SHE KILEMILE, SERIKALI INADANGANYWA

  Рет қаралды 46,729

HAYATUL IIMAAN MAISHA YA KIIMANI

HAYATUL IIMAAN MAISHA YA KIIMANI

10 жыл бұрын

Пікірлер: 153
@awadhially1384
@awadhially1384 4 жыл бұрын
Allah atuongoze tuweze kufahamu na akulipe kila la kheri.
@allyomari680
@allyomari680 4 жыл бұрын
mwenyezi mungu akulipe shekh wangu nadua hii nllah aipokee inshaanllah shekh asante sana tena sana Sana sana shhkrani👏👏👏
@binjumaa7072
@binjumaa7072 5 жыл бұрын
Naam aerikali wapo Sahihi , umeongea vizuri sana Sheh! Shukran
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp Жыл бұрын
kwamtu muislam kwamtu Alie kua naelim yadin uyoshekhe anakupa ushaidi .kuusu uislam nauyu shekhe nimsomi mkubwa kwasasa katangulia mbele zaaki ilauyu sheke kwatanzaniaii Mimi namkubalisan nimsomi mkubwa Allah amleem
@mfaumeatimwanga9227
@mfaumeatimwanga9227 4 жыл бұрын
nakupenda sana maka tena saanaa. maana ndiko alikozaliwa mtume muhammadi saw. na walioniletea habari kuhusu uwepo wa nabii ni waarabu kutoka maka. sasa kama nimekubali hilo kwanini nikatae wakiniambia mwezi umeonekana? daima nitafunga mwezi mmoja nduniani kote na sio watanzania
@twaharicco9427
@twaharicco9427 4 жыл бұрын
Umeondoka na ukweli wako sheikh ..
@abdukadiliissa8076
@abdukadiliissa8076 4 жыл бұрын
Msema kweli Daima Hapendwi kabisa ndio maana Vibaraka wa bakwata Mufti wa Tanzania sheikhe wa Dar es salaam , Hawajafika katika mazishi wanapotosha watu SubhanaLLAH!!!! Ndio maana wakakutoa katika balaza la bakwata
@jumaomari6606
@jumaomari6606 4 жыл бұрын
Mungu akusameh makosa yako Sheikh
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Allah amrehemu!!!
@twahambowe440
@twahambowe440 Ай бұрын
Aamiin Aamiin Aamiin
@majalamka1604
@majalamka1604 4 жыл бұрын
Hadithi anayoitoa na mafuhum tofauti hija ni arafa kwa mahujaji kwani yeye ni haji....pili matumizi mabaya ya lugha....akijibiwa atapiga kelele atukanwa
@mfaumeatimwanga9227
@mfaumeatimwanga9227 4 жыл бұрын
Majala Mka ni kweli dunia ni kijiji kuukumbatia uwongo upende wewe. shekhe yuko sahihi mashaallah
@mohamadally5732
@mohamadally5732 4 жыл бұрын
Hii laana ya sheikh wake Mohammad ayoub maana kilemile anajua zaid kuliko sheikh wake
@bilalothmankhamis4348
@bilalothmankhamis4348 4 жыл бұрын
sasa kama hija haiusiani na arafa kwann ww unasali idd na kwann unafunga araf?
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 4 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti
@binjumaa7072
@binjumaa7072 5 жыл бұрын
Allah akuhifadh sheh ! Jazaaka lah
@salmagulam6619
@salmagulam6619 4 жыл бұрын
Asante shekhe hata kweny swala sisi na maka sawa kama hamuamini angalien channel ya IQRA wakiswali wao adhuhuli na sis sawa na hakuna sik 2 dunian na hakuna arafa 2 ni moja tu nyie danganywen tu
@matanohassan5925
@matanohassan5925 5 жыл бұрын
Huko nyuma Dunia ilikuwa kizani shehe unaumwa Ina maana zama za maimamu Wa nne pia Wali kuwa katika kiza na hii Dini ulipata vipi wewe hadi sasa wajiona uko katika mwangaza Dini ya uislamu hija ilikuwa, na saumu, na hakukuwa na migogoro na hakuna TV, wala internet, na waliishi Safi tu iweje useme Leo Dunia ilikuwa gizani na nyie ndie muko na migogoro kuliko kitambo tafadhali fikiria sana
@user-ww3nq9gz5w
@user-ww3nq9gz5w 4 жыл бұрын
utalazimishaje za hizi kurudi kama zamani kuonyesha hilo hawa wanaotutangazia mwezi wakienda hija hurukisha tarehe mbele kwanini wasisubiri mpk Siku inayofuata ndo waende arafa
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mtu wa bidaa wewe!!
