No video

MAPENZI YA BONGO pt1

  Рет қаралды 81,479

Mr Uky

Mr Uky

Күн бұрын

Devid Ameleta mzozo Kati ya Ummy na Dorv

Пікірлер: 442
@eunicegerminus193
@eunicegerminus193 3 ай бұрын
Mapenzi yamekuwa mabaya jaribuni na kilimo😂😂😂😂
@meshacklekie4002
@meshacklekie4002 3 ай бұрын
😂😂😂
@godfreyerjames3837
@godfreyerjames3837 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@ramadhaniabdulabdul
@ramadhaniabdulabdul 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@LINETHMUNUO
@LINETHMUNUO 3 ай бұрын
😂😂
@jobutv7688
@jobutv7688 3 ай бұрын
Umenifurahisha mwanangu
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 3 ай бұрын
Kiufpi chukuwa vitu vyako kafungie stoo Daniel uachane naye unatuangusha singo mazaaa😂😂😂
@AbisinaRashidi-wg5jt
@AbisinaRashidi-wg5jt 3 ай бұрын
Tangu nitendwe naogopa hata kuambiwa nakupenda na mpaka sasa mwaka wa tatu sina mtu naogopa ndo nimekua saidia fundi maana sijasoma na mwanaume alikua msomi kapata msomi mwenzie nikasema sijakua na mtu wakunisomesha kwaio nabeba zege ila naamini ipo siku mungu atanipa wangu tu
@user-dl3ny3qf6y
@user-dl3ny3qf6y 2 ай бұрын
Pole sana mungu yupo
@AlexNswila-g1q
@AlexNswila-g1q 12 күн бұрын
Tupo uku
@jafarysoahsoah8530
@jafarysoahsoah8530 3 ай бұрын
Yaani unapata mwanamke mzuri anapambana na anaelewa Nini maana ya maisha na bado unacheet daaaah
@thabitimkufi7388
@thabitimkufi7388 3 ай бұрын
Aisee upele unawapata wasio na kuchaaa
@jafarysoahsoah8530
@jafarysoahsoah8530 3 ай бұрын
@@thabitimkufi7388 kweli kaka ani me sijui nina bahati Gani nakutana na mapaka yanayowaza viwanja tu qumamake 😂 nikimpata kama huyu ntampenda Hadi nimkere
@pachitofilm
@pachitofilm 2 ай бұрын
Tunajari bc😂😂😂
@BestonMfikwa
@BestonMfikwa 2 ай бұрын
Acha wanyooshwe wapuuzi hawa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
Ndomana kumuhudumia mwanaume siwez kwasababu hatakayokuja kulipaa😂😂utalia mara 2😢😢😢
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 3 ай бұрын
Mmmm mapenzi haya hatr tunasubili pati tu mm ctaki kumpa mtaji mwanaume jamani yalio nikuta makubwa Pole mdada jamani
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 3 ай бұрын
Yaani watu hawana huruma kbs
@monicambarikiwa9532
@monicambarikiwa9532 3 ай бұрын
💔inauma…. Ila huenda MUNGU alikuwa anamtumia Ummy ili kumfikisha mtu (Daniel) mahala fulani. And it looks like the game is over. Move on Mamaa😢 ni ngumu ila inawezekana. MUNGU analipa thawabu
@teddysisty320
@teddysisty320 16 күн бұрын
Jifunzeni kitu wanawake ukimuhudumia mwanaume ujue anakaa na wewe coz ya pesa zake lakini inreal sense wewe hakupendi
@divadivana368
@divadivana368 3 ай бұрын
Leaa tu mwanao dear Achanaa na huyoo mwanaumee hanaa malengo yoyote na wewe ndg yang focus on your goals mbonaa we mrembo na bdo mdogo jmniii komaaaa dear Achanaaa na huyoo kaka aiseeee, , , yaaaan mpk napataaa hasiraaaa
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 3 ай бұрын
Kiupande wangu, mapenzi na waachia WAHINDI🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@WelimaNyamwanja
@WelimaNyamwanja 3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Ewaaaaaaa ilooo naloo neno
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 3 ай бұрын
@@WelimaNyamwanja 😅😅😅🤣😂🤣
@ZuwenaMohammed-fp4yv
@ZuwenaMohammed-fp4yv 3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 kwakwel sikuhiz nawaza maokoto Tu ndo kila kitu 🙌🙌
@LatifaKinanay
@LatifaKinanay 3 ай бұрын
Kula tu ndio kitu pekee hunisumbua haya mapenzi sharukh Khan aendelee nayo😂😂
@AgnesDavid-et3zn
