Bora hata kmtelekeza kwa mtu kuliko hata angemuu mplekeni kituo cha watoto yatima samahni nimawazo tuu
@omanoman204429 күн бұрын
Ningekuw Tz huyu mtt ningekuja mchukuw wallah duuh ataachaje mtt bila nguo jaman watuy wamekosa utuy duuh
@shabaniiddy5465Ай бұрын
Gea uyo mtoto nipeni mimi jaman😢😢😢😢
@raniahAbdul10 күн бұрын
Malalamiko ya mtoto mtundu yanashangaza .angekuwa wao wangesema mtoto mtundu .? Hamuwezi jua labda kapata ajali kafa njiani na hakuna ndugu anaejua mtoto alipo !
@NuruZebedayombise-ie5zb8 күн бұрын
Nimempenda huyo mtoto mashalll
@zaitunabdala81704 күн бұрын
Apo ukichunguza tatizo wanaume awatoi matunzo kwawatoto wao
@FatmaNoor-ig8iyАй бұрын
Mashaallah mtt mzury jmn😢 anamuhitj mama ake jmn😭mungu amlinde n amkuze 🙏
@RamlaKimaro-f2y8 күн бұрын
Jamani me ningekua na uwezo ningekachukua haka kachubaba kazurii kashununu
@taliyagogo1481Ай бұрын
Masha Allah..
@aishandayishimiye512711 күн бұрын
Labda mama yake kapata janga kubwa. Pole sana mamma lea tu
@SalhaRamadanАй бұрын
Masha Allah mtoto mzuri mungu amlinde mama mtoto awe salama na mola ampe afya njema huyo mtoto😢😢😢
@Sidrasidra636Ай бұрын
Masha Allah mtoto mzuri! Masikini na vile anahitaji mtoto 💔😭
@SalamaJuma-cw3thАй бұрын
Alio achiwa mtto ana Kuna nazi huku n muraaa wa tarime uyu icho kibongo ssa mtto mzuri sn msaidieni wenye uwezoo .
@MariamKileo-mu8rvАй бұрын
Ila mama ake inawezekana amepata tatizo amemlea amefikia hapo aje amuache Cyo kweli huenda kuna kilichomkuta jamani
@AnithMunuo24 күн бұрын
Kabisa ukute hata kapata ajali
@MeyGreen-ic5cqАй бұрын
Ningekuwa karibu ningemtunza hadi mama toto apatikane
@Jacklinejohn727 күн бұрын
Kwani niwapi hapo 😢
@user-cl1po8pj5cАй бұрын
Mtt mzuri maashaallah
@SalmaBinyagaАй бұрын
Mtoto mzuri maashaallah
@VeronicaRugoyiАй бұрын
Jamani mtoto mzuri
@saay4273Ай бұрын
Jamani mtihani sana huwenda mam ake kapata tatizo 😢😢
@shakilamasoud2983Ай бұрын
Jamaniii💔💔😭.
@cathpeter3565Ай бұрын
Ghati anakuna naz koroma,, ananchekesha mm, alienda phoric
@eggysulle7988Ай бұрын
😂😂😂😂mm pia nacheka mno 😄
@annajohn3377Ай бұрын
M jmn inawezekana amepatwa natatizo mtoto mzur kenyew kamemzoe huyo mm
@angonzamujunangoma8775Ай бұрын
Mtoto mzuri jamani,Natamani angekewa karibu nimchukue
@RamlaKimaro-f2y8 күн бұрын
Huyu mtt ni mdogo amewahi tu kutembea akizidi sana ni mwaka mmoja na miezi mi4
@latifalayla9990Ай бұрын
Geah ungeweka no yako angalau km mwenye chochote amsaidie huyo Mama aliyeachiwa mtt kw kipindi hiki.
@GeahHabibuАй бұрын
Nicheki whatsap 0658 338878 nikupe namba ya mtu aliyekuwa karibu na mtoto uweze kutuma sadaka yako huko moja kwa moja
@latifalayla9990Ай бұрын
@@GeahHabibu mbona hiyo no kw WhatsApp sipati?
@dorcaskidoti249Ай бұрын
@@latifalayla9990+255
@user-rn5ov9lr4vАй бұрын
Jmn mtt mzur jmn😭😭😭😭
@user-mz6lq3gr9lАй бұрын
Mtoto kashamzoea huyo mma maskini
@btylove1870Ай бұрын
I swear natamani angeniachia mimi awe wangu forever!
@FredMaulid23 күн бұрын
Ila Bora huyo aliyemterekeza kuliko wanaotoa mimba na wengine hutupa na wengine kwa hasira huwaua Bora na huyo maana atalelewa na walimwengu atakuwa na atasoma vzr then siku Moja akisikia ana kazi anaenda kwenye media eti natafuta mwanangu tumepotezana naye miaka kadhaa ila wazazi Kuna wakati wanakosea japo ni mungu wetu duniani hufungua milango ya baraka
@btylove187023 күн бұрын
@@FredMaulid Inasikitisha kuona wazazi hawana upendo na watoto wao! My dear mzazi wako sio Mungu wako wa dunia. Mza ni mzazi na Mungu ni Mungu. Hii tabia yakuwambia wazazi wenu ni Mungu wadunia ndio imesababisha wazazi wengi kuwatesa na kuwapelekesha watoto zao kisa wameambiwa ni waungu wa dunia! Mungu ni mmoja tu🙏 🤍
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Nyie msilaumu sana anaweza kuwa ameshikwa na wale wanaojiuza mkachunguze vituoni 😢
@eggysulle7988Ай бұрын
😂😂
@user-ft2vq5on6lАй бұрын
Nipeni mimi namtaka
@azizayassin3623Ай бұрын
Nipemi mimi hyu mtoto niko na shida ya mtoto😢❤❤❤
@SalmaBinyagaАй бұрын
Masikin usiache kumuomba Allah atakujaalia utapata