Wacha kujitamba asingelikuwa gumbo usingetoka kihivyooo alafu unadharau sana hata bagamoyo ulilala kwenye mkeka pale baobab studio wakati tukiandaa filamu ya itunyama,,,,,
@FadhiliSaid-mr8gq7 ай бұрын
Mm nikua bosi kupitia elimu Ii nimejifuza kitu apa du kumbe ss atupendi kujishulisha tuna kua na tama sana kuliko kuwa na usubutu wa kulipa galama ya Kile tunacho kitamani
@user-qi1ij9us8b8 ай бұрын
Kuna watu wanatumia jina la msanja na sura yake kutaperi watu Naomba namba ya masanj
@lusajomwakalinga58139 ай бұрын
Kuaminiwa ni mtaji
@mdachiog52119 ай бұрын
Sauti iko chini
@aludokyando46306 ай бұрын
Nihakika tulikutana mbeya mwanjerwa hakika muumBA aliyetuu 7:08 mba aabuniwe umilele wote
@liannsambu72649 ай бұрын
Kweli hayo mafungu unayasikia mifuko zaidi ya 30 ya uwekezaji ila kuupata ni kimbembeee
@user-bi2kp7ww4o9 ай бұрын
unyama mwingi
@liannsambu72649 ай бұрын
Nachowakumbusha vijana WAANZE NA WALICHONACHO ,KAMA NI NGUVU ,KIPAJI , MAARIFA ,SH 1000 nk hakuna siri nyingine ni KUAMUA KWA UJASIRI
@user-qi1ij9us8b8 ай бұрын
Masanja kunawatu wanatumia jina na sura kutaperi watu, Naomba namba ya masanja