Jamn wanaotamn arudi Kazin Rc Agrey plz like hapa😂😂😂
@adamapollo98592 ай бұрын
Mimi😂😂
@hassanhancha1413Ай бұрын
Ndio unaposhangaa hii nchi yetu,mtu kama mwanri eti yupo nje ya mfumo
@personpeter2221Ай бұрын
Alistafu mdatu@@hassanhancha1413
@user-vy2fc5nc5u27 күн бұрын
Baada ya magufuri kufa huyu jamaa alikataa mambo ya siasa sasa hivi ni mtu wa kanisan
@israelsiame44033 жыл бұрын
Nani ameangalia hii baada ya Dr Magufuli kutangulia mbele za haki, like tujuane.
@kingmagoha2813 жыл бұрын
Mimi hapa
@salumsalum37923 жыл бұрын
Mimi nipo hapa Leo tarehe 5 may
@emmanuelmashishanga50573 жыл бұрын
Yani nakumbuka mbali sana
@deograthiaslupindu2553 жыл бұрын
Naungana nawe leo tarehe 12 May, namiss mzee wa Toronto kama navyomiss sana JPM!!!
@victoriaamsi67393 жыл бұрын
Mm hapa leo tarehe 13 may tena kwa kilio km amefariki Leo
@EdghaMoses-js8lj4 ай бұрын
Huyu mzeee ni mashine ya kazi.. kama umeangalia hapa 2024. Baada ya kum miss magufuli wetu.. 🤝
@drgeofreymdede39524 жыл бұрын
Huwezi choka kumsikiliza Rc Agrey Mwanri. Nimesha sikiliza hii clip zaidi ya mara 5. Na sitachoka kurudia kusikiliza. Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa
@danieldaniel-lb2on4 жыл бұрын
Nisije nikakukosea adabu mkuu! Hebu nipeni like jamani maana nimecheka sana!
@majosamalundi36874 жыл бұрын
Huyu mzee nampenda kwa sababu hana shida nawanasiasa anachapa kazi mungu amubaliki
@abelfidel45684 жыл бұрын
jamaa ni kichwa sana japo unaweza dhania kuwa ni comedian but lina akili nyingi sana na liko very brilliant kwenye kaz
@barakaoriginal40443 жыл бұрын
Naitazama paka keleo 28/3/2021 Niachie like yako
@daudimlamka12392 жыл бұрын
Mimi hadi Leo hii
@hassanhancha1413Ай бұрын
Mimi naiangalia leo pia
@WivianRich4 жыл бұрын
Mimi namkubali sana Mzee wa Toronto, mchapakazi mwanzo mwisho alafu yupo makini, kumuongopea ni ngumu mno
@lotimwansule50174 жыл бұрын
Rais John magufulini ebu mlete huyo mkuu wa mkoa Rukwa ,mkoa huu umezubaa sana ,auchangamshe huyo mzee wa Toronto Ni kiboko
@williamkwigema41694 жыл бұрын
Toronto ya Tanzania. Big up Mh Rais kwakumteua huyu mzee. Tuletee huyu mzee hapa Manyara.
@moranilesoile91254 жыл бұрын
Hahaha unataka aje mamyara ndugu
@hassanijuma34624 жыл бұрын
Aiseee akuje kweli
@williamkwigema41694 жыл бұрын
kabisa. huyu mzee ni mchapakazi
@ebeneza_woman_of_visionjos87844 жыл бұрын
Toronto I have to be there.
@devismollel84034 жыл бұрын
Kweli amletee manyara
@emilydavidmdoe35524 жыл бұрын
Duuu mkuu wangu huyu huwa ananibariki sana. yaani hata kama amekasirika utacheka tu. Barikiwa mzee wa Toronto.
