Allah atuongoze tuweze kufahamu na akulipe kila la kheri.
@allyomari6804 жыл бұрын
mwenyezi mungu akulipe shekh wangu nadua hii nllah aipokee inshaanllah shekh asante sana tena sana Sana sana shhkrani👏👏👏
@binjumaa70725 жыл бұрын
Naam aerikali wapo Sahihi , umeongea vizuri sana Sheh! Shukran
@AbdalahMtambuka-rh1dp Жыл бұрын
kwamtu muislam kwamtu Alie kua naelim yadin uyoshekhe anakupa ushaidi .kuusu uislam nauyu shekhe nimsomi mkubwa kwasasa katangulia mbele zaaki ilauyu sheke kwatanzaniaii Mimi namkubalisan nimsomi mkubwa Allah amleem
@mfaumeatimwanga92274 жыл бұрын
nakupenda sana maka tena saanaa. maana ndiko alikozaliwa mtume muhammadi saw. na walioniletea habari kuhusu uwepo wa nabii ni waarabu kutoka maka. sasa kama nimekubali hilo kwanini nikatae wakiniambia mwezi umeonekana? daima nitafunga mwezi mmoja nduniani kote na sio watanzania
@twaharicco94274 жыл бұрын
Umeondoka na ukweli wako sheikh ..
@abdukadiliissa80764 жыл бұрын
Msema kweli Daima Hapendwi kabisa ndio maana Vibaraka wa bakwata Mufti wa Tanzania sheikhe wa Dar es salaam , Hawajafika katika mazishi wanapotosha watu SubhanaLLAH!!!! Ndio maana wakakutoa katika balaza la bakwata
@jumaomari66064 жыл бұрын
Mungu akusameh makosa yako Sheikh
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Allah amrehemu!!!
@twahambowe440Ай бұрын
Aamiin Aamiin Aamiin
@majalamka16044 жыл бұрын
Hadithi anayoitoa na mafuhum tofauti hija ni arafa kwa mahujaji kwani yeye ni haji....pili matumizi mabaya ya lugha....akijibiwa atapiga kelele atukanwa
@mfaumeatimwanga92274 жыл бұрын
Majala Mka ni kweli dunia ni kijiji kuukumbatia uwongo upende wewe. shekhe yuko sahihi mashaallah
@mohamadally57324 жыл бұрын
Hii laana ya sheikh wake Mohammad ayoub maana kilemile anajua zaid kuliko sheikh wake
@bilalothmankhamis43484 жыл бұрын
sasa kama hija haiusiani na arafa kwann ww unasali idd na kwann unafunga araf?
@ramadhanmazije38824 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti
@binjumaa70725 жыл бұрын
Allah akuhifadh sheh ! Jazaaka lah
@salmagulam66194 жыл бұрын
Asante shekhe hata kweny swala sisi na maka sawa kama hamuamini angalien channel ya IQRA wakiswali wao adhuhuli na sis sawa na hakuna sik 2 dunian na hakuna arafa 2 ni moja tu nyie danganywen tu
@matanohassan59255 жыл бұрын
Huko nyuma Dunia ilikuwa kizani shehe unaumwa Ina maana zama za maimamu Wa nne pia Wali kuwa katika kiza na hii Dini ulipata vipi wewe hadi sasa wajiona uko katika mwangaza Dini ya uislamu hija ilikuwa, na saumu, na hakukuwa na migogoro na hakuna TV, wala internet, na waliishi Safi tu iweje useme Leo Dunia ilikuwa gizani na nyie ndie muko na migogoro kuliko kitambo tafadhali fikiria sana
@user-ww3nq9gz5w4 жыл бұрын
utalazimishaje za hizi kurudi kama zamani kuonyesha hilo hawa wanaotutangazia mwezi wakienda hija hurukisha tarehe mbele kwanini wasisubiri mpk Siku inayofuata ndo waende arafa
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mtu wa bidaa wewe!!
