MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''

  Рет қаралды 123,844

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 204
@glorymsopa4221
@glorymsopa4221 2 жыл бұрын
Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear
@tallyfa05saeed67
@tallyfa05saeed67 2 жыл бұрын
As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa
@cecyliamhando7156
@cecyliamhando7156 2 жыл бұрын
Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie
@user-fd2so2tz5o
@user-fd2so2tz5o 3 ай бұрын
Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu
@shaloboy3861
@shaloboy3861 2 жыл бұрын
Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako
@rukyiakimolo4564
@rukyiakimolo4564 2 жыл бұрын
Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto
@loganpoul
@loganpoul 2 жыл бұрын
Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka
@hanifalyembela2716
@hanifalyembela2716 2 жыл бұрын
Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 2 жыл бұрын
Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,
@btylove1870
@btylove1870 2 жыл бұрын
I just love Dida wallah.😅😅
@rosediana6327
@rosediana6327 2 жыл бұрын
Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@zeyananasser625
@zeyananasser625 2 жыл бұрын
Lovely 🌹 Da dida
@yusrasalum
@yusrasalum 2 жыл бұрын
Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 2 жыл бұрын
Dida tunakupenda sana, hongera kwa kazi yako nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 жыл бұрын
Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my
@leylaiddy5815
@leylaiddy5815 2 жыл бұрын
Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Yaan ni hatari sana
@aliabdullah8819
@aliabdullah8819 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 2 жыл бұрын
Nice
@omanmuscat1459
@omanmuscat1459 2 жыл бұрын
Dada dii💓
@merianhalibunyoha2629
@merianhalibunyoha2629 2 жыл бұрын
Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada
@africano98.
@africano98. 2 жыл бұрын
Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 2 жыл бұрын
Swadakta
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 жыл бұрын
Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 2 жыл бұрын
Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣
@sophiamohamed3116
@sophiamohamed3116 2 жыл бұрын
Dida kacharuka huyooo😁😁😁
@princesszai9925
@princesszai9925 2 жыл бұрын
Juma mungu anakuona walah 😄😄
@dorismwakabenga4392
@dorismwakabenga4392 Жыл бұрын
Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa
@dellynevermlanga2772
@dellynevermlanga2772 6 ай бұрын
Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako
@AminaAthuman-ub6zd
@AminaAthuman-ub6zd 5 ай бұрын
Nakupenda sna my sista
@fatmaabdi8813
@fatmaabdi8813 2 жыл бұрын
Manake kwanza nicheke😂😂😂😂😂
@najuf8021
@najuf8021 2 жыл бұрын
Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
alisema miaka saba
@Assam8885
@Assam8885 2 жыл бұрын
Alisema miaka saba😂
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salmahabdallah7203
@salmahabdallah7203 2 жыл бұрын
@@heyumi2340 😂😂😂😂
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu
@halimaoman8726
@halimaoman8726 5 ай бұрын
Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 2 жыл бұрын
Partner😄😄😄
@ahmadjuma5229
@ahmadjuma5229 2 жыл бұрын
Ndoa yako ipo kwangu
@janebihagala5848
@janebihagala5848 2 жыл бұрын
dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio
@njokake6775
@njokake6775 2 жыл бұрын
HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya kzfaq.info/get/bejne/n7aJf9141buZoHk.html
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 2 жыл бұрын
Hahahaha
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 2 жыл бұрын
😅😅
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure
@salimabakari8617
@salimabakari8617 2 жыл бұрын
Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.
@user-cy1eb2lh6l
@user-cy1eb2lh6l 6 ай бұрын
Mtihan
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 2 жыл бұрын
Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 жыл бұрын
Sanaa hidari wa kusema ya wenzake
@mariamuharubu6577
@mariamuharubu6577 2 жыл бұрын
Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
@@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini
@abelmipwa9854
@abelmipwa9854 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 жыл бұрын
sanaaaa amevurugwa
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 жыл бұрын
Mmmm wa mbeyaaa! Mnapendaa🙃
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 2 жыл бұрын
Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 жыл бұрын
Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 жыл бұрын
Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?
@joanmbunda1669
@joanmbunda1669 2 жыл бұрын
🤔👀
@najmaulaya8819
@najmaulaya8819 2 жыл бұрын
😂😂😂😂watu wanaona dunian wamefika hakuna kwingine
@michealnige8871
@michealnige8871 2 жыл бұрын
Dida pole dada ake ndio kazi
@ummuadam2423
@ummuadam2423 2 жыл бұрын
ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂
@habibaa9503
@habibaa9503 2 жыл бұрын
Yamemfika leo Dida🤣🤣
@pendondossy4181
@pendondossy4181 2 жыл бұрын
Duuuuuh mitambo hiiiiiii
@saudamayowela7636
@saudamayowela7636 2 жыл бұрын
Suruali ya Juma tu mie hoi
@judythasiko8648
@judythasiko8648 2 жыл бұрын
akili za Dida nazipendaaaaa😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Saaana
@user-yp7lh7pm3o
@user-yp7lh7pm3o 7 ай бұрын
Dida Mimi nakupenda sana
@alsam4881
@alsam4881 2 жыл бұрын
Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.
