Kuhani Kazan but wale usikatishwe tamaa na maneno ya watu mtandao dakika wewe ni kitu la mbinguni Kazan but baba Mungu akupe Marsha marefu sana🎉🎉🎉🎉
@MmMm-tt1wi20 күн бұрын
Mungu tuepushe na kikombe cha dhambi ukayafute makosa yetu ukatulinde na maovu ya shetani 🙏🙏🙏
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Hallelujah 🔥 mungu wetu ni mkuu,🙏.
@tumainichua9622 жыл бұрын
Mungu najiunganisha na ngome ya yesu mafarakano ya family yetu yaishe niwe na amani na baba yangu na NDUGU zangu tuwe na mafanikio
@penuelmmbaga94872 жыл бұрын
Yesu anarudi soon, yaliyofichwa yamefichuliwa. Glory to GOD..kama unadhani shetani haupo kazini,ona. We Mungu naomba rehema kwa hawa watesi wetu in Jesus name
@therealvoicechurch6855 Жыл бұрын
Yesu
@gabrielsaelie80912 жыл бұрын
Uwongo mwingi ambao wanashindwa kuupangilia vizuri. Manabii wauongo UPUUZI MTUPU
@carenhilary80672 жыл бұрын
Hakika Bwana Yesu kristo wewe ni MUNGU MKUU
@user-sw7tf1ob1bКүн бұрын
Wabongo kabisa hamuna uchawi hamuna kugonganisha labuda nape
@emmanuelhakizimana61592 жыл бұрын
Mungu akupatiye maisha marefu bishop iri uendereye kusayidiyawatu
@constantinennonjela3922 Жыл бұрын
Huyu bint ni jasiri sana Mungu ashukuriwe mno kwa uponyaji wake namuomba Mungu aibariki na Familia yangu
@adisabetty217311 ай бұрын
Amiiiina Baba endeleya kazi Mungu Amegutuma nachukuru🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙇🙇🙏🏻🙏🏻🙏🏻🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mjasiriamalishupavulailamu71632 жыл бұрын
Sio kweli mungu anawaona
@Churchofecclesia2 жыл бұрын
Na wewe pia unaonwa kwa sabab hujui unachokiongea
@nuhumwaisanila221728 күн бұрын
Mungu tusaidie hii Dunia tunateseka watoto wadogo wachawi mungu kwani sisi tumefanyaje kwann tumezaliwa tofauti
@mchemargaret35002 жыл бұрын
Iyo tshat pia si nzuri
@agathakomba98432 жыл бұрын
Ooh a great miracles, almighty to GOD
@Adrextvirboxtvivochanel Жыл бұрын
😂😂😂
@mourinisiy55672 жыл бұрын
Amen amen good work more grace
@janetkuria76082 жыл бұрын
Mungu tusaidie na ututa ututakaze asanti,,
@mwendwawilfred66132 жыл бұрын
@@janetkuria7608nicest VC mjnbffftuuu.
@mudhihirIbrahim-hb7ry14 күн бұрын
M,hhhu Uwongo mtupu
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Mwangu umemtafuna amana wewe dada umenikomesha nawewe utakomeshwa ngome ya yesu amina
@user-hp4mo3vv7v Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kuhani musa
@MteuleMabuku2 жыл бұрын
Huyo ni pepo lililotoka kuzimu,ana mission maalumu km anavyosema apo ,anaishi km mwanadamu lkn kumbe ni pepo. Wapo wengi wengine tupo nao majumbani lkn kuwajua inahtaji Ueza wa Mungu.
@anaeltenga1232 жыл бұрын
Kwer kabsa
@gabrielsaelie80912 жыл бұрын
Hamna lolote hao ni upuuzi mtupu ni uwongo wa kufunga. Wanaotumia jina la MUNGU ILI wajipatie fedha
@Churchofecclesia2 жыл бұрын
Ni kweli kabsa mapepo yanavaa miili ili kutimiza ajenda ambazo Lucifer amewatuma kuzifanya
@yosejoseph7902 ай бұрын
Najiungamanisha kuokoa familiya yangu mume wangu watoto wangu Mungu nisaidie 🙏okoa maisha yangu
@user-wi8og3sv4jАй бұрын
Gabriel we umetoa shilingi ngapi?
