Team Makonda Ukombozi, Mungu azidi kuwatanguliaaa, mama Samia mama hii timu usiisahau mama, hii kazi ni ngumuuuuu
@binkhalifa6956Ай бұрын
Dah mungu amuweke makonda
@HamdanKiangio-mw5mc2 ай бұрын
Mama samia msaidie kwa karibu huyu kijana ana maadui wale mabeberu muonee huruma mwenyezi mungu amkinge na hasadi za watu INSHAALLAH
@user-us5xl4zu3r2 ай бұрын
Makonda ni kiongozi bora ndani ya nchi hii.Kama ananisikia,ajue nampenda sana.
@awadhally1052Ай бұрын
Kwel kabisaa
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Kila atakaemlaani Makonda laana zikamrudie mwenyewe, wapo watu wasioyajali machozi ya wanyonge lkn Mungu Muumba anajua, wapo kina Makonda wachache ktk hii nchi..mama Samia mama,asante kwa huyu kijana na timu yake.
@nasirmohamed1589Ай бұрын
Kabisa kabisa
@user-te1gg8uj7jАй бұрын
Tena wapotee kabisa
@nancyenock56012 ай бұрын
Nimaumivu alafu kuna watu wanasema Makonda ana kauli mbaya kwa upuuzi huu Makonda wanyooshe
@simongwandu73922 ай бұрын
Hao wanaomsema mpiganaji wa wanyonge wanapaswa kulaaniwa
@daviddominick52742 ай бұрын
Makonda Mungu atakuinua,hilo najua hata kama si leo ila ipo siku
Kwakweli mama samia weni raisi wetu tunamshukuru mungu amekuteua kuwa raisi lakini tunakushukuru kwakumteuwa makonda kuwa kiongozi wakukusaidiya huku kwenye ngazi zachini namuomba mungu wangu akulinde nahusuda zawatu namajini aaaamiiinaaa....
@emmanuelbernard95522 ай бұрын
Pole sana Kaka kwa changamoto ulizopitia.Umejieleza vzur sana tu.Ndiyo uone kuna watu wema wachache watenda haki kama Makonda
@user-ve1st6lc2z2 ай бұрын
Ninaiona Roho ya Magufuli ndani ya Paul Makonda, MUNGU akulinde sana kamanda endelea kutetea wanyonge
@Baba-nm4qz2 ай бұрын
Kila mtu na roho yake aise magu pamoja na mazuri yake lakini aliumiza sana watumishi,kuna watumishi walifukuzwa kazi kisa vyeti feki lakini walikuwa na haki
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
@@Baba-nm4qzhivi makonda alikuwa na vyeti🤔🤔🤔
@johnlembo2955Ай бұрын
@@Baba-nm4qz"vyeti fake na haki" kwenye sentensi moja😂
@mosesnyelo1380Ай бұрын
@@Baba-nm4qz sasa hapo magu ana husikaje mana walio husika na utaratibu sio yeye mana yeye alitoa tu kwamba wenye vyeti feki waondolewe ila wahuni wakatumia huo mwanya kuumiza wengne
@fettiemaganza1484Ай бұрын
@@Baba-nm4qztayari ushasema vyeti feki haki inatoka wapi na alikuwa ana kula Mai ya Uma kwa njia ya mkato
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k2 ай бұрын
Pole sana mpaka nimelia Mimi😭😭 alafu wapuuzi hao et makonda anatumia kauli mbaya kweli kabisa
@MsafiriBarutiАй бұрын
Nmemskiliza huyu Mzee namuangalia mkuu wa mkoa makonda Ina huzunisha sna ktk Imani yangu ya dini ya kiislam makonda mungu ampe ulinzi kwani hii vita ni kubwa mno anayo pambana nayo unaishi na jlani mbaya ambae umepanga nae Nyumba Moja hatari sn,mungu akuongoze mh.paul makonda
@ivanmtafya61942 ай бұрын
Barikiwa sana kiongozi, binafsi nafurahi kukuona kila kiti unachokalia unawawazia wanyonge wa Taifa hili Watanzania tunahitaji viongozi wanaotusikilia na kujali shida na matatizo yetu. Nakuona unapendeza kukaa mahali Mungu anapokupeleka.
