No video

MAWIFI WAVURUGA KITCHENPARTY YA WIFI YAO KISA STATUS ZA WHATSAPP/ACHAMBWA KWA KIGOMA CHA URUGWAI

  Рет қаралды 1,100,284

Geah Habibu

Geah Habibu

Күн бұрын

Tukio hili lilitokea Kigogo jijini Dar es salaam ambapo mawifi waliamua kuharibu shughuli ya wifi yao yani Mke wa kaka yao kwa kuandaa shughuli yao ya kigoma cha urugwai na kumchamba wifi siku hiyohiyo ya Kitchenparty ya wifi yao.Sababu ya yote hayo inadaiwa wifi huyo aliwachamba wifi zake kupitia status za whatsapp.Lakini hilo pia halikuzuia wifoi huyo kufanya shughuli yake ya Kitchenparty.Tizama hapa kisa kizima
#Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv

Пікірлер: 1 600
@marygregory7566
@marygregory7566 5 жыл бұрын
Kama una hamu ya kujua status zenyewe zilikua zimeandikwaje gonga like
@captenndunga6745
@captenndunga6745 5 жыл бұрын
Kama unaamini hao mawifi hawajaolewa kwahiyo huo ni wivu gonga laik twende sawa... kaulimbiu tokomeza wivu.
@mariahamis219
@mariahamis219 5 жыл бұрын
Saaana my
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 5 жыл бұрын
Nikweli kabisa hawajaolewa
@hadijahalidi1375
@hadijahalidi1375 5 жыл бұрын
Kabisaa
@sashababy1321
@sashababy1321 5 жыл бұрын
Iyo ni laana ya mke mkubwa km umemfatiria geah uyo bwana harusi ana mke tayari .kilicho fanyika hapo aho mawifi walimkuwadia kakao uyo shoga Yao. Shoga alivyo mnasa kaka mtu ushoga kwa bi mdada ukapungua na kumzibiti kaka wifi roho juu 😂😂😂😂mke mkubwa anachekaje
@captenndunga6745
@captenndunga6745 5 жыл бұрын
Tokomeza wivu.
@PetetIgnas
@PetetIgnas 5 жыл бұрын
kama unasoma comments na kuangalia huu ujinga huku unacheka nipe like
@goldenesta8649
@goldenesta8649 5 жыл бұрын
miyeyusho tv 😂😂😂😂😂😂😂Yaniii
@aminashabani9180
@aminashabani9180 5 жыл бұрын
Hahaaaaaa kwakel huu ujinga
@hawapeter170
@hawapeter170 5 жыл бұрын
miyeyusho tv
@jacksonmwakimonga8329
@jacksonmwakimonga8329 5 жыл бұрын
Jmn
@mathnasaeed3806
@mathnasaeed3806 5 жыл бұрын
miyeyusho tv hahahahaa
@sylviajoseph4081
@sylviajoseph4081 5 жыл бұрын
walewenzangu n Mimi wa kusoma comment gonga n like hp
@judesammy9643
@judesammy9643 5 жыл бұрын
Hii yote huletwa na kutokumjua mungu na elimu pungufu ahsanteni
@teddyeward4086
@teddyeward4086 5 жыл бұрын
Jude Sammy you're right
@praxedadominic9864
@praxedadominic9864 5 жыл бұрын
Fact
@sweetmama6885
@sweetmama6885 5 жыл бұрын
Kwa kweli. Duh...!
@fatumakweka5950
@fatumakweka5950 5 жыл бұрын
Umenena sana
@winslowzirops3598
@winslowzirops3598 5 жыл бұрын
Kabisa ndugu
@FatmaMohamed-bz4cj
@FatmaMohamed-bz4cj 5 жыл бұрын
May Allah forgive you all n show you the ryt path ameen
@winbenard5505
@winbenard5505 5 жыл бұрын
Mm napita tu kusoma coment km tupo pamoja gonga like twende sawa
@wazirsalum4264
@wazirsalum4264 4 жыл бұрын
Pamoja sana
@obinalaurent6922
@obinalaurent6922 5 жыл бұрын
Wenzangu #tokomeza wivu mko wapi jmn mgonge like zenu! Jaman tumkumbuke Mungu ndugu zangu haya yote ni mapito tuu
@lulusimbeye5437
@lulusimbeye5437 4 жыл бұрын
Niwivut kama unaamn mawifi waachisha ndoa zawat tujuane.🙏🙏🙏😂😂😂😂
@vivianchawe7561
@vivianchawe7561 5 жыл бұрын
Ni roho mbaya tuu alishindwa kumtafuta mpaka amuaribie.Wanawake tutafute pesa tuachane na ujinga
@mauasalumu6734
@mauasalumu6734 5 жыл бұрын
Vivian Chawe muvi ya gabo
@secylovenessadaa4245
@secylovenessadaa4245 5 жыл бұрын
Kabisa
@tyriahpaul9893
@tyriahpaul9893 5 жыл бұрын
Vivian Chawe
@jumaarabin581
@jumaarabin581 5 жыл бұрын
Vivian Chawe swadakta
@lightinesnaumukweka6739
@lightinesnaumukweka6739 3 жыл бұрын
Yani jamani mawifi muwe naroho ya mungu nnahila kama nn kanipenda mwenyew vifu wa nn bs njooeni muolew nyie kama bafaidi sana
@elidamessio621
@elidamessio621 4 жыл бұрын
Kheri ugeuze akili yako kua kamusi ya muongozo wa maisha yako...Mungu tetea kaka zangu wapate wake wema na sio kama hao
@juliusmwinga4051
@juliusmwinga4051 4 жыл бұрын
Subhanah Allkah Watu wazima hovyo.Yote sababu ya kutomuhofu Mungu na kukosa la kufanya. #Ni hovyo
@user-dg8qe9rf9h
@user-dg8qe9rf9h 5 жыл бұрын
Tusomeni dini nduguzangu. Hii Dunia tunapitia tu akhera ndiko makazi
@mariamuadam732
@mariamuadam732 5 жыл бұрын
kabsa asee
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 5 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu, mwenye mungu akuongoze njia iliyo nyoka
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 жыл бұрын
Allah awaongoze coz hawajui watendalo
@rozleeerasto5558
@rozleeerasto5558 5 жыл бұрын
@@mariamuadam732 11qqq1100p1
@annievibes8794
@annievibes8794 5 жыл бұрын
@ZAWADI Dadzie hilo lilishasemwa kwenye hadithi wanawake ndiyo wa kwanza kwenda motoni
@mpendahaki_home_decor
@mpendahaki_home_decor 4 жыл бұрын
"The only weapon that can destroy a world is Education" Ngoja niendelee kumsimamia mwanangu asome ili aondokane na huu ujinga kwa uwezo wa Muumba.
