Dada letu tuna kupenda sana ndugu zako waislamu kwahilo vazi maashaalllahu
@user-jh7ru2sl6p7 күн бұрын
Unapendeza sasa sasa mtangazaji wetu stara inakufanya uwe mrembo sana
@myunaniniahmad64632 күн бұрын
Sikuhizi mtangazaji unapendeza.👏
@user-nk3dp9cv9c7 күн бұрын
Tatizo lipo kwa Watanzania wakike ,Kila kitu kinachoingia tunakupokea kwa Miko 2 bila kujua na kujali afya, pia tuangalie upande w2 wanao tuletea hizi huduma wao wanazitumia au Watanzania ni Kama jalala?!
@sofitanzanian9556 күн бұрын
Umevaa vizur sio kila siku upo kama chizi
@RynoFiree6 күн бұрын
Tumia lugha nzuri 😮😮
@user-tw7qm5mw4b5 күн бұрын
Wanamkosoa sana mwenyezi Mungu wafege tu kwakweli na hao madaktari jamani wapatage hofu ya mwenyezi Mungu wamekua kama Mungu watu ewe mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema maana daa watu wana force mpaka dhambi
@shuwehaharuna63097 күн бұрын
Dk umeongea point kwawenye akili tumekupata vizuri ,,,kwamba ukishafanya surgery huo ni mwanzo tu bado utahitajika kwenda tu khitilafu Inajitokeza kila kukicha 😂😂😂 wanataka kumkosoa mungu
@sofitanzanian9556 күн бұрын
Bora wakifanyiwa wote wafe
@christinewomanoffaith54792 күн бұрын
😂
@nantaembanusurupia56746 күн бұрын
Sio kujificha dada utaftaji ni mgumu hivyo unaona ukashinde kituoni ushinde njaa na watoto au ukatafute ule na watoto😢
@user-fl1xz3ln3c7 күн бұрын
Hatari sana hii
@user-mb2ln1et5w7 күн бұрын
Wangejua familia zilizofiwa na wale vijana maumivu zinayoyapitia
@sofitanzanian9556 күн бұрын
Bure ukipata kuonana nadocta labda ulale apo apo
@Marjeby3 күн бұрын
Nyie Mbengo online tv narudia tena kangalieni sana haka katangazaji kana waacha muda sio mwingi cz soko letu kubwa nowadays linataka presenter wa aina yake so wangalieni wakubwa
@mbengotv3 күн бұрын
Sawa
@naifathassan26073 күн бұрын
Jamani mnanitisha me nishalipia kufanya tummy tuck
@mshambaused38403 күн бұрын
😂😂😂Nenda achana na ushauri wadokt
@sophiakimaro51743 күн бұрын
Kuna wakati nilianza kuwekeza hela nikapata ushauri wa doctors mmmh!! Nikala hela yangu.haya mambo kuna wakati inatisha ukifikiria kwenda theatre bila kuumwa.mmmmh!!!