No video

| MAKASISI WABAKAJI | Wasichana wakiri kubakwa na makasisi

  Рет қаралды 1,703,378

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

5 жыл бұрын

Maeneo ya kuabudu ni maeneo yanayofaa kuwa takatifu, maeneo ambayo bila wasiwasi wowote utamruhusu mtoto wako kutembelea wakati wowote. Lakini tafakari haya unapokea taarifa kuwa mtoto wako amenajisiwa na pale unapokimbilia maafisa wanaoshughulika na masuala ya watoto badala ya kukusaidia wanakuambia ushahidi haupo na itabidi umrudishe mtoto wako anajisiwe mara ya pili ili kupata ushahidi. Huyu hapa mwanahabari wetu Purity Mwambia na makala ya maalum ya upekuzi 'makasisi wabakaji' #MakasisiWabakaji
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya

Пікірлер: 1 100
@oppsinlyf
@oppsinlyf 5 жыл бұрын
Purity mwambia in reporting has really grown up. Kudos
@BestAmazonReviews723
@BestAmazonReviews723 5 жыл бұрын
purity mwambia the professional journalist we all yearn for
@kimberlytv7895
@kimberlytv7895 5 жыл бұрын
People should not take advantage kwa yatima, am very upset with this, coz they know no one to fight for there right
@puritydaudi9752
@puritydaudi9752 5 жыл бұрын
People r hiding behind the name of God but whatever is done in darkness shall be brought in daylight.. You will all pay for this😢😢😢😢
@millicentwanini3903
@millicentwanini3903 3 ай бұрын
U4piiiiiiuiiuuiuiuiiiiuiiuiuiiiuiiiuipiuuuuuuuuuuuuiuuuuuputtt5ttu556piiuouuttt000000
@juliuswanjohi2744
@juliuswanjohi2744 5 жыл бұрын
Good job Purity. Probably the only proffesional journalist i recognise in Kenya. Majority choosing to follow politicians around glorifying them.
@faizabaishe5172
@faizabaishe5172 5 жыл бұрын
Alhamdulilah, naomba Rais Uhuru Kenyatta awafunge maisha ndani jela, mungu awahifadhi watoto wote InshAllah heri roho yangu yaniuma Sana analia Sana machozi yanitoka😭😭😭
@jmeliasshanelle4303
@jmeliasshanelle4303 5 жыл бұрын
Kama kenya hakuna sheria hata Uhuru atafanya nini
@oloodavid1785
@oloodavid1785 5 жыл бұрын
Satan. Jolejo na joroho kumbaff Sana, mbona Uhuru anaacha this fools
@muelgit3569
@muelgit3569 4 жыл бұрын
Uhuru at a hawezi shugulika
@oyay2821
@oyay2821 4 жыл бұрын
Kwani Uhuru ni hakimu
@cytkl
@cytkl 4 жыл бұрын
Mlevi huyo na bhangi
@vtrends2
@vtrends2 5 жыл бұрын
This is so painful and unfair!! Where are we heading now??
@kingsam4851
@kingsam4851 3 жыл бұрын
Purity mwambia congratulation on what you are doing ur the best en keep it up I truly love your job en don't stop
@faithmurunga6899
@faithmurunga6899 4 жыл бұрын
Just knowing of this today. Citizen you can do an update. Justice only happens when such people are followed up. Thank You for sharing this.
@rashidkalimbo2451
@rashidkalimbo2451 3 жыл бұрын
SubhanaAllah...Nahisi kama Huku Nuru ya Mtume Muhammad (S.A.W) haijafika....
@visible7576
@visible7576 3 жыл бұрын
Huyo mtume Kwanzaa ndo alikua worse ,alioa mtoto wa miaka 6 akamwingilia akiwa miaka 9 ,come on ati nuru ya mtume ,soma vitabu vyenu .
