MUSUKUMA - "TUKIWAITA VILAZA MNATUZOMEA, HECHE UNAKIMBIA UNAENDA WAPI"

  Рет қаралды 113,901

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MUSUKUMA - "TUKIWAITA VILAZA MNATUZOMEA, HECHE UNAKIMBIA UNAENDA WAPI"
Mkutano wa 17, wa Bunge la 11, kikao cha Pili, unaendelea leo Novemba 06, katika makao makuu ya nchi jijini Dodoma...
#BUNGENIDODOMA
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzfaq.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzfaq.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzfaq.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
kzfaq.info?li

Пікірлер: 130
@gilbertluwe8161
@gilbertluwe8161 4 жыл бұрын
Professor Musukuma, kweli akili ziko kwenye maziwa ya mama, sio darasani, huyu jamaa ana point za maana, wasomi kazi yao utasikia tu taarifa mwenyekiti, taarifa zenyewe hazina mvuto. Muacheni Musukuma mrithi wa Zitto aongee maana Zitto siku hizi amezima. Musukuma piga kazi utakua raisi, darasa la saba wenzako tupo nawe. Kama unamkubali like hapo
@plujorilugano9489
@plujorilugano9489 4 жыл бұрын
Yes Msukuma uko SAHIHI sana, hakuna soko la ghorofa ambalo limeleta tija, ushauri wako uzingatiwe
@jofreyotieno2431
@jofreyotieno2431 4 жыл бұрын
Plujori Lugano mskuma mimi na kubali unawambia waoga wa ccm wanao lala bungeni ni waoga wakiongea wanajua watafukuzwa wanachama
@cheddykipingu8087
@cheddykipingu8087 4 жыл бұрын
Dah!! Namkubali asee huyu Musukuma mtaniiii
@linkomagembe3425
@linkomagembe3425 4 жыл бұрын
Nakuelewa Sana jamaa yangu
@bahatimseche2637
@bahatimseche2637 4 жыл бұрын
Msukuma Hong era sana kwa kuwa semea wambunge wa do doma bandari kavu maana wameanza kimya hasa mbunge wa kibakwe maana hakuna hata kiwanda cha a lizeti ja aman tuna omba,kibakwe ikumbukwe hata barabaraya ramituuu
@daipa05dawamgana63
@daipa05dawamgana63 4 жыл бұрын
BAHATI MSECHE kweli
@FrancisAMligo
@FrancisAMligo 4 жыл бұрын
Safi sana J Msukuma fichua yale yaliyosahaulika na wasomi ili nchi ikajengeke na watu wakaifaidi nchi yao.
@user-zt6eb7re4u
@user-zt6eb7re4u 4 ай бұрын
Nikweli tutaachwa na mabasi kusavir uko God 🙏 blessing
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 жыл бұрын
Huyu kweli darasa la 7 alighushi ila yy ni professor. 😂😂😂😂😂😂
@TonnyJunior-cc2bt
@TonnyJunior-cc2bt 2 ай бұрын
Msukuma Mungu anakuona
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud saana msukuma
@daudirajabu6798
@daudirajabu6798 4 жыл бұрын
Umejitaidi leo musukuma safi sana
@hildamjema284
@hildamjema284 4 жыл бұрын
Msukumo jembeee mungu akujalie pamoja na elimu yako lakini uko juuuuuuu waziri mtarajiwa tunakuombea
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 4 жыл бұрын
"Ameshamaliza sasa unampiga nani taatifa" teh hahaaa nimeipenda hiyo mama mwenyekiti.hahaaa
@ishipalemypascokabeya6154
@ishipalemypascokabeya6154 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@francismagembe9400
@francismagembe9400 4 жыл бұрын
Hahahahahaha
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Safi sana mbunge msukuma were no msomi kuliko wasomi
@michaelmwaluko2882
@michaelmwaluko2882 4 жыл бұрын
Msukuma hapo umeongea kuhusu bandari dodoma
@deojohn1413
@deojohn1413 4 жыл бұрын
Safi msukuma
@denissilunde3211
@denissilunde3211 4 жыл бұрын
Upo vizuri xna msukuma waelimishe pole pole tu watakuelewa tu.
