Baba nakufata kabisa mimi Niko mukongomani lakini nilishangaa Sana n'a maneno a na ambiya watu. Kweli watuwameangamiya kwa kukosa maarifa watu wamefungwa ma cho kweli. Watu wame kosa mafundisho
@ruthhamisi2902Ай бұрын
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
@evalinekitomary430715 күн бұрын
Kanisa linahitajika kuomba kwa bidii sana maana shetani ameingiza dunia kanisani😢
@user-ln9tk3qr2r11 күн бұрын
O@evalinekitomary4307
@user-jl1db6lc1wАй бұрын
Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
@LylianeBaumaLylyАй бұрын
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
@user-yw5wk1dv1c27 күн бұрын
Pastor cassian mungu alikuponya kwa sababu alikuwa na mpango mwema kwa kanisa la saivi yesu akufunike kwa mbawa zake ili tupate kuijua kweli ya mungu
@SekelaJakson-ls7dd8 күн бұрын
Kumbe alipona
@PhilipobonifacSadoАй бұрын
Mungu atakulinda mungu ajawahi kushindwa
@beatricemwashiti7763Ай бұрын
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
@happinesserasto4806Ай бұрын
Sjawai kuona nabii hasie na hekima na hofu ya Mungu kama ww unaejiita kiboko ya wachawi, Yesu akusaidie uokoke kwa jina la yesu kristo
@gosbertmuta5421Ай бұрын
Huyu ni nabii wq wachawi
@HamoudMahamudАй бұрын
Unaonekana wewe ni mshamba wa wa wachungaji uliza wazee wako nini maana ya dini,,,,halafu utapata dini za kileo ni nini?
@NdelimbijohnSwai-k5s24 күн бұрын
Injili ya kweli ni kuwafundisha watu kuacha dhambi na kumrudia Mungu na kumkiri Yesu Kristo kama Bwana na mwokozi wa maisha yao na kuishi utakatifi ni lazima
@aneth210422 күн бұрын
Wee Cassian Fanya kazi acha majungu waache kiboko kateuliwa na Mungu Fanya Yako acha ya watu
@ElizabethJeremiah-gq5pr21 күн бұрын
@@aneth2104mungu????? whoooo???
@user-ow9hn7xs3uАй бұрын
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
@justingeorge2451Ай бұрын
Kweli babisa Mungu atusaidie sana jamani Tanzania yetu tuokolewe na hii laana,Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, tatizo hawajui Neno la Mungu.
@UshindiemmanuelushindiАй бұрын
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
@fedhajoseph7687Ай бұрын
Kweli kabisa
@felisterpaul181519 күн бұрын
kweel kbsa mwinjilist
@felisterpaul181519 күн бұрын
ila tuwaombee pia, ni mbinu za shetan kupotosha watu wa mungu
@paulpastory1193Ай бұрын
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
Tuko tunamfuatilia kwa utaratibu mchungaji anatubarki na neno la mungu,mungu ambariki sana mchungaji
@ChristinaMunis9 күн бұрын
Mungu atusaidie
@elizabethndabhantinyaАй бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@georgekifyasi1205Ай бұрын
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
@drheriethkamote8113Күн бұрын
Man of God,I have never understood you before,but now I know it is the mercy voice of Yehova using you.Mercy mercy to the us who hears this.
@leticiamakoye4871Ай бұрын
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
@Kabendera-s1w4 сағат бұрын
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu Ev. Paschal Cassian upewe Nguvu ya kutosha upate kupepeta hawo watumishi wa Shetani
@user-gs9rx1ep8mАй бұрын
Hakika umesema kweli, mungu akupe maisha malefu malefu sana mtumishi wa bwana yesu
@JanetAdislousАй бұрын
Bwana haandikwi kwa herufi ndogo jmn huyu anakuwa ni bwana wa Dunia Bwana hata bibilia inamtamka kwa herufi kubwa
@MariumChristopher28 күн бұрын
Munguu akushikee mkono masii wa bwanah
@DanielNasibuАй бұрын
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
@RehemaElias-el3jg13 күн бұрын
Ndy mtumishi yaan mwenyew macho ya rohoni unaona kabisa kuwa Hugo kiboko wa wachawi nipepo kamili kutoka kuzim yesu na akukemee wew kiboko wa wachawi
@Evangelist_DannyVuningaАй бұрын
Binafsi namshukuru Mungu aliye kuita ndugu Paschal. Huduma yako inatubariki sana.