@huseinikaji8208
@huseinikaji8208 3 жыл бұрын
Msiwatukane mashekh dunia ilikuwa gizani kwamaana ilikuwa si rahisi kupeana taarifa ukilinganisha na zama hizi
@ismailally1866
@ismailally1866 3 жыл бұрын
hukumuelewa ww aliposema gizani akimaanisha hakuna mawasiliano ya moja kwa moja ilikua ni vigumu mtu wa nchi za mbali kupata taarifa za mwezi wa nchini saudia. Hivyo ilikuaa kama wapo gizani sasa hivi utandawazi ni kama taa mtu wa mbali anaweza kuona kinachoendelea katika nchi ya saudia kila kitu live. Chnga maneno yako kama hujaelewa tumia kauli nzuri upeo wako usihukumu usiyoyaelewa uliza, utafeli.
@gavanaimrani6777
@gavanaimrani6777 3 жыл бұрын
Kuwa muelewa ww Basi
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Asante sheikh!!!
@abdillahichicha8366
@abdillahichicha8366 4 жыл бұрын
Swadakta shekh kwa darsa zuri lenye kuelimisha
@simbalion2871
@simbalion2871 4 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya juu Amin
@twahambowe440
@twahambowe440 Ай бұрын
Aamiin allaahumma Aamiin
@binjumaa7072
@binjumaa7072 5 жыл бұрын
Bakwata wanatakiwa walieke sawa hili ,wawape serikali usahihi WA mambo haya
@stivengerrard7863
@stivengerrard7863 Жыл бұрын
اللهم ارحمه يا ربي مع المسلمين ماتوا
@alsamr554
@alsamr554 4 жыл бұрын
Huyo ni mwenyekit wa wanazuoni Tanzania
@jumarajabu4795
@jumarajabu4795 4 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu
@SonySony-em4ze
@SonySony-em4ze 4 жыл бұрын
Allah awalipe malipo ya juu
@rashidmohd9685
@rashidmohd9685 4 жыл бұрын
Sheikh umejitahid kuelezea, ila nikwambie kwamba sio kweli km dunia nzima wamekubaliana kuwa skukuu ya adh-ha ifuatwe Saudia sio kweli. Mm nipo oman na wala hawafuati calenda ya saudia. Na sio oman peke yake, nchi km Algeria, masry n.k pia hazifuati calenda ya saudia. Kwa hio sio kweli kuwa dunia nzima wamekubaliana. Hata fatwa za wengi ktk masheikh wa saudia hawakubali kuwa dunia nzima ifuate saudia juu ya suala hili.
@greysonflams2237
@greysonflams2237 4 жыл бұрын
Dunia haiwezi kuwa kufuata saa ya sehemu moja ikafanana kila nchi na muda wake
@gavanaimrani6777
@gavanaimrani6777 3 жыл бұрын
OMAN NA THEHEBU LENU LA MAIBADHI TENA IJUMAA MULIKUA HAMSWALI WANAFIK NYINYI NA UBAGUZI WENU NYIE MIJITU YA OMAN MNAIPINGA SAUDIA
@twahambowe440
@twahambowe440 Ай бұрын
Haya wee funga arafa yako, utajua nini chakumweleza Allah kuhusu ne÷ma alokupeni, au simu sio neema!.
@twahambowe440
@twahambowe440 Ай бұрын
Tv nazo sio neema,,,,! Mtaenda ulizwa kutokana nayo hiyo neema.
@OmariMkumba
@OmariMkumba 6 күн бұрын
Inalillah waina illahi rajuun
@crescentvscross1132
@crescentvscross1132 2 жыл бұрын
TATIZO lazima mtaje screen TV simu. je kama huna TV simu. Acheni bidaa dunia haiwezi funga arafa mmoja Acha uongo
@crescentvscross1132
@crescentvscross1132 2 жыл бұрын
Mashehe TV Hawa
@bahariyatibanaduaaduaniiba6120
@bahariyatibanaduaaduaniiba6120 4 жыл бұрын
Allah amrahamu inshallah.
@IssaAmade-gk6kz
@IssaAmade-gk6kz Жыл бұрын
Dunia ilikuwa katika kiza ????? Dah bas Kuna lengine ili :vipimo vya mimba !sijui mwananke atakaa edda au inakuajehapo?
