Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Kilimo ameibua hoja ya umuhimu wa kuruhusu kilimo cha Bangi nchini kwa matumizi ya dawa. MSIKILIZE #KutokaBungeni #CloudsDigitalUpdates
Пікірлер: 65
@ymusic12992 жыл бұрын
Kishimba ana hoja zakitofauti sanaa kumwelewa ni miaka mingi sanaa
@jumampunji66092 жыл бұрын
Namkubali sana huyu baba
@rsoo0099Ай бұрын
Mzee makini sana...
@sechongerashid70362 жыл бұрын
Hilo neno, uchumi wa nchi hutegemea uchumi wa mtu mmoja mmoja pendekezo ni zuri tuharakishe kuweka Sheria za kuruhusu zao hilo kwa manufaa ya nchi
@ibrahimshilinde61292 жыл бұрын
Lima tuu mzee,maana unapoitumia inakupa ujasiri wa comment
@edwinmaruchu55662 жыл бұрын
Bangi ihalalishwe tuu jamani. Ilimradi matumizi yake yasiwe hadharani. We hautumii Mimi natumia. Kila mtu na maisha yake. Kwa nn tunafatana. Katiba ijayo hili liangaliwe.
@nabiimgongolwa8728Ай бұрын
MUHESHIMIWA KISHIMBA ANAJITAMBUA SANA.
@robertbutahe28353 жыл бұрын
Many thanks Mhe. Kishimba
@marconzilankoma75812 жыл бұрын
Nakuunga mkono kabisaa
@MuyaMndiga-pq2gn11 ай бұрын
Hawa ndo wabunge ninao wakubali sana 6:02
@richardmwandali77222 жыл бұрын
Point 👊🏿
@patrickdrader95924 жыл бұрын
Wavuta bangi 🚬👌 tujuane
@lugoratv19952 жыл бұрын
Safi sanaaaa
@fuliwaog17412 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa nmemielewa sana yuko vzr n professor kwel co kuunaunga
@francethomas80592 жыл бұрын
Ndio ilusiwe
@mawazoaliselemani2 жыл бұрын
Aisee kishimba una Akili sana..yaani Akili ni kubwa mnooo..watu wanacheka lakini hawajui umuhimu wa anachosema!
@user-fq2nu2fr2w5 ай бұрын
Mbunge Mwenye Akili ya kuzaliwa ambae siku zote maneno yake yanamaanisha uhalisia wa maisha wala siyo hizo ngonjera za wengine hao Bungeni
@abdallahboffi14442 жыл бұрын
Sawa
@amanimusa5744 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu m
@abdulmajidiibrahimu33382 жыл бұрын
Asant San
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Ni kweli kwa macho ya nyama kishimba anaongeaga point sana lakini katika hili hapana
@edwinmaruchu55662 жыл бұрын
Mapana. na marefu jee?.
@gwakisamwasanjala76222 жыл бұрын
Baba uko sahihi
@sulemanramadhan63782 жыл бұрын
Haahahaj kweli kuliko wanavyo kataa wa wanawapa ulaji makachelo
Me nashauri Viongozi wetu wazeni nondoo kama hizo vichwani mwenuu... Sio kuwaza kuwaendeleza Watoto wenu tu kielimu... Mwisho cku Mungu anakuja kuwalaani mitoto yenyewee inakuja kuwa "Mishoga"
@daltonmunguatosha11972 жыл бұрын
Tupewe uwezeshaji hili ndo zao kulima na kutajirisha nchi faster. Kila mnyama anapenda ganja sio Kama tumbaku inapendwa na binadamu peke yake.
