SHEIKH OTHMANI MAZINGE | HUYU NDIE MUNGU MTU | ALIE DHALILIKA MBELE YA WAUMINI WAKE | WAKASILIMU #Masjid_Mtoro_Online_Tv #Othman_Mazinge
Пікірлер: 442
@kingilazaro3443 жыл бұрын
Wallahi sheikh mm sina la ziada ila nakuombea kwa Allah akuzidishie umri na akujaalie maisha marefu uzidi kutuelimisha na uzidi kuitangaza dini ya ALLAH.Allahu bareek.
@bintkijangwa43053 жыл бұрын
Allahu akbru Allah akupe umri mrefu furaha na amani akuondolee hasadi za waja wake
@jumakiyogo50333 жыл бұрын
mungu akulipe kila la kheir
@user-ck7qq2uh8w3 ай бұрын
Nakup❤ pia
@mrashisuweid9403 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu akulinde na kila hasad akupe ujira usiokoma duniani na akhera
@hanifaamani33633 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah.Allah akupe mwisho mwema.
@azizawadh59733 жыл бұрын
Sheik mazinge Allah akupe umri na kila cha kheri unachokitaka na kuelewa sana inshaa allah
@allyshomari7417 Жыл бұрын
Maashallah taabaraka Allah!! Mwenyezi mungu akupe nuur!! Na mwisho mwema kwa kuutangaza dini mwenyezi mungu Mmoja!! Allah!! Subhana llah nahuu wat'aala!!
@amoury14813 жыл бұрын
Allah Akupe Maisha Marefu Na nguvu Shekhe Wetu Mazinge.Tunakupenda Waislamu
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umuri
@abdallahzuwena62922 жыл бұрын
Allah azidi kumpa afya na umri mrefu sheikh wetu MAZINGE
@yusufmahdi8921 Жыл бұрын
May Allah sw bless our sheekh and grant him janaa firdows Amiin
@naimamunishi12413 жыл бұрын
Masha Allah penda sana sheikh mazinge jmn,Allah akuweke ww na akupe afya njema .
@hadiadaoman19813 жыл бұрын
Allah akuweke mazinge asante kwa daawa 🤲🤲🙏🙏
@husseinbwakame37853 жыл бұрын
Mashalaa mungu akupe maisha marefu
@sadauwimana95503 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu akulinde na kila baya..
@mename60203 жыл бұрын
MashaAllah... Kipenz cha mtume Muhammad.. Mazinge Mazinge kipenz chetu umefanya kazi kubwa ktk dinn yetu ya Islamic... Allah akulipe ujira mwema..
@muhsinivattenda49933 жыл бұрын
Aamiyn
@omanomy17573 жыл бұрын
AMIIN AMIIN AMIIN
@JuniormemberJuniormember3 ай бұрын
Masha Allah
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Sheikh Mazinge nakupenda kwajili ya Allah 🙏
@aishaburundi70582 жыл бұрын
MAsha Allah tabarakaallah Allah Azid kukuifadha 🤲 Ustadh Mazing
@Arishafa547 Жыл бұрын
Hakika mungu na kumpenda kwaajili ya Allah
@khadijaiddi48873 жыл бұрын
Allahu Akbar sheikh mazinge Allah akujaalie umri mrefu yaa Rabbi
@mwachidzopoposalimpopo88903 жыл бұрын
Am proud to be a Muslim
@aishakinia49573 жыл бұрын
Sheikh mazinge Allah azidi kukulinda na akupe umri mrefu uzidi kuulingania dini ya kweli Al Islam
@yasinamiri76493 жыл бұрын
MASHAALLAH ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ MASHAALLAH 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 AFRICA FATHER INSHAAALLAH ALLAH AKUPE MWISHO WEMA NA KAULI SABIT SHEH OTHMAN MAZINGE
@alfaqeera54983 жыл бұрын
amiin
@lulusadiki34993 жыл бұрын
Mashallah Allah akuhifadhi duniani na akhera
@user-dn7gn6ib4k3 жыл бұрын
Amin
@ibrahimchelangat17103 жыл бұрын
You are most respected sheikh in the world I respect you ustath mazinge may ALLAH bless you
@zuenawhite47773 жыл бұрын
MashaAllah Allah akupe umri uzidi kufaidisha umma sheikh wetu..
