Mwenyezi Mungu angewaumba watu akawatiya wa motoni direct motoni na wapeponi direct peponi basi watu wa motoni angelalamika, ndio maana tuko hapa duniani ili atujaribu. Siku ikifika yakiyama basi hakuna wa kumlaumu. Mwenyezi Mungu taupe mwisho mwema Amin
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
kufanya daawah ni muhimu kweli,imagine huyo kijana anasema Mungu ni mzee na ako na miaka...subhanaAllah maneno mazito haya huyo kijana lakini maskini hajui anahitaji kufundishwa
@zuenajohn83252 жыл бұрын
Jamani huyo mama anashida, mimi ni mkristo lakini naamini Mungu yupo.
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Mhhh mapya haya mteule wa Yesu.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Ndio anasema makubwa haya 😂
@abdulkhamis14012 жыл бұрын
Uyo dada kachanganyikiwa kweli sasa yeye kajiumba mwenyewe au familiya yake imejiumba yenyewe au nabii issa
Mola akuzidishi umri na afya na Imani Mashehe wetu
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Aameen ameen ameen sote
@jamalathman62192 жыл бұрын
Huyo mama kapotea kabisa kuliko wakiristo wenyewe innalillahi waina ilehi rajiun,Allah amuongoze yote ni sababu ya ujinga na imani aliopata kwa wazazi wake
@andallaathman38562 жыл бұрын
Mm nampenda sheikh Salim anaposhika mic najua vitu vitaekwa Sawa hakuna kubembembeleza mungu akuzidishie na wenzio nyote iwe nikuwapa ukweli tuu mungu awahifadhi inshaa llah
@faisalwaafrica74782 жыл бұрын
Alafu ana quote mistar ya biblia,shida yake haelewi iyo biblia Allah amuongoze in sha allah🙏🙏
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Aameen ameen ameen Allah awaongoze
@hilariogomesalmasse2 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe sanaaaaa🙌🙏🙏
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Asifiwe na nani???
@stephenstevo57992 жыл бұрын
Amina
@andallaathman38562 жыл бұрын
Masheikh musiwape nafasi za kuhubiri ujinga hapo hata hawajielewi Wamezoea kuropokwa tuu wala Hana swali
@farhiyajamaa77172 жыл бұрын
Allahu Akbar
@jumanjenga76822 жыл бұрын
Masha Allah
@missrukia96612 жыл бұрын
Mashallhaaa
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Uyu mama anahitaji elimu ya ziada Allah amuongoze atoke kwenye imani potofu Inshallah.
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Kabisa because haeleweki
@alunasozi56762 жыл бұрын
Wew ndye huelewi akili Yako imefunga na mashetani yenu akina maimuna na wenzake huko hyo mijini yenu
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
@@alunasozi5676 maneno yenu ni hayo kila siku vipi hamna mapya ? Embu nipishe huko.
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
@@alunasozi5676 mashetani mnalewa nayo kanisani na kucheza nayo ndombolo alafu mje mtusingizie sisi watu wa imani safi na thabiti. Sisi tuna udhu muda wote Shetani hatukaribii.
@jacquelineyator88102 жыл бұрын
Yesu ni mungu
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Ushahidi uko wapi???
@Abu-Hamza254 Жыл бұрын
LAKUM DIINIKUM WALII DIIN
@mahdiyusuf34312 жыл бұрын
Mama Alisoma but she’s very confused May Allah guide her
@fatumamwalimu57652 жыл бұрын
Mjitahidi wanaotaka kuhubiri msiwape nafasi,hizo maiki ni za maswali na sio maubiri yasiyo eleweka tafadhalini mashekh wetu
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Isha Allah hayo lazima tuzingatie shukuran
@alunasozi56762 жыл бұрын
Oooh
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Mungu nimzee astaghafilullah
@salimdaawah1232 жыл бұрын
Ndio Imani ya wakristo wengi hawajui na hawajui kama hawajui
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
@@salimdaawah123 ndio Allah awaongoze yarrab
@Pixe_lify2 жыл бұрын
alafu utakuta ati huyu ni pastor katika kanisa fulani..mtihani jamani