KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 69,063

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

Ай бұрын

Пікірлер: 658
@costofamily4861
@costofamily4861 Ай бұрын
Wanaomkubali Cassian Gonga like hapa💪🏻💪🏻
@EbsonMakanika
@EbsonMakanika Ай бұрын
Mungu, akubariki,sana,kwa kukemea manabii wa uongo
@EbsonMakanika
@EbsonMakanika Ай бұрын
Nami nasema, alaaniwe,
@EbsonMakanika
@EbsonMakanika Ай бұрын
Hakika shetani amejidhilisha waziwazi ,kupitia makanisa, Mtumishi,Mungu akuinue sana,pamoja ,Na Mbalikiwa,
@mathiasdioniz5891
@mathiasdioniz5891 Ай бұрын
Mungu ambariki sana huyu kaka Cassian,
@user-bm9gh6hu4w
@user-bm9gh6hu4w Ай бұрын
Baba nakufata kabisa mimi Niko mukongomani lakini nilishangaa Sana n'a maneno a na ambiya watu. Kweli watuwameangamiya kwa kukosa maarifa watu wamefungwa ma cho kweli. Watu wame kosa mafundisho
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 Ай бұрын
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
@evalinekitomary4307
@evalinekitomary4307 15 күн бұрын
Kanisa linahitajika kuomba kwa bidii sana maana shetani ameingiza dunia kanisani😢
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r 11 күн бұрын
O@evalinekitomary4307
@user-jl1db6lc1w
@user-jl1db6lc1w Ай бұрын
Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
@LylianeBaumaLyly
@LylianeBaumaLyly Ай бұрын
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
@user-yw5wk1dv1c
@user-yw5wk1dv1c 27 күн бұрын
Pastor cassian mungu alikuponya kwa sababu alikuwa na mpango mwema kwa kanisa la saivi yesu akufunike kwa mbawa zake ili tupate kuijua kweli ya mungu
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 8 күн бұрын
Kumbe alipona
@PhilipobonifacSado
@PhilipobonifacSado Ай бұрын
Mungu atakulinda mungu ajawahi kushindwa
@beatricemwashiti7763
@beatricemwashiti7763 Ай бұрын
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
@happinesserasto4806
@happinesserasto4806 Ай бұрын
Sjawai kuona nabii hasie na hekima na hofu ya Mungu kama ww unaejiita kiboko ya wachawi, Yesu akusaidie uokoke kwa jina la yesu kristo
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Ай бұрын
Huyu ni nabii wq wachawi
@HamoudMahamud
@HamoudMahamud Ай бұрын
Unaonekana wewe ni mshamba wa wa wachungaji uliza wazee wako nini maana ya dini,,,,halafu utapata dini za kileo ni nini?
@NdelimbijohnSwai-k5s
@NdelimbijohnSwai-k5s 24 күн бұрын
Injili ya kweli ni kuwafundisha watu kuacha dhambi na kumrudia Mungu na kumkiri Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yao na kuishi utakatifi ni lazima
@aneth2104
@aneth2104 22 күн бұрын
Wee Cassian Fanya kazi acha majungu waache kiboko kateuliwa na Mungu Fanya Yako acha ya watu
@ElizabethJeremiah-gq5pr
@ElizabethJeremiah-gq5pr 21 күн бұрын
​@@aneth2104mungu????? whoooo???
@user-ow9hn7xs3u
@user-ow9hn7xs3u Ай бұрын
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
@justingeorge2451
@justingeorge2451 Ай бұрын
Kweli babisa Mungu atusaidie sana jamani Tanzania yetu tuokolewe na hii laana,Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, tatizo hawajui Neno la Mungu.
@Ushindiemmanuelushindi
@Ushindiemmanuelushindi Ай бұрын
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 Ай бұрын
Kweli kabisa
@felisterpaul1815
@felisterpaul1815 19 күн бұрын
kweel kbsa mwinjilist
@felisterpaul1815
@felisterpaul1815 19 күн бұрын
ila tuwaombee pia, ni mbinu za shetan kupotosha watu wa mungu
@paulpastory1193
@paulpastory1193 Ай бұрын
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
@user-gs9rx1ep8m
@user-gs9rx1ep8m Ай бұрын
Amina munga azidi kumulinda
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale Ай бұрын
Kwa hili asiekuelewa ana shida ktk ufahamu wake!