@huseinikaji82083 жыл бұрын
Msiwatukane mashekh dunia ilikuwa gizani kwamaana ilikuwa si rahisi kupeana taarifa ukilinganisha na zama hizi
@ismailally18663 жыл бұрын
hukumuelewa ww aliposema gizani akimaanisha hakuna mawasiliano ya moja kwa moja ilikua ni vigumu mtu wa nchi za mbali kupata taarifa za mwezi wa nchini saudia. Hivyo ilikuaa kama wapo gizani sasa hivi utandawazi ni kama taa mtu wa mbali anaweza kuona kinachoendelea katika nchi ya saudia kila kitu live. Chnga maneno yako kama hujaelewa tumia kauli nzuri upeo wako usihukumu usiyoyaelewa uliza, utafeli.
@gavanaimrani67773 жыл бұрын
Kuwa muelewa ww Basi
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Asante sheikh!!!
@abdillahichicha83664 жыл бұрын
Swadakta shekh kwa darsa zuri lenye kuelimisha
@simbalion28714 жыл бұрын
Allah akupe pepo ya juu Amin
@twahambowe440Ай бұрын
Aamiin allaahumma Aamiin
@binjumaa70725 жыл бұрын
Bakwata wanatakiwa walieke sawa hili ,wawape serikali usahihi WA mambo haya
@stivengerrard7863 Жыл бұрын
اللهم ارحمه يا ربي مع المسلمين ماتوا
@alsamr5544 жыл бұрын
Huyo ni mwenyekit wa wanazuoni Tanzania
@jumarajabu47954 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu
@SonySony-em4ze4 жыл бұрын
Allah awalipe malipo ya juu
@rashidmohd96854 жыл бұрын
Sheikh umejitahid kuelezea, ila nikwambie kwamba sio kweli km dunia nzima wamekubaliana kuwa skukuu ya adh-ha ifuatwe Saudia sio kweli. Mm nipo oman na wala hawafuati calenda ya saudia. Na sio oman peke yake, nchi km Algeria, masry n.k pia hazifuati calenda ya saudia. Kwa hio sio kweli kuwa dunia nzima wamekubaliana. Hata fatwa za wengi ktk masheikh wa saudia hawakubali kuwa dunia nzima ifuate saudia juu ya suala hili.
@greysonflams22374 жыл бұрын
Dunia haiwezi kuwa kufuata saa ya sehemu moja ikafanana kila nchi na muda wake
@gavanaimrani67773 жыл бұрын
OMAN NA THEHEBU LENU LA MAIBADHI TENA IJUMAA MULIKUA HAMSWALI WANAFIK NYINYI NA UBAGUZI WENU NYIE MIJITU YA OMAN MNAIPINGA SAUDIA
@twahambowe440Ай бұрын
Haya wee funga arafa yako, utajua nini chakumweleza Allah kuhusu ne÷ma alokupeni, au simu sio neema!.
@twahambowe440Ай бұрын
Tv nazo sio neema,,,,! Mtaenda ulizwa kutokana nayo hiyo neema.
@OmariMkumba6 күн бұрын
Inalillah waina illahi rajuun
@crescentvscross11322 жыл бұрын
TATIZO lazima mtaje screen TV simu. je kama huna TV simu. Acheni bidaa dunia haiwezi funga arafa mmoja Acha uongo
@crescentvscross11322 жыл бұрын
Mashehe TV Hawa
@bahariyatibanaduaaduaniiba61204 жыл бұрын
Allah amrahamu inshallah.
@IssaAmade-gk6kz Жыл бұрын
Dunia ilikuwa katika kiza ????? Dah bas Kuna lengine ili :vipimo vya mimba !sijui mwananke atakaa edda au inakuajehapo?
@salamakhamis80924 жыл бұрын
Allahu Akbar Alla akusameh
@rashidkawambwa74252 жыл бұрын
MSIKILIZE KWA MAKINI HUYU SHEKHE ANAYOSEMA UTAPATA SOMO
@kassimmgwami4 жыл бұрын
Lakin hilo la kufuata mwezi wa kimataifa kwa maana ya kufuata mwezi unapoonekana Saud Arabia au arafa inapoisha Saud Arabia ni bidaah pia, hapo panahitajika hisan kwa kufanya muafaka sio kulazimisha,.
