MASKINI!!! INASIKITISHA CAREN ASIMULIA UGONJWA WA AJABU UNAOMSUMBUA ASEMA APASULIWA TUMBO 21 #manaratv #caren #manaratvupdates
Пікірлер: 801
@hawaaman31727 ай бұрын
Anapata maumivu makali sana jamani😭😭😭😭 Allah amjaalie shifaa apone daah 🙏🙏😭😭😭
@DevothaJacob-jr4vt3 ай бұрын
kateseka vyakutosha jamani tuione huruma
@NimbonaUdhaifa-jw2lo7 ай бұрын
Allah akupe shifaa ya haraka dada angu usichoke kumuomba Allah
@maisarah68197 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi dada,ila naomba uende Kwa sheikh huenda unasibiwa na majini ya sihri mwilini mwako ndio wanakutesa hivyo,manake operation zote ushafanyiwa na Hali bado.sina uwezo wakukusaidia ila nakuombea du'a kwa Allah insha Allah🙏
@ruthmzava73206 ай бұрын
Jamani neda ukaombewe kwenye makansa ya nayo mwamini yesu🎉❤ utapona hayo ni mateso ya nguvu za kiza kwa yesu hakuna linaloshindikana kwake pole sana Mungu akufanyie wepes kwajina la yesu.
@fahymamsangi73036 ай бұрын
Natamani siku niamke nione huyu dada amepona Eeh Mungu kaguse kwenye maumivu yake kila siku namuombea Hawa dada angu Mungu wetu muaminifu sana📿🤲🏽
@KhayratAlly29 күн бұрын
Wallah ht mm nataman apone sana kwa uwezo wa allah atasimama
@agentmsami53037 ай бұрын
Allaahumma salli wasallalim Alaa sayyidnaa muhammad waalaaali muhammad.😢😭😭😭😭Yaa rabb😭 .. Allah ni mkarim namuomba Allah akujaalie matokeo mazuri ktk subra yako Aaamin😭
@user-pp5lz9qs9k7 ай бұрын
AMEEN AMEEN
@mwalimundaro26587 ай бұрын
Aamen
@sophiakassim67847 ай бұрын
Allahumma Aamiin 🤲🏿
@user-pi6ck9hf6u3 ай бұрын
Pole xana Amin Mungu yupo
@nasmahamisi41093 ай бұрын
Allahuma amin😢😢
@OmanOman-fb8mj7 ай бұрын
Kweli wew jasiri kipenzi Allah atakuponya my love❤utapona
@user-wp7jd1qy6e7 ай бұрын
Pole sana kipenzi changu mungu akupe maisha mafefu sana utapona 2 mungu yupo 😢❤🙏🙏🙏🙏🙏💖
@greenermichael20577 ай бұрын
Mungu tunaomba Toba yako Baba yangu MPONYE MTOTO WAKO MAANA SISI SOTE NI WATOTO WAKO TUREHEMU BABA MPONYE KWA JINA LIPITALO MAJINA YOTE KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI
@maylucson0014 ай бұрын
Amen Amen Amen
@Salma-je8cd3 ай бұрын
Ameen🙏🙏🙏
@EflanciaKuyava-ns4bi3 ай бұрын
Pole dada mwenyezi Mungu akuponye
@mulolemary131724 күн бұрын
ALLAH akuponye kwa Rehma zake
@glorianikiza39407 ай бұрын
Kama bado upo ni mpango wa Mungu ni ushuhuda mkubwa kabisa duuh Mungu akukumbuke mtoto mzuri ❤
@user-kf3kc5kb4f6 ай бұрын
Maneno yangu mimi mwenyenzi mungu akufanyie wepesi naamini anaweza. Nakupenda mnoooooo mwenyenzi mungu akutunzie family yako Amen
@user-pi5ig8ub6d4 ай бұрын
duuuuuh naamini hakuna ki2 kinaxhindikana kwa MUNGU BABA NI WA WOTE MUNGU AKUPE WEPESI AKUPONYE DADA
@sesilianjala33064 ай бұрын
Kila pito lina mlango wakutokea. Uyu bint huu ni ushuhuda wa maisha yake, MUNGU atajitukuza kupitia wewe. Maombi yangu BWANA atende jambo hili adui aibike kwa jina la YESU 🙏
@mwajumaabeidy81377 ай бұрын
Allah akupe shifaa.Akuondoshee mazito usiyoyamudu Yaarab..Akupe ushindi kila hatua zako iwe ni neema kw barka zake Allah Yaarab❤❤.
