TANZANIA INAONGOZA KWA MITUME FEKI DUNIA NZIMA | SHEIKH MAZINGE

  Рет қаралды 34,483

Adil TV

Adil TV

4 ай бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 231
@isaaabdala7016
@isaaabdala7016 3 ай бұрын
Huo ndio ukweli Utabaki ukweli daima asietaka shauriyake ashukuriwe Allah subuhana wataalah
@user-xi3ky5vt9t
@user-xi3ky5vt9t 2 ай бұрын
MashaAllah Jazakallahu khayr Allah akuweke Shekhe wetu inshaAllah
@rashidbusanya5843
@rashidbusanya5843 3 ай бұрын
Sheikh mazinge Allah akulipe mara dufu nakupenda sana
@stevenkipara9310
@stevenkipara9310 3 ай бұрын
”Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;“ ‭‭Efe‬ ‭4‬:‭11‬, ‭13‬ ‭SUV‬‬
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 4 ай бұрын
Wanawaibia watu, kwakupitia jina la mungu
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 2 ай бұрын
Voce é muito talentoso você é muito importante para gente Allah vai ti proteger insha-Allah ❤❤❤
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 4 ай бұрын
Tatizo elim hatuna wengi hatukusoma Ndomaana makanisa yamekua mengi na Mitume wengi mataperi tupu
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 3 ай бұрын
naawo mashee wenu wauongo mtu akijua kiarabu2 nishee acha zarauww
@mwamvuarashid290
@mwamvuarashid290 3 ай бұрын
Maashaallah
@NeemaAlan
@NeemaAlan 3 ай бұрын
Malizia sentensi,imeandikwa heri maskin wa roho,siyo maskin tu,maskin wa roho n mtu mwenye kiu ya kujifunza neno la Mungu.
@user-bp5pq9to9e
@user-bp5pq9to9e 3 ай бұрын
Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!Unatakiwa kuokoka wewe mwanadamu, tubuni dhambi YESU KRISTO aliwafia,muda ndio Huu! Mwl CHRISTOPHER JACKSON SAMBAA
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 3 ай бұрын
Muhammad ndio daraja la juu za mitume wote iliumbwa nuru yake kabla ya hata mbingu na ardhi kuumbwa jinsi Mungu anavyokipenda kiumbe chake hichi na hutakuwa salama abadani ukiwa against nae maana mitume wote walilijuwa hili kuna Mtume bora Allah atamleta baada ya sisi ila kwa hila ya mayahudi wakafanya fitna kuyabadili maandiko kulificha hili .
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 3 ай бұрын
Kwenda uko mnafk mkubwaww
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 3 ай бұрын
"Lakum diinukum waliadiin". Nyinyi mna dini yenu na mm Nina dini yangu".
@alexmwinuka4280
@alexmwinuka4280 3 ай бұрын
😂😂😂
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa Tz kuna mitume feki wengi.
@SadickKimela
@SadickKimela 2 ай бұрын
Mwenyezi akutakie maishamalefu
@josephmchila6467
@josephmchila6467 3 ай бұрын
Wewe ndo huna Mungu, Na utaenda motoni
@user-yt2qp6vs5q
@user-yt2qp6vs5q 3 ай бұрын
Imekuchoma nn
@user-sg6qz3yw7k
@user-sg6qz3yw7k 3 ай бұрын
Unatesekaukiwa wapi😅😅
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kweli hii Dunia basi tu tatizo nierim hata serekal inachangia watu wanaibiwa sanaaa Elim nikitu bora sanaaa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Wanataka wenyewe kuibiwa kuna mtu anawazimisha kwenda kwa wachungaji feki biblia agano la kale lilisema kutatokea manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk sasa ndiyo waache waliwe
@Fifophonce
@Fifophonce 3 ай бұрын
Tumswalieni mtume 😢😢
@Mohd-wd2jv
@Mohd-wd2jv 3 ай бұрын
Mtume muhammad.S.A.w.ndie mtume wamwisho
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 3 ай бұрын
Hivi n sahihi kukashifu iman za dini nyungine? Mm nafikiri n vzuri kuheshimu imani dini nyingine
@HassanHassan-vh6pc
@HassanHassan-vh6pc 3 ай бұрын
Muhammad( SAW) ni mtume wa kweli. Tubu kwa ulilosema. To a ushahidi wako kama unapinga Hilo.rudia maandiko ilikiwemo quran
@JosephPeter-eo9sr
@JosephPeter-eo9sr 3 ай бұрын
Acha mambo yako unatafuta kiki huna lolote kwaiyo ulitaka awe maskini au fanya mambo yako acha kufuatilia watu
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 3 ай бұрын
😳😳😳
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Kweli kabisa nakuunga mkono wala hujakosea
@iddiabdallah7352
@iddiabdallah7352 2 ай бұрын
🤣🤣🤣umetisha sana sheikh wetu that true
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 ай бұрын
Kwa hiyo kwa aya hiyo ya maneno ya Bwana Yesu uliyosoma kwamba tajiri hataingia peponi Je Waislamu wote walio matajiri hawataingia peponi?!!
