Tangu nitendwe naogopa hata kuambiwa nakupenda na mpaka sasa mwaka wa tatu sina mtu naogopa ndo nimekua saidia fundi maana sijasoma na mwanaume alikua msomi kapata msomi mwenzie nikasema sijakua na mtu wakunisomesha kwaio nabeba zege ila naamini ipo siku mungu atanipa wangu tu
@user-dl3ny3qf6y2 ай бұрын
Pole sana mungu yupo
@AlexNswila-g1q12 күн бұрын
Tupo uku
@jafarysoahsoah85303 ай бұрын
Yaani unapata mwanamke mzuri anapambana na anaelewa Nini maana ya maisha na bado unacheet daaaah
@thabitimkufi73883 ай бұрын
Aisee upele unawapata wasio na kuchaaa
@jafarysoahsoah85303 ай бұрын
@@thabitimkufi7388 kweli kaka ani me sijui nina bahati Gani nakutana na mapaka yanayowaza viwanja tu qumamake 😂 nikimpata kama huyu ntampenda Hadi nimkere
@pachitofilm2 ай бұрын
Tunajari bc😂😂😂
@BestonMfikwa2 ай бұрын
Acha wanyooshwe wapuuzi hawa
@sophsoph47402 ай бұрын
Ndomana kumuhudumia mwanaume siwez kwasababu hatakayokuja kulipaa😂😂utalia mara 2😢😢😢
@aminamohamed99553 ай бұрын
Mmmm mapenzi haya hatr tunasubili pati tu mm ctaki kumpa mtaji mwanaume jamani yalio nikuta makubwa Pole mdada jamani
@rosemilingi78603 ай бұрын
Yaani watu hawana huruma kbs
@monicambarikiwa95323 ай бұрын
💔inauma…. Ila huenda MUNGU alikuwa anamtumia Ummy ili kumfikisha mtu (Daniel) mahala fulani. And it looks like the game is over. Move on Mamaa😢 ni ngumu ila inawezekana. MUNGU analipa thawabu
@teddysisty32016 күн бұрын
Jifunzeni kitu wanawake ukimuhudumia mwanaume ujue anakaa na wewe coz ya pesa zake lakini inreal sense wewe hakupendi
@divadivana3683 ай бұрын
Leaa tu mwanao dear Achanaa na huyoo mwanaumee hanaa malengo yoyote na wewe ndg yang focus on your goals mbonaa we mrembo na bdo mdogo jmniii komaaaa dear Achanaaa na huyoo kaka aiseeee, , , yaaaan mpk napataaa hasiraaaa
@user-no7pz1bz4y3 ай бұрын
Kiupande wangu, mapenzi na waachia WAHINDI🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@WelimaNyamwanja3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Ewaaaaaaa ilooo naloo neno
@user-no7pz1bz4y3 ай бұрын
@@WelimaNyamwanja 😅😅😅🤣😂🤣
@ZuwenaMohammed-fp4yv3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 kwakwel sikuhiz nawaza maokoto Tu ndo kila kitu 🙌🙌
@LatifaKinanay3 ай бұрын
Kula tu ndio kitu pekee hunisumbua haya mapenzi sharukh Khan aendelee nayo😂😂
@AgnesDavid-et3zn3 ай бұрын
@@LatifaKinanay 😂😂😂 nimecheka kama fala
@pillyramadhani37263 ай бұрын
😂😂😂jamani mtoto wa kiume usiomzaa audumiwi tujifunze
@rabiarashid17213 ай бұрын
😂😂😂 serious
@juliethswai42633 ай бұрын
na ukianza kumuhudumia nae anaenda kuhudumia mwingine