@AgnesDavid-et3zn 3 ай бұрын
@@LatifaKinanay 😂😂😂 nimecheka kama fala
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 3 ай бұрын
😂😂😂jamani mtoto wa kiume usiomzaa audumiwi tujifunze
@rabiarashid1721
@rabiarashid1721 3 ай бұрын
😂😂😂 serious
@juliethswai4263
@juliethswai4263 3 ай бұрын
na ukianza kumuhudumia nae anaenda kuhudumia mwingine
@user-lh2ul3nb6h
@user-lh2ul3nb6h 3 ай бұрын
Binafsi suweziii
@hellenasylivester1067
@hellenasylivester1067 3 ай бұрын
Nilikuwa natafuta hii comment. Unawezaje kumlea mwanaume km hivo?? Mkiambiwa jueni thamani zenu mabinti mnaona wanawaonea wivu. Rubbish
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
Nashangaaaaaaaaaaa had nalia jmn wahi nihudumie mtot wa mtu jmn😢😂😢😅😢😂😂😂😂
@safinandomba990
@safinandomba990 3 ай бұрын
Mwanaume ukimsaidia pesa anajua mwisho wa siku wewe uliempa utakuja mcontrol tu 😂kitu anafanya ni anatafuta mtu mwingine anaeweza kumcontroll 🤣🤚jamn mwanaume apewi pesa anatiwa moyo na nguvu ya kutafuta pesaa 💔
@user-nj2jl7jm2d
@user-nj2jl7jm2d 3 ай бұрын
hilo neno kbsa
@RosechandeRosechande
@RosechandeRosechande 3 ай бұрын
Kabisa akina akili
@user-ih9nd1yt8s
@user-ih9nd1yt8s 2 ай бұрын
Kweli kabisa hapo umenena
@MarieMichael-on6qu
@MarieMichael-on6qu 2 ай бұрын
Sure
@AtkaKalinga-ht3pi
@AtkaKalinga-ht3pi Ай бұрын
Kabisa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
Mimi naomba pepo la kumsaidia mwanaume kipesa stak mana kuja kulia mara mbili stak bora nlie mara moja
@mariachifupa4654
@mariachifupa4654 3 ай бұрын
Jina lenyeweee Daniel 😂😂😂....2lio single tuendelee kujifukizaa 🥱
@annastaziambelele3211
@annastaziambelele3211 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-du4zp1gw7x
@user-du4zp1gw7x 2 ай бұрын
😊😊😊
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 Ай бұрын
😅😅😅😅
@ZuwenaMohammed-fp4yv
@ZuwenaMohammed-fp4yv 3 ай бұрын
Aiseee naenjoy sanaa 😂pia najifunza mengi sana kupitia Mr uky
@AgnesDavid-et3zn
@AgnesDavid-et3zn 3 ай бұрын
Ila kuna mengine yanachekesha😂😂
@CherylEdward-em8ix
@CherylEdward-em8ix 3 ай бұрын
Yaan mpka naogopa😂😂😂
@ZuwenaMohammed-fp4yv
@ZuwenaMohammed-fp4yv 3 ай бұрын
@@AgnesDavid-et3zn yaan yahuyo dada kidg yalonikuta miye achaa tu mungu ndo anajua
@ZuwenaMohammed-fp4yv
@ZuwenaMohammed-fp4yv 3 ай бұрын
@@CherylEdward-em8ix unaogopa nn sasa mm asaiv nimeacha kupenda🤣🤣🤣💗
@AgnesDavid-et3zn
@AgnesDavid-et3zn 3 ай бұрын
@@ZuwenaMohammed-fp4yv kwahiyo yako makubwa kuliko ya huyo pole dada
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 3 ай бұрын
Yaaan bora utunze wazazi wako wakubariki kuliko hicho kibuyu Daniel. Pole. Achana na mapenzi kwasasa lea mtoto
@gladnessbelonda5005
@gladnessbelonda5005 3 ай бұрын
😂😂 kibuyu
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 3 ай бұрын
Dada achana na huyu mme,lea mtoto wako na fatuta pesa
@johasaeed391
@johasaeed391 3 ай бұрын
Yaani hamna eti amepangishia why wasikae nyumba moja😂😂😂😂
@mishimzihir421
@mishimzihir421 3 ай бұрын
Heti mm nashangaa
@nikrahayubu-sz3pw
@nikrahayubu-sz3pw 3 ай бұрын
Unajua pamoja na vyote kuwa ana afamya mapenzi kisiri Siri lbd hatak family yake ijue kuish na mtu Ambae hajakuowa
@ingabireshakira9631
@ingabireshakira9631 2 ай бұрын
Fatuta pesa😂
@johasaeed391
@johasaeed391 2 ай бұрын
@@ingabireshakira9631 mbona kaeleweka unamkosoa nini kwa typ haimuachagi mtu salama hata wewe ushakosea sana tu
@sophyliciouzmushi2952
@sophyliciouzmushi2952 3 ай бұрын
Huyu dada anataka kufanana na nanadolz,hadi anavyoongea,ila my dear pambania maisha ya mtt wako tu!Mwanaume sio ndugu yako!