I am from kenya but yes he is doing great Tabora is growing
@arsenmakoye46504 жыл бұрын
mzee wa vituko Mungu ampe maisha marefu
@annamsemwa19464 жыл бұрын
Nataman tu skku moja nikutane na Mh. Magufuli walau nimshike mkono wa kumpongeza. Mungu akulinde Rais wangu na vibaraka wrote na wasokupenda wote no wachawi
@rachelkaayaofficial91144 жыл бұрын
Mh mkuu Mungu azidi kukuinuwa katika viwango vikubwa zaidi
@johntogoro61912 жыл бұрын
Tulifurahi sana enzi zenu jamani, ila ndo mapenzi ya Mungu
@suzansuzanei1143 Жыл бұрын
Amefariki kwani huyu mkuu wa mkoa
@quanthug9517 Жыл бұрын
@@suzansuzanei1143 hapana yupo Ila kwa Sasa sio mkuu wa mkoa ,alitaka kugombea ubunge akashindwa kwa kura Moja.Kwahiyo Kwa Sasa ni barozii wa zao la pamba na Mwinjilist Kanisa Fran hivi la tabora
@mwinyikadhi28708 ай бұрын
Yupo hai
@mwinyikadhi28708 ай бұрын
Yupo hai
@OS-pf6op4 ай бұрын
Yaani saa hizi tungekuwa kama Ulaya😢
@silamwamlima27584 жыл бұрын
Mwanri anaongea balaaaaaaaa duuuuu full comedy
@adbashtv67013 жыл бұрын
Comedy lakini kwa vitendo ni balaaa
@kimutattoo40674 жыл бұрын
SuKuma ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...... I Love ToroNto💝💝🇹🇿💝💝
@eduardomiheso88882 жыл бұрын
Good intelligence of a such leader💪
@williamramatinga36074 жыл бұрын
Hongera sana mh. Mwanri kwa hotuba fupi na nzuri.
@mereyamhomesmariamhomes34643 жыл бұрын
Sijui kwa nn walimpa uaraisi Samia SULUHU sibora wangempa Huyu mzee wa Toronto yupo vizur Mashallah
@salmaalimusa68092 жыл бұрын
Yaani sikipendi hicho kimama
@joealone63772 жыл бұрын
Nchi yetu ingeendelea sanaaaa
@daudinassibu7432 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 haaahahahahaha
@salmaalimusa68092 жыл бұрын
@@daudinassibu743 tucheke tufurahi ndg
@daudinassibu7432 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 ndo lais na sio rais haaaaha
@jacklinamani75194 жыл бұрын
Wangp Wana Amin manwali ndo kiboko ya maguful
@atikombogolo23564 жыл бұрын
Huyu anae hadi anavotoka madarakani aisee
@jacklinamani75194 жыл бұрын
@@atikombogolo2356 umeonaee
@dhahajongo90494 жыл бұрын
Jacklin amani me hpa
@jacklinamani75194 жыл бұрын
@@dhahajongo9049 kweli
@yohanangwandu23293 жыл бұрын
Hiii
@georgemallya43114 жыл бұрын
Briliant and exellent speech.
@paulnyobisontours34234 жыл бұрын
Big up sana mwanri👏👏👏
@dioskorimtalo23484 жыл бұрын
Kiukweli katika speech zilizobamba na zitabamba miaka nenda rudi ni hii.. Mwanri ana uwezo mkubwa mno Tena sana wa ku capture mindset & attention za watu. Magu mwenyewe hapo anasaluti 😆
@danielbugwema69694 жыл бұрын
Agrey Mwaniri kagombeee tunatamani kukuona Bungeni kwa Mara nyingine bado unafaa kuisaidia nchi Nadhani kusitafishwa kwako kuna maana plz do it Dad I love so much natamani kuwa kama wewe
@rehmadamian80204 жыл бұрын
Dah kama unastres zinaisha zote hongera baba unakipaji cha kufurahisha na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂😂
@mariamalongo88032 жыл бұрын
Magufili he was my hero RIP
@babuuwakitaa12854 жыл бұрын
Safiiii Mzee Wang nakukubaliiii kinyamaaaa
@emmanuelbembe62024 жыл бұрын
Katika wakuu wa mikoa ambao huwa na furahishwa na kazi zake ni huyu wa tabora kiukweli anapiga kazi vizuri sana
@adrianmallyakibona.3524 жыл бұрын
Aggry Mwandry, ni mfano wa viongozi shupavu wanajua Kucheza na opportunities. Kiukweli raisi amefanya kazi kubwa na mkuu wa mkoa huyu ni mfano wa kuigwa Kwa kweli... Hongereni Sana viongozi wa nchi
@elijahgichumbi9971 Жыл бұрын
East Africa will never have a President like this. Whoever instigated Rais. John Pombe Magufuli's death, his or he's 10 generations will only see trouble. Rest well my hero
@MrHersun10 ай бұрын
Covid killed him for his obtuseness
@dionizcyprian70453 жыл бұрын
The best speech I never heard
@ayubually85372 жыл бұрын
09¹
@jaxboytv78344 жыл бұрын
TORONTO'S PEOPLE MPO...🔥🔥😂😂
@lucytitus92454 жыл бұрын
JaxBoy TV safi sana mkuu
@MosonVevo4 жыл бұрын
😂😂 tupo brother
@elvisnzovu82822 жыл бұрын
Absolutely true,! He did a great job in Tabora .