@romantiquortiflah615
@romantiquortiflah615 3 жыл бұрын
please mind your words Mr cz you don't really understand what you are talking about😐😐ubhanaAllah m
@shiroannembiru5769
@shiroannembiru5769 5 жыл бұрын
God protect our kids out there #966. May just prevail for this innocent souls.
@mateliud26
@mateliud26 3 жыл бұрын
You either serve a good who sends child rapists to rape children or you have a god who simply watches and says. ‘’When you are done I’m going to punish you... If i could stop a person from raping a child ,i would .That’s the difference btwn me and your god :tracie Harris.
@denniskasirimo6531
@denniskasirimo6531 3 жыл бұрын
@@mateliud26 God gave human beings free will. And evil to God includes fornication, adultery, using his name in vain, lying, basically the ten commandments and more. So if he was to stop evil, we would all be dead. Nobody is good only God. How many times have you lied, used his name in vain or done any other sinful act. Next time you wake up in the morning know that despite your evil deeds, remember God still loves you enough to let you, everybody in the world and I live.
@morgan_biggy9614
@morgan_biggy9614 5 жыл бұрын
Painful and shameful... Nowadays never trust anyone.. Never 😭
@elizabethliza2364
@elizabethliza2364 5 жыл бұрын
Nowadays trust Only GOD
@sweetmumwake9729
@sweetmumwake9729 5 жыл бұрын
Only God we can trust plzz my dear friends
@sofiaabdi5786
@sofiaabdi5786 5 жыл бұрын
We
@sweetmumwake9729
@sweetmumwake9729 5 жыл бұрын
@green acre Amen AMEEN In God we trust
@faizaesry8757
@faizaesry8757 4 жыл бұрын
. ,
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 жыл бұрын
God bless you purity yuo are doing a good job
@VIKIBRANDSKE
@VIKIBRANDSKE 4 жыл бұрын
there have always been suspicion on the activities that these kids do in this church during the night in the absence of their parents ..this is just one of the few cases that came out.
@kennedymorientes8414
@kennedymorientes8414 5 жыл бұрын
where are we heading as a people. a place of comfort ,refuge and prayer turns out to be a den of evil men preying on young kids. its utterly shameful.
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 жыл бұрын
GOOD JOB MTANGAZAJI NA CITTIZEN KWA UJUAMLA
@josienagel1693
@josienagel1693 3 жыл бұрын
Good job purity you're blessed
@nahime9907
@nahime9907 5 жыл бұрын
Wat goes around comes around...kila mtenda wamwenziwe nawake atatendewa..mungu halali.
@Ladypeace12312
@Ladypeace12312 5 жыл бұрын
Two places to avoid in a 2019 and beyond. Church and prison
@ruthbrianna7779
@ruthbrianna7779 Жыл бұрын
Why does justice take too long to be done to such cases 😪 😫 😒, it's really hurting
@sylviajeffa5534
@sylviajeffa5534 3 ай бұрын
How does one get the audacity to touch such innocent kids while Kuna watu hata wako biashara kujiuza...tena wanaapa in Jesus name really.Good job Purity
@kelvinonyango1897
@kelvinonyango1897 5 жыл бұрын
Purity you are doing a good job God bless you
@alice8005
@alice8005 5 жыл бұрын
That woman needs to be locked up forever.
@sumeiya64ali34
@sumeiya64ali34 3 жыл бұрын
Yes
@bettyabilla4922
@bettyabilla4922 Жыл бұрын
She makes me feel ashamed for being a woman, I hope she doesn’t have a daughter, sister,mother ,niece , aunt or any female relativ. Haki she is a devil very heartless may karma catch up with her someday
@esthernzilani7013
@esthernzilani7013 7 күн бұрын
Journalist is doing a good job in kenya❤❤kudos
@maggiealf4474
@maggiealf4474 5 жыл бұрын
God have mercy on our children
@leahwanjiku3566
@leahwanjiku3566 Жыл бұрын
Amen only God can protect them
@Sharlen_
@Sharlen_ 2 жыл бұрын
I truly hope justice was served. An evil society we live in!
