Пікірлер
@sissysiffa7046
@sissysiffa7046 2 ай бұрын
Well done sir .👏🏾👏🏾
@SaidiOmary-qq4ni
@SaidiOmary-qq4ni 3 ай бұрын
Naomba namba mhandisi nimependa somo len
@albertmwakisambwe463
@albertmwakisambwe463 4 ай бұрын
Ili kujua ubora wa maji ya kisima cha kuchimba gharama bei gani?
@daudimangire4976
@daudimangire4976 9 ай бұрын
Tunaomba wapimaji wakupata maji sahihi watoe huduma hizo bure kwani kufanikiwa kwangu ndo kutoa ajira kwa wengine
@user-kg1se2hp2h
@user-kg1se2hp2h 9 ай бұрын
Napenda kilimo chaumwagiliaji
@ematenbusinesssolution9949
@ematenbusinesssolution9949 9 ай бұрын
Naomba namba yako mtaalam
@Kilimotanzania1
@Kilimotanzania1 7 ай бұрын
0745207403
@filbertsulusi8963
@filbertsulusi8963 10 ай бұрын
Nimependa Sana kipindi chenu cha kilimo cha umwagiliaji,mm napenda nipate mawasiliano yenu,mm najiusisha na kilimo cha umwagiliaji
@SixtusMuhagama-fo5sk
@SixtusMuhagama-fo5sk 11 ай бұрын
Nahitaji kupanda maparachici
@kedmonlameck8401
@kedmonlameck8401 11 ай бұрын
Naomba kuunganishwa kwenye grump yakilimo cha umwagiliaji .ninachangamoto nyingi shambani niko kwenye kilimo cha mpunga mtomaragarasi .nambegu Nathan hapo sua morogoro. Tunahitaji sana semina ili tuone tija yamafanikio
@daudmasawe4459
@daudmasawe4459 Жыл бұрын
Mm nashid na wot pampu nch 8 naipat wapi sory
@user-yd3zd3jf4n
@user-yd3zd3jf4n Жыл бұрын
Nimesikia umwagiliaji wa matone. Nimevutiwa nao. Naendelea jifunza, kabla sijaamua weka shambani kwangu. Asante kwa elimu hii mnayotoa
@omaryomaryy4726
@omaryomaryy4726 9 ай бұрын
Zao gani unatumia
@paulinajemson2719
@paulinajemson2719 Жыл бұрын
Somo zuri sana ,asante sana muwezeshaji
@rehemaerastomwaipopo8761
@rehemaerastomwaipopo8761 Жыл бұрын
Waooh. Kwa platform hii, tushindwe Sisi tu Kwa kutothubutu kwetu. Kwa kifupi, imesheheni madini mengi ambayo ni mtaji mkubwa sana wa kufanikisha kile kinatakiwa. Msiache kutupa vitu hivi🙏🙏🙏
@getridermwasile2849
@getridermwasile2849 Жыл бұрын
Sante kwa kutupatia elimu Mai WANGU, nakupenda bure tu kichwan umejaa AKILI tupu
@jacobndalahwa2992
@jacobndalahwa2992 Жыл бұрын
Nafanya kilimo lakini tatizo maji pia nambegu nipo kahama shy
@Kilimotanzania1
@Kilimotanzania1 Жыл бұрын
Wasiliana nasi kwa 0745207403
@WitsporaSwai-dz2fu
@WitsporaSwai-dz2fu Жыл бұрын
Nice content , najifunza
@devoutermwalupanga63
@devoutermwalupanga63 Жыл бұрын
🔥
@stelachalo4619
@stelachalo4619 Жыл бұрын
Go goo my girl ❤️❤️
@mariethakipeta-sx3ex
@mariethakipeta-sx3ex Жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri miss hekima
@RebecaNyamhanga-jl7jx
@RebecaNyamhanga-jl7jx Жыл бұрын
Hongereni KILIMO TANZANIA 💚🇹🇿🔥
@janethsenyagwa1339
@janethsenyagwa1339 Жыл бұрын
Congratulations a lot napenda kulima ila mvivu hope utaniispire kuchukua hatua
@mariethakipeta-sx3ex
@mariethakipeta-sx3ex Жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri miss hekima
@stephanokihaga6891
@stephanokihaga6891 Жыл бұрын
Congrats dear Mungu akutunzee
@abdulshango2123
@abdulshango2123 Жыл бұрын
Mada sahihi kwa wakati sahihi hususani katika wakati huu wa mabadiliko ya tabia ya nchi na hali ya hewa.
@abdulshango2123
@abdulshango2123 Жыл бұрын
Somo mujarabu kabisa kwa lishe.
@gloriajulius9233
@gloriajulius9233 Жыл бұрын
Asanteh kwa elimu nzuri
@topbdesigners5650
@topbdesigners5650 Жыл бұрын
Good 👍
@noeroby233
@noeroby233 Жыл бұрын
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
@noeroby233
@noeroby233 Жыл бұрын
Elimu Bora na inayoeleweka Kwa urahisi sana
@agnethamsuha-yr9cq
@agnethamsuha-yr9cq Жыл бұрын
Hongeraaa Sana Dr silungwe kwa elimu nzuriiii keep up the good work.
@jacobndalahwa2992
@jacobndalahwa2992 Жыл бұрын
Nifanyeje Mimi napenda kilimo lakini Sina maji lakini kionzio Cha shamba kipo shamba heka moja narobo
@jacobndalahwa2992
@jacobndalahwa2992 Жыл бұрын
Pia kiujumla shida maji tu
@hekimamliga2139
@hekimamliga2139 Жыл бұрын
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia vipindi vyetu. Tunakukaribisha uendelee kulike ,comment,uliza maswali na pia usisahau kusubscribe katika chaneli yetu.
@saidMnyanga-yk3rf
@saidMnyanga-yk3rf Жыл бұрын
Vizuri
@bensonmwambwelwa-zi8de
@bensonmwambwelwa-zi8de Жыл бұрын
Asante Dr.festo for good explanation
@williammubanga2271
@williammubanga2271 Жыл бұрын
Madini ya kutosha kutoka Eng.Festo
@marykinyaiya8773
@marykinyaiya8773 Жыл бұрын
Very well spoken and easy to understand.
@leonardlema1915
@leonardlema1915 Жыл бұрын
Asante Dr.Silungwe, very informative, very composed! Endelea kutoa elimu hii kwa kufanya topics mbalimbali ambazo ni changamoto hapa nchini.
@yohanamsanga9411
@yohanamsanga9411 Жыл бұрын
Good thing 💥
@AkwilinTarimo-hw9tk
@AkwilinTarimo-hw9tk Жыл бұрын
Very clear and informative. Keep it up.
@janetmollel1309
@janetmollel1309 Жыл бұрын
👍
@maulidkabalika-go9qf
@maulidkabalika-go9qf Жыл бұрын
Hongera Ma mkubwa😘😘👊👊👌👌👌
@devoutermwalupanga63
@devoutermwalupanga63 Жыл бұрын
🎉maharage,soya,choroko,njegere nakuendeleaa
@NeemaChacha
@NeemaChacha Жыл бұрын
Wow..❤️ najifunza vingi
@hekimamliga2139
@hekimamliga2139 Жыл бұрын
Ahsante kwa kutazama video yetu na kutupa maoni.....Usisahau kusubscribe,kucomment,kulike,kushare na rafiki zako na utakua umesogeza elimu hii kwa watu wengi zaidi.
@kanjeharmonize7405
@kanjeharmonize7405 Жыл бұрын
Naitwa Nelson na muliza mtaalamu beatha alishawai kulima.swali lapili marage mekundu yana virutubisho gan neto
@Kilimotanzania1
@Kilimotanzania1 Жыл бұрын
Ahsante kwa swali zuri Nelson na karibu sana.Nitajibu swali la pili maharage yana virutubisho vingi sana Yana aina zaidi ya sita za Vitamini,Madini ya chuma,manganese,zinc,potashiamu,calcium,protein,nyuzinyuzi,na lipids
@beathathomasmkojera5711
@beathathomasmkojera5711 Жыл бұрын
Ndio Nelson Nimeshawahi kulima maharage. Na nimelima maharage ya soya ambayo yana rangi ya kijivu na pia maharage ya njano.
@elizaberthbaynit2845
@elizaberthbaynit2845 Жыл бұрын
❤❤
@deborasanga8167
@deborasanga8167 Жыл бұрын
Asante Sana kwa somo. Naomba kuuliza, je kuna tofauti kati ya maharage ya njano na Aina nyingine ya maharage? Na utofauti ukoje? Na je ni kweli ya njano yanafaa zaidi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo?
@Kilimotanzania1
@Kilimotanzania1 Жыл бұрын
Ahsante kwa swali lako zuri .Ni kweli kuna aina nyingi za maharage kutokana na asili yake(breeder seed).Ndani ya maharage kuna asidi iitwayo Phytic ambayo ikikutana na madini kama calcium,zinc zilizopo kwenye maharage basi husababisha mtu kupata kiungulia na kujaa gesi na hivyo watu husemi hayafai kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo sababu ya kiwango kikubwa cha Asidi.Hivyo basi ili kupunguza kiwango cha asidi inashauriwa kuloweka maharage yako kwa kati ya saa 1_2 kabla ya kupika .Na ikiwa utataka kuloweka zaidi ya masaa 2 basi uyaweke kwenye friji .Maharage ya njano yana kiwango kidogo cha ile asidi hivyo watu wwngi husema yanafaa kwa mgonjwa na ziko aina nyingine kama vile Sua maharage.La muhimu sana ni maandalizi ya maharage kabla ya kuyapika
@deborasanga8167
@deborasanga8167 Жыл бұрын
@@Kilimotanzania1 asante sana
@evelynemsite5907
@evelynemsite5907 Жыл бұрын
💥🥰
@fanrich3897
@fanrich3897 Жыл бұрын
Oneni mambo mazuri kutoka kwa mtaalam wetu aunt mzuri 😂 subscribe,like na kushare tuwafikie watz wote
@yusuphchinduli6740
@yusuphchinduli6740 Жыл бұрын
Congrats mate, the kind of youth the nation is desirable to have👏👏. Courageous, Keep it up👍
@THEREZAMAGESA-ll6eb
@THEREZAMAGESA-ll6eb Жыл бұрын
Congrats madam hekima I'm proud to have you as my teacher
@salagandalubinza1090
@salagandalubinza1090 Жыл бұрын
Congratulations Madame, let's go