@user-lh2ul3nb6h3 ай бұрын
Binafsi suweziii
@hellenasylivester10673 ай бұрын
Nilikuwa natafuta hii comment. Unawezaje kumlea mwanaume km hivo?? Mkiambiwa jueni thamani zenu mabinti mnaona wanawaonea wivu. Rubbish
@sophsoph47402 ай бұрын
Nashangaaaaaaaaaaa had nalia jmn wahi nihudumie mtot wa mtu jmn😢😂😢😅😢😂😂😂😂
@safinandomba9903 ай бұрын
Mwanaume ukimsaidia pesa anajua mwisho wa siku wewe uliempa utakuja mcontrol tu 😂kitu anafanya ni anatafuta mtu mwingine anaeweza kumcontroll 🤣🤚jamn mwanaume apewi pesa anatiwa moyo na nguvu ya kutafuta pesaa 💔
@user-nj2jl7jm2d3 ай бұрын
hilo neno kbsa
@RosechandeRosechande3 ай бұрын
Kabisa akina akili
@user-ih9nd1yt8s2 ай бұрын
Kweli kabisa hapo umenena
@MarieMichael-on6qu2 ай бұрын
Sure
@AtkaKalinga-ht3piАй бұрын
Kabisa
@sophsoph47402 ай бұрын
Mimi naomba pepo la kumsaidia mwanaume kipesa stak mana kuja kulia mara mbili stak bora nlie mara moja
@mariachifupa46543 ай бұрын
Jina lenyeweee Daniel 😂😂😂....2lio single tuendelee kujifukizaa 🥱
@annastaziambelele32112 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-du4zp1gw7x2 ай бұрын
😊😊😊
@ziddyziddy2524Ай бұрын
😅😅😅😅
@ZuwenaMohammed-fp4yv3 ай бұрын
Aiseee naenjoy sanaa 😂pia najifunza mengi sana kupitia Mr uky
@AgnesDavid-et3zn3 ай бұрын
Ila kuna mengine yanachekesha😂😂
@CherylEdward-em8ix3 ай бұрын
Yaan mpka naogopa😂😂😂
@ZuwenaMohammed-fp4yv3 ай бұрын
@@AgnesDavid-et3zn yaan yahuyo dada kidg yalonikuta miye achaa tu mungu ndo anajua
@ZuwenaMohammed-fp4yv3 ай бұрын
@@CherylEdward-em8ix unaogopa nn sasa mm asaiv nimeacha kupenda🤣🤣🤣💗
@AgnesDavid-et3zn3 ай бұрын
@@ZuwenaMohammed-fp4yv kwahiyo yako makubwa kuliko ya huyo pole dada
@hellendaniel38093 ай бұрын
Yaaan bora utunze wazazi wako wakubariki kuliko hicho kibuyu Daniel. Pole. Achana na mapenzi kwasasa lea mtoto
@gladnessbelonda50053 ай бұрын
😂😂 kibuyu
@angonzamujunangoma87753 ай бұрын
Dada achana na huyu mme,lea mtoto wako na fatuta pesa
@johasaeed3913 ай бұрын
Yaani hamna eti amepangishia why wasikae nyumba moja😂😂😂😂
@mishimzihir4213 ай бұрын
Heti mm nashangaa
@nikrahayubu-sz3pw3 ай бұрын
Unajua pamoja na vyote kuwa ana afamya mapenzi kisiri Siri lbd hatak family yake ijue kuish na mtu Ambae hajakuowa
@ingabireshakira96312 ай бұрын
Fatuta pesa😂
@johasaeed3912 ай бұрын
@@ingabireshakira9631 mbona kaeleweka unamkosoa nini kwa typ haimuachagi mtu salama hata wewe ushakosea sana tu
@sophyliciouzmushi29523 ай бұрын
Huyu dada anataka kufanana na nanadolz,hadi anavyoongea,ila my dear pambania maisha ya mtt wako tu!Mwanaume sio ndugu yako!
@LilianSita-tr6wj3 ай бұрын
Kbs
@sophsoph47402 ай бұрын
Kbs
@bathoromeorichad29573 ай бұрын
Sema mwamba hajatuangusha wakulungwa zote kaz 😅😅😅😅ila sasa kazini kwake kuna kaz😂😂😂
@RemaKviewshoursago3 ай бұрын
😂😂😅😅
@HappySeverine3 ай бұрын
😂 Au sioo
@user-pi8jr5jp4c3 ай бұрын
Mapenzi yameshindikana India mutayawesa African 😂😂😂
@meshacklekie40023 ай бұрын
😂😂😂😂
@tonomiale57863 ай бұрын
@@meshacklekie4002🤣🤣🤣
@macsun67273 ай бұрын
Mr. UKY bwana Ukweli ni mzuri jinsi unavochanganya ngeli unaharibu...
@aminaomary5567Ай бұрын
Mtangazaji ebu punguza kingereza. Kwa sababu sio wote wanaoangalia wasomi. Kipindi chako kizuri sana ❤❤🎉🎉
Mdogo wangu Uky ungeachana na kingereza huja kimudu vizuri Una kikongoa Sana.
@StellahSaid3 ай бұрын
Naisubir part 2 apigiwe cm Daniel achaguee!!mapenz msenge sanaa aloo
@GoodluckAlex-vd6vc3 ай бұрын
Ukishakua single mother ni maumivu kupata mwanaume atakaekubali mechi ianze moja bila ni ngumu labda kama ana shida sana
@mohammedipaulo76192 ай бұрын
Daaah aise kuna wanaume wengeni hawana bahati sana kwakweli yani kupata. Mwanamke kama huyu
@Humanity212163 ай бұрын
Ummy kajaje huku 😂😂, my friend kaumia sana ila kuja kwa media kateleza
@Enocky-pv5ui3 ай бұрын
Oy bila kuongea ukweri sio vizuri huyu mwanaume unajua kuchagua du mana whote niwasitaribu hata akisema Aishi nao Haina shida 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@hidayaswai311922 күн бұрын
Ila wanawake tukome viherehere sb sisi hatupaswi kuhudumia na kupenda jamaniii. Khaaaa. Tatizo siku hizi hatujielewi
@ZawadBartholomew18 күн бұрын
Unachotakiwa kumsaidia mwanaume wako ni chakula na maji tu ukimfanya awe wa hadhi ya juu atakuacha atafute wa hadhi yake yaani hawa wanaume ukimtoa babu yangu wote mbwa tu😮😮
Dah yani mapenzi nayaenzi asante mama kwa kunizaa mwanaume ila mm #mungu kanipa kilema na mwendo uliopitilizà
@user-uk3vr1oi9m2 ай бұрын
Jmn immh
@efrahfarahahmed8960Ай бұрын
Nenda kafunge duka hilo mtupe huko akajifunze wadada msihudumie wanaume labda au mume wako tena mkiwa na watoto halafu mgonjwa ukimuhudumia ni sawa
@LatifaIddy-tj1fv3 ай бұрын
Hapo kwenye kumuhudumia mwanaume😂
@lilianNdossa-dk5ts2 ай бұрын
Apo apo sijui nguvu katolea wap
@jacklinejackson96003 ай бұрын
Kwani hizo pesa za kumpangia mwanaume mnazotoa wapi😅😅😅
@user-tw9wu2gz4g3 ай бұрын
Sio kila mwanamke tegemezi kama marehemu.
@user-xc1vv5ut3l3 ай бұрын
Ata mm najiulizaga .
