Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 64
@MshamMadaraka14 күн бұрын
Mungu ibarik simba mwaka huu uwe wa mafanikio kwetu ammin
@PendoMatemba-ql1ng13 күн бұрын
Yusuphu kagoma kuongea kama jina lake yupo vizuriii
@rogersiddy14 күн бұрын
Uwandishi bongo Bado sanaa tena sanaa Asante Kagoma wachezaji wamesajiliwa jana leo unamfosi aongee tulieni msubili warudi huko waendako wajuane wazoeane wakiwa wanarudi kutoka Misri muwaulize sasa kwasasa maswali yote kwa msemaji atawapa japo habari kdg lkn wachezaji mnawaonea tu
@Amon-gj8tx14 күн бұрын
Wachezaj wanamisimamo hatari hadi raha❤🎉
@vascongumbi904014 күн бұрын
Sema slogan yetu nzuri nguvu Moja ila wenzetu😂😂
@bahatimshali273114 күн бұрын
Mungu awe nanyi Wapambanaji wetu. Dua zetu zipo pamoja nanyi
@sangaelly854814 күн бұрын
Alah awe nanyi wapambanaji wetu God you all
@davidfelician290314 күн бұрын
Mungu saidia kikosi kipya hiki mana kikosi kilecha mwakajana kilikuwa dhaifu.sana na so far ' simba ' nguvu Moja.'
@antidiusmuchunguzi294214 күн бұрын
Tuwatakie safari njema mungu awatangulie
@AlifaHamis14 күн бұрын
Kagoma Safi Sana Ana msimamo mzuri sana
@JudithMashara14 күн бұрын
Jamani mnyama anatisha. Mungu ibariki Simba yetu😅🎉❤😂😂
@EvodiusErnest-ol2wg14 күн бұрын
Mungu awatangulie Simba sport
@CikeTanzania13 күн бұрын
Alhamdulillah karabaka yupo.
@marthamsacky697314 күн бұрын
Mungu awe nanyi katika safari Yenu mkafanikiwe wachezaji wetu
@ismailhassan520914 күн бұрын
Matola naye aende soka la vijana ni wakati wa Mgunda
@KhamisShaur-wt3fk14 күн бұрын
Mwenyezi mungu awatangulie mfike salama
@zahiruhamisi416214 күн бұрын
Ama kwel uchaw upo,sa Matola anafata nn Misri!!!😮
@RunnerBoy-g6p13 күн бұрын
God bless simba
@CikeTanzania13 күн бұрын
YUsufu kagoma kagoma kuongea.😂😂😂
@user-bf3mm5wu1s14 күн бұрын
Ila kagoma yupo fit sana😅😮
@Katuniclassic-qv2qd14 күн бұрын
Tqtiz unavyo tombwa iyo saut ndo utoag kwa wanaume zako unatuletea kutangaz na iyo saut man aaah aaah nyingi
@ildephoncemilambo549314 күн бұрын
Jitahidi na Nyie waandishi wa Habari kufanya mazoezii, mdada kidogo tu kukimbia unahemaa, mpaka sauti hatuisikii vzr sababu ya kupumua sana