Mungu kajaaliwa baadhi ya watu hapa Duniani wasipate Taabu😀😂 asa mtu km maneno 10 analaleje njaa😂😃😅😅😅😅
@Richesfam4 жыл бұрын
“Na Bruce lee” 😂😂😂😂😂Omg this guy is sooo funny
@thomasraiton7760 Жыл бұрын
Nimepitia hapa tena leo 13/10/2022 kupata burudani hii tena karibu ku like kama nawe umeirudia
@erickmidomsodock871611 ай бұрын
Nimepita leo 28/08/2023
@allybinmaliki14674 жыл бұрын
Daaah hao wa matangazo matapeli Sanaa Kama auna kazi waweza pagawa serikali waingilie kati wanyanyasaji xana waongo kinouma
@JackSparrow-ih5es4 жыл бұрын
Mungu awajalie Jambo na vijambo nawakubaki Sana
@barakachawe62414 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza mboyoyo kapewa hela. 😂😂😂😂😂😂😂
@epiphaniafrank88282 жыл бұрын
This guy is awesome his ability is outstanding.
@elminofisho76754 жыл бұрын
Huu uigizaj never seen 🙌🏾🙌🏾😹😹mnajua
@hassanichijumba72224 жыл бұрын
Huyu jamaa ukiachana na kuigiza, ni muongo kweli huyu aisee
@newprinceisaya61314 жыл бұрын
😂😂😂😃😃😁😁😁
@hamiduissa80894 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@triplea34634 жыл бұрын
😂😂😂
@ericernest20994 жыл бұрын
Dadadaa
@Its_jozeeeh4 жыл бұрын
🤭🤭🤭
@fransismodestus90704 жыл бұрын
Bongo tu tunavip promo vsivyowez ila awa jamaaa kama uyu mboyoyo tungemwamn kama akna joti, kitale, maufund..naamn angepeprush bendera vzr coz aina ya uchekeshaj wak n unique cna...
"asituletee mambo ya instagram apa, mambo yakuvalishana pete"😂😂 uo mstar n relevant
@swalehetwalibu38734 жыл бұрын
this guys is so dope
@buluush97414 жыл бұрын
Tiibag feleeshen NIMESEMAJE? tiibag feleeshen 🤣🤣😂huyu mbwa nimuongo kuliko hamorapa😂😂🤣
@abubakarmpole40004 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@kisura299dinno44 жыл бұрын
Kwel uyu jamaa nimuongo kinyama
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
😂 😂 😂
@tildahongkong60864 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kisenge
@khadijaahmada25444 жыл бұрын
Samahani kama nitakukwaza my bro tunaburudika na utani ndani yke ila zambi kubwa kumuita binaadam mwezio mbwa hata kama kwa utani..nisamehe lakini kama nitakukwaza
@tushia6434 жыл бұрын
😂😂😂Hawa jamàa. Sema hicho walichosema hapo ni very true...nshawahi kwenda kwenye hizo kazi😂😂😂😂😂
@takuruabdalla57293 жыл бұрын
😁😁😁😁🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@takuruabdalla57293 жыл бұрын
Yah nilipitia huko alichosema hapo hajaongopa hata kidogo
@officialnanaah75434 жыл бұрын
Yaan nmechekaaa walahiiiiiii big up wasafi....................big up jamboo n vijambo.........mnajuaaaaaa
@johnsilima67894 жыл бұрын
MUONGO NAMBA MOJA TANZANIA NZIMA DU!