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 4 жыл бұрын
Allahu Akbar Alla akusameh
@rashidkawambwa7425
@rashidkawambwa7425 2 жыл бұрын
MSIKILIZE KWA MAKINI HUYU SHEKHE ANAYOSEMA UTAPATA SOMO
@kassimmgwami
@kassimmgwami 4 жыл бұрын
Lakin hilo la kufuata mwezi wa kimataifa kwa maana ya kufuata mwezi unapoonekana Saud Arabia au arafa inapoisha Saud Arabia ni bidaah pia, hapo panahitajika hisan kwa kufanya muafaka sio kulazimisha,.
@bilalothmankhamis4348
@bilalothmankhamis4348 4 жыл бұрын
duuuuuh hiyo mpya ndo kwanza nasikia kwako
@ahmadazubeir5112
@ahmadazubeir5112 4 жыл бұрын
Sakum Ngoma acha matusi basiii,yanini kutajiana mababa tenaa
@seydouside4081
@seydouside4081 Жыл бұрын
Shekh walid..hii ulishasikia au kuisoma ..??? Tutaona maana ramadhani..umejibu kuondoa manoni usoni...waislam..Allah ni ¹ ..mwezi ¹ kibla ¹.mwandamo ¹ jua¹ardhi¹ mbingu¹ dini ni ¹
@mrafm7285
@mrafm7285 5 жыл бұрын
Waambie ukweli shekhe
@allysururu1733
@allysururu1733 4 жыл бұрын
Sasa vp Wale wanaoishi Canada,australia,newzeland,kwani kwao masaa tofauti na saudi,hebu sheikh fafanua kuhusu hao wa nchi hzo
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
@@allysururu1733 Masaa ni tofauti lakini siku ni ileile
@mfaumeatimwanga9227
@mfaumeatimwanga9227 4 жыл бұрын
ndiko aliko toka nabii na wanafunzi wake. sikumuona nabii wala wanafunzi wake. mimi nimepokea kauli tu kutoka kwa watu wa huko. je wewe ulimuona nabii na wanafunzi wake au huyo unaemuona kuwa mkweli aliishi na nabii au wanafunzi wake??. kama ni kwa sababu ya mwezi , mwezi watanzania unakuwa mkubwa na unachelewa kuzama. na ndio maana watu tunafunga mwezi wa kimataifa. ishaaallah tutakuwa pamoja endapo utafanya risechi pindi unapoandama mwezi. usirizike tu kuwa umeuona la bali kaa uwangalie mpaka unazama. ndipo utapata jibu kama wa leo au jana.
@mohamadally5732
@mohamadally5732 4 жыл бұрын
Sheikh kilemile umemkataa sheikh wako Mohammad ayoub Allaah amhifadhi
@rajabumtambo992
@rajabumtambo992 4 жыл бұрын
Mohamad Ally msikilize vzr shekh bado hujamuelewa
@mohamadally5732
@mohamadally5732 4 жыл бұрын
@@rajabumtambo992 ndg yangu rajabu mtambo Mimi nimemuekewa vizuri sana sheikh kilemile kitu kinachonidhangaza kuenda kinyume na mapokezi kutoka kwa sheikh wake
@ngwalimahingika4873
@ngwalimahingika4873 4 жыл бұрын
Kupingana na mwalim wako au shekh wako mbele ya haki sio kosa hilo limetokea sana tu hata kwa maimamu zetu wakubwa wanne Shafiy ,Hanbaly,Maaliky na Abuuhanifa pia nakbla ya hao maswahaba pia walitofautiana na kutengana na wazee wao kwa kuifuata haki pale wazee wao walipogoma kufanya hivyo
@ngwalimahingika4873
@ngwalimahingika4873 4 жыл бұрын
@@mohamadally5732 kwasabb mwalim sio kua siku xote eti yy ndio anajua haki na kupatia tu na mwanafunzi kinyume chake Pia mwanafunzi humzidi mwalim kitaaluma pale ambapo anaposoma sana zaidi yake ndiomaana utaona mtu Profesa lakini ktk walimu wake waliomfundisha wamo wa darasa la saba tu nahapo lazima mwalim itakua amezidiwa tu kielimu na kimtazamo wa kitaaluma pia kwahiyo hicho ndicho kilichopo kwa wengine kama shekh wetu kilemile huyu رحمة الله عليه
@khamikhan4805
@khamikhan4805 3 жыл бұрын
Imam Ahmad rahimahullah alisoma kwa Imam Shafii rahimahullah lakin kuna masual awalikhitilafiana
@fuadjabry3653
@fuadjabry3653 Ай бұрын
Allah amrehemu shujaa
@hakikwadalili
@hakikwadalili 5 жыл бұрын
Asalamu alaykum Tumemsikiliza Sheikh Kilemile katika neno lake hili. Tunamwambia Hijja Arafah hilo halina tafauti ndani yake, lakini Arafah ni nini? Ni kisimamo cha siku ya tisa ya mwezi wa Hijja. Kwa hiyo Siku ya Arafa ni siku ya 9 ya mwezi wa Dhul-hijja. Napenda Sheikh Kilemile afahamu kuwa Kalenda ya Kiislamu inafungana na muandamo ima uandame 29 au utimie 30 na inafahamika vizuri sana kuwa kutafautiana miandamo ni jambo lisilopingika na ndio maumbile ambayo Allah ameyajaalia katika ulimwengu huu. Sheikh Kilemile hizi ibada zote zimefungwa na tarehe na sio matendo ya mahujaji. Kwa hiyo Funga ya Arafa ni lazima iwe mwezi 9 na Siku Kuu iwe mwezi 10.