@PastorVitalisSheshe
@PastorVitalisSheshe Ай бұрын
Mtumishi Ubarikiwe sana.Isaya. 58:1 ukosawa.
@bakariphilip3859
@bakariphilip3859 Ай бұрын
Amtegemeaye Mungu, awezi kuogopa mwanadamu Bwana aliekuita akutunze daima
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Amtunze aendelee kuangamiza roho zenu
@AlfredyLimu
@AlfredyLimu Ай бұрын
Asante sana mtumishi wa MUNGU endelea kuisema kweli wakupona wapone na wakupotea wapotee
@eliaskabila1106
@eliaskabila1106 28 күн бұрын
Mtumishi Casian ubarikiwe sana kwa kusena ukweli endelea tu na Mungu atakulinda hakika
@ngugit88
@ngugit88 Ай бұрын
Wakenya wanaopenda utakatifu mko wapi?more grace mtumishi 🙏
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n Ай бұрын
Tuko tunamfuatilia kwa utaratibu mchungaji anatubarki na neno la mungu,mungu ambariki sana mchungaji
@ChristinaMunis
@ChristinaMunis 9 күн бұрын
Mungu atusaidie
@elizabethndabhantinya
@elizabethndabhantinya Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@georgekifyasi1205
@georgekifyasi1205 Ай бұрын
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
@drheriethkamote8113
@drheriethkamote8113 Күн бұрын
Man of God,I have never understood you before,but now I know it is the mercy voice of Yehova using you.Mercy mercy to the us who hears this.
@leticiamakoye4871
@leticiamakoye4871 Ай бұрын
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
@Kabendera-s1w
@Kabendera-s1w 4 сағат бұрын
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu Ev. Paschal Cassian upewe Nguvu ya kutosha upate kupepeta hawo watumishi wa Shetani
@user-gs9rx1ep8m
@user-gs9rx1ep8m Ай бұрын
Hakika umesema kweli, mungu akupe maisha malefu malefu sana mtumishi wa bwana yesu
@JanetAdislous
@JanetAdislous Ай бұрын
Bwana haandikwi kwa herufi ndogo jmn huyu anakuwa ni bwana wa Dunia Bwana hata bibilia inamtamka kwa herufi kubwa
@MariumChristopher
@MariumChristopher 28 күн бұрын
Munguu akushikee mkono masii wa bwanah
@DanielNasibu
@DanielNasibu Ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 13 күн бұрын
Ndy mtumishi yaan mwenyew macho ya rohoni unaona kabisa kuwa Hugo kiboko wa wachawi nipepo kamili kutoka kuzim yesu na akukemee wew kiboko wa wachawi
@Evangelist_DannyVuninga
@Evangelist_DannyVuninga Ай бұрын
Binafsi namshukuru Mungu aliye kuita ndugu Paschal. Huduma yako inatubariki sana.
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 Ай бұрын
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
@nachibhona4022
@nachibhona4022 22 күн бұрын
Mungu akutetee kwa kazi nzuri iliyojaa hekima na hofu ya Mungu juu ya kazi hii
@isaacmihigo6400
@isaacmihigo6400 23 күн бұрын
Ubarikiwe baba, Mungu asaidie watu wale waliopotelea kwa kiboko ya wachawi
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Ай бұрын
Mungu akubariki sana sana 🙏🙏
@user-ld6nn7py5f
@user-ld6nn7py5f Ай бұрын
Amina mutumishi
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 Ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
@mkutitv
@mkutitv Ай бұрын
SIO WANA ANGAMIA BALI BIBLIA INASEMA WANAANGAMIZWA.... isome vizuri hilo andiko
@mkutitv
@mkutitv Ай бұрын
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 13 күн бұрын
@@mkutitv thanks
@user-ck5hx8pr5v
@user-ck5hx8pr5v Ай бұрын
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
@mapendodorcas2634
@mapendodorcas2634 28 күн бұрын
manabii wengi wahuongo wanazidi kujitokeza, na injili ya kweli inaanza kupotea, hatuambiwi kuacha dhambi na kutubu, bali pokea nyumba,magari, ma contains... Mtumishi, hendelea kukemea dhambi na Mungu wetu aku protect kwa njia zote Amen 🙏🙏🙏
@ErnestSaileni
@ErnestSaileni 24 күн бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa mungu na akuzidishie maisha malefu uzidi ufundisha kanisa lifike mbinguni amen.....