@aishaaboud4406
@aishaaboud4406 3 жыл бұрын
Hawa kweli wanajua Mungu na siku ya mwisho Inna lillah wainailayhi rajion 😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪
@salwasuleiman8943
@salwasuleiman8943 5 жыл бұрын
Hawajamdhalilisha biharusi wamejidhalilisha wenyewe na upuuzi wao na hao ma mama watu wazima ovyoo hawana hawanani wakiulizwa hawaungani bora nikose Mali nipate akili duh ujinga mzigo ulimbukeni kazi
@alibinbinali9566
@alibinbinali9566 4 жыл бұрын
mnnnnnnh
@naimawaney1646
@naimawaney1646 3 жыл бұрын
Allah aniepush mashog kam hawa yarab
@magrethbbw7524
@magrethbbw7524 5 жыл бұрын
huyo mwenye msauti kama sufuria inakwaruzwa angejiona angejichamba mwenyewe Kwanza,watu wenyewe mikorogo imedunda waswahili bwana wamekosa kazi
@secylovenessadaa4245
@secylovenessadaa4245 5 жыл бұрын
Haaaaaaaa kabisa mikorogo imedunda haaaaaaaaaa
@leonaidinanamala2699
@leonaidinanamala2699 5 жыл бұрын
Haziwatoshi
@aisyanamaro9658
@aisyanamaro9658 5 жыл бұрын
mmejikoboa mkorogo imedunda hamna lolote
@soniars6254
@soniars6254 5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@tonypaul9166
@tonypaul9166 5 жыл бұрын
Hhahaa
@annamkomba576
@annamkomba576 5 жыл бұрын
Daah....wachafu..sura hazina haya..ndio matokea ya kukosa kazi za kufanya..hapo kesho hata mbuni ya kuanzia kesho hawana.
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
We hujamsikia mmoja akisema muuza miguu ya kuku
@gloryavelin2583
@gloryavelin2583 5 жыл бұрын
😂😂
@jasheparker8275
@jasheparker8275 5 жыл бұрын
lol
@rashdhamdun
@rashdhamdun 4 жыл бұрын
@@bjzee1981 ahahaha 😂😂😂
@zamzamahmed5718
@zamzamahmed5718 4 жыл бұрын
Any Kenyan here 😂😂😂😂🙊🙊🙊 eeh ndo maana waume zao waja Kuowa Kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@dorahwakio7369
@dorahwakio7369 4 жыл бұрын
Niko apa✋
@haibaali7147
@haibaali7147 4 жыл бұрын
Balaa
@mwanamkasisuleimaniikosawa9582
@mwanamkasisuleimaniikosawa9582 4 жыл бұрын
Ushasema dada
@rukiamwakuzimu3863
@rukiamwakuzimu3863 4 жыл бұрын
Kabsa wadaa umbea tu
@milkamugeni7940
@milkamugeni7940 4 жыл бұрын
Wakenya tunaheshima zetu sio hawa walio jipara wakaa kma utumbo wa pweza 😂😂😂😂😂
@abdulfatahjuma5355
@abdulfatahjuma5355 5 жыл бұрын
kama umeamini pombe si chai gonga like
@aminaselemani429
@aminaselemani429 5 жыл бұрын
Abdulfatah Juma wazalamu munakelasana
@saphiaramadhani9635
@saphiaramadhani9635 5 жыл бұрын
Abdulfatah Juma loioe
@abdulfatahjuma5355
@abdulfatahjuma5355 5 жыл бұрын
Saphia Ramadhani loioe
@RioIpo
@RioIpo 5 жыл бұрын
Amina Selemani hahaha Wazaramu sie hatuna jema
@magemhina9311
@magemhina9311 5 жыл бұрын
jamn
@mammyyassie7322
@mammyyassie7322 5 жыл бұрын
Bora serikali ilihamia Dodoma Dar wamemwaachia Wazaramu wenye mji wao 😅😅😅😅
@tiktoktanzania2832
@tiktoktanzania2832 5 жыл бұрын
Saba Simba 😂😂😂😂😃😃😃
@rukyiakimolo802
@rukyiakimolo802 5 жыл бұрын
Saba Simba 😂😂😂😂😂😂
@munirayakoub3682
@munirayakoub3682 5 жыл бұрын
Umesema kweli
@mlondagumbiro7890
@mlondagumbiro7890 5 жыл бұрын
Unadhani hao wote wazaramo
@nestakalabwe2001
@nestakalabwe2001 5 жыл бұрын
Saba Simba 😀😀😀😀
@bushbabytz
@bushbabytz 5 жыл бұрын
Kweli Dar nimeamini ni ya Wazaramo! Wanaume wa Dar kwa wanawake hawa hakika wanapata tabu sana.