@ambelejames18622 жыл бұрын
RC huyu nilikuw namuelewaga sana hata cjui wamempeleka wap
@lazaromasimami90943 жыл бұрын
Wangap wanangalia had sasa video hii tujuane
@geofreymhina34723 жыл бұрын
8/7/2021
@peacemakune9113 жыл бұрын
28/7/2021
@teamruto78064 жыл бұрын
This guy is just so smart. 🇰🇪
@tuonhfhgf16054 жыл бұрын
Yaan Mzee Unaongea Kama Unatafuna Halua Tamu Isiyokwisha utamu
@otmarykiowi41324 жыл бұрын
Atafanyaje sasa wakati MC kamwambianana dakika 3
@irenerodrick30064 жыл бұрын
@@otmarykiowi4132 hahahahhaaaaaa
@robbsonmosha75574 жыл бұрын
Daaah kwa kweli @Otmary
@gibsonjosephat63523 жыл бұрын
Rais Mama Samia mpe huyu jamaa Mkoa mmoja tufurahi.
@masoudrashid61804 жыл бұрын
Nakuheshimu sana mzee upo vizur sana
@samsonsamson11524 жыл бұрын
upele umempata mkunaji....nahamia torontooo
@elizabethsalaho23444 жыл бұрын
😂😂
@benjaminhosea66674 жыл бұрын
Naomba rais amrete morogoro uyu mkuu wa mkoa
@amondidas.34954 жыл бұрын
samson samson nicee
@immanuelmapunda56504 жыл бұрын
Moro she afanye
@kamaratsalimsafari88384 жыл бұрын
😂Nampenda sana huyu Mzee wa Toronto huwaga ananifuraisha mpaka natokwa na machozi ya furaha, Good job Mzee Mwanri
@kamaratsalimsafari88384 жыл бұрын
Mzee wa Sukuma ndani🤣🤣
@abdulrahmanmuhamad69274 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mzee
@johnmanda32104 жыл бұрын
huyu jamaa atahusika kwenye kampeini kumsaidia mkuu... yuko vizur xn wana tbr tusiame
@errydeo88654 жыл бұрын
nahamia Toronto...lol
@mussabuhe18324 жыл бұрын
Jamani morogoro lini mamikoa yote naona kama mamizigotu sijuikunaninitu jamani
@alexngao46054 жыл бұрын
Nkbl
@mussamkalawa21014 жыл бұрын
Hahahaha umetisha mzee wa Toronto huwa nakukubali sana.
@pauljpaul66253 жыл бұрын
Mzee wangu Mungu akuweke sanaaa
@errydeo88654 жыл бұрын
JMP flesh air of Tanzanian politics....mpaka raha...
@happynessmbojoka85054 жыл бұрын
safiiiiii
@gibsonndegwa63254 жыл бұрын
Tanzania you have a real visionary leader.The real sukuma ndani
@martinswai80313 жыл бұрын
😂😂😂😂 mwanri sijui anakuaga amepata mvinyo kidogo manake anafurahisha. R.I.P mkuu Magufuli
@cruzzymsomalitm76764 жыл бұрын
*dah uyu jamaa ni noma anaongea faster kama kameza wasafi studio*🔥🔥🔥🔥🔥
@vitalsymon4544 жыл бұрын
Cruzzy MsomaliTM SIHA tunakusubiria mbuge wetu
@amosmwita41114 жыл бұрын
Namupendaaaa Sana ningependaaa au mkuu wangu wa mkowaa wangu yuko vizurii Sana duuhuu h
@rafikiwildlife42634 жыл бұрын
Hongera sana Mhe RC tabora uko vizuri wewe ni shujaaa hata prezident anakujua kuwa wewe ni shujaa tunaiombea kila raheli Toroto
@florianmasawe95204 жыл бұрын
Heheheeee!! Kama umemwelewa mkuu wa mkoa wa taboraa kama mimi gonga like🤣🤣🤣
@mahmoudaziz47174 жыл бұрын
Mzeeee was sukuma ndani😄😄😄😄😄😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💥💥💥kura yangu nakupa bure kabisa. Unapiga kazi sana.
@issazakaria97044 жыл бұрын
Huyu jamaa ni shida anaongea fluently kama mchina
@tereseamasawe81114 жыл бұрын
MZEE WA SUKUMA NDANI OYEEEEEEE
@raymondulimbagha75804 жыл бұрын
Unazingua sasa
@EvelyneChacha93 жыл бұрын
Vizuri😍😍nimependa sana Magufuli simama😭
@skkiplagat44982 жыл бұрын
Chacha mambo
@onesmoakwilini62544 жыл бұрын
Upo vzr ktk kuwasilisha mzee
@robertj.44842 жыл бұрын
This guy is an eloquent and gifted orator!
@isayasway86334 жыл бұрын
Dahaaaa nampenda sana Mzee wa torontooo
@awenanassor31694 жыл бұрын
Hiyo speed ya kuongea utafkiri umesetiwaa au ulipita studio nini? Endeleaaa kusuquma ndani wahalifu
@zuhurambonde69594 жыл бұрын
Umeonaee hamezi matee
@tanzanian88473 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂
@ajayepandila54243 жыл бұрын
Na sio maneno tu anaongea kwa speed with numbers
@petermwalongo98482 жыл бұрын
Live long Mzee wa Toronto!
@raageabdi3123 Жыл бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪 ❤
@isayachisanza77484 жыл бұрын
mungu anakuona Mzee wa sukuma ndani
@liverpoolfootballclub998510 ай бұрын
Itifaki imezingatiwa. Protocols observed 🇰🇪
@marrywilliam39874 жыл бұрын
Woyoooo Jaman karibuni sana Torontooo, nakupenda bure Agrey
@paulina.kivuyo1664 жыл бұрын
Nakupongeza sana mwanri kanyaga mafuta hivyo hivyo .
@JoshuaMasunga2 жыл бұрын
Dah, Mambo yetu ni bambam🤣🤣 likes nyingi kwa Mzee wa Sukuma ndani tafadhari........
@user-ex4hi7fj5c3 ай бұрын
I love you mwandy uko vzr mnooooo Hawa ndiyo viongozi waliotuachia historian bhanaaaa
@rehemamsuya22634 жыл бұрын
Anaesema ni comed apite kulr anatiririka vzr mnoo hongera mzee
Sukuma ndani natamani nahuku🇧🇮🇧🇮nione mvi Kama yamzee wa Toronto tabora magufuri wewe nijembe dunia nzima Mimi Ni MURUNDi nikionana nawee face to face nakupa Laki mbili atakama wewe nimweshimiwa kwasababu wewe nijembe dunia nzima 🙏🙏🙏ww Ni number ☝️✔️✔️✔️✔️✔️✔️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊💪👊🏋️🏋️🏆🏆🏆 wabongo mungu awape Nini? 👊👊
@bonimwitwa53274 жыл бұрын
4 sure rais wetu anastahili sifa jpm is the first among the best.
@johaashura99584 жыл бұрын
Haswaaaaaàaa
@wilsongreyson21324 жыл бұрын
Saradini
@Mazanhi-G3 жыл бұрын
Hii ndio video ya kwanza kuangalia na kuvutiwa kwa huyu mkuu. Toka hio siku ilibidi nitafute kumjua zaidi. Mtu wa ajabu sana. Namfuatilia sana, watu wa tizedi nawaomba mpeni huyu kiti aongoze nchi.
@zakariamkopi33532 жыл бұрын
Kwanza anavyo ongea t ana jiamini na kile anacho kisema nikiongozi wa maana sana huyu mzee ni mchapa kazi hakika
@liyanakarzan1824 жыл бұрын
Naomba mungu anijalie mume wa Toronto nikapaone
@user-of8gi7uz4oАй бұрын
Eeeeeeeemuuuuunguuuu weeeee❤❤❤❤❤❤ kama umeinjoi gonga like
@shabanijulius83454 жыл бұрын
Motherland ❤
@namirihamisi38994 жыл бұрын
Huyu anafaa kuwa mwana Habari wa Ikulu maana anaweza.
@adenihalisi42184 жыл бұрын
Aiseee ardhi inafukuliwa hadi inalia!
@nelsonjackson73324 жыл бұрын
Sisi wa Toronto tupo swafi. Maisha ni motooo
@atikombogolo23564 жыл бұрын
Hapo imebidi magu acheke tuuu😂😂😂🤣🤣🤣
@martinfrancis37094 жыл бұрын
Mimi nakuombea uwe mhubili wa injili safi sana
@yacenharuna3803 жыл бұрын
Wazo zuri sana
@MrCosmas153 жыл бұрын
Imetimia
@janethhamza83164 жыл бұрын
Mzee mungu Akutunze Amina
@jamessilwamba42593 жыл бұрын
mwanri kuna kipindi alikuwaga waziri wakati wa maswali bungeni mbunge akimpiga swali kabla hajajibu kwanza anamsimfia mbunge muulza swali kwa swali lake zuri na anavyowatetea watu wake baada ya hapo ndio anamjibu swali lake ana mbinu sana za uongozi
@christamazara12662 жыл бұрын
Nakukumbuka sn Rais wangu duh pumzika kwa aman.
@oparanews53544 жыл бұрын
natamani nikutane na magufuli nimuambie amhamishie mwanri hapa dar awe mkuu wa mkoa wa dar
@selemanihamisi58354 жыл бұрын
Opara News 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@drisayaambulatoryvetclinic15144 жыл бұрын
Kwa kweli aje dar ,
@gilliardgodfriend57454 жыл бұрын
Watarushwa vichura mpaka madiwani
@leonardmhagama58289 ай бұрын
One of the best orator very smart
@obamachamwino76704 жыл бұрын
daaah.. uyu jamaa n atareeeee sana.. aya toronto tujuane apo wazee
@mohamedsigwa17124 жыл бұрын
Mambo ni bambam mzee magu twende mbele watatukuta huko sha fika
@tedymwandara54804 жыл бұрын
Nimerudi hapa baada ya mkuu huyu kustaafu.Jamani natamani awe mbunge wa ukonga Dar yani huku kumesahaulika.Huyu waitara hata hatujui anafanya nini.
@michaelvincentmhagama86744 жыл бұрын
Safi sana
@costantui91694 жыл бұрын
Hamna mkuu wa mkoa ninayempenda kama huyo Tanzania nzima
@beatricehenry67763 күн бұрын
Enzi hizo kulikuwa na mbwembwe na vicheko kwenye uongozi Mungu awabariki
@paschalmsizu76744 жыл бұрын
Toronto mpya hyo
@dianazambi24474 жыл бұрын
Aaaaahhhhaaaaaa mzee wa Toronto nakupenda kwel
@ismailmneka29672 жыл бұрын
Daaah hakika serikali ya magufuli ilichangamka sana
@saidantugwa76712 жыл бұрын
13hrs ulikuwepo mzee ....dah tunamis ving sana awamu ya 5
@iamnormal8648 Жыл бұрын
Alimpatia sana Magufuli kwa kummwagia matakwimu bila kusoma. Mwanri oyeeeeeee!
@maxmaizer46314 жыл бұрын
Hahahaaaaa mwanri km amemeza 8 GB asee
@stevekasyele33014 жыл бұрын
😀😀😀
@mgasa_tz55273 жыл бұрын
😅😅😆
@maxmaizer46313 жыл бұрын
@@stevekasyele3301 atare 😂
@maxmaizer46313 жыл бұрын
@@mgasa_tz5527 noma Sana
@MrManchoso4 жыл бұрын
Mwanri umetisha rais mwenyew imebid acheke
@omurwasolomon51314 жыл бұрын
Am kenyan and am moving to Tanzania..bambam
@albertjames68454 жыл бұрын
Njoo ukione cha mtema kuni
@omurwasolomon51314 жыл бұрын
@@albertjames6845 utadu?
@cecymaro13744 жыл бұрын
Asee uyu mzee ni wakuigwaa kabisaa simwezii jaman yuko vizurii baba magufuli mpee kitii ichoo baba 🤗🤗🤗😂😂😂😂😂