Kweli ina bidi ilimwe kwa wingi Na hata Mh Magufuri hataipata kodi yake vizuri bila utata mshaulin Rais jaman Tanzania kwanza tunaipenda nchi yetu sema tuko mbali na Bangi ndio Diri kokote pare.Mh Magu.. Haujaona...lita saidia pato la nchi
@CRMEDIA-yd7dp2 жыл бұрын
Bana hatutaki bangi sisi hapa
@CRMEDIA-yd7dp2 жыл бұрын
Hiyo hela ya bangi Lima ww tu
@daudlucian38502 жыл бұрын
Mzee anayo bangi
@fransiscashirima60682 жыл бұрын
Kalime wewe mwenyewe bangi kibobori weee
@suleimanissa61132 жыл бұрын
Unalivunjia heshima bunge letu
@nickalreadyknows Жыл бұрын
Bakia hivyo hivyo ndomana nchi umasikini hauishi
@rachelmukazayire82933 жыл бұрын
Tayali kwetu 🇷🇼 imeruhusia
@mawazoaliselemani2 жыл бұрын
Nchi gani?
@emmanueleliya62252 жыл бұрын
Huyu waziri nimemkubali.. Anajua kwenda na gepu
@hindisaidi5097 Жыл бұрын
Mbunge wa kahama
@jacksongidion51702 жыл бұрын
7
@alexmkane23862 жыл бұрын
Nikwer watapata faida kubwa serikali
@suleimanissa61132 жыл бұрын
Inalimwa kifichoficho vijana wanaharibika je wakiruhusu siwatakula?
@hamadiseleman22042 жыл бұрын
Nomaa unajua Hadi bei kwa gunia Ila tukilima watoto wetu wataonja ,
@edwinmaruchu55662 жыл бұрын
Koma.zuia watoto wako kazi iendelee.
@suleimanissa61132 жыл бұрын
Kale wewe bangiii
@suleimanissa61132 жыл бұрын
Unakwenda kusimamama bungeni kusema mambo ya bangi?
@maulidimsingwa3263 Жыл бұрын
sa siafadhali irihusiwe tu,kwani sasa hivi siinatumika mitaani,sa kwanini isiruhusiwe watu tukapata pesa .
@medystarter5 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumamnyambwa34903 жыл бұрын
K
@BLF-ei3td Жыл бұрын
Bangi ni dawa ikienda kibandani
@pascarmwatosya68152 жыл бұрын
Kama ina manufaa kwa taifa iluhusiwe kulimwa kama zao la biashara Ila isiluhusiwe kuvutwaa
@edwinmaruchu55662 жыл бұрын
Kwa Nini mtupangie maisha yetu.Alieamua zao hilo liwepo duniani.ana akili kuliko ninyi. Kinachofanyika kuzuia na kufunga watu ni uhuni tuu. thanks
@edisonkashaija40672 жыл бұрын
Upo sahihi mheshimiwa Kishimba
@adilhabib89882 жыл бұрын
Sasa mnataka fanya tulewe lewe
@edwinmaruchu55662 жыл бұрын
Ukipenda hivyo. Maisha ni kuchagua..Ila marufuku ya bangi haikubaliki ng'oo.
@livinuscharles70235 жыл бұрын
Hahahahahah
@omaryregga53153 жыл бұрын
Wanachukua misaada hela ni za ganja
@mlimawamajibutv5 жыл бұрын
MUNGU SIJUI KWANINI ANAWAPA UBUNGE WATU KAMA HAWA WASIOTUSAIDIA WANYONGE TUNAWATAKA KINA @HUSEIN MOHAMMAD BASHE MBONA HAMMPOSTI MNATURETEA UPUUZI KISA PESA TUIUZE NCHI YETU? HAKIKA NAAMINI CCM SIO WAJINGA WARUHUSU HII
@weedoization5 жыл бұрын
Inabidi ufanye utafiti kabla ya kuongea, bangi imetumika kama dawa ya maumivu wakat wa mababu zetu za evidence zipo. Maendeleo ni kufikiria mbele sio kubaki na mawazo mgando
@deogrtiasmassawe26465 жыл бұрын
Bang ikialalishwa itakuwa inaingizia serkl hela nyingi sana napenda bangi