@rehemaMkumbo-mf5gs3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-xe6yq8pw9j3 ай бұрын
Imenibid nicoment jmn uyo mdada ni msaarabu sanah jmn 😻💓💓
@UmayyaNkya-ze3ri3 ай бұрын
Ndio kina ummy huwaga ni wastaarabu sana sie😂😂
@comfort-rjtv32913 ай бұрын
Wanaumeeee! Mr uky nimependa swali kwamba unamamzungumziaje Daniel kiufupi Daniel Wa ummy na Wa dorvin ni watu wawili tofauti
@jenipherishengoma12393 ай бұрын
Jinga kumpangishia na kumuhudumia mwanaume ni kumzarau mwanaume na majukumu yake kwendaaaaaaaa na lazima ungelia tu
@hellenasylivester10673 ай бұрын
Tena mjinga haswa huyu dada. Mwanaume hahudumiwi jaman kwani wenzetu mnasomaga vitabu gani vya dini nyieee mnakeraa sanaa
@tanzcanmediatv44733 ай бұрын
Mimi nimehamia jwenye kilimo cha maparachichi wanaume nimepumzika
@user-uq9wr2ck2f3 ай бұрын
Nakukubali sn we kaka man mnasaidia sn wadda
@LoyceTamsony3 ай бұрын
Wanaume ni ukwaju tena mchachu😂
@kyannickk2be3 ай бұрын
😅
@LatifaKinanay3 ай бұрын
Wanaume ni wadudu🙏😂😂
@Ummy-c7n28 күн бұрын
Ww unadhalilisha kina ummy hatunaga tabia ya kulea waume ovyo😂😂
@clarapiaelias87673 ай бұрын
Kitu siwezi kwenye maisha yangu kulea mbaba mwenye nywele zote na zimekoaa
@KaguttaEdson3 ай бұрын
Mapenzi yanekuwa magumu sana, jaribuni na ufugaji.
@ziddyziddy2524Ай бұрын
😅😅😅😅
@Aishatheboss1172 ай бұрын
Mimi nitajalibu kilimo nione🤣🤣🤣
@Sophlizzy213 ай бұрын
Siku nyingine ni bora muongee kiswahili mwanzo mwisho kuliko kuchanganya na kingereza mpaka mnakosea. Haya huyo dada kasema “the gay” badala ya “the guy”
@user-ji9wf9dh8h3 ай бұрын
Ebu itamke tuone tofauti
@SofiaMasawe3 ай бұрын
😂😂😂
@ZeyanaKhamismashaka3 ай бұрын
Mapenzi shikamoo😂😂😂😂😂 kwa kweli likufikaa jambo ndo utajuwa mapenz ni nii😂😂😂😂
@josephmwalasub90013 ай бұрын
Daah polee xana dada mtu ambae haelewi nn maana ya maisha hawez kuwa na huruma baadhi ya wanaumee au wanawake wanawatumia wenzao km daraja la kufikia mahala flan kw mgongo wa mahusiano au maisha haya ya Kila siku la msingi nikufocus na kujitafuta to umuwekee misingi mizur mwanao Hawa wanaumee hiii tutakufaa vibaya jmn mmh
@SalomeSylvester-er3rq3 ай бұрын
Bi mdogo umejipa asilimia zote uko pekeako 😢wanaume ni nyoko hamnaga mwanaume singlee
@Denismayeye183 ай бұрын
Pole sana dada usikate tamaa we ni mzur sana
@user-fx7ig1uy6t2 ай бұрын
Yeah..mi mrembo
@Denismayeye182 ай бұрын
I think na mm nipate bint mrembo kama wewe
@RashdaAbdallahMahuwile3 ай бұрын
Ila mimi kiukweli mapenz yatanisamee akitokea wa kunitapeli anitapeli kipande chote ch ngozi yng lkn co kwny kumgharamia mmmh 🙌🙌🙌🙌tena nimemtoa mbwinde😅😅😅
@mwaamwetahussain99473 ай бұрын
Hayo ndio madhara ya kuhumia wanaume mwache mwanaume ajifaitie mwenyewe pole by the way
@FAUSTAMBAGA3 ай бұрын
Jamani tukome awa wanaume wamejizoesha hii tabia
@user-hn3tw5bu7y3 ай бұрын