@omytifa64037 ай бұрын
Ameen
@MariaDaniel-qj1eu7 ай бұрын
Ameen
@user-gv8vt6wl6g7 ай бұрын
Mungu Ni mwema atafanya kwa wakati,mungu amponye,,
@user-mh5gq6py7u6 ай бұрын
Ugua pole mdogo wangu..kuugua c kufa in Sha Allah utapona tafutiwa ustadh akusomee rukiya in Sha Allah yataisha❤❤❤love u sis hawa
@umumuhammad13524 ай бұрын
Hio muhimu sana Quran ni dawa
@user-wq8kw7wb1n7 ай бұрын
Mama yetu kipenz raisi samia msaidie huyu dada mungu atakulipa
@mimaswit23536 ай бұрын
Alhamdulilah 😢 mungu akupe subraa zaidi na akujalie shifaa ya haraka ,kwa Allah si kitu kukuinuwa ila nimtihani tu akupa na akupenda sana dadangu, mwanao atakuwa na atakuja kukufaa inshaa Allah. Mama pongezi sana😢 Alhambra
@user-yd5hp9nu5b7 ай бұрын
Allah atakuafu dadangu, mambo hupita hata ukiona yamechelewa kuisha, lakini yataisha bi idhnillah na uwe mzima wa afya na furaha ya moyo
@flavianapande82707 ай бұрын
Nimeshindwa kuangalia mbka mwisho mungu amponye inshallah....anapitia maumivu makubwa mno....😢😢😢
@naomysamuel67997 ай бұрын
Pole sana dada Mungu mwema atakufanyia wema Utapona kwa ajili ya utukufu wake.
@mwantumubakari59044 ай бұрын
Inshallah utapona mpz,hiyo ni mapito yatapita kwa uwezo wa allah
@user-pm7pj6zi6q7 ай бұрын
Utapona kwa uwezo wake Mungu dada usichoke kuomba Mungu 🙏❤️
@rhodangenzi7 ай бұрын
Binti ananiuma sana, jamani dunia haina huruma nimeanza muda mrefu sana kuangalia habari zake, jamani dada hawa, I see!
@MatridaIsaya7 ай бұрын
Jaman mungu muone na huyu dada mateso aliyonayo 🙏🙏🙏🙏
@dalilaabdulkarim44587 ай бұрын
Dua nakuombea dada hawa maradhi kuingia ni rais kutoka inachukua mda hila kwa uwezo wa Allah hiko siku utapona na utasimama tena na utasaau..Allah akupe shifaa ameen❤❤❤❤
@alfinmbilinyi59857 ай бұрын
Duu.pole sana dada kwa tatizo lako mungu akupe nguvu upate kupona.pole sana!
