MashaAllah umuhimu wakuwa Na wazazi dua ya mzazi haina kiziwizi Allah mpe umri mrefu mama yangu
@mropaehambi18897 ай бұрын
Heshima kwako mama tunakupenda Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@khamismjakafaki77147 ай бұрын
Hongera sana mama, Allah akuzidishie hekima na busara za kujali watoto wako na watoto wa wenzako na uzidi kuwaombea duwa.
@rukiyatajir80647 ай бұрын
Hongera mama Ibra umejitahidi Mungu akuhifadhi na family yako na akuongozee wanao.❤
@SuleAhmad-lt5qc7 ай бұрын
Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
@Iddy-lg1ly7 ай бұрын
Mama bora sana huyu mungu ampe maisha marefu
@saidsingano79743 ай бұрын
Jamani huyu mama baka yuko safi kujieleza mashallah❤❤❤❤
@AbeidRamadhan7 ай бұрын
Allah warehemu wazazi wangu wape Nuru ktk makabur yao
@tawakalimankasim827 ай бұрын
Amiin. Mungu awape rehma wazaz na walezi wote waliotangulia. Amiin
@AzizaHussein-wq8ql7 ай бұрын
Ammiin
@faju4real8007 ай бұрын
Amin
@edwardmaguluko65417 ай бұрын
INGEKUWA MAMA YAKE FEISAL HAPA MANENO YANGEKUWA MEEENGI SANA KWELI ELIMU INASAIDIA
@GloriaMillinga7 ай бұрын
Hahaha 😂
@laninjeje82907 ай бұрын
Kama feisal anakula ugali sukari lazima mama apige kelele😂
@MACHOYATAI-jk6fu7 ай бұрын
Hayo ni YAKO mjaa chuki
@user-ps7ej3ep4e7 ай бұрын
Acha kusema mama za watu wewe
@laninjeje82907 ай бұрын
@@MACHOYATAI-jk6fu chezea ugali sukari lazima mama atoe mlioo!!
@ronaldissack33387 ай бұрын
Hongera sana mama ,tumefurahi sana kukuona mama yetu💥💥💥
@dianarosekaugira56087 ай бұрын
mpaka rahaaaaaa baba mheda mama mjeda mtoto mjeda tena wote wananidhamu nzuri
@BAHATIKIBA-ul6wx7 ай бұрын
Kam Unakubal Wa Mama Wote Duniani Weka Likes Hapa 🎉🎉🎉🎉
@fredsonjaphet2 ай бұрын
Acha unafiki
@user-ei6zg3us5s7 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah..mama..nimefurahi sn..kuskia muda wote ukimtaja..muweza qa kila..inshaallah..ALLAH Azd kuwongoza kwa kumtegemea ALLAH
@user-ei6zg3us5s7 ай бұрын
15:01
@jumarajab53167 ай бұрын
cheo alichonacho kwa hapa tz ni mkuu wagereza la wilaya au mkuu wa polisi wa wilaya hongera sana mama
@dicksonwanyama16895 ай бұрын
Yeah au ocd kwa upande wa JW ni Mejor
@user-iv9dh6kv9g7 ай бұрын
Jamaa alikichafua sana mama mzaa chema huna baya mama ana nidham sana❤❤❤ ukiw na mama kam huyu hutopata shida
@RamadhaniMwandambo-fx9sb7 ай бұрын
Mashaallah mama yuko vizuri, bado kijana kabisa
@josephkulija2937 ай бұрын
Hongera sana mama unaongea kwa nidhamu kubwa.
@user-iv9dh6kv9g7 ай бұрын
Daah yan hapa nimejifunza kitu hapa ukiw kweny familia inayopenda dini na kumtukuza mwenyez mungu lazima mamb yak yaende vizur
@maftahmusa95137 ай бұрын
Duh !!!!! haya waislamu tusome sana dini yetu tuifahamu subhana Allah
@user-vv1te9fu8q7 ай бұрын
Dua ya mzazi haipingiki mashaallah umeongea km mzazi lkn nimejikuta nalia mimi alhamdulil,la m,mungu awaongoe watoto wetu
@user-ei6zg3us5s7 ай бұрын
Wallahi..me mwenyewe mwil unanisisimika kwa maneno mazur..mashaallah
@salaita28297 ай бұрын
Siipendi kabisa yanga,ila kuna wachezaji wa yanga nawapenda mno,mmoja wapo ni huyu bacca,mama kama huyu anaonekana ni mama bora sana.
@lukomanomaliki54427 ай бұрын
Baca katoka familia yenye kipato,Dogo hana njaa.Safi sana beki letu la kazi.
@jumamdoka78677 ай бұрын
Alambi sukari😊
@benancejohn11987 ай бұрын
Kumbe katokea kwenye familia ya majeshi kabisa 😊😊😊🙌
@ronaldowilson81657 ай бұрын
Nani kaona tofauti ya mama Feisal toto na mama Bacca.