@LilianSita-tr6wj
@LilianSita-tr6wj 3 ай бұрын
Kbs
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
Kbs
@bathoromeorichad2957
@bathoromeorichad2957 3 ай бұрын
Sema mwamba hajatuangusha wakulungwa zote kaz 😅😅😅😅ila sasa kazini kwake kuna kaz😂😂😂
@RemaKviewshoursago
@RemaKviewshoursago 3 ай бұрын
😂😂😅😅
@HappySeverine
@HappySeverine 3 ай бұрын
😂 Au sioo
@user-pi8jr5jp4c
@user-pi8jr5jp4c 3 ай бұрын
Mapenzi yameshindikana India mutayawesa African 😂😂😂
@meshacklekie4002
@meshacklekie4002 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@tonomiale5786
@tonomiale5786 3 ай бұрын
@@meshacklekie4002🤣🤣🤣
@macsun6727
@macsun6727 3 ай бұрын
Mr. UKY bwana Ukweli ni mzuri jinsi unavochanganya ngeli unaharibu...
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
Mtangazaji ebu punguza kingereza. Kwa sababu sio wote wanaoangalia wasomi. Kipindi chako kizuri sana ❤❤🎉🎉
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 3 ай бұрын
Wadada wanapenda kupendwa Jamaa kalipa vitu vyote tyr kapewa mzigo
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 29 күн бұрын
Mdogo wangu Uky ungeachana na kingereza huja kimudu vizuri Una kikongoa Sana.
@StellahSaid
@StellahSaid 3 ай бұрын
Naisubir part 2 apigiwe cm Daniel achaguee!!mapenz msenge sanaa aloo
@GoodluckAlex-vd6vc
@GoodluckAlex-vd6vc 3 ай бұрын
Ukishakua single mother ni maumivu kupata mwanaume atakaekubali mechi ianze moja bila ni ngumu labda kama ana shida sana
@mohammedipaulo7619
@mohammedipaulo7619 2 ай бұрын
Daaah aise kuna wanaume wengeni hawana bahati sana kwakweli yani kupata. Mwanamke kama huyu
@Humanity21216
@Humanity21216 3 ай бұрын
Ummy kajaje huku 😂😂, my friend kaumia sana ila kuja kwa media kateleza
@Enocky-pv5ui
@Enocky-pv5ui 3 ай бұрын
Oy bila kuongea ukweri sio vizuri huyu mwanaume unajua kuchagua du mana whote niwasitaribu hata akisema Aishi nao Haina shida 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 22 күн бұрын
Ila wanawake tukome viherehere sb sisi hatupaswi kuhudumia na kupenda jamaniii. Khaaaa. Tatizo siku hizi hatujielewi
@ZawadBartholomew
@ZawadBartholomew 18 күн бұрын
Unachotakiwa kumsaidia mwanaume wako ni chakula na maji tu ukimfanya awe wa hadhi ya juu atakuacha atafute wa hadhi yake yaani hawa wanaume ukimtoa babu yangu wote mbwa tu😮😮
@user-xf3mg6qr7d
@user-xf3mg6qr7d 3 ай бұрын
Shakukushauri dada uyo Jamaa Achana nae mfukuze mrudishe kijijini uyo Jamaa hafai kabisa
@braithe100
@braithe100 2 ай бұрын
acha roho mbaya
@user-xf3mg6qr7d
@user-xf3mg6qr7d 2 ай бұрын
@@braithe100 mchukuwe ww ukae nae mwenyewe roho nzur
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 3 ай бұрын
Ila uyu mwenye mtoto NI MSTAARABU.. MNGU akupe subra...NI mtihani kweli
@TumainiMaseta