@RitzeeTheExplorer
@RitzeeTheExplorer 5 жыл бұрын
Mungu shuka wewe mwenyewe, usitumane
@elizabethsamwel9903
@elizabethsamwel9903 5 жыл бұрын
😂😂😂 Martin mola ayabwna
@omarionshev798
@omarionshev798 4 жыл бұрын
You must be so foolish my friend shme on you! 🙊
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 4 жыл бұрын
Ni jambo la kuhuzunisha. Lakini umenichekesha. Mungu haleti mtume (aliyetumwa) mbaya. Suali la kujiuliza ni - je hawa watume wengine ni wa kweli?!
@omarionshev798
@omarionshev798 4 жыл бұрын
@@Ali-nl2du kama nani
@amirmohamedali7922
@amirmohamedali7922 4 жыл бұрын
AstaqfiruAllah
@paulkaula6695
@paulkaula6695 3 ай бұрын
That senior officer just disappointed the government 😢
@willywilson3442
@willywilson3442 5 жыл бұрын
You can cheat human beings but you cant cheat tha ALMIGHTY.... Ata ukiapa mungu anajua chenye ulitenda
@ruthnatasha797
@ruthnatasha797 4 жыл бұрын
Mungu mwambie asisimame mbele ya madhabau yako
@maggiewambui1112
@maggiewambui1112 5 жыл бұрын
May God bless you purity.
@gekaraeric9209
@gekaraeric9209 5 жыл бұрын
Nanyonga pastor wallahi....kesi baadae. Nimekasirika sana.
@labumua8656
@labumua8656 3 жыл бұрын
Wallai hata mm siwesi spear
@fraciahnjeri8650
@fraciahnjeri8650 5 жыл бұрын
Ati mtoto abakwe tena😭😭😭who gives such an advice
@kajembekimata6782
@kajembekimata6782 4 жыл бұрын
U
@newmissaida1000
@newmissaida1000 4 жыл бұрын
Kenyan police
@marymunene4235
@marymunene4235 3 жыл бұрын
Gai pepo cristin
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 11 күн бұрын
Uyo mama anakichaa si apeleke mutoto yake jameni sio powa
@Kekee9595
@Kekee9595 Жыл бұрын
God bless you for helping those girls. GOD please have mercy
@carolinanjerimaina3227
@carolinanjerimaina3227 5 жыл бұрын
Trust no-one but love everyone
@shiphrahblessing284
@shiphrahblessing284 5 жыл бұрын
Lord God protect our kids
@teendungu6296
@teendungu6296 5 жыл бұрын
Amen
@KellyJohnson-qz3ys
@KellyJohnson-qz3ys 29 күн бұрын
Purity big up for this good work....God portent you whit everything ... your doing bat people like this they don't have to live in this world they have to feel the pin they make the baby go through 😢
@sweetmama6885
@sweetmama6885 5 жыл бұрын
Washenzi wakubwa hao wanaume. Alafu wanajifanya Mungu, Mungu. Kamata wote funga maisha. Mashetani wa kubwa.
@janetlupamo8354
@janetlupamo8354 5 жыл бұрын
We pray justice to prevail, Christine is very rude achukuliwe atua pia.
@faithligaka7619
@faithligaka7619 5 жыл бұрын
Janet lupamo watoto wa siku hizi ni digital sio kama kitambo, Fanya umalize shughuli yako kwake bora usimmalize, Latter utatambulika atakusema
@max_mwangi
@max_mwangi 5 жыл бұрын
@@faithligaka7619 , Christine ni huyo Children Officer huyo ameambia mtoto arudi abakwe tena ndio apate evidence
@richardochola6382
@richardochola6382 5 жыл бұрын
Maybe I'm understanding Christine from a different side of the coin... You'll end up taking this Kasisi to court of law with no evidence...
@maxmumcyber9308
@maxmumcyber9308 4 жыл бұрын
janet
@jamoh9
@jamoh9 2 жыл бұрын
God Show us The right ways🙏
@likunda1967
@likunda1967 5 жыл бұрын
God bless you purity and citizen TV
@agnesmutai8410
@agnesmutai8410 Жыл бұрын
Thank you our media houses for bringing this to live God bless you.
@groupmachachari2034
@groupmachachari2034 5 жыл бұрын
Salalahhhh. Masaibu ya wakiristo
@sharleenkate3044
@sharleenkate3044 5 жыл бұрын
Nice work purity kudos 👏.....this are the people who need to be senteced death or life prison
@liennakull6202
@liennakull6202 5 жыл бұрын
Kudos purity ...great work
@lucyhussein7126
@lucyhussein7126 3 жыл бұрын
Inauma Ila nimecheka et nimempeleka kwachui akuliwe huko haha
@cindymbuthia6073
@cindymbuthia6073 5 жыл бұрын
So painful running away to a hyena in the name of kasisi.....😪😪
@ericmugambi29
@ericmugambi29 5 жыл бұрын
Purity mwambia i lyk the u do your coverage
@carolinekimani5039
@carolinekimani5039 5 жыл бұрын
May God intervene and protect our children
@wojaffochicago6591
@wojaffochicago6591 2 жыл бұрын
No, you intervene. It starts with you
@paulkaula6695
@paulkaula6695 3 ай бұрын
May God rescue this generation 😢
@paolinandai6768
@paolinandai6768 3 жыл бұрын
Am out of words, people swear in God's Name .They don't even fear God, His Name and the power in God's Name
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 жыл бұрын
Faithless clergy , Lord have mercy on us
@abdulwadud9778
@abdulwadud9778 5 жыл бұрын
Linus kaikai comes into this ....when he raised the question on vetting for pastors ...some of them came out threateaning him that he should concentrate on his work and leave things that dont concern him...its high time we start vetting them and get educated people
@OmarAbdulAzeez4714
@OmarAbdulAzeez4714 4 жыл бұрын
Officer Ruto..ur good man representing the law before workin in dandora..keep up the good work
@annwambua1882
@annwambua1882 5 жыл бұрын
Trust no one with your child.
@sumeiya64ali34
@sumeiya64ali34 3 жыл бұрын
It's sad & shameful 🙆 they need to be locked up forever
@euphemiaoyori606
@euphemiaoyori606 5 жыл бұрын
Hello God u still there the same place do something to our kids fight for them let justice prevail please Lord why
@noblechild5652
@noblechild5652 3 жыл бұрын
SubhanAllah 😭 Kenya yetu yaelekea wapiiii 😭😭
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Subhanaallah ewemwezi mungu tusitili ana haya yanatokea duniani jamani 💔💔 Makanisa yamekuwa ndio haya aminiki kabisa tena naukimuona mtu anaapa kwa jina la mwenyezi mungu kila MARA ni mtu mbaya sana kumshirikisha mwenyezi mungu kwenye upumbavu wanaofanya
@stephenmugorucha8291
@stephenmugorucha8291 4 жыл бұрын
These things are happening in many churches and unfortunately the parents who are worshipping in the same churches are encouraging it because of money the children are given. If the act becomes public and police are informed, they are given money so protects the Church readers and so the the problem continues.
@Lemonthegacha
@Lemonthegacha 2 жыл бұрын
PPb dr
@mercysambi1317
@mercysambi1317 5 жыл бұрын
Well don mwambia nikiwa hapa kwenu laare
@charitywambo4156
@charitywambo4156 Жыл бұрын
These are the days which Jesus said "That the days will come when people will stop going to Jerusalem to seek God but they will worship in the spirit and Truth , People of God be wise.