@ashamakokha95882 жыл бұрын
Jamani macho za huyo msichana zinaashiria mengi🤔
@anaeltenga1232 жыл бұрын
Umeonae amekaa kama jini yan macho yake
@ashamakokha95882 жыл бұрын
@@anaeltenga123 kabisa
@stacyomwaki49882 жыл бұрын
For real anakaa Shetani,,, macho yake yanakaa nyoka
@AntonyBruno-om8mr5 күн бұрын
Alafu kwann asianze na uyo aliyeekaa apo mbele anachagua we kule umevaa nguo Fulani njooo kwann asianze namoja Mmoja eee Aya acha niamini ninachoinimi Sasa usalama mchukueni uyo mkamhoji vizur
@naomidamian87378 ай бұрын
Nabarikiwa sanaa
@pastordan81927 ай бұрын
Mungu atusaidie
@FrankMkome-df9bn2 ай бұрын
mungu akubariki sana kohani mussa uishi miaka mingi
@lilianselebo41282 жыл бұрын
Ee mwenyezi mungu tunakuomba uzidi kumpa uhai na nguvu mtumishi wako kuhan musa Richard mwacha amen
@monikajuma90122 жыл бұрын
Ee mungu wa mdhabahu nifunge nanaomba amani kwenye doa yangu na watoto wangu
@Adrextvirboxtvivochanel Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-el9pf5kv7y Жыл бұрын
Hv kweli au au biashara..cjaelewa sn bado namwomba Mungu anifunulie haya
@reneejollie51172 жыл бұрын
The almighty God he will always be the king of all kings ur glory be glorified in all
@EsterbernardoVumo-kn2xv6 ай бұрын
Yesu Simama Imara Ili Jeshi La shetani Lifie Kuzimu.
@ramadhanimsangi82922 жыл бұрын
dar kweli kuhan musa ni shida nakukubali san
@MishiPapalan2 жыл бұрын
Jamani ugo mwengine mpa unajuwa kama hawa wanaongopa mhh mungu nininusuru na utafutaniji wa kinafiki
@Churchofecclesia2 жыл бұрын
Hujui unachokiongea YESU KRISTO akusaidie sana
@busindevyote35192 жыл бұрын
Ulimwengu huu una mambo.....
@user-zi1vj7gs8h Жыл бұрын
Yani mungu tuzidi kumuomba mungu kla siku
@nellyingutia3527 Жыл бұрын
Mungu akubariki kuhani niombee mume wangu ahache pombe alirogwa
@Adrextvirboxtvivochanel Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@allyjumaallyjuma6922 жыл бұрын
Uyo malikia Mashallaaah nataka aje kwangu anitafute tuelewane duuh nikimpata hata sijui kuwa nitalala😂😁😢😅Maana kaumbikkaa
@mamakenajma3257 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@GracePatrick-zc2eb25 күн бұрын
Hauna akili
@hodrammwegalawa7480 Жыл бұрын
Nabii unatisha vibaya maana Una ibua. Mambo yalio jivicha baba MUNGU akuzidishie uwishi miaka mingi zaidi
@christiankambuga9338 Жыл бұрын
Aminaaa Yesu ni bwana
@rorotv48722 жыл бұрын
Wallai dunia imeisha
@angesramazani2332 жыл бұрын
Dieu est grand !!! Même en RDC il y a des guerres qui ne finissent jamais
@justinehassani3299 Жыл бұрын
Vraiment
@gaspardkitoko1910 Жыл бұрын
Dieu existe au delà de nos faiblesse 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@gaspardkitoko1910 Жыл бұрын
Dieu n'abandonnera j'aimais son peuple 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💓💓💓💓🏆🏆
@BarakaWilson-ni7qu Жыл бұрын
utukufu kwa bwana , mchungaji
@emmanuelfredinand362821 күн бұрын
Mwogopeni Mungu jamani,anawaona kwa mambo yenu
@salimmohammad36272 жыл бұрын
Daddy please pray for me my name kikoko polepole Salomon
@dinnahsamwel96072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimepigwa na kitu kizito ety sema n mtumishi gani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ni Wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ps5rr4ij8t3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kabica😅😅
@masevelaeva84072 жыл бұрын
Mawnafunzi wangu Mungu akufungue Kwa jina la Yesu Alie hai
@dionisiabaynit2916 Жыл бұрын
Pole mwalimu,walimu tunakadi Yesu atulinde
@Adrextvirboxtvivochanel Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@elizabethmwinuka285910 күн бұрын
Pole mwalimu
@AntonyBruno-om8mr5 күн бұрын
Sasa jamani eee yy alijuaje kwamba amepewa hicho cheo na mashetani akiwa tumboni mwa mamake jmn mmmh mambo ni mengi muda ni mchache jmn
@salha22892 жыл бұрын
Bado huu dada azidi kuombewa anaonekana kuna hewa fulani hazija mutoka emo.
