MAPYA YAIBUKA WANAOFANYA SURGERY MATATANI ZAIDI KWA KIFO.

  Рет қаралды 5,354

Mbengo Tv

Mbengo Tv

8 күн бұрын

Пікірлер: 20
@yusuphibrahim-yq9mv
@yusuphibrahim-yq9mv 7 күн бұрын
Dada letu tuna kupenda sana ndugu zako waislamu kwahilo vazi maashaalllahu
@user-jh7ru2sl6p
@user-jh7ru2sl6p 7 күн бұрын
Unapendeza sasa sasa mtangazaji wetu stara inakufanya uwe mrembo sana
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 2 күн бұрын
Sikuhizi mtangazaji unapendeza.👏
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 7 күн бұрын
Tatizo lipo kwa Watanzania wakike ,Kila kitu kinachoingia tunakupokea kwa Miko 2 bila kujua na kujali afya, pia tuangalie upande w2 wanao tuletea hizi huduma wao wanazitumia au Watanzania ni Kama jalala?!
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 күн бұрын
Umevaa vizur sio kila siku upo kama chizi
@RynoFiree
@RynoFiree 6 күн бұрын
Tumia lugha nzuri 😮😮
@user-tw7qm5mw4b
@user-tw7qm5mw4b 5 күн бұрын
Wanamkosoa sana mwenyezi Mungu wafege tu kwakweli na hao madaktari jamani wapatage hofu ya mwenyezi Mungu wamekua kama Mungu watu ewe mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema maana daa watu wana force mpaka dhambi
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 7 күн бұрын
Dk umeongea point kwawenye akili tumekupata vizuri ,,,kwamba ukishafanya surgery huo ni mwanzo tu bado utahitajika kwenda tu khitilafu Inajitokeza kila kukicha 😂😂😂 wanataka kumkosoa mungu
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 күн бұрын
Bora wakifanyiwa wote wafe
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 күн бұрын
😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 6 күн бұрын
Sio kujificha dada utaftaji ni mgumu hivyo unaona ukashinde kituoni ushinde njaa na watoto au ukatafute ule na watoto😢
@user-fl1xz3ln3c
@user-fl1xz3ln3c 7 күн бұрын
Hatari sana hii
@user-mb2ln1et5w
@user-mb2ln1et5w 7 күн бұрын
Wangejua familia zilizofiwa na wale vijana maumivu zinayoyapitia
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 күн бұрын
Bure ukipata kuonana nadocta labda ulale apo apo
@Marjeby
@Marjeby 3 күн бұрын
Nyie Mbengo online tv narudia tena kangalieni sana haka katangazaji kana waacha muda sio mwingi cz soko letu kubwa nowadays linataka presenter wa aina yake so wangalieni wakubwa
@mbengotv
@mbengotv 3 күн бұрын
Sawa
@naifathassan2607
@naifathassan2607 3 күн бұрын
Jamani mnanitisha me nishalipia kufanya tummy tuck
@mshambaused3840
@mshambaused3840 3 күн бұрын
😂😂😂Nenda achana na ushauri wadokt
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 3 күн бұрын
Kuna wakati nilianza kuwekeza hela nikapata ushauri wa doctors mmmh!! Nikala hela yangu.haya mambo kuna wakati inatisha ukifikiria kwenda theatre bila kuumwa.mmmmh!!!
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Күн бұрын
Ushaur mzr😂😂😂​@@mshambaused3840
MAAJABU: MATUNGURI YAKUTWA KANISA "WAUMINI WANACHAPWA VIBOKO"
7:24
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 209 М.
MAISHA  HALISI YA KIJANA "VOCHA" NA SKENDO YA KUITWA SHOGA
21:54
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 6
26:26
ZamaradiTV
Рет қаралды 8 М.
NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA
1:30:38
Official Dating Assistance
Рет қаралды 16 М.