@njiaya6833Ай бұрын
kwenye nchi hii kuna watu atima yao ni jehanamu moja kwa maja uwezi tesa mwanadamu mwenzako kwa maumivu ya hivyo ukabaki salama mbele za Mungu
@user-qm3pi7vx9uАй бұрын
Hakika alilala baba ameaamka baba mdogo chapa kazi mzee wangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉,respect Mr MAkondo
@esterMahengeАй бұрын
Daaa inaumiza sanaa😢😢😢 Mungu msaidie uyu baba apate haki yake🙏🏻
@surylinetv46772 ай бұрын
Halafu anatokea mtu anasema eti makonda anakosea,e nyiee nyiee muogopeni Mungu,Nakuombea sana Makonda Mungu akupiganie na akulinde
@user-vk8cz4ph6pАй бұрын
Yarabi mpk anatuliza tunotizama makonda Allah akufanyie wepesi uzidi utetee wanyinge ❤pepo unayo utapanga juu Zaid baadae endelea hivyohivyo natamani ungechagua Zanzibar Allah akulinde na wabaya wote Majini mashetwani na binaadamu wasikupenda Amini amini
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Nilikua simpendi Makonda kumbe nilikua simuelew baada ya kumuelewa kila siku lazima nimuombee ulinz wa Mungu na mnampenda sana Mungu anirehem kwa kule kumchikia pale mwanzo
@user-zj1ep6hn4p2 ай бұрын
Makonda pga kaz 2030 tunakupa kwa jina liptalo lote Yesu krsto🙏🙏
@daslamonline4665Ай бұрын
Utampa peke yako sie tunampigia kura,
@user-ox7fv6mj3eАй бұрын
Mungu ameona kilio cha watanzania kuondokewa na magu,katuletea mfariji wetu mungu akubariki baba piga kazi
@susujeremiah195Ай бұрын
Pole sana ndugu yetu, watu wanaumia kwa sababu ya mambo ya watu ya hovyo
@walinaziontime73002 ай бұрын
Ikiwezekana Makonda awe anawachalaza viongozi Kama hawaa sio tuu kuwambiaaneno ambayo wao wanaona machafu lakini wao wanafikisi Watu wanatesa watuuu wanaumiza watuuu
@EligiaMligoАй бұрын
Wawe na adapu
@hajjisanga789Ай бұрын
Mama Samia kazi nzuri hii unayo fanya mlipo amua ktk vikao vyako kumrudisha makonda sio mbaya ila hii kazi ni ngumu inahitaji roho ngumu Sana kwahiyo tumpeni nguvu yoyote anae fanya kazi kama hii ya kusikiliza watu matatizo yao maana sio wote wanao penda kufatiliwa hongereni serekali japo ni chungu ila lazima mgonjwa anywe dawa msichukie hii ni serekali yetu wote tufate sheria Bila shuruti
@uredmwasembo8579Ай бұрын
Ktk teuzi bola za mama makonda mungu akupe maisha malefu sana
@mrsab3032 ай бұрын
So sad the guy is sick just pay him please is not fair 😭😭😭😭
@epifaniamilinga28482 ай бұрын
Kuna watu nchi hii.wanaonewa sanaa.Ila hawana mahali pa.kupeleka.viongozi tuliowachagua kazi kubwa kupongezana.Hongera Makonda.ww ni kiongozi
@davismuzahula907Ай бұрын
Hapa Huwezi kuwasikia watu wa Kituo cha Haki za Binadamu wala Umoja wa Wanaume yaani hii dunia hii. Makonda apambane
@JosephOsanya-ik7bkАй бұрын
I am akenyan but l like Paul makonda kazi poa unafanya.but uchunge maisha yako isikue kama mangufuli
@emanulmwaitege55312 ай бұрын
Mungu AMBARIKI SANA makonda
@ramamabinda50632 ай бұрын
Daah aisee kweli bongo nyoso. Mwenyezi Mungu amlinde makonda leo na kesho inshallah
@mussakilo49162 ай бұрын
Dah mkuu wetu wa mkoa Pole sana tunskuombea kwa mungu tu