@morrissanyano3654
@morrissanyano3654 Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@user-dp1bt9hj5n
@user-dp1bt9hj5n 12 күн бұрын
Mungu wa Abraham akulinde Ev. Paschal Cassian na atulinde pia wote sis wana wa Mungu azidi kutupa Hekima na Ufunuo,huu ndio wakati wa Mwisho
@user-ow9hn7xs3u
@user-ow9hn7xs3u Ай бұрын
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
@user-qy7wv3xv4o
@user-qy7wv3xv4o Ай бұрын
Katika jina la yesu kiristo, damu yake ikufunike, juu chini kulia, nakushoto mungu akulinde mana umesema kweli, hata mm nimesikitika mno.
@user-xd8is8ct7j
@user-xd8is8ct7j 8 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi songa mbele katika kuokoa nafsi za watu zilizotekwa
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 Ай бұрын
Nakupenda bure mimi mtumishi cassian unasemaga ukweli baba yangu taji yako nikubwa mbinguni kaka yangu.
@jacquelineswai602
@jacquelineswai602 Ай бұрын
Pascco Mungu alikuponya na ile Ajali (mauti kwa makusudi kamili mtumikie Mungu wa kweli Baba
@ahazichunya4265
@ahazichunya4265 22 күн бұрын
Hakika ameitwa na Mungu kuponya watu wa Mungu pengine alitumiwa na maajenti
@kabwefrancine99
@kabwefrancine99 17 күн бұрын
​​mungu gani wewe una muzungumizia?' eti ame tumwa na mungu ku ponya watu,pole sana
@BeatriceMlowe-iz5uj
@BeatriceMlowe-iz5uj 18 күн бұрын
Ubarikiwee sanaaa casian Mungu akutunze na akupe mwisho mwema ❤❤🎉🎉🎉
@AmaniMushi-c2u
@AmaniMushi-c2u Ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
@YOHANARIREMMA
@YOHANARIREMMA Ай бұрын
Mungu akufikishe mbinguni kwasabbu umezijua sili ukiwa ndogo mafanikio yaako uliapata huko badae ukaokoka hongera sana
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 13 күн бұрын
Amin babaaa sema ukweli maan mungu anawatafuta kama nyie kwa kuuliiinua jina LA yesu
@Life10061
@Life10061 Ай бұрын
Amina baba sema ,yani kwa hapa dar es salaam matapeli wengi sana siku hizi
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 13 күн бұрын
Naumia sana kuona watu wanavyoenda kuzim ,jmn okoken yesu anaumia kuona watu wake wanapote yeeeesu tusameeee ,samee tanzania ,sameee afrikaaaa turehem yesu na hawa manabii wa uongo eeeeyesu usitupiteee
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 13 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi pia akufunike kwa dam ya yesu
@JacklineMoti
@JacklineMoti Ай бұрын
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 Ай бұрын
😭😭
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 13 күн бұрын
Jmn tumwombe mungu akupe macho ya ndan ili kuwajua hawa maajenti wa kuzim achen kupeleka watu kuzm kuzim ni kwaajili ya shetan
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 Ай бұрын
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
@priscajeremiah7510
@priscajeremiah7510 26 күн бұрын
Barikiwa sana mtumisji wa Mungu
@user-xt4xi5il6w
@user-xt4xi5il6w 9 күн бұрын
Mungu azidi kukupigania mtumishi wa Mungu.