@mariamuharubu6577
@mariamuharubu6577 2 жыл бұрын
Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 жыл бұрын
Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣
@prochecyprotacy9847
@prochecyprotacy9847 2 жыл бұрын
Leo wakwanza ❤️🤣
@luciamaduga4208
@luciamaduga4208 2 жыл бұрын
Juma jamamiii
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 2 жыл бұрын
Juma mnafiki
@odiliamathias5424
@odiliamathias5424 2 жыл бұрын
Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 2 жыл бұрын
Did katulia kama.maji ya mvua
@lailaoman3856
@lailaoman3856 2 жыл бұрын
Naili uwachike lazima uwe nataraka
@user-qb3yh9gq5l
@user-qb3yh9gq5l Жыл бұрын
WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE
@aishahaji3128
@aishahaji3128 2 жыл бұрын
Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww
@zawadimasula6253
@zawadimasula6253 2 жыл бұрын
Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu
@nishuuuameee8695
@nishuuuameee8695 2 жыл бұрын
Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Жыл бұрын
Dida ❤️
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 2 жыл бұрын
Nimecheka sana Dida Lokole Dramapeke
@omanwoman6713
@omanwoman6713 2 жыл бұрын
Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 жыл бұрын
Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂naceka miye pole dida
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 жыл бұрын
Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅
@gadafinazarigadafinazariga2939
@gadafinazarigadafinazariga2939 2 жыл бұрын
mikucha 😅😅😅😅😅😅😅
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 жыл бұрын
WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI
@KasminaCreation
@KasminaCreation 2 жыл бұрын
Mbona mkali km ndimu kaliiii
@nervnerv470
@nervnerv470 2 жыл бұрын
Dida
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 2 жыл бұрын
🙄
@catheplatnumz7833
@catheplatnumz7833 2 жыл бұрын
Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp
@dorismwakabenga4392
@dorismwakabenga4392 Жыл бұрын
Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao
@mishimwarabu1824
@mishimwarabu1824 2 жыл бұрын
😂😀😁😀 wallai hawa
@user-vt3uq3xv3s
@user-vt3uq3xv3s 6 ай бұрын
Dida leo😂😂😂
@mpembaally3889
@mpembaally3889 2 жыл бұрын
Dida bana
@merrycharles2972
@merrycharles2972 2 жыл бұрын
Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣
@rukyiakimolo4564
@rukyiakimolo4564 2 жыл бұрын
Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Yuuu tubuuuu hahahaaa
@user-yp7lh7pm3o
@user-yp7lh7pm3o 7 ай бұрын
Dida kama makaka umepata SEMA lingine
@user-wf3dm9vj7s
@user-wf3dm9vj7s 3 ай бұрын
Wasafi tupopamoja
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 жыл бұрын
Kumbe dida aliolewa mke wa4
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 жыл бұрын
Dida 😂😂😂😂😂😂😂tupo pamoja tunawakilisha taif 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abrahama2756
@abrahama2756 2 жыл бұрын
Lokole bana
@alicekatondo5940
@alicekatondo5940 2 жыл бұрын
Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 жыл бұрын
Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 жыл бұрын
atari mnachekesha
@hemedchuma9603
@hemedchuma9603 2 жыл бұрын
Dida weee
@ahmadjuma5229
@ahmadjuma5229 2 жыл бұрын
Hadija weweeeeeeeee
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 жыл бұрын
Una shepu gani dida bhana!!
@dellynevermlanga2772
@dellynevermlanga2772 6 ай бұрын
Dida bado wewe ni fiwi. Subir talaka ukae eda
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 жыл бұрын
Dada leo zamu yakooo
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 жыл бұрын
Ndoa ni kher
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 2 жыл бұрын
Kwani una kipi mpaka usiolewe mke wa tatu
@salmaayubunyoka5417
@salmaayubunyoka5417 2 жыл бұрын
Dadaangu usibabaishwe muambie akiachwa achike
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 2 жыл бұрын
Taraka sio lazima swala ni kuachana tu kama mmeshindwana
@lailaoman3856
@lailaoman3856 2 жыл бұрын
Jeni uelewi uislam,taraka razima nandowa aifungwi nyengine bira yataraka,yeye iyo ndoa aliyo ifungwa yapili lazima awenataraka kwaivyo ndowa yake yapili ilikuwa patiri
@aminasaid4174
@aminasaid4174 2 жыл бұрын
Kama kitu ujuwi bora yake kimya tu wewe wajuwa nini kuhusu swala la talaka 😏
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@lailaoman3856 talaka hata akisema kwa mdomo bila kuandika inaswihi
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 жыл бұрын
Talaka lazima bila talaka hata aende wapi haolewi
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@sikukuuchuo3093 talaka sio lazima iandikwe hata akisema kws mdomo nimekuachs instosha iwe mwanamke au mwanaume akitamka ty umeachika au umemuacha
UTATA! NDOA ya ROSE NDAUKA  KUSEMEKENA KUVUNJIKA....
7:49
Wasafi Media
Рет қаралды 19 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 11 МЛН
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 51 М.
Слепой узнал о измене своей жены😳
1:00
😆
0:20
Santi
Рет қаралды 13 МЛН
Neden yüzünü saklıyor
0:19
H. DANIŞIK
Рет қаралды 35 МЛН
Слепой узнал о измене своей жены😳
1:00