@immanueldavd56314 жыл бұрын
Nyie ni mafundi Wa kuingiza hatr
@babylonebeckaexavery104 жыл бұрын
Leo umefanikiwa kupata BUKU ulizokua unaomba salute kwao
@TALLUBOY4 жыл бұрын
Kaz ih ngum sana Jaman nimewai kufanya Nilikuw nafanya kwenye company Ya ADAM GENLATION SUPERMARKEN GROUP Nikapewa mtu nifuatanenae Apite kuni train Mzee niliteseka Sana sana tulienda VIANZ vikindu Hatal wana gonga changalawe Siyo mchezo
@timothmwakakusyu45634 жыл бұрын
Pole mkuu
@khafidhsalum11074 жыл бұрын
Oya yani acha mzee baba mm nilishawahi fanya pale kinondon Biafra Pana kampun inatwa British contact wanauza sabuni mafuta shampoo nk nilisota wiki2 mshahara kila ukidondosha pisi 1 yako ni 💯 yalinishinda niakaachana nayo ili kuwa siend kuuza maeneo ninayoish najiskia aibu kinoma 😀😀😀
@emmaleejr66704 жыл бұрын
Sahihi
@Rashid-sg2mw4 жыл бұрын
Me niliambiwa nimfuate jamaa mmoja hv, tukapanda gar tukashukia tabata gerej tukaingia mtaan nilishangaa jamaa kawafata wadada wanasukana anatoa dawa za mswaki na vipodoz alivyoangalia nyuma hakuniona tena
@raymondclaud60264 жыл бұрын
Rashid Hassan hata mimi nilikimbiaga baada ya kuona hiyo kazi
@salumuhafidhimtabe4203 жыл бұрын
Nimeskia home kwetu Vikindu Daaah keep it up bro
@alexjeremiah83894 жыл бұрын
God job 🔥🔥🔥
@shabanimwinchea26964 жыл бұрын
Mboyooooo n zaid ya coronaaaa😂😂😂😂
@officialmologa4 жыл бұрын
Hapa sio kichekesho ,huu Ni uhalisia wa maisha
@emiliusfrance82864 жыл бұрын
Hakika
@youngsachafurniture54824 жыл бұрын
Nishawah kuwafuata hawa watu
@muryd69994 жыл бұрын
Fact
@samweliwapili58444 жыл бұрын
Duu wapi like kwa beseni jamniii
@shedrackslyvester86842 жыл бұрын
Hakunagaaaa kam mboyoyoyoooooo
@heshima99354 жыл бұрын
Dahh hii .imenikumbusha mbali saana ...CV barua ya serikali ya mtaa ...Naomba serikali itazama huu udanganyifu unao fanya na haya makampuni ...
@emiliusfrance82864 жыл бұрын
Nakumbuka siku mzima nilikuwa nahangaika serikali za mtaa na kutafuta wadhamini kisa hawa jamaa
@juliusfocus85394 жыл бұрын
GKartCLUB 1 kweli wise mm mwenyewe
@maulidipeter61244 жыл бұрын
Ugonjwa Wa Bruce Lee duh xo powah Madini ya soda
@samueljaluo32034 жыл бұрын
Dah!!! Awa jamaaa wanatisha hatar konk fire liquid
@seifzongo3204 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😂😂😂 hao jamaa leo mmewalipua walinidanganya mshahara laki 5 kudadeek nkatembea na mpak miguu ikaomba Pooh nkasepa na mizigo yao hawajaniona mpak leo ,nkiwaona mtaan huwa nacheka sana ,unatembea na tai haraf hata kura hujala 😂😂😂😂
@wazirikipanga3254 жыл бұрын
☺️☺️
@Marwawilliam4 жыл бұрын
Hahaaaa na mm umenkumbusha mwaka 2008 nilijichanganya kwenye kampuni moja inaitwa the Canadian company group baada ya kuona tangazo la kazi mshahara 260000 kumbe kazi yenyewe ndy kama hiyo nilisepa na vyombo vyao