@user-kr2yk6gn4q4 ай бұрын
Pole sana dada na Mungu atakusaidia na utasahau maumivu unayopitia now. nakupenda mungu akutie nguvu
@ShamilaMsengi-rh9qs7 ай бұрын
Mungu naomba umuone huyu dada😭😭
@doricewairanga68057 ай бұрын
Eeeeeaa Mungu wetu muumba mbingu na Dunia naomba umponye hu dada sijawahi kuombea mtu kuombea mtu kwa jina lako akashindwa kupona naomba na huyu dada umiminie damu ya Kristi iliyo mwangika pale msalabani kwa ajili ya kutuponya akapone sasa maana inatosha kwa jina la Yesu Amina
@amaniharub15697 ай бұрын
Allah akupe shifaa akufanyie sahali na mtihani wako
@josphenembunde58057 ай бұрын
Nilitaka number yao niwaunganishe na mtu mwenye yuko.kenya awasaidie naninajua atawasaidia
@MomEvance4 ай бұрын
Mungu pekee ndo kukuponya Dr jitahid uxiache kumuomba mungu kwakua hakuna kama yeye sifa na utukufu vyote anavyo yeye pia upendo mwingi katumwagia .utakua salama kpenz..🙏🙏🙏🙏
@hanifahkhamiss84857 ай бұрын
Yaaani saiv huoni msanii hata m1 kumpost wala kumpa msaada ila akifariki ndo utaona watu ndo wanaonekana kuumizwa sana😢😢😢.....Allah akuponye akusimamishe tena dada🤲🤲🤲
@bennamush46167 ай бұрын
Inaumiza sana sasaiv wanakuwa Kama hawajui ngoja afe kila mtu atampost wanakera kiukweli
@NoelMlekwa4 ай бұрын
Daah unachoongea Ni kweli Ccter Ssa hv Hana Umaana Ila Cku Ambayo Hayupo Dunian Utaona Poct tu
@fettymilly76647 ай бұрын
Da hawa amini huu ndo moto wako yani moto tutakao kutana nao mbinguni ww ndo unaupitia hapa duniani ila siku ya kwenda kwa mungu wetu ndo cku utakayo kuwa salama na ndo utaishi vizur peponi kuumwa ni ibada basi INSHALLAH 🙏 utakuta malipo yako kwa ALLAH❤
@MwanaishaShattry7 ай бұрын
Ulijuaje kama atakutana na Moto mbinguni. Hakuna Muislamu ataingia motoni.
@fettymilly76647 ай бұрын
@@MwanaishaShattry bi mwana Soma comment vizur alafu ndo uje ku reply
@user-gg5ow9bg6y7 ай бұрын
Walahi mwenyezi mungu ata kulipia dada huna baya
@hanifajeremiah40696 ай бұрын
Mungu nimwema akuna kinacho shindikana kwake ipo siku utasahau maumivu yote unayo pitia Allah atakuponya
@neemamdami74666 ай бұрын
Kaa hivyo hivyo ufanye utumbo halafu uikute pepo mana umwislam @@MwanaishaShattry
@user-xc4or2vp6l7 ай бұрын
Watu wanakuombea dear, usiogope. Mpka sasa unaishi, utabaki salama. Mrembo mwenyewe❤, mashallah. Muombe tu Mwenyezi Mungu toba, Mungu atakuhurumia.
@user-og6jy1lq7w6 ай бұрын
🤲🤲🤲🤲 Mung ata kuafu insh allah..
@rhoidampkippa74467 ай бұрын
Kwakweli uzima wa huyu dada Ni kumpokea Yesu tu atapata uzima na kusahau yoote❤
@khamoshmikidadi6187 ай бұрын
Huyu ni mwislamu hawez kumpokea yesu
@elinapetro71367 ай бұрын
Angebadili tu dini maana wakrisho wanguvu ya maombi tofauti na uislamu akibadili atapona@@khamoshmikidadi618
@omytifa64037 ай бұрын
@@khamoshmikidadi618kbsaa
@rhoidampkippa74466 ай бұрын
@@khamoshmikidadi618 kwahiyo asubirie umauti wakati uzima upo kwa Yesu tena bila gharama yoyote?!
@asmahasanirashid50593 ай бұрын
Yani wewe hyo yesu kwanza ndio nani zaidi ya mungu,Huo mtihani tu kwasababu kila mtu anaandiko lake kwa mwenyezi mungu
@estheernamweruchristine12957 ай бұрын
Yesu chritu aku ponye dada hawa.
@ZeitunSalim3 ай бұрын
MUNGU atakusahalishia IN SHA ALLAH utapona na Ramadhan hii IN SHA ALLAH dadangu ALLAH yuko pamoja nawe usikate tamaa ❤
@DinahNish-bm9sr7 ай бұрын
Ni wakati wako wa kuwa karibu na mungu hakuna kingine 😢😢
@marimabdlah81683 күн бұрын
ALLAH AKUJALIE PONYO LISILOACHA DHARA MY SIS, HAKIKA ALLAH YUKO PAMOJA NA WANAO SUBIRI
@Kiyara00003 ай бұрын
Kweli hujafa haujambika huyu bidada aisee kaumwa Allah ukupe shifaa ndugu yangu na pia subra😢😢
@newvoicetutorial21317 ай бұрын
Allah hakika wewe ndie unaejuwa kila Jambo mponye huyu dada na kama kuna kuna mtu anatumika kwenye hili mgeuzie yeye umnusulu huyu dada in'shaallah,
@ruwuianjojorachide1897 ай бұрын
Inshallah
@itanzaniaAS7 ай бұрын
Mungu Basi muonee huduma MAMA YAKE NA wanao Muuguza😢😢😢MUNGUUUUUUUU NAKUITAAAA MPONYE HAWA. MPE USHUHUDAAAA. MUNGUUUU NISIKIEEEEEE NAKUOMBA MPONYE😢😢
@OliviaMushi-uh3mv7 ай бұрын
Amina
@sashasasha92537 ай бұрын
Yaan da Hawa anatabasamu lkn wallah unamhic asa kama anatabasam kwa uchungu Allah pekee ndo muweza wa kila jambo atakufanyia wepes usiache kumuomba na ataweka wepes
@moshiomary39103 ай бұрын
❤
@doreengomes34897 ай бұрын
Please take Karen to MYO SAFI CHURCH in Unga limited in Arusha...I strongly believe she will receive healing in Jesus mighty name.
@sammychansa17977 ай бұрын
Ohhh moyo safi kanisa langu
@sammychansa17977 ай бұрын
Nimepamis apo mahali
@user-wh4xi2yi3w7 ай бұрын
Mungu akupe nguvu kwa jina la Yesu
@fatumakidoa40067 ай бұрын
Hawa ni very strong 💪💯 anaumwa lkn unaona tabasamu ata kama anafake lkn amejikubali nalia kama ni mm 😢ila najua inshaAllah utapona nitakuombea pia kwa Allah 🙏🙏🙏
@AminaAlly-ty3lo7 ай бұрын
Na ana Imani atakaa Sawaa licha ya maumivu yotee anamshukuru MUNGU piaa MUNGU amsaidie tunamwombeaa
@user-uh7to2kw2z7 ай бұрын
Pole sn dada mungu atakuponya unapitia wakati mgumu pole sn kpnz mungu atakufanyia wps🙏🙏
@bagumakasuku5 ай бұрын
YHWH Ni mwenye huwezo lazima atakuokoa tu dada yngu kipenzi 🙏🙏🙏
@user-pi2xf2ym2l7 ай бұрын
Allah ndo kila kitu kwa usijali Allah yuko pamoja na ww inshallah ❤
@IbrahimuLikolinji-ly2tp7 ай бұрын
Pole sana dada Allah atakuponya insha Allah
@elnecemily13067 ай бұрын
pole sana mungu akuopnye mama yangu
@abelhardware64457 ай бұрын
pole sana dada yetu kwani mungu ndo muweza wa yote
@SMEDIA2987 ай бұрын
BWANA YESU AKUPONYE DADA CAREN KAMA NDUGU ZAKO WANA IMANI KARIBU EAGT KIGOGO SAYUNI UKUTANE NA MUNGU
@radgabbelege72344 ай бұрын
ALLAH ni wa kwetu sisi wote haukuumbwa ili uteseke sister ni mitihani tu Usiyumbe kiimani Ushindi unakuja mbele yako na uzima utapatikana Ki hakika Roho inauma sana sisi wote tunakuombea na Ramadhani hii ALLAH apokee dua zetu tunakuombea upone ALLAH anatusikia