@jumaalmasy4336
@jumaalmasy4336 4 жыл бұрын
Acheni kuwapotosha watu ninyi mnao mpinga Shekh kilemile elimu ya tauhidi hamna elimu ya tawhidi ni muhimu sana kwenye elimu ya dini
@hakikwadalili
@hakikwadalili 4 жыл бұрын
@@jumaalmasy4336 Fuata silsila yetu ya nuru tauhidi na itikadi katika uislamu utaipata katika ukurasa wangu.
@hakikwadalili
@hakikwadalili 4 жыл бұрын
kzfaq.info/sun/PL1DBOnRxovrQMKIveJXcJuwb33aHB5voR
@bilalothmankhamis4348
@bilalothmankhamis4348 4 жыл бұрын
sasa utaupateje mwezi tisa wakat ninyi mnakalenda zenu na mahesabu yenu wenyewe na mnapanga miandamo ya kweli na mnaendesha haya mambo mnavyotaka ninyi?
@ahmadazubeir5112
@ahmadazubeir5112 4 жыл бұрын
Mimi nimeshaslmeshwaa na haooo na sio hawaaa
@salumhamed5074
@salumhamed5074 Жыл бұрын
Good
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 4 жыл бұрын
ni vema masheikh mkae mliweke sawa hili, hawa viongozi wa bakwata ni ulamaa sui
@jumaallesgut7132
@jumaallesgut7132 4 жыл бұрын
Toa vitabu kama Sheikh Mohammed Iddy
@salimshariff6277
@salimshariff6277 3 жыл бұрын
Nonsense ww boss soma elimu vizuri
@khamikhan4805
@khamikhan4805 3 жыл бұрын
we umesoma wapi akhiy tutajie walimu wako
@salimually5716
@salimually5716 3 жыл бұрын
Walikubaliana lini maneno hayo? Rejeeni kitabu kinachoitwa taudhwihu Al, ahkami juzu ya 3 muone ripoti ya wanazuoni kuhusu hayo anayosema huyo mpotoehaji ktk hili
@mohamadally5732
@mohamadally5732 4 жыл бұрын
Sheikh wako Mohammad ayoub ndivyo alivyokufundisha hvyo?
@uledihassan6065
@uledihassan6065 4 жыл бұрын
Muhammedi Ayuob nani katika dini hii. Yeye siye swahaba wala tabii Wala tabii tabiina
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Amfuate sheikh au afuate dini?
@alishariffshariff9083
@alishariffshariff9083 4 жыл бұрын
mzee ni nani kakuambia Saudis wanafuata calendar ya kiislamu?Saudis wanafuata calendar inayojulikana kwa jina( THE CALENDAR OF UMUL ALQURAA).Stop supporting bad elements who distract Muslims world from Makkah and Medinah.
@uledihassan6065
@uledihassan6065 4 жыл бұрын
Sheikh Suleiman umeongea ukweli mtupu kwa wenye kujua wewe msomi umekaa makkah miaka 10 achana na hawa wanaojikombakomba serikalini hata kusoma matni za kiarabu hawajui
@ahmadazubeir5112
@ahmadazubeir5112 4 жыл бұрын
Ninauwezo na nathubutu kusema kua huyu Sheikh ametumwa na watu fulani,khaaaa!! Mpumbaaavu sana. Kwaiyo Dhulhijja tufate kalenda ya Saudia na ikimaliza Hijja tufate kalenda zetu. Subhaanallah!! Sheikh unasoma hadithi ambayo hata haina mafungamano na hizo sikukuu.