@seifzongo3204 жыл бұрын
@@Marwawilliam 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 warudishie vyombo vyao,wanafikir Kila mtu muuza vyombo 🤣🤣🤣
@abdulfahadog14584 жыл бұрын
Haukudanganyw sema ni ww tu baada y kupewa plan na kutokan n uvivu wenu wa Tanzania ukashindwa kutimiza goal
@seifzongo3204 жыл бұрын
@@abdulfahadog1458 😂😂😂wewe huwezi nitembeza na vyombo mshahara dematch ,Bora niuze machungwa na maji ya kandoro siyo huo upuuz,besen unalililipia kweny gar haraf unaliuza kw taabu haraf jamaa wanakuwekea buku tu 🤣🤣🤣🤣 kwa elimu nliyonayo wale nlitakiwa kuwashtaki shwain kabisa
@chipembelesaid4 жыл бұрын
Glass zilizotengenezwa kwa mchanga wa vikindu, bruce lee umo umo halafu kumbe anaishi kibamba na nauli hana dadeeki!!!😂
@majidkipati61963 жыл бұрын
Daaah nimecheka sana
@busegamediatanzania4 жыл бұрын
Nimesemaje 'Tea bag peleshee' 😀 😀😀 sema huyu jamaa ni mjinga sana
@mirajimwango57634 жыл бұрын
KAZI HII KWA SISI WAHANGAIKAJI TUSHAOMBAGA HAHAHAHA, YAANI NOMA SANA
@TeamKRX4 жыл бұрын
Huyu mroho anaroho ya huruma anaonesha ukiachia mbali na comedy 😅😅😅
@emmanuelmtoi4874 жыл бұрын
😂 dah ila huyu mwamba
@subo26674 жыл бұрын
"Hujasoma ila mshahara kama ulivyotaja" 😂😂😂😂🤣
@dullahmbabe38694 жыл бұрын
Shati lako umelipiga pasi.. Hayakuhusu kuwa uyaone
@pareboy42094 жыл бұрын
Nmecheka kifaraaaa
@lamela27984 жыл бұрын
😂😂😂
@eliasjosiah10244 жыл бұрын
Wa kwanza like jaman
@yahyamrangi94384 жыл бұрын
Duu huyu jamaa ni muongo dunia nzimaah
@hassaniramadhani65214 жыл бұрын
Uyu jamaaa kutangaza biashara anaweza kama unamkubali basi gonga hapo like yako
@BigZhumbe4 жыл бұрын
Jaribu tena na hiyo 🤣🤣
@wardabilal28394 жыл бұрын
Jaribu ni mpakan mwa rifiji bhn
@annamansur38364 жыл бұрын
My favorite video 😘😍🤣😂
@neylumujr48764 жыл бұрын
Kama umesikia ukiweka chupa kwenye uji huu gonga like
@MenTPL4 жыл бұрын
Kwa promotion hii,lazma ununue, Jamaa muongo eti hata unaweka povu glass yenyewe inaleta maji😂😂
@tpltanzania6863 жыл бұрын
Nakubal
@subo26674 жыл бұрын
Acrobatic veso 😂😂😂 huyu jamaa haigizi,,ni muongo kweli katika maisha ya kawaida
@samcharzy46574 жыл бұрын
Sema Nini hii kazi serikali iangalie vizuri Kuna vijana wanatumikishwa kiboya Sana na hawana jinsi
@dullybrown36353 жыл бұрын
😃😃😃Ile furaha angu nilitamani ni like comment zote ila ni nyingi sooorrry
Hahahaha! Dakhhh huyu jamaa ananikumbusha mbali Sana na hii kazi ase me nilipewa fuko la lambo Lina vipodoz na sabuni mdomo wako ndo riziki yako Nan aliyeingia choo cha kike kwenye hizi kazi Kama mm
@isamaboe34953 жыл бұрын
Hata me
@immanueldavd56314 жыл бұрын
Huyu mboyoyo ni muongo dunia
@yusuphmoody23234 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu Wallah Mndengeleko ahhh
@goodluckymartin3344 жыл бұрын
Mnatishaaaaa cnaaaaa nawakubaliiiii xnaaaa asehhhhhhhhh Jambo na vijambo
@Commentsplus4 жыл бұрын
Wasafi hiki kipindi kiendelee kuwepo hata nikifa
@hamiduissa80894 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@isihakaibrahim56674 жыл бұрын
😂😂
@edkasto.90314 жыл бұрын
Ataliii xan
@ibni_H2TL6r4 жыл бұрын
Nimesemaje....!??TEEBAG FELENSHEN
@samorapeche94134 жыл бұрын
Mboyoyoo 🔥🔥🔥🔥🔥
@salummayoga82294 жыл бұрын
Nani aliye sikia na Bruce lee
@hamidumpande55094 жыл бұрын
Dah.? We jmaa atr jarbu karbu na bungu rufiji
@ibrahamkalu90694 жыл бұрын
Hayakuhusu kua uyaone 😂😂😂😂
@binmweritz68433 жыл бұрын
IS good
@wazirmasokola59514 жыл бұрын
Dah unajuwa sana mpaka unaboa
@nuruhero07404 жыл бұрын
🙄🤣🤣🤣bruce leee yaaaniii huyu n muongo kuliko amber lutty
@elbawazeky71134 жыл бұрын
😂😂 hii sijaweza kumaliza kuangalia mbavu zimekataa😂😂😂
@maestroally72014 жыл бұрын
Mjuba yupo field 🤣🤣🤣
@stepheneliasmihayo98964 жыл бұрын
Sasa akihitimu itakuwaje
@paulmgoli48534 жыл бұрын
Nikishamuona tu naanza kcheka ila uyu msenge mwisho 😂😂🙌
@shabanijuma20854 жыл бұрын
Tanzania One comedian
@samwelieliazely9674 жыл бұрын
They are best in tz
@JohnChalres-kb7ix22 күн бұрын
Kampuni inaitwa "Mirror of the witch" 😅😅😅😅
@tomexman13454 жыл бұрын
Respect👏
@aboueid8934 жыл бұрын
Mwamba ni muongo sana 😂
@eastafricabuzzfeed4 жыл бұрын
I love this guys 😂😂😂
@ghaamidabdulbasat37473 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kuwa uyaone😂😂😂🙌🏼. Meneno kumi una hatari sana
@mataamiry67204 жыл бұрын
Hawa ndo vipaji sio hao wakina jot
@drdaonstyne31663 жыл бұрын
Hakuna kazi isiokua na changa moto ata wachezaji wa filamu za ngono wao upitia changa moto hivyo maisha nikujaribu
@hastatz4 жыл бұрын
mambo ya kazi
@tynoblack59964 жыл бұрын
😂😂😂😂niko field
@sixbatan4 жыл бұрын
UYO NDIO MBOYOYO 🤣🤣💋💖 GONGA LIKE TWENDE SAWA
@michaelmagash18324 жыл бұрын
Kazi nzuri
@simonnembomadola75123 жыл бұрын
Hii combination ilikuwa Bora Sana.
@Tekashiixine-xz2wt4 жыл бұрын
Mirror of the witch 😹😹
@joelmanala50534 жыл бұрын
😂😂 kampuni kubwa hiyo
@reganlekey42034 жыл бұрын
Tishaa
@mdigotozy2733 жыл бұрын
Maneno kumi bro unajua sna bro unajua nilikuwa nimeboleka hapa lakn umenifanya niwe na uchesh gafla
@affaanothmaan62874 жыл бұрын
"Kiatu kimeisha upande mmoja mpaka nakua mlemavu"😂😂😂😂
@najmaawadh13592 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@najmaawadh13592 жыл бұрын
Ameanza kulaumu mjomba
@maxmatic33314 жыл бұрын
Super🔥🔥💯⚡💫
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
😂😂😂😂 Jalibu kalbia na bungu Rufijii😂😂😂
@stansilauseliasi78834 жыл бұрын
Nyie ni noma sana
@halimaabdi17214 жыл бұрын
Jamani kampuni ya Mirror of the witch?🤣🤣🤣🤣🤣 si movie hyo jmn😂😂😂😂