@neshoboyАй бұрын
R.i.p magufuli umemwacha mwamba kama ww lakin anacheo kidogo tunakuhaidi sisi watanzania ipo siku atakuwa kama ulivokuwa ww😢
@joycehaule97172 ай бұрын
Uwiiiiiii hata mm nimelia uwii pole kaka Dunia hii inaumiza sana KAKA YETU KIONGOZI WETU MAKONDA HONGERA KWA KAZI HII NAKUOMBEA MAKONDA UWE NA AFYA TELE NA UZIMA UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI MAKONDO
@agnesmartin5716Ай бұрын
Daaa nimeumia sana moyoni jaman Mungu akurejeshee vilivyopotea kaka Watu hawan huruma hata kidog ila Mungu atafanya jambo kwaajili yako
@simongwandu73922 ай бұрын
Pole Makonda Mungu akupe wepesi Serikali imemfilisi mwananchi wake. Bado akinadada zetu wanamtuhumu Rc ati haki za wanawake nauliza mbona hakuna mwanamke aliyejitolea kama huyo kaka
@AnithaNassaryАй бұрын
Mkuu wa mkoa Mungu akulinde Sana upo vinzuri mama ajakosea kukuleta arusha
@user-mf2ll7nz5g2 ай бұрын
Mi sasa ndonamuelewa Raisi wetu Mama yetu mpendwa kwanini alimteua Makonda kuwa Mkuu wa mkoa.Mungu akuhifadhi Raisi wetu
@user-ss3fq7vy7v2 ай бұрын
Natamn Kungekuwa na Cheo cha Mkuu wa Mikoa akapewa Huyu Mwamba
@NicholausShibiliti2 ай бұрын
Mkuu wao ni waziri wa tamisemi nnavojuwa
@godfreymasanja3542 ай бұрын
Inaumiza sana Tena hakuna tusi baya ukilotukana wewe ni sauti ya wanyonge Mimi ingekuwa ni amri yangu daaaaaaah tumsukumie mungu tu
@wennceslausmushi2356Ай бұрын
Kila mwanadamu anamadhaifu yake kwa utendaji makonda ni the best yuko karibu na wananchi
@johnkapesula122Ай бұрын
Kwa kweli inauma sana, Kuna wakati unajiuliza hivi hii ni Nchi yetu kweli au tupo ukimbizini? Maana haki ya mtu inachezewa tu kama mpira.
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
Huyo baba nyuma ya Mhshmw nimemuona anafuta machozi...ukiona mwanaume anatoa machozi!! Hii tume inakutana na mambo magumu jamani, tuwaombee tuu Mungu awatangulie. Dhuluma inaumiza jamani!! wengi wenu hamujui
@muddymuzungu43572 ай бұрын
Nimemuona pia Inaumiza sana! Kiukweli
@SaleheMohamed-hb8ynАй бұрын
Makonda mtu na nusu nchi imlinde na tunamuombea mungu amlinde pia maana tunaimani nae kwenye hii inch. mama oyeeee
@audaxbizimana8084Ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢 Jamani jamani😭😭😭 mbona nimeumia sana😢😢😢😢
@faridairema8790Ай бұрын
Mungu huyu nakushukuru mungu umtunze makonda nimejikuta naliia kwa uchungu zaid
@ValenceKazobaАй бұрын
Pole kaka Mungu atakulopa Mokonda Naomba Mungu Akulinde
@WorlduniteАй бұрын
Yaani LAITI wakuu wooote wa mikoa wangekuwa km Makonda, Naamini miaka inayokuja unawezs kutwaa nafasi ya urais baada ya mama samia kumaliza uongozi wake
@charlesmarco2482 ай бұрын
Pole Sanaa mkuu wa mkoa Kwa hayo majukumu ila pole tena sabb ukiwahiji wanasema unawazalilisha ila mungu ni wa wote
@korosojulius5652Ай бұрын
Madanda is a servant leader 🇰🇪 may God protect him
@josephevantus5965Ай бұрын
Daah tunasbri akosee jmani daah mazuri 99 kosa Moja asee linaenda viral kuliko mazuri mengi
@deboramuhoja1777Ай бұрын