@gracemsigallah23632 жыл бұрын
Amenii mungu akusaidie
@doramkongwa7177 Жыл бұрын
ameni
@wilsonmkumbo Жыл бұрын
Mmmmh jamani dunia haipo
@beatricedea84852 жыл бұрын
Mungu tunusuru
@tumainichua9622 жыл бұрын
Asante yesu wa ngomeni
@frankmushi88922 жыл бұрын
Ila jamaniiii c viini macho iviiii mbona mambo nimengi ivii
@anaeltenga1232 жыл бұрын
Mimi na wewe hatu jui ni mungu mwenyewe
@adamslyo30892 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu naitwa rehema kati ya watoto kumi na moja naomba uniombee mimi na ndugu zangu na wazazi wangu tuna tezeka na mathabao ya familia baba nisaidie
@Adrextvirboxtvivochanel Жыл бұрын
😂😂😂😂
@florasauli90302 жыл бұрын
Yesu wa ngomeni fichua kwa jina la yesu kristo wa nazaret aliye hai ameen
@pendomalisa93082 жыл бұрын
Mbona mnachanganya sauti hatuwasikii vizuri
@estasage55062 жыл бұрын
Hata mimi niko confused because this is not interpretation but noises. Sauti zimechanganywa.
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Sasa hapa unataka kumsikiliza uongo? Uongo mtupu hapo
pastor naomba mungu akulinde na akupe maisha malefu
@godfreymwamaso2424 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu naomba. uniombee nimefungwa kiuchumi ndoa ujenzi naomba unifungue Amen
@kisaagustino32783 ай бұрын
Njoo kwangu kaka nikuonbeee
@abouassifmabrouk81102 жыл бұрын
🤩 🤩 🤩 🤩 Uongo mtupu
@hynesskatengu18702 жыл бұрын
Hakuna kitu hapo Jamani Mungu naomba jidhihirishe kwa Hawa watu
@Churchofecclesia2 жыл бұрын
Ajidhihirishe kvp
@sarahantony33192 жыл бұрын
Mungu tunaomba macho ya rohoni
@HappynessMakelesiya-ei3cj Жыл бұрын
Mungu atuzidishie macho ya rohon
@SindimwoCesile27 күн бұрын
Muteure uwemacho
@zenahdallactv17992 жыл бұрын
Hahahahahahaha acheni mikwara bana,
@deborabrown21142 жыл бұрын
Jamani ww unaeongea kiingereza unatuchanganya
@neemajohn12722 жыл бұрын
Kwamba alianza tangu tumbon mungu tusaidie...kama umepangwa subir pepo yako utaikuta
@manroja62322 жыл бұрын
Mungu akusameee sna masikn so wote wanapangwa 🙏🙏🙏🙏
@eliasmushi1098 Жыл бұрын
Duuuh kwenye madactar nimeiishiwa poz
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Kuhani hakuwezi mchawi Wala freemason
@anordanthony2412 жыл бұрын
Tumepigwaaaa
@zilpahassan2162 жыл бұрын
Jamani mumuogope mungu nawasihi Hilo cio mtu au binadamu wa kuchezea chezea nawapa pole kwa hilo
@hajikhatib88402 жыл бұрын
Yaan alijijua Tangia yupo tumboni kwa mama yake?? Mhhh hii ni zakuambiwa changanya na zako ( kikwete alisema)
@godlivaemmanuel61372 жыл бұрын
Bwana naomba nifungulie faham zangu
@3leggedbird22225 күн бұрын
Kwani we ni Mungu
@davidfrancis73252 жыл бұрын
Milioni Naaaa milioni naaaaaa 😆😆😆😆
@amanitmakese9966 Жыл бұрын
Mungu wewe ndo Alfa na omega nawewe ndo mwanzo na mwisho.
@salmaeunicekokiarbogast46782 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu naomba unisaidie please
@jenniffermauta96592 жыл бұрын
Tumtumikie mungu
@claramwanganikani70692 жыл бұрын
Amen
@albelikane70052 жыл бұрын
Mungu niwamaajabu Kwl sifa na utukufu ni wako Mungu from 🇧🇮
@ibrahimdavid45842 жыл бұрын
Lov u
@dr.benherbals Жыл бұрын
Mungu wetu mwaminifu
@dr.benherbals Жыл бұрын
Ataendelea kuharibu maanga yote yakichawi
@georgekalalu13102 жыл бұрын
Haleluya
@ambrosromanus95472 жыл бұрын
Pumba kabisa!! Kumbe kuigiza Ni rahisi hivi
@jonassilveter24152 жыл бұрын
Wabongo wengi hampendi kusali mnapenda miujiza kwahiyo tulieni muone miujiza hiyo
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😁Waongo sana
@blandinatogolai1620 Жыл бұрын
Hakika
@kisaagustino32783 ай бұрын
Kwanza katoto haka nikaongo mnoo
@Recho-zs6we2 ай бұрын
Wewe usiwe mnafki ninan asie penda kumuomba mung na akajibiwa! Kilamtu anapenda kuomba na apewe wewe hauon kamawatu Wana omba hapo
@user-wi8og3sv4jАй бұрын
We hupendi miujiza kwani yesu alijulikana kwajili kama sii miujiza?