@user-jf3tv1gv9b
@user-jf3tv1gv9b 3 ай бұрын
Waache watumishi wa mungu wa utangaze uflme wa mungu
@ModesterTutuki
@ModesterTutuki 2 ай бұрын
😂😂😂😂 ety yesu aliniletea papai😂😂
@muniraally4091
@muniraally4091 3 ай бұрын
Yuko mungu mwanamke mwanza
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 3 ай бұрын
Ni sawa kwa sababu na wapumbavu ni wengi tz kuliko sehemu yoyote duniani
@user-cy1er6sy5k
@user-cy1er6sy5k 3 ай бұрын
Wewe ni muongo si kweli kuwa matajiri hawataingia ufalme wa Mungu,kasome vizuri utaelewa vizuri hiyo Mathayo.
@dudemussa6715
@dudemussa6715 2 ай бұрын
Hivi wewe hujijui kama ndiye muongo hasa kuliko mazinge! Nakushangaa.
@SadickKimela
@SadickKimela 2 ай бұрын
Alwa hakibalu
@henrylyimo8491
@henrylyimo8491 2 ай бұрын
hivi nyie bila kuzungumzia ukristo hamuwezi kuhubiri yanayowahusu? husda tu yesu ni kweli na uzima ukokeni
@rehanijuma1421
@rehanijuma1421 3 ай бұрын
Kweli hiyo mazinge Tanzania mitume wengine 😂😂😅
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 3 ай бұрын
Kwa hy sheikh, mtume anatakiwa kua Mwarabu au?
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 3 ай бұрын
Mazinge wewe humjui Mungu, Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu,unapoteza muda kumsema Mwamposa
@HAJIBALO
@HAJIBALO 3 ай бұрын
Kutangaza biashara TV hio shiling ngapi
@Nim68182
@Nim68182 3 ай бұрын
Musisahau kumswalia mtume😂😂😂😂
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 3 ай бұрын
Radhma tumtakie rehema na amani mtume wetu najua haujui tofaut ya kumswalia mtume na kumswalia mungu pole
@Nim68182
@Nim68182 3 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 haya kumekuch Mungu unamswalia au umekosea kuandika
@Nim68182
@Nim68182 3 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 mmutakie rehema za nn Kwan alifanya nin mpk mmutakie hizo rehma
@Nim68182
@Nim68182 3 ай бұрын
@@saphinalutaha9077 kumswalia Mungu??? Hee mbon balaa hii Mungu aswaliwe au umekosea kuandika
@akidashekue163
@akidashekue163 3 ай бұрын
Mnyamwezi na Mnyakyusa
@JajiZakayo-fw9mk
@JajiZakayo-fw9mk 3 ай бұрын
Wewe mwenyewe ni feki.
