Muziki uliopangwa ukapangika, sikia tu hiyo sauti ya waimbaji, mpangilio wa zana na vyiombo, magitaa, Saxophones, midomo ya bata, babu wee!!!!!!
@user-pv4ry5dn9j7 ай бұрын
Hatere
@vitalisoyoo-onyango10904 ай бұрын
How just I wish we could go back to time. So nostalgic!
@rutarutahindurwa20804 ай бұрын
2024 ... Nakuomba radhi mwenye makosa usamehewa😢
@MrButamu Жыл бұрын
If you don't like this then what else would you want from music? Masterpiece.
@gregorywafula85052 жыл бұрын
My high school days at St Mary's school yala in 1982-83❣️ Pure nostalgia!
@heraldloshi18646 жыл бұрын
Naukumbuka huu wimbo nikiwa kwa Babu Arusha,baada ya kipindi cha majira ndani ya redio Tanzania Dar es Salaam.
@Ambagaye10 жыл бұрын
At that time I was a high school student!! I used to play a tenor saxophone and an electric guitar, popularly known in Tanzania as a rhythm, which I had built myself using a hand-made carbon microphone.
@mkambangwa10 жыл бұрын
Hii bendi haitakuja kutokea nchini Tanzania...bonge la Songi...Ahsante sana Mkuu
@ogetoj6245 Жыл бұрын
Faha tele. Tulia ,Kaka. Yapo makubwa. Dr. Ogeto International
@gosogoso52873 жыл бұрын
Jamani enzi zile club raha leo show ilikuwa katika ubora wa hali ya juu mumetuwachia kumbukumbu ambazo hatuwezi kuzisahau,
@afrisainternational13205 жыл бұрын
Sasa hapa maneno yalipangwa vema nawapa asili Mia moja.100% nyimbo tamu .wasani Wa Leo zikizeni.
@gilbertjames78982 жыл бұрын
Yaan ukisikiliza hii ngoma kama wewe n mpenz wa bz ngoma dah unatoa machoz unasema kwa nn tunkufa hawa jamaa walikuwa Wap vzr san
@TalibHamad-bf1sn3 ай бұрын
Kwa kwili huwa nahisia kali za kukumbuka njuma daah wee Acha tuu lazima utokwe na mchozi
@essykate78698 жыл бұрын
Saa sita umetoka skuli jua li kee, kali kweli, una njaa mandondo yakarangwa jikoni, good ole days in Kenya.
@charlesodero75027 ай бұрын
My favorite by Marquis Du Zaire. A masterpiece. My best music group from Tanzania. Legends of E. Africa
@99graphix Жыл бұрын
KIYONGO, MAQUIS DU ZAIRE: KAMANYOLA BILA JASHO. Kiyongo mama njoo, unitulize roho niridhike. Kiyongo nakuhitaji mama mbona unaadimika eeh. Kiyongo karibu mama wangu wa maisha eeh. Ila habari napata uko Mwanza mama eeh. Nasengi yo nzoka bolingo kake obeti nga limbisa mamaa ah. Sina ubaya na wewe, samahani mama Kiyongo. (mwenye makosa, husamehewa). X3 Nasengi yo nzoka bolingo kake obeti nga limbisa mamaa ah. Sina ubaya na wewe, samahani mama Kiyongo. (mwenye makosa, husamehewa). CHR: 1. Silali tena mama ooh. (Kiyongo) Mahitaji yote sijali. (Kiyongo) Napata tabu mama. (Kiyongo) Mapenzi yamenihangaisha. (Kiyongo) Penda akupendae. (Kiyongo) Karibu wangu mama, (Kiyongo) Nakuomba radhi MWENYE MAKOSA HUSAMEHEWA. 2. Napata tabu mama. (Kiyongo) Mapenzi yamenihangaisha. (Kiyongo) Mpende akupendae. (Kiyongo) Karibu wangu mama. (Kiyongo) Nakuomba radhi MWENYE MAKOSA HUSAMEHEWA X3 Chekee chee chekee Chekechaaa Yaah! Teremuka... Teremuka... Teremuka... Teremuka... Poromoka... Poromoka... Poromoka... Chekee chee chekee Chekechaaa
@HamisiOmaryHussein-jp5pt8 ай бұрын
Kimeza njoooooo
@yasindewji16865 жыл бұрын
Ni nani anasoma hii mwaka 2019!! Legend music....inedumu muda!!
@susanwanjiro87344 жыл бұрын
Am here
@emmanuelkungubala39122 жыл бұрын
Ni utunzi wake ILUNGA BANZA a.k.a MCHAFU Bass guitarist
@mariamfritsi97617 жыл бұрын
hizo ndio ngoma za uhakika,hapo umekaa na kikombe cha chai,unaburudika na vitu kama hivyo,stress xote zinatoweka unatingisha miguu hapo,mh jamani time zingerudi ingawa kidogo tuedelee kupata midundo hii hii kila siku,na RTD yetu,26.06.17.
@najmasaleh92318 жыл бұрын
Wakongo wakichanganyika na watanzaia wanamwaga raha zama hizo .Hongera sana wenye mioyo ya kuendeleza muziki wa dansi kwa zama hizo mfano Mzee Hugo kisima
@kolonikewaratiba87976 жыл бұрын
kweli zilipendwa na zikapendeka na badi zinapendeka!
@vitalisoyoo5128 Жыл бұрын
One if the very best of my era. Sending me back to my Secondary school days at The City High School, Nairobi.
