TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU

  Рет қаралды 581,173

Azam TV

Azam TV

6 жыл бұрын

Hafla hii imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo Rais Magufuli amemwapisha Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohammed kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania.
Pia Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo awavisha vyeo vipya maafisa wengine waandamizi kumi waliopandishwa vyeo jana.

Пікірлер: 113
@fadhilikiwera6501
@fadhilikiwera6501 6 жыл бұрын
Well said Lt. Gen. Samuel Ndomba. Leadership is not to be saved but to save. Congr. New TPDF Chief of Staff Lt. Gen. Mohammed
@Ambagaye
@Ambagaye 6 жыл бұрын
Hongera sana General Yakubu; Tabora school tulikuwa tukimtania General Yakubu Gowon, na kweli amekuwa General Yakubu. Kumbe hajabadilika sura yake; bado ni ile ile ya TS.
@brunomubawa2276
@brunomubawa2276 4 жыл бұрын
Jina langu Bruno Mubawa napatikana mashariki mwa DRC mji wa goma ambapo siku zimepita tulikuwa na huyo Général James Mwakibolwa alifanya kazi sahihi kabisa alikuwa akisimamiya kikosi maalum cha force intervention ya un na majeshi ya Tzd sisi wa kongo tunakuwa na kumbukumbu kwake kabisa
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Acha kunifanyia mkongo wewe, ww umekaa huko unalinda amani ndo mara hii tu ujifanye mkongo
@unismbalia5913
@unismbalia5913 2 жыл бұрын
Magu tutaishia kukukumbuka sana na kuangalia picha zako R.I.P
@danielmachibya7472
@danielmachibya7472 6 жыл бұрын
Good advice from Ndomba. i like it
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Hamna kitu!!
@mohamedkitiku5231
@mohamedkitiku5231 6 жыл бұрын
Jenerali V.Mabeo namkubali sana,poa sana kiongozi wangu.
@salumhalfani9101
@salumhalfani9101 5 жыл бұрын
Mungu hiongoze sana nchi yetu.
@jeanrobertdodo1244
@jeanrobertdodo1244 6 жыл бұрын
Mungu aibariki sana Tanzania na Wa Tanzania wote.
@aymankhadija619
@aymankhadija619 3 жыл бұрын
Aamin
@anawa4326
@anawa4326 3 жыл бұрын
Big respect ✊🏽🇹🇿💪🏼
@aymankhadija619
@aymankhadija619 3 жыл бұрын
Safi Sanaa,hao wanadhimu wastaaafu wamefunda vilivyo.kazi Kwake mnadhimu mpya.ALLAH amuongoze
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 Жыл бұрын
kipindi ndomba anarudi kukaa ,, magufuli alimpiga jicho fulani.. kuona huyu mwamba ana kichwa smart sana..
@sadikmwita8538
@sadikmwita8538 2 жыл бұрын
I love magufuli may God rest his soul at peace
@williammwakipesile6571
@williammwakipesile6571 2 жыл бұрын
iliandaliwa vizuri sanaa
@allybomba4125
@allybomba4125 6 жыл бұрын
hongereni sana mungu. awaongoze katika mikakati yakazi
@benjaminulanga6749
@benjaminulanga6749 2 жыл бұрын
R.I.P John we miss you and we remember you everytime😭😭😭😭😭
@lameckeliakimu8677
@lameckeliakimu8677 5 жыл бұрын
Inapendeza sana.
