Makange ni jina la mtu alie kua anamiliki baa dar es salaam (hapa ndipo recipe ya makange ilitokea)na hapo bar walikua wakitengeneza kuku alie lostiwa na waliipa jina la makange.jina kamili aliitwa Robert makange alisha fariki na alikua mwandishi wa habari na mmiliki wa gazeti kipindi cha tanu.(nimeipata mtandaoni kama unajua vizuri kuhusu pishi hili la makange comment chini)
@jantsjefta83819 ай бұрын
Nzr
@user-gm1dy7ud9n4 ай бұрын
Hogera
@homecookingtz24884 ай бұрын
Asante
@loycemallya1678 ай бұрын
Asante kwa kunipa ujuzi..!! So vipi kama unapika makange ya familia ya watu kama 6? Hapo kwenye kutumbukiza samaki utafanyaje kwa samaki zote 6? Nijibu pls..🙏🏻
@homecookingtz24888 ай бұрын
Kama una sufuria au fryingpan kubwa unaweza kupika zote kwa pamoja ila viungo vinaongezeka mfano karoti,vitunguu,nyanya,hoho,au unaweza kupika rost kwenye sufuria moja kubwa hakikisha umekadiria yakutoshea samaki sita,baadae ukawa una chukua samaki wawili au watatu kutengemea na ukubwa wa combo chako unachanganya na ile rosti unakadilia tu ya samaki wailing au watatu,unafanya ivyo mpaka wote waishe