MAKONDA AKASIRIKA, ATOA MAFUTA YA KUPAMBANA NA WEZI WA ARUSHA "TUTALAUMIANA"

  Рет қаралды 28,147

Millard Ayo

Millard Ayo

28 күн бұрын

Пікірлер: 70
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 21 күн бұрын
Mh Makonda Allah akulinde dhidi ya wabaya katika juhudi zako za kujitoa kwa ajili ya wananchi wenzako, huo ndo uzalendo na ubunifu wa uongozi,...wananchi tumuunge mkono Mh Makonda ktk harakati zake kwa kweli anajitoa kwa ajili ya wananchi wenzake...
@Innocentnyika-ml5tr
@Innocentnyika-ml5tr 21 күн бұрын
Safi you are more than leader
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 21 күн бұрын
Makonda Allahu Akuhifadhi wewe na Family yako
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 21 күн бұрын
Makonda Mbunifu sanaaaaaaa ila kua na Subra ya kufika mbali Utanikumbuka ❤❤❤❤❤❤
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n 21 күн бұрын
Umetoa mafuta mengi sana mkuu toa lita 100 tu kwa wananchi wenye hasira kali utakuwa umeokoa mafuta mengi sana
@juliusdonard933
@juliusdonard933 21 күн бұрын
Mm kwa kwel nasema kutoka moyon CCM mpen nafac makonda ambayo atatugusa watanzania wotee hata ya uwazir mkubwa nabbaadae ikiwezekana kwa mapenz ya mungu aiongoz Tanzania
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 21 күн бұрын
Wanapigaga konyagi ya kupima usiku mkuu chai watatapika
@RubenMmassy
@RubenMmassy 21 күн бұрын
Mhe. Paul Makonda hongera sana kwa kuanzisha hilo zoezi la kutoa mafuta na vitendea kazi kama magari na pikipiki kwa ajili ya kukomesha zoezi la wizi
@PeterMichael-ks4jw
@PeterMichael-ks4jw 21 күн бұрын
Asante sana makonda kazi nzuri
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 21 күн бұрын
Haya sasa. Na kahawa ya usiku mtapata pigeni kazi wakuu.
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 21 күн бұрын
Arusha mpo vizuri
@user-yc3hb9wl6b
@user-yc3hb9wl6b 21 күн бұрын
Mungu Makonda mpe awe rais wa nchi Mungu naomba mpe nafasi hiyo
@user-js7lr8vr9i
@user-js7lr8vr9i 21 күн бұрын
Pamoja sana bingwa 👊
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k 21 күн бұрын
Mmmh dogo ww, kongole,ni.mbunifu sana. Endelea kuna nuru mbele yako.
@dingadinga6674
@dingadinga6674 21 күн бұрын
Safi sana
@hassanmkono1563
@hassanmkono1563 21 күн бұрын
Well said broo
@HamadBashir-bs5wo
@HamadBashir-bs5wo 21 күн бұрын
Wawekewe nakupigwa picha kwenye vituo vya mafuta
@hbdina
@hbdina 21 күн бұрын
😂😂😂Makonda watu weusi tuige mfano wa Kiongozi huyu kwa moyo wa dhati anahudumia taifa la Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 21 күн бұрын
Mkuu mm naamin utatoa ila wana tabia yakusema hawana mafuta yan hiyo haikwepeki hiyo ni tabia yao hapo wataoiga salut sana ila kwenye utekelezaji mh
@kolumanialoyce4623
@kolumanialoyce4623 21 күн бұрын
mkuu wangu wa mkoa MUNGU yupo
VIDEO: MWAMPOSA AMFUATA MAKONDA ARUSHA - TAZAMA ALIVYOSHUSHA MAOMBI...
6:34
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 37 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 9 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
USHINDI WA MWABUKUSI NA ATHARI SABA ZA DHULUMA YA DOLA KWA WANATAALUMA
12:02
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН