Mungu,wabariki sana ULIO WAPA akili za KUZALIWA hapa ndio wenye imani watambue kuwa,MUNGU na ELIMU ya duniani,ni vitu tofauti sana
@tinginyaingwinalwinga Жыл бұрын
Mh kishimba unatisha upo vizuri sana
@cecykaitanus7873 Жыл бұрын
Sijawahi ona mbunge ana akili kushinda huyu🙌🏽🙌🏽aisee Mungu ambariki huyu baba
@nunumrisho6548Ай бұрын
Mungu akubariki sana
@willydugilo3258 Жыл бұрын
Watanzania wengi ni masikini Sanaa!! Wakiuguliwa na mmoja wa familia Kwa muda wa mwezi mmoja tu!! Ujue hiyo familia itakuwa hoi kiuchumi!! Na Hilo limeumiza wengimnoo!!
@tinginyaingwinalwinga Жыл бұрын
I❤ so much this tv
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Kishimba ukosawa nduguyetuu 🤝🤝💯💚💯
@nunumrisho6548Ай бұрын
Kweli kabisa Mungu akubariki sana
@user-hl3dt6os3bАй бұрын
Ila Tanzania tujaliwa sana vipaji
@fredysiwale5413 Жыл бұрын
Huyu mh kishimba mawazo yake ni makubwa mnooo ila hawa wanao mbeza uwezo wao wa kufikili ni shida
@bashirimkilindi-ww7if Жыл бұрын
Mh, kishimba uko vizuri Sana. Unajua uhalisia wa maisha yetu huku mtaani.kwakweli mungu akusimamie daima.
@erastomollel9832 Жыл бұрын
L
@papymikombe61499 ай бұрын
😂😂😂😂😂 v 😂😂v v😂 😂bv😂😂v😂v v b😂😂b😂😂 b😂😂😂b😂😂bv😂😂 😂😂😂😂😂
@user-cj2iq1qv6nАй бұрын
Mm siipendi Ccm Hadi Nakufa Lkn Kwaili Analongea Sishimba Mm Nikopamoja Nae Watu Wanaziacha Maiti Kwakukosa Ela Iv Nyinyi Ccm Amuogopi Kufa?
@kassimali19435 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@dazk7861 Жыл бұрын
Professor kishimba
@fatimamamlo80415 жыл бұрын
Kwelikabis mie mwanangu alitaka kunitoka kwauzembe wa daktali aliacha kumuhudumia kisapesa nilichukua pesa zannje kuwap walikataa mpakamtoto anaishiwa nguvu sitosahau tokeo lile
@irenengatia42895 жыл бұрын
Hilo ni kweli kabisa
@eddybayzor50725 жыл бұрын
Kweli
@nassoroseleman605 жыл бұрын
Nikwelikabisa mzee kishimba nivyemawengekusikiliza ushauri wako mzurinawakaufanyia Kazi ungewasaidia Sana Sana
@nassibu-hy5ny4 ай бұрын
Kishimba nakuombea siku Moja UWE rais wa nchi hii angalau Mika miwil tu nna haikua utainyosha nchii hii
@estheroscar652010 ай бұрын
Baba mb zangu zinaenda kihalali pga kazi baba
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Ni sawa tu wapokee mali
@joelmosses9395 Жыл бұрын
mzee huyu ni keki ya taifa.
@jonathansehaba74412 ай бұрын
Vp mwananchi ajiunge na bima wkat ukienda hospital unaambiwa haifanyi kaz hii haifuatiliwi
@YelemiaSinkamba-tp8sn Жыл бұрын
Izo dawa ziko wapi acheni uongo😄😄😄
@jonathansehaba74412 ай бұрын
Iv wanainchi nmaskin kwnn wabunge msiwaze njia za kuondoa umackin bali kodi nyingi mnamtwika mwananchi hii nivpi
@chrismeshack81115 жыл бұрын
akil sanaaaa
@jonathansehaba74412 ай бұрын
Wamachinga ndo waliifanya kaliyakoo mmewafukuza hapo mtapotea
@petercat74175 жыл бұрын
Cartoon
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Kishimba wewe ninoma unajua matatizo yetu huku mtaani
@jakobongwara30382 ай бұрын
Huku nikufilisika masha hata mati nipesa tmekwisha