Shekh walid..hii ulishasikia au kuisoma ..??? Tutaona maana ramadhani..umejibu kuondoa manoni usoni...waislam..Allah ni ¹ ..mwezi ¹ kibla ¹.mwandamo ¹ jua¹ardhi¹ mbingu¹ dini ni ¹
@mrafm72855 жыл бұрын
Waambie ukweli shekhe
@allysururu17334 жыл бұрын
Sasa vp Wale wanaoishi Canada,australia,newzeland,kwani kwao masaa tofauti na saudi,hebu sheikh fafanua kuhusu hao wa nchi hzo
@binhussain3445 Жыл бұрын
@@allysururu1733 Masaa ni tofauti lakini siku ni ileile
@mfaumeatimwanga92274 жыл бұрын
ndiko aliko toka nabii na wanafunzi wake. sikumuona nabii wala wanafunzi wake. mimi nimepokea kauli tu kutoka kwa watu wa huko. je wewe ulimuona nabii na wanafunzi wake au huyo unaemuona kuwa mkweli aliishi na nabii au wanafunzi wake??. kama ni kwa sababu ya mwezi , mwezi watanzania unakuwa mkubwa na unachelewa kuzama. na ndio maana watu tunafunga mwezi wa kimataifa. ishaaallah tutakuwa pamoja endapo utafanya risechi pindi unapoandama mwezi. usirizike tu kuwa umeuona la bali kaa uwangalie mpaka unazama. ndipo utapata jibu kama wa leo au jana.
@mohamadally57324 жыл бұрын
Sheikh kilemile umemkataa sheikh wako Mohammad ayoub Allaah amhifadhi
@rajabumtambo9924 жыл бұрын
Mohamad Ally msikilize vzr shekh bado hujamuelewa
@mohamadally57324 жыл бұрын
@@rajabumtambo992 ndg yangu rajabu mtambo Mimi nimemuekewa vizuri sana sheikh kilemile kitu kinachonidhangaza kuenda kinyume na mapokezi kutoka kwa sheikh wake
@ngwalimahingika48734 жыл бұрын
Kupingana na mwalim wako au shekh wako mbele ya haki sio kosa hilo limetokea sana tu hata kwa maimamu zetu wakubwa wanne Shafiy ,Hanbaly,Maaliky na Abuuhanifa pia nakbla ya hao maswahaba pia walitofautiana na kutengana na wazee wao kwa kuifuata haki pale wazee wao walipogoma kufanya hivyo
@ngwalimahingika48734 жыл бұрын
@@mohamadally5732 kwasabb mwalim sio kua siku xote eti yy ndio anajua haki na kupatia tu na mwanafunzi kinyume chake Pia mwanafunzi humzidi mwalim kitaaluma pale ambapo anaposoma sana zaidi yake ndiomaana utaona mtu Profesa lakini ktk walimu wake waliomfundisha wamo wa darasa la saba tu nahapo lazima mwalim itakua amezidiwa tu kielimu na kimtazamo wa kitaaluma pia kwahiyo hicho ndicho kilichopo kwa wengine kama shekh wetu kilemile huyu رحمة الله عليه
@khamikhan48053 жыл бұрын
Imam Ahmad rahimahullah alisoma kwa Imam Shafii rahimahullah lakin kuna masual awalikhitilafiana
@fuadjabry3653Ай бұрын
Allah amrehemu shujaa
@hakikwadalili5 жыл бұрын
Asalamu alaykum Tumemsikiliza Sheikh Kilemile katika neno lake hili. Tunamwambia Hijja Arafah hilo halina tafauti ndani yake, lakini Arafah ni nini? Ni kisimamo cha siku ya tisa ya mwezi wa Hijja. Kwa hiyo Siku ya Arafa ni siku ya 9 ya mwezi wa Dhul-hijja. Napenda Sheikh Kilemile afahamu kuwa Kalenda ya Kiislamu inafungana na muandamo ima uandame 29 au utimie 30 na inafahamika vizuri sana kuwa kutafautiana miandamo ni jambo lisilopingika na ndio maumbile ambayo Allah ameyajaalia katika ulimwengu huu. Sheikh Kilemile hizi ibada zote zimefungwa na tarehe na sio matendo ya mahujaji. Kwa hiyo Funga ya Arafa ni lazima iwe mwezi 9 na Siku Kuu iwe mwezi 10.
