Interview nzuri sana Ndoto yangu ilikuwa kuona Siku moja MAGUFULI anafanyiwa interview baada ya kustaafu 😭😭😭
@raphaelhitler64118 ай бұрын
Madam Mabeyo ..Mwalimu wetu Azania Sec.School alikuwa ni mama mwenye upendo sana alitulea vizuri sana .Mwenyezi Mungu ampe maisha marefu
@hilarymark75833 ай бұрын
Ila mkuu baada ya kustaafu jeshi tunaomba basi mama yetu kipenzi akimaliza muda wake ugombee urais utuongoze watanzania. Tunakuamini sana,ulituvusha!
@user-oq9nw5jx9e28 күн бұрын
Hongela sana mkuu uko vizuri sana
@abineljoab18138 ай бұрын
Daaah kuna lesson kubwa kwenye life yako father
@nyakitalidaud28068 ай бұрын
Mkuu wewe ni azina kubwa kwa taifa letu mungu akuongezee maisha malefu
@jimmymbella9978 ай бұрын
Hongera sana mzee wangu, Mungu akupe hekima na upendo, umri mrefu pia kwako CDF.
@moonmyovela15238 ай бұрын
ONGERA SANA MKUU maisha marefu kwako na MUNGU AKULINDE
@user-iy4yg4sg6l7 ай бұрын
Yupo vizuri sana na ana akili sana hata katika kujibu maswali Mungu amfikishe mbinguni
@eliaspoul21038 ай бұрын
Mungu hutendaa katika njiaa sahihiii na ahadii zakee ni za milele daima General **** venance Mabeyo ni nguzo njema na mfano mzuri kwa afisa na askar
@paxmusafrica19018 ай бұрын
Katika Wazee Ninaowakubali Na Kuwaheshimu Katika Nchi Hii Ni General Venance Mabeyo Mzee Mwenye Busara Sana
@japhetkimaro7068 ай бұрын
Hongera Sana sana na Mungu azidi kukubariki.
@rugendorunene5459 ай бұрын
Very beautiful and inspiring.. ✔✔!
@YohanaLuchapa8 ай бұрын
Katika viongozi bora kwenye taifa hili na wazalendo wa kweli ni miongoni na wewe mzee venance mabeyo ni kiongozi wa mfano chukua mauwayako🎉🎉
@justiceplumbingservice28793 ай бұрын
🎉🎉
@mhifadhi7978 ай бұрын
Kadoshi barikiwa sana
@kadoshitv53978 ай бұрын
Asante Sana
@kaizamulinda6338 ай бұрын
My favourite CDF
@user-ep2cm5xo3k8 ай бұрын
Excellent,Gombea urais❤.
@josephstephen20478 ай бұрын
Katiba haimruhusu kufanya hivyo
@kadoshitv53976 ай бұрын
Hahaha
@daudinteminyanda72828 ай бұрын
Hongera sana Jenerali, historia nzuri na inavutia. Bwana akutunze.
@AgripinaRutaihwa8 ай бұрын
Q1
@guyasidotto11988 ай бұрын
Hongera Sana Baba yangu General
@adnanalmasi33218 ай бұрын
Mungu aendelee kukulinda Afande wangu
@mcgabby8 ай бұрын
Wana jeshi bwana hua wako tofauti sana hasa wakiwa na vyeo vya juu hata hawanaga makuu na mtu asilimia kubwa hua ni wastarabu na wanaweza kuishi na watu tofauti na zile mbwa nyingine
@FadhiliMgalla-ds9fx8 ай бұрын
Apewe namauwa yake 💐💐💐💐
@sbobrowntv50388 ай бұрын
Jenerali wamfano Afrika aliongoza nchi baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Tanzania Dkt John P. Magufuli na kusimamia shughuli zote za nchi mpaka kuapishwa kwa mh Rais Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia S. Hassani. HONGERA SANA MH MABEYO
@faustinombilinyi98098 ай бұрын
Nampenda SN mzeee wangu MABEYO MUNGU AKUTUNZE AKUPE MAISHA MAREFU MWENYE HOFU YA MUNGU UISHI MIAKA MINGI MZEE WANGU
@meditationtime64728 ай бұрын
Wazi afande
@isihakaabdallah60103 ай бұрын
Bado siro
@michaelndilima62108 ай бұрын
Safi sana
@AndrewSaktay-np8kr8 ай бұрын
Kwakwel mama nilifanya naye kaz Azania secondary, nawatakia maisha mema ya uzeeni wastaafu wangu
@A_F_M_9 ай бұрын
One day yes 🙏
@FadhiliMgalla-ds9fx8 ай бұрын
Mimi mwenyewe natamani sana nionane naye huyu nikiongozi alie fanya kazi nzuli sana
@realsospeterbulugu8 ай бұрын
Time Appreciation 🙏🏿🇹🇿🐫
@osbethdaniel78358 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@hilarymark75838 ай бұрын
Taifa hili lina amani kwa sababu yako. Ulituvusha!
@user-hu1ev9pt8q8 ай бұрын
🙏🙏💯🙌🙌
@sm5tv8 ай бұрын
Huyu jenerali Kila nikimuona nafurahi,
@farijalanyoni56858 ай бұрын
Daaa
@theteacherchance67508 ай бұрын
Mimi nililikataa jeshi kwa sababu baada ya kumaliza kidato cha sita walikuja skuli kutuomba kujiunga na jeshi. Ilikuwa ni kama ndoto iliyotimia lakini walisema "tunataka kuwafuta uraia na ubinadamu". Nilipomueleza mama akaniambia "we! Ukome na kazi hiyo." Biashara ikaishia hapo.
