Tunazidi kukushukuru Kwa kazi Yako nzuri muheshimiwa lakin wakat unaendelea kuwalinda raia wako uzidi kuwalinda watoto wetu dhidi ya suala Zima la ushoga Arusha maana Kuna habar za mtandao zinazidi kupamba moto kuhusu huyu anaejiita king of squat. Kama huyu jamaa yupo Arusha asitishe huduma zake la si hivyo wanaume na watoto zetu wa kiume tabia ya ushoga haitaisha. Endapo watu wanaohitaji hayo mazoezi Bora atafutwe mwalimu wa kike wa hayo mafunzo na pia hayo mazoezi ya kuongeza chips na makalio yawekewe sheria ambazo zitalenga wanawake na isiwe vinginevyo. Nashukuru Kwa kuwasilisha.
@dilludillu274710 сағат бұрын
JPM
@LilianMkodo12 сағат бұрын
Ila msiangalie wasanii wakubwa tuu jamani ukuangalia hata walioenda Korea ni wasanii wakubwa tuu sio kweli
@Ushauri2358 сағат бұрын
Watanzania jamani nikusifia tu hata hujui nini kinawafanya wawe ivo je serikali Yao ni yetu huku jiulize hayo maswali
@MurulaAhmadi19 сағат бұрын
Toka Kasmwa Hongera Sana MAKONDA mungu akupe maisha marefu uweze kuendera kutatua matatizo yawananchi wa Arusha
@devidnchumbo492320 сағат бұрын
Kati ya viongozi wanao mwakilisa Vyema Raisi wetu ni Makonda number 1
@AmosChege-n7u20 сағат бұрын
Mpina wewe ni mzalendo tuko pamoja na usikate Tamaa gombeeni na makonda urais tutawapa kura ni
@mbantu570421 сағат бұрын
This is so true....they always stick together.😂😂😂😂
@gambanguku651823 сағат бұрын
Wanasiasa ndio ni matajiri na ndio wenye mishahara mizuri zaidi . Kuliko wafanyakazi wa kawaida wa serikali Hili nalo ni shida
@oliverwhite1676Күн бұрын
Siyo bandari tu.! Wa masai loliondo huo wote upigaji lakini mungu yupo ahsante
@MsumalAloyceКүн бұрын
Anaemshambulia makonda,bora afe
@user-dt7ec3tr2vКүн бұрын
Tatizo sisi watanzania wengi wao niwahali ya chini sanaaa ivyo huperekea hata watumishi kujiusisha na vitendo viovu😅😅😅😅
Wanajuana wote ndio maana hakuna majibu sahihi,nchi ngumu sana hii,tutafika pale tu tutakapojitambua
@billmike8441Күн бұрын
Tunapata wapi maaskari matajiri wakati watanzania wengi familia ni maskini
@frankwarembosaloon5316Күн бұрын
MIMI MUNGU I wangu akupe uraisi mankonda
@MagrethMallya-we8uiКүн бұрын
Tukubaliane tuuu, hii nchi rushwa ni kubwa sana, bora tukubaliane takukuru haijulikani inafanya kazi gani. Bora mkuu wa mkoa una huruma, wengi wakishapewa hela maskini hanaga haki.
@isaacmwaipopoКүн бұрын
Mungu awalinde watenda haki woteee. Amen
@user-hl1sb2xq7hКүн бұрын
Well and done Mr Makonda ✓
@user-hl1sb2xq7hКүн бұрын
That's true my dear 👍
@margaretchikunichirwachirw1094Күн бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏
@jokhamohammed976Күн бұрын
Swadactar 👌
@WilhelmPetroКүн бұрын
Makonda oyeeeeeee inatakiwa
@wizdannymoshi3132Күн бұрын
Nakukubal xana pg kaz
@KassimJabuКүн бұрын
Nisahihi 2
@KassimJabuКүн бұрын
Ni rais wamkoa anauwezo2
@SosipeterAlex2 күн бұрын
Kwakweli wewe ni kiongozi sahihi kwa wakati sahihi Bwana akubaliki sana na akulinde katika kiongozi wako aduwi wasipate nafasi endelea kuchapa kazi binafisi naendelea kukuombea
@JosefuSwai2 күн бұрын
Sasa jeshi likifanya biashara na sisiraia tufanye Nini unakuta jeshi linafanya biashara ya baa siyo vitu adimu hata matofali viwanda vya tofali ni vingii kuliko wateja pia baa siyo hitaji la msingi Wala ukumbi wa harusi tuachieni sisi raia jamani na Kodi zetu ndio zinazo walipa yie Sasa mnatunyanga Tena wateja acheni serikali ikusanye Kodi isifanye biashara pamoja na vyombo vya ulinzi
@hassanikihale14042 күн бұрын
Hongera sana mkuu wa mkowa
@user-dt7ec3tr2v2 күн бұрын
Broo uko vzuri unacha kz kweri kweri endlea kuchapa kz mkuu
@josephlorri4312 күн бұрын
Hii approach ya makonda kwa miradi mikubwa ya serikali ni kama ya JPM..kutumia vikosi vya jeshi. Kwa mpango huo ni vigumu pesa kuja kwa wananchi...makampuni wananchi itumike kufanya miradi mikubwa..watalipa kodi,wataajiri vijana, watauza vyakula nk ili kuongeza mzunguko wa pesa mtaani
@mariamshabani71072 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@victoriamachunde43652 күн бұрын
Mungu akulinde Mr Makonda.
@abdiwahabibrahim15612 күн бұрын
Pastors wengi ni wezi😂😂😂
@JacksonMtese-gn4so2 күн бұрын
I think this is similar to UPDF
@MahdouMomba2 күн бұрын
Kwanini wakuu wa mikoa mengine msiwe kama huyu mwamba hapa, wakuu wa mikoa mnakwama wapii, chukueni hiii spirit muiokoe nchi, nchi inahitaji maendeleoo, tuko nyuma sana, tuko nyuma ya muda.
@hefintus2 күн бұрын
Huyu jamaa atakuja kua Rais kwenye hii nchi,haya maneno yangu naombeni myaweke mahali Kuna siku isiyokua mbali sana.
@gatsonmatiko80002 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@jongosalehe10362 күн бұрын
Congratulations
@rahmambugi23222 күн бұрын
Makonda amri yangu akmaliza mama samia natamani uwe Rais wetu🙏
@user-jf1sq7lk4g2 күн бұрын
Good job
@francohaule-ci7ii2 күн бұрын
Umenifanya nifurahi
@Ratifahmauridy-pk8ul2 күн бұрын
Pole sana mamaang
@athumanikadaika58172 күн бұрын
Jembe kazini.
@johnnziku58102 күн бұрын
Good
@joyceraphael25862 күн бұрын
Polisi baadhi wanamtengenezea mtu kesi kweli mh,.adi huruma mtu anamfanyia mtu kitu kibaya yeye anakwenda kutoa tu taarifa yake ya uongo na kusababisha hao polisi kumhadhibu au kumpiga bila kufuatilia je ni kweli ama c kweli inauma, unakuta hugo polisi kapewa elf 10 unampiga mtu bila kuwa na ushahidi wa jambo Mh makonda tusaidie hilo watu wanateswa sana hawafuati haki kbs, mm nimeliona hilo
@Afrikanuspatrickmathayo2 күн бұрын
Uhamie kigoma iri nasisi utuondoree uchafu uriopo kwenye mkowa wetu