@jumaalmasy43364 жыл бұрын
Acheni kuwapotosha watu ninyi mnao mpinga Shekh kilemile elimu ya tauhidi hamna elimu ya tawhidi ni muhimu sana kwenye elimu ya dini
@hakikwadalili4 жыл бұрын
@@jumaalmasy4336 Fuata silsila yetu ya nuru tauhidi na itikadi katika uislamu utaipata katika ukurasa wangu.
@hakikwadalili4 жыл бұрын
kzfaq.info/sun/PL1DBOnRxovrQMKIveJXcJuwb33aHB5voR
@bilalothmankhamis43484 жыл бұрын
sasa utaupateje mwezi tisa wakat ninyi mnakalenda zenu na mahesabu yenu wenyewe na mnapanga miandamo ya kweli na mnaendesha haya mambo mnavyotaka ninyi?
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Mimi nimeshaslmeshwaa na haooo na sio hawaaa
@salumhamed5074 Жыл бұрын
Good
@ramadhanmwandambotuntufye59724 жыл бұрын
ni vema masheikh mkae mliweke sawa hili, hawa viongozi wa bakwata ni ulamaa sui
@jumaallesgut71324 жыл бұрын
Toa vitabu kama Sheikh Mohammed Iddy
@salimshariff62773 жыл бұрын
Nonsense ww boss soma elimu vizuri
@khamikhan48053 жыл бұрын
we umesoma wapi akhiy tutajie walimu wako
@salimually57163 жыл бұрын
Walikubaliana lini maneno hayo? Rejeeni kitabu kinachoitwa taudhwihu Al, ahkami juzu ya 3 muone ripoti ya wanazuoni kuhusu hayo anayosema huyo mpotoehaji ktk hili
@mohamadally57324 жыл бұрын
Sheikh wako Mohammad ayoub ndivyo alivyokufundisha hvyo?
@uledihassan60654 жыл бұрын
Muhammedi Ayuob nani katika dini hii. Yeye siye swahaba wala tabii Wala tabii tabiina
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Amfuate sheikh au afuate dini?
@alishariffshariff90834 жыл бұрын
mzee ni nani kakuambia Saudis wanafuata calendar ya kiislamu?Saudis wanafuata calendar inayojulikana kwa jina( THE CALENDAR OF UMUL ALQURAA).Stop supporting bad elements who distract Muslims world from Makkah and Medinah.
@uledihassan60654 жыл бұрын
Sheikh Suleiman umeongea ukweli mtupu kwa wenye kujua wewe msomi umekaa makkah miaka 10 achana na hawa wanaojikombakomba serikalini hata kusoma matni za kiarabu hawajui
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Ninauwezo na nathubutu kusema kua huyu Sheikh ametumwa na watu fulani,khaaaa!! Mpumbaaavu sana. Kwaiyo Dhulhijja tufate kalenda ya Saudia na ikimaliza Hijja tufate kalenda zetu. Subhaanallah!! Sheikh unasoma hadithi ambayo hata haina mafungamano na hizo sikukuu.
@abuyabally50864 жыл бұрын
usimwite mtu mpumbavu kaka sababu khitilafu zipo tokea mtume lkn heshima walipeana hawakutukanana
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mpumbavu ni wewe usiye na hoja!!!
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Inaonekana ni mtu wa bidaa wewe!!!
@idrisaallysalum94474 жыл бұрын
Aina hii ya Masheikh "Ndiyo chanzo cha Waislam kuwa Dhaifu na Wanyonge hapa Tanzania". Uislam HAUONGOZWI NA MAKKA, Usilam unaongozwa na Quran na Sunna. Huyu anapenda sana sana MIGOGORO utadhani Uislam ni MALI YAKE!.....
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Sasa kama huongozwi na makka , basi anzisha na wewe arafa yako ya morogoro tuone na uanzishe kibla chako huko morogoro tuone
Sheikh unasikitika serikali inadanganya nyie munapendua maneno ya mtume mtukufu wa daraja kwa maslahi ya kidunia.
@kassimmgwami4 жыл бұрын
Hao jamaa ni vigeugeu kila siku wanang'ang'ania kua jambo lolote ambalo mtume akulifanya au akuelekeza lifanyike hata kama ni zuri ni bidaah sasa hapa anatueleza habari ya kufuata taarifa za kwenye TV sijui mtume alielekeza hivyo au Quran imeelekeza hivyo atuambie sasa hivi.