@jovettedenise2591Ай бұрын
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
@nachibhona402222 күн бұрын
Mungu akutetee kwa kazi nzuri iliyojaa hekima na hofu ya Mungu juu ya kazi hii
@isaacmihigo640023 күн бұрын
Ubarikiwe baba, Mungu asaidie watu wale waliopotelea kwa kiboko ya wachawi
@hellenngwilla550Ай бұрын
Mungu akubariki sana sana 🙏🙏
@user-ld6nn7py5fАй бұрын
Amina mutumishi
@ruthhamisi2902Ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
@mkutitvАй бұрын
SIO WANA ANGAMIA BALI BIBLIA INASEMA WANAANGAMIZWA.... isome vizuri hilo andiko
@mkutitvАй бұрын
Hosea 4:6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
@ruthhamisi290213 күн бұрын
@@mkutitv thanks
@user-ck5hx8pr5vАй бұрын
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
@mapendodorcas263428 күн бұрын
manabii wengi wahuongo wanazidi kujitokeza, na injili ya kweli inaanza kupotea, hatuambiwi kuacha dhambi na kutubu, bali pokea nyumba,magari, ma contains... Mtumishi, hendelea kukemea dhambi na Mungu wetu aku protect kwa njia zote Amen 🙏🙏🙏
@ErnestSaileni24 күн бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa mungu na akuzidishie maisha malefu uzidi ufundisha kanisa lifike mbinguni amen.....
@morrissanyano3654Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@user-dp1bt9hj5n12 күн бұрын
Mungu wa Abraham akulinde Ev. Paschal Cassian na atulinde pia wote sis wana wa Mungu azidi kutupa Hekima na Ufunuo,huu ndio wakati wa Mwisho
@user-ow9hn7xs3uАй бұрын
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
@user-qy7wv3xv4oАй бұрын
Katika jina la yesu kiristo, damu yake ikufunike, juu chini kulia, nakushoto mungu akulinde mana umesema kweli, hata mm nimesikitika mno.
@user-xd8is8ct7j8 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi songa mbele katika kuokoa nafsi za watu zilizotekwa
Pascco Mungu alikuponya na ile Ajali (mauti kwa makusudi kamili mtumikie Mungu wa kweli Baba
@ahazichunya426522 күн бұрын
Hakika ameitwa na Mungu kuponya watu wa Mungu pengine alitumiwa na maajenti
@kabwefrancine9917 күн бұрын
mungu gani wewe una muzungumizia?' eti ame tumwa na mungu ku ponya watu,pole sana
@BeatriceMlowe-iz5uj18 күн бұрын
Ubarikiwee sanaaa casian Mungu akutunze na akupe mwisho mwema ❤❤🎉🎉🎉
@AmaniMushi-c2uАй бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
@YOHANARIREMMAАй бұрын
Mungu akufikishe mbinguni kwasabbu umezijua sili ukiwa ndogo mafanikio yaako uliapata huko badae ukaokoka hongera sana
@RehemaElias-el3jg13 күн бұрын
Amin babaaa sema ukweli maan mungu anawatafuta kama nyie kwa kuuliiinua jina LA yesu
@Life10061Ай бұрын
Amina baba sema ,yani kwa hapa dar es salaam matapeli wengi sana siku hizi
@RehemaElias-el3jg13 күн бұрын
Naumia sana kuona watu wanavyoenda kuzim ,jmn okoken yesu anaumia kuona watu wake wanapote yeeeesu tusameeee ,samee tanzania ,sameee afrikaaaa turehem yesu na hawa manabii wa uongo eeeeyesu usitupiteee
@RehemaElias-el3jg13 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi pia akufunike kwa dam ya yesu
@JacklineMotiАй бұрын
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
@mariamswedi1140Ай бұрын
😭😭
@RehemaElias-el3jg13 күн бұрын
Jmn tumwombe mungu akupe macho ya ndan ili kuwajua hawa maajenti wa kuzim achen kupeleka watu kuzm kuzim ni kwaajili ya shetan
@sarahkeivaly3351Ай бұрын
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
@priscajeremiah751026 күн бұрын
Barikiwa sana mtumisji wa Mungu
@user-xt4xi5il6w9 күн бұрын
Mungu azidi kukupigania mtumishi wa Mungu.
