora please that man is a man to help you in your very difficult job of giving equal justice to your people
@gilbertmichael91303 жыл бұрын
I also need that oldman back!
@angelshio26174 жыл бұрын
Tangia asubuhi ninakufuatilia baba uwe mkweli siku zote waache kujipendekeza
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Ukweli na uwazi unasema ukweli mheshimiwa.
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏
@atuganilemsomba30284 жыл бұрын
Huyu mzee baba ananifurahisha sana anaonaga mbaaaaliiii eti dalili za rushwa duuh mwangaluka
@richardjoseph96422 жыл бұрын
Mungu akupunguzie azabu ya kabr kamanda
@said306nyatu94 жыл бұрын
Kaaa bwana nisije nikasema izi nyota nimekupa za bure
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Huy Muheshimiw kiboko ya wote tumlinde tumuwekee ulinzi wa kama Kim jong yun ....kwa nguvu zote....nan alisubut hay nambien wadau awam 1,2,3,4,nani zaid ya Magu ....mpaka Takukuru nao chupi zinawaban...
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Acha tu kakangu
@alexkihongola7984 жыл бұрын
JPM mwamba mno, Hakuna wa kumfananisha nae, na hajazaliwa Bado, wengine marais wa maonyesho tu.
@muganyiziemmanuel48974 жыл бұрын
Nasema hivi anaeweza kuwa kama yeye ni Dr kakulwa katibu mkuu wa ccm
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
HAKUNA KAMA MAGU BWANA
@alimarezi75434 жыл бұрын
Magufuli ukimaliza mhula wako njoo uku kwetu Kenya,tukupe urais,huyu wetu ni boya sana
@majidially43634 жыл бұрын
😂😂😂😂😂eti boyaa,,, Dah
@nasserrostom63404 жыл бұрын
Hongera rais makufuli tunaomba takukulu wafanyakazi wawe wanahamishwa uku mbarali toka nipo shule ya msingi hawajawahi kuamishwa utafiki wanakijiji hawana lolote wanakunywa pombe mda wote
@theeyechannel86014 жыл бұрын
Nisije ni kakuona nimekupa nyata za bure!! Kainyoshe nchi hiyo Mzee wanyike.
@malcomg10042 жыл бұрын
Hii ndo ilkua Serikali bna,RIP mr President JPM much love to you
@salimsalim84214 жыл бұрын
Hongera, hakuna mchezo na pesa za wana nchi, lazima mtu akae sana tuu
@markkayuni994 жыл бұрын
Mweshimiwa Rais kura yangu umepata sema hao wakujipendekeza kwa kukufuraisha wewe na wachinja kilakitu ndio ndio wa kina msukuma hao
@josephbujimu11234 жыл бұрын
JPM wanyooooshe walizoeakula bike hao
@emmanuelmohammed12944 жыл бұрын
" Mimi moyo ulishakuwa sugu"...😂😂😂😂😂😂
@ednajeremiah86714 жыл бұрын
Wakomeshe baba hapa kazi tu
@calebcaleb31932 жыл бұрын
Nivigumu kumpata kama jpm lakini kwa mungu yanawezekana
@ahmedomar30204 жыл бұрын
Mungu amuekee huyu mzee magufuli kwa kweli..oohhh ..magufuli oyeee
@lightmashauri17254 жыл бұрын
Haaaaa baba hao wanakuvuruga kweli ....bado hawajakujua vizuri😀😀😀
@justusmuendo7823 Жыл бұрын
Very insightive,magufuli continue resting in peace
@mamaahmad86154 жыл бұрын
Yaani nakupenda sana baba rais wetu tumbuwa tumbuwa hao warudishe hela watumbuwe
@afredyohana3564 жыл бұрын
Ndio shida ya kufanya kazi kwa mihemko hiyo itawakost
@MukandilwaProspere-th2xu Жыл бұрын
Courage baba wetu Sisi watoto wa Congo tunakuliliya mungu akulaze Mali pema
@tanzaniakwanza95644 жыл бұрын
Hii inaitwa makavu live 😃
@petermatonya80784 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu lais wabgu
@kambiibrahim4154 жыл бұрын
Thank you so much Mr.President much love to you
@mshumbusideogratias95674 жыл бұрын
Nmesikiliza Mara 10
@asrymohd66904 жыл бұрын
Tumbua huyo na mkuuwao kwanini mnajipendekeza huyo ndo Rais tunaemuhitaji sio mliomtaka
@emmanuelmohammed12944 жыл бұрын
Tumuongezee mda huyu Rais wetu ainyooshe nchi!
@pendomsulwa58064 жыл бұрын
kula yangu haikupotea kabisaa MUNGU akuweke pia natamn utawale miaka yotee
@joxevictus37204 жыл бұрын
Takukuru😂soma iyoooo😁😁😁😁
@justinaissa22784 жыл бұрын
Mh uko sawa kabisa
@selemanimsofe73214 жыл бұрын
unajua mtanivuruga hapa
@mbonijabut14054 жыл бұрын
Yani magufuri nakupigia kula Asubui mapema ww ndio mkombozi ila tuchunguzie wabunge walioshinda maendeleo uku kwetu bdo miaka 5 ajafanya kitu sasa kapita tena ivi kweli haki tizama n.a. hilo
@kambamazig020244 жыл бұрын
wapi huko? Wa kulaumiwa ni hao waliompigia tena kura za maoni.
@abdulaziz7034 жыл бұрын
Yes.. Preach father preach.!!
@sistertrashid24884 жыл бұрын
Safi sana Rais wangu
@abubakarsuleiman15884 жыл бұрын
Ahsante MH rais
@denicejoseph86324 жыл бұрын
Hotuba kam hiz n tam san yani zaidi ya sali n sukari
@saumsaid57174 жыл бұрын
Yani we baba nakupenda mpaka naumwa
@tebogolucia68894 жыл бұрын
C.simba Johannesburg magufuli nakukubar sn mzee Wang
@wilsonkaseha20344 жыл бұрын
Duh JPM hahaaaa hatari sana! Usiombe ubananishwe naye😅
@yasinigao35894 ай бұрын
Sawa pambana na ufisandi Rais wetu
@gaspeldaniel1140 Жыл бұрын
Tanzania ilikua na Rais kweli lakini Leo hii hatuna Rais tuna mafisadi
@patrickjohnlucas38274 жыл бұрын
Kweli mweshimiwa
@bashiryusuph67504 жыл бұрын
😂😂😂wamesha fanya no dili walijua huwaangaliii 🤣🤣🤣wapigadili mbona same hamna jengo la takukuru mnajipendekeza kwa babu 🤣🤣🤣🤣
@matanobaya76604 жыл бұрын
Kenya tungepata kiongozi Kama huyu.ningejivunia kuwa mkenya sana, NAVUMILIA TU!MILEVI MIIZI.
@wahabingaheka6374 жыл бұрын
Baba maliza wabaya wote
@ahmedomar30204 жыл бұрын
Safiiiii. Mzee magufulii oyeeee...
@meshackkanyetisahani55842 жыл бұрын
Was a geneous person may god rest in peace our lovelly president
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
Duh usitake nione nyota nilizo kupa za bure 🤣
@musasabu69694 жыл бұрын
Wanajpendekeze had wanakela
@lemameasi17234 жыл бұрын
NI VIGUMU KUPATA RAIS ALIYEKO SERIOUS KAMA JPM HUKU AFRICA
@allykingo35584 жыл бұрын
Wamejikologa lolote litalokea hapo lazima
@jameschubiri94534 жыл бұрын
Huyu mzee kwanini hamtaki kumuelewa jamani
@majaliwakavinga27524 жыл бұрын
Hongera sana Rais.
@daudirajabu67984 жыл бұрын
Safi sana mh Raisi
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Alikufa Kiongozi wa Tanzania 😭
@wahabingaheka6374 жыл бұрын
Nchi iwe Safi hii wamezoea hao
@ahmedomar30204 жыл бұрын
Jamaniii huyu mzee aendelee tu ..huyu ndio rais tunaemtaka
@mlashanikisinini60204 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa
@salmahilluАй бұрын
Mungu aiweke robo magu peponi amina
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Alex Kihongola ....ntakutumia bandle ni dai kweny ukweli hutak kupinda pinda lazima tunyooshe maelezo kwa hali tunavyoina viongoz wetu wa Africa huwez linganisha na Magu ht robo ....pumbav...
@mtorosenga12722 жыл бұрын
😆😆😆 unaionaje hiyo??? Mzee anajiuma
@yaletbweye55654 жыл бұрын
Uyu Mzee ni mfano wa Dunia
@elisanteelisante1724 жыл бұрын
Baba Ng'ataaaaaa
@rehemanmkumbo56312 жыл бұрын
Huyu baba apumzike kwa amani
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
Mkulu kashasema hataki shobo Ziteendeeni mema izo pesa Kuna vitu kibao vya kufanya
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Mzee magu polesana kwakazi ngumu uliyonayo yani sijui kwanini huwa hawakuelewi usichoki kwene ukweli mungu yupo nawewe
@denicejoseph86324 жыл бұрын
Magu anajuwa adumu milele ewe mwenyezi mung jaliya ameni...😘😘
@rizmkondo13444 жыл бұрын
Rais Leo nimekusifia sna
@fakihibakari77014 жыл бұрын
Sidhani kama Takukuru watajing'ata wenyewe. TAKUKURU NG'ATA.
@rshidyrajabu255Ай бұрын
Very nice rip john pombe
@prosperthedubaiexplorer89804 жыл бұрын
awakujui baba watoboe
@nickomlimbila2174 жыл бұрын
Sio rushwa mzee ila hiyo ni kujipendekeza kwako
@55goodmen4 жыл бұрын
Ukweli unauma duh huyu rais hana upuuzi ni straight forward yani. wezi wote wanaogopa yani JPM oyeeeh.....
@laurnyandwi-sb1gu6 ай бұрын
Daima utakuwa mioyon mwetu😢😢🙏🙏
@alimadmaulid25674 жыл бұрын
Mmmmmh kweli mkuu nakubali kazi yako
@solomonkikeke27954 жыл бұрын
Tazama hapa pia uone Wimbo mzuri wa Maombolezo ya mheshimiwa BENJAMIN MKAPA Kutoka kwa TUNDA MAN pa1 na producer ZEST
@jonathanlema77824 жыл бұрын
El pressdente. My president God bless you sir
@mwakamtungirehi47734 жыл бұрын
Takukuru ng'ata
@fadhilharuna9804 Жыл бұрын
Good president magufuri
@erickendrick33304 жыл бұрын
Daaah.....J.P.M ni Noma sana .🙌🙌🙌
@user-qv2tg9cz8c4 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu Rais
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Huyo baba pua imemshupaa, piga kazi rais wetu
@emanuelfissoo20153 жыл бұрын
Safi sana mwl jpm
@allyfaraji16974 жыл бұрын
rais kauzu kweli, et anamwambia yule mjeda kaa bhana nicjute hzo nyota nilizokupa 😀😀😀 kwa kweli bado najiuliza ukauzu huu nani anauweza ? Takukuru Ng'ata😀😀😀🔙 leo nimecheka mpaka machozi yametoka. Uyu mzee anatufariji sana sisi wananchi, yaani tunaishi bila ya hof swaaaaaf kabisa😀😀😀. Lini tena utahutubia hata kama nina safar nisiende ctak kuadisiwa mimi 😀😀😀.