Mashallah huyu shekh namsıkılıza mar kwa mara Nmejifunza meng juu ya bidaa kaswada na muandamo wa mwezi kwa hojjadgabiti kabsa kupitia kwa huyu shekh Allah akuhifadhi sana Muhamma İs'haka
@abudardaiasaa77006 ай бұрын
Walllah allah atuongoze sana tuna pata elimu kubwa kuhusu barazanji na mamb meng sana allah awajaalie makhurafy wabadilike wasifuate mkumb kwa masheikh zao na uhasama na uadui wa sunnah
@abdikadirshariif53116 ай бұрын
Saahi tu ndo umepoteya
@user-ym3en6kg8f5 ай бұрын
Hamna mwenye elimu ya kumkosoa saidina jaafari kati yenu nyinyi mawahabi, na mnajipakazia elimu wakati hamuna elimu nyinyi Sasa mawaidha gani ya hivo khaa, eti ndy anjisifu huyu Kwa mawaidha haya
@abdikadirshariif53115 ай бұрын
@@user-ym3en6kg8f kweli hio. Hawana elimu hawa mawahabi. Mtu hata haja andika kitabu kimmoja ndo anaweza kukosowa mtu alie andika vitabu mpaka saahii tunasoma.
@ukuvukiland23873 ай бұрын
Nakuunga mkono sheikh.....
@salimnassor11776 ай бұрын
حياك الله شيخ محمد اسحاق
@sallimkassim91506 ай бұрын
Sio kweri ila mmekumbatia sifa baada kumcha mungu dini kushindana kufuata maamlisho n.a. kuacha makatazo ukiona moyo wako unatamani upate ushindi wa kidunia jichunguze utakua ria
@user-ch5xl9ou4w6 ай бұрын
Unashangaza umma kumuona sheikh wa kislam anaacha hadithi za mtume analingania maneno ya kipagani
@pambanoobeid44766 ай бұрын
1❤
@jujanreeves69256 ай бұрын
Quran na Sunnah itadhihiri na bidaa kuabudu makaburi khitma arubaini maulid na hauli yatatoweka na Ummah wa Kiislam utaepukana na makorokoro yanayosababisha Uislam na Waislam kutokwenda mbele
@ukuvukiland23873 ай бұрын
Nakuunga mkono sheikh ,masheikh wengi wamebaki kuwa kama wanasiasa wanajali matumbo yao ...
@ahmedmattar46616 ай бұрын
Huyu sk au shehena hawa ndio mawahabi wanaotumiwa na mayahudi kùwafitinisha waislamu
@jujanreeves69256 ай бұрын
Mashekh wa Kisufi wakiguswa wafuasi wao wanaruka juu sijui hamuwaoni masheikh wa Kisufi wanavyosema hovyo kwa masalafi
@maftahmusa95136 ай бұрын
ليس شيء على محد العيد بعلم ولا فقرا بل هو منفق ونقص من العلم
@ahmedmattar46616 ай бұрын
Hawa watu wanapokea pesa ili kuuharibu uislamu
@twaybaal-khalifah36326 ай бұрын
Mwahabi yupo KAZINI hapo, kuwatumikia wayahudi. Mbaya zaidi anawasema walitanguliza mbele ya haki ambao wawezi kujitetea.
@user-ch5xl9ou4w6 ай бұрын
Haaaa lione hili jitu mawaidha yake innaa lillahi wa.innaa ilaihi rajiuun muswib mkubwa sana tangazo tangazo kwa ummati muhammad jitahadhalini na mtu huyu ni adui wa kislamu hafai hata kidogo by doctor hussein mtwara
@manrectorz2 ай бұрын
Kama hujaelewa sema ueleweshwe. Sawa tukiacha kumsikiliza wewe tuambie tukamsikilize nani?. Unadhani Hao mashia wanaowapandikizia chuki watawaacha nyie salama!?
@mahadhikawia36106 ай бұрын
Wakati muwaffaka Qur ani na Sunna lazima zi dhihiri , japo watu wapendao bida'a wanachukia .
@abdikadirshariif53116 ай бұрын
Wewe bangi tupu. Mohamad Ibnu Abdiwahab alikuwa suufi?
@HemedAbdalla6 ай бұрын
Yani awa mawahabi ni Mtihan ktk umma wa kiisalm...Mawahabi nyny ndio mmekuja kufarikisha waislam...Mayahudi wakubwa nyi
We mzee we umri huo usikuhadae waachie watto huu upuuuzi we saiz unasubiri tu bonus yako ya jwenda akhera malumbano ya nn hem somesha watu acha kujibujibu we mzee bana jiheshimu utaheshimiwa ukishindwa hilo utadhalilika acha haya mambo
@MB-yq3ty6 ай бұрын
Kujibu pia ni katika kusomesha kukubwa.
@MB-yq3ty6 ай бұрын
Mnasihi ndo wewe eti.
@SaidJangoli-hr7ww6 ай бұрын
Bora afikishe haki na akifika huko awe hakunyamaza akawa bubu ktk haki . Allah atuongoze tuzidi kujuwa haki ❤
@binfarhan8796 ай бұрын
Huyu Mzee sio mjenga Bali anasema haki na ndio inavyotakiwa pia ni nasaha kwa anaewambia watu vibaya. hebu fuatilia clips za Abuu Iddi utajua huyu Mzee anamaneno mazuri kias GANI. Tafuta mada kuwajibu mawahabi by Abuu Iddi
Alafu huyu sheikh kamwe hasome hadith wala aya.ajabu sna
@user-ch5xl9ou4w6 ай бұрын
Sheikh kwani ww muislamu au kafili maana tunawasiwasi na ww maana hauna mawaidha ya kuwalingania waislam unamawaidh ya kuwabomoa waislam ww muislamu au kafilii nipe jib
@iddijuma61526 ай бұрын
hujitambui wewe
@iddijuma61526 ай бұрын
sikiliza kwanza kabla ya koment
@hajjisanga7896 ай бұрын
Sio nyinyi mawahabi wewe si ulisoma kwa masufi sasa wahabi walitokea wapi nyinyi mna waambia watu ktk itikadi zenu kuwa masufi makafiri mpaka shahada mnawaanzisha upya wasilimu upya
@user-ym3en6kg8f5 ай бұрын
Huna lolote wewe hivi muna elimu gani nyie ya kumkosowa saidina jaafari? Hivi unajua utaalamu wa lugha alioitumia sidina jaafari kwenye kitabu barzanji? wacha kutafuta umaarufu wewe, nyie mshawezwa na shetani basi hamna lolote mawahabi na msipotubia nyie kujaumu siku ya qiama kunamuhusu wapotoshaji wakubwa nyie kwanza nanai kakuambia kuwa nyie mwajua? eti wauliza maswalli ya kitoto kabisa khaaa
@user-lm7lk5kj1m6 ай бұрын
Mpuuzi mkubwa wewe aduwi wa umma .mzee wa farqa mwenye chili na umoja na mshikamano wa waislam
@user-ym3en6kg8f5 ай бұрын
Sanaa huyu mtu ni mpuuzi bhana umeliona hilo we!!
@mahadhikawia36106 ай бұрын
Wakati muwaffaka Qur ani na Sunna lazima zi dhihiri , japo watu wapendao bida'a wanachukia .