@TumainiMaseta 3 ай бұрын
Yani hawa mmbwa hawabebeki
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 3 ай бұрын
Ni mstaarabu kwenye camera ila ana matatizo sana
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 3 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 😂 😂 🤣 🤣 🤣 ​@@elishakayagwa9371
@RamiaMavengu
@RamiaMavengu 3 ай бұрын
Dah yani mapenzi nayaenzi asante mama kwa kunizaa mwanaume ila mm #mungu kanipa kilema na mwendo uliopitilizà
@user-uk3vr1oi9m
@user-uk3vr1oi9m 2 ай бұрын
Jmn immh
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Ай бұрын
Nenda kafunge duka hilo mtupe huko akajifunze wadada msihudumie wanaume labda au mume wako tena mkiwa na watoto halafu mgonjwa ukimuhudumia ni sawa
@LatifaIddy-tj1fv
@LatifaIddy-tj1fv 3 ай бұрын
Hapo kwenye kumuhudumia mwanaume😂
@lilianNdossa-dk5ts
@lilianNdossa-dk5ts 2 ай бұрын
Apo apo sijui nguvu katolea wap
@jacklinejackson9600
@jacklinejackson9600 3 ай бұрын
Kwani hizo pesa za kumpangia mwanaume mnazotoa wapi😅😅😅
@user-tw9wu2gz4g
@user-tw9wu2gz4g 3 ай бұрын
Sio kila mwanamke tegemezi kama marehemu.
@user-xc1vv5ut3l
@user-xc1vv5ut3l 3 ай бұрын
Ata mm najiulizaga .
@rehemaMkumbo-mf5gs
@rehemaMkumbo-mf5gs 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-xe6yq8pw9j
@user-xe6yq8pw9j 3 ай бұрын
Imenibid nicoment jmn uyo mdada ni msaarabu sanah jmn 😻💓💓
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 3 ай бұрын
Ndio kina ummy huwaga ni wastaarabu sana sie😂😂
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 3 ай бұрын
Wanaumeeee! Mr uky nimependa swali kwamba unamamzungumziaje Daniel kiufupi Daniel Wa ummy na Wa dorvin ni watu wawili tofauti
@jenipherishengoma1239
@jenipherishengoma1239 3 ай бұрын
Jinga kumpangishia na kumuhudumia mwanaume ni kumzarau mwanaume na majukumu yake kwendaaaaaaaa na lazima ungelia tu
@hellenasylivester1067
@hellenasylivester1067 3 ай бұрын
Tena mjinga haswa huyu dada. Mwanaume hahudumiwi jaman kwani wenzetu mnasomaga vitabu gani vya dini nyieee mnakeraa sanaa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 ай бұрын
Mimi nimehamia jwenye kilimo cha maparachichi wanaume nimepumzika
@user-uq9wr2ck2f
@user-uq9wr2ck2f 3 ай бұрын
Nakukubali sn we kaka man mnasaidia sn wadda
@LoyceTamsony
@LoyceTamsony 3 ай бұрын
Wanaume ni ukwaju tena mchachu😂
@kyannickk2be
@kyannickk2be 3 ай бұрын
😅
@LatifaKinanay
@LatifaKinanay 3 ай бұрын
Wanaume ni wadudu🙏😂😂
@Ummy-c7n
@Ummy-c7n 28 күн бұрын
Ww unadhalilisha kina ummy hatunaga tabia ya kulea waume ovyo😂😂
@clarapiaelias8767
@clarapiaelias8767 3 ай бұрын
Kitu siwezi kwenye maisha yangu kulea mbaba mwenye nywele zote na zimekoaa
@KaguttaEdson
@KaguttaEdson 3 ай бұрын
Mapenzi yanekuwa magumu sana, jaribuni na ufugaji.