@jovithmapela4067
@jovithmapela4067 6 жыл бұрын
Jabili
@ambassadorkateme5903
@ambassadorkateme5903 5 жыл бұрын
Hongera sana wakubwa
@Ambagaye
@Ambagaye 6 жыл бұрын
Mwakalindile ni kati ya wale waliokuwa watemi wa jeshi hili enzi zile
@enockkimase6764
@enockkimase6764 2 жыл бұрын
Hongera jeshi retu
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 4 ай бұрын
R.I.P dady😢😢😢😢
@sebastianngimba4850
@sebastianngimba4850 6 жыл бұрын
waislam waliowengi ni wazuri kiutawala,hivyo upole ni imani walio nayo kwa mungu najua itakua poa zaidi
@barakashadrack7695
@barakashadrack7695 3 жыл бұрын
Huyu ndo alikuwa Rais bana, hakika maumivu hayataisha
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Enzi za mzee nidhamu ilikuwepo r.i.p.kamanda magu,hakika fikra zako zitaishi
@bububuzanzibar9497
@bububuzanzibar9497 4 жыл бұрын
Yaani ww kaka Mwini nakukubali saana
@joseflyfrancis1903
@joseflyfrancis1903 4 жыл бұрын
Hogela sana
@josepheliakim8486
@josepheliakim8486 4 жыл бұрын
Nitafika hapo ln
@alloycejames5285
@alloycejames5285 4 ай бұрын
Hakuna mwanamke😢😢
@anthonykhisa892
@anthonykhisa892 5 жыл бұрын
mweshimiwa rais wa jamuhuri ya wa tazania amenyehsa wazi kua shuja sio yule ane kufa vitani bali pia anae rudisha ushindi nyumbani pia ni shuja vile vile .......hongera makufuli
@MudiBakali
@MudiBakali Ай бұрын
Mugu ibaliki 1:09
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
Alikuwa akipandisha wasukuma vyeo..
@amdaniamli7881
@amdaniamli7881 5 жыл бұрын
Nisawa mwalimu wangu
@jovithmapela4067
@jovithmapela4067 6 жыл бұрын
habali
@hazjay4671
@hazjay4671 6 жыл бұрын
Gen.Mabeo Na #Pacha Wake Wakiwavisha Cheo
@macborgevarest3435
@macborgevarest3435 6 жыл бұрын
I wish one of the well disciplined soldiers could be the president of our nation rather than other wise.
@rmussa7196
@rmussa7196 5 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania yetu
@hamzaliganga7437
@hamzaliganga7437 4 жыл бұрын
Ongereni nyote mliopandishwa vyeo
@jaydon3361
@jaydon3361 6 жыл бұрын
Ukitaka kujinyoga bila kuguswa ingia humo halafu we utamke kwa herufi kubwa STOP..........
@adrianomushi1677
@adrianomushi1677 6 жыл бұрын
Duh kaka umetisha
@sonyomohmed2178
@sonyomohmed2178 6 жыл бұрын
Hahahaha utajuta kwann umezaliwa
@hamimuswalehe6883
@hamimuswalehe6883 6 жыл бұрын
Duuu waislam wawili tu kundi lote ilo
@macborgevarest3435
@macborgevarest3435 6 жыл бұрын
I wish could be there! I would have said STOP!
@macborgevarest3435
@macborgevarest3435 6 жыл бұрын
Hamimu Swalehe ulitegemea wawe wangapi?
@hajimakame1062
@hajimakame1062 4 жыл бұрын
Hamna mtu wa Zanzibar mbona ktk walopandishwa veoo
@frednahson1759
@frednahson1759 6 ай бұрын
Rip MN mwakalindile
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 6 жыл бұрын
kah..!
@jumaafadhili9066
@jumaafadhili9066 2 жыл бұрын
Harmonize alivyo gombana na diamond plut num
@eventelias3566
@eventelias3566 6 жыл бұрын
mzee wa tanga yuko na good advice.
@dicksonisakwe3063
@dicksonisakwe3063 6 жыл бұрын
Samahan! Kuuliza c ujinga,...nini maana ya mnadhim na kaz zake katka jesh? Ahsante!