@abuyabally5086
@abuyabally5086 4 жыл бұрын
usimwite mtu mpumbavu kaka sababu khitilafu zipo tokea mtume lkn heshima walipeana hawakutukanana
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mpumbavu ni wewe usiye na hoja!!!
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Inaonekana ni mtu wa bidaa wewe!!!
@idrisaallysalum9447
@idrisaallysalum9447 4 жыл бұрын
Aina hii ya Masheikh "Ndiyo chanzo cha Waislam kuwa Dhaifu na Wanyonge hapa Tanzania". Uislam HAUONGOZWI NA MAKKA, Usilam unaongozwa na Quran na Sunna. Huyu anapenda sana sana MIGOGORO utadhani Uislam ni MALI YAKE!.....
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Sasa kama huongozwi na makka , basi anzisha na wewe arafa yako ya morogoro tuone na uanzishe kibla chako huko morogoro tuone
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 жыл бұрын
Sio kweli
@jumahory3069
@jumahory3069 4 жыл бұрын
Allah skurem
@ibrahimmsinga5320
@ibrahimmsinga5320 5 жыл бұрын
Sijarlewa shekhe unaanisha nn
@hudishehdadi7790
@hudishehdadi7790 4 жыл бұрын
Sheikh akiongea anasema eidlhajj akisoma hadith inasema eidladhha. Aliyemuelewa anisaidie
@uledihassan6065
@uledihassan6065 4 жыл бұрын
Ni kitu hicho hicho kimoja
@akthammuhammad7844
@akthammuhammad7844 4 жыл бұрын
Sheikh unasikitika serikali inadanganya nyie munapendua maneno ya mtume mtukufu wa daraja kwa maslahi ya kidunia.
@kassimmgwami
@kassimmgwami 4 жыл бұрын
Hao jamaa ni vigeugeu kila siku wanang'ang'ania kua jambo lolote ambalo mtume akulifanya au akuelekeza lifanyike hata kama ni zuri ni bidaah sasa hapa anatueleza habari ya kufuata taarifa za kwenye TV sijui mtume alielekeza hivyo au Quran imeelekeza hivyo atuambie sasa hivi.
@bilalothmankhamis4348
@bilalothmankhamis4348 4 жыл бұрын
@@kassimmgwami inavyoonekana una elimu kubwa kumzidi sheikh kilemile (rahmatullah alihi) au xio?weka bas na ww dalili zako hapo tuzione na utuambie unamustawa gani ww
@bilalothmankhamis4348
@bilalothmankhamis4348 4 жыл бұрын
allah akusamehe kijan
@mfaumeatimwanga9227
@mfaumeatimwanga9227 4 жыл бұрын
hakuna miezi mingi .sitafuata na sikubali hata kidogo kufunga mwezi wa tanzania
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 4 жыл бұрын
fata Quran tu wala usifate nchi fulani kaka
@mfaumeatimwanga9227
@mfaumeatimwanga9227 4 жыл бұрын
Abdul Mgagagigikoko hahahaaaa qur an na sunna hizo habari kawaleteeni nani na hali huko maka kwenyewe munakukejeli?? na wala hamuwaamini .kwangu mimi watu wa maka . madina ninawaani sana. kwa sababu ndio walioniletea upo wa nabii na mafundisho yake siwezi kuwakejeli au kukejeli miji hiyo. eti kwakuwa tu shekhe fulani amesema.mwezi mmoja jua moja
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 4 жыл бұрын
kwahiyo utaamini kauli ya mtu yoyote yule sharti tu awe mtu wa mecca au Madina si ndio?
@zinjanzodic4484
@zinjanzodic4484 5 жыл бұрын
F
@nganzirashidi1463
@nganzirashidi1463 4 жыл бұрын
Sheikh VP mbona kama vile hujasoma? Kitabu gn cha fiqih kimeandika Eidlhaj? Inaitwa eidhwuha
@rajabujuma4976
@rajabujuma4976 5 жыл бұрын
Hijja inahusianaje na saumu ya arafa! Je wasipokwenda hao mahujaji huko kwenye viwanja vya arafa imamu tutamuonea wapi akihutubia hukumu ya kiislaam haihukumiwi kwa teknologia nali teknologia ndo inatakiwa ifuate hukumu za kiislaam sasa kuwaona wao sii ndo dalili wala mafundisho ya Mtume s.a.w kwani kuwaona hao mahujjaaji live ndo dalili ya muandamo? Usituletee habari ya hijja ktk saumu ya arafa
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Huna ulijualo???