@beatricecharles6483
@beatricecharles6483 4 жыл бұрын
Hahahaha
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 4 жыл бұрын
THOMAS ALVA aliwahi sema, education is what remain after forgetting all what you learned in class. Msukuma wewe ni noma, nakukubali kwa hoja.
@paulowilliam1851
@paulowilliam1851 4 жыл бұрын
Asante mbunge msukuma tunakuelewa watanzania
@shabankiwesi6727
@shabankiwesi6727 4 жыл бұрын
Huyu msukuma plus lusinde mnanikosha sana
@shukurunzenzule5963
@shukurunzenzule5963 4 жыл бұрын
wewe shabani kiwes inaonekana ni mfaas wa nzi wa kijani
@shabankiwesi6727
@shabankiwesi6727 4 жыл бұрын
@@shukurunzenzule5963 hadi tukupe mimba ndo utawakubali wabunge wetu Wa ccm ,unga mkono upinzan kwetu hatuitaj mafara
@abubakharmasaimasai9592
@abubakharmasaimasai9592 4 жыл бұрын
msukuma saf sana kidogo unauelewa hongera sana ndugu
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 4 жыл бұрын
Kaka uko vizuri ,kweli ukilala gorofani utaachwa na bus point taken
@godfreynefary9635
@godfreynefary9635 4 жыл бұрын
Kwahakika ww ni msomi sio darasa la saba ningekuwa na namba yako ningekutumia hela kidogo ununue maji unywe maana bando langu umelitendea haki big up msukuma
@man.lule.585
@man.lule.585 4 жыл бұрын
konk master musukuma we ni.shidaaaa. kweli wapinzani wakikusikia sauti yako wanakosa mwelekeo.
@suedmyonga7183
@suedmyonga7183 4 жыл бұрын
Hizo ndizo akili za kuzaliwa sioza kusoma zimejaa ubola. Msukuma sikilaza amejaliwa akili akili za kuzaliwa,
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 4 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa Msukuma kwa ukweli wako.
@serengetiamb636
@serengetiamb636 4 жыл бұрын
pamoja sana
@sadikidaudi1223
@sadikidaudi1223 4 жыл бұрын
Mhe Msukuma ninawasiwasi na Elimu yako maana sio kwa upeohuo !!!!
@hoseasebastian4346
@hoseasebastian4346 4 жыл бұрын
much respect
@OmaryMdoe-fs4hj
@OmaryMdoe-fs4hj 3 ай бұрын
Huyo ana PHD yakuzliwa hongela msukuma
@maxmiliangunze8931
@maxmiliangunze8931 4 жыл бұрын
Faida ya msukuma bungeni ni kubwa sana! Huyu jamaa anajua kabisa tena ni mfano tosha kwamba jamaa mzalendo aisee
@wambihaji4297
@wambihaji4297 4 жыл бұрын
Wangekuwepo wanne tu kama Msukuma huyu tungefahamu vizuri hoja na na majibu ya wabunge
@abednego3876
@abednego3876 4 жыл бұрын
Nimetambua wasomi wengi sanaa hawatumii Comonsense,.. Ila mtu ukikosa elimu unatumia akili ya kuzaliwa.
@eliahedward7490
@eliahedward7490 4 жыл бұрын
Ww ni professor lkn umegushi chet cha darasa la7
@mirajiibrahim51
@mirajiibrahim51 4 жыл бұрын
Umeonaeeee huyu jamaa ni atari
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 жыл бұрын
Huyu jamaa kweli alighushi cheti cha darasa la 7 ila huyu ni professor
@lovenessgodson1075
@lovenessgodson1075 4 жыл бұрын
Hahahaha kiboko yao
@eventelias3566
@eventelias3566 4 жыл бұрын
hahahahah
@niccomedia3147
@niccomedia3147 4 жыл бұрын
Ha ha haa
@johnjoseph9745
@johnjoseph9745 4 жыл бұрын
Bunge halina umoja kabisa...na Hakuna Upendo kabisa For Sure..