@umumuhammad13524 ай бұрын
Ameen
@PeacefulMansion-ud2ek6 ай бұрын
😭😭Nimeumia san sio siri ilaa allah atakujalia utakua sawa tu usikate tamaa ishi kwa iman kua utapona mungu yupo na ndio kila kitu allah ni muweza wa yote icho ..matatizo kwa sisi waja ni kipimo chake allah kwahyo usichoke kumuomba wala asiache kumshukuru maan yy ndo muweza wa kila kitu. pole san dada angu kiukweli nimeumia san imeniuma, unteseka pole mwaya allah atakusaidia utakua sawa jman pole sana😭😭😭🙏🙏🙏🙏Eeh mwenyezi mungu sikia kilio cha uyu dada anateseka sana mjalie afya njema na umjlie uponyaji kwa hiki kinacho msumbua🙏
@MagoliDickson3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akusaidie dada angu mwenyezi mung akufanyie wepesi uridi kwenye hali yako 🙏🙏❤️
@ruwuianjojorachide1897 ай бұрын
Inshallah. Akuna kinatcho chindikana mbele wa allah 😢 Inshallah utapona ndugu wango umwamin allah
@fatumakidoa40067 ай бұрын
Fanyiwa Dua mpenzi na Allah akupe shifaa ya haraka inshaAllah
@habibalukinga15757 ай бұрын
Hakika mimi pia nilipitia iyo hali nyuzi zilikuwa zinafumuka tu ila mungu alinivusha na yeye akipata dua atamvusha amin inshallah
@user-om7xn1fl4l2 ай бұрын
Pole Sana Dada hawa Allah atakuafuu in Sha Allah
@flm15307 ай бұрын
Huyu dada ni kifungo cha kiroho na kuna mtu anamtesa kwa nguvu za giza aje kwa YESU KRISTO apate uzima na aokoke kabisa bila ivyo hatapat uponyaj
@IbrahimuLikolinji-ly2tp7 ай бұрын
Wewe mtu anaumwa badala ya kumsaidia unaleta habari za Giza
@JuiceMe-ij2zq7 ай бұрын
Mwnaisha nenda kwa kiboko yawachawi buza kwa lulenge utapona kabisa na hayomakovu yote yatafutika nautamjua anaekutesa
@Mkombozi2557 ай бұрын
Acha usenge wewe kuma la maaako,mtu anaumwa unaleta usenge
@teedullah57087 ай бұрын
Kweli Tena masikini munqu atamuenuwa
@DavalsonMarlony7 ай бұрын
@@Mkombozi255mwenyenz mungu akusamee
@KULWAMOYOWENE3 ай бұрын
Mungu yupo p1 nawe kwan yy amekupa maradh na yy ndie atakaekuondolea maumivu na maradhi kwa muda autakae ishaallah my dear mungu atakuponya
@beniardajuna25807 ай бұрын
Dada pole mungu akupe uponyaji mwema 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-rr3qb5oi9e2 ай бұрын
Jamn watanzania haw Ana wafuasi Zaid ya million 4 lkn tunashindwa kusaidiia ata 1000 kwa Mt mmoj kwel hem tutowe. Kwa ajili ya mung icho nikiumbe chak na yy sio sisit naamin kwa wafuas alionaw haw tukimchangia 1000 t bc Hawa haombi ten man wafuac Zaid ya million 4 sio kidg mung Yuko pamoj na ww Hawa ishllh nakupend san❤❤❤❤❤❤❤
@user-vr1gj4gn8t6 ай бұрын
May you get healed in Jesus mighty name,you are a strong girl.
@AzizNgitu-wk3ey6 ай бұрын
Nikimuangalia huyu dada namuona mwana jeshi mkubwa sana yani kiroho huyu dada anaonyesha ulimwengu kuwa yeye sio wakawaida kabisaa njia yake sio ya kitoto
@user-pu8ki7hd4y4 ай бұрын
Dada angu me nakushauri tu nenda kanisani, au kuza imani yako maana ilo gongwa sio la kimwili wamekutengeneza kiroho sasa hospital unamaliza pesa mwambie Mungu YESU anaweza dada yangu ndyo maana usiku unateseka ni nguvu za giza jaribu YESU ndiyo dawa please 🙏 Mungu anahaja na wewe ndy maana una survive please 🙏🙏 nenda kanisani Carolina nenda kanisani
@athumankagoro41876 ай бұрын
Mwenyezi mungu,,anakupenda sana hawa ndugu yangi,,Allah akupe shifaa
@user-vu6wk7bt5y6 ай бұрын
Amin Allah amjalie kabis
@user-gv1op1oh2c7 ай бұрын
Pole sn mpendwa mungu atakufanyia wepesi utapona insha'Allah sote tunakuombea 🙏🙏🙏🙏🙏
@elizabetty-rt7py7 ай бұрын
Carin ninachokushulii ndugu naomba nenda madhabahuu yaakawe maana kama niugonjwa wa mungu kwajiisi unavyoteseka using kuwepo, hili ngonjwa uliopeewa nimkono wamuuovu ambao faahaa. Yakee kukuona. Wewe unateeseka wewe ukillia kila siku wewe ukiombaomba msaada bas yeye. Anafurahii sana, mdogo usilie ntena nakuomba chukua atua mwamiini mungu alie kuumba, mtukuze mungu atakwachangamoto hio alio kupa mwambie. Mungu Asante sangineo anataka ujifunze kitu kwake, au watanzania wengine kupitia wewe. Wapate kumjuwa mungu nenda madhabahuu yaakawe uponyaji wako utaupata, watu wanaponywaa. Kasa watu wanaponywaa ukimwi. Mavimbe wagumba wanazaa,, wengine Toka kuzaliwa walikuwa ajavunja ungo mpaka. Anafika miakaa alobaiini siku yamkesha ya vuuka na choko kapoke chake, Hilo tatizo lako nidogo sana, nenda kawe. Umepon
@elizabetty-rt7py7 ай бұрын
Nenda kwa mtume mwamposa tatizo lako nidogo utapo Cali nenda kapokee afyaa yako nenda kachikuwe maisha yako yonte, nenda kachikuwe nguvu zako ulizopoteza wakati unaugua madhabahuu ya mtume mwamposa yanweza yakakubdilisha maisha yako mpk alio kuludisha nyuma kimaisha kiafya atakuja naatakuomba msamahaa ,huu ugonjwa naukataa sio mungu alio kupa unateeseka bule kwa kukosa mwanga, dugu miye niko tabola, nakuomba chukua atua yaimani kimbilia madhabahuu ya mungu kawe calin unapona, usiteseke bule tunaitaji wanzania tukuone calin katika muonekano wako wafilam katika kazi zako ss kama wantanzania wako tunakuombe mungu akuponye kwajina la yesu naami calin umepokea uponyaji Amen 🙏
@catherinemasungulwa66267 ай бұрын
Kawe alienda mwanzoni sema akaghaili.