@obirinaom6568
@obirinaom6568 5 жыл бұрын
There is a living God in heaven. He'll judge this, eti aende church mara ya pili tena abakwe.This is the Kenya we are living in so saaaaaaaad what if it is ur child?
@extrovertbernice6425
@extrovertbernice6425 5 жыл бұрын
My goodness this are things that makes my blood boil.
@niasworld27
@niasworld27 5 жыл бұрын
This is utterly in despecable
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 3 жыл бұрын
See Mungu tusamehe! Wajalie watumishi wako wakujue kweli kweli na waache tabia mbaya ya kishetani ya kunajisi watoto! Wape uwezo na maarifa viongozi na mamlaka za kisheria kutenda haki Bila kupindisha.
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 жыл бұрын
dah ww mtqngazaj hua nakukubali sana tena sana good job my😘
@hellennjoki84
@hellennjoki84 5 жыл бұрын
that why I say no pastor shall lay hands on my children ati ni kubariki ata sambaza this evil powers to them
@joycempaze9245
@joycempaze9245 4 жыл бұрын
Mbonaa yule Mama hajashikwa?aliyesema mtoto akabbakwe Tena ili ushahid upatikane hao ndio wanaofuga unyama huu kama Tz hata huyo Mama ana kesi yakujibu
@OmarAbdulAzeez4714
@OmarAbdulAzeez4714 4 жыл бұрын
Our court system is very poor needs alot of effectiveness and independence
@johnwachi1605
@johnwachi1605 3 жыл бұрын
My God I can't hold my tears 😭😭
@user-vp7ud9hv1l
@user-vp7ud9hv1l 5 ай бұрын
I hope that Evil Christine isnt working at the institution, good job purity
@terryvlog9695
@terryvlog9695 5 жыл бұрын
Hii ni painful Sana 😭😭😭
@sylviaecke1772
@sylviaecke1772 5 жыл бұрын
Yani mtoto aendlee kunajisiwa,unakula na huyo pastor nini,unataji fimbo haki
@alexsavatia5584
@alexsavatia5584 Жыл бұрын
God have mercy too painful
@godifreypaul9409
@godifreypaul9409 4 жыл бұрын
Sifa za kanisa LA uongo ni uzinzi na uuaji.Ukiona kanisa lenye kashifa ya uzinzi kimbia ufe maana Mungu hakai na watu hao.Alivyo baba ndivyo alivyo na mwanae.Utasikia MTU anasema dini ya wazazi wake.Sanamu kibao kanisani na nyumbani,mtaachwa kubakwa.Njooni kwa Yesu acheni ushamba.
@elizabethmukaria2509
@elizabethmukaria2509 5 жыл бұрын
Hii dunia inaelekea wapi jameni. 😭😭😭😭😭😭😭😭
@tafutatufanane9202
@tafutatufanane9202 5 жыл бұрын
God have mercy 😥😥😥Ooh God My heart is bleeding
@freddywizzyTz255
@freddywizzyTz255 4 жыл бұрын
😭😭🙏🙏
@Irandabale
@Irandabale 5 жыл бұрын
Binadamu tumekuwa wabaya kuliko wanyama wa mwitu! Wazazi, tuwache kuamini Hawa makasisi. Watoto walio dhulumiwa, poleni Sana.,ni sisi Wazazi tuliofeli kabisa
@joashkeya4812
@joashkeya4812 5 жыл бұрын
wee ile siku utakutana na crocodile ukiwa kwa boat ndo utaproof kenye unasema....anyway, binadamu wanaendelea kuharibika zaidi....so sad
@WinapeZakaria
@WinapeZakaria 3 ай бұрын
Life is a melody,
@kellykord1070
@kellykord1070 5 жыл бұрын
Mighty God please Lord protect our children always so sad
@ruthnatasha797
@ruthnatasha797 4 жыл бұрын
Pray for that person
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 5 жыл бұрын
No words 😭😭😭😭😭😭
@mohameeddoaan2296
@mohameeddoaan2296 3 жыл бұрын
Purity mwambia nakupenda dadaangu
@antonykawawah5951
@antonykawawah5951 5 ай бұрын
So sad that Purity Mwambia was hunted like a criminal by the criminals she exposed until she had to flee the country to the USA where life is so hard! May God Almighty protect and provide for her
@sweetmelody9927
@sweetmelody9927 5 жыл бұрын
Je huyu christine je angekuwa mtoto wake
@estherdama55
@estherdama55 4 жыл бұрын
Hapo Sasa
@totopesh5405
@totopesh5405 4 жыл бұрын
I wonder
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 жыл бұрын
Hapo sasa sijui angejiskiaje
@yuajaivary5527
@yuajaivary5527 3 жыл бұрын
Jkiiiiiioioollllook
@brigidwangari6798
@brigidwangari6798 3 жыл бұрын
Ameuliza:mimi ni mbakaji?