@mybrain8940
@mybrain8940 3 ай бұрын
Alisha was playing with dolls Aisha was a child Aisha ali lawitiwa soma hadith 😢😢😢😢
@user-ik4cp2kw8j
@user-ik4cp2kw8j 3 ай бұрын
Huo n uongo mie najua Nigeria 🇳🇬 ndy kiboko ya matapeli dunia nzima.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
User hata Tanzania wamejaa sanaaaa
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 ай бұрын
Kabla hujafika kwa mitume wa uwongo ,anza kwanza na hili la mohamed ni mtume wa uwongo na shetani ni muislamu kwenye mkutano na wasabato ( ndacha) ulikubali hilo ni kweli Kwaiyo unapozungumzia mitume wa uwongo na matapeli usimsahau na huyo mwarabu
@muhamedbashir2661
@muhamedbashir2661 3 ай бұрын
Mwamba hamna dini kama uislamu kwanza omba dua upo duniani na azabu inakusubiri fala ww fungua macho unaemuabudu sio mungu ni messenger wa allah ww chakramu akili koko ww
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 25 күн бұрын
sawa majini walislimu wakawa waislamu kwani kiukirsto mtu akiwa jambazi afu akaokoka akabatizwa bado mtamuhesabu nijambazi ama... majini wakiislamun ni ndugu zetu katika imani ya kidini yetu hyo sio mbaya ila anaeabudu kiumbe yyte finar jahaanam na nyie mnamuabudu yesu mnamuita mungu wakati mungu nimwenye wivu maandiko yanasema katika bibilia mbona mnachukua sifa za mungu mnampea mtume wake ambaye ni yesu hamuoni kama hii nishirki
@charlesjuma154
@charlesjuma154 3 ай бұрын
Wewe mwenye tapeli
@pastor.frank.tmwaisemba7401
@pastor.frank.tmwaisemba7401 3 ай бұрын
Mazinge NI mjinga tu, Mazinge ana wivu wa kichawi. Mazinge NI 0 Tu. Wewe mwenyewe NI njaa Wewe ni mwongo.. Jenga na wewe hotel km NI rahisi
@Nim68182
@Nim68182 3 ай бұрын
Nayey amechangish hapo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Haya huyo Mwenye nyota tano wakati naye mwislamu halisi tusemeje
@JosephPeter-eo9sr
@JosephPeter-eo9sr 3 ай бұрын
Dili nawaumini wenu kila siku kuwasema wakristo sasa wewe ndiounazambi nyingi hufai kuwa kiongozi
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 3 ай бұрын
Yaani hapo mmechangusha pesa kiakili sana😂😂😂 SASA hapo nyie na huyo mchungaji mliomtaja kuna tofauti gani??? Hapo ni swala la Uelewa tu
@jacobanania2741
@jacobanania2741 3 ай бұрын
Huna lolote wew
@mwanaidisimoni79
@mwanaidisimoni79 3 ай бұрын
Kweli kabisa tena wote mitume ya wakristo
@petermwacha9909
@petermwacha9909 3 ай бұрын
Kwani unataka kusema Wanyakyusa hawana hadhi ya kuwa watumishi wa Mungu?
@akidashekue163
@akidashekue163 3 ай бұрын
Mazinge ni Mnyamwezi
@edwingideon3606
@edwingideon3606 3 ай бұрын
Kuna mwamba mmoja mwarabu alikuwa muisram tena Ana degree ya Uislam. Anaitwa Christian Prince. Yeyote atakae mpigia simu au kumsikiliza lazima awe Mkristo. Yeyote anae jiona mwamba ampigie simu au amsikilize tu.
@mtukazmarcelo1119
@mtukazmarcelo1119 3 ай бұрын
Kweny uisilam hakun digree
@omarinoel8660
@omarinoel8660 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅eti degree ya uislam 😂😂😂oya uislamu hauna degree lete hapa kwa mazinge
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 3 ай бұрын
kondoo ulopotea kwa kukosa maarifa
@mlyomikilonzo5897
@mlyomikilonzo5897 3 ай бұрын
Tafuta dini achana na ulithi yy kama alikuwa mwarabu aimanishi kuwa yy ni muislamu waoo watu walio muona mtume na mitume live lakini hawakusadick mpaka umauti mmoja wapo ni abjahar sasa ww wamshangaa huyo mwamba wako
@omarinoel8660
@omarinoel8660 3 ай бұрын
@@mlyomikilonzo5897 Yan huyo jamaa ni anazngua yy anaangalia mtu sio maandiko na jao wengi wao wantengenezwa
@Fifophonce
@Fifophonce 3 ай бұрын
Tumswalieni mtume
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 3 ай бұрын
Utakua na bf na Mwamposa wewe, mbn wapo wng kwa nn unamtaj huy hy tu mmoja
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Huyo asikusumbu hana lolote Mazinge hao waswahili kazi zao porojo tu aliyepewa kapewa ridhiki hupangwa na mungu acha Mwamposa awakombe Wajinga ndiyo waliwao kwani aliwaita
@VedastoKeya-vt8pf
@VedastoKeya-vt8pf 3 ай бұрын
Ukiona malumbano yako ivi jua Kuna mmoja ni muongo ngoja inyeshe
@Fifophonce
@Fifophonce 3 ай бұрын
Hampondi ila anaelimisha
@josephmchila6467
@josephmchila6467 3 ай бұрын
Umeathirika kichwani,kuwahusudu waarabu,unadharau waafrika wenzako
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 3 ай бұрын
Kwa hiyo nawe Kwa akili Yako unasadiki mwamposa ni mtume wa mungu?