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 Ай бұрын
😅😅😅😅
@Aishatheboss117
@Aishatheboss117 2 ай бұрын
Mimi nitajalibu kilimo nione🤣🤣🤣
@Sophlizzy21
@Sophlizzy21 3 ай бұрын
Siku nyingine ni bora muongee kiswahili mwanzo mwisho kuliko kuchanganya na kingereza mpaka mnakosea. Haya huyo dada kasema “the gay” badala ya “the guy”
@user-ji9wf9dh8h
@user-ji9wf9dh8h 3 ай бұрын
Ebu itamke tuone tofauti
@SofiaMasawe
@SofiaMasawe 3 ай бұрын
😂😂😂
@ZeyanaKhamismashaka
@ZeyanaKhamismashaka 3 ай бұрын
Mapenzi shikamoo😂😂😂😂😂 kwa kweli likufikaa jambo ndo utajuwa mapenz ni nii😂😂😂😂
@josephmwalasub9001
@josephmwalasub9001 3 ай бұрын
Daah polee xana dada mtu ambae haelewi nn maana ya maisha hawez kuwa na huruma baadhi ya wanaumee au wanawake wanawatumia wenzao km daraja la kufikia mahala flan kw mgongo wa mahusiano au maisha haya ya Kila siku la msingi nikufocus na kujitafuta to umuwekee misingi mizur mwanao Hawa wanaumee hiii tutakufaa vibaya jmn mmh
@SalomeSylvester-er3rq
@SalomeSylvester-er3rq 3 ай бұрын
Bi mdogo umejipa asilimia zote uko pekeako 😢wanaume ni nyoko hamnaga mwanaume singlee
@Denismayeye18
@Denismayeye18 3 ай бұрын
Pole sana dada usikate tamaa we ni mzur sana
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 2 ай бұрын
Yeah..mi mrembo
@Denismayeye18
@Denismayeye18 2 ай бұрын
I think na mm nipate bint mrembo kama wewe
@RashdaAbdallahMahuwile
@RashdaAbdallahMahuwile 3 ай бұрын
Ila mimi kiukweli mapenz yatanisamee akitokea wa kunitapeli anitapeli kipande chote ch ngozi yng lkn co kwny kumgharamia mmmh 🙌🙌🙌🙌tena nimemtoa mbwinde😅😅😅
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 3 ай бұрын
Hayo ndio madhara ya kuhumia wanaume mwache mwanaume ajifaitie mwenyewe pole by the way
@FAUSTAMBAGA
@FAUSTAMBAGA 3 ай бұрын
Jamani tukome awa wanaume wamejizoesha hii tabia
@user-hn3tw5bu7y
@user-hn3tw5bu7y 3 ай бұрын
Mm jamani moyo huwo sina wakumhudumiya kenge wamtu 😂😂😂 sujarigwa bado
@rebeccamayo911
@rebeccamayo911 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 3 ай бұрын
Mganga wa Dani fundi nyie .😂😂😂 Alfu inaonekana demu hataki kuhachana na dani . Nakuita mara 3 we Dani, we dani, we dani mganga ako fundi 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
@mayahkim4390
@mayahkim4390 3 ай бұрын
Yani iki kizazi chetu mwanamke una ujasiri kbsa wa kusema nimempangia dani namhudumia dani daaaah
@AlexNswila-g1q
@AlexNswila-g1q 12 күн бұрын
Uwo ni ujinga wenu wanaume wapo kibao munalalama apoapo
@neykombe8831
@neykombe8831 Ай бұрын
Ni kwamba wanawake mmekata tamaa hvy mpk mnawapa wanaume pesa jmn mbon dada mzuri hvy kwann unajikatia tamaa hvy me lishangaz wa miaka 33 lkn sijajikatia tamaa
@Nalee-f5b
@Nalee-f5b 3 ай бұрын
Achen kufanya kazi nusunusu mpakq tubembeleze part 2 jamn
@sophykivuyo
@sophykivuyo 3 ай бұрын
Mnanishangaza mnapowalilia maboyfriend😂😂😂😂😂😂, move dd pengine sio fungu lako
@lucymallya4348
@lucymallya4348 3 ай бұрын
Kwahyo ulifkiri ukimlea mwanaume ndo atakupenda peke yako pole dada😂😂😂
@MeryMrosso
@MeryMrosso 25 күн бұрын