@NixonWaititu Жыл бұрын
It is still my best song
@vitalisoyoo-onyango10904 ай бұрын
@@NixonWaititu
@vitalisoyoo-onyango10904 ай бұрын
The Golden Era of Africa Rhumba music. There will never come such a time again in my lifetime!
@user-zq4hd3ks8k3 ай бұрын
Maquiz mlijua kutukonga nyoyo
@YahyaMbega27 күн бұрын
Kiongo maeda zowa ,chinyama chiaza hapo kwenye ckecha utaetoa
@jasonwamukota77714 жыл бұрын
Ever green music
@kibetabraham7355 Жыл бұрын
Powerful "mpende akupendaye"
@user-gv8yn9lg1i24 күн бұрын
Unanikumbusha mbali sana.
@josephchale65015 жыл бұрын
Chikongelo! Kweli nakumbuka mbali SANA kiongo
@kennedylikhaya13597 жыл бұрын
a solid voiced choir that has no equal
@shangaashangaa10 жыл бұрын
majura selekwa Mzee Luza Saxophonist wa Simba wanyika.....mwenge jazz ni baba yangu, mchungaji sikuizi.
@toshamezaw146010 жыл бұрын
na umesahau amepigia JAMHURI JAZZ pia watoto wa Tanga. Mzee alipuliza sana muwa pale ndipo wakaelekea Kenya na kina Wilson Peter/Kinyonga na George Peter
@Ambagaye10 жыл бұрын
Nadhani huyo ni Luza Elias John Mwasindila aliyekoleza wimbo wa "Sina Makosa." Alikuwa fundi sana wa Saxophone Tanzania kabla hajahamia Kenya; mshindani wake mkubwa Tanzania nadhani wakati huo alikuwa Michael Enoch tu. Anahubiri kanisa gani siku hizi.
@mapimwankemwa67789 жыл бұрын
***** asante sana Vumbi maestro mkuu wa magitaaaa,hahaaaha
@aloycetemba86527 жыл бұрын
Mapi Mwankemwa solo amekaa Nguza Viking na sio Vumbi
@Ambagaye7 жыл бұрын
+Dekula2, nilikuwa nacomment kuhusu post ya +Shangaashangaa kuhusu Mzee Luza aliyekuwa saxophonist was Simba wa Nyika, sikuwa na maana kuwa Mzee Luza ndiye aliyepiga sax la kiongo kwani mwaka huo wa 1980 wakati Kiongo inatoka, tayari Mzee Luza alikuwa akiishi Nairobi na Simba wa Nyika.
@taisanikelvin95037 жыл бұрын
kiongo nyimbo tamu sana ina nikosha roho sana
@user-gv8yn9lg1i24 күн бұрын
Nazipenda sana
@mutakhaallan6419 Жыл бұрын
Oh! When i was a child I used to think it was Liloko. Nice piece of slow music
@shangaashangaa10 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo tulizokuwa nazo
@miriamfritsi91839 жыл бұрын
Wimbo upo safi sana nakumbuka kaka yangu alikuwa akiupenda sana siku hizo basi na mimi pia nikawa naupeda.lo hisia zinarudi kwa kipindi kile kweli tulikuwa tukiishi kwa furaha sana na nyimbo hizo ndio zilizokuwa zikitamba redio tanzania.kaka nguzo endelea kutafuta kwenye maktaba yako ili uzidi kutukumbusha sisi wapenda old songs big up.
@emmanuelbabu78335 жыл бұрын
Hatari sana hiki kizazi
@gluyuku8 жыл бұрын
been looking for this songo but didnt know its name,just stumbled on it,great music,ndio zilikuwa zetu hizi
@sarunkissangas5314 жыл бұрын
Me too
@nasirally909810 жыл бұрын
kaka Nguzo wewe mkali embu dondosha za MK Group vijana wa magorofani chini ya mzee mzima Kasongo Mpinda Clayton, nyimbo kama Jua la asubuhi, Maumivu makali, Nishike mkono etc.. Pia dondosha za Sambulumaa band, Kurugenzi Jazz ya Arusha bila kuwasahau Washirika Tanzania Stars (Watunjatanjata).. Thanks bro, kweli wewe ni Power Nguzo!
@MAESTEROTAD8 жыл бұрын
halooooooo acha kabisa nakumbuka mbali sanaaaaa
@YahyaMbega27 күн бұрын
Wabagoe otirishi sup murae kitine wewe hufae k
@hajiabeid43043 жыл бұрын
Kimeza njooooo
@omaryulaya65247 жыл бұрын
vitu adimu sanaaaa
@YahyaMbega27 күн бұрын
Kwizi hiyo rangata hapo kinondoni bia sh 30 tax sh 20
@timmusumba5846 Жыл бұрын
Memories from Primary School...Had a neighbour called "Thiongo" and i used to make fun of him by singing this song by using is name "Thiongo" instead of "Kiongo"!
@newtonsimba79303 жыл бұрын
Good one.
@user-gv8yn9lg1i24 күн бұрын
Mzee Makassy bado yupo?
@jonathanfredman23566 жыл бұрын
Excellent - give us more!
@simonmanase326324 күн бұрын
Idhaa ya Biashara RTD 😭😭😭
@flowila829 жыл бұрын
yes chekecha selebuka
@stanleymashanya31602 жыл бұрын
Embeee
@ogetoj6245 Жыл бұрын
*Furaha tele.
@robertsylvester91752 жыл бұрын
Chekecha
@bornfe51275 жыл бұрын
baada ya dakika 4:00 vijana wa siku hizi hawawezi kuelewa mbona unaendelea kusikiza mziki huu