@bilalothmankhamis43484 жыл бұрын
@@kassimmgwami inavyoonekana una elimu kubwa kumzidi sheikh kilemile (rahmatullah alihi) au xio?weka bas na ww dalili zako hapo tuzione na utuambie unamustawa gani ww
@bilalothmankhamis43484 жыл бұрын
allah akusamehe kijan
@mfaumeatimwanga92274 жыл бұрын
hakuna miezi mingi .sitafuata na sikubali hata kidogo kufunga mwezi wa tanzania
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
fata Quran tu wala usifate nchi fulani kaka
@mfaumeatimwanga92274 жыл бұрын
Abdul Mgagagigikoko hahahaaaa qur an na sunna hizo habari kawaleteeni nani na hali huko maka kwenyewe munakukejeli?? na wala hamuwaamini .kwangu mimi watu wa maka . madina ninawaani sana. kwa sababu ndio walioniletea upo wa nabii na mafundisho yake siwezi kuwakejeli au kukejeli miji hiyo. eti kwakuwa tu shekhe fulani amesema.mwezi mmoja jua moja
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
kwahiyo utaamini kauli ya mtu yoyote yule sharti tu awe mtu wa mecca au Madina si ndio?
@zinjanzodic44845 жыл бұрын
F
@nganzirashidi14634 жыл бұрын
Sheikh VP mbona kama vile hujasoma? Kitabu gn cha fiqih kimeandika Eidlhaj? Inaitwa eidhwuha
@rajabujuma49765 жыл бұрын
Hijja inahusianaje na saumu ya arafa! Je wasipokwenda hao mahujaji huko kwenye viwanja vya arafa imamu tutamuonea wapi akihutubia hukumu ya kiislaam haihukumiwi kwa teknologia nali teknologia ndo inatakiwa ifuate hukumu za kiislaam sasa kuwaona wao sii ndo dalili wala mafundisho ya Mtume s.a.w kwani kuwaona hao mahujjaaji live ndo dalili ya muandamo? Usituletee habari ya hijja ktk saumu ya arafa
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Huna ulijualo???
@suphianmasasi4085 жыл бұрын
Sheikh Nadhani ni BUSARA na adabu ya elimu jambo kama hilo ungeweza kumfuata Mufti mkaongea na kulitolea fatua nzuri ikawa muongozo wa pamoja kama nia ni kumuogopa Allah . Lakini kama nia ni zaidi ya hiyo. basi ujuwe mnatuchanganya waumini na inachochea tofauti baina ya waumini. Kama kila sheikh atakwenda kwenye vyombo vya habari na kumkosoa mwenzake hakika tutadhofika. Nakuomba sana sheikh ufikirie sana hili faida na hasara zake tafadhali TAFAKARI
@jamalishoo38025 жыл бұрын
Huyu mzee ni mnafiki sana
@muhidinzaidi14085 жыл бұрын
Kwa hiyo unaagano jipya
@rajabujuma49765 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 tujuze ww mjuaji kwa dalili za kielimu
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Huo sio ukweli bali ni kuwadanganya Waislaamu ulionao na watakaokufata ni wale wasiosoma hapo. Yaani ukimuangalia tu utagundua kua analazimisha kitu. Unazungumza Arafa,unazungumza sikukuu,unazungumza wagonjwa,unazungumza kitu gani ambacho hata hao wanaokusikiliza hawakuelewi. Sasa kwani wewe hapo ulipo unafanya Hijja? Upo Arafa?
Shekh acha kumzonga huyu Shekh tuko dunia ya utandawazi kila kinacho endelea duniani kinaonekana
@salumngoma87104 жыл бұрын
Duwa Kyaka soma acha ujinga
@duwakyaka81164 жыл бұрын
@@salumngoma8710 acha kusikiriza watu soma mwenyewe iri ujue nini tatizo napia dini yetu usifananishe na mambo ya kimtandao ibada izi zinafanyika toka mambo ya kimitandao bado
@salamakhamis72454 жыл бұрын
Kwani Idi lhaji au Idi L - udhhiya?? tawireni waganga
@khalidkassim39864 жыл бұрын
Acha kudanganya watu wewe sheikh au umeshahongwa? Njaaa tu inakusumbua
@uledihassan60654 жыл бұрын
Wewe ni jahili hata udhu wako hujui halafu unataka kuvamia Mambo ya Arafah
@gavanaimrani67773 жыл бұрын
Ww NINANI hujui kitu nyamaza muache Shekh wetu ASEME ukweli
@ahmadazubeir51124 жыл бұрын
Huyu mimi hawezi kunisomesha hata kwa bakoraaa
@hodhayfahkassu3324 жыл бұрын
Kwani alikwambia akakusomeshe
@jeffar51994 жыл бұрын
Pita kule
@salumngoma87104 жыл бұрын
Ahmada Zubeir atakusomesha baba yako pumbavu wew
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Na huwa hafundishi wajinga!!!
