AYO TV YATINGA KAMBINI KWA MAMA MZAZI WA BACCA, FAHAMU USIOYAJUA "YEYE PIA NI AFANDE"

  Рет қаралды 492,274

Millard Ayo

Millard Ayo

7 ай бұрын

Пікірлер: 318
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 7 ай бұрын
MashaAllah umuhimu wakuwa Na wazazi dua ya mzazi haina kiziwizi Allah mpe umri mrefu mama yangu
@mropaehambi1889
@mropaehambi1889 7 ай бұрын
Heshima kwako mama tunakupenda Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@khamismjakafaki7714
@khamismjakafaki7714 7 ай бұрын
Hongera sana mama, Allah akuzidishie hekima na busara za kujali watoto wako na watoto wa wenzako na uzidi kuwaombea duwa.
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 7 ай бұрын
Hongera mama Ibra umejitahidi Mungu akuhifadhi na family yako na akuongozee wanao.❤
@SuleAhmad-lt5qc
@SuleAhmad-lt5qc 7 ай бұрын
Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
@Iddy-lg1ly
@Iddy-lg1ly 7 ай бұрын
Mama bora sana huyu mungu ampe maisha marefu
@saidsingano7974
@saidsingano7974 3 ай бұрын
Jamani huyu mama baka yuko safi kujieleza mashallah❤❤❤❤
@AbeidRamadhan
@AbeidRamadhan 7 ай бұрын
Allah warehemu wazazi wangu wape Nuru ktk makabur yao
@tawakalimankasim82
@tawakalimankasim82 7 ай бұрын
Amiin. Mungu awape rehma wazaz na walezi wote waliotangulia. Amiin
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 7 ай бұрын
Ammiin
@faju4real800
@faju4real800 7 ай бұрын
Amin
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 7 ай бұрын
INGEKUWA MAMA YAKE FEISAL HAPA MANENO YANGEKUWA MEEENGI SANA KWELI ELIMU INASAIDIA
@GloriaMillinga
@GloriaMillinga 7 ай бұрын
Hahaha 😂
@laninjeje8290
@laninjeje8290 7 ай бұрын
Kama feisal anakula ugali sukari lazima mama apige kelele😂
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 ай бұрын
Hayo ni YAKO mjaa chuki
@user-ps7ej3ep4e
@user-ps7ej3ep4e 7 ай бұрын
Acha kusema mama za watu wewe
@laninjeje8290
@laninjeje8290 7 ай бұрын
@@MACHOYATAI-jk6fu chezea ugali sukari lazima mama atoe mlioo!!
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 7 ай бұрын
Hongera sana mama ,tumefurahi sana kukuona mama yetu💥💥💥
@dianarosekaugira5608
@dianarosekaugira5608 7 ай бұрын
mpaka rahaaaaaa baba mheda mama mjeda mtoto mjeda tena wote wananidhamu nzuri
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx 7 ай бұрын
Kam Unakubal Wa Mama Wote Duniani Weka Likes Hapa 🎉🎉🎉🎉
@fredsonjaphet
@fredsonjaphet 2 ай бұрын
Acha unafiki
@user-ei6zg3us5s
@user-ei6zg3us5s 7 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah..mama..nimefurahi sn..kuskia muda wote ukimtaja..muweza qa kila..inshaallah..ALLAH Azd kuwongoza kwa kumtegemea ALLAH
@user-ei6zg3us5s
@user-ei6zg3us5s 7 ай бұрын
15:01
@jumarajab5316
@jumarajab5316 7 ай бұрын
cheo alichonacho kwa hapa tz ni mkuu wagereza la wilaya au mkuu wa polisi wa wilaya hongera sana mama
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 5 ай бұрын
Yeah au ocd kwa upande wa JW ni Mejor
@user-iv9dh6kv9g
@user-iv9dh6kv9g 7 ай бұрын
Jamaa alikichafua sana mama mzaa chema huna baya mama ana nidham sana❤❤❤ ukiw na mama kam huyu hutopata shida
@RamadhaniMwandambo-fx9sb
@RamadhaniMwandambo-fx9sb 7 ай бұрын
Mashaallah mama yuko vizuri, bado kijana kabisa
@josephkulija293
@josephkulija293 7 ай бұрын
Hongera sana mama unaongea kwa nidhamu kubwa.
@user-iv9dh6kv9g
@user-iv9dh6kv9g 7 ай бұрын
Daah yan hapa nimejifunza kitu hapa ukiw kweny familia inayopenda dini na kumtukuza mwenyez mungu lazima mamb yak yaende vizur
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 7 ай бұрын
Duh !!!!! haya waislamu tusome sana dini yetu tuifahamu subhana Allah
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 7 ай бұрын
Dua ya mzazi haipingiki mashaallah umeongea km mzazi lkn nimejikuta nalia mimi alhamdulil,la m,mungu awaongoe watoto wetu
@user-ei6zg3us5s
@user-ei6zg3us5s 7 ай бұрын
Wallahi..me mwenyewe mwil unanisisimika kwa maneno mazur..mashaallah
@salaita2829
@salaita2829 7 ай бұрын
Siipendi kabisa yanga,ila kuna wachezaji wa yanga nawapenda mno,mmoja wapo ni huyu bacca,mama kama huyu anaonekana ni mama bora sana.
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 7 ай бұрын
Baca katoka familia yenye kipato,Dogo hana njaa.Safi sana beki letu la kazi.
@jumamdoka7867
@jumamdoka7867 7 ай бұрын
Alambi sukari😊
@benancejohn1198
@benancejohn1198 7 ай бұрын
Kumbe katokea kwenye familia ya majeshi kabisa 😊😊😊🙌
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 7 ай бұрын
Nani kaona tofauti ya mama Feisal toto na mama Bacca.
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 7 ай бұрын
Ww mbona hujasema mamaako nae ana cheo gan
@minnahloveiove1074
@minnahloveiove1074 7 ай бұрын
​@@omarylukindo5306kwan kasema cheo jmn kasema utofauti yan ana maanisha ktk mazungumzo khe
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 7 ай бұрын
@@omarylukindo5306 achana na mama angu.Usimfananishe na mama ako maraya kahaba.Au nikutumie picha za mama ako akiwa anagalagazwa
@ashahally7456
@ashahally7456 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama fei alilishwa tango poriii
@sumadashsumadash-yx8eb
@sumadashsumadash-yx8eb 7 ай бұрын
Mama Feisal sio mbaya ila alilishwa Sumu na matango pori na machawa wale wakujiita Mawakala
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 7 ай бұрын
HONGERA SANA MAMA BACCA MZAA CHEMA
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 6 ай бұрын
Mungu amzidishie uwezo mkubwa wa uchezaji, Mama samia hongera kwa kuendeleza nchi na michezo sasa watanzania tunacheka tunafurahi saaaaana
@saadashoje313
@saadashoje313 7 ай бұрын
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
@MatokeoMadua
@MatokeoMadua 7 ай бұрын
😊😊😊😊 18:42
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 7 ай бұрын
Mwanao kashakuwa staaa
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 7 ай бұрын
Mungu akutunze mama na uzao wako..ukale matunda ya uvumilivu wako.
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 7 ай бұрын
Huyu mama ni kiongozi na mama bora ,amejieleza vizuri sana.big up mama mzee chema,Nimecheka anasema baba Ibra mkali yupo kijeshi zaidi😃😀😀
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 7 ай бұрын
Ahaa! Kumbe ndio maana kwenye dk 90 anawaweka washambuliaji korokoroni!! 😂😅
@Nguvumoja255
@Nguvumoja255 7 ай бұрын
nimemwona na kumsikiliza mama ananipa moyo wa kupambana moyo wa kupambana ili mama aje anisifie na mimi
@chinchon2126
@chinchon2126 7 ай бұрын
Mama usiache kuswali Bacca day furaha inoge murudi Zanzibar nafuraha
@KhamisAbdallah-lm9tn
@KhamisAbdallah-lm9tn 7 ай бұрын
Mashallah,mumezaa chema kabisa,Allah amuongezee mafanikiyo.
@KaroliMagana
@KaroliMagana 7 ай бұрын
12/11/1999 siyo jumatano ni ijumaa but much respect mom
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 7 ай бұрын
Milad ayo tunasubir muendelezo wa kaka Dullah kocha wa mwanzo wa Ibrahim bacca yoko please 🙏 pemba sio mbali tunakuamin
@user-zw9go7xw8l
@user-zw9go7xw8l 7 ай бұрын
Baraka za wazazi zinaonekana nimempenda sanaaa mama hapindishiiii
@nasrybinahmad4245
@nasrybinahmad4245 6 ай бұрын
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
@user-jh8qy2ue6o
@user-jh8qy2ue6o 7 ай бұрын
Ukiona beki kapita Taifa Jang'ombe tena beki simchezo Vita Costa Nyumba Nampoka pia kapita
@user-fl4jy5zj3v
@user-fl4jy5zj3v 7 ай бұрын
Mashallah nimekupenda sana mama una busara na hofu ya mungu❤❤❤
@MosesMamaya
@MosesMamaya 7 ай бұрын
Hongera sana mama huna roho mbaya kweli in'gekuwa feisal day
@user-pl3du3jf8s
@user-pl3du3jf8s 7 ай бұрын
Kumbe baca ni Young boy was born 1999
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 7 ай бұрын
Yanga damu
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 7 ай бұрын
🤣🤣🤣 hata me nashangaa
@khairatsaleh2231
@khairatsaleh2231 7 ай бұрын
Weeeee Mama wewe haaaaaaaa😂
@utaani1
@utaani1 5 ай бұрын
Miaka ya 1990 mpaka 2001 Pemba mpira ulikuwa kama ibada, kulikuwa na wachezaji wakali mno
@idarous09
@idarous09 7 ай бұрын
zanzibar mpira tokea asubuh watoto wetu wanapenda mpira huku
@boanerguebayisenge266
@boanerguebayisenge266 7 ай бұрын
Allah Amjaalie Maisha Mema kijana mwenzangu 🙏🏽🙏🏽
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 7 ай бұрын
We mama bado mdogo jmn hacha kumbania mzee. Zaeni bwana mkwanja mnao wa kuwalea
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 7 ай бұрын
Tumepata fuzo kuwa kila jambo unalotaka mkimbilie الله ndio suluhisho pekee
@mropaehambi1889
@mropaehambi1889 7 ай бұрын
Umeelezea mpka nimelia mama anaongea uhalisia kabisa imenipa hisia sana
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 ай бұрын
Maafande wa magereza hawanaga mambo mengi.
@bennamush4616
@bennamush4616 7 ай бұрын
Kweli bacca kalelewa kijeshi jeshi
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 7 ай бұрын
I IOVE MY MOTHER 💚🖤💕
@AngleMlembe
@AngleMlembe 7 ай бұрын
Yanga oyee mama anajua kuupiga mwingi❤❤
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 7 ай бұрын
Mashaallah mabrook 🥰
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 7 ай бұрын
Tarehe 12 Novemba 1999 ilikuwa Ijumaa, kalenda
@user-we4xf9wt5f
@user-we4xf9wt5f 7 ай бұрын
Huyumama anabusarakweli nikweli huyu niaskari
@HussenMashaka-os9ok
@HussenMashaka-os9ok 3 ай бұрын
Kwa sale wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awaweke mahala pema,
@julianashani9408
@julianashani9408 7 ай бұрын
Masha-Allah
@user-pw8pc3by8p
@user-pw8pc3by8p 7 ай бұрын
Nimeipenda hii interview ni ya ukwel kabisa ata baba yake mzazi aliongea kama alivyoongea mama na hasa historia ya jina la bacca
@fainaabdillah9966
@fainaabdillah9966 7 ай бұрын
Mi nimempenda mama
@hamzalipuye7198
@hamzalipuye7198 7 ай бұрын
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
@BiasharaZetuPoint
@BiasharaZetuPoint 2 ай бұрын
Wow mama mzaa chema namkubali sana Bacca bonge la beki yani🥰🥰🥰💛💚💛💚
@user-lr7hm1xk6j
@user-lr7hm1xk6j 7 ай бұрын
Hongera sana mama kwa malezi Bora ya Ibrahim bacca
@issamlibwa9398
@issamlibwa9398 7 ай бұрын
Kumbe zile takoling huwa sio kawaid ni za kijeshi hakika nimeamin🔥🔥🔥🔥🔥
@hpenyika7686
@hpenyika7686 7 ай бұрын
Hongera sana mama Bacca
@masahanishija240
@masahanishija240 7 ай бұрын
Asante mama mpende mwanawe.
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 ай бұрын
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 ай бұрын
Unachanganya mada
@abhaaly
@abhaaly 7 ай бұрын
Hujielewiii😂
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 7 ай бұрын
​@@user-lt1bi5nr1xkadata tayari hawa watu wa yule mzee wapewe ushauri nasaha sana wanaweza kujinyonga..😅😅😅
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 7 ай бұрын
Ma sha Allah
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 7 ай бұрын
Mama bacca alikuambia anakula ugali na sukari kama fei au alikuambiaje? Love you mama bacca
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 7 ай бұрын
Bacca wa 1999??? Du huu mpira unawazeesha😊
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 7 ай бұрын
Jamani kwani uyu bacca amefanyaje mbona kila Kona yeye ? 😢 mwenye kujua anijuze plsss
@adamuandrea6658
@adamuandrea6658 7 ай бұрын
Mama Bacca siyo sacap mama, wewe ni super mama
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 ай бұрын
Na yeye amesema super hajasema sacp
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 7 ай бұрын
Superintendent
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 ай бұрын
@@mwasoprince3459 Kifupi chake super
@umikifupa-mi3re
@umikifupa-mi3re 7 ай бұрын
Good family
@mbagaragyunda2538
@mbagaragyunda2538 7 ай бұрын
Asante mma nimekuelewa
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 7 ай бұрын
Mamake mzuri ma sha Allah
@NahozaOmary
@NahozaOmary 2 ай бұрын
Asante sana mam mzaa chema
@gaspermwasalemba3537
@gaspermwasalemba3537 7 ай бұрын
Huyu mama anamfatilia sana mtoto ake hadi raha
@user-fg9kh6mz6k
@user-fg9kh6mz6k 7 ай бұрын
Allah akujalie umri mrefu akuepushie husda fitna uwe namoyo huohuo pia dini ukiijua huwi na kinyongo wala roho maya hongera mama
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 7 ай бұрын
Respect bacca zanbar talent
@kanaanrajab1102
@kanaanrajab1102 6 ай бұрын
Dah longtime since Mapembean,Mpira pesa,Taifa jang'ombe, Malindi,Kmkm,Yanga. Wayback we know Bacca❤.
@user-zv8xz9ds1m
@user-zv8xz9ds1m 7 ай бұрын
Ongera mama umeupiga mwingi❤❤❤
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 7 ай бұрын
Interview nxuri sana
@swafaayunus2916
@swafaayunus2916 7 ай бұрын
Mama kaongea 💯 naupendo ❤
@user-yu9hn2cq3y
@user-yu9hn2cq3y 7 ай бұрын
Mashaallah mama 🎉🎉
@JohnMasanja-un1zf
@JohnMasanja-un1zf 4 ай бұрын
Hongera sana mama mzaa chema
@AbubakaliMnjeja
@AbubakaliMnjeja Ай бұрын
Nawapenda na kuwakubali wakinamama wote.
@aishamdinku9129
@aishamdinku9129 7 ай бұрын
Masha'Allah
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 7 ай бұрын
Kumbe jamaa mdogo sana ni huo mwili mkubwa tu na Akili ming
@limymasele21
@limymasele21 7 ай бұрын
Jamaa ana Maokoto kila mahali
@BarackaSaim-ev3gk
@BarackaSaim-ev3gk 7 ай бұрын
Hongera mama ❤
@MussaHenry
@MussaHenry 7 ай бұрын
Hongera sana mama
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 ай бұрын
Maashallah mama
@adsonchisongela3768
@adsonchisongela3768 7 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@rachelmbalo9735
@rachelmbalo9735 7 ай бұрын
Thank you mom kwa maneno mazuli hakika sitakata tamaa
@hajihamadi3525
@hajihamadi3525 7 ай бұрын
Hongera sana mama❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 7 ай бұрын
Ibrahim Bakayoko ni Ivorian striker pia aliwahi kuwafunga Man U. champions l. akiwa na klabu moja ya Ufaransa
@user-ow5nb9bd8m
@user-ow5nb9bd8m 7 ай бұрын
Mashallh
@najmarashid2136
@najmarashid2136 7 ай бұрын
Hapo kwenye miaka mama katupiga😮
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 7 ай бұрын
مشالله تبارك
@zuberiramadhani1347
@zuberiramadhani1347 7 ай бұрын
Wazazi tuombeeni sana Wana wenu
@adrianomaziku6554
@adrianomaziku6554 7 ай бұрын
Kitasaa 🎉 bacca
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 7 ай бұрын
Haa haaa haaaah ni super super daima mbele
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 56 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 59 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 23 МЛН
KILA ANACHOFANYA MUNGU NI KWELI - Leta Raha na Ufunuo
24:12
Bienve Ministries online
Рет қаралды 2
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47