Dah!!! Inatia uchungu sana😢😢😢 RC Makonda Mungu azidi kukuongoza na kukupa Hekima kurudisha haki za wananchi😢😢😢
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
hiii nchi bn dah Yani kama mimi ndio rais nikafatilia hili swala nikaona nikweli ihiiiiiii lseee aya bn pengne siku mungu anaweza akauleta uraisi kwangu halafu Nione hao manyangau
@HamdanKiangio-mw5mc2 ай бұрын
Pole mh.makondo nchi hii ni ya wasomi sisi wananchi wa kawaida ni chakula chao hao wakubwa hii nchi ni tajiri sana lakini labda mpatikane akina makonda 20 najua uneteseka kwaajiri ya wanyonge pole mdogo wangu makonda mungu atakulipa lakini kua makini nao take care asante napenda kufatilia mikutano yako by
@jamesmasome3592 ай бұрын
Eti haki za binadamu? Nyambafu zenu. Watu wanadhurumiwa mmekaa kimya jinga sana nyinyi. Makonda piga kazi bana🎉🎉🎉🎉
@user-ru6ct4rh3tАй бұрын
Eeh! Mungu wa mbinguni. Tulindie Makonda wetu. 🙏🙏
@hawamohammed97402 ай бұрын
Imebidi. Nilie tu na Mimi umeniumiza sana
@user-nt4mw7zm7dАй бұрын
Mungu akubariki makonda yaani sijui niseme nini zaidi
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Inasikitisha sana jamani huyu mtu walitaka afe lakini mungu 😊
@evertheobald1811Ай бұрын
Yaani hadi machozi yamenitoka
@neemareuben3112 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢inauma sanaaaa jamani jamanii hii nchi ina madudu sanaaaa😢😢😢😢
@Mariam99-ld4gw2 ай бұрын
Ukiwaona vitambi kama ndama kumbe riba 😢😢😢
@Narubega-ql3dz2 ай бұрын
Kama ndama kweli wana mitumbo kwa kula haramu
@husseinshabani3306Ай бұрын
Yaan makondq adi machozi yanamtoka. Pambana kaka mungu akulinde.
@boazmsechu6134Ай бұрын
Pole Sana Rafiki yangu Shelutete Mungu atakupigania
@saidmushehe2 ай бұрын
Huyu jamaa akigombea urais Nampa kura yangu...mama yangu mzazi
@evertheobald1811Ай бұрын
Mimi nitakuwa chawa wake wa siri na atashinda kwa kishindo kikuu
@adoniemanuel9082 ай бұрын
makonda utachoka kwenye mapambamo ya nchiii hii ukoo mwenyewe unapambana yani nchii hii imeozaa kila kona malalamiko
@josephlorri4312 ай бұрын
Akina chatanda ndo wanatembeza tu makalio..eti mwanamke kadhalilishwa..
@user-fs7xc2bb5dАй бұрын
@@josephlorri431😂😂😂😂
@user-wb9gy2xx3p2 ай бұрын
Mmmmhhhh Unapigwa mawe ila tunaona unayoyatenda Rc Makonda
@RenaldaMtuiАй бұрын
Mhe Makonda unafaa kuwa rais wa nchi maana unajua kufatilia haki za wanyonge na kutenda !! Mungu akuweke miaka elfu
@veronicambilinyi3854Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuzidishie Ulinzi ,Rais ajae Makonda.
@judithtitomalyeta4000Ай бұрын
Jamani makonda mungu akusaidie
@PrinceHendry-hp8vv2 ай бұрын
Chatanda mpuuzi sana anataka watendaji wa serekali warembwe kwa upuuzii huu
@user-tg7vq3ty8p2 ай бұрын
Mkurugenzi tatizo litakalomponza ni kuingiza maslahi kwenye malipo anayotakiwa kuyafanya. Kazi ya aina hiyo (inayohusu kuwalipa watu ambayo niliwahi kuifanya) usimuangalie mtu. Panga ratiba kulingana na siku dai lilipoingia. Unapopata pesa unaanza kulipa lililoingia mwanzo. Ukiingiza urafiki au ukabila au undugu matokeo ndio hayo.