@ladysalimkabora9952
@ladysalimkabora9952 5 жыл бұрын
Mambo YA kiswazi hayo. Ndugu wa mume ni wa kuishi nao kwa hekima sana Infact hapaswi kufanywa marafiki
@roseedger2778
@roseedger2778 4 жыл бұрын
Hakika ndg wamme hawana urafiki
@directorbony185
@directorbony185 4 жыл бұрын
Mi kweli kabisa huna undugu na sisi unajali tu wakwenu
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 4 жыл бұрын
Misungo hao atavitabu hawajui kusomba
@sjofficial752
@sjofficial752 3 жыл бұрын
Ndugu wa mume wanafikiri ulikotoka ni shida zilikutoa sijui hawa mbwa wapoje
@rozleeerasto5558
@rozleeerasto5558 5 жыл бұрын
Geah nakupenda... Dada
@khayratmuhamed6730
@khayratmuhamed6730 5 жыл бұрын
Lol! Mungu aniepushie mawifi km hawa
@user-qr2gj3jp9l
@user-qr2gj3jp9l 5 жыл бұрын
Kabisa
@honeymakeovertzmakeupartis3451
@honeymakeovertzmakeupartis3451 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@babyggg1509
@babyggg1509 5 жыл бұрын
Mkorogo pia umewachanganya akili😂
@doreenmakasi2867
@doreenmakasi2867 5 жыл бұрын
iron lady
@JBB875
@JBB875 5 жыл бұрын
Hahahaha
@alaminabdallah8539
@alaminabdallah8539 5 жыл бұрын
Tru
@alaminabdallah8539
@alaminabdallah8539 5 жыл бұрын
iron lady mambo vipi
@babyggg1509
@babyggg1509 5 жыл бұрын
@@alaminabdallah8539 Poa
@thetycoon8799
@thetycoon8799 5 жыл бұрын
Kwamba uswahilini huwa hamna stress, yani nyie mnavuruga tu mtu akikuletea zogo mnavuruga tu 😂😂😂nimeipenda hiyo...😍
@neemaruttaiwa6202
@neemaruttaiwa6202 5 жыл бұрын
Mmmmmmmh ndo maana ctaki kuwajua mawifi namjua mme tuu
@khadijanasoro6510
@khadijanasoro6510 5 жыл бұрын
Kwa hali hii ndio maana wanawake tuko wengi Motoni Allah atuongoze yarab
@asyadezz1939
@asyadezz1939 5 жыл бұрын
Allah amstir Ashura inshaAllah,nawote waskilizane tuwe na mwisho mwema💕
@ameenaalebri2952
@ameenaalebri2952 5 жыл бұрын
Mungu Wang nisamehe ila hawa wamama n wachafu kila kitu tabia sura zao hao n wamama wa bar mwezie kaolewa shida nn
@silverjoseph4577
@silverjoseph4577 5 жыл бұрын
Ameena Alebri haswaaaa
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 жыл бұрын
Wachafu mpaka tabia
@suzanjackson5103
@suzanjackson5103 5 жыл бұрын
Wamejichubua kama nini sura zao mbaya
@furahadavid766
@furahadavid766 5 жыл бұрын
Atareeeh
@luundamoonhajjluunda8764
@luundamoonhajjluunda8764 5 жыл бұрын
Napenda mauno tu mengine nawaachia wenyewe. All the way from Kenya, MSA.
@azizamuhali5531
@azizamuhali5531 5 жыл бұрын
Luunda Moonhajj Luunda hahahahaha
@zenamalela8077
@zenamalela8077 5 жыл бұрын
Makeup ya bi harusii hta bure c pakiii nikalalia🤣🤣🤣 mawifii nao mikorogo imedundaaa jmniii 😂😂😂😂 tafraniii tuu
@RioIpo
@RioIpo 5 жыл бұрын
Zena malela Hahaha nimecheka full mikorogo
@joycemwakamisa5116
@joycemwakamisa5116 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@sasbinjuma518
@sasbinjuma518 4 жыл бұрын
Kwa kweli mwenzangu
@saramss7262
@saramss7262 3 жыл бұрын
Judy sammy ubarikiwwwe hahaa
@zuhuramwalimushabani8836
@zuhuramwalimushabani8836 5 жыл бұрын
Kikubwa ninachojiuliza pesa zinatoka wapi za kufanya haya yote na wanalalamika maisha magum? Mungu wafungue macho waja wako
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 жыл бұрын
Zuhura Mwalimu Shabani wanaangamia kwa kukosa maarifa
@rozeeroz2515
@rozeeroz2515 5 жыл бұрын
@@husnajohn7466 kweli
@aminasaid7456
@aminasaid7456 5 жыл бұрын
Zuhura Mwalimu Shabani jnapajua uswazi vizur weye au wapasikia...? Mtu yupo radhi alale njaa kwake lakin akapate kijora cha shughuli!