@suphianmasasi408
@suphianmasasi408 5 жыл бұрын
Sheikh Nadhani ni BUSARA na adabu ya elimu jambo kama hilo ungeweza kumfuata Mufti mkaongea na kulitolea fatua nzuri ikawa muongozo wa pamoja kama nia ni kumuogopa Allah . Lakini kama nia ni zaidi ya hiyo. basi ujuwe mnatuchanganya waumini na inachochea tofauti baina ya waumini. Kama kila sheikh atakwenda kwenye vyombo vya habari na kumkosoa mwenzake hakika tutadhofika. Nakuomba sana sheikh ufikirie sana hili faida na hasara zake tafadhali TAFAKARI
@jamalishoo3802
@jamalishoo3802 5 жыл бұрын
Huyu mzee ni mnafiki sana
@muhidinzaidi1408
@muhidinzaidi1408 5 жыл бұрын
Kwa hiyo unaagano jipya
@rajabujuma4976
@rajabujuma4976 5 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 tujuze ww mjuaji kwa dalili za kielimu
@ahmadazubeir5112
@ahmadazubeir5112 4 жыл бұрын
Huo sio ukweli bali ni kuwadanganya Waislaamu ulionao na watakaokufata ni wale wasiosoma hapo. Yaani ukimuangalia tu utagundua kua analazimisha kitu. Unazungumza Arafa,unazungumza sikukuu,unazungumza wagonjwa,unazungumza kitu gani ambacho hata hao wanaokusikiliza hawakuelewi. Sasa kwani wewe hapo ulipo unafanya Hijja? Upo Arafa?
@salumngoma8710
@salumngoma8710 4 жыл бұрын
Ahmada Zubeir sasa arafa zipo mbili au
@duwakyaka8116
@duwakyaka8116 5 жыл бұрын
Mzee wangu unajivunjia heshima unacho kisema hakina ukwer
@jumaalmasy4336
@jumaalmasy4336 4 жыл бұрын
Shekh acha kumzonga huyu Shekh tuko dunia ya utandawazi kila kinacho endelea duniani kinaonekana
@salumngoma8710
@salumngoma8710 4 жыл бұрын
Duwa Kyaka soma acha ujinga
@duwakyaka8116
@duwakyaka8116 4 жыл бұрын
@@salumngoma8710 acha kusikiriza watu soma mwenyewe iri ujue nini tatizo napia dini yetu usifananishe na mambo ya kimtandao ibada izi zinafanyika toka mambo ya kimitandao bado
@salamakhamis7245
@salamakhamis7245 4 жыл бұрын
Kwani Idi lhaji au Idi L - udhhiya?? tawireni waganga
@khalidkassim3986
@khalidkassim3986 4 жыл бұрын
Acha kudanganya watu wewe sheikh au umeshahongwa? Njaaa tu inakusumbua
@uledihassan6065
@uledihassan6065 4 жыл бұрын
Wewe ni jahili hata udhu wako hujui halafu unataka kuvamia Mambo ya Arafah
@gavanaimrani6777
@gavanaimrani6777 3 жыл бұрын
Ww NINANI hujui kitu nyamaza muache Shekh wetu ASEME ukweli
@ahmadazubeir5112
@ahmadazubeir5112 4 жыл бұрын
Huyu mimi hawezi kunisomesha hata kwa bakoraaa
@hodhayfahkassu332
@hodhayfahkassu332 4 жыл бұрын
Kwani alikwambia akakusomeshe
@jeffar5199
@jeffar5199 4 жыл бұрын
Pita kule
@salumngoma8710
@salumngoma8710 4 жыл бұрын
Ahmada Zubeir atakusomesha baba yako pumbavu wew
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Na huwa hafundishi wajinga!!!
