Mh Makonda Allah akulinde dhidi ya wabaya katika juhudi zako za kujitoa kwa ajili ya wananchi wenzako, huo ndo uzalendo na ubunifu wa uongozi,...wananchi tumuunge mkono Mh Makonda ktk harakati zake kwa kweli anajitoa kwa ajili ya wananchi wenzake...
@Innocentnyika-ml5tr21 күн бұрын
Safi you are more than leader
@AleiHadji-js3ed21 күн бұрын
Makonda Allahu Akuhifadhi wewe na Family yako
@AleiHadji-js3ed21 күн бұрын
Makonda Mbunifu sanaaaaaaa ila kua na Subra ya kufika mbali Utanikumbuka ❤❤❤❤❤❤
@user-qg3nu1kv2n21 күн бұрын
Umetoa mafuta mengi sana mkuu toa lita 100 tu kwa wananchi wenye hasira kali utakuwa umeokoa mafuta mengi sana
@juliusdonard93321 күн бұрын
Mm kwa kwel nasema kutoka moyon CCM mpen nafac makonda ambayo atatugusa watanzania wotee hata ya uwazir mkubwa nabbaadae ikiwezekana kwa mapenz ya mungu aiongoz Tanzania
@PrinceHendry-hp8vv21 күн бұрын
Wanapigaga konyagi ya kupima usiku mkuu chai watatapika
@RubenMmassy21 күн бұрын
Mhe. Paul Makonda hongera sana kwa kuanzisha hilo zoezi la kutoa mafuta na vitendea kazi kama magari na pikipiki kwa ajili ya kukomesha zoezi la wizi
@PeterMichael-ks4jw21 күн бұрын
Asante sana makonda kazi nzuri
@GervasiMwacha21 күн бұрын
Haya sasa. Na kahawa ya usiku mtapata pigeni kazi wakuu.
@emanuelavaleriani864621 күн бұрын
Arusha mpo vizuri
@user-yc3hb9wl6b21 күн бұрын
Mungu Makonda mpe awe rais wa nchi Mungu naomba mpe nafasi hiyo
@user-js7lr8vr9i21 күн бұрын
Pamoja sana bingwa 👊
@user-id6xo9td6k21 күн бұрын
Mmmh dogo ww, kongole,ni.mbunifu sana. Endelea kuna nuru mbele yako.
@dingadinga667421 күн бұрын
Safi sana
@hassanmkono156321 күн бұрын
Well said broo
@HamadBashir-bs5wo21 күн бұрын
Wawekewe nakupigwa picha kwenye vituo vya mafuta
@hbdina21 күн бұрын
😂😂😂Makonda watu weusi tuige mfano wa Kiongozi huyu kwa moyo wa dhati anahudumia taifa la Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
@user-zu8ou2oe4c21 күн бұрын
Mkuu mm naamin utatoa ila wana tabia yakusema hawana mafuta yan hiyo haikwepeki hiyo ni tabia yao hapo wataoiga salut sana ila kwenye utekelezaji mh