@RamadhaniJofrey-x1h16 күн бұрын
Watu wangu wanangamia kwa kikosa maarifa,kweli na bado wanasema aminaa.viongozi vipofu wananongoza vipofu
@GiftMkwizuАй бұрын
Mungu akubarikii kwa kusema kweliii
@ShadrakaAthumaniАй бұрын
Ukweli kanisa liko ktk Vita kubwa Sana yaani mtu anayejiita mtumishi wa Mungu anasema hawezi kuhubiri utakatifu Wala hawezi kuwaambia watu kuwa Yesu anarudi eti anahubiri apate pesa anamambo mengi yakufanya jamani nabado watu wanaenda tu
@sesilianjala33062 күн бұрын
Si manyumbu. Yamelishwa matangopoli, maufahamu Yao yamefungwa. Ndo awo Leo wanalalamika kiboko ya wachawi kaonewa. Roho kamili yakishetani imeshawavaa, MUNGU atusaidie kwakweli
@user-qi5kb2fi7k19 күн бұрын
YESU atusaidie tuitambue kweli, Mungu akubariki baba
@user-ow9hn7xs3uАй бұрын
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
@DorcasKassimКүн бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@user-ko5it5hz6bАй бұрын
Mungu akulinde siku zote ktk maisha yako
@EmmyJerremiahАй бұрын
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
@user-ss8mn8wu5rАй бұрын
Kweli watu wamefungwq jamani😂
@edisonemmanuel-Ай бұрын
We acha tu
@jacklinakinabo6479Ай бұрын
Kama mataira ndugu yangu😂😂😂,ety Amen...jamani Mungu atusaidie
@estherchilewa8511Ай бұрын
Mungu atusaidie Sana na Hawa manabii
@isayamwashibanda5819Ай бұрын
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
@FaustineTz16 күн бұрын
Sema Mtumishi wa mungu
@OmbenKabela-ys2mq5 күн бұрын
Asante baba Cassian. Mungu azidi kukupa kibali
@ahazichunya426522 күн бұрын
Hakika umeitwa na Mungu Mtumishi Katika kuonya na kukemeaa Amina
@DamwenaKulinanАй бұрын
Mungu azidi kukupigania,
@IssackLubinza9 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mung pasiko
@user-zv1xc1tg2l11 күн бұрын
Mungu atulinde kwa damu iliyo mwagika pale msalabani
@EsterbernardoVumo-kn2xvАй бұрын
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
@MourenLawrenc23 күн бұрын
Amina baba uko sahihi na imeandikwa kila amtegemeae binadamu na alaaniwe
@MahraKhan-gd7pbАй бұрын
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
@user-wb1th3gn3kКүн бұрын
Mungu aendelee kukufunika kwa utukufu wake
@MargaretMwenda-sw4iwАй бұрын
Am happy Leo umesema Wazi ,Serikali kwani Iko wapi,Wafuasi wengi wa kikristo wa Watanzania kama wamerogwa jamani......Serikali ingilieni kati,Jamiii inaangamizwa
@justingeorge2451Ай бұрын
Yaan tena na aliye waroga kafa, kabisa yaan wakristo wengi hawayajui maandiko,Yesu Kristo aliwaambia makuhani,Mwapotea kwa kuwa hamuyajui maandiko wala Uweza wa Mungu.
@user-yq9jv3ox2o23 күн бұрын
Kwa kweli huyu anawapotosha tu wati na kuwachuma maana anaweka wazi kuwa sera zake ni pesa.
@hellenngwilla550Ай бұрын
Hakika Mungu amekutuma kutuokoa wanadamu tunangamia huku tunaona 🙏🙏
@GodfreyMakala23 күн бұрын
Mungu akubarik sana kaka yangu
@PavlovBestfriend-fb3khАй бұрын
Kweli kabisaa, barikiwa na Mungu Cassian 🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@EzekiaMichael-jn5npАй бұрын
Cassiani Mungu akubariki Kwa kazi ngum unayoifanya
@AminaIssa-lx9hs28 күн бұрын
Hatuwezi kushindana na Kweli, kweli ndio Nuru yenyewe. Mungu akutunze kaka.
@emmanuelshigela848512 күн бұрын
Amina Baba naomba uniombe nasumbulwa tmbo naitwa engel
@user-di8pg9kv9rКүн бұрын
Eeeee mungu tukumbuke duuu nimeshangaaa sana jaman
@pastormichaelkayombopendec2497Ай бұрын
Mungu akukumbke sna mtmshi
@bethmahela218229 күн бұрын
Acha kuwasema watumishi wa mungu hivi pepo anaweza akamtoa pepo mwenzie
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
@RehemaElias-el3jg13 күн бұрын
Mungu akutunze na akubariki kusema ukweli
@evamajembe530227 күн бұрын
Asante, san mtumishi hakika unatuweka ktk kweli, endelea kusema ili cku ya mwisho wacje wakasema hawakuckia kuhusu injili ya yesu kristo, iliyo ya kweli,
@NTEMI-OBURUDANIАй бұрын
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@MarthaMagibo5 күн бұрын
Mungu akutunze na kukulinda
@michaelsichingaАй бұрын
Amina pasita ashindwe kwa jina la yesu
@jubilethfestourio45026 күн бұрын
Mungu akulinde chochote kitakachoinuka juu yako hakitafanikiwa
@MuhandiJohn23 күн бұрын
Pascal casiani wasio kwelewa hapa sizan Kama watakwelewa mungu akusimamie buro ❤❤❤❤❤❤
@dismasvinono2266Ай бұрын
Kiboko ya wachawi ni shetani na alaniwe katika jina la mungu baba muumba mbingu nchi na ardhi
@chantalmariesony2996Ай бұрын
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
@user-zj9op4fb7w27 күн бұрын
Sina la kusema..Casiani...Mungu akulinde
@selinpareso137Ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu
@ruthmwamburi756Ай бұрын
Alie ndani yetu ni mkuu kuliko aliye inje.Injili ya Yesu ivume.
@geegalax6479Ай бұрын
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
@rahabmausli418313 күн бұрын
Kiboko Ja Wachawi Umepatikana Umekula pesa Zangu Million moja nanunu Na Mwanagu hajapona paka Sasa😭😭😭