Kingereza chako kinanifanya klipu zako sifuatili mpaka mwisho ongea kiswail
@saeaaa8571
@saeaaa8571 2 ай бұрын
Na kwann wew umuhudumje jmn ikiw n wajibu wake kukuhudumia wew na si yeye
@FAUSTAMBAGA
@FAUSTAMBAGA 3 ай бұрын
kingine tujifunze kumpenda sana mwanaume isiwe tiketi ya kumzalia mnaongeza idadi ya masingo maza
@Humanity21216
@Humanity21216 3 ай бұрын
Uyo Daniel sio baba wa mtoto wa ummy ni wana mahusiano tu
@jeromiiydaniely3361
@jeromiiydaniely3361 3 ай бұрын
Ohhhhh Lea mtoto pisi Kali wewe achana na huyo mwanaume no future hapo
@user-el6nq6ko2o
@user-el6nq6ko2o 2 ай бұрын
Oooy wadau asee hii mbona ni hatary na mtotonwa kiume halelewi anatunzwa🤣🤣🤣
@AbuuHaj
@AbuuHaj Ай бұрын
Mmmh shkamoo mapenzi❤❤🎉
@habibaraphael6583
@habibaraphael6583 3 ай бұрын
Pole my ndio ujifunze mwendelezo
@EVERINAAHUNGU-cv3dq
@EVERINAAHUNGU-cv3dq 2 ай бұрын
Nimepend ni waelewa sana
@leahmatima3971
@leahmatima3971 Ай бұрын
Huyo ndio Daniel Mengine tuwaachie 😂😂😂
@jenifapaul3369
@jenifapaul3369 3 ай бұрын
Pole dda ila kukupenda uchizi kwanni msinge kaa pamoja
@AKRAMSTEWART
@AKRAMSTEWART 3 ай бұрын
Big up bro you know how to make wounderful scene ❤
@glorykasanga7663
@glorykasanga7663 3 ай бұрын
Ndo asili ya mwanaume Dada kuhudumia kwahiyoo Mungu akutie nguvu tuu uvuke apo 😂😂 ila nimecheka umemtoa huko, ukampangishia mkaka nguvu umetoa wapi? Kwani izo Ela umetoa wapi???😮 wadada wa Dar mnashangazaa jman am shocked 😲 😯
@happiefrancis8824
@happiefrancis8824 Ай бұрын
Mi hapo sijaelewa sa si ana duka la perfume kwanini bado unamlipia pango jamni wanawake tusijitwike majukumu ya wanaume
@EnaraMfwango
@EnaraMfwango 3 ай бұрын
Dad ogop mwanaum anaitwa Danny kimbia nin maan mm nin historian na Iko jina
@fridakaria9904
@fridakaria9904 3 ай бұрын
Hata mm na historia na Hilo jina , we acha tu
@LilianMassawe-ix3sx
@LilianMassawe-ix3sx 3 ай бұрын
Na kevoo😮😮
@rachelcharles2383
@rachelcharles2383 3 ай бұрын
Hivi ujasir wa kumuhudumia mwanaume hua mnautoa wap😂😂😂😂
@lidyakinono9917
@lidyakinono9917 2 ай бұрын
Hivi watu mnapata wapi nguvu za kuhudumia wanaume 😂😂😂😂
@user-mt1jh4gx2g
@user-mt1jh4gx2g 2 ай бұрын
We acha tu
@neemareuben311
@neemareuben311 3 ай бұрын
Kwa mm jaman kiukweli haya mapenzi ni nyoko ni nyoko sana kiufupi hya mapenzi mahusiano nawahachia makanji bahiii huko mumbai 😅😅😅 ila na ww single maza kichwan haupo sawaaa kbsaa
@SevelinaNandwike
@SevelinaNandwike 2 ай бұрын
Isha nkuta namim kumtoa kijjn kwao kumleta mjin nkamfungulia kibanda lkn haeleweki mpaka kesho nmemuacha alivo
@Reenkingu
@Reenkingu 3 ай бұрын
Na una hela dada yakumpangia ata chumba analala hadii na mwanamke mwingne jmniii bora mie ata nikiombwa buku najulikana sina
@luciamsani
@luciamsani 2 ай бұрын
Aisee kumbe wanawake Bongo mna hela eeeh una hustle then unamuhudumia mwanaume easly wakati una mtoto kwanini usiwekeze kwa mwanao😭😭😭
@lizybethkimwery2773
@lizybethkimwery2773 2 ай бұрын
Ila wanaume wenye majina ya Dan hapana mh🙌🙌🙌
@theajoicy
@theajoicy 2 ай бұрын
Iv kumbe Kuna wanawake wapumbavu jmn 🤣🤣
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 3 ай бұрын