@elizabetty-rt7py7 ай бұрын
@@catherinemasungulwa6626 mwambie achukue nguvu ya Imani aludi Tena, lazima apone, tatizo lake madhabahuu ya mtume mwamposa, ilosio tatizo, sema Imani ana ndio maana anateseka, caren ongeza guvu yaimani huyo pepo anaekuambia uwezi pona anakudanganya, ndugu yangu mtanzania mwenzangu usiteseke, unaugonjwa nipepo tuhuyo bado unamkmbatia, lakini Leo hii ukavunja madhabahuu yake, ukasimama nakusema Mimi sio mgonjwa Tena, simama na maombi kama chakula mda wonte caren wewe sio mgonjwa wewe ni mzima,
@NoorynMuddy7 ай бұрын
@@elizabetty-rt7py Unatuchosha na migazeti yko hyo mwamposa huo utume ulimpa ww?
@elizabetty-rt7py7 ай бұрын
@@NoorynMuddy masiki sheni mbaya sana, siio akili zako kunijibu hivyo, huyo ni pepo,
@TatuHusseni-hs7mu5 ай бұрын
Ya Allah mponye huyo dad kwa kwa Karima zako Allah mjalie afya njema na yenye Subra YAALLA bi tunakuomba hakuna msaada ipokua Rehema zako Allah 🙏🙏
@user-gi9vu9gd3m6 ай бұрын
Naamini utapona dada yangu mungu Yuko anaweza xiku hata jibu uishi miaka mingi na hero duniani amina
@VellahBeauty-wg3ob7 ай бұрын
Siku ni moja tu utapona naamini Mungu, Si mwanadamu akisema saw, utapona at wawe wamekufanyia nn amini utapona mumy
@SharifuAbdallah-pk6wg4 ай бұрын
Mungu akuponye kwa ushauri wangu naomba ufike kwa kuhani must kimara temboni naamini uponyaji utapata pale amina
@SalmaAs-wl5bn7 ай бұрын
Nenda Kwa Mwamposa au kuhani Mussa dada hizo no nguvu giza a mini hilo.Hila tumaini lako na imani yako weka Kwa Yesu aliye hai.Uzima wako upo mikoni Mungu.Mpe Yesu maisha yako na Catalonia mikononi kwa hao maadui zako. Naamini utapona tu yataisha.Nakuombea nimefunga Kwa ajili yangu na yako pia .Ngoja hawa nizungumze na Mungu.
@DoreenLaizer-gq9te7 ай бұрын
Mungu akuponye inshallah wifi yangu 🥺❤tunakupenda sana
@user-fi9gm2et5r7 ай бұрын
Mwenyez mungu ampe taafif anapitia wakati mgumu sana mpaka roho inauma hakika mungu ni mwema utasimama kwa uwezo wa Allah
@faridadumasalhathoseni3 ай бұрын
Yarab mungu inatosha sisi wakosefu kwako tunakiri lakini ,tunaomba mfanyie shufaa hawa inatosha mungu wetu mwenye huruma 😢
@AzizaKhamis-nj2ku3 ай бұрын
Assalaam Aleykum, Allah Akufanyie wepesi ,inn Sha Allah. Na akutie nguvu , uweze kuswali ukiendelea kumbuomba Allah
@HajraAli-zu9ik3 ай бұрын
Allah atamfanyia wepesi inshallah kwa kudra zake atapona
@MatataCzar-ww6ov4 ай бұрын
Nani kama Mungu hakuna. Naandika hii sms kwauchungu Sana.,,, Kisha nasema Mungu Mungu nakuomba sana,, msaidie huyu dada apone,, sijawahi sikia katika maisha yangu MTU anapasulia hivi.,,, na huwo mkono wa shetani nauchokwa kwakina kuu la mwenyewe Mungu,,, eeeee baba yetutunamukabidhi dada yetu kwamuda huwu Kila atakayo nyoosha mkono wagiza kwake akachomwe
@doricewairanga68057 ай бұрын
Ndugu wakaribu wa huyu dada naomba mfunge sku saba kwa ajiri ya huyu dada kl mtu kwa Imani yake naamini Mungu alie umba vyote Duniani atapona
@MoureenPresiours7 ай бұрын
Kama ulivyosema na iwe kwa jina la Yesu Kristo
@user-hd7lo6yq7z4 ай бұрын
Pole sana dada Mungu atakuponya , utainuka tena
@CharlesPeter-lp5lf3 ай бұрын
Mungu amsaidie huyo dada kiulimwengu wamwili mnaweza mkatumia nguvu nyingi San zakipesa lkni bado shetani yuko kazini Mimi naomb nimshauri aje kanisani kwetu kwakiboko yamagonjwa nakila kazi zote za shetani aje kwa KUHAN MUSA hapa kimara temboni naatapona naatakuja kunitafuta anishukuru cz haiwezekan oparation zote hizo wenda kunavitu vyengine vinafanyika ktk ulimwengu waroho kunamtu anasababisa hayo
@dramakid75697 ай бұрын
Pole dada unajipa moyoa na uso wa tabasam..kiatu chako siwez kukivaa..ht ivo maumivuvyote ht hujakonda kutisha...mm nadhan ningekuwa skeleton
@mariamega83377 ай бұрын
Pole sana dada mungu akupe afueni akuondoshee huo mtihani inshaallah
@NelhamNelxon-cp9gy7 ай бұрын
Allah akuponye inshallah utasimama Tena🙏🙏
@SophiaAlly-ry2nd3 ай бұрын
Mungu msimamie uyu dada apate kusimama ewe mungu baba muinue uyu dada apate kuilinda familia yake
@user-ki3lz2uc3x4 ай бұрын
Mungu atakusaidia utapona muamini yy tu simama katika maombi yupo na wewe mahali pote hilo ni jaribu utalishinda kwa jina la yesu.
@Bnurmwabora5 ай бұрын
Mama afunge kil week cku 3 mungu atasaidia pia n maombi n allah akujalie shifaa y harka🤲🤲
@Mariam-fm8vq7 ай бұрын
Hawa ipo siku nzur kwako Allah anakuandalia utashangaa ❤❤❤😊
@HajraAli-zu9ik3 ай бұрын
Allah akufanyie wepec ishaallah kwa uwezo wake utapona
@glorydaniel86246 ай бұрын
Mnamsumbua Sana ,, huo muda mnamhoji mngekuwa mnafaya maombi ,,,Duhhhh Mungu akuponye akuvushe kwa Hilo jaribu
@zawadisepetu10147 ай бұрын
Allah Allah nakuomb mlinde huyu dada allahumma amiin
@AAa-it7nx6 ай бұрын
Pole sana dada yetu Mungu akupiganie iwehiyo niyamwisho naukuepushie na maradhi yoyote kwenye mwili wako Amina
@happynessshomari74382 ай бұрын
Ewe nyezi mungu mpemoyo wa ujasili kipindi ichi anachopitia mjawako umponye 😭😭
@saidahamid11787 ай бұрын
Pole dada allh atakufnyia wepes utapona ❤❤❤❤❤
@MariaThomas-wm9iq5 ай бұрын
Mpka nmelia jaman😥😥kunawa2 wanajua kutesq wenzao
@hasnaaliy58726 ай бұрын
Kwanza pole dada angu lapili ayoo maradhi yapo kwenye mikono yawatu lazima utibiwe na pande yapili uzunguke m buyu dada Allah atakusaidi inshaallah usijali unapitia wakati mgumu sana lkn Allah yupo pamoja na ww
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Daimond msaidie huyu dada kwakwer najua unaweza
@catherinemasungulwa66267 ай бұрын
Diamond amsaidie yeye MUNGU au doctor.
@adharinamwaisaka3 ай бұрын
Mung atakuponye dad Ang, adi apo mungu mwenyew ametenda, na atazidi kutenda, mungu ni mwenye haki
@mariamjohn53997 ай бұрын
We ni jasiri sana dada mungu yupo pamoja nawe naamin atatenda
@Halima-ht9fq7 ай бұрын
Swal sana my dear allah ndie mwenye jib la matatizo yako utapona inshaallah