Mm jamani moyo huwo sina wakumhudumiya kenge wamtu 😂😂😂 sujarigwa bado
@rebeccamayo9113 ай бұрын
😅😅😅😅
@JELSONMAUKI3 ай бұрын
Mganga wa Dani fundi nyie .😂😂😂 Alfu inaonekana demu hataki kuhachana na dani . Nakuita mara 3 we Dani, we dani, we dani mganga ako fundi 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
@mayahkim43903 ай бұрын
Yani iki kizazi chetu mwanamke una ujasiri kbsa wa kusema nimempangia dani namhudumia dani daaaah
@AlexNswila-g1q12 күн бұрын
Uwo ni ujinga wenu wanaume wapo kibao munalalama apoapo
@neykombe8831Ай бұрын
Ni kwamba wanawake mmekata tamaa hvy mpk mnawapa wanaume pesa jmn mbon dada mzuri hvy kwann unajikatia tamaa hvy me lishangaz wa miaka 33 lkn sijajikatia tamaa
@Nalee-f5b3 ай бұрын
Achen kufanya kazi nusunusu mpakq tubembeleze part 2 jamn
@sophykivuyo3 ай бұрын
Mnanishangaza mnapowalilia maboyfriend😂😂😂😂😂😂, move dd pengine sio fungu lako
@lucymallya43483 ай бұрын
Kwahyo ulifkiri ukimlea mwanaume ndo atakupenda peke yako pole dada😂😂😂
@MeryMrosso25 күн бұрын
Kingereza chako kinanifanya klipu zako sifuatili mpaka mwisho ongea kiswail
@saeaaa85712 ай бұрын
Na kwann wew umuhudumje jmn ikiw n wajibu wake kukuhudumia wew na si yeye
@FAUSTAMBAGA3 ай бұрын
kingine tujifunze kumpenda sana mwanaume isiwe tiketi ya kumzalia mnaongeza idadi ya masingo maza
@Humanity212163 ай бұрын
Uyo Daniel sio baba wa mtoto wa ummy ni wana mahusiano tu
@jeromiiydaniely33613 ай бұрын
Ohhhhh Lea mtoto pisi Kali wewe achana na huyo mwanaume no future hapo
@user-el6nq6ko2o2 ай бұрын
Oooy wadau asee hii mbona ni hatary na mtotonwa kiume halelewi anatunzwa🤣🤣🤣
@AbuuHajАй бұрын
Mmmh shkamoo mapenzi❤❤🎉
@habibaraphael65833 ай бұрын
Pole my ndio ujifunze mwendelezo
@EVERINAAHUNGU-cv3dq2 ай бұрын
Nimepend ni waelewa sana
@leahmatima3971Ай бұрын
Huyo ndio Daniel Mengine tuwaachie 😂😂😂
@jenifapaul33693 ай бұрын
Pole dda ila kukupenda uchizi kwanni msinge kaa pamoja
@AKRAMSTEWART3 ай бұрын
Big up bro you know how to make wounderful scene ❤
@glorykasanga76633 ай бұрын
Ndo asili ya mwanaume Dada kuhudumia kwahiyoo Mungu akutie nguvu tuu uvuke apo 😂😂 ila nimecheka umemtoa huko, ukampangishia mkaka nguvu umetoa wapi? Kwani izo Ela umetoa wapi???😮 wadada wa Dar mnashangazaa jman am shocked 😲 😯
@happiefrancis8824Ай бұрын
Mi hapo sijaelewa sa si ana duka la perfume kwanini bado unamlipia pango jamni wanawake tusijitwike majukumu ya wanaume
@EnaraMfwango3 ай бұрын
Dad ogop mwanaum anaitwa Danny kimbia nin maan mm nin historian na Iko jina
@fridakaria99043 ай бұрын
Hata mm na historia na Hilo jina , we acha tu
@LilianMassawe-ix3sx3 ай бұрын
Na kevoo😮😮
@rachelcharles23833 ай бұрын
Hivi ujasir wa kumuhudumia mwanaume hua mnautoa wap😂😂😂😂
@lidyakinono99172 ай бұрын
Hivi watu mnapata wapi nguvu za kuhudumia wanaume 😂😂😂😂