@nganzirashidi14634 жыл бұрын
Sheikh hizo sio hoja Unapotosha kabisaaa nenda kabadilishe na maneno yakwenye vitabu basi yaliyoandikwa na maulamaaa
@duniaileile55224 жыл бұрын
Shehe amegusia pazuuuri kweli pale aliposema ((( kwann kwa wenzetu hatusikii haya matatizo))) Jawabu ni kua: Wenzetu wanaheshimu qauli za wanazuoni wao, na khasa ile iliyotolewa na Mufti wa nchi, Ama kwetu kila aliesoma anataka na yeye awe na wafuasi wake, hapo ndio kwenye kasheshe sasaaaa Na kama tunavyofahamu kua masuala haya yana khilaf, na kila penye khilaf kunakua na qaul yenye nguvu zaid, nayo ndio inauofuatwa Sasa ni kwann mashekhe wanalazimisha kuvunja qaul ya mufti bali hata serikali??? Kisa wanafuata khilaaaf??? Na sheikh asiifanye serikal yetu ni bunjuuuuu, serikal ipo wazi na ipo macho!!! Wito wangu kwa serikal ni kuchukua hatua wale wanaoivunjia heshma serikal na kumdharau bali kumkejeli mufti kiongozi wa waislam ktk nchi!! Kwa kujiegemeza kua nchi yetu ina uhuru wa kuabudu!! Pia wito wangu Kwa masheikh : wawe ni chombo cha kuwaunganisha watu sio kuwagawanya, na kwa vile ni masuala ya khilaf basi inakuaje kuaje kushikilia kila mmoja awe na mamlaka yake ktk maamuzi!!! Huu ndio msiba wa masheikh wetu wa kitanzania kila mmoja na kundi lake Innnaaaaalillahi wa inna ilaihi raaaaaaajiun
@khalfansharji97904 жыл бұрын
Naswiru Tamim fahamu kwanza matumizi ya nasaha na ujuwe kupambanua msikilize vizuri shekhe wako mimi usinisumbue wewe bado unaweza kudanganywa endelea kudanganyika mimi sina uisilamu wa video!!! Lakini khilafu fatilia zipo mawahabi wenzio Ramadhani wanaswali rakaa 20 tarawehe maka lakini wa afrika mashariki wanaswali nane au wewe upo wapi!ARAFA NI MWEZI 9 DHULHIJA SIO Wakiswali wa saudia basi umma wote waswali.KHITILAFU ZIPO NA ZITAENDELEA KUWEPO.
@naswirutamimu9144 жыл бұрын
@Khalfan Sharji Mimi nilikuwa nakufahamisha tu kuwa hiyo swala ya adhuhuri uliyoisema na arafa vinahukumu tofauti. Sasa wew ilibidi ukatae kwa hoja au urekebishe hapo na sio kupaniki, naona pia ushaingiza uwahabi na ikhtilafu ya rakaa za taraweh duuh.. Allah akuongoze.
@khalfansharji97904 жыл бұрын
@@naswirutamimu914 unashangaza kama kazi za kina bahero, barahiyani,kasim mafuta n.k huzioni mtandaoni halafu utake hoja kwangu kuwa nimekufurishwa!sina kazi ya kuulizwa na kujibu muhimu ungewafatilia halafu uwe mkweli useme kama uliyaona au la ili tukuonyeshe wapi wanawakufurisha waisilamu muhimu kama sheikh muhamad Issa ameyaona maneno yangu basi aweza kufanyia kazi upande wangu au upande wa pili
@khalfansharji97904 жыл бұрын
@@naswirutamimu914 jambo la pili umeniombea ALLAH ANIONGOZE je wewe hutaki kuongozwa na ALLAH Mbona hujaomba ALLAH ATUONGOZE AU Labda wewe uongofu uliinao huna haja tena ya kuongozwa(ALLAH ATUONGOZE) ALLAHUMMA AMEEN.