@RamadhaniJofrey-x1h
@RamadhaniJofrey-x1h 16 күн бұрын
Watu wangu wanangamia kwa kikosa maarifa,kweli na bado wanasema aminaa.viongozi vipofu wananongoza vipofu
@GiftMkwizu
@GiftMkwizu Ай бұрын
Mungu akubarikii kwa kusema kweliii
@ShadrakaAthumani
@ShadrakaAthumani Ай бұрын
Ukweli kanisa liko ktk Vita kubwa Sana yaani mtu anayejiita mtumishi wa Mungu anasema hawezi kuhubiri utakatifu Wala hawezi kuwaambia watu kuwa Yesu anarudi eti anahubiri apate pesa anamambo mengi yakufanya jamani nabado watu wanaenda tu
@sesilianjala3306
@sesilianjala3306 2 күн бұрын
Si manyumbu. Yamelishwa matangopoli, maufahamu Yao yamefungwa. Ndo awo Leo wanalalamika kiboko ya wachawi kaonewa. Roho kamili yakishetani imeshawavaa, MUNGU atusaidie kwakweli
@user-qi5kb2fi7k
@user-qi5kb2fi7k 19 күн бұрын
YESU atusaidie tuitambue kweli, Mungu akubariki baba
@user-ow9hn7xs3u
@user-ow9hn7xs3u Ай бұрын
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
@DorcasKassim
@DorcasKassim Күн бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@user-ko5it5hz6b
@user-ko5it5hz6b Ай бұрын
Mungu akulinde siku zote ktk maisha yako
@EmmyJerremiah
@EmmyJerremiah Ай бұрын
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
@user-ss8mn8wu5r
@user-ss8mn8wu5r Ай бұрын
Kweli watu wamefungwq jamani😂
@edisonemmanuel-
@edisonemmanuel- Ай бұрын
We acha tu
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 Ай бұрын
Kama mataira ndugu yangu😂😂😂,ety Amen...jamani Mungu atusaidie
@estherchilewa8511
@estherchilewa8511 Ай бұрын
Mungu atusaidie Sana na Hawa manabii
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 Ай бұрын
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
@FaustineTz
@FaustineTz 16 күн бұрын
Sema Mtumishi wa mungu
@OmbenKabela-ys2mq
@OmbenKabela-ys2mq 5 күн бұрын
Asante baba Cassian. Mungu azidi kukupa kibali
@ahazichunya4265
@ahazichunya4265 22 күн бұрын
Hakika umeitwa na Mungu Mtumishi Katika kuonya na kukemeaa Amina
@DamwenaKulinan
@DamwenaKulinan Ай бұрын
Mungu azidi kukupigania,
@IssackLubinza
@IssackLubinza 9 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mung pasiko
@user-zv1xc1tg2l
@user-zv1xc1tg2l 11 күн бұрын
Mungu atulinde kwa damu iliyo mwagika pale msalabani
@EsterbernardoVumo-kn2xv
@EsterbernardoVumo-kn2xv Ай бұрын
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
@MourenLawrenc
@MourenLawrenc 23 күн бұрын
Amina baba uko sahihi na imeandikwa kila amtegemeae binadamu na alaaniwe
@MahraKhan-gd7pb
@MahraKhan-gd7pb Ай бұрын
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
@user-wb1th3gn3k
@user-wb1th3gn3k Күн бұрын
Mungu aendelee kukufunika kwa utukufu wake
@MargaretMwenda-sw4iw
@MargaretMwenda-sw4iw Ай бұрын
Am happy Leo umesema Wazi ,Serikali kwani Iko wapi,Wafuasi wengi wa kikristo wa Watanzania kama wamerogwa jamani......Serikali ingilieni kati,Jamiii inaangamizwa
@justingeorge2451
@justingeorge2451 Ай бұрын
Yaan tena na aliye waroga kafa, kabisa yaan wakristo wengi hawayajui maandiko,Yesu Kristo aliwaambia makuhani,Mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala Uweza wa Mungu.
@user-yq9jv3ox2o
@user-yq9jv3ox2o 23 күн бұрын
Kwa kweli huyu anawapotosha tu wati na kuwachuma maana anaweka wazi kuwa sera zake ni pesa.
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Ай бұрын
Hakika Mungu amekutuma kutuokoa wanadamu tunangamia huku tunaona 🙏🙏
@GodfreyMakala
@GodfreyMakala 23 күн бұрын
Mungu akubarik sana kaka yangu
@PavlovBestfriend-fb3kh
@PavlovBestfriend-fb3kh Ай бұрын
Kweli kabisaa, barikiwa na Mungu Cassian 🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Ай бұрын
Cassiani Mungu akubariki Kwa kazi ngum unayoifanya
@AminaIssa-lx9hs
@AminaIssa-lx9hs 28 күн бұрын
Hatuwezi kushindana na Kweli, kweli ndio Nuru yenyewe. Mungu akutunze kaka.