@wanzueni
@wanzueni 5 жыл бұрын
sickening,kwa nini wazazi wanawapeleka watoto katika ulevi huu wa dini,nchi imeharibika,desperate souls
@labumua8656
@labumua8656 3 жыл бұрын
Nowdaiz zio kama kitambo nakumbuka tulikua twakesha kanisani na hamna kitu itahappen.. Watu walilaniwa haki
@petromlowe9079
@petromlowe9079 4 жыл бұрын
pole sana mama pamoja na binti yako.matendo haya yamekidhili sana katika kanisa hilo.Mungu atusaidie sana.hawa wanauo fanya hayo selikali ishike mkondo wako
@pamelanyakoa9878
@pamelanyakoa9878 5 жыл бұрын
Huyu Mama ameniudhi saana, je huyu angekua mtoto wake angesema msichana arudi aka bakwe tena ? Labda hajui kubakwa ni nini , ameniudhi saana . ashikwe huyo Mama Hana adabu
@Faithnique564
@Faithnique564 5 жыл бұрын
What goes around comes around. The innocent girl is an orphan
@InfiniteDemon2018
@InfiniteDemon2018 5 жыл бұрын
Huyu mama christine is as guilty as kasisi... Lijibaba shetani hilo nalo linachagua yatima tu.MUNGU MUONE
@ahmadmadhi8147
@ahmadmadhi8147 4 жыл бұрын
Laanatu llah. Mungu amuangamize huyo kasisi. christine ni mwanamke muovu asie na huruma ya uzazi. kweli what goes around comes around
@ramenyaramenya6223
@ramenyaramenya6223 5 жыл бұрын
Christine inafaa ashtakiwe mara moja .
@jaymoo29
@jaymoo29 2 жыл бұрын
Purity Big up Dadangu Mungu akulinde akupe maisha marefu
@bancypius6919
@bancypius6919 3 жыл бұрын
Uyu mbaba mzeeee ivi jinga type 🏹🏹🏹
@daimavlog
@daimavlog 5 жыл бұрын
😭😭 mtoto arudishwe kufanyiwa unyama dah! Kuwa mtoto yatima ni shida jamani. Hawa wanaume wananini jamani. Wazazi tuongeeni na wanetu maana wanawatisha watoto wasiseme ukweli.
@washingtonlondon9634
@washingtonlondon9634 5 жыл бұрын
Am sorry Kenyans 😢😢😢.
@EsbonNyaome
@EsbonNyaome 4 ай бұрын
Pole sana
@chiweramercy3498
@chiweramercy3498 Жыл бұрын
Oh 😳😳 God protect our children from those evil people
@bongasasa3895
@bongasasa3895 5 жыл бұрын
These fools are the ones deserve mob justice leave kuku thieves alone and zika these fools wajue watoto wetu are no go area!
@florencewilson4821
@florencewilson4821 5 жыл бұрын
This center should be closed with immediate effect. The operators are not professional at all.
@johnnyagandwiga2779
@johnnyagandwiga2779 4 жыл бұрын
If DNA was done and proved the baby is for the pastor what's the judge waiting for to rule out the case. Qatar
@gertrudewanja2653
@gertrudewanja2653 2 жыл бұрын
Waaa i thank God sio fr wa Catholic
@esthermwangi7352
@esthermwangi7352 Жыл бұрын
Am happy too haki, was very afraid
@ontwekastanley7066
@ontwekastanley7066 3 жыл бұрын
Wonderful story to listen and watch
@idimbarak9455
@idimbarak9455 5 жыл бұрын
Hii tabia hadi lini itakuwa kenya Mara kuku Mara wakasisi hii ni mapepo
@puritykrishna1592
@puritykrishna1592 5 жыл бұрын
Ati legio maria 😖 thanks God sio catholic was schocked vile nmeskia father akitanjwa pole to the girl
@collodejesus9901
@collodejesus9901 5 жыл бұрын
But Catholic fathers are real fathers of children all over mpaka Vatican
@mamayaoharistar4599
@mamayaoharistar4599 5 жыл бұрын
Wote
@puritykrishna1592
@puritykrishna1592 5 жыл бұрын
@@collodejesus9901 true my kids attends a catholic school i trust them they are the best👌
@irenenzula254
@irenenzula254 5 жыл бұрын
Woooi thank God had worried for my Catholic church
@justinamusyoka4986
@justinamusyoka4986 4 жыл бұрын
Vatican means divining serpent.
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 жыл бұрын
Mahali popote mungu yupo ukimuomba anakusikia heri niombe kwanyumba yangu nafamilia yangu
@jmeliasshanelle4303
@jmeliasshanelle4303 5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu anatwambia tokeni huko kwao maana thambi zao zimekuwa nyingi mpaka zimefika mbinguni. Tokeni msije mkapunishiwa na wao. Mnaenda kufanya nini huko wanafanya upuzi na zile pesa mnazo wapatia za sadaka mkijiacha bila kitu. Ombeeni manyumbani kwenu. Watu wametoka ka hilo kanisa lakini nyinyi Afrika hamtaki kuamka.
@collodejesus9901
@collodejesus9901 5 жыл бұрын
Legion maria is not a church but a cult, calling those guys kasisi is wrong!
@sharonmwende7956
@sharonmwende7956 5 жыл бұрын
I second You collo
@richardochola6382
@richardochola6382 5 жыл бұрын
But Collins what's the difference between kasisi and ocults
@rowaka9188
@rowaka9188 5 жыл бұрын
I second you
@faizhussein6635
@faizhussein6635 5 жыл бұрын
Not only Legio Maria but all churches.Look at what is going on in Catholic Church
@richardochola6382
@richardochola6382 5 жыл бұрын
@FaizHussein I think it's not only the church as PA say but all these immoral values cuts across all religious groupings... Remember we're putting our trust in men too much.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 48 МЛН
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 53 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 39 МЛН
BARNAMIJI YA GEREZANI | Mfungwa aomba msamaha kwa mauaji ya jirani
10:43
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 171 М.
| GIZA LA UTAJIRI | Mtandao wa watu wenye ushawishi Nairobi
16:54
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,2 МЛН
Wapelelezi wa DCI wamtambua mwanadada anayeaminiwa kuua Eric Maigo
3:58
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 692 М.
Fumanizi la Usagaji: Wajakazi wajipata katika biashara hatari Nairobi
7:29
Inside Kisii Witchhunt
13:42
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 228 М.
Antipsychotic Drugs | Typical vs Atypical | Pharmacology💊
3:14:21
Dr. Najeeb Lectures
Рет қаралды 182 М.
| DEFILED IN CHURCH | Girls defiled by men of the cloth
17:55
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 27 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 48 МЛН