@AA-yr7sr3 жыл бұрын
Mazinge ni moja tu hawezi akatokea mwengine yani ww ni kibogo kichwa chako kiliko Google mtu akiaza swali ww ushajua mjibu vipi MashaAllah
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Subhanallah!!!kuamini hivyo unavyosena, maana yake ni kuamini ukomo katika uwezo wa Mungu, kitu ambacho si kweli!!
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@AA-yr7sr acha ujinga kaka, kudai kuwa hatatokea mwingine ni kuamini katika ukomo wa uwezo wa Mungu kitu ambacho sio sahihi, sasa kama unaendelea kupinga, sikukatazi,,,,ila nashuhudia kwa Allah kuwa nimekufikishia!!
@adanali30743 жыл бұрын
Mimi ni sheik naniko Nairobi
@adanali30743 жыл бұрын
Mimi ninataka kufaya muhadaraa
@nadhifasalum16623 жыл бұрын
Mashaallah sheikh wetu kipenz kabisa mungu awape umri wenye mafanikio wahadhiri wote wanaotetea dini ya Allah sw mungu akulipe shekh wetu aaaamin
@shakilaabdallaherio56173 жыл бұрын
Mashaallah shekhe wetu mzinge hakika ukionoka katika hii dunia hakuna atezba pengo lako
@fatumahamisi70643 жыл бұрын
Allah akulipe khery dunia fil _ Akhera .ust mzinge na maisha marefu uvune khery nying ( Jazaq llah khery
@mizolion9233 жыл бұрын
Mashallah mungu akupe umri mrefu na wenye manufaa
@zahramurangara25083 жыл бұрын
Ameen
@naomi.j.maombi65642 жыл бұрын
Balakaallha.fiqh
@hadijasaid94633 жыл бұрын
Yaa Allah mpe shekh wetu mazinge maisha marefu na afya njema ameen yaarab
@bendobidhaa301811 ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh malipo yako kwa Allah yazamishe mizani kwa mema matupu..
@nooor11203 жыл бұрын
MaashaaAllah Allah akuzidishie ilm yenye manufaa Allah akupe afya kamil Allah akupe umr tawil uzidi kuelimisha umma Allah akujaalie husn lkhatimah
@yussuphsultan14003 жыл бұрын
Allah akujaalie kheri duniani na akhera!!!
@minahadi21903 жыл бұрын
MashaAllah Allah akuifadh shekh wetu
@yusuphamani723 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuongezee umri wa kuishi Inshaallah
@alfaqeera54983 жыл бұрын
amiin na afya njema pia
@shixeoshxs72763 жыл бұрын
Takbiiiir Allahu akbar mashaallah mungu akuengezee umri na afya njema inshaallah uzidi kupambana nao makafiri
@fatmahassan47903 жыл бұрын
MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadh,i Akubariki, Akupe Afya, Akulipe Kila Khatua unayoitukua. Dua twakuombea kwa wingi. Akulipe JANNATAL AL FIRDAUS
@ishakafaki35013 жыл бұрын
Allaah humma amina yarbby
@alfaqeera54983 жыл бұрын
amiin
@jamilamanariyojamila14873 жыл бұрын
Mazing tunakupend Kwaajil ya Allah❤🙏🙏
@mnyongehome50133 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu shekh mazinge inshaallah
@maimunakassim28403 жыл бұрын
Allah nijalie watoto wema wasimame kutangaza dini kama mazinge
@maherzain6153 жыл бұрын
Ameen sote
@yussuffamau35713 жыл бұрын
Mashallah mungu akufanyie wepesi ktk maishayako pamoja nawaisilamu wote
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah mie nilikua sijulikan kama takueko dunian
@mrashisuweid9403 жыл бұрын
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
@slaartistproduction69373 жыл бұрын
Shekhe wangu mazinge pamoja na kishki hawa ni binaadam wasiwaumize vichwa hao wanaowalaumu matusi haya hawakuyasikia au wanajitoa ufahamu kumbuka kwenye msururu wa mamba hata kenge wapo mungu atawakinga endeleen kutoa daawa mungu awaweke ihshaala,
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
MashaAllah Sheikhe Mazinge Allah Akupe umri mrefu In Shaa Allah...
