MBUNGE MUSUKUMA AMWAMBIA WAZIRI “UNANISIKILIZA AU UNACHATI? OLE WAKO UJE NA MAJIBU YA MAWENGE"

  Рет қаралды 175,635

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 153
@ommarysaid7391
@ommarysaid7391 Жыл бұрын
Msukuma Ana Akili Nyingi Sana Genius Mwenyezi Mungu Kaamjalia Hekima na Busara Kuliko Hata Wanaojiita Wasomi Kazi Yao Kupiga Dili tu Kuiba Hela za Serikali, Mwenyezi Mungu Akikkupa Hekima na Busara jua Amekupa Jambo Kubwa Sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@stephanomakoye6936
@stephanomakoye6936 Жыл бұрын
Kweli kabsa
@Chris_Mutea
@Chris_Mutea Жыл бұрын
Siku moja namwona akiwa raisi
@frankjohn287
@frankjohn287 Жыл бұрын
Hii ndo ingne ya ukumbusho wa wengne hongera sana kqako mzee msukuma ww na kishimba ndo watu sahihi zaid📌
@robertabel6984
@robertabel6984 Жыл бұрын
Huyu ndio Dr. Musukuma msomi wa mtaa yuko nondo kinoma big up jembe...unaelewa vizuri shida za wananchi na kuzitetea
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 Жыл бұрын
Ama kweli akili sio lazma usome sana zipo akili za kuzaliwa #Msukuma 💪
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Msukuma nakupenda kwa kazi unavyofanya sawasawa. Bora ungekuwa raisi siku za baadae tutakuchagua.
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
Mpaka sasa tukianzia kwake JPM Hadi huyu hapa inaonekana wasukuma kuna viongozi wazuri kabisa ambao wanaweza kuendesha nchi ipaswavyo kama JPM
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Acha ukabila
@furahafurahisha2804
@furahafurahisha2804 Жыл бұрын
Ni kalama tu
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea kwa hisia kali sana tena inaonekana ana uchungu na jimbo lake saf...👊👊
@elizabethmvumu1881
@elizabethmvumu1881 Жыл бұрын
Wapo wanaobisha kua hakuna akili zakuzaliwa, Kwa hakika kuna akili za kuzaliwa na za kufundishwa, lkn akili za kuzaliwa ni bora zaidi, kuliko zile zakufundishwa,
@stanleyfsosthenes-pz8nz
@stanleyfsosthenes-pz8nz Жыл бұрын
Huyu mbunge yupo Honest sana nakubaliii 💯
@gsimba
@gsimba Жыл бұрын
Ila wasukuma wanaakili sana
@erad-tv5001
@erad-tv5001 Жыл бұрын
Wamuache na mataarifa yao bhana huyu Msukuma yuko Vizuri sana
@comanbo
@comanbo Жыл бұрын
Nakupenda sana unahitajuka kuwa rais
@manuelsaramba2138
@manuelsaramba2138 Жыл бұрын
Ahsante sana Mr msukuma Mungu akubariki ufike mbali
@farajamichael7574
@farajamichael7574 Жыл бұрын
MUNGU akutunze dr Msukuma nakupenda mzee wetyu.
@vicentkusaduka8348
@vicentkusaduka8348 Жыл бұрын
Imagine huyu mwamba angepiga kitabu, ana Akili Kubwa Sana ✊🏿
@fabiansemba-eh2qf
@fabiansemba-eh2qf Жыл бұрын
Angearibiwa akili
@francismillinga4591
@francismillinga4591 Жыл бұрын
Msukuma ni genius ni bahati mbaya tu hakupata bahati ya kwenda shule na unaweza kuta ilikua tu sababu ya umaskini wa wazazi
@daudimkumbo5922
@daudimkumbo5922 Жыл бұрын
Angeenda shule asingezungumza ukweli. Hapo ni risk taker
@mudighurayra
@mudighurayra Жыл бұрын
Hoja nikufuta ujinga tu masomo yenyewe tunapangiwa na wazungu tu
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Жыл бұрын
Yan awa wabunge. Niwakulaba viboko KILA mmoja maana naona wasutana. Tu akuna maendeleo 🇹🇿🇹🇿🙌🙌🙌
@jacksondaniel5577
@jacksondaniel5577 Жыл бұрын
Msukuma natamani uje uwe raisi wa hii nchi, Ili utufikishe sehemu frani ambako tungetakiwa kuwa kwa sasa. Mungu akulinde na uzidi kuwatetea wanyonge kama sisi
@zawadikitime233
@zawadikitime233 Жыл бұрын
yaani hata i wish huyu awe rais kwa kweli
@benitaladiraus7557
@benitaladiraus7557 Жыл бұрын
​@@zawadikitime233 😊
@annamakusa3740
@annamakusa3740 Жыл бұрын
Angeshapewa uwaziri Ila shidah shule,inamfanya aishie ubunge tu chakufanya ajiendeleze kielimu,anakitu atafika mbali
@peemsafi6068
@peemsafi6068 Жыл бұрын
kabadika sana huyu sio msukuma wa zamani
@josephsanduli.5216
@josephsanduli.5216 Жыл бұрын
Fungeni kwaza kuku hereni😂😂😂😂😂
@zakayokinasa4577
@zakayokinasa4577 Жыл бұрын
Kakayangu unaakili nyingi sana mngu akubaliki
@mushamkina2694
@mushamkina2694 Жыл бұрын
Big up sana logically,upo vizuri ndugu yangu komaa ivoivo usigeuke nyuma utageuka jiwe
@shaibumkwanda6934
@shaibumkwanda6934 Жыл бұрын
namkubari sanaaa huyu mbunge xnaaaa nataman sanaaa hta niwepo jimbon kwake
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Жыл бұрын
Hongera msukuma unaitumia akili ya kuzaliwa
@korneliokangai5068
@korneliokangai5068 Жыл бұрын
Msukuma yupo sahihi sana mngekua mnajua tabu tunazopat wafugaji mngetuonea huruma sana mifugo kwenye hii nchi haithaminik kabisa hakun eneo ya malisho hukun mabwaw za kunyweshea mifugo halaf mnatulitea dili zenu amba hazielek
@rashidkalabi8212
@rashidkalabi8212 Жыл бұрын
Msukuma upo positive
@jacksonmwita468
@jacksonmwita468 Жыл бұрын
Nakubali sana mheshimiwa
@user-uf6jg3zv2s
@user-uf6jg3zv2s Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee kiukweli unawatetea sana wanyonge
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 Жыл бұрын
Hongera saaana Broo
@elibarikigasper448
@elibarikigasper448 Жыл бұрын
Msukuma nakubali hoja yako
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 Жыл бұрын
Huyu ndio doctor msukuma mtoto wa maskini mwenye master ya standard 7 akili mingi wenye elimu zao wanashindwa kufanya mambo mazuri kma haya serikali tupunguzieni haya maumivu kila kona mnataka kutupiga tu jmnani
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe Жыл бұрын
Msukuma ana akili sana aisee
@eligiverkamnde510
@eligiverkamnde510 Жыл бұрын
Ver good..uko vzr msukuma..Yesu akufunike upige kaz
@aminamavura6834
@aminamavura6834 Жыл бұрын
Msukuma umejua kunifurahisha njoo ukunywe soda
@user-qt4ni6ns2l
@user-qt4ni6ns2l 11 ай бұрын
Mungu akulinde ndo ujue weny elimu hawan maan
@pelekinemo474
@pelekinemo474 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana umetuwakilisha vyema
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe Жыл бұрын
Big upa sana Mzee
@johnkigina1696
@johnkigina1696 Жыл бұрын
Yaani hizi Ni dili za watu wachache
@jramadhanmgonja6110
@jramadhanmgonja6110 Жыл бұрын
Msukuma Anajua Sana
@KareemMfanga
@KareemMfanga 10 ай бұрын
Msukuma mungu akulinde uwenaujasiri hivo hivo kusema ukwel
@kolaniwentibegelana616
@kolaniwentibegelana616 Жыл бұрын
Huyu very geneous na Elimu ambayo amehtimu hakika inafaa na huyu anafaa kuwa rais
@OmmariKhamis-yl2xk
@OmmariKhamis-yl2xk Жыл бұрын
Nakubari sana kak af w ungerikuw t rais
@dadamwajuma5155
@dadamwajuma5155 Жыл бұрын
Well done musukuma
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Yaani tunataka watu wenye experience ya maisha kama msukuma na sio wasomi wasiojua maisha ya watu wanakula kuku kwa mrija hawajui watu wa chini wanataka nini na wanaishije hawana kabisa mbinu za kurahisisha maisha ya watu ni wizi tu wanawaza dili
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Hivi hii ichi ya ovyo kiasi mtu akiongea kingereza anaonekana wa maana sana utumwa wa lugha
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Жыл бұрын
Kaka Millard Ayo wananchi wa dodoma kunamahali wanateseka tafadhali kama yupo mwakilishi wako natamani kupata mawasiliano yako nimuelekeze na wanaofanya hayo niwaajiriwa wa serikali tafadhali sana kaka nakuomba nijuwe nampataje mawasiliano yenu ilikufika sehemu husika tunyanyasika mno tafadhali jamani
@youngmoney5093
@youngmoney5093 Жыл бұрын
link me up am also in Dodoma
@youngmoney5093
@youngmoney5093 Жыл бұрын
We can do something
@suleimanismail8414
@suleimanismail8414 Жыл бұрын
Msukuma kama msukuma
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 Жыл бұрын
Haha😀 Msukuma bhana! Anachat huyo. Wala hakusikilizi! 🤣
@stephanomakoye6936
@stephanomakoye6936 Жыл бұрын
Big up sana mheshimiwa
@edinachami4318
@edinachami4318 Жыл бұрын
Jenius 👏👏
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 Жыл бұрын
Genius not jenius
@jumamakamba2212
@jumamakamba2212 Жыл бұрын
Asante ngosha
@geeva99
@geeva99 Жыл бұрын
Iyo elimu ta mtaa kwa mtaa inatakiwa kabisa tena na weekly test kabisa ziwepo
@zawadikitime233
@zawadikitime233 Жыл бұрын
haaaaaaaaaa
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan Жыл бұрын
Akili nyingi sana, u don't even need a degree 🤗😁
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Жыл бұрын
Nakupenda Sana Mbunge Wangu
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Жыл бұрын
Rais wetu msukuma njoo chadema uwe rais
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 Жыл бұрын
Washindwe KBS inshallah kuwazurumu watu vimburu hao mabepali
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx Жыл бұрын
Musukuma ni mtu na nusu bana kwanza anaenda kwenye point directly
@auntdorah9141
@auntdorah9141 9 ай бұрын
Nakuelewaga sana mhshmw
@gyundadaniel4737
@gyundadaniel4737 Жыл бұрын
Msukuma is gifted
@shairaniadam1752
@shairaniadam1752 Жыл бұрын
😢😢magufulii mwngne
@gideons5265
@gideons5265 Жыл бұрын
Ngoma ikilia sana, itapasuka.
@allyhassan6794
@allyhassan6794 Жыл бұрын
Mtoto wa magu
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe Жыл бұрын
Hili jambo likwame na lisikifanikiwe kabisa
@hatibushemahonge2055
@hatibushemahonge2055 Жыл бұрын
Good msukuma
@dicksonjailos670
@dicksonjailos670 Жыл бұрын
Kweli mnatupiga sio poa
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Жыл бұрын
Wasukuma tumejaliwa viongozi wa watu
@ephraimsilayo1080
@ephraimsilayo1080 Жыл бұрын
Hawa ndio wabunge sio wasenge wengine
@user-my9hc6uf9l
@user-my9hc6uf9l Жыл бұрын
Kanichekesha sana, eti " mpiga dili kahamia wapi? "
@JohnaMoleh-xu1lh
@JohnaMoleh-xu1lh Жыл бұрын
Du kweli
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Serikali hii imekaa kipigaji tu😢😢
@marrymenas
@marrymenas Жыл бұрын
Muheshimiwa waziri unanisikiliza au unachat😂
@victormtani7170
@victormtani7170 Жыл бұрын
Msukuma ana akili za kuzaliwa ukweli
@ashirawaziri3195
@ashirawaziri3195 Жыл бұрын
Huyu baba ameongea ukweri kabisa
@ellytech9757
@ellytech9757 Жыл бұрын
Bunge siku hizi duuh! Hakuna taarifa hata moja kati ya hizo inayoqualify kuitwa taarifa.
@franaelisumari5108
@franaelisumari5108 Жыл бұрын
.....Kusoma kwa mtaa.....Mnapitisha madili ya watu.....ikiwemo gas kwa kisingizio cha kutunza mazingira
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Uyu jamaa kichwa yaani awa jamaa wavaa suti ndo tatizo la Nnchi hii yaani wezi sana wenyewe wanajiita waeshimiwa awa ni majangili wa Taifa
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Common sense ni muhimu kuliko vyeti vya PhD zao na masters na degree la saba anawatoa jasho
@Paidatz
@Paidatz Жыл бұрын
Bhagosha bhajameni😂 hem gonga hapo likes jamani
@donnyshule7432
@donnyshule7432 Жыл бұрын
Huko sawa kabisa msukuma wanalera nonsense Kwa Nini wasije na mpango was kue ndeleza wafugaji
@imatisatv9239
@imatisatv9239 Жыл бұрын
mbunge ww uje jimbon kwangu
@user-ep7js3qd7q
@user-ep7js3qd7q 10 ай бұрын
Sawa
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
wanajitengenezea madili ya pesa waambie hao shule walienda lakini common sense hawana
@annakletayohana4561
@annakletayohana4561 Жыл бұрын
😂😂😂msukuma bna
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Жыл бұрын
Wabunge wengine umo nivilaza kazi makofi 2 ata oja kazi makofi😂😂😂😂😂
@salomemassawe5824
@salomemassawe5824 11 ай бұрын
😮huna baya baba
@ayshahussen7452
@ayshahussen7452 Жыл бұрын
Hii nchi bana mmh, Mungu turudishie Magufuli mwingine, yaani ni badili tu kila mtu anaangalia tumbo lake bila uoga kweli watanzania tunaumizwa na hatuna pa kukimbilia wala wa kututetea😢😢😢😢😢
@bullermgana213
@bullermgana213 Жыл бұрын
Hzo miuli na bangili zilianza kwa nani?
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Mngekuwa mnaruhusu waje na viboko huko ndani tuone wachangiaji watakavyowacharaza viboko 😂😂😂
@user-jh3yu7wl9r
@user-jh3yu7wl9r 8 ай бұрын
😢😢😢😢
@user-gy3bv7nm7d
@user-gy3bv7nm7d 2 ай бұрын
😂😂😂 wanywa gongo
@petermabula4492
@petermabula4492 Жыл бұрын
Msukuma mh tutee ndungu yangu
@erickabel6201
@erickabel6201 Жыл бұрын
Akili kubwa 😮
@RashidMwanambiga
@RashidMwanambiga 10 ай бұрын
Msukukuma kuhusu bandari kunakitu amekura pia tunawasiwasi Sana nae huhusu bandar
@josephlugala3182
@josephlugala3182 Жыл бұрын
Msukuma nakukubali sana
@joanesphocus1152
@joanesphocus1152 Жыл бұрын
Huyu jamaa ukweli ndiye namuona anaakili kuliko wabunge mazuzu humu bungeni
@angelchimamy9775
@angelchimamy9775 Жыл бұрын
Sa wewe mtangazaji unaongea kulko mbunge ndo nn sasa
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 Жыл бұрын
Wananikera hao na taarifa zao
@bakarhassan
@bakarhassan Жыл бұрын
Sio kama hao wengine hawajui Ila ni dili walisha litengeneza Sasa msukuma ye ni tajiri Hana njaa za kiivyo shida oliyopo hao wengine ndio wanataka kuigeuza tanzania kama shamba lao la kuvuna hela
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas Жыл бұрын
Hana unungu na JPM kweli huyu
@jumajames7819
@jumajames7819 Жыл бұрын
Jamaa yuko vizur Sana Hawa ndo viongzi tunaowata😂
@anwarkashaga3573
@anwarkashaga3573 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@helakridiwella6120
@helakridiwella6120 Жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣
@genyawantere1356
@genyawantere1356 Жыл бұрын
Sema msukuma kwani mkuki kwa nguruwe binadamu mchungu
MUSUKUMA -  "TUKIWAITA VILAZA MNATUZOMEA, HECHE UNAKIMBIA UNAENDA WAPI"
12:11
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 3,1 МЛН
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Ni kuri na njira njeru cia kweheria Rigathi Gachagua wabici-ini.
27:06
KAMEME OFFICIAL PAGE
Рет қаралды 2 М.
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 3,1 МЛН