@anethkiritha6933 Жыл бұрын
Yesu wa ngomeni azidi kuabudiwa na kutuokoa Amen 🙏
@user-vt3mo2gy1t11 ай бұрын
Ameen
@joshuamakota6714 Жыл бұрын
Kajisallimisha kwa kuhani badala ya Mungu yani mnamwabudu mtu hapo wazi wazi
@elesiathoha858611 ай бұрын
Sio wanamwabudu mtu , MUNGU hufanya kazi akiwa ndani ya mtu hivyo ni MUNGU ndani ya huyo mtumishi
@joshuamakota671411 ай бұрын
@@elesiathoha8586 nani kapewa utukufu hapo nani kasimama katika nafasi ya ukubwa hapo Kwann usisema ajisalimisha kwa Mungu ? Makosa ya uandishi basi tuseme.
@stellahokworo65612 жыл бұрын
Hallelujah 🙏 Amen
@evancezicka80952 жыл бұрын
Nabii niombee najiunganisha na madhabau yako
@mamertarweyemamu3438 Жыл бұрын
Wewe mtafusiri unapiga kelele hata hatusikii vizuri.
@STELLAMALIMA-br3nq11 күн бұрын
Amina mubarikiwe San🎉❤a
@STELLAMALIMA-br3nq11 күн бұрын
Namshukuru mungu kwa kunipa baraka
@zaipazzi94902 жыл бұрын
Mimi kuna vitu vingi sana vya kweli nilikuwa nipigia katika maono na nishaenda kwenye nyumba za dini na kukutana na wausika ili kupata majibu ya maono yangu. Nilikuwa nikijipa majibu ya maono yangu lakini majibu ya peka yangu hayatoshi lakini bado sijachoka nitawatafuta kwa mara nyingine
@kaoretosha666826 күн бұрын
Watu wanaabudu miujuza sio Mungu
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
HUONGO USIOFANANA NA UKWELI KWA KUPEWA NYUMBA YA KUISHI MUĴUE DUNIA INAMWISHO NA MOTO UPO SIKU YA MWISHO WA DUNIA 😢😢😢😢
@floraflorence10322 жыл бұрын
Waah🙆♀️😭Mungu tusaidie.
@rehemamwakinyaka31672 жыл бұрын
Yani Uyu mkalimani hafai kabisa Yani auto yake ipo juu Sana mpaka anakela
@irenekidada3327 Жыл бұрын
😂🔥
@makwayabeatusi42852 жыл бұрын
Mungu mwema
@juliahponga26202 жыл бұрын
Huyo anayerudia Russia anatuharibia
@lilianselebo41282 жыл бұрын
Ee mungu tunakuomba uweze kumpa nguvu mtumishi wako kuhani musa Richard mwacha na makuhani wote wa pale ngome ya yesu kristo kimara tembon kwa majina naitwa reyma Khatib zuberi natokea kimara mwisho
PARADISE IKO TANZANIA. BWANA MUNGU ATUKUZWE SANAA.
@kellyngogo33192 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🏃🏃
@angelamos22612 жыл бұрын
Uongo mtupu
@safiamani70052 жыл бұрын
This English speaker is making noise . please can you stop it😧
@estasage55062 жыл бұрын
I know. Better to use one language if there is no one to interpret
@safiamani70052 жыл бұрын
@@estasage5506 someone close to the ministry should tell them about this, it has become a very big distraction to the viewer.
@lovenessferdinand36642 жыл бұрын
😅
@itsmgff11172 жыл бұрын
That true
@samwelerasto71382 жыл бұрын
😂😂🙌🙌🙌
@anordjamhuri75312 жыл бұрын
Baba mtumishi mtusaidie Sana hasa Taifa letu Mungu alitawale mwenyewe
@harunyantony33222 жыл бұрын
Duuuuuh mungu uishie milele simama mwenyewe kwa haya ninayo yasikia pekeangu siwezi eeh bwana nishike mkono
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
SASA ALIJUA VIPI WAKATI YEYE YUPO TUMBONI KWA MAMA YAKE MAMBO KAYAJUA VIPI YOTE YUPO TUMBONI NA MAMBO ANAYOONGEA KAPANGIWA KUONGEA FREEMASON UNAIJUA WEWE MCHUNGAJI????