@mwanaimaabdallah78253 жыл бұрын
Allah akuhifadh kipenzi changu Sheikh Habibu Mazinge
@HassanAli-eq8ko3 жыл бұрын
Mashaallaah mola tuhifadh..nakuepush na madui na mahasidi..amiin yarab tujalie tukaigie pepon kwa rehema zako 💜❤🇹🇿🇹🇿🤲🤲🤲
@saidahlizwilly38353 жыл бұрын
Ma shaa Allah May Allah bless me with a kid to be like you Sheikh Mazinge In shaa Allah
@JumaNguchiro10 ай бұрын
Nipo kep ta un wee unaesema mazinge muongo nyinyi watu waagano jipya nalakale mnatab
@officialsaddmfalme53813 жыл бұрын
Mazinge eeee njooo malindi basiiiii nikuone live shekh wangu Penda wewe bure tu
@user-hk2om2ef7m3 жыл бұрын
Wallahi sheikh mazinge waeza kumskiliza siku nzima
@rehemahamisi31983 жыл бұрын
Mashaallah,,mungu akupe umri mrefu naomba uje mpaka Arusha kwa morombo
@shabanimbenu21633 жыл бұрын
ALLAH AKUPE SIA NJEMA NA UMRI MREFU SHEKH WETU Amiin
@sofialion49253 жыл бұрын
Allah akbar mazinge Allah akuhifadhi na akukinge na hasda na husda
@ramadhanchachamaa24302 жыл бұрын
allah akuweke maisha malefu uzidi kuwapambania hao makafili wasio ijuaa dini ya allah
@mohamedomary8703 жыл бұрын
Allah aendelelee kukupa afya njema na uendelee kukupambania uislam
@yunaithamzahran71993 жыл бұрын
amiiiin
@al-bahraynionlinetv66702 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/gpmKgal9qdKRlmQ.html usisahau kusubscribe kushare pamoya ktk njia sahihi
@fatumjumaa55633 жыл бұрын
Mungu akupe afya na umri mrefu wewe na wenzako munaotufahamisha
@shom12293 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu
@jamilajamila45723 жыл бұрын
Masha allaah shekh Mazinge Allah azidi kukupa umri mrefu shkhe🙏🙏
@cholomsury15483 жыл бұрын
Shekh kila mjuzi ana mjuzi zaid... Usiseme hamna huku unakula kiapo ... Yote kwa yote Allah akulipe kwa amali zako na akudumishe kweny njia ya sawasawa na sote kwa ujumla...
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Kwa ujumla hapo ameteleza,,,,kwani kuamini kuwa hakuna mwingine akiondoka yeye, ni kuamini katika ukomo wa uwezo wa Mungu kitu ambacho sikweli!!
@saidasaidjuma35053 жыл бұрын
Mm naona kasem hivo kwa sababu mm binafsi sjaona ambay anaweza kuwa kam yeye labda kwa baadae
@fatmahassan64973 жыл бұрын
mashaAllah sheikh Allah akupe umri mrefuameen insha'Allah
@allymahaba55843 жыл бұрын
May Allah (SWT) Bless you Sheikh Mazinge. AMINA.
@abdulkinana67743 жыл бұрын
Nashahadia kuwa hakuna Mungu apasaekuabudiwa kwa haki ispokua Alla na hakika Muhammad ni mtume wa haki wa Mwenyezi Mungu. In sha Allah Mungu akinijalia mtoto wa kiume nitamuita Mazinge
@allyniyonkuru17613 жыл бұрын
Thx Mazinge
@allyniyonkuru17613 жыл бұрын
Hakuna wakumuweza Sheikh wetu
@mariumpeter61473 жыл бұрын
Sheikh we kiboko.Namuomba Allah aniwezeshe japo siku moja nikuandalie muhadhara mkubwa sana
@mahamedabdi18813 жыл бұрын
InshaAllah
@mariumpeter61473 жыл бұрын
@@mahamedabdi1881 🙏
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
Amiin mungu akuwafikishe
@mariumpeter61473 жыл бұрын
@@uislamufirdawsonlinetv4297 InshaAllah
@hamisimaliseri88723 жыл бұрын
Inshallah n/mungu akulinde ili uutangaze uislam ulimwengu mzima" tuombeane uzima nitakutafuta sheikh nikupe zawadi yako
@kassimali86063 жыл бұрын
May almighty Allah protect you sheikh live long
@shukriolati46333 жыл бұрын
MashaAllah Sheikh Allah (SW) AKULINDE. AMEEN
@mhinatitus25473 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu na umri mrefu
@omarjeylani91443 жыл бұрын
Allahu Akbar, he is the best MashaAllah TabarakaAllah, walahi Sheikh mimi nakupenda na Allah anijaaliye nionane nawe ili nikukumbatiye na npigie selfi nawe, wewe ndio celebrity wangu na wala sio Diamond au Ronaldo.