block hiyo biashar arudi kijijin mana hana akili na ucrudie kumpa mwanaume hela ni saw na mwanamke japo na mim ni mwanamke lakn unanunuliw gar mda huo afu unampenda anayekuwekea mafut hahahaha hatr na nusu mapenzi tuwaachie wahindi na wakorea tu tukalime shambn
@ChristinaChumi-or9bb
@ChristinaChumi-or9bb 3 ай бұрын
Hela za kuwapa hawa wenzetu mnapataga wap jamani😀😀😀
@JemimaMdota
@JemimaMdota 3 ай бұрын
We dada upendwi unavumiliwa na hela zako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samirnasri6991
@samirnasri6991 3 ай бұрын
Dada wa watu mzr san tatz nn boy tunapend kuwatesa watot wazr
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 3 ай бұрын
😂😂😂😂unalilia mapnz kwani love is all about money mamaa mwanaume muhudumie uwezavyo ila ataenda kuhudumia ampendae🥺
@مناسكالراشدي
@مناسكالراشدي Ай бұрын
Hivi hiii nikweri au mipango 😂😂
@Rachelshirima-t9k
@Rachelshirima-t9k Ай бұрын
mshumii de Ummy.......Nmekumc jmn from kiraenigrls member
@najathtemo3908
@najathtemo3908 2 ай бұрын
Mmh,wanawake wengine mijinga kabisa unawezaje kumuhudumia mwanaume 😂tena hajakuoa hujazaa nae ww nilijinga hyo dani akupendi anapenda hizo huduma zako😂 haya pole yako mama huruma😅
@mariamhakim1463
@mariamhakim1463 Күн бұрын
Daa huu niujinga😢😢
@joycethomas262
@joycethomas262 3 ай бұрын
Dada mwanaume hasapotiwi financially ni emotionally tu
@UmmyDaudi
@UmmyDaudi 3 ай бұрын
Jamani wajina na wewe pia kenge ana kuumiza kichwa timua akalime mihogo uko kwao
@Barakakadama
@Barakakadama 21 күн бұрын
Aise Kuna watu hawajielewi
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 3 ай бұрын
Hakuna mwanaume wapeyako 😂 hata umpee nini kukuchet nikawaida yakoo baadhi ya wanaumee
@neliciousmtata5309
@neliciousmtata5309 2 ай бұрын
af dani mwenyewe ukute mlamba lips kimoja chali kinembe hakichezi af anakoromA aiseeee🙌🏼
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 Ай бұрын
😅😅😅
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 3 ай бұрын
So huyu anamhudumia mwanaume anamhonga then mwanaume anahonga mwanamke mwingine what a chain! Yaani mwanamke anakula pesa ya mwanamke mwenzie through mwanamme loh!
@RosechandeRosechande
@RosechandeRosechande 3 ай бұрын
Kwani wanatumia kigezo gani mpaka wanalea mwanaume jaman mwanamke inatakiwa utunzwe kyeee lazima usalitiwe
@frankbunyoga7841
@frankbunyoga7841 3 ай бұрын
Kuna watu wana bahati ya kupata wanawake ila sasa duuu,, ,,,,,, ila sisi sasa tunaojikuta ku care mmmhhh
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 Ай бұрын
Zote ni pic😊daadek
MAPENZI YA BONGO Pt 2
8:30
Mr Uky
Рет қаралды 88 М.
SHEMEJI KAJICHANGANYA
9:26
Mr Uky
Рет қаралды 51 М.
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 157 М.
FUMANIZI M/NYAMALA Pt2
8:05
Mr Uky
Рет қаралды 84 М.
LISSAH NA JACKLIN NANI NI EX WA NED!
8:06
Mr Uky
Рет қаралды 48 М.
SHEMEJI NA NEYLA
10:25
Mr Uky
Рет қаралды 106 М.
MKE NA MCHEPUKO WAKUTANA Part 1
11:13
Mr Uky
Рет қаралды 80 М.
NIMEKUACHIA UYO MWANAUME
8:49
Mr Uky
Рет қаралды 64 М.
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН