No video

MANENO YA CHAMA BAADA YA KUPEWA JEZI NAMBA 17 NA FARIDI MUSA |

  Рет қаралды 165,465

Yanga TV

Yanga TV

Күн бұрын

Пікірлер: 369
@marystambuli8045
@marystambuli8045 Ай бұрын
Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
Amen🙏🙏
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 Ай бұрын
Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Ай бұрын
Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.
@imanikubwa2896
@imanikubwa2896 Ай бұрын
Mungu ,watunze wasipate majeraha Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza. Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu Aminaa
@veelmng7746
@veelmng7746 Ай бұрын
Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 Ай бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga
@Manywele.Maluja
@Manywele.Maluja Ай бұрын
Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.
@Shebe_traLove
@Shebe_traLove Ай бұрын
Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu
@octavianluambano9081
@octavianluambano9081 Ай бұрын
Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏
@cynthiapwani1383
@cynthiapwani1383 Ай бұрын
Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏
@aishafranco1055
@aishafranco1055 Ай бұрын
Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari
@iddfundikira2817
@iddfundikira2817 Ай бұрын
Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍
@ShakiraMasoud-ox5tj
@ShakiraMasoud-ox5tj Ай бұрын
Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Ай бұрын
​@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo
@ntakakasendebayi9992
@ntakakasendebayi9992 Ай бұрын
Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰
@DjFae.b255
@DjFae.b255 Ай бұрын
Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤
@violethkalinga2980
@violethkalinga2980 Ай бұрын
Farid much respect wananchi tunakupenda ❤
@gwantualexis4064
@gwantualexis4064 Ай бұрын
Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃‍♀️‍➡️..😅😅
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
😂😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn Ай бұрын
Hahaha kama sio yy
@sumadashsumadash-yx8eb
@sumadashsumadash-yx8eb Ай бұрын
Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz
@yussufshaaban1013
@yussufshaaban1013 Ай бұрын
Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj Ай бұрын
Farid ni mtu wa mungu sana
@PlanetLeo721
@PlanetLeo721 Ай бұрын
Faridi is incredible player. Well done
@malick_jrzramadhan7298
@malick_jrzramadhan7298 Ай бұрын
Ahsante farid mussa malick
@jumambwambo
@jumambwambo Ай бұрын
Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Ай бұрын
Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@5googleuuu727
@5googleuuu727 Ай бұрын
Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih
@user-bm2wo7hh3b
@user-bm2wo7hh3b Ай бұрын
Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤ LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Ай бұрын
Narudia tena kusema MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Ай бұрын
Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...
@JusminSaid-zi6id
@JusminSaid-zi6id Ай бұрын
Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah
@user-hp5zf2fw4o
@user-hp5zf2fw4o Ай бұрын
Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 Ай бұрын
Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions
@BonifasMjuni-zi1wg
@BonifasMjuni-zi1wg Ай бұрын
Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid
@sumadashsumadash-yx8eb
@sumadashsumadash-yx8eb Ай бұрын
Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali.. Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia
@salumnamjupa-sy6cm
@salumnamjupa-sy6cm Ай бұрын
Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns
@user-eh5il7pw2f
@user-eh5il7pw2f Ай бұрын
Kazi iendelee
@yusuphally6420
@yusuphally6420 Ай бұрын
Ushindi uendelee furaha idumu na makombe yaendeleea
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Ай бұрын
Makombe yaongezeke😅😅
@firdawsrammy9992
@firdawsrammy9992 Ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t Ай бұрын
Ubingwa uendelee
@Official83640
@Official83640 Ай бұрын
Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛
@FredyPeter-rn2il
@FredyPeter-rn2il Ай бұрын
Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF
@user-sw9tp2rf7f
@user-sw9tp2rf7f Ай бұрын
Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu
@francepaul7711
@francepaul7711 Ай бұрын
Ila watu 😂😂😂
@mrsabdul-mz8hh
@mrsabdul-mz8hh Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Akh nacheka zangu tuu mie😅😅
@elikanakuhanda7559
@elikanakuhanda7559 Ай бұрын
😂😂
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Respect kwako Farid Mussa
@user-he1om2lu1f
@user-he1om2lu1f Ай бұрын
Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 Ай бұрын
Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.
@LuckyAden-cd7wo
@LuckyAden-cd7wo 23 күн бұрын
Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚
@sulleymanjimmy2214
@sulleymanjimmy2214 Ай бұрын
Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂
@kimrudiger4454
@kimrudiger4454 Ай бұрын
Mke wa mtu huyo yupo kazini🤣
@Encky3v
@Encky3v Ай бұрын
Oi😂😂😂😂🙌
@bethmahela2182
@bethmahela2182 Ай бұрын
😂😂😂😂
@geralddeus1434
@geralddeus1434 Ай бұрын
Mmmh balaaa😂
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy Ай бұрын
Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana
@ezekiaomary7927
@ezekiaomary7927 Ай бұрын
kwan unajua analipwa shingapi
@amidoibraimo6021
@amidoibraimo6021 Ай бұрын
Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana
@anithqpaul3923
@anithqpaul3923 Ай бұрын
Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana
@raymondkisinga4374
@raymondkisinga4374 Ай бұрын
Big Up Farid Musa👏👏
@magrethmakauki235
@magrethmakauki235 Ай бұрын
Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja
@nelsonleonard6768
@nelsonleonard6768 Ай бұрын
Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉
@_kidayyo
@_kidayyo Ай бұрын
Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏
@SüddyThíägø
@SüddyThíägø Ай бұрын
Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Asante kaka Farid Musa
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 Ай бұрын
Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha
@steamtvtz
@steamtvtz Ай бұрын
Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20
@user-gj1bx9ow3u
@user-gj1bx9ow3u Ай бұрын
Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛
@user-pn1cb1lw4l
@user-pn1cb1lw4l Ай бұрын
Kubali sana faridi musa
@GraceMbulu-rp8ko
@GraceMbulu-rp8ko Ай бұрын
Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂
@MaarufuAmani-bq6qc
@MaarufuAmani-bq6qc Ай бұрын
Naipenda sana yanga
@Shadia544
@Shadia544 Ай бұрын
Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂
@aminangano3635
@aminangano3635 Ай бұрын
Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏
@RamsoPedro
@RamsoPedro Ай бұрын
Yanga bwana mko Vizuri
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Ай бұрын
Mungu akubariki farid musa malick for the love
@CosmasCosam
@CosmasCosam Ай бұрын
Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew
@Ba63828
@Ba63828 Ай бұрын
Twatotela baiche for playing for WANANCHI
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q Ай бұрын
Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote
@ErastoAmosy
@ErastoAmosy Ай бұрын
Umetisha farid bigp saana
@AmaniOmari-ev2gu
@AmaniOmari-ev2gu Ай бұрын
Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
We huogopi?
@user-hb2nn6ud2d
@user-hb2nn6ud2d Ай бұрын
Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee
@CalvinMbaraka
@CalvinMbaraka Ай бұрын
So wise Farid much respect
@RazakciAbdulRazakciAbdul
@RazakciAbdulRazakciAbdul Ай бұрын
Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba
@VanesaKeneth
@VanesaKeneth 28 күн бұрын
Farid mungu akutangulie muungwana sana
@graceanyungu2774
@graceanyungu2774 Ай бұрын
Hapo wanapngelea simba jike shirikisho
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Ай бұрын
😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂
@SuhuurFarxaan
@SuhuurFarxaan Ай бұрын
Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
@@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
@@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.
@pascaljonathan6865
@pascaljonathan6865 Ай бұрын
Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Ай бұрын
Mshery anategea😂😂
@mosesjacksonkarashani2642
@mosesjacksonkarashani2642 Ай бұрын
Chama mbona kama amepania sana 😅😅
@sewandomkuchu9267
@sewandomkuchu9267 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Ай бұрын
Hahahaha,,,,,Mpira ni umri kaka!!
@mosesjacksonkarashani2642
@mosesjacksonkarashani2642 Ай бұрын
@@jumakapilima7295 Tusubiri tuone kama ni kweli. Kuna wazee wa kazi.
@fikcountry5547
@fikcountry5547 Ай бұрын
Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕
@tintin0019
@tintin0019 Ай бұрын
OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA
@paulnzilo7252
@paulnzilo7252 Ай бұрын
😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?
@LimseyMassawe
@LimseyMassawe Ай бұрын
Mmemuona diara
@user-kd9tc4tl5f
@user-kd9tc4tl5f Ай бұрын
Mazoezini hayupo ila Airport walikuwa watatu Aucho musonda na Diara
@fabiandanielkatikiro1478
@fabiandanielkatikiro1478 Ай бұрын
Eeeh Mungu iepushe timu yetu dhidi ya kashfa na watu wote wenye roho mbaya dhidi yetu... eh Mungu ilinde timu yetu na viongozi wake, wape mafanikio na busara na nguvu na hekima za kukiendesha club yetu ya yanga. Amen.
@shabaniiddi510
@shabaniiddi510 Ай бұрын
Farid unajua sana mdogo angu sema endelea kukaza utafika mbali sana na kukubali kinoma
@HamisKibungulu
@HamisKibungulu Ай бұрын
Big up faridi ndo uhungwana huo
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 Ай бұрын
❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 Ай бұрын
Big up kwa Farid Musa ❤
@danielmussa4101
@danielmussa4101 Ай бұрын
Uo ndio upendo wa timu faridi alicho kifanya Kwa chama ni kitu Cha maana sana MUNGU akubariki faridi Kwa upendo wako
@user-hg8jj3xk6c
@user-hg8jj3xk6c Ай бұрын
Farid big up sana kaka
@CharlesWilliam-iz3fz
@CharlesWilliam-iz3fz Ай бұрын
Farid ur man full of love to the fellow player
@davidndungu8619
@davidndungu8619 Ай бұрын
be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 Ай бұрын
Uta ng'aa sana msimu ujao, 12 ni namba ya baraka
@fredanthony740
@fredanthony740 Ай бұрын
Respect sana Farid mussa
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Ай бұрын
Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 Ай бұрын
Big up farid mussa
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile
@salehestambul5535
@salehestambul5535 Ай бұрын
Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.
@ChachaWambura-ol2lq
@ChachaWambura-ol2lq Ай бұрын
Hapo sawa kama kapewa jezi yake kazi ipo
@user-vf5pp2wn1f
@user-vf5pp2wn1f Ай бұрын
Farid hongela San kk hapo umefanya vizul san
@mussastephano4938
@mussastephano4938 Ай бұрын
NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume
@abouybaramia534
@abouybaramia534 Ай бұрын
Lile shangaz aisee waun wanafanyishwa nalo mazoez
@mkombozimella8436
@mkombozimella8436 Ай бұрын
Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
Mtu wa maana kabisa Farid Musa, mzidi kudumu katika hilo pendo wachezaji wetu.
@ellymtz6886
@ellymtz6886 Ай бұрын
Safi sana faridi Musa..🙏🏻
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 Ай бұрын
Ewaaaah..wamekwisha sasa😂
@user-yn6wf7qq7s
@user-yn6wf7qq7s Ай бұрын
💚💚💚Kwako faridiiiiii
@BeckaJunior
@BeckaJunior Ай бұрын
Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅
HIGHLIGHTS: Vitalo FC 0 - 4 Yanga SC  Highlights  CAF CL.
10:10
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 83 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 14 МЛН
Yanga Song by Tege Boy (Official Video)
2:07
TEGE BOY
Рет қаралды 707