@meshackmarwa9
@meshackmarwa9 4 жыл бұрын
Musukuma hoyee
@fnnyanda5993
@fnnyanda5993 4 жыл бұрын
Anapozungumza Mhe. Msukuma acheni kabisa kumpiga "Taarifa" ataendelea kuwaaibisha. Huyu ni Kiumbe kingine kabisa.
@lovenessgodson1075
@lovenessgodson1075 4 жыл бұрын
Kabisa aise 😃😃😃😃
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 4 жыл бұрын
Sure..haka kajamaa ni tabu sana,kanaweza kukuvua nguo ushangae
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 4 жыл бұрын
Tungepata wabunge 20 kama huyu
@amirlehao8945
@amirlehao8945 4 жыл бұрын
Huyu jamaa clever saaana
@fadhili2293
@fadhili2293 4 жыл бұрын
Huyu msukuma cheti cha lasaba nichaudanganyifu, hii sio akili ya rasaba
@isayapaul7869
@isayapaul7869 4 жыл бұрын
Mbunge wangu ukosafi sana
@gosaizaka1495
@gosaizaka1495 4 жыл бұрын
Habahabaha msukuma upo juuu
@michaelmbise3874
@michaelmbise3874 4 жыл бұрын
Da! Msukuma uko making Baba
@tangayetu2178
@tangayetu2178 4 жыл бұрын
Hao wabunge wawili hapo juu wanataka waonekane kwenye TV, it's sad.
@muganyiziemmanuel4897
@muganyiziemmanuel4897 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@eloiemmanuel8690
@eloiemmanuel8690 4 жыл бұрын
😂😂😂umeona eeeh yani wameng'ang'ana kuonekana
@tangayetu2178
@tangayetu2178 4 жыл бұрын
@@eloiemmanuel8690Yaani wanatia aibu, wanaleta ushabiki. Sijawahi kuwaona wakiongea hata siku moja. 🤣🤣🤣🤣
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 4 жыл бұрын
Natamani Msukuma angekuwa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana kuliko aliyepo sasa.
@hassanmakoye38
@hassanmakoye38 4 жыл бұрын
Msukuma noma
@stiveehmayero8163
@stiveehmayero8163 3 жыл бұрын
Tunataka kama awaaa
@munakassim3521
@munakassim3521 4 жыл бұрын
Yaani wasukuma tupo sawa siku zote
@fredshija856
@fredshija856 4 жыл бұрын
Nakukubal msukuma
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 4 жыл бұрын
😂😂😂😂 PhD Msukuma, waziri usimpige taarifa, muache PhD wetu aongee.
@AllyAyoub-hz3wj
@AllyAyoub-hz3wj 3 ай бұрын
King msukuma amefanya nilipende bungu anajenga hoja zenye ukweli na nimuhimu kwenye nchii yetu
@suleimamatola3362
@suleimamatola3362 4 жыл бұрын
Kaka ongera sana kwa mawazo mqzuri
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 жыл бұрын
Msukuma we ni next level natamani JPM aukupe uwaziri kimvuli unafaa
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Hahahaahahahhahahahaaaaaaaa had rahaaa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Wale waliofoji vyeti vikubwa kuliko uwezo wao tumeona adhabu yao. Hawa waliofoji vyeti vidogo kuliko walivyo adhabu yao nini? Msukuma ni Profesa.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Huwezi kuzunguka gorofani utaachwa na basi hiyo kali
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 4 жыл бұрын
iki kijamaa kingebahatika kufika ata form two ingekua balaa,kanauelewa mkubwa xana ingawa sikapendi
@mussamohd3276
@mussamohd3276 4 жыл бұрын
Aiseeee uyuuu mbngeee ni nowma kbsaa duuuuuhhhhhhh atr
@hasanially9294
@hasanially9294 4 жыл бұрын
Viwanda twavi taka ila na madhara ya viwanda mtuelimishe
@salmaoriginaloriginal6478
@salmaoriginaloriginal6478 4 жыл бұрын
Uja wai kuniangusha
@josephsamweli7114
@josephsamweli7114 4 жыл бұрын
hongera baba
@benardjuma7143
@benardjuma7143 4 жыл бұрын
Duuh ni moto
@nassoroseleman60
@nassoroseleman60 4 жыл бұрын
Washamoto baba
@iddytamba1907
@iddytamba1907 4 жыл бұрын
mskuma nomaa sana
@iddytamba1907
@iddytamba1907 4 жыл бұрын
hivi ww darasa la saba au ww ni profesa
@charlesotwalo9335
@charlesotwalo9335 4 жыл бұрын
Musuku uko vizuri Mungu akuongoze ktk harakati zote
@josephmallyah9832
@josephmallyah9832 4 жыл бұрын
Msukuma hiyo 2 much wanakudharau sana hawa jamaa ni nyema ufuate sheria haiwezekani wakuite kichaa hadharani mbunge kama wewe
@saidsalum6101
@saidsalum6101 3 жыл бұрын
Watu wanakomaa taarifa taarifa alafu wanayokuja kuyatoa niujinga
@abdulrahmanhassan3825
@abdulrahmanhassan3825 4 жыл бұрын
Joseph msukuma unafaa kuwa raisi kabisa kwasababu unaupeoo mkubwa
@majaliwagibson7295
@majaliwagibson7295 4 жыл бұрын
Keep it Up Msukuma. Mbunge unapoongea ujue unawakilisha Wananchi Sasa unapowawakilisha wananchi kwa kusema Maneno ya Kashfa. tunakua na mashaka na Akili yako. Unamwitaje Mwenzio Mhuni
@gililwise
@gililwise 4 жыл бұрын
Wewe msukuma hiyondege sisi watu wa hali ya chini inatusaidia nini wakati hata kula kwetu ni shida
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
@@gililwise ndege inakusaidia wewe sio kupanda wanapopata fedha kupitia nauli za ndege ndio inayonunua madawa kujenga hospital kutengeneza barabara madalaja reli kulipa wafanyakazi walimau madaktari kukuletea maji umeme kuleta maendeleo ya nchi ndiomaana unavyoziona ndege ata za uingereza ufaransa Kenya ujerumani Mozambique marekani Italian china Japan kwa kazi iyo ya uchumi wa nchi kokote duniani pale ndiomaana yake
@dicksonnmeipendaacvnzrjack1521
@dicksonnmeipendaacvnzrjack1521 4 жыл бұрын
king musukumaa ww nikibokooo
@gililwise
@gililwise 4 жыл бұрын
@@anuaryally6177 asante kwa kunielewesha mwananguMungu akubariki
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
@@gililwise shukrani jemedari wangu na wewe pia mungu akuzidishie wahaai na afya njema
@davidpaschal778
@davidpaschal778 4 жыл бұрын
Nani kazkia taalifa muuni yule
@beatricecharles6483
@beatricecharles6483 4 жыл бұрын
Sio taalifa ni taarifa inaonekana uliishia la 4
@bunyalujohn9001
@bunyalujohn9001 4 жыл бұрын
hakika ww ulitakiwa upate uwaziri ili nchi iende
@pantaleokulaya5308
@pantaleokulaya5308 4 жыл бұрын
msukuma uko vizuri lakini mbona huzungumzii Malipo ya pamba ambayo hayajalipwa
@edwardmwendamkono9787
@edwardmwendamkono9787 4 жыл бұрын
Pantaleo Kulaya pamba za nn kaeni hivyo2
@peacevalerian4299
@peacevalerian4299 4 жыл бұрын
Pokea taarifa
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Kama na wewe umesikia utaachwa na basi gongalike tumsukume musukuma
@eliudmwakamela187
@eliudmwakamela187 4 жыл бұрын
Kwa nini taarifa haisikilizwi
@samwelijalalya9608
@samwelijalalya9608 4 жыл бұрын
Lasaba kweli? 🤔🤔🤔 mbona PHD kichwan king msukuma
@yohanandalu2022
@yohanandalu2022 3 жыл бұрын
Tanzania hakuna wasomi
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Kweli ameongea vizuri kwenye masoko
@mfirajihalisitanzania5208
@mfirajihalisitanzania5208 2 жыл бұрын
Hahahahaaa taarifa mhuni yulee
@urunyaraurunyara8220
@urunyaraurunyara8220 4 жыл бұрын
We mwenyew kilaza alfu tena unaongelea ukilaza wako
@saidasimba9979
@saidasimba9979 4 жыл бұрын
Sasa msukuma unataka stand zisijengwe unataka zikaage ivo ivo
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 4 жыл бұрын
Ndege nne faida hainunui hta ndege moja nwy sawa mpo vizuri
@nyarinkya6102
@nyarinkya6102 4 жыл бұрын
Kwenye uchaguzi ndio umeharibu kabisa. CHADEMA ndio chama kilichotoa vijana wengi zaidi zaidi wagombea, leo ukiniambia hawajui kusoma na kuandika sikubaliani na wewe
@boniphacejonas4109
@boniphacejonas4109 4 жыл бұрын
Mnafurahia nyinyi wanaficiemu
@azizihamoudi8318
@azizihamoudi8318 4 жыл бұрын
Nchi hii bila haya majitu manafiki kama hili bwebwenye sijui kama tutafika.