@nganzirashidi1463
@nganzirashidi1463 4 жыл бұрын
Sheikh hizo sio hoja Unapotosha kabisaaa nenda kabadilishe na maneno yakwenye vitabu basi yaliyoandikwa na maulamaaa
@duniaileile5522
@duniaileile5522 4 жыл бұрын
Shehe amegusia pazuuuri kweli pale aliposema ((( kwann kwa wenzetu hatusikii haya matatizo))) Jawabu ni kua: Wenzetu wanaheshimu qauli za wanazuoni wao, na khasa ile iliyotolewa na Mufti wa nchi, Ama kwetu kila aliesoma anataka na yeye awe na wafuasi wake, hapo ndio kwenye kasheshe sasaaaa Na kama tunavyofahamu kua masuala haya yana khilaf, na kila penye khilaf kunakua na qaul yenye nguvu zaid, nayo ndio inauofuatwa Sasa ni kwann mashekhe wanalazimisha kuvunja qaul ya mufti bali hata serikali??? Kisa wanafuata khilaaaf??? Na sheikh asiifanye serikal yetu ni bunjuuuuu, serikal ipo wazi na ipo macho!!! Wito wangu kwa serikal ni kuchukua hatua wale wanaoivunjia heshma serikal na kumdharau bali kumkejeli mufti kiongozi wa waislam ktk nchi!! Kwa kujiegemeza kua nchi yetu ina uhuru wa kuabudu!! Pia wito wangu Kwa masheikh : wawe ni chombo cha kuwaunganisha watu sio kuwagawanya, na kwa vile ni masuala ya khilaf basi inakuaje kuaje kushikilia kila mmoja awe na mamlaka yake ktk maamuzi!!! Huu ndio msiba wa masheikh wetu wa kitanzania kila mmoja na kundi lake Innnaaaaalillahi wa inna ilaihi raaaaaaajiun
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 4 жыл бұрын
Naswiru Tamim fahamu kwanza matumizi ya nasaha na ujuwe kupambanua msikilize vizuri shekhe wako mimi usinisumbue wewe bado unaweza kudanganywa endelea kudanganyika mimi sina uisilamu wa video!!! Lakini khilafu fatilia zipo mawahabi wenzio Ramadhani wanaswali rakaa 20 tarawehe maka lakini wa afrika mashariki wanaswali nane au wewe upo wapi!ARAFA NI MWEZI 9 DHULHIJA SIO Wakiswali wa saudia basi umma wote waswali.KHITILAFU ZIPO NA ZITAENDELEA KUWEPO.
@naswirutamimu914
@naswirutamimu914 4 жыл бұрын
@Khalfan Sharji Mimi nilikuwa nakufahamisha tu kuwa hiyo swala ya adhuhuri uliyoisema na arafa vinahukumu tofauti. Sasa wew ilibidi ukatae kwa hoja au urekebishe hapo na sio kupaniki, naona pia ushaingiza uwahabi na ikhtilafu ya rakaa za taraweh duuh.. Allah akuongoze.
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 4 жыл бұрын
@@naswirutamimu914 unashangaza kama kazi za kina bahero, barahiyani,kasim mafuta n.k huzioni mtandaoni halafu utake hoja kwangu kuwa nimekufurishwa!sina kazi ya kuulizwa na kujibu muhimu ungewafatilia halafu uwe mkweli useme kama uliyaona au la ili tukuonyeshe wapi wanawakufurisha waisilamu muhimu kama sheikh muhamad Issa ameyaona maneno yangu basi aweza kufanyia kazi upande wangu au upande wa pili
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 4 жыл бұрын
@@naswirutamimu914 jambo la pili umeniombea ALLAH ANIONGOZE je wewe hutaki kuongozwa na ALLAH Mbona hujaomba ALLAH ATUONGOZE AU Labda wewe uongofu uliinao huna haja tena ya kuongozwa(ALLAH ATUONGOZE) ALLAHUMMA AMEEN.
@naswirutamimu914
@naswirutamimu914 4 жыл бұрын
@@khalfansharji9790 Katika hao masheikh uliowataja ni sheikh mmoja ambaye mi namsikiliza sana na nina darsa zake na mihadhara yake na wengi waliokuwa na fikra za kigaidi za kukufurisha na kupinga watawala wamebadilika kupitia ulimi wake Allah amuhifadhi Abulfadhli Kaasim mafuta sasa naomba uniwekee hapa ushahidi wako
@naswirutamimu914
@naswirutamimu914 4 жыл бұрын
@@khalfansharji9790 Najua huwezi kupata fikra hizo kutoka kwa masalafi. Hao wengine siwezi kuwatetea maana siwasikilizi ila huyu nimehudhuria darsa na mihadhara yake live na markazi kwake nimefika na labda ukikosa wewe nambie mi nikupe ushahidi wa kuwa Sheikh Qaasim mafuta na masalfi kwa ujumla wapokinyume na hizo tuhuma
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 5 жыл бұрын
Shekhe tahadhari na heshima yako. Kwa hiyo Watu wa Newseland wakiwaona maka waswali dhuhri na wao waswali dhuhuri hata ikiwa saa nane usiku!!! Usitupotoshe tunajitambua tutashikamana na mwandamo wa mwezi wewe kalia miteknoloja na mi tv.