@raphaellukindo3581
@raphaellukindo3581 5 жыл бұрын
mtendaji mkuu wa Jeshi
@charlevande8821
@charlevande8821 5 жыл бұрын
Msemaji mkuu wa jeshii
@RioIpo
@RioIpo 4 жыл бұрын
Anaitwa Chief of Staff ndio kila kitu kwenye jeshi mana anakuwa ndio mtendaji mkuu
@amdaniamli7881
@amdaniamli7881 5 жыл бұрын
A mkubwa wangu na mwalimu wangu jnr yakubu mungu akuongoze
@tubonemwakisonga6649
@tubonemwakisonga6649 6 жыл бұрын
Mzee wa songea ushaur wako ameupokea na tumeupokea
@aishafransic8749
@aishafransic8749 4 жыл бұрын
Sijaona barakoa au corona imekwisha
@mcjabbyevents4938
@mcjabbyevents4938 6 жыл бұрын
Tupo pamoja nawe baba
@barikimollel7890
@barikimollel7890 2 жыл бұрын
Ninyi watu wakubwa mnaona tukinyanyaswa baada JPM kuondoka na mnatulia
@valeliusdiockiles4506
@valeliusdiockiles4506 6 жыл бұрын
Haha wasukuma naona wana ishika nchi haaaa
@omarykikambaa3102
@omarykikambaa3102 6 жыл бұрын
VALELIUS DIOCKILES acha ukabila diockiles acha uchongezi utakugalimu
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 жыл бұрын
Kondoa laini
@macborgevarest3435
@macborgevarest3435 6 жыл бұрын
Mbona kama anakaribia kustafu?
@cezarmelimeli5376
@cezarmelimeli5376 2 жыл бұрын
Kwaa makamanda Kama Hawa na kwa jeshi imara Kama hilo imara kuliko lote afrika waziri wake ni mwa
@cezarmelimeli5376
@cezarmelimeli5376 2 жыл бұрын
Waziri ni mwanamke duuuu!hata mungu alikataa mwanamke kuwa kiongozi wa mwanaume!sembuse kwenye ulinzi wa nchi???.???? Thanks
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 6 жыл бұрын
Sherehe
@edwinlukonge150
@edwinlukonge150 6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania na Mubariki Rais wetu
@tatimeriedi2839
@tatimeriedi2839 6 жыл бұрын
Mxonjo huyo ndo ayevaa
@lemtalaiza7937
@lemtalaiza7937 6 жыл бұрын
Kassim Rajabu hongeren
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 3 жыл бұрын
Wewe unaropoka tu majina ya kisukuma huyajui usitake kuleta chuki zako hapa. Wote waliotunukiwa vyeo wanastahili.
@nalimwansumbule9235
@nalimwansumbule9235 2 жыл бұрын
Nakushukuru baba magufuli kwa Mambo yako makubwa na yenye heshima kubwa
@omarjinialy3356
@omarjinialy3356 4 жыл бұрын
Ni muslam ila amekula kiapo cha utii wa kulitumikia taifa na sio Dini ya Uislam hivo cheaf msaaf ondoa shaka na pale tunapo pahitaj tutafika ili tueweze kuingia katika 10 bora military ulimwengun 🖐🖐
@linastinson-ali4733
@linastinson-ali4733 6 жыл бұрын
Mbona wote wanaume jamani??
@katujuwilson835
@katujuwilson835 4 жыл бұрын
Lina Stinson-Ali wanawake wapo ila zamu kwa zamu
@famally7138
@famally7138 6 жыл бұрын
mbna wenye suti hawapig salute
@shedracksanga7308
@shedracksanga7308 6 жыл бұрын
Fam Ally hauruhusiw kupga salute kama hujavaa kiaskari
@mosesonyango2369
@mosesonyango2369 4 жыл бұрын
Suti ni kiraia,salute mpaka uvae full uniform.
@sabrysoudy684
@sabrysoudy684 4 жыл бұрын
1
@salumubakari1855
@salumubakari1855 4 жыл бұрын
Ndoto, naana
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 жыл бұрын
Vijana wote wasomi wenye elimu ya chuo kikuu mlio wazalendo kwa Taifa lenu ingieni Jeshini mkalitumikie Taifa. Kazi ya watu makini wenye Uzalendo usio na mashaka.