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 3 ай бұрын
Huyo yesu mwenyewe alikua muizrael halafu mnaambiwa kanisa kuu lipo Roma italy
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Nyie sadaka mnato shs 5 hamna lolote kama ni mti mpapai
@shendimwampamba6570
@shendimwampamba6570 3 ай бұрын
Wewe mhongo milioni Mia Sita unaigahamu wewe au umechaganyikiwa
@victoriurumban
@victoriurumban 3 ай бұрын
Mtu ana towa uponyaji awe feki wasinge ponya wewe nikuletee kipofu kama uta mponya una fiki mwenye macho ambiwe ona 😊
@hassanalfan6941
@hassanalfan6941 3 ай бұрын
Awaponye wagonjwa..madaktari wapumzike hospitalini
@mejamiela7436
@mejamiela7436 3 ай бұрын
Inawezekana ikawa ukweli ila kwenye kabila umefeli ungemsema mtu so kabila
@akidashekue163
@akidashekue163 3 ай бұрын
Mazinge ni Mnyamwezi
@salumuseif3324
@salumuseif3324 3 ай бұрын
kwhyo mitume yote tumeaminishwa waarab na wazungu afrika hakuna hata mmoja
@HboyRfa
@HboyRfa 3 ай бұрын
Mtume wa mwisho kuja ni Muhammad baada ya hapo hakutakuwa na mitume wengine na ukiona mtume mwingine izo ni dariri za kiama
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Tena njaa kweli haswa sisi wanawake ndiyo tunaokombwa sadaka wsjinga ndiyo waliwao
@user-ue4rj2uq7z
@user-ue4rj2uq7z 3 ай бұрын
Kiki2 wewe mwenyewe amna kitu😏
@user-po9wi5lh1o
@user-po9wi5lh1o 3 ай бұрын
Wangemhoji Kila mtume amekuja na kitabu chake yeye chakwake alicho kuja nacho ni
@HboyRfa
@HboyRfa 3 ай бұрын
Yes kila mtume amekuja na kitabu chake je mwamposa chake kiko wapi na andiko aliloshushwa nalo ni lipi
@mybrain8940
@mybrain8940 3 ай бұрын
Hivi kuna tofauti gani Kati ya Muhammad alie oa bint wa miaka 10, alikuwa na biashara ya slave, 😂😂😂
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 3 ай бұрын
dunia nzima akuna mashee wauongo kama Tanzania Kwanza wanafki wambea shrk bongo
@elikanaernesti8440
@elikanaernesti8440 3 ай бұрын
Serkali ipo kimya mtu anamtja mtu je naye hyo ana watu weng akijubu kutakuwa na Aman kwel
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Elika achana naye hujui waswahili wanasema sana kama kasuku hawana lolote angalia hata wakishika madaraka jibu utalipata tu
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 3 ай бұрын
Akuna mashee bongo kaziyao kupandikiza chuk2 yenu yawashinda washrkina wakubwa nyny kupandkiziana chuki2 nyoo
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 4 ай бұрын
Nyie wote wezi tupu ukiwepo ww apo tapeli
@HboyRfa
@HboyRfa 3 ай бұрын
Ulishawahi kusikia hawa mitume feki wakiwa waislamu ... Hakuna so nenda kasome maandiko usikoment vityu usivyojua usimtukane Muhammad cos hujawahi kusikia ata siku moja waislamu wakimtukana yesu
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 ай бұрын
Mohamad mwenyewe ni dalili ya kiama ,kwani Mohamad na mwamposa wanatofauti Gani ? Ujue tuu kua hakuna pesa za waislaam Wala wakristo pesa niza kaisari au za ulimwengu,wewe Lima mraba wako ,eti mwamposa alikua anavaa kaptula ulitaka avae Nini au apande ,mara ana gari ya bei ghali ulitaka apande Ngamia ?mazinge okoka Mohamad kakudanganya kua Dini yako ni ya Mwenyezi Mungu kama Mungu anadini basi nae ni Muumini ,YESU atamhukumu Mtume Mohamad mbele ya macho yako na hapo utastaajabu siku ya kiama.