@user-mt1jh4gx2g2 ай бұрын
We acha tu
@neemareuben3113 ай бұрын
Kwa mm jaman kiukweli haya mapenzi ni nyoko ni nyoko sana kiufupi hya mapenzi mahusiano nawahachia makanji bahiii huko mumbai 😅😅😅 ila na ww single maza kichwan haupo sawaaa kbsaa
Na una hela dada yakumpangia ata chumba analala hadii na mwanamke mwingne jmniii bora mie ata nikiombwa buku najulikana sina
@luciamsani2 ай бұрын
Aisee kumbe wanawake Bongo mna hela eeeh una hustle then unamuhudumia mwanaume easly wakati una mtoto kwanini usiwekeze kwa mwanao😭😭😭
@lizybethkimwery27732 ай бұрын
Ila wanaume wenye majina ya Dan hapana mh🙌🙌🙌
@theajoicy2 ай бұрын
Iv kumbe Kuna wanawake wapumbavu jmn 🤣🤣
@neemaneychricious64933 ай бұрын
block hiyo biashar arudi kijijin mana hana akili na ucrudie kumpa mwanaume hela ni saw na mwanamke japo na mim ni mwanamke lakn unanunuliw gar mda huo afu unampenda anayekuwekea mafut hahahaha hatr na nusu mapenzi tuwaachie wahindi na wakorea tu tukalime shambn
@ChristinaChumi-or9bb3 ай бұрын
Hela za kuwapa hawa wenzetu mnapataga wap jamani😀😀😀
@JemimaMdota3 ай бұрын
We dada upendwi unavumiliwa na hela zako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samirnasri69913 ай бұрын
Dada wa watu mzr san tatz nn boy tunapend kuwatesa watot wazr
@jescachandarua58983 ай бұрын
😂😂😂😂unalilia mapnz kwani love is all about money mamaa mwanaume muhudumie uwezavyo ila ataenda kuhudumia ampendae🥺
@مناسكالراشديАй бұрын
Hivi hiii nikweri au mipango 😂😂
@Rachelshirima-t9kАй бұрын
mshumii de Ummy.......Nmekumc jmn from kiraenigrls member
@najathtemo39082 ай бұрын
Mmh,wanawake wengine mijinga kabisa unawezaje kumuhudumia mwanaume 😂tena hajakuoa hujazaa nae ww nilijinga hyo dani akupendi anapenda hizo huduma zako😂 haya pole yako mama huruma😅
@mariamhakim1463Күн бұрын
Daa huu niujinga😢😢
@joycethomas2623 ай бұрын
Dada mwanaume hasapotiwi financially ni emotionally tu
@UmmyDaudi3 ай бұрын
Jamani wajina na wewe pia kenge ana kuumiza kichwa timua akalime mihogo uko kwao
@Barakakadama21 күн бұрын
Aise Kuna watu hawajielewi
@khadidjaabdi-hd8py3 ай бұрын
Hakuna mwanaume wapeyako 😂 hata umpee nini kukuchet nikawaida yakoo baadhi ya wanaumee
@neliciousmtata53092 ай бұрын
af dani mwenyewe ukute mlamba lips kimoja chali kinembe hakichezi af anakoromA aiseeee🙌🏼
@ziddyziddy2524Ай бұрын
😅😅😅
@zawadichalale40473 ай бұрын
So huyu anamhudumia mwanaume anamhonga then mwanaume anahonga mwanamke mwingine what a chain! Yaani mwanamke anakula pesa ya mwanamke mwenzie through mwanamme loh!
@RosechandeRosechande3 ай бұрын
Kwani wanatumia kigezo gani mpaka wanalea mwanaume jaman mwanamke inatakiwa utunzwe kyeee lazima usalitiwe
@frankbunyoga78413 ай бұрын
Kuna watu wana bahati ya kupata wanawake ila sasa duuu,, ,,,,,, ila sisi sasa tunaojikuta ku care mmmhhh