@masanjakiliano2855
@masanjakiliano2855 5 жыл бұрын
Hahahaha udhan wanaingia tu kama ukumbini eeeeh mtumishi wa bwana hii kazi ni wateule sifa
@petermatonya6890
@petermatonya6890 4 жыл бұрын
Ushaambiwa kwenda JKT sio ajira
@lukandotv8101
@lukandotv8101 4 жыл бұрын
Wezi wote tz wanahistoria na majeshi kuwa walihudum kabsa au jkt
@evodiamathias2542
@evodiamathias2542 2 жыл бұрын
Hamisa mobeto
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
@stanslauselias4576
@stanslauselias4576 6 жыл бұрын
duuuuu
@yohanaerenest5842
@yohanaerenest5842 6 жыл бұрын
iko poa
@kmotivation1130
@kmotivation1130 3 жыл бұрын
Ushazeeka ndo vyeo ,
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 3 жыл бұрын
Poleee
@sebastianngimba4850
@sebastianngimba4850 6 жыл бұрын
waislam wako safi kiuongozi piga kazi
@emmanuelmagesa1590
@emmanuelmagesa1590 6 жыл бұрын
Jamani mbona naskia majina ya kisukuma tuuuuuuuuu,,uuuwi
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
Emmanuel Magesa NDIO WENYE ELIMU
@ksmally1985
@ksmally1985 6 жыл бұрын
Kusa mwanawito
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 Жыл бұрын
Afande ndomba.... mtu na nusu.
@salumubakari1855
@salumubakari1855 4 жыл бұрын
Ndoto
@ephraimkarugaba4137
@ephraimkarugaba4137 2 жыл бұрын
Magufuri sita kusahau milele kwanimpaka sasa bado sija amini kama kweli umekufa, lakini nina imani kimwili aupo Bali kiroho upo unaona watanzania jinsi tunavyo kukumbuka na sijui tuta kusahu lini najua wewe ulitumwa na Mungu kuja kutuonyesha jinsi nchiyetu inavyo paswa kuwa nakweli ulionyesha na mwisho ukaondoka na jua kila kinacho endelea unaona pamoja na Mungu Baba yetu aliye kutuma, basi ata Yesu kristo wa Nazareth aliye hai alitumwa na Mungu akafanya yakwake baada ya muda mfupi aka rudi kupeleka report yake kwa Bsba yake na sasa Magufuri nahamini kwamba report yake iko kwa Mungu. Tukumbuke watu walio teuliwa na Mungu ukaa mda mfupi nakuondoka Mungu nakuomba upokee Roho ya Baba yetu John pombe Magufuli iweke mahali pema peponi Amina.
@salimmohammad3627
@salimmohammad3627 2 жыл бұрын
Aminaa
@aminarashid3916
@aminarashid3916 2 жыл бұрын
UTENZI MPYA RAFIKI TANZANIA kzfaq.info/get/bejne/pr96h82Sqsy1g6M.html
@bishopjohnfrancis89
@bishopjohnfrancis89 6 жыл бұрын
Magufuli tutafika tu
@joshuaciza3043
@joshuaciza3043 2 жыл бұрын
Prono
@jovithmapela4067
@jovithmapela4067 6 жыл бұрын
Jabili
@josepheliakim8486
@josepheliakim8486 4 жыл бұрын
Nitafika hapo ln
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
@jovithmapela4067
@jovithmapela4067 6 жыл бұрын
Jabili
@donardosward8413
@donardosward8413 6 жыл бұрын
Mambo vp
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
CCM na Magufuli punguzeni Kodi za Wafanya biashara kwani Uchumi Duniani umeanguka kutokana na ugonjwa wa Korona. Kwani CCM hamuwezi kuona mpaka mtukanwe. Ruhusuni Demokrasia nchini kuleta amani. Viongozi wote waliopita walikuwa hawapigi watu. Magufuli unapiga na kuua watu. Hata wewe uko njiani kuuwawa maana watu wamechoka wanataka kulipiza kisasi.
IGP SIRRO Alivyompa Makavu MAMBOSASA  - ''HUO NI USHAMBA''
7:17
Global TV Online
Рет қаралды 652 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 42 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 101 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,2 МЛН
Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
5:25
Global TV Online
Рет қаралды 500 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
President William Ruto arrived at Laikipia Airbase to mark the KDF Day.
18:05
Camtech Communication Services
Рет қаралды 745 М.
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Легендарный прыжок 😱
0:15
Story-Bytes
Рет қаралды 8 МЛН
Хабиб НЕЖДАНУЛ ФАНАТА #мма
0:32
Тайна ММА
Рет қаралды 7 МЛН
опозорился на олимпиаде❗️😳
0:15
sila_pelmeney💪
Рет қаралды 538 М.