@asiaabdullah3747 Жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie Inshallah na akupe maisha marefu yenye kher na ww
@smileboy61993 жыл бұрын
Mungu akuweke shehe inshaalha
@shakilamasoud29833 жыл бұрын
Allahu Akbaru, shukrani kwa somo.
@halimasaid49773 жыл бұрын
Allahu AKBAR allah akulipe mazuri duniani na akhera
@hafsaali79763 жыл бұрын
""Mashaallah Allah akueke shekh wetu mazinge"
@yunaithamzahran71993 жыл бұрын
amiiin
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Laailaaha illa llah Muhammadur'rasuulullah
@rbagha52802 жыл бұрын
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
Mchango wangu kidogo hapo alipomalizia ndugu yangu, Sheikh Othman Mazinge kuhusu Wakristo Kutakiwa Kuoga Janaba - Ukweli ni kwamba Wakristo wengi huwa hawaogi Janaba, na wengi wao huenda kanisani kusali wakiwa na Janaba. Kwa maana kuoga Janaba kuna utaratibu wake maalaum ambao sisi Waislamu tumefundishwa na Mtume Muhammad (S.A.W) na siyo kuoga tu kama ilivyo kawaida. Ukisoma Biblia - Agano la Kale, imeandikwa hivi - “Kama mwanamume yeyote akitokwa na shahawa yake, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Vazi lolote lililodondokewa shahawa au ngozi yoyote iliyoguswa na shahawa hiyo ni lazima ioshwe kwa maji, na itakuwa najisi mpaka jioni. Kama mwanamume akilala na mwanamke, akatokwa na shahawa, basi, ni lazima wote wawili waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni." (Walawi 15:16-18). Hatahivyo, ukimwambia Mkiristo kuhusu mstari huu atasema hayo ni mambo ya Sheria na Manabii, wao wanafuata Agano Jipya - hapo msaidie kwa kumuwambia kuwa Yesu hakuja kutangua Mafundisho ya Manabii wala Torati kama ilivyo andikwa katika Biblia, Agano Jipya - “Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha. Kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia. Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Ndio maana nawaambieni, wema wenu usipozidi ule wa waalimu wa sheria na wa Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni." (Mathayo, 5:17-20).
@sakinamohamed55184 ай бұрын
Allah akupe umri sheikh mazinge
@dgee23723 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu🙏🙏 uwutumiy vzr kweny mambo yakheri 🥰🥰🥰🥰🥰
@abdulqareem51393 жыл бұрын
Mungu akuongoze katika kila jambo la gheri
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Mungu nijalie kizazi chema mazinge mungu azidi kukuweka inshaa allah
@uwesusaid97643 жыл бұрын
Barakallah othman mazinge
@ameirsalmini62533 жыл бұрын
Mungu anaumwa subhanallah
@yusraomary73882 жыл бұрын
Masha Allah shekh mungu akuongeze na akupe maisha marefu ili tupate elimu ya manufaa
@nadianyamuraka7068 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh wetu
@abelimathiasi75093 жыл бұрын
WATO WATOKE WAKAPIGANIE DINI YA ALLAH .... HUYO ALLAH YEYE VIPI ANASHINDWA.... NINI ... KWENDA KUTETEA DINI YAKE... SOMA KURAN 8:2
@ArarsoAli3 жыл бұрын
Masha Allah shek othman
@jumakarim25043 жыл бұрын
mashaallha Allah akupe umri mrefu
@majaliwamaheru53683 жыл бұрын
Jamani ee! Waislam tumuombeeni duaa huyu mzee wallah tena hii ni zaid ya Dhahabu kwa waislam
@aminatatu56923 жыл бұрын
Kweli allah amstiri
@realyoungchuda36713 жыл бұрын
Allah amjalie kila L kherip
@mizemudushame36763 жыл бұрын
Allah akujalie umri mrefu upate kuelimisha zaid n zaid
@saikkyiddy81293 жыл бұрын
Alhamdullillah subhanaAllah lailaha illa Allah Muhammad Rasulu Allah
@imranmsafitz20723 жыл бұрын
allah akujalishe umri mrefu na uzidi kutufunza inshallah