MAZAO YA JAMII YA MIKUNDE|UMUHIMU LISHE NA AFYA

  Рет қаралды 413

Kilimo Tanzania

Kilimo Tanzania

Жыл бұрын

Je unayafahamu mazao ya jamii ya mikunde??unajua faida zaks katika lishe na afya ya mwili wa mwanadamu.Karibu ujifunze kupitia video hii na mtaalamu wa Lishe na Chakula

Пікірлер: 13
@devoutermwalupanga63
@devoutermwalupanga63 Жыл бұрын
🎉maharage,soya,choroko,njegere nakuendeleaa
@maulidkabalika-go9qf
@maulidkabalika-go9qf Жыл бұрын
Hongera Ma mkubwa😘😘👊👊👌👌👌
@elizaberthbaynit2845
@elizaberthbaynit2845 Жыл бұрын
❤❤
@evelynemsite5907
@evelynemsite5907 Жыл бұрын
💥🥰
@NeemaChacha
@NeemaChacha Жыл бұрын
Wow..❤️ najifunza vingi
@fanrich3897
@fanrich3897 Жыл бұрын
Oneni mambo mazuri kutoka kwa mtaalam wetu aunt mzuri 😂 subscribe,like na kushare tuwafikie watz wote
@abdulshango2123
@abdulshango2123 Жыл бұрын
Somo mujarabu kabisa kwa lishe.
@kanjeharmonize7405
@kanjeharmonize7405 Жыл бұрын
Naitwa Nelson na muliza mtaalamu beatha alishawai kulima.swali lapili marage mekundu yana virutubisho gan neto
@Kilimotanzania1
@Kilimotanzania1 Жыл бұрын
Ahsante kwa swali zuri Nelson na karibu sana.Nitajibu swali la pili maharage yana virutubisho vingi sana Yana aina zaidi ya sita za Vitamini,Madini ya chuma,manganese,zinc,potashiamu,calcium,protein,nyuzinyuzi,na lipids
@beathathomasmkojera5711
@beathathomasmkojera5711 Жыл бұрын
Ndio Nelson Nimeshawahi kulima maharage. Na nimelima maharage ya soya ambayo yana rangi ya kijivu na pia maharage ya njano.
@deborasanga8167
@deborasanga8167 Жыл бұрын
Asante Sana kwa somo. Naomba kuuliza, je kuna tofauti kati ya maharage ya njano na Aina nyingine ya maharage? Na utofauti ukoje? Na je ni kweli ya njano yanafaa zaidi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo?
@Kilimotanzania1
@Kilimotanzania1 Жыл бұрын
Ahsante kwa swali lako zuri .Ni kweli kuna aina nyingi za maharage kutokana na asili yake(breeder seed).Ndani ya maharage kuna asidi iitwayo Phytic ambayo ikikutana na madini kama calcium,zinc zilizopo kwenye maharage basi husababisha mtu kupata kiungulia na kujaa gesi na hivyo watu husemi hayafai kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo sababu ya kiwango kikubwa cha Asidi.Hivyo basi ili kupunguza kiwango cha asidi inashauriwa kuloweka maharage yako kwa kati ya saa 1_2 kabla ya kupika .Na ikiwa utataka kuloweka zaidi ya masaa 2 basi uyaweke kwenye friji .Maharage ya njano yana kiwango kidogo cha ile asidi hivyo watu wwngi husema yanafaa kwa mgonjwa na ziko aina nyingine kama vile Sua maharage.La muhimu sana ni maandalizi ya maharage kabla ya kuyapika
@deborasanga8167
@deborasanga8167 Жыл бұрын
@@Kilimotanzania1 asante sana
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique Purpose
3:11:18
Andrew Huberman
Рет қаралды 10 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 34 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
TAZAMA SAHANI YAKO...CHAKULA SALAMA/SUMU KATIKA VYAKULA NA MAZAO
28:33
MAAJABU YA "KISIMA CHA MUNGU" - MANYARA
6:15
Wasafi Media
Рет қаралды 94 М.
| KILIMO BIASHARA | Kilimo cha dengu katika mji wa Naivasha
2:49
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2,7 М.
80 Year Olds Share Advice for Younger Self
12:22
Sprouht
Рет қаралды 1,4 МЛН
Antipsychotic Drugs | Typical vs Atypical | Pharmacology💊
3:14:21
Dr. Najeeb Lectures
Рет қаралды 175 М.
KILMO BIASHARA | Mkulima Aimarisha Zao La Njegere
2:12
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2,2 М.
FAHAMU KUHUSU  KILIMO TANZANIA|KILIMO TANZANIA
3:25
Kilimo Tanzania
Рет қаралды 1,6 М.
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 34 МЛН