🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Makonda neno moja tu kutoka kwangu.Baba Mungu Jehovah akulinde akupiganie kwa jina la Yesu Kristu Amina
@MansourAbubakar-l2bАй бұрын
Makonda masikini mwamba huyu Mungu akulinde mwamba
@anithawidambe7543Ай бұрын
Asante sana mama Samia kwakumchagua Makonda.
@justinelukumay5308Ай бұрын
Mh Makonda Mungu akulinde Moyo wako dhidi ya Hao wanyonyaji wa Wanyonge
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Mtaa mzeesha Makonda jamani😂😂😂😂.maskini mama wawatu pole mama
@manaseliberatus1347Ай бұрын
KAMA NDO HIVYO HII TANZANIA WATU WENGI SANA WATAKUWA WAMEDHULUMIWA
@TabithaObellykasangilaАй бұрын
Mungu tunaomba ulinzi wako kwa mwanao Makonda umlinde na mtunze kila hatua
@RutaEmmaMachumuАй бұрын
Kwanza n Tapeli kawadanganya eti ni officer wa Police, na huyo mwanasheria nae n Tapeli hata Elimu yake haitomsaidia maana hasimamii haki, anajidai eti wamemsikiliza... Mtu msomi kwl kw maelezo ya mkataba hata km ungekuwa sio msomi unaona sio sahihi kabisaa! God bless you Rc, Makonda
@jkifutu7936Ай бұрын
Makonda mungu akupe maisha malefu
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Makonda kama Traore na Magufuli...Mungu akuongoze ufikie malengo yako kuwa Rais..Huyo tapeli mkubwa apigwe spana na afunguliwe mashtaka...Mr Makonda hongera kwa kazi
Mungu Akubariki Kwa kazi ya kuwasaidia nakuwatetea wa nyonge
@mohamedwwnurumasagcom8171Ай бұрын
Ahsante rais Samia kwa uteuzi wa Paul Makonda, hakika ni mtetezi wa haki za wananchi
@olivermassau569521 күн бұрын
Mungu akubariki, Sana
@minanielikanaАй бұрын
Makonda endelea na ukabithi Mungu aliogukathi. Shika taa la Mungu undelete utawala Wa hekima.
@user-ex9gt9np8iАй бұрын
Fanya kazi makonda
@mandileykiritokangai304227 күн бұрын
Makonda mungu akulinda mweshmiw
@rosetreffert4179Ай бұрын
MAKONDA MUNGU AWATANGULIE KATIKA KAZI ZAKO ASANTE KWA KUONA HAKI YA HUYU BIBI❤
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Ayubu amegushi nyaraka anataka amzurumu mama 😢😢😢😢😢 eeeeeejamani
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Arusha .kweli Makona shafisha shafi hao
@HamisMasele-tb7ljАй бұрын
Nahitaji sku1 Tanzania ikuchangue uwe rais
@ibrahimrutta464Ай бұрын
Nikisikiliza mkuu wa mkoa napata kugundua mama ana kazi ya ziada ana wafanyakazi hewa wengi hawatatui shida za wananchi
@juliusntandu4302Ай бұрын
God bless Sir 🙏🙏
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vhАй бұрын
Makonda mungu akubaliki sana
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Kweli kazi kazi moyo wangu naukuimbie jinsi 😂😂😂
@thuweiybab3338Ай бұрын
Na kama ananyamazishwa hataki umenyamaza. No bora aruhusiwe anarudi nyumbani. Mana hakuna hapo kwa julia ili a kenge mkubwa' PUMBAVU
@MwanaishaShattry19 күн бұрын
Ndio waliokupa sume hao. Mtenda haki siku zote hawapendezi kwa watu.
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Dhuluma mbaya
@TM-zs3rmАй бұрын
Wa awake wa nchi hii wanateseka jamani. Wametuzaa hatuna heshima mpaka wana kufa. Ni Kaan’a tupu. Tuna Raisi na speaker mwanamke. Tutafanyaje tupate mabadiko nchi hii.Tunahitaji sheria zitende kazi na si kuomba dini wakati wa kazi Za serikali. Sheria safi, haki na katiba mpya. Udisi gize dini.
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Wapige spana hao wamezidi😂😂😂😂😂
@oneonego705Ай бұрын
Ase unatisha kwa kutenda haki
@user-mw9md1iq1n19 күн бұрын
Kunawingine kweli
@user-is6np5vf6bАй бұрын
Namuona afisa mtendaji aliyepandishwa cheo nafarijika sana
@thuweiybab3338Ай бұрын
Najua huyu mama analia kwa uchungu..
@gildopitapita1383Ай бұрын
❤
@sujaiazicani9510Ай бұрын
ok
@elipokeaakyoo6858Ай бұрын
Mweshimiwa makonda na wanyakazi wa sgr atujaingiziwa pesa zetu nssf Kwa mwaka Moja na nusu sasa unatusaidiaje na Kila mwezi tunakatwa mkuu
@TM-zs3rmАй бұрын
Huu si Maktaba, ni utapeli mtupu. Kamtapeli bibi.wote maw akili hawana şifa yoyote.
@nsiamasawe4578Ай бұрын
Arudishiwe kilo 5 yake asepe
@JosephMwaipopo-px4wiАй бұрын
Mama amrudishe huyu kwenye uwenezi ni kamanda kwelikwel