@user-us9gl8jg4l
@user-us9gl8jg4l 5 жыл бұрын
Mi mwenyewe najiulizaga sana
@salomenachunga3590
@salomenachunga3590 5 жыл бұрын
Wamefungwa ufahamu hhh
@rahisalovely9622
@rahisalovely9622 5 жыл бұрын
Madada mikorogo imekoleaaa midomo sasa waume zenu wanakazi kubwa sanaaa aaah ndomn mafuliko hayaishi jangwani na kigogo afu kutoka apo lazima waloganeeee...Namshukuru Mungu mi mwanamke lkn mambo haya sinaga
@lubatikoseme1446
@lubatikoseme1446 5 жыл бұрын
Waume zao ndio walewale
@kokufelix2186
@kokufelix2186 5 жыл бұрын
Aloooo🤐 kutokuwa na akiri mtihani
@mariamvicent7312
@mariamvicent7312 5 жыл бұрын
INNA LILLAHI WAINA ILAYHI RAJIUNI NDO SABABU TUNAAMBIWA WANAWAKE WANGI TUTAINGIA MOTONI NA HAKIKA KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI NA HAKITOMFAA MTU SIO WATOTO WALA MALI ZAKE WALA SI NYINYI MARAFIKI ZAKE ISPOKUWA LITALO MFAA YEYE NI AMALI ZAKE NJEMA HAKIKA FANYA UFANYA NA TENDA UTENDALO HAKIKA UTALIPWA KUTOKAKA NA MATENDO YAKO YAA ALLAH TUJAALIE MWSHO MWEMA NA UTUEPUSHE NA ADHABU YA KABUNI
@nonoplatnum6951
@nonoplatnum6951 5 жыл бұрын
Doh jamani wivu mbaya!! Ila makeup ya bi harusi hapana kwakweli
@mmajonnhykenya5034
@mmajonnhykenya5034 5 жыл бұрын
😂😂😂
@rehemamarelo3424
@rehemamarelo3424 4 жыл бұрын
Royce Katera mambo
@janethbernady8406
@janethbernady8406 5 жыл бұрын
Helimu duni ,na kutokumjuwa Mungu du hongereni. Uyo anaejifanya ndio waongeaji wakubwa sura zimewaparama kwa krimu .ni wivu tu umewajaa mwenzenu kupata hifathi
@joharymohammedi8963
@joharymohammedi8963 4 жыл бұрын
Janeth Bernady niwasungo
@omartaty1930
@omartaty1930 5 жыл бұрын
Aliye mpodoa bi harusi mbinguni atapaskiya kwangu😁😁😁😁😁
@ummalqitat5091
@ummalqitat5091 5 жыл бұрын
Hahahaha
@gloryavelin2583
@gloryavelin2583 5 жыл бұрын
😂😂
@mamumiyaskitchenvlogs5858
@mamumiyaskitchenvlogs5858 5 жыл бұрын
😂😂
@rehemaathman572
@rehemaathman572 5 жыл бұрын
Hahaaaaa
@mariamsayari7880
@mariamsayari7880 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@miriam5735
@miriam5735 5 жыл бұрын
Kama unaamini wifi anataka kutombwa na kaka yake gonga like hapa tujuane
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Status tyu yote hayo yametokea, huo mji anakwenda kuishije hapa Sasa naanza kuamini kua yesu kweli anarud Kisha Anza safar
@safikapufi422
@safikapufi422 5 жыл бұрын
mungu ninusuru muda huu bora nikafanye ibada kwa nini wamama tusibadilike
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 5 жыл бұрын
Mtihani
@safikapufi422
@safikapufi422 5 жыл бұрын
@@salmaalimusa547 kabisa salma
@aishamrsmkunga2143
@aishamrsmkunga2143 5 жыл бұрын
Allah atunusuru kwakweli sheitwani mbaya.
@safikapufi422
@safikapufi422 5 жыл бұрын
@@aishamrsmkunga2143 yani we acha tu ndugu watu tunasubili kiama wakati matendo yetu ndo kiama
@mwajumakoshuma5417
@mwajumakoshuma5417 5 жыл бұрын
Tuombe toba M/Mungu atunusuri
@costanciapeter8578
@costanciapeter8578 5 жыл бұрын
mmmhhh!!! mbona ASHURA kazi anayo!! 😂😂😂
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Costancia Peter Ashura maji ataita mma , kachokoza wakali wa hizi kazi , wamekodi kigoma kumchamba Ashura tu , uswahilini hakuna stress .