@emmanuelshigela8485
@emmanuelshigela8485 12 күн бұрын
Amina Baba naomba uniombe nasumbulwa tmbo naitwa engel
@user-di8pg9kv9r
@user-di8pg9kv9r Күн бұрын
Eeeee mungu tukumbuke duuu nimeshangaaa sana jaman
@pastormichaelkayombopendec2497
@pastormichaelkayombopendec2497 Ай бұрын
Mungu akukumbke sna mtmshi
@bethmahela2182
@bethmahela2182 29 күн бұрын
Acha kuwasema watumishi wa mungu hivi pepo anaweza akamtoa pepo mwenzie
@Eleonora-ei6yx
@Eleonora-ei6yx 9 күн бұрын
Anahukuuuumu utafikiri hajui mstari usiwaguse masihi wangu
@mbezisalasala9536
@mbezisalasala9536 Ай бұрын
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 13 күн бұрын
Mungu akutunze na akubariki kusema ukweli
@evamajembe5302
@evamajembe5302 27 күн бұрын
Asante, san mtumishi hakika unatuweka ktk kweli, endelea kusema ili cku ya mwisho wacje wakasema hawakuckia kuhusu injili ya yesu kristo, iliyo ya kweli,
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI Ай бұрын
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@MarthaMagibo
@MarthaMagibo 5 күн бұрын
Mungu akutunze na kukulinda
@michaelsichinga
@michaelsichinga Ай бұрын
Amina pasita ashindwe kwa jina la yesu
@jubilethfestourio450
@jubilethfestourio450 26 күн бұрын
Mungu akulinde chochote kitakachoinuka juu yako hakitafanikiwa
@MuhandiJohn
@MuhandiJohn 23 күн бұрын
Pascal casiani wasio kwelewa hapa sizan Kama watakwelewa mungu akusimamie buro ❤❤❤❤❤❤
@dismasvinono2266
@dismasvinono2266 Ай бұрын
Kiboko ya wachawi ni shetani na alaniwe katika jina la mungu baba muumba mbingu nchi na ardhi
@chantalmariesony2996
@chantalmariesony2996 Ай бұрын
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
@user-zj9op4fb7w
@user-zj9op4fb7w 27 күн бұрын
Sina la kusema..Casiani...Mungu akulinde
@selinpareso137
@selinpareso137 Ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu
@ruthmwamburi756
@ruthmwamburi756 Ай бұрын
Alie ndani yetu ni mkuu kuliko aliye inje.Injili ya Yesu ivume.
@geegalax6479
@geegalax6479 Ай бұрын
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
@rahabmausli4183
@rahabmausli4183 13 күн бұрын
Kiboko Ja Wachawi Umepatikana Umekula pesa Zangu Million moja nanunu Na Mwanagu hajapona paka Sasa😭😭😭
JAMAN HUYU NDIE NABII MCHAWI KULIKO WOTE AFRCA AKIWA NA MKEWE EV PASCHAL NABII WAUONGO JAVA
35:49
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 37 МЛН
KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN
1:11:12
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 111 М.
ORODHA YA MANABII WAKUZIM HII  HAPA EV PASCHAL  CASSIAN
4:29
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 52 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 417 М.
UPENDO NKONE KAJIUNGA FREE MASONI? CASSIAN AWEKA WAZI KILA KITU EV PASCHAL CASSINA
1:09:55
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 17 М.
KIBOKO YA WACHAWI MTOTO WA MALAYA  MKUU ) MAMA WA MAKAHABA EV PASCHAL
1:13:28
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 6 М.
Кто из девушек быстрее печатает?
0:58
Самый странный заключённый😂 #фильм #кино
0:56
All creatures are from God #jesus #jesuschrist #jesuslovesyou
0:19
Jesus By Your Side
Рет қаралды 57 МЛН
M&M IN MY THROAT
0:35
dednahype
Рет қаралды 3,7 МЛН