@omarylukindo53067 ай бұрын
Ww mbona hujasema mamaako nae ana cheo gan
@minnahloveiove10747 ай бұрын
@@omarylukindo5306kwan kasema cheo jmn kasema utofauti yan ana maanisha ktk mazungumzo khe
@ronaldowilson81657 ай бұрын
@@omarylukindo5306 achana na mama angu.Usimfananishe na mama ako maraya kahaba.Au nikutumie picha za mama ako akiwa anagalagazwa
@ashahally74567 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama fei alilishwa tango poriii
@sumadashsumadash-yx8eb7 ай бұрын
Mama Feisal sio mbaya ila alilishwa Sumu na matango pori na machawa wale wakujiita Mawakala
@anithawidambe75437 ай бұрын
HONGERA SANA MAMA BACCA MZAA CHEMA
@athumanimgumia72096 ай бұрын
Mungu amzidishie uwezo mkubwa wa uchezaji, Mama samia hongera kwa kuendeleza nchi na michezo sasa watanzania tunacheka tunafurahi saaaaana
@saadashoje3137 ай бұрын
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
@MatokeoMadua7 ай бұрын
😊😊😊😊 18:42
@salmamakweta11987 ай бұрын
Mwanao kashakuwa staaa
@elizabethmgassa72437 ай бұрын
Mungu akutunze mama na uzao wako..ukale matunda ya uvumilivu wako.
@paulnyingo73167 ай бұрын
Huyu mama ni kiongozi na mama bora ,amejieleza vizuri sana.big up mama mzee chema,Nimecheka anasema baba Ibra mkali yupo kijeshi zaidi😃😀😀
@jamesmartin70267 ай бұрын
Ahaa! Kumbe ndio maana kwenye dk 90 anawaweka washambuliaji korokoroni!! 😂😅
@Nguvumoja2557 ай бұрын
nimemwona na kumsikiliza mama ananipa moyo wa kupambana moyo wa kupambana ili mama aje anisifie na mimi
@chinchon21267 ай бұрын
Mama usiache kuswali Bacca day furaha inoge murudi Zanzibar nafuraha
12/11/1999 siyo jumatano ni ijumaa but much respect mom
@alikhamisog34227 ай бұрын
Milad ayo tunasubir muendelezo wa kaka Dullah kocha wa mwanzo wa Ibrahim bacca yoko please 🙏 pemba sio mbali tunakuamin
@user-zw9go7xw8l7 ай бұрын
Baraka za wazazi zinaonekana nimempenda sanaaa mama hapindishiiii
@nasrybinahmad42456 ай бұрын
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
@user-jh8qy2ue6o7 ай бұрын
Ukiona beki kapita Taifa Jang'ombe tena beki simchezo Vita Costa Nyumba Nampoka pia kapita
@user-fl4jy5zj3v7 ай бұрын
Mashallah nimekupenda sana mama una busara na hofu ya mungu❤❤❤
@MosesMamaya7 ай бұрын
Hongera sana mama huna roho mbaya kweli in'gekuwa feisal day
@user-pl3du3jf8s7 ай бұрын
Kumbe baca ni Young boy was born 1999
@paulnyingo73167 ай бұрын
Yanga damu
@saidimkwinzu91067 ай бұрын
🤣🤣🤣 hata me nashangaa
@khairatsaleh22317 ай бұрын
Weeeee Mama wewe haaaaaaaa😂
@utaani15 ай бұрын
Miaka ya 1990 mpaka 2001 Pemba mpira ulikuwa kama ibada, kulikuwa na wachezaji wakali mno
@idarous097 ай бұрын
zanzibar mpira tokea asubuh watoto wetu wanapenda mpira huku
@boanerguebayisenge2667 ай бұрын
Allah Amjaalie Maisha Mema kijana mwenzangu 🙏🏽🙏🏽
@ausonjustinian46737 ай бұрын
We mama bado mdogo jmn hacha kumbania mzee. Zaeni bwana mkwanja mnao wa kuwalea
@aminakhamis22767 ай бұрын
Tumepata fuzo kuwa kila jambo unalotaka mkimbilie الله ndio suluhisho pekee
@mropaehambi18897 ай бұрын
Umeelezea mpka nimelia mama anaongea uhalisia kabisa imenipa hisia sana
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Maafande wa magereza hawanaga mambo mengi.