@mathaadam2608
@mathaadam2608 5 жыл бұрын
Chuma kobeko kaishiwa maneno uwiiiii dunia si mbaya
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 5 жыл бұрын
mambo hayooo
@salamajalina7789
@salamajalina7789 5 жыл бұрын
Yaan kama Wanalipwa upumbav m2pu
@faithdaniel5652
@faithdaniel5652 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@gottacheckintorehab7697
@gottacheckintorehab7697 5 жыл бұрын
Kigogo Mburahati moja hyoooo 👌👌👌👌👌👌...... Ashuraaa eeee.... Huna pambe bibieeee 🤣🤣🤣...
@latypherngombo1022
@latypherngombo1022 5 жыл бұрын
Mawifi wameumbuka ni wivu tu unawasumbua 🤣🤣🤣🤣 walijua mwenzao hatopata watu, hatopata vitu sherehe haitofana kumpiga chura teke ni sawa na kumuongezea mwendo usikute mwenzao alijiandikia tu wao wakajishtukia mazero brain 😂😂
@leilatmfaume6163
@leilatmfaume6163 5 жыл бұрын
Mawifi km hawa wakija kwangu nawapikia chakula na pilipili tele
@venosaphamphili5898
@venosaphamphili5898 5 жыл бұрын
Tabia mbaya watu wazima hata haya hamna
@ezeredamwenda7254
@ezeredamwenda7254 5 жыл бұрын
wanaongea hao
@vennymaxmillian9505
@vennymaxmillian9505 5 жыл бұрын
Hawa mawifi nyumbu wa manyala , wanautindio wa ubongo,wanawaz kupga felf tu
@HlwomanOman
@HlwomanOman 5 жыл бұрын
AlAfu bora awakwenda wange aribu shuguli kulikua na watu na heshima zao
@praxedadominic9864
@praxedadominic9864 5 жыл бұрын
Nakupenda sn Dada Geah mungu akupe maisha marefu
@reubendick4033
@reubendick4033 5 жыл бұрын
Jaman tuangalie na familia za kuolewa duuuh gonga like kama unaamini hawa malaya gonga like
@keshik5330
@keshik5330 5 жыл бұрын
Waah am Kenyan but this Swahili is too deep for me.
@RioIpo
@RioIpo 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@cwttnana128
@cwttnana128 5 жыл бұрын
Wauswazi oyeeee Ashura maharage pole mwaya😂😂😂😂😂
@messengersofgodchoir9435
@messengersofgodchoir9435 5 жыл бұрын
Cwtt Nana hhhhhhhh
@yasintamutayabarwa4448
@yasintamutayabarwa4448 5 жыл бұрын
Dah! Iyo Kali
@pangarasfuko2383
@pangarasfuko2383 5 жыл бұрын
Angalia jilivyojichubua ,rais wetu zuia basi mkologo tuwajue walembo hewa
@maryamkassim1610
@maryamkassim1610 5 жыл бұрын
Cwtt Nana umeona eeh uyo queen anajishaua mijino ileee
@hosianakitomary3236
@hosianakitomary3236 5 жыл бұрын
Ahhahahahaahahhaahhaahahah
@alfarsiali2779
@alfarsiali2779 5 жыл бұрын
Dah wanawake wa Tanzania tujitahin kutulia bas ili tupate heshima ktk mataifa mbalmbal jamn ndyo maana Tanzania hatuendle I hv nyiee huwo mda mngeutumia kufanya kaz kuleta uchumi wa Nchi tungelalamika kwel maisha magumu hlf ooh hamna wanaume wa kuoaa mambo yenyew hvyo mhhh Allah tusitir ss wanawake na wasichana wa Tanzania roho inauma Sana dah
@beatriceuiiopleeryjeremiah3118
@beatriceuiiopleeryjeremiah3118 5 жыл бұрын
Aliyempaka make up bi harusi mungu anamuona
@janekennedy747
@janekennedy747 5 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kuzaliwa Moshi....woi Ngachokaaaa.....
@monicamushi5192
@monicamushi5192 2 жыл бұрын
Hahahaaa kwaaadeee kyoo
@ashajuma970
@ashajuma970 5 жыл бұрын
Uwa libifu wa pesa jamani SubhanaAllah sibora angetoa sadaka.
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 жыл бұрын
SUBHANNALLAH!! Allah Awaongoze ya Rabbi . Hawajui watendalo.
@tibekabaka8127
@tibekabaka8127 5 жыл бұрын
Nimecheka mie. Lkn Ashura km ulitoa matusi kwenye status hukufanya vzr acha ,huyo ni wifi yako huwezi jua ya mbele ni anaweza kukusaidia huyo unayemtusi kwa sasa.