@alsamr554
@alsamr554 5 жыл бұрын
News land wana wnazuoni wao watawasemee
@naswirutamimu914
@naswirutamimu914 4 жыл бұрын
Hapo inazungumziwa Arafa na idi na sio swala kila moja ina hukumu yake tofauti
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 4 жыл бұрын
@@naswirutamimu914 usidandie mada bila kuielewa fatilia vizuri shekhe wako kajumuishs teknolojia ya leo kueleza umuhimu wa kufuata saudia ktk suala la arafa sasa wewe unakuja na lako hiyo teknolojia itumike kwenye arafa na id el adh'ha pekee teknolojia ukiifuata haina mipaka.
@naswirutamimu914
@naswirutamimu914 4 жыл бұрын
@Khalfan Sharji, "Haji ni arafa" الحج عرفة Na arafa ipo sehemu moja tu makka na hadithi nyingine ikasema "Mwenye kufunga siku ya arafa..." na wanchuoni wamekubaliana juu ya kuwa katika hili miji itaacha kalenda zao na kufuata makka ili kuafikiana na mahujaji waliopo kule. Na teknolojia inatusaidia kwa kiasi kikubwa au imeleta wepesi sasa hapo we una udhuru gani??? Halafu wewe unaleta mambo ya swala tena ambayo hukumu yake ni tofauti na hili linalozungumziwa hapa
@naswirutamimu914
@naswirutamimu914 4 жыл бұрын
We ndo umedandia mada maana ungeielewa usingesema mambo ya swala adhuhuri katika mada hii.
@fundiramadhani753
@fundiramadhani753 4 жыл бұрын
Ulipokuwa bakwata ulikuwa hufanyi hivi tena wewe ni dajali
@uledihassan6065
@uledihassan6065 4 жыл бұрын
Jahili murakkab
@husseinyahaya2639
@husseinyahaya2639 4 жыл бұрын
Shekhe unacho taka nicheo lakini sii dini kwa sababu unasema serikali iko sahihi ni waadilifu kwani serikali ina hukumu kupitia qur an nyinyi mnacho ng'ang'ania ni usaudia wala sio sunna acha kudanganya watu bwana
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Asante sheikh!!!
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Sheikh wetu tutakukumbuka daima Mwenyezi Mungu hakufanyie wepesi kaburini na kiama
@abdukadiliissa8076
@abdukadiliissa8076 4 жыл бұрын
Msema kweli Daima Hapendwi kabisa ndio maana Vibaraka wa bakwata Mufti wa Tanzania sheikhe wa Dar es salaam , Hawajafika katika mazishi wanapotosha watu SubhanaLLAH!!!! Ndio maana wakakutoa katika balaza la bakwata
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 4 жыл бұрын
Abdukadili Issa shekhe wa mkoa wa dara es salaam alikuwepo katka mazishi
HISTORIA YA SHEIKH SULEIMAN AMRAN KILEMILE
7:57
islamicftz
Рет қаралды 56 М.
Umuhimu wa Subra katika Maisha ya Mwanadamu - Sheikh Kilemile
33:50
Rashid Dilunga
Рет қаралды 70 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 21 МЛН
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 15 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 116 МЛН
Shekh Abdallah Bawaziri Avunja ukimya atoa onyo kwa Mashekh
12:13
BABDEO MILADU
Рет қаралды 24 М.
Sheikh Suleyman Kilemile (SEHEMU YA PILI)
16:44
BABDEO MILADU
Рет қаралды 28 М.
MASHEIKH WATOA MSIMAMO KUHUSU FUNGA YA ARAFA
5:03
Kishki Online TV
Рет қаралды 51 М.
Andao Lililo Bora - Sheikh Kilemile -Part 2
10:02
Rashid Dilunga
Рет қаралды 2,1 М.
Amekufuru atakae sema anayajua mambo haya|| Nassor Bachu.
14:36
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 61 М.
SHEIKH FARID ZNZ AMALIZA UTATA WA ARAFA KWA ANAETAKA KUELEWA
30:33
AUFY ONLINE TV.
Рет қаралды 667
Tafsiri suratul  Furqaan aya 66  SHEKHE SULEIMANI KILEMILE no1
24:37
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 1,4 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 21 МЛН