@bennamush46167 ай бұрын
Kweli bacca kalelewa kijeshi jeshi
@saidmbarouk35537 ай бұрын
I IOVE MY MOTHER 💚🖤💕
@AngleMlembe7 ай бұрын
Yanga oyee mama anajua kuupiga mwingi❤❤
@mariamkibindo17417 ай бұрын
Mashaallah mabrook 🥰
@theteacherchance67507 ай бұрын
Tarehe 12 Novemba 1999 ilikuwa Ijumaa, kalenda
@user-we4xf9wt5f7 ай бұрын
Huyumama anabusarakweli nikweli huyu niaskari
@HussenMashaka-os9ok3 ай бұрын
Kwa sale wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awaweke mahala pema,
@julianashani94087 ай бұрын
Masha-Allah
@user-pw8pc3by8p7 ай бұрын
Nimeipenda hii interview ni ya ukwel kabisa ata baba yake mzazi aliongea kama alivyoongea mama na hasa historia ya jina la bacca
@fainaabdillah99667 ай бұрын
Mi nimempenda mama
@hamzalipuye71987 ай бұрын
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
@BiasharaZetuPoint2 ай бұрын
Wow mama mzaa chema namkubali sana Bacca bonge la beki yani🥰🥰🥰💛💚💛💚
@user-lr7hm1xk6j7 ай бұрын
Hongera sana mama kwa malezi Bora ya Ibrahim bacca
@issamlibwa93987 ай бұрын
Kumbe zile takoling huwa sio kawaid ni za kijeshi hakika nimeamin🔥🔥🔥🔥🔥
@hpenyika76867 ай бұрын
Hongera sana mama Bacca
@masahanishija2407 ай бұрын
Asante mama mpende mwanawe.
@bonabonala55597 ай бұрын
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Unachanganya mada
@abhaaly7 ай бұрын
Hujielewiii😂
@hassanmfaume45227 ай бұрын
@@user-lt1bi5nr1xkadata tayari hawa watu wa yule mzee wapewe ushauri nasaha sana wanaweza kujinyonga..😅😅😅
@faridyshaame47057 ай бұрын
Ma sha Allah
@salmamakweta11987 ай бұрын
Mama bacca alikuambia anakula ugali na sukari kama fei au alikuambiaje? Love you mama bacca
@matridamwalyoyo17357 ай бұрын
Bacca wa 1999??? Du huu mpira unawazeesha😊
@ashurajengela39267 ай бұрын
Jamani kwani uyu bacca amefanyaje mbona kila Kona yeye ? 😢 mwenye kujua anijuze plsss
@adamuandrea66587 ай бұрын
Mama Bacca siyo sacap mama, wewe ni super mama
@jumakapilima72957 ай бұрын
Na yeye amesema super hajasema sacp
@mwasoprince34597 ай бұрын
Superintendent
@jumakapilima72957 ай бұрын
@@mwasoprince3459 Kifupi chake super
@umikifupa-mi3re7 ай бұрын
Good family
@mbagaragyunda25387 ай бұрын
Asante mma nimekuelewa
@fettiemaganza14847 ай бұрын
Mamake mzuri ma sha Allah
@NahozaOmary2 ай бұрын
Asante sana mam mzaa chema
@gaspermwasalemba35377 ай бұрын
Huyu mama anamfatilia sana mtoto ake hadi raha
@user-fg9kh6mz6k7 ай бұрын
Allah akujalie umri mrefu akuepushie husda fitna uwe namoyo huohuo pia dini ukiijua huwi na kinyongo wala roho maya hongera mama
@user-qo6qv6mc5p7 ай бұрын
Respect bacca zanbar talent
@kanaanrajab11026 ай бұрын
Dah longtime since Mapembean,Mpira pesa,Taifa jang'ombe, Malindi,Kmkm,Yanga. Wayback we know Bacca❤.
@user-zv8xz9ds1m7 ай бұрын
Ongera mama umeupiga mwingi❤❤❤
@salmamakweta11987 ай бұрын
Interview nxuri sana
@swafaayunus29167 ай бұрын
Mama kaongea 💯 naupendo ❤
@user-yu9hn2cq3y7 ай бұрын
Mashaallah mama 🎉🎉
@JohnMasanja-un1zf4 ай бұрын
Hongera sana mama mzaa chema
@AbubakaliMnjejaАй бұрын
Nawapenda na kuwakubali wakinamama wote.
@aishamdinku91297 ай бұрын
Masha'Allah
@saidimkwinzu91067 ай бұрын
Kumbe jamaa mdogo sana ni huo mwili mkubwa tu na Akili ming
@limymasele217 ай бұрын
Jamaa ana Maokoto kila mahali
@BarackaSaim-ev3gk7 ай бұрын
Hongera mama ❤
@MussaHenry7 ай бұрын
Hongera sana mama
@user-lt1bi5nr1x7 ай бұрын
Maashallah mama
@adsonchisongela37687 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@rachelmbalo97357 ай бұрын
Thank you mom kwa maneno mazuli hakika sitakata tamaa
@hajihamadi35257 ай бұрын
Hongera sana mama❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀
@mhandomhina55037 ай бұрын
Ibrahim Bakayoko ni Ivorian striker pia aliwahi kuwafunga Man U. champions l. akiwa na klabu moja ya Ufaransa