@felisterapornary2612
@felisterapornary2612 5 жыл бұрын
Kama wanaona Kaka Yao anafaidi basi waolewe wao😋😋😋😋😋
@sarahmsusisarahmsusi388
@sarahmsusisarahmsusi388 5 жыл бұрын
Mmmh nilikuwa nasikiaga tuu kumbe hayo mambo yapo aiseee kosa vyote ila sio akili
@neemachriss2605
@neemachriss2605 3 жыл бұрын
kabisaaaa
@saramss7262
@saramss7262 3 жыл бұрын
Waislam haooi
@faridamkesso97
@faridamkesso97 5 жыл бұрын
Duh vituko uswahilini , mjini sikutaki kamwe wacha tu niendelee kulima huku kwetu kijijini
@shamilahasan7344
@shamilahasan7344 5 жыл бұрын
Farida Mkesso
@serbash4212
@serbash4212 5 жыл бұрын
Mimi nimeona ajabu kuyaona haya binadamu wanakoseyana na wanasehemeyana hiyo ndiyo dini na ndiyo ni tabiya nzuri kusameheyana na urafiki unazidi kuwa mzuri sisi ni binadamu ni kawaida kukoseya na kusameheyana kuna watu wanakufa na njaa na nyinyi munachezeya pesa kwa kumfurahisha shetani mungu awaongoze UAE
@faridamkesso97
@faridamkesso97 5 жыл бұрын
@@serbash4212 kweli kabisa usemayo binadamu tunajisahau sana , Mwenyezi Mungu atuepushe na kila balaa atujaalie mioyo ya upendo
@gloryavelin2583
@gloryavelin2583 5 жыл бұрын
Nilikuja mgeni na sasa nimeshazoea maisha ya uswahilini naitwa mama mangi jamani from Kilimanjaro
@faridamkesso97
@faridamkesso97 5 жыл бұрын
@@gloryavelin2583 Mama Mangi nikija mjini kushangaa nitakutafuta maana mie pia ni wa Arusha , ila kwa sasa niko Brussels Belgium
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Watakatika viuono kwa hasira . Kina mange kimambi ni wengi 😂😂
@ashaali7154
@ashaali7154 5 жыл бұрын
😂😂😂
@fatumasaid9985
@fatumasaid9985 5 жыл бұрын
Wanawake wataingia motoni mafungu kwa mafungu,Mambo ni haya.. SubhanaLlah Mungu awasamehe,ila hamjadhalilisha mtu mmejidhalilisha mwenyeweeee.Puuuuuuu!!!Ovyoooo
@zaharamsafiri825
@zaharamsafiri825 5 жыл бұрын
jaman embu tumuogope mungu, sasa mwez mtukufu mambo hayo ya nn embu tusomeni dini
@tibekabaka8127
@tibekabaka8127 5 жыл бұрын
Siku zote yatupasa tutende yaliyo mema mbele za Mwenyezi Mungu na si kusubiri mwezi mtukufu tu peke yake.
@hamastien5439
@hamastien5439 5 жыл бұрын
@@tibekabaka8127 swadakt
@vhiedkc859
@vhiedkc859 5 жыл бұрын
ZAHARA MSAFIRI kila mwezi mtukufu
@asnakudra13
@asnakudra13 5 жыл бұрын
kusoma jambo muhimu sanaa tuwape elimu watoto zetu jamn
@yunnewangechi4023
@yunnewangechi4023 4 жыл бұрын
makubwa uswahilin kam unasoma koment kam mm gonga like😁😂
@abuuaisha9095
@abuuaisha9095 5 жыл бұрын
Daaah...!!! Makurumbembe utayajua tyu..!! Sura zimekobolewa utadhani dengu.....!! Mishipa imewatoka utadhani mizizi ya miti..!!! Mikorogo imewakoroga hadi wakakorogeka sura utadhani madonda...!!!
@missdee7488
@missdee7488 5 жыл бұрын
Huyu biharus konki fireee Sio Kwa makeup Hyo 😂😂😂😂
@sashababy1321
@sashababy1321 5 жыл бұрын
😂😂😂uswahilini kuna mambo
@missdee7488
@missdee7488 5 жыл бұрын
Acha tu 😂😂😂😂😂
@oliviamboma1347
@oliviamboma1347 5 жыл бұрын
Dia Matunu hahahahahahahah
@marymasanyiwa3529
@marymasanyiwa3529 5 жыл бұрын
Yani sura mbaya dawa yake makeup ila hii imegoma kupambika
@tatumahamoud305
@tatumahamoud305 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@elizamsilikasi1952
@elizamsilikasi1952 5 жыл бұрын
Nimeuza miguuu ya kuku ninunue sare!!! Khaaaaaaaa ufwalaaaaaaaa huo, kicheza uchiuchi
@asiaissa1700
@asiaissa1700 5 жыл бұрын
wAmekosa dini
@ashurakambangwa14
@ashurakambangwa14 5 жыл бұрын
Hahahaha khaaa huyo anayemwambia mwenzie mbwa mmmh ye mwenyewe sijui kajiona! Dunia hii khaa
@jumaarabin581
@jumaarabin581 5 жыл бұрын
taayuri tu hao wanao piga kelele sura zina rangi mbili uyo wanao msema mzuri mashalllah
@nouhamour545
@nouhamour545 5 жыл бұрын
Bi harusi kama chid benz jaman au macho yangu yanaona vibaya 😂😂
@nasrahassanabioll6559
@nasrahassanabioll6559 3 жыл бұрын
Aweee kwelii 😂 nimecheka hadi bac 🙌
@dainesigebo7019
@dainesigebo7019 5 жыл бұрын
Geah mama mjini Kuna mambo duuuuh dar kazi💃💃
@khamisamursally2470
@khamisamursally2470 5 жыл бұрын
Yaaani sanaaa kabisa vyombo kapata Geah achana na Waswahili 😂😂😂 kweni na ww wifi etu umekuwa mswahili
@zuhuramwawimo997
@zuhuramwawimo997 4 жыл бұрын
mawifi uko na mabifu 😅😅😅😅😅😅 natakufa buree na bifu😈😈😈 wakenya ebu nipeni like zenu✋✋✋✋✋✋
@zuhuramwalimushabani8836
@zuhuramwalimushabani8836 5 жыл бұрын
😅😅😅😅😅ila Geha unateseka na uswazi yetu jamani pole na hongera kutuletea haya sie wa mbali tunaendelea kujifunza kupitia uswazi yetu
@tanzaniangirl1980
@tanzaniangirl1980 5 жыл бұрын
Jaman tubaki huku mikoan kwetu😂😂😂😂😂😂😂😂
@sokyagalllus4026
@sokyagalllus4026 5 жыл бұрын
ha ha ha,sisi mbona tunaishi nao kitaa,lakn tunaangalia tu yaliyo tuleteta mjini
@rosaliembarikiwa592
@rosaliembarikiwa592 4 жыл бұрын
Jamani,wacheni kamati za roho and mbaya. Mwogopeni Mungu. Mabaikoko fanyeni ndani jamani🙈🙈🙈🙈🙈
@judithtibandebage3227
@judithtibandebage3227 5 жыл бұрын
Biharusi aliempamba mungu anamuona akingia MBINGUNI naandamana sio kwakumpaka unga mwenzie
@geonycoutinho2943
@geonycoutinho2943 5 жыл бұрын
Ashura Maharage 😃😃😃 utapata tabu sana.
@safikapufi422
@safikapufi422 5 жыл бұрын
izi pesa wangepeleka watoto shule
@msetyntorah804
@msetyntorah804 5 жыл бұрын
Ddah yan ukiangalia matendo ya wanawake wa uswahilini unawezafikiri Wanawake wote hawana akili,, lakin wapo wanaojielewa. Ila kwa wanawake hawa dunia ijipange. 😂😂😂
@priscalorinius9368
@priscalorinius9368 2 жыл бұрын
Mecheka hadi nalia ..... pole Geah maana sio kwa mishuhuli hiyo mwali....
@anithaflorian1157
@anithaflorian1157 5 жыл бұрын
Wanawake tunakwama wp??? Kwan mlishindwa kumfata mkakaa nae mkamkanya kuliko ayo mnayofanya so vizuri badiliken bhana status mbona watu wanaweka tu daaaah badilika bhana
@everinetella4999
@everinetella4999 5 жыл бұрын
Ukosefu wa elimu
@boscoloritah4404
@boscoloritah4404 5 жыл бұрын
Tunakwama kweny ktuo Cha wivu
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 5 жыл бұрын
Hayo majina yao sasa😂fatuma jua na ashura maharage
@glorysaruni7252
@glorysaruni7252 5 жыл бұрын
Nafisa Mohamad kuna chuma kobelo alfu kakomaa uso hatr
@RioIpo
@RioIpo 4 жыл бұрын
@@glorysaruni7252 🤣🤣🤣 Chuma kobelo naongea
@chiefmtoto1365
@chiefmtoto1365 5 жыл бұрын
Kama umetambua yea hao mawifi hajaolewa na hawampendi WiFi yao,yaaani ni wivu like nyingi kwangu
@paulinarichard1789
@paulinarichard1789 5 жыл бұрын
mawifi jamani duh wapo konkiii Mungu nisaidie mawifi zangu wasiwe hivi!!!
@kuruthumomary3533
@kuruthumomary3533 5 жыл бұрын
Sura zimewababuka km chapati zilizikosa mafuta watu wazima ovyoooo na Ramadhn yote hii,,,, astaghafillah innalillah waina illah rajiun....
@zakiamtiti4039
@zakiamtiti4039 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mamaaaaaa khaaa hawa wote loooooooh hawajaolewa ukiona ivo fyuuuuuu
@kuruthumomary3533
@kuruthumomary3533 5 жыл бұрын
@@zakiamtiti4039 hahahahahhahaa bila shaka Mana roho zawafinya finya wivu hawa ndo wale wanojibebish kwa vibenteni alafu wanaliwa bure Sasa wivu roho zawauma maninaa zao
@juniorabdul2467
@juniorabdul2467 5 жыл бұрын
Inasikitisha sana kuona ss tunaoangalia huu upuuzi ,mbaka ikifika 2090 tutakua tumeshakufa ,
@beatricerodgers4945
@beatricerodgers4945 5 жыл бұрын
Tena mizoga kabsa
@juniorabdul2467
@juniorabdul2467 5 жыл бұрын
Mtihani sn kwetu tuliobahatika kubakiwa NA pumzi
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
mngekuwa mnamjua Allah wallah msingefanya hayo YaaaaAllah niepushie na haya ya dunia YaaaaAllah
@glorysungura3180
@glorysungura3180 Жыл бұрын
Gea hujambo? Nakutafuta sana. Kuna habari muhimu sana. Nikikuona nitafarijika mno, yawezekana jibu likapatikana.