@user-mt5qu8lu7cАй бұрын
Makonda anafanya kazi mungu atakulipa
@EliamaniLema2 ай бұрын
Mweshimiwa awa wakurugenzi ikiwezekana chapa na viboko kuwafokea tu haitoshi wanaumiza sn mkuu
@ShamsiKasoma-fn4cl2 ай бұрын
Makonda ni kiongoz mzuri mungu akujalie jaman
@annesmatemu42642 ай бұрын
Wanapiga makelele tu lakini Makonda Mungu atakupigania kama inavyo wapigania wananchi nakupenda makonda
@HussainMaula-tz8dh2 ай бұрын
Sasa tunaelewa kwanini mama kampeleka makonda Arusha watendaji Arusha wameoza hakuna cha haki za binadamu wala upuuzi gani haki za binadamu kwa watendaji tu walioiba mil 52 kwa wananchi hazipo makonda wapige spener na mungu atakulinda wewe na mamaetu samia na macho ya watu wenye hasadi.
@deboramuhoja1777Ай бұрын
Ukiona Mwanaume analia!!! 🤔Ujue Kuna jambo😢😢😢pole sana Kwa huyu kaka, haki Yako itapatikana, ndio wakati wake huu sahihi😢
@user-pu9wf7zs5wАй бұрын
Aisee brza makonda chapa kaz wanyooshe uko mungu atakujalia uwe ngazi ya juu miaka ijayo
@Esterkomba-ef7eb2 ай бұрын
Yani yakipewa vyeo yanajiona ni kama miungu majizi makubwa
@kasongoIDDi-mx7gz2 ай бұрын
Harafu wanatokea mama mmoja wanasema Kuna watu wanadharirishwa ante tea ujinga anaacha watu wateseke
@user-pu9wf7zs5wАй бұрын
Ukiona ivo ilo lijizi pia
@user-ex9sd8wm4l2 ай бұрын
Nakuomba raisi wangu ucwasikilize watu wanaye mpinga makonda tena wakija uwaweke ndani sero kabisa
@Thisisgrace9792 ай бұрын
Machozi yananilenga sana. Nahisi kulia.
@MoteswaАй бұрын
Daah inasikitisha sana. Machozi yamenitoka
@evertheobald1811Ай бұрын
Yaani nimejikuta natokwa na machozi kwa maelezo ya huyo kaka duuuu!
@GulatoneMasigaАй бұрын
Kazi Iendelee Komredi Paul
@johnsonpatianus75832 ай бұрын
Dah mwamba Mungu azidi kumbariki
@HemedMnyambwa2 ай бұрын
Wale waliosema makonda anazalilisha waje hukuu au wavaee viatuu vya huyu bwana
@ericamwkyokile46812 ай бұрын
Wanawake mnaosema makonsa anawadhalilisha Mungu anawaona.hebu ona baba huyu.
@BaltazarSavinndowoАй бұрын
Haya maisha MUNGU naomba utiye nguvu mtanzania huyu
@peninashungu6633Ай бұрын
Watu wengi Wana mengi Sana kila mkuu wa mkoa akisikiliza wananchi atajua Kuna DHULMA sana
@Naju6452 ай бұрын
Makonda ikifika muda wakugimbea urais Kura za familia yangu zote nizako
@daudimlamka1239Ай бұрын
Makonda kapata baraka zote na kuwekewa mikono na watumishi wa Mungu , naye Mungu akampa kibali
@MunirAbdullah-sy8ks2 ай бұрын
Uyu ni mwamba Allah ampe mwisho mwema
@nchembaa2 ай бұрын
My God..
@kimarioedifesta4161Ай бұрын
Eliya ni makufuli na Elisha ni makonda mungu amlinde
@AnaniaKyando2 ай бұрын
Mmmmmmmmmmh kaka inaumiza sanaa
@narisbaraka8237Ай бұрын
Huyu baba Mungu Amlinde kwakweli ni mkombozi
@IgendaDanielАй бұрын
Ni balaa 😢😢 Rais Samia teua wakuu wa mikoa wa kufaan na Makonda kdgo tutafika mbali maendeleo yatapatikan
@emmanuelyjohn3555Ай бұрын
Nilikuwa meneja wa ndugu Julius Joseph Shelutete. Yote aliyosema ni kweli. Tulifilisiwa na wilaya ya Monduli
@user-fy3cy5fe6q2 ай бұрын
Hii nchi ngumu sana
@evertheobald1811Ай бұрын
Sana sana tena sana!
@rahmambugi232213 күн бұрын
Hatariiii inaogopesha , mungu atajibu🙏
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Wanawake wote mliomsema Makonda kuwa anawadhalilisha akiwemo Vanesa Mdee. Mungu anawaona.