@charlesngusa2749
@charlesngusa2749 4 жыл бұрын
We we ndio kiazi kabisa na sijui kwann ulizaliwa boya kweli unamtukana mtu mhimu Kama kaka yetu nenda zako
@masotamakeja3568
@masotamakeja3568 4 жыл бұрын
Huyu mbunge sidhani kama kweli ni darasa la saba ninawasiwasi na elimu yake sio la saba huyu ndugu itakua labda PhD kabisa maana anamawazo mazuri kweli.
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 4 жыл бұрын
@masota makeja..elewa ya kwamba usomi siyo sababu ya kua akili ndugu,fatilia utajua
@masotamakeja3568
@masotamakeja3568 4 жыл бұрын
@@georgemassebu2083 ni kweli ndugu yangu, itakuwa naona maana hapana.
@suleimanbakar1271
@suleimanbakar1271 4 жыл бұрын
kuna ccm mwenye akili?nyote mazimwi hamna lolote isipokua ushenzi
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 4 жыл бұрын
Eti faida dola milioni 14 dola na gharama iliyo kuwa haijalipwa ni bei gani uwongo mtupu mimi nachalange hakuna pesa hata moja ilio patikana kwenye ndege isipokua madeni ebu amkane watanzania hakuna shisika la mdege linalo fanya faida yoyote ile
@mkomwamkomwa8774
@mkomwamkomwa8774 4 жыл бұрын
Rudi shule chenga wewe
@mpoyokapictures1405
@mpoyokapictures1405 4 жыл бұрын
Kati ya eche na msukuma nani kilaza!????? Nikushauri ndugu msukuma changia kulingana uwezo wako wa akili, ukianza kujilinganisha na watu walio kuzidi akili tutakudharau bure.
@cyrilmmasi5070
@cyrilmmasi5070 4 жыл бұрын
Bora Msukuma
@cyrilmmasi5070
@cyrilmmasi5070 4 жыл бұрын
Tena bora msukuma Mara mia kaaa utafakari utaelewa
@temkezatv4381
@temkezatv4381 4 жыл бұрын
Bora msukuma maana ukiwa msomi alafu ukiwa huna akili ni zaidi ya kilaza
@lucywilliam3559
@lucywilliam3559 4 жыл бұрын
Msukuma humo bungeni hakuna anaemzidi. ana upeo mkubwa sana wa mawazo, ukibahatika kukaa na kuongea nae utaelewa zaidi
@patrickmadiwa3845
@patrickmadiwa3845 4 жыл бұрын
MPOYOKA TV .Msukuma ana ufahamu asilia usihtaji reference kama akina hao wansojiita wasomi halafu michango yao au HOJA zao ni kupiga mtu anaefanya vizuri. Msukuma piga kazi
MUSUKUMA Awasha Moto Bungeni
7:57
Global TV Online
Рет қаралды 90 М.
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 9 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
'Wanaosema mimi mwizi wataisoma namba'-Prof Tibaijuka
7:27
Millard Ayo
Рет қаралды 222 М.
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 9 МЛН