@user-xo2tq7zs2c
@user-xo2tq7zs2c 3 ай бұрын
Kwaiyo mwamposa ni taperi
@nomamatata754
@nomamatata754 3 ай бұрын
Inaongoza ukiwemo na wewe mazinge, mchawi wewe kwaiyo shida ni mnyakyusa? Typical of african kwaiyo mzungu au mwarabu ndo wanapendwa na Mungu
@josephmchila6467
@josephmchila6467 2 ай бұрын
Utaenda motoni wewe,utachomwa
@VedastoKeya-vt8pf
@VedastoKeya-vt8pf 3 ай бұрын
Tuache utumwa Wa mapokeo Africa tuwe na Chetu
@AzizMangara
@AzizMangara 2 ай бұрын
Kwani huyo unayesema mwenye NYOTA tano ni MTUME AU NABII?! Kama mtu wa kawaida Kama mm na ww sawa. Utaperi wa kidini upo kote kote, ila Fikiria Upande upo upi Kati ya uislam na ukristo Huwa awanaga utani na Dini Yao na kupambana na mataperi wa kidini.!! Kama utakuwa timamu jibu utakuwa Usha lipata.
@mohamediabdalah7650
@mohamediabdalah7650 3 ай бұрын
Sikiizeni hata nabii nuh alivyo tangaza dini watuwengi hawakumuelewa
@user-rg3mh6vt3s
@user-rg3mh6vt3s 3 ай бұрын
Ili liongo halifai
@user-vj1sy7ph7h
@user-vj1sy7ph7h 3 ай бұрын
Hana akili mamaako
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 4 ай бұрын
akiwemo Muhammad mtume wauongo!
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 4 ай бұрын
😢Pole Kwa kauli zako ukifa ndio utajua hujui
@batashqiraa9936
@batashqiraa9936 4 ай бұрын
Pole sana ndugu inaonekana wewe umeshakufa ingawa unatembea, hujui hata unalolisema kumkataa muhammad utambue kuwa umemkataa yesu, na umemkataa mussa, na umemkataa ibrahimu, mtume wa mwisho aliyetumwa na Mwenyezi Mungu ni Muhammad, waliojiita mitume na manabii baada ya Muhammad hao sio mitume ila ni mawakala wa shetani ibilisi, mwamposa sio mtume ila wakala wa shetani ibilisi
@mohafarah8569
@mohafarah8569 4 ай бұрын
Muhammad is the way period not Jesus Christ family of the Jews only
@maryamadam5622
@maryamadam5622 4 ай бұрын
Laanatul LLah huyu
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 4 ай бұрын
@@mohafarah8569 nipeye andiko Muhammad is the way period nyie mumepotezwa kitambo!
@Fifophonce
@Fifophonce 3 ай бұрын
Tumswalieni mtume 😢😢
@stevenialbert5033
@stevenialbert5033 3 ай бұрын
Mpuuzi ww fanya yk archana na iman yet itisha naww watu waje
USTADH SHAFII AMLIPUA MWAMPOSA NA UONGO MAFUTA YAKE
12:56
KALELA ONLINE TV
Рет қаралды 16 М.
HIZI NI ZAMA ZA MWISHO //SHEIKH KIPOZEO
18:11
arkas online tv
Рет қаралды 6 М.
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 15 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 32 МЛН
MAJINI WANAVYO WAFANYA WANAUME KUPATA WANAWAKE KIRAHISI
4:21
ISTIGHFAR TV
Рет қаралды 406
UST MAZINGE AMPONGEZA SH OTHMAN MICHAEL NAAMUOMBEA HERI
28:37
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 59 М.