@naswirutamimu9144 жыл бұрын
@@khalfansharji9790 Katika hao masheikh uliowataja ni sheikh mmoja ambaye mi namsikiliza sana na nina darsa zake na mihadhara yake na wengi waliokuwa na fikra za kigaidi za kukufurisha na kupinga watawala wamebadilika kupitia ulimi wake Allah amuhifadhi Abulfadhli Kaasim mafuta sasa naomba uniwekee hapa ushahidi wako
@naswirutamimu9144 жыл бұрын
@@khalfansharji9790 Najua huwezi kupata fikra hizo kutoka kwa masalafi. Hao wengine siwezi kuwatetea maana siwasikilizi ila huyu nimehudhuria darsa na mihadhara yake live na markazi kwake nimefika na labda ukikosa wewe nambie mi nikupe ushahidi wa kuwa Sheikh Qaasim mafuta na masalfi kwa ujumla wapokinyume na hizo tuhuma
@khalfansharji97905 жыл бұрын
Shekhe tahadhari na heshima yako. Kwa hiyo Watu wa Newseland wakiwaona maka waswali dhuhri na wao waswali dhuhuri hata ikiwa saa nane usiku!!! Usitupotoshe tunajitambua tutashikamana na mwandamo wa mwezi wewe kalia miteknoloja na mi tv.
@alsamr5545 жыл бұрын
News land wana wnazuoni wao watawasemee
@naswirutamimu9144 жыл бұрын
Hapo inazungumziwa Arafa na idi na sio swala kila moja ina hukumu yake tofauti
@khalfansharji97904 жыл бұрын
@@naswirutamimu914 usidandie mada bila kuielewa fatilia vizuri shekhe wako kajumuishs teknolojia ya leo kueleza umuhimu wa kufuata saudia ktk suala la arafa sasa wewe unakuja na lako hiyo teknolojia itumike kwenye arafa na id el adh'ha pekee teknolojia ukiifuata haina mipaka.
@naswirutamimu9144 жыл бұрын
@Khalfan Sharji, "Haji ni arafa" الحج عرفة Na arafa ipo sehemu moja tu makka na hadithi nyingine ikasema "Mwenye kufunga siku ya arafa..." na wanchuoni wamekubaliana juu ya kuwa katika hili miji itaacha kalenda zao na kufuata makka ili kuafikiana na mahujaji waliopo kule. Na teknolojia inatusaidia kwa kiasi kikubwa au imeleta wepesi sasa hapo we una udhuru gani??? Halafu wewe unaleta mambo ya swala tena ambayo hukumu yake ni tofauti na hili linalozungumziwa hapa
@naswirutamimu9144 жыл бұрын
We ndo umedandia mada maana ungeielewa usingesema mambo ya swala adhuhuri katika mada hii.
@fundiramadhani7534 жыл бұрын
Ulipokuwa bakwata ulikuwa hufanyi hivi tena wewe ni dajali
@uledihassan60654 жыл бұрын
Jahili murakkab
@husseinyahaya26394 жыл бұрын
Shekhe unacho taka nicheo lakini sii dini kwa sababu unasema serikali iko sahihi ni waadilifu kwani serikali ina hukumu kupitia qur an nyinyi mnacho ng'ang'ania ni usaudia wala sio sunna acha kudanganya watu bwana
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Asante sheikh!!!
@nooroman25353 жыл бұрын
Sheikh wetu tutakukumbuka daima Mwenyezi Mungu hakufanyie wepesi kaburini na kiama
@abdukadiliissa80764 жыл бұрын
Msema kweli Daima Hapendwi kabisa ndio maana Vibaraka wa bakwata Mufti wa Tanzania sheikhe wa Dar es salaam , Hawajafika katika mazishi wanapotosha watu SubhanaLLAH!!!! Ndio maana wakakutoa katika balaza la bakwata
@sultanbakary42924 жыл бұрын
Abdukadili Issa shekhe wa mkoa wa dara es salaam alikuwepo katka mazishi