@adkajisi45369 ай бұрын
Kila mafanikio Mungu yupo
@peterkabogo64688 ай бұрын
Maneno yake kwangu yanaingia moyoni Moja Kwa Moja maana Mimi nilipenda sana jeshi moyo wangu ulijaa kuilinda nchi yangu, Natamani huyu ndugu YESU amkumbuke ktk ufalme wake, siku tukikutana nikapata nafasi yakumsalimia atakua amekamilisha hitaji la moyo wangu, nampenda sana Kamanda huyu nawapongeza wazazi wake Kwa malezi Bora aliyoyapata kwao MUNGU awe pamoja nae daima hakika wewe ni Kamanda wa kweli, nakupongeza sana elimu yangu ni yamsingi pongezi kwako kamanda
@user-wg2px8jh5o8 ай бұрын
Pratun commando....
@user-kw6qc5io9t4 ай бұрын
Namkubali sana Hy mtu
@zumbeshauri81148 ай бұрын
Wanyenyekevu wachache sana mzee wangu sema wewe kwakua umepita kwenye dini
@isihakaabdallah60103 ай бұрын
Bado kamanda siro kuojiwa
@victorguapo78275 ай бұрын
Haitwi afande ataitwa General maisha yake yote.
@MarioNdanzi-kp9hp8 ай бұрын
jeneral ,lkn bado yupo fit
@kevinmary71298 ай бұрын
Hana maana yoyote tz tupo kwenye mess had leo sababu yake nchi ilitaka na kuhitaji leadership change after JPM but he didi nothing tz had leo we are in hell
@allymoshi20537 ай бұрын
Mwalimu wangu wa hesabu doto aka the splash paroma primary school nimekumbuka mbali sana let aggy be x haahaaaa
@Ambwene8 ай бұрын
Venance Mobeyo 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
@peterkabogo64688 ай бұрын
Mheshimiwa mabeo ni mtu mweredi wa kazi ni mtu shujaa mtanzania mzalendo wa kweli, Namkumbuka Kamanda mabeo kama ndugu wakaribu Kwa watanzania anamaneno yenye baraka Kwa watanzania
@michaelndilima62108 ай бұрын
Ukatoriki ni mtamu sana asingeacha.
@ChancellorFelix-vm5yp8 ай бұрын
Mkuu kakwepa swali kuhusu kulinda rasilimali za nchi ili ziweze kuwasaidia wananchi kuleta maendelea au ndo hasikii malalamiko mtaan ya wananchi kwamba keki ya taifa inaliwa na kundi dogo la watu
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Umeona eee
@khalidali11308 ай бұрын
Hta mwanafunz kwenye mtihan kwenye pepa hukwepa suali gumu mana litamfelisha🤣🤣
@frankmganda24248 ай бұрын
Mzee nina ndoto za kukutana na wewe
@sharafisaidi79998 ай бұрын
Jpm alikuagiza Nini?ulisema siku ya msiba wake kuna neno alikwambia je ni neno gani
@ElizabethMungo8 ай бұрын
Lakini sijui ni kwann wanajeshi wengi hawajawahi kukupenda..nilipouliza nikaambiwa ulikuwa unatoa vyeo holela kwa upendeleo bila kuzingatia sifa za askari..mfano mtu kaajiriwa juzi unampa cheo na kuacha walio na sifa na waliokaa mda mrefu...wanajeshi wengi hawamkubali
@babalao9108 ай бұрын
Kukaa mda mrefu sio sifa
@salymkitumbika86448 ай бұрын
Unauhakikaa? Kama hujui TARATIBU za kijesh kaakimyaa
@josephstephen20478 ай бұрын
@@salymkitumbika8644Sasa unamfokea kwani anakosa gani wakati anakwambia ameambiwa na wanajeshi wenyewe?
@ezesolo48618 ай бұрын
kama hujui mambo ya jeshi nyamaza
@jimmymbella9978 ай бұрын
Mpuuzi wewe, Chunga Domo lako fala wewe. usikalilishwe, yakikukuta huyo aliekudanganya hatakuwepo, usifikiri jeshi limelala kama wewe..
@mcgabby8 ай бұрын
Wana jeshi bwana hua wako tofauti sana hasa wakiwa na vyeo vya juu hata hawanaga makuu na mtu asilimia kubwa hua ni wastarabu na wanaweza kuishi na watu tofauti na zile mbwa nyingine
@glorychrizostom36118 ай бұрын
Hzo mbwa sasa ndo zmepewa mamlaka ya kucheza na nyie majambaka mnaopenda kuleta mazoea mabaya kwenye nyumba ya jeshi uku makamanda wakiwa wametulia ndan ya nyumba mbwa wanakuwa nje wamewasubir nyie mafala
@canibalgazaboy83254 ай бұрын
Hizo mbwa ndo zinakufanya unalala mkundu wazi muda wote na unabweka bweka hapa muda huu bila bugudha yoyote.
@alexnamangoa3 ай бұрын
Uwe na maisha marefu CDF natamani na mimi sikumoja niwe mwanajeshi
@josephkatondo65483 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu CDF Mabeyo uko makini sana kiongozi wetu.