@salhatkarimu5434
@salhatkarimu5434 5 жыл бұрын
Me mbona mzaramo na mndengeleko lkn mbona sipo ivyo jmn khaa 🤔🤔
@zulfatdidas369
@zulfatdidas369 5 жыл бұрын
Salhat Karimu hawajitambui Hawa tuwaache
@aisyanamaro9658
@aisyanamaro9658 5 жыл бұрын
Salhat Karimu acheni bangi
@majidymohamedy8903
@majidymohamedy8903 5 жыл бұрын
Salhat Karimu
@RioIpo
@RioIpo 5 жыл бұрын
Ata mama zangu ni wazaramu na wandengereko lakini mbona hawapo ivo
@waltacarlos9084
@waltacarlos9084 5 жыл бұрын
Na ukichunguza kimakini utakuta ao sio wazaramu ni wahamiaji tu wa Dar watu tuna uzaramu lakini hata kigodoro hatujawai cheza na shule tumeenda na maendeleo tumefanya mengi hatuendekezi ngoma
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
Duh!wanawake jamani sisi pepo hatutoiona mungu tuepushe na moto!
@mchomemtuveta6317
@mchomemtuveta6317 5 жыл бұрын
Nashukuru mungu ninaye wifi1 tu Jamani na ananipenda sana kuliko kawaida
@aminasaid7456
@aminasaid7456 5 жыл бұрын
Aisee...kwa vitimbi hivi bora kufunga ndoa kwanza then kitchen party baadae maana hata wakivuruga haikuumi kwa sababu tayar ushaolewa!
@naimasaid7763
@naimasaid7763 5 жыл бұрын
Mm mzaramo lkn kwa ujinga huu wala sisapoti, pumbavu zao, ujinga mtupu
@brayborahamisi9571
@brayborahamisi9571 5 жыл бұрын
Roho mbaya tu hamjaolewa ndo maana mnapayuka
@naimasaid7763
@naimasaid7763 5 жыл бұрын
@@brayborahamisi9571 koma, ovyoo, ndo nyie mnaoendekeza dunia kuliko matendo ya mungu, sasa hapo kulikua na aja gani ya kuyaweka mtandaoni na kumdhihaki mwenzi wao, ww ndo unaepayuka usiejielewa
@namisgiggah1571
@namisgiggah1571 5 жыл бұрын
Vidume wenzangu Kuoa uswahilini ni hatari kwa afya yako.
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kinga ni bora kulko tiba
@nadhifahzena290
@nadhifahzena290 5 жыл бұрын
Pwahahahahaahahaah 254
@subirasanga5276
@subirasanga5276 2 жыл бұрын
Jaman so kwa ushoga huo! Mbona wana mdharirisha mwenzao. Kwan aliwataja jina. Hii na hata kma bc unge mpa ukwer kwa mda mngine na so hap. Du h! Pole dada wal kuvurugia shuhur
@mamyomar1241
@mamyomar1241 5 жыл бұрын
Vyote hivyo ni katika vitimbi vya wanawake. Tuliambia mapema tutakuwingi motoni, kwa ushauri wangu tubadilikeni jamaa. Tumche sana Allah.
@susanlazaro7492
@susanlazaro7492 5 жыл бұрын
10:17 Nimecheka Sana Aisee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@freespirit5494
@freespirit5494 5 жыл бұрын
Chezea wazalamo
@uwaseastahastah4603
@uwaseastahastah4603 4 жыл бұрын
Uyoooo bibi arusi najua ani kweli kigogo uswalini sana ani kweli wanawake awajatulia amna ata kidg kweli awo madada Malaya tu ata uyo wifi amna kitu
@marryjoseph7052
@marryjoseph7052 5 жыл бұрын
Mhh mi nikupe pole geah unapata tabu unakutana na vimbwanga Awo wana wivu tu !!
@sashababy1321
@sashababy1321 5 жыл бұрын
Tenaa sana
@jasminiomary7774
@jasminiomary7774 5 жыл бұрын
Wajingaa otee
@salmabangababo659
@salmabangababo659 5 жыл бұрын
suraa zimewaparama duuu
@ashurantandu3565
@ashurantandu3565 5 жыл бұрын
Mijitu yenyew mishangingi wivu mtupu haijaolewa
@bhokemasyaga4654
@bhokemasyaga4654 4 жыл бұрын
Mh !. Bi harusi hyo makeup hapana aise.. Mungu anamwona aliempaka hvyo dah! Kwa kweli mambo ya uswaz Mungu aniepushe nayo kabisa mana dah
@saadsalum3253
@saadsalum3253 4 жыл бұрын
wazaramooo bwana wanashida sanaaaa mmehama k. koo mmehamia kigogo akili zimezidi kuwa mbaya
@nusaibahassan5842
@nusaibahassan5842 5 жыл бұрын
Dunia Simama Nishuke 😭😭AstghafiruALlah Wanawake Twaelekea Wapi Jamani
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
Uliyempaka Bi harusi make-up mungu anakuona 🙂
@mmajonnhykenya5034
@mmajonnhykenya5034 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@mmajonnhykenya5034 😆
MKE AMKABA MUMEWE HADI KUFARIKI...!!
18:08
Geah Habibu
Рет қаралды 224 М.
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 41 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 84 МЛН
NI SHUGHULI YA KUMCHAMBA MTU KWA SARE NA MZIKI JUU
24:21
Geah Habibu
Рет қаралды 651 М.
Harusi said xxxx sablove
3:05
LENZI TV
Рет қаралды 4,3 М.
BILA KUFICHA: PATRICK KANUMBA 'AFICHUA KUHUSU KUMTAMANI JENIFA'